DR SULLE AWASHA MOTO WANAO MSEMA RAIS SAMIA//UKIISHI BILA KUJISHUGULISHA USILALAMIKE

#drsulle #africa #tanzania

Пікірлер: 19

  • @nomar3708
    @nomar370826 күн бұрын

    Asante sana Dr Sule. Waelimishe wa Tanzania wasije kuharibu nchi yao. Maisha yamepanda ulimwengu mzima. Hapa uingereza kila kitu kimepanda. Wazungu wanachemsha viazi na kula, wanalalmika lakini uzuri wao wanaelewa chanzo cha kupanda bei kea vitu. Mungu ainusuru Tanzania yetu na akupe afya Dr Sule uweze kuwaelimisha vijana wetu

  • @evelinambewe2835
    @evelinambewe283525 күн бұрын

    Asante baba

  • @NassourJuma
    @NassourJuma26 күн бұрын

    MashaAllah Allah atuwekee watu kama hawa kwa sabubu niwachache sana

  • @user-jx1rg4eq9x
    @user-jx1rg4eq9x26 күн бұрын

    Dr. Wapatie logic na Facts.hawanaga fadhila hao Kwa serikali. Inawapa ruzuku halafu wanaigeukia na kuisema vibaya , kama sio wendawazimu huo ! Watanzania yatosha kujifunza yamayojiri Kenya, kamwe tusikubali hadaa za kusabanisha vurugu wachochezi hawachelewi kukimbilia nchi za nje, au vipi wanakimbilia kwenye ubalozi wa nchi za nje , mwenzangu na Mimi tutabaki kumbwerambwera tuu. Kamwe tusitafute vita wakati wa amani .

  • @husha6372
    @husha637226 күн бұрын

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu dr Duke Maisha ulaya na Dunia nzima Ni manumission hata n I Za waarabu

  • @user-tr3vt7nf2p
    @user-tr3vt7nf2p26 күн бұрын

    Uyu jama nampendaga wallah mungu asimfishe sijamuona na sijuw ni lini apo sasa

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z26 күн бұрын

    TUNAHITAJI WATU KAMA SULE...ANAKUELEWESHA VIZURI USIPOTAKA KWENDA

  • @ibrahmuya3528

    @ibrahmuya3528

    25 күн бұрын

    Kabisa Mimi ni mkristo lakini shekh kamalza wanaobisha wote mashetani

  • @KarumeKindamba-lk1px
    @KarumeKindamba-lk1px25 күн бұрын

    Dr. Shule,Mimi ninakukubali lakini huko unapoelekea utaharibikiwa kama marehemu Magezi (nyundo ya chuma) alikuwa mtu ambae anakubalika sana na vijana wa kislam.Mimi ninakuomba utushauri kupambana ktk kujenga Dunia yetu na dini yetu.Mama amekwama ni Mungu peke atamvusha

  • @user-jq2lk5tm3t
    @user-jq2lk5tm3t26 күн бұрын

    acha siasa ww

  • @user13375
    @user1337525 күн бұрын

    We si unafuga majini,au ndo kujishughulisha eee😢😢😢😮😮

  • @josephkostans9128
    @josephkostans912825 күн бұрын

    Alieshiba hajawahi kumkumbuka mwenye njaaa

  • @user-du5wk9ns9m
    @user-du5wk9ns9m26 күн бұрын

    Mwanasiasa huyu sio sheikh tena

  • @shabandamas1759
    @shabandamas175925 күн бұрын

    Dr sule nakukubar sikuzote ila kwenye hili umezingua pakubwa..!! Unachanganya Vp Dini na siasa za kidemokrasia..!! Kwanini utue nguvu kubwa kumtetea kiongozi wa siasa kupitia mgongo wa dini..

  • @user13375

    @user13375

    25 күн бұрын

    Uchawa hadi kwa dini😮😮😮😮

  • @kutailass6671

    @kutailass6671

    23 күн бұрын

    Kwan muislam hana hak yakuzungumzia mambo yanayo husu dunia jamani? Mbona watu munaroho zakuchawi sana

  • @andrewdokhoya
    @andrewdokhoya26 күн бұрын

    Matako yako wewe wachana na kenya. Kenya sio yule Allah wako mjinga

  • @kutailass6671

    @kutailass6671

    23 күн бұрын

    Hapo kwenye Allah umelaanuka wewe

  • @thamani5842

    @thamani5842

    20 күн бұрын

    KAFFIRI mkubwa we

Келесі