MAZINGE AFUNGUKA KWA NINI MABALAA YALIWAKUTA MAHAKIMU MAPOLISI WOTE WALIOMFUNGULIA KESSY MIAKA HIYOO

Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

Пікірлер: 43

  • @kassimjuma6151
    @kassimjuma61514 күн бұрын

    Moja kati ya masheikh wanao lingania Dini ya Allah ambae na mpenda kwa moyo wangu wa dhati juu ya hili basi ni sheikh Mazinge Allah amuhifadhi

  • @saudaumar3354
    @saudaumar33542 күн бұрын

    Mashallah Mazinge kofia mzuri akonaroho safi Allah akueke akufungulie yakheri na baraka Inshallah na nyote mulokuwa pamoja twa mpenda kwa Ajli ya Allah

  • @user-vi8sz5zo4d
    @user-vi8sz5zo4d5 күн бұрын

    Nakupenda sheikh Mazinge kwa ajili ya Allah. Nakusukiliza from Cairo Egypt. Nakuombeya Allah muweza akubali dua yako na uende kuhiji.

  • @noelnoel4916
    @noelnoel49163 күн бұрын

    Sheikh Mazinge yupo vizuri sana kwa kazi ya dini

  • @AliJuma-go4rc
    @AliJuma-go4rc4 күн бұрын

    Allah akupe umri mrefu Sheikh Habib Mazinge ❤❤❤❤

  • @jaystrongmagaboy1633
    @jaystrongmagaboy1633Күн бұрын

    Sheikh Mazinge nakupenda bure.

  • @MamaP-ro2xw
    @MamaP-ro2xw4 күн бұрын

    Assalaam aleikum mashekhe wetu ma shaa Allah mungu awastiri awajaalie jannatul firdaus ,sheikh mazinge njoo mombasa uwanja wa tononoka uwafunze hawa ndugi zetu kwa adam njia ha yaki na ya kweli mbele ya Allah shukran

  • @planetanimals9547
    @planetanimals95474 күн бұрын

    Mashallah sheikh mazinge Allah akupe umri mrefu na afya njema

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y2 күн бұрын

    MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @zingzong3928
    @zingzong392817 сағат бұрын

    Maashallaah maashallaah

  • @zaharanituwano6615
    @zaharanituwano66153 күн бұрын

    Namlingania shekh Mazinge aachie ndevu asizinyoe ndivyo 2me amrishwa na Mtume we2 s.a.w. nakuvuga ndevu ni (Wajibu)lazima nime shafikisha nanyi mkishieni..

  • @shamisfahiye9628

    @shamisfahiye9628

    Күн бұрын

    Labda hazioti

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi50043 күн бұрын

    Mashaallah

  • @allyway999
    @allyway9994 күн бұрын

    Mazinge Allah amekupa IQ kubwa mno Allah akupe kila lakher wallahi

  • @kerosenealimasi8019
    @kerosenealimasi801914 сағат бұрын

    Safi

  • @user-np1bf6me4u
    @user-np1bf6me4u5 күн бұрын

    Saimu masuali yako nimependa sana ila huyo ust mazinge akitumiwa pesa kidogo anaidharau mimi na mpenda na fatilia sana mapambano yake napenda ila hakuna alokosa kasoro

  • @kherithewriter665

    @kherithewriter665

    4 күн бұрын

    Kwan uliwahi kumtumia akaidharau

  • @jafarimtimkuu
    @jafarimtimkuu4 күн бұрын

    Amaashaallah

  • @user-np1bf6me4u
    @user-np1bf6me4u5 күн бұрын

    Kumbe kwenda hija ni millioni 10 tu 😮

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y4 күн бұрын

    Kaka mazinge ukianzisha account ya mchango wako wa kwenda hija mimi wakwanza kukuchangia takacho jaaliwa ili mradi tu nipate dua zako.

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud36345 күн бұрын

    Waislamu, tukumbushane kuwa tunapo zungumza mguso wa maswala ya DINI hapatakiwi mzaha. Rejeleeni aya ndani ya kitabu kitukufu Qur'an na maelekezo ya Mtume Muhammad s.a.w. huto ona penye ucheshi. Mazinge na Gwao. Maswala yanayo husu DINI hapatakiwi mzaha. Simulizi zote tulizo achiwa na Mtume, hakuna za kuchekesha the same kwenye Qur'an. Amesema Mtume kuwa. hakika mini Muhammad ni mfano wa Qur'an na matendo yangu, ukifuata matendo yangu utakuwa umeifuata Qur:an na ukiifuata Qur'an utatenda ninavyo tenda mimi. Muda umekaribia hebu angalieni ile nyota inayo andamisha mwezi je ipo?

  • @mirzah117
    @mirzah1173 күн бұрын

    Kwenye uchawa ndio mnaharibu

  • @BuruhaniAdamWawa
    @BuruhaniAdamWawa4 күн бұрын

    Professor DD, Tupo Maidha

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z4 күн бұрын

    Mazinge

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca28302 күн бұрын

    Ndacha bado yupo tz

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja19955 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 masha'allah sheikh wetu mpendwa

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e5 күн бұрын

    😂😂shekhe mazinge hiyo baraka shee au soksi ya kuchujia chai😂😂😂😂😂

  • @taurehassan7399
    @taurehassan73994 күн бұрын

    Ww waambiea umekwenda hijjah lakn unamuhoji mazinge kifitna mambo ya Pete yahusu Nini ni hyo mada mnayoiongelea?mbona cc waislamu Bdo tuko nyuma?kw stayle hii hatufiki na hatutofika,mnapandikiza chuki wa wahadhiri na masheikh na waumini acheni hii tabia uislam usogee hta kidogo

  • @Chemba67
    @Chemba674 күн бұрын

    GWAO, MAZINGE HAITAJI KUANGALIA CAMERA KWAKUA MAZINGE NI MMOJA TU AFRIKA NA SAUTI YAKE INATOA TASWIRA YAKE HALISI NA INATOSHA.

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani26225 күн бұрын

    Bendera chuma mlingoti chuma . Ccm

  • @sautikuu212
    @sautikuu2125 күн бұрын

    Sheikh mazinge analeta mambo ya uchawa

  • @user-np1bf6me4u

    @user-np1bf6me4u

    5 күн бұрын

    Hana mambo hayo kabisa huyo labda humjui vizuri huyo ukimpenda atakupenda naukimuudhi anakurarua bila chenga

  • @sautikuu212

    @sautikuu212

    5 күн бұрын

    @@user-np1bf6me4u acha kutetea ujinga, sasa hivyo anavyofanya kuna tofauti gani na mwijaku anayewasifia watu ili anufaike?

  • @SaleheAmiry-mx1yn

    @SaleheAmiry-mx1yn

    5 күн бұрын

    Acha maneno machafu wewe

  • @HajiMasmenti

    @HajiMasmenti

    4 күн бұрын

    We ndo chawa bwege ww

  • @sautikuu212

    @sautikuu212

    4 күн бұрын

    @@HajiMasmenti mapenzi yenu yasiyotumia akili kwa sheikh Mazinge yanawafanya muwe vipofu msiione hata haki, mtu anakosea lakini hamuoni. Hatari sana hii

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi83215 күн бұрын

    hata salam hajui, ....wabarakatihi. endelea kujifunza

  • @user-mf2ll7nz5g

    @user-mf2ll7nz5g

    5 күн бұрын

    Salamu gani we hasidi

  • @nailaomar4810

    @nailaomar4810

    5 күн бұрын

    Subahna Allah binadamu mungu atuhidi

  • @user-np1bf6me4u

    @user-np1bf6me4u

    5 күн бұрын

    Huyo profesa eti hajui Salam wewe unamapungufu sibure

  • @sadathboutique6253

    @sadathboutique6253

    4 күн бұрын

    Acha ujuaji kwani wewe ujawai kukosea matamshi,we ni kajinga

  • @aliakrabi8321

    @aliakrabi8321

    4 күн бұрын

    @@sadathboutique6253 ukikosea kama una elimu unajirekebisha hapohapo, acha matusi

Келесі