ISLAAH ISLAMIC TV ni Online TV inayojihusisha na mambo ya kidini pamoja na elimu mbali mbali ikiwemo elimu ya Afya ya watu na wanyama pamoja na Tiba mbali mbali.
Karibuni ISLAAH ISLAMIC TV kwa kupata kilicho bora.Tunaomba usub-scribe kwenye channel yetu lakini pia utufate kwenye mitandao mingine ya kijamii. NB: MAUDHUI YOTE YANAHUSIANA NA DR.SULLE
Пікірлер
Masha'allah Masha'allah
Masha'allah
Takbiriii Allah Akbar karibuni ktk Dini ya haki Dini ya kweli ya Mwenyezi Mungu.
Mwamba wa kimataifa 💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Mashallah
jazaakallaaahu khaira
Allah Akbar ❤
Awo wakristo awajasoma biblia Wala quaran
Mashallah kila la kheri
Mashallh tabaraka rrahmaan
Dr.unakiti chako peponi na wakezako inshallah na wanao.pamoja nasi inshallah yaa Rabby🤲🤲
Mmmh utapeli pesa inatafutwa
Utapeli unaujua wewe au mashetani ndo yanakuendesha Unapost uchafu kesho ufike kwenye kongamano lazima wewe una majini
Linatajwa Jina Allah wewe unasema utapeli ndugu yangu una majini kabisa mtafute doctors sulle Akupe msaada
Duuu ,huyu si anafuga majini, kumbe ni shehk😮😮😮😮
Endelea kuigiza
Allah akutie nguvu doctor sulee
❤❤❤ mashalah
Mashaallah Allah (s.w) awangoze katika njia iliyonyooka ya uislam Amin
mashaallah
Mashaa allah
Ma shaa Allaah Allaah Allaah Akulipe kheri
Watangatanga, ni Roho Zao tu kuangaika. Awana elimu yakutosha awo. Mkristu kamili apashwi kubabaika na mambo ayo
Ukimuabudu Yesu, sahihi?
Watarud 1 m 1 alie salit chama kasoro wewe njoo Islam uwe huru
Arafu anatokea mjinga furani anamchafua doctor sule eti mshilikina anaingiza makundi ya watu ktk dini ya Allah unazani atakosa Mungu kumkunjulia mambo yke nakupenda doctor sule kwaajili ya Allah ❤
Sheihk Sule wewe usijifananishe na nabii wa Allah Suleiman na pia hakutumia majini kuchumia Mali na Uislam haukubali kutumia majini kama msaada au kuchumia mali hiyo ni shirki labda uwafundishe washirikina na sii waislam pia waislam wanalindwa na malaika 4 mchana na usiku 4 sii majini!
Allahu Akbar MashaaAllah sheikh Sule Allah akubariki kwa daawa
Mama niliota njoka ananingata
Ndacha uko wapi??😂
Ndacha akienda akafundisha majini walisilm 😅 watu wote wata ritad 😂😂😂😂
Mashalaah mwenyezmungu awatangulie katk maisha yenu
Mashaallah
Cha kushangaza ni kuwa watu wote ni waislamu wa zamani maana wamevaa kiswalam
Unaumia ukiwa wapi,au ulitaka wawe uchi kama makanisan kwenu???we haujui kuwa hapo ni kweny muhadhara wamesitiriwa na akina mama wenzao??au roho mbaya tu,😂ndacha uko wapi ona wenzak wanchofanya sio wewe ropo ropo.
Ni yale mazingaombwe ya zamani ya chaki kugeuka jojo 😮😂😂😂😂
Yaan raha ya uislamu hamna maigizo wallah daaah had raha
Mashallah
Masha Allah
ALLAH awajalie wote waliosilim waijue dini ya mwenyezimungu na awafishe katika Mila ya UISLAM
Mashallah mungu akuzdishie moyo uo uo doctor sul
ALLAH akulipe kila la kheri jambo hili siodogo watu Hawa kuiona Nuru ya ALLAH
FUNDI M1
Mashallah...
🎉🎉🎉
Allah akulipe kila la kheri doctor sule jambo kubwa hili na Allah awasimamie wote walioslim katika kheri
taqbiriiiiiii
Allahu akibar
Allah Akbar
Allahu Akbar walillahi lhamdu
Mashallah
Mungu akupe mwisho mwema baba yangu mlezi wa Imani yetu,❤ unatulea wengi katka Imani yetu na unatuimarisha pia katka kuamni Imani yetu,.❤❤❤
Daaah sheikh unanikosha moyo wangu wallahi duuuuh
Mashallah 🤲🤲🤲🤲🤲
Sifa mbaya sanaa kuna mwamba mmoja kutoka ethiopia afif taj muhammad hamkuti miaka 100000
Mashaalah mashaalah ya Salam ya Salam
Mashaallah Tuko pamoja nawe