WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA

‪@StraightPathDawah‬ #RamadhanKuria kwenye Dawah mitaani akishirikiana na baadhi ya wana Dawah kutoka jijini Nairobi. Tafadhali subscribe..

Пікірлер: 68

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz15035 күн бұрын

    Hai ipo wazi masheikh zangu, na hata wao kwa wao wadhihirisha kwa kukarangana. ALLAHUMMA TUJAALIE TUFE KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO BALI SIO KATIKA VITANDA VYETU TUKIWA TUMESIBA #MANDIY. #Armie2Palestine #WorkForChange #WorkForPeace #WorkForKhilafah

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja5 күн бұрын

    Mashallah mungu awaongozea wakristoo

  • @Noorein-ws8wk

    @Noorein-ws8wk

    4 күн бұрын

    Amiin

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s5 күн бұрын

    Sheikh leo kuna shida,munabishana na hawa mkitumiya story na fikra badili ya kuwanyamazisha na maandiko kama kawaida yenu.Kuna aya nyingi ndani ya biblia ya kuthibitisha yesu siyo mungu. Hii ya leo imekuwa story. ALLAH awabariki kwa kazi mzuri

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    5 күн бұрын

    Hakujasomwa vitabu au umetazama nusu na kuhukumu?

  • @twaine40
    @twaine405 күн бұрын

    Hawa uelewa wao nifinyu Sana yaani Mtu yuasoma andiko na Bado yuabishana Sub'haana Allah

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z5 күн бұрын

    Huyo Anaejifunika kofia usoni, anaona aibu, kwa ukweli uliomo ktk. Biblia kitabu wanachokiamini. Kubali hamkubali, Yesu si Mungu, yeye alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu.

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga645 күн бұрын

    Hao wa leo wamekuja kwa nia ya ushindani na kuharibu muhadhara. Na leo pia utaratibu umeharibiwa na hao jamaa. Musiwakubalie kamwe siku zijazo. Shukran

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78475 күн бұрын

    Mashaallah Allha 💖

  • @josemu870
    @josemu8705 күн бұрын

    Barikiweni sana sana

  • @Mimein-vn7or
    @Mimein-vn7or5 күн бұрын

    Allah akujaze kheri ya Dunia na akhira.

  • @dominicwafula3997
    @dominicwafula39973 күн бұрын

    Sheikh Abbas amenikosha sana alipo wafunga kwa kuwauliza sai yesu upo wapi na tena kma nani nilingoja swali hilo sana mpaka raha MashaAllah😂😊

  • @mohamedmaina2279
    @mohamedmaina22795 күн бұрын

    Shukuran

  • @azizashiundu5778
    @azizashiundu57785 күн бұрын

    Mashallah

  • @seifissa9705
    @seifissa97055 күн бұрын

    Yaani hao jamaa mungu awasamehe

  • @adanabdi5249
    @adanabdi52495 күн бұрын

    Sawa

  • @prettyaysha7892
    @prettyaysha78925 күн бұрын

    Hii kazi haitaki hasira wallah mm ni mwanamke lakini naskia kugonga huyo wa white aki hata ingekua mm ndio nnafanya hii ningekaa na manundu ya uso kwakupigwa😊

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9dКүн бұрын

    Asalam alaykum 🤲🤲🤲☝️😊

  • @peterthuo1404
    @peterthuo14049 сағат бұрын

    Yaani😢 I can't believe wakristo wanakuanga wamechanganyikiwa hivo😂

  • @MohammediSemndili
    @MohammediSemndili5 күн бұрын

    Masha allh mungu awabariki nasubir part3 kama itakuwep

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    5 күн бұрын

    insha'Allah

  • @user-fc6uf6be5u
    @user-fc6uf6be5u3 күн бұрын

    😂😂😂 subhana Allah yaani binadamu kazaaa Mungu wawakristo daaaa

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem44584 күн бұрын

    Hawa niwabishi tu hawana wajuwalo

  • @patrickndichu3905
    @patrickndichu39055 сағат бұрын

    Huu upumbavu wa kulinganisha imani mtaacha lini...Mtu akae na imani yake...Mungu mwenyewe ndiye atatendea kila nafsi hukumu yake.

  • @Adm9464
    @Adm94645 күн бұрын

    Confusion continues. Wakristo hawasikisani.

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem44585 күн бұрын

    Tomaso ni chizi! hio ni kali

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    3 күн бұрын

    NimechekaetiTomato.nichizi@🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin6344 күн бұрын

    Yani wamejazwa imani ambayo kwa maandiko hakuna mpaka wanaikataa Bibilia yenyewe...duh! Mtihani kweli na hawa marafiki zetu

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    3 күн бұрын

    SubhanaAllah.

  • @muddathirkassim2407
    @muddathirkassim24075 күн бұрын

    Eti yesu alikuwa kwakanisa,,,😂 hata hana haya 😂

  • @samxx411
    @samxx4115 күн бұрын

    Huyu jamaa alovaa kofia hajui hata anasema nini?? ilimradi na yeye aseme.

  • @zainabhussain4114

    @zainabhussain4114

    5 күн бұрын

    Kweli 😂😂

  • @Inagole4233
    @Inagole42332 күн бұрын

    Hats kuna wakiristo wanaoituwa Jesus Kama Mchesaji maarufu Wa mpira Gabriel Jesuus,

  • @hamzamohamed377
    @hamzamohamed3775 күн бұрын

    Bro naona wengine wako na feelings chunga usivamiwe

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    3 күн бұрын

    Allah.yupo.mlinzi.mkuu.atamlinda.leo.mpakakesho.yaumalikiama.lnshaAllah

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga46062 күн бұрын

    Maustadh hawanaga elimu eti baali yesu ni mtoto wa yesu ujinga kabisa

  • @namasakajuniorke3886
    @namasakajuniorke38864 күн бұрын

    Kama nyinyi vidume kweli muweke video yote mnakata mahali niliwagaragaza

  • @wakeshojana
    @wakeshojana5 күн бұрын

    HIYO SI ISHU YA AJABU....HATA WAISLAMU WA MADHEHEBU TOFAUTI HUITILAFIANA JUU YA KORAN.......TAFUTA RUTO AKUPEE KAZI HUNA HOJA.

  • @abdulJambe

    @abdulJambe

    5 күн бұрын

    Qur'an ni Moja Wacha makasiriko mlaji nguruwe

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    5 күн бұрын

    Sijaomba KAZI labda wewe uje nikuajiri

  • @softymoha5484

    @softymoha5484

    5 күн бұрын

    @@chapchap-oz1ou Quran ni moja dunia yote kwa taarifa yako...then ibada yetu ni moja..dunia kote

  • @samxx411

    @samxx411

    5 күн бұрын

    Hakuna hicho kitu, qurani ulimwengu mzima ni moja tu....labda useme tafsiri inaweza kuwa tofauti kulingana na lugha ya sehemu..lakini qurani ya asili inabaki kuwa ni moja tu.

  • @mahmudmugarura2175

    @mahmudmugarura2175

    5 күн бұрын

    ​@@chapchap-oz1ou mnapotea sababu hamjui maandiko wakristo walio kuepo wangapi wametoa Andiko,,? Chunga usije ukaolewa tena wewe ni mwanaume.mburukenge

  • @benwambua902
    @benwambua9022 күн бұрын

    Kuria is a kikuyu name,kikuyus believed that their Supreme creator lived in Mount Kenya, this man should focus on his culture rather than going around with the name Mohammed, shouting everywhere to people, we should go back to our roots Africans

Келесі