DR SULLE AWASHA MOTO WANAO MSEMA RAIS SAMIA//UKIISHI BILA KUJISHUGULISHA USILALAMIKE
#drsulle #africa #tanzania
Жүктеу.....
Пікірлер: 19
@nomar370826 күн бұрын
Asante sana Dr Sule. Waelimishe wa Tanzania wasije kuharibu nchi yao. Maisha yamepanda ulimwengu mzima. Hapa uingereza kila kitu kimepanda. Wazungu wanachemsha viazi na kula, wanalalmika lakini uzuri wao wanaelewa chanzo cha kupanda bei kea vitu. Mungu ainusuru Tanzania yetu na akupe afya Dr Sule uweze kuwaelimisha vijana wetu
@evelinambewe283525 күн бұрын
Asante baba
@NassourJuma26 күн бұрын
MashaAllah Allah atuwekee watu kama hawa kwa sabubu niwachache sana
@user-jx1rg4eq9x26 күн бұрын
Dr. Wapatie logic na Facts.hawanaga fadhila hao Kwa serikali. Inawapa ruzuku halafu wanaigeukia na kuisema vibaya , kama sio wendawazimu huo ! Watanzania yatosha kujifunza yamayojiri Kenya, kamwe tusikubali hadaa za kusabanisha vurugu wachochezi hawachelewi kukimbilia nchi za nje, au vipi wanakimbilia kwenye ubalozi wa nchi za nje , mwenzangu na Mimi tutabaki kumbwerambwera tuu. Kamwe tusitafute vita wakati wa amani .
@husha637226 күн бұрын
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu dr Duke Maisha ulaya na Dunia nzima Ni manumission hata n I Za waarabu
@user-tr3vt7nf2p26 күн бұрын
Uyu jama nampendaga wallah mungu asimfishe sijamuona na sijuw ni lini apo sasa
@user-hi8le2vb7z26 күн бұрын
TUNAHITAJI WATU KAMA SULE...ANAKUELEWESHA VIZURI USIPOTAKA KWENDA
@ibrahmuya3528
25 күн бұрын
Kabisa Mimi ni mkristo lakini shekh kamalza wanaobisha wote mashetani
@KarumeKindamba-lk1px25 күн бұрын
Dr. Shule,Mimi ninakukubali lakini huko unapoelekea utaharibikiwa kama marehemu Magezi (nyundo ya chuma) alikuwa mtu ambae anakubalika sana na vijana wa kislam.Mimi ninakuomba utushauri kupambana ktk kujenga Dunia yetu na dini yetu.Mama amekwama ni Mungu peke atamvusha
@user-jq2lk5tm3t26 күн бұрын
acha siasa ww
@user1337525 күн бұрын
We si unafuga majini,au ndo kujishughulisha eee😢😢😢😮😮
@josephkostans912825 күн бұрын
Alieshiba hajawahi kumkumbuka mwenye njaaa
@user-du5wk9ns9m26 күн бұрын
Mwanasiasa huyu sio sheikh tena
@shabandamas175925 күн бұрын
Dr sule nakukubar sikuzote ila kwenye hili umezingua pakubwa..!! Unachanganya Vp Dini na siasa za kidemokrasia..!! Kwanini utue nguvu kubwa kumtetea kiongozi wa siasa kupitia mgongo wa dini..
@user13375
25 күн бұрын
Uchawa hadi kwa dini😮😮😮😮
@kutailass6671
23 күн бұрын
Kwan muislam hana hak yakuzungumzia mambo yanayo husu dunia jamani? Mbona watu munaroho zakuchawi sana
@andrewdokhoya26 күн бұрын
Matako yako wewe wachana na kenya. Kenya sio yule Allah wako mjinga
Пікірлер: 19
Asante sana Dr Sule. Waelimishe wa Tanzania wasije kuharibu nchi yao. Maisha yamepanda ulimwengu mzima. Hapa uingereza kila kitu kimepanda. Wazungu wanachemsha viazi na kula, wanalalmika lakini uzuri wao wanaelewa chanzo cha kupanda bei kea vitu. Mungu ainusuru Tanzania yetu na akupe afya Dr Sule uweze kuwaelimisha vijana wetu
Asante baba
MashaAllah Allah atuwekee watu kama hawa kwa sabubu niwachache sana
Dr. Wapatie logic na Facts.hawanaga fadhila hao Kwa serikali. Inawapa ruzuku halafu wanaigeukia na kuisema vibaya , kama sio wendawazimu huo ! Watanzania yatosha kujifunza yamayojiri Kenya, kamwe tusikubali hadaa za kusabanisha vurugu wachochezi hawachelewi kukimbilia nchi za nje, au vipi wanakimbilia kwenye ubalozi wa nchi za nje , mwenzangu na Mimi tutabaki kumbwerambwera tuu. Kamwe tusitafute vita wakati wa amani .
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu dr Duke Maisha ulaya na Dunia nzima Ni manumission hata n I Za waarabu
Uyu jama nampendaga wallah mungu asimfishe sijamuona na sijuw ni lini apo sasa
TUNAHITAJI WATU KAMA SULE...ANAKUELEWESHA VIZURI USIPOTAKA KWENDA
@ibrahmuya3528
25 күн бұрын
Kabisa Mimi ni mkristo lakini shekh kamalza wanaobisha wote mashetani
Dr. Shule,Mimi ninakukubali lakini huko unapoelekea utaharibikiwa kama marehemu Magezi (nyundo ya chuma) alikuwa mtu ambae anakubalika sana na vijana wa kislam.Mimi ninakuomba utushauri kupambana ktk kujenga Dunia yetu na dini yetu.Mama amekwama ni Mungu peke atamvusha
acha siasa ww
We si unafuga majini,au ndo kujishughulisha eee😢😢😢😮😮
Alieshiba hajawahi kumkumbuka mwenye njaaa
Mwanasiasa huyu sio sheikh tena
Dr sule nakukubar sikuzote ila kwenye hili umezingua pakubwa..!! Unachanganya Vp Dini na siasa za kidemokrasia..!! Kwanini utue nguvu kubwa kumtetea kiongozi wa siasa kupitia mgongo wa dini..
@user13375
25 күн бұрын
Uchawa hadi kwa dini😮😮😮😮
@kutailass6671
23 күн бұрын
Kwan muislam hana hak yakuzungumzia mambo yanayo husu dunia jamani? Mbona watu munaroho zakuchawi sana
Matako yako wewe wachana na kenya. Kenya sio yule Allah wako mjinga
@kutailass6671
23 күн бұрын
Hapo kwenye Allah umelaanuka wewe
@thamani5842
20 күн бұрын
KAFFIRI mkubwa we