KRISMASI NI KAZI KWISHA!! WAKRISTO WENGI WAMEELEWA KUWA HAIMO KWENYE VITABU
Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.
Жүктеу.....
Пікірлер: 327
@idalahow6 ай бұрын
Haki ya Mungu... Brother Ramadhani mnakabiliana na mambo mengi....na vichekesho lakini we will surely support these DAWAH TEAM Everyday, Every Night...
@Ukhtyzuhura
6 ай бұрын
haki una subra sana kaka Ramadhan Kuria dah kuna watu vichwa ngumu wanafanya ubishi na ukweli uko wazi wazi hakika Allah awalipe kwa juhudi zenu
@sophiakassim6979
6 ай бұрын
Aamiin
@mubariekabrahams26506 ай бұрын
Assalam aleykum sheikh Ramadhan Allah akuzidishie uzima na umri wallahi tunafaidika Sana na mafundisho.
@salmaminja77146 ай бұрын
Allah ndie mjuzi hakika Ustadh unapambana. Namuomba Allah akujalie mema ya dunia na kesho akhera akujalie pepo tukufu Biidhinilah. Allah Akbar. Idhaa Aradallah..
@Catherine-mh8sw
6 ай бұрын
Amiin
@mamitomamita62846 ай бұрын
Hao wanajuwa ukweli lakini hawataki tu kuufuata ALLAH AWAONGOZE IN SHAA ALLAH
@faudhiasaidi36696 ай бұрын
Mm napendaga sana uyu msomaji anasoma vizuri sana
@user-ci1sv3ij7q6 ай бұрын
MashaAllah sheikh ramadhan kwa kazi nzuri
@Adm94646 ай бұрын
I thought he said hana dini. Now anatetea Ukristo bila andiko. Very sad
@fatumamwalimu5765
6 ай бұрын
Wanakua hivyo, maana anajua uko ndio kuna mateka wenzie,na ndio unaona anakua kiherehere nyingi na anahangaika nakujifanya mjuaji
@fugichguyo98876 ай бұрын
Allah S.W atupee sote kheri
@user-rc7oi2hp8l6 ай бұрын
Maashaallah tabarakallah walim wetu Allah amfanyie wepesi kueneza dini ya Allah
@MwanaIdi-db9qj
6 ай бұрын
Allahumma Aamin yarabb
@hassanmpemba57476 ай бұрын
Masha Allah sheikh wetu ni kuwaelimisha sana tu ili wajuwe ukweli
@swidiqrajab45196 ай бұрын
Asalamu Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuh Mashaa Allah, Allah Awabariki na Awazidishie Khayr Na Barkah Katika Kazi Mnayo Fanya, Na Rehma Na Amani Zimfikie Mtume Muhammad
@StraightPathDawah
6 ай бұрын
اللهم صل وسلم عليه وعلى آله وصحبه وسلم
@khatibmuhsin77236 ай бұрын
Allah atakulipa ujira wako ustadh kwa kuwafundisha watu neno la Allah na kuwapa uongofu,kazi yako tayari umeshaifanya,,,,, Mungu atakulipa ujira uliokuwa mwema wenye kheri na wewe,,,, inshalla Amiin....
@AsiyaAwadh-zg8wf6 ай бұрын
Wallahi sheikh ramadhan muko na kazi ngumu kulinganiya dini ya haki ya islam hawa wenzetu wa kushoto ni wabishiii sana!!! Allah azidi kuwapa nguvu na fahmu na uwezo kulinganiya dini hii haq
@Noorein-ws8wk6 ай бұрын
Allah awahifadhi masheikh wetu
@gakobwaadija79496 ай бұрын
Masha Allah sheikh Ramadhan salamu zimfikie msomaji wako anasma vizuri
@sirnaismail89266 ай бұрын
Sheikh ramdhn Allah akuhifadhi na akulinde na macho ya adui .... nakupenda kwa ajili ya Allah
@selemanendemangandemanga6 ай бұрын
Allah Akbar, so big proud islamic Dawah
@user-du2fy5sd5u6 ай бұрын
MashaAllah Akhii Ramadhan Allah awape Afya na umri muzidi kueneza qalima ya lailaha ila Allah Muhammad RasuluAllah 9:29
@guyogalora27366 ай бұрын
Masha Allah shukran jazeelan sheikh ramadha kuria somo zuri sana
@Aminedanisman767996 ай бұрын
MashaAllah tabarakallah.leo nimepata kusikiza hii mjadala.Allah awape nguvu na subra kwani hii kazi ni mgumu sana.si rahisi kushawishi watu kuingia kwènye dini ya haki
@Adm94646 ай бұрын
Total confusion Wakristo kila pahala. They can’t even agree on themselves.
@yusufmohamed72356 ай бұрын
Maa shaa Allah ustadh,kazi njema munaifanya kwa kweli.Mola awajaze mema na awabariki.
@qhatramohamed70066 ай бұрын
Mashaa-Allah Allah awahifadhi wahadhiri wetu
@user-pp7jo2oi2o6 ай бұрын
I salute pastor Ndacha. Huu ujunga unaoongea ushakatazwa na Ndacha. Leo amepatana na wanyonge..I kindly request our Christians to read the bible and listen to BND
@Alithoya-qr7di
6 ай бұрын
Soma maandiko acha kufata mtu ety ndacha, ndacha ndio Nani yeye mwenyewe maandiko hajui
@davidwalker21446 ай бұрын
"Never will God lead people a stray untill it has been blacklisted what they should avoid " GOD IS ONE ! Qul: hu Allahu Ahad 😮 Muslim guy is warned Quran verse:- 2-42 & 109-3
@Ali-gk5mv6 ай бұрын
Maa Shaa Allah MUNGU AWABARIKI
@mziguwaosman85396 ай бұрын
Mungu awape subra kwenye misukosuko na muwe wavumilivu kwenye safari zenu mungu atawalipa InshaAllah
MashaAllah Ustad. TabarakAllah Team, pamoja na Cameraman! Hii info fo WaKristo: Kitabu alicho PEWA Nabi ESA, kama Ma Nabi wote, lili kuwa ni KITABU KiMOJA, tuu! SIO, Four 'Gospels' za WAZUNGU, au 66 StoryBooks, za KingJames! The word 'GOSPEL' is an abbreviated form of an OLD ENGLISH Word, known as: 1) 'good spell'. And 'good spell', means, a 'good story'…! Yaani POROJO Nzuri! Kwa hivyo, neno 'GOSPEL', hata SIO Neno kamili, na SIO Holy. It is just an ordinary English abbreviated WORD, which simply means, a 'Good STORY'…! Na hicho KiTABU Ki MOJA tuu, cha INJEEL, ili andikwa katika LUGHA ya MaYAHUDI, na lugha ya ESA, cha ARAMAIC, which is an Old form of ARABIC. AND the Aramaic language, was spoken by the YAHUDIS since 750BC! Hata Nabi SULEIMAN ali kuwa ana ongea Ki ARAMAIC! Na hata QUEEN of SHEBA, ali kuwa ana ongea Ki Aramaic. BONIFUS alikuwa ana ma'anisha kama SADAKA katika Mskiti, huwa ina pewa IMAM? Answer is SADAKA, in the FIRST instance, must be given to: MaFUKARA na MASIKINI. Huyu HILARY, ni kichwa Ngumu! Haroon, HAYUKO Kanisani! CORRECTION...... QURAN HAI kuja NYUMA ya Biblia! The ENGLISH Bible, ili TUNGWA na KingJames na WaAndishi wa 46, kule ENGLAND, in 1611AD, using the Primitive OLDE ENGLISH! Therefore, the FIRST Olde English Bible, is ONLY 400 Years OLD! NA.... the SWAHILI Bible 1952, munao soma, ni COPY ya a 'VERSION', of the SAME original King James Bible, FABRICATED in 1611AD! Kwa hivyo, the Bible, or Biblos, or ANY other MZUNGU Fabrication, all came 1000yrs AFTER the HOLY QURAN! Na PAULO ali kuwa mu ANZISHI wa ROMAN Catholic teachings. Na PAULO, ali kuwa ni MuCRUSADER aliye FUKUZWA from ANTIOCH by the Mamaluks, in 1426AD. Na Kanisa la MWANZO la the ROMAN Catholic CHURCH, la ST PETERS ili jengwa, ili iweze kufuatisha mafundisho ya Mu Crusader PAULO, wa KARNE ya 14. Note. ALL of Allah's REVEALATIONS like the: TORAT, and ZABUR and INJEEL, are SINGLE BOOKS, just like the QURAN, which is just a SINGLE BOOK!
@athmanadi7391
6 ай бұрын
Brother maelezo yako ni mazuri na yana mafunzo mazuri kwa wasiolewa, unastahili kuwa muhibiri
@Sal.0
6 ай бұрын
@@athmanadi7391 JazakAllah Bro. Nina jaribu by posting, ili wanao pitia hapa, wa Elimike. Na, as a Muslims, na post Vitu ambazo nimeya Research vizuri, na ku hakikisha ni ya KWELI. Factual Research. Sisi huwa HATUNA Porojo za WaKristo. So i am glad, ume like info nilio post. Sasa, wewe, take this info, and teach others, because even some of our Daees in East Afrika, are NOT confident about the FACT, that the Bible was FABRICATED, only 400 years ago! Even though the FACTS are plain to see. Some of our Daees, who were former christians, find it especially hard to digest the fact that the English bible, is just a mere STORY BOOK! A StoryBook which was FIRST made by a GREEK MAN, called ERASMUS, and others, who had started COPYING factual HISTORICAL EVENTS from the QURAN, beginning in the late 1495s! The Translation of the QURAN in 1490s on, ENABLED the World's FIRST GREEK Biblos, to be complied in 1516, by ERASMUS the Greek, who lived in Rotterdam, using the HISTORY contained in the QURAN! After the First GREEK Biblos was made, from 1516AD onwards, as the GERMAN language developed, then subsequently OLDE ENGLISH developed by 1536, other EUROPEAN Groups, also started FABRICATING their own 'Bibles', or COLLECTIONS, which were NOT HOLY, but simple FABRICATIONS and modifications! Then in 1605AD, KingJames decided, and said : "ALL previous 'Bibles' (or collections), were "NOT to be 'trusted",( like the HENRY Bible, Bishops Bible, and Geneva Bible), and that a NEW Bible will be written! Therefore, in 1605 AD, King J, appointed 46 Writers, to MANUFACTURE or Write HIS Bible, known as the 'King James Bible', using the still PRIMITIVE language of OLDE ENGLISH. And this 1611AD K.J Bible was the FIRST Bible, to be distributed to ALL the ENGLISH Speaking Colonies, including AFRICA and USA. Therefore, the KING James Bible 1611AD, is the MASTER BIBLE of all the thousands of 'bibles' in the World TODAY. And the SWAHILI Bible of 1952, is a COPY or translation, of a VERSION of this ORIGINAL 1611AD Bible, called: The KingJames VERSION Bible, produced by the British, in 1810AD. Sawa?
@Noorein-ws8wk
6 ай бұрын
Shukran bro jazakallahu Khair
@Sal.0
6 ай бұрын
@@Noorein-ws8wk Waiyakum.
@festinamwakipale39196 ай бұрын
Mungu atusamehe tunahangaika sana na.dini.kuliko.mola.wetu
@dvjkelly8449
Ай бұрын
KABISA AKA, NA BORA WAHANGAIKE KATIKA UKWELI, ILA WANAHANGAIKA KATIKA KUPOTOSHA SANA MAANDIKO NA KUWEKA HISIA ZAO
@seifserenge33406 ай бұрын
Shukran sana mashekhe wetu, Allah akubarikini nyote, baada ya kuwaeleza kwa mujibu wa vitabu pia waeleze Kwa nini umeacha ukristo
@AIFOSMUGOTV6 ай бұрын
Nime subscribe,,,unafanya kazi nzuri Allah akujaze na Allah azidi kukupa ilmu
@georgekamau98556 ай бұрын
You are right ✅ my brother. Most Christians no longer celebrate Christmas as it should be. To most, it's a time to drink beer and engage in bad sexual behavior. May God help them to understand the real meaning.
@NassoroSipemba6 ай бұрын
Manshallah sheikh Ramadhan Allah akubaliki.
@mwangimuhammad-sx9hb6 ай бұрын
Alhamdulillah kwa Neema ya Uislamu, kuna watu ambao vichwa vyao ni vizito, mswiba
Shika Imani Yako. Usijitengenezee uongo Kwa kulazimisha watu wa Imani tofauti Kwa mambo fekifeki. Mtu anajifa ya mkristo kumbe ni muislam mwenzako. Mungu HAHADHIKIWI. MSPOTOSHE WATU
Hao unaowasema wewe kua wanakunywa pombe Na wanaiba Sasa hao sio waislamu Ila wanajulikana kama waislamu Sasa hao wapo upande wako wewe wote nyie sio waislamu
Mi nawakubali Sana wakristo wasabato wayafuata maandiko, na hawana Christmas,coz wanasema kuwa tar 25 Dec ilikua birthday ya tamuzi mtoto wa mungu jua wa Babel. Na yasherekewa wakibandika picha ya Yesu na si Yesu, ni huyo mtoto wa upanini
@mwangimuhammad-sx9hb6 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu,,, Maa Shaa Allah...hao ushaa wafoki
@Saidi-cops2023.6 ай бұрын
Masha Allah ❤
@user-yx2go6tn5u6 ай бұрын
mashaAllah Allah akuhifadhi kaka kuria
@user-fc6uf6be5u6 ай бұрын
Hogereni xna mkonakazi ngumu Allah awafanyie wepesi inshaaAllah
@user-rc7oi2hp8l6 ай бұрын
Uyu amevaa yellow hana dini mara yesu n Mungu alivaa mwili anajichanganya kwl mnkazi walim
@faudhiasaidi3669
6 ай бұрын
Amevaa mwili kama nguo😂 Amekuwa mbisha na dini hana
@Farkhan-ju6js6 ай бұрын
Maasha'Allah brother Ramadhan ALLAHU Baairk
@rayaalhabsi17256 ай бұрын
Mwenye Enzi Mungu awape nguvu, afya muendelee kuitangaza dini ya haqi na kuwa fundisha walio potezwa na walio kuwa hawana elimu. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin
@naimamohammad88706 ай бұрын
Masha Allah Masha Allah wape ujumbe Shehe Ramadhani
@MuniraShughuli-kc7vj6 ай бұрын
Alhamdhulillah 🤲
@hassanalfan69416 ай бұрын
MashaALLAH
@user-du2fy5sd5u6 ай бұрын
SubhannaAllah ama kweli akili zinakutu iliyoganda Allah aeaongoze katika swiratwal mustakim
@carolinevijedi91396 ай бұрын
Mimi ni mkristo but ukweli hakuna kurisimax but huwa twaichukua kama siku ya yesu kuzaliwa
@parinshii1898
6 ай бұрын
Ni siku tu watu wamechagua ya kusherehekea
@tushuhassan38096 ай бұрын
Brow una pambana sana Allah akuzidishie afya uzidi kusonga mbele kueneza neno lake.
@user-bp8yt2rt5n6 ай бұрын
Bora nanyi waislam muwafungue sisi wasabato tumefundisha hawaelewi,Mungu awabariki
@salimdaawah1236 ай бұрын
Masha Allah
@samuelotieno21626 ай бұрын
Mashallah
@fardoshnassor78476 ай бұрын
Mashalla Allah ❤❤❤
@RobertWasike-hv2ex4 ай бұрын
Mimi ni Robert na Mimi ni mkristo,lakini naanza kuamini uislamu kweli kama yesu ni mungu basi pia natumuite yohana pia mungu juu wamezaliwa kwa njia moja nayo ni roho ama
@user-ek7bx6sk6f6 ай бұрын
Maashallah
@abisalomwasike82806 ай бұрын
Masha Allah Ramadan uko poa sana
@zakiaanwar6776 ай бұрын
MashaAllah
@mziguwaosman85396 ай бұрын
Asalamualekum warahmatulahi wabarakatu ndugu zangu samahani kama nitawakosea nauliza naomba kujuwa nikitabu Quran gani emeandikwa kuswali ni kucheza kwa sababu kila juma pili wanasema wanaswali kisha kwenye kanisa wana piga ngoma na kucheza
@guenterernst54816 ай бұрын
Mashaallah
@rashidjuma34576 ай бұрын
Good job
@fatimahrashid23566 ай бұрын
MashaAllah hustadhi ramadhani kazinzur zaidi umewafundisha hawataki kuelewa Bado Wanalazimisha yesu ni Mungu nitabu shda kuzidi sana wasema wamuongeza andiko lakumsapoti Ili aende jikoni vizur 😂😂😂😂
@user-rt5vq5vc3k6 ай бұрын
Mashallha
@shuebissackshaka32363 ай бұрын
واطيعوا الله واطيعوا الرسول فان توليتم فانما على رسولنا البلاغ المبين
@bashkamohamed40156 ай бұрын
MashaAllah Ramadan
@ChristinaCharles-py1ct6 ай бұрын
Mungu akubariki Kwa kuuweka ukweli wazi.
@charlesopudo71926 ай бұрын
Nendeni mukahubirie waaislam wenzenu, achana na waikristo. Mungu ndiyo muamuzi.
@Fabgenius046 ай бұрын
ALLAH ATAKUJAALIA JANNATUL FIRDAUS AL U3LYAA IN SHAA ALLAH.
@rithapuran58356 ай бұрын
ALLAH AKBAR ❤❤❤
@parinshii18986 ай бұрын
Hakuna dini inapeleka mtu mbinguni, matendo yako ndio itakupeleka...
@ngurukitv45846 ай бұрын
Good job bro ❤❤❤🎉
@StraightPathDawah
6 ай бұрын
🥳
@Ukhtyzuhura6 ай бұрын
Amiin YaRabb
@obedkalinga97046 ай бұрын
hamjui kitu nyie waislamu, ibada/kuabudu na kuomba ni vitu viwili tofauti, jifundisheni kwanza ndio mje kuhoji na tafuteni wenye elimu.
@ammielvictorykirango28876 ай бұрын
Wewe Yesu ni Mwana wa Mungu...
@khuzeimaabdul4275
6 ай бұрын
Labda mungu wako ndy anazaa maana wa ukweli hana mshirika na hawezi kuzaa anajua kuumba
@mubariekabrahams26506 ай бұрын
Mimi niko cape town. Na nilikuwa na hitaji kile kitabu
@ammielvictorykirango28876 ай бұрын
Usimlinganishe Yesu na mtume yeyotee, unakosea sana kusema Yesu ni mtume, yaani ni heri mkubali Yesu ni Mwana wa Mungu alafu usimkute kwenye wadhifa huoo kuliko kumshusha alafu ukamkuta ndio Mungu, na ni mhukumu, kiukweli utajuta sanaa wewe ndugu
@salimmohammedmwazecha4169
3 ай бұрын
Kwa lipi yesu ndo awe Bora kama si mtume tu unastaajabu ya yesu kuzaliwa na maryam bikira je Adam mtu wa kwanza naye je tumuite ni mtoto wa mungu au mungu pia Kila Allah analolitaka akisema jambo kuwa lina kuwa hapo hapo
@Sal.06 ай бұрын
Huyu Jatelo,wa shati Yellow, ni MRONGO na kichwa haiko sawa! Ako na Ma PEPO wachafu, wale wale katika Mark 3:11, ambao PIA wali kuwa wanam ita yesu, 'mwana wa mungu'…! Peleka huyu OMERA Wazimu, straight to MATHARE Hospital!
@suhailmasoud78916 ай бұрын
mashallah
@Protin.6 ай бұрын
❤🎉
@habibasalim30926 ай бұрын
Tena basi huyu mwenye akasema yesu alisulubiwa si ndie anaemshusha thamani yesu kwasababu anadaisha alisulubiwa, na hapa tunampa cheo ya kwamba hajasulubiwa
@cindymorgan87656 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@flm1530
6 ай бұрын
Pamoja na alahu akubar yako usipookoka na kumfwata YESU kuzimu ya Moto inakusubiri
@oromiyaajittu71886 ай бұрын
❤
@josephlorri4316 ай бұрын
Kwa nini waislamu wanahangaika sana na Ukristo? Lakini Wakristo hawana habari nao,wanaendelea na mambo yao... kwa nini waislamu hawajiamini na imani yao,wasimame wao bila kuhusisha imani nyingine.. hivi Wakristo wakiamua kujibu huu uwongo wao,itakuwaje..
@abubakarishame2624
6 ай бұрын
Islam ipo kwa ajili ya kutangaza haki( ukweli) ili kwenye ukweli ufuatwe na si vinginevyo. Nakama utajifunza kwa undani zaidi bila kubishana utajua ukweli.
@josephlorri431
6 ай бұрын
@@abubakarishame2624 matendo na maneno yenu ni tofauti..mahubiri yenu ni chuki,matukano na kufarakanisha jamii....mataifa mengi ya kiislam wanakimbilia ulaya kutafuta hifadhi sababu ya vita, maonevu,ubaguzi uliokithiri katika nchi zao...badilikeni,kubalini ukweli
@RahamaMohamed-nv1bm
6 ай бұрын
@@abubakarishame2624 ukweli Gani hata mtume wao akifa lisema hajui kwenye hana enda mta mfata aje mtu mwenye yeye mwenyewe hajui kwenye hana enda 🤣🤣🤣
@essanda16 ай бұрын
asalaam alaykum,naweza pata bibilia kama hiyo?. mnafanya kazi nzuri.
@adammjomba58146 ай бұрын
Nyinyi Wasilamu msitusumbue Christmas ni Siku ya kuzaliwa Yesu kristo alie hai. ( 25/12/ Miaka 2000 Iliyopita.,msituguse ktk Hilo, kila kitu mnataka Kutupangia , 😂 ,Yesu amezaliwa kimiujiza kwahiyo anaweza kuzaliwa chini ya miezi 9 yani kivyovyote anaweza zaliwa. Acheni kutusumbua wasilamu. Mnatafu ugovi na sisi big up Christmas 2023
@rahmaabdalla7643
6 ай бұрын
Toa andiko basi ,
@salimmohammedmwazecha4169
3 ай бұрын
😂Soma vitabu Ama soma Quran kwani whats special kwa yesu hata adam aliletwa bila Mama wala Baba
@odilomwemeziernest6466 ай бұрын
Yesu asifiweeee,sasa kwa aya hiyo aliyosoma mnafeli wapi kumwamini Yesu
@khuzeimaabdul4275
6 ай бұрын
Tunaamini yesu ni nabii wa mungu ila shda yenu munamuamini ni mungu hapo ndipo mmepotea.wapi yesu alisema yy ni mungu?andiko hatutaki porojo
@user-xi6iv4hl5p6 ай бұрын
Aki napenda sana hii daawah
@rashidgona18086 ай бұрын
Alafu ikifika wakati wa maulid shekh utoe aya wapi mnaruhusa kusherehekea kuzaliwa kwa Muhammad ili muache unafiki
@raymondsekabigwa59076 ай бұрын
Poleni Sana msojua maandiko na kudanganywa.ilishuka usiku lini, wapi just stories
@NyanjeMwalimu-qy5ug6 ай бұрын
Huyu jamaa anajifanya sana kuhoji watu ambao hawajui maandiko vizuri kwanini usimtafute pastor ndacha ueke hio mada kama kwli unajiamini😅😅
@sarahshamala90936 ай бұрын
Bibilia haihalalishi, bibilia. Hapo mumethibitisha visawa. However, wakulao na kulewa si wenye imani.
Пікірлер: 327
Haki ya Mungu... Brother Ramadhani mnakabiliana na mambo mengi....na vichekesho lakini we will surely support these DAWAH TEAM Everyday, Every Night...
@Ukhtyzuhura
6 ай бұрын
haki una subra sana kaka Ramadhan Kuria dah kuna watu vichwa ngumu wanafanya ubishi na ukweli uko wazi wazi hakika Allah awalipe kwa juhudi zenu
@sophiakassim6979
6 ай бұрын
Aamiin
Assalam aleykum sheikh Ramadhan Allah akuzidishie uzima na umri wallahi tunafaidika Sana na mafundisho.
Allah ndie mjuzi hakika Ustadh unapambana. Namuomba Allah akujalie mema ya dunia na kesho akhera akujalie pepo tukufu Biidhinilah. Allah Akbar. Idhaa Aradallah..
@Catherine-mh8sw
6 ай бұрын
Amiin
Hao wanajuwa ukweli lakini hawataki tu kuufuata ALLAH AWAONGOZE IN SHAA ALLAH
Mm napendaga sana uyu msomaji anasoma vizuri sana
MashaAllah sheikh ramadhan kwa kazi nzuri
I thought he said hana dini. Now anatetea Ukristo bila andiko. Very sad
@fatumamwalimu5765
6 ай бұрын
Wanakua hivyo, maana anajua uko ndio kuna mateka wenzie,na ndio unaona anakua kiherehere nyingi na anahangaika nakujifanya mjuaji
Allah S.W atupee sote kheri
Maashaallah tabarakallah walim wetu Allah amfanyie wepesi kueneza dini ya Allah
@MwanaIdi-db9qj
6 ай бұрын
Allahumma Aamin yarabb
Masha Allah sheikh wetu ni kuwaelimisha sana tu ili wajuwe ukweli
Asalamu Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuh Mashaa Allah, Allah Awabariki na Awazidishie Khayr Na Barkah Katika Kazi Mnayo Fanya, Na Rehma Na Amani Zimfikie Mtume Muhammad
@StraightPathDawah
6 ай бұрын
اللهم صل وسلم عليه وعلى آله وصحبه وسلم
Allah atakulipa ujira wako ustadh kwa kuwafundisha watu neno la Allah na kuwapa uongofu,kazi yako tayari umeshaifanya,,,,, Mungu atakulipa ujira uliokuwa mwema wenye kheri na wewe,,,, inshalla Amiin....
Wallahi sheikh ramadhan muko na kazi ngumu kulinganiya dini ya haki ya islam hawa wenzetu wa kushoto ni wabishiii sana!!! Allah azidi kuwapa nguvu na fahmu na uwezo kulinganiya dini hii haq
Allah awahifadhi masheikh wetu
Masha Allah sheikh Ramadhan salamu zimfikie msomaji wako anasma vizuri
Sheikh ramdhn Allah akuhifadhi na akulinde na macho ya adui .... nakupenda kwa ajili ya Allah
Allah Akbar, so big proud islamic Dawah
MashaAllah Akhii Ramadhan Allah awape Afya na umri muzidi kueneza qalima ya lailaha ila Allah Muhammad RasuluAllah 9:29
Masha Allah shukran jazeelan sheikh ramadha kuria somo zuri sana
MashaAllah tabarakallah.leo nimepata kusikiza hii mjadala.Allah awape nguvu na subra kwani hii kazi ni mgumu sana.si rahisi kushawishi watu kuingia kwènye dini ya haki
Total confusion Wakristo kila pahala. They can’t even agree on themselves.
Maa shaa Allah ustadh,kazi njema munaifanya kwa kweli.Mola awajaze mema na awabariki.
Mashaa-Allah Allah awahifadhi wahadhiri wetu
I salute pastor Ndacha. Huu ujunga unaoongea ushakatazwa na Ndacha. Leo amepatana na wanyonge..I kindly request our Christians to read the bible and listen to BND
@Alithoya-qr7di
6 ай бұрын
Soma maandiko acha kufata mtu ety ndacha, ndacha ndio Nani yeye mwenyewe maandiko hajui
"Never will God lead people a stray untill it has been blacklisted what they should avoid " GOD IS ONE ! Qul: hu Allahu Ahad 😮 Muslim guy is warned Quran verse:- 2-42 & 109-3
Maa Shaa Allah MUNGU AWABARIKI
Mungu awape subra kwenye misukosuko na muwe wavumilivu kwenye safari zenu mungu atawalipa InshaAllah
Mabruk masheikh wetu kw juhudi zenu
Ma sha Allah ❤
Mashallah Sheikh Ramadhan,Allah atujalie Pepo inshallah.
MashaAllah Ustad. TabarakAllah Team, pamoja na Cameraman! Hii info fo WaKristo: Kitabu alicho PEWA Nabi ESA, kama Ma Nabi wote, lili kuwa ni KITABU KiMOJA, tuu! SIO, Four 'Gospels' za WAZUNGU, au 66 StoryBooks, za KingJames! The word 'GOSPEL' is an abbreviated form of an OLD ENGLISH Word, known as: 1) 'good spell'. And 'good spell', means, a 'good story'…! Yaani POROJO Nzuri! Kwa hivyo, neno 'GOSPEL', hata SIO Neno kamili, na SIO Holy. It is just an ordinary English abbreviated WORD, which simply means, a 'Good STORY'…! Na hicho KiTABU Ki MOJA tuu, cha INJEEL, ili andikwa katika LUGHA ya MaYAHUDI, na lugha ya ESA, cha ARAMAIC, which is an Old form of ARABIC. AND the Aramaic language, was spoken by the YAHUDIS since 750BC! Hata Nabi SULEIMAN ali kuwa ana ongea Ki ARAMAIC! Na hata QUEEN of SHEBA, ali kuwa ana ongea Ki Aramaic. BONIFUS alikuwa ana ma'anisha kama SADAKA katika Mskiti, huwa ina pewa IMAM? Answer is SADAKA, in the FIRST instance, must be given to: MaFUKARA na MASIKINI. Huyu HILARY, ni kichwa Ngumu! Haroon, HAYUKO Kanisani! CORRECTION...... QURAN HAI kuja NYUMA ya Biblia! The ENGLISH Bible, ili TUNGWA na KingJames na WaAndishi wa 46, kule ENGLAND, in 1611AD, using the Primitive OLDE ENGLISH! Therefore, the FIRST Olde English Bible, is ONLY 400 Years OLD! NA.... the SWAHILI Bible 1952, munao soma, ni COPY ya a 'VERSION', of the SAME original King James Bible, FABRICATED in 1611AD! Kwa hivyo, the Bible, or Biblos, or ANY other MZUNGU Fabrication, all came 1000yrs AFTER the HOLY QURAN! Na PAULO ali kuwa mu ANZISHI wa ROMAN Catholic teachings. Na PAULO, ali kuwa ni MuCRUSADER aliye FUKUZWA from ANTIOCH by the Mamaluks, in 1426AD. Na Kanisa la MWANZO la the ROMAN Catholic CHURCH, la ST PETERS ili jengwa, ili iweze kufuatisha mafundisho ya Mu Crusader PAULO, wa KARNE ya 14. Note. ALL of Allah's REVEALATIONS like the: TORAT, and ZABUR and INJEEL, are SINGLE BOOKS, just like the QURAN, which is just a SINGLE BOOK!
@athmanadi7391
6 ай бұрын
Brother maelezo yako ni mazuri na yana mafunzo mazuri kwa wasiolewa, unastahili kuwa muhibiri
@Sal.0
6 ай бұрын
@@athmanadi7391 JazakAllah Bro. Nina jaribu by posting, ili wanao pitia hapa, wa Elimike. Na, as a Muslims, na post Vitu ambazo nimeya Research vizuri, na ku hakikisha ni ya KWELI. Factual Research. Sisi huwa HATUNA Porojo za WaKristo. So i am glad, ume like info nilio post. Sasa, wewe, take this info, and teach others, because even some of our Daees in East Afrika, are NOT confident about the FACT, that the Bible was FABRICATED, only 400 years ago! Even though the FACTS are plain to see. Some of our Daees, who were former christians, find it especially hard to digest the fact that the English bible, is just a mere STORY BOOK! A StoryBook which was FIRST made by a GREEK MAN, called ERASMUS, and others, who had started COPYING factual HISTORICAL EVENTS from the QURAN, beginning in the late 1495s! The Translation of the QURAN in 1490s on, ENABLED the World's FIRST GREEK Biblos, to be complied in 1516, by ERASMUS the Greek, who lived in Rotterdam, using the HISTORY contained in the QURAN! After the First GREEK Biblos was made, from 1516AD onwards, as the GERMAN language developed, then subsequently OLDE ENGLISH developed by 1536, other EUROPEAN Groups, also started FABRICATING their own 'Bibles', or COLLECTIONS, which were NOT HOLY, but simple FABRICATIONS and modifications! Then in 1605AD, KingJames decided, and said : "ALL previous 'Bibles' (or collections), were "NOT to be 'trusted",( like the HENRY Bible, Bishops Bible, and Geneva Bible), and that a NEW Bible will be written! Therefore, in 1605 AD, King J, appointed 46 Writers, to MANUFACTURE or Write HIS Bible, known as the 'King James Bible', using the still PRIMITIVE language of OLDE ENGLISH. And this 1611AD K.J Bible was the FIRST Bible, to be distributed to ALL the ENGLISH Speaking Colonies, including AFRICA and USA. Therefore, the KING James Bible 1611AD, is the MASTER BIBLE of all the thousands of 'bibles' in the World TODAY. And the SWAHILI Bible of 1952, is a COPY or translation, of a VERSION of this ORIGINAL 1611AD Bible, called: The KingJames VERSION Bible, produced by the British, in 1810AD. Sawa?
@Noorein-ws8wk
6 ай бұрын
Shukran bro jazakallahu Khair
@Sal.0
6 ай бұрын
@@Noorein-ws8wk Waiyakum.
Mungu atusamehe tunahangaika sana na.dini.kuliko.mola.wetu
@dvjkelly8449
Ай бұрын
KABISA AKA, NA BORA WAHANGAIKE KATIKA UKWELI, ILA WANAHANGAIKA KATIKA KUPOTOSHA SANA MAANDIKO NA KUWEKA HISIA ZAO
Shukran sana mashekhe wetu, Allah akubarikini nyote, baada ya kuwaeleza kwa mujibu wa vitabu pia waeleze Kwa nini umeacha ukristo
Nime subscribe,,,unafanya kazi nzuri Allah akujaze na Allah azidi kukupa ilmu
You are right ✅ my brother. Most Christians no longer celebrate Christmas as it should be. To most, it's a time to drink beer and engage in bad sexual behavior. May God help them to understand the real meaning.
Manshallah sheikh Ramadhan Allah akubaliki.
Alhamdulillah kwa Neema ya Uislamu, kuna watu ambao vichwa vyao ni vizito, mswiba
Allah awaongoze waifuate njia ya haki
@RahamaMohamed-nv1bm
6 ай бұрын
Njia ya haki ni gani
ALLAHU AKBAR😍😍
😂😂😂😂hivi hawa wanajua wanajua wanacho kiabudu kweli 😅😅😅itafika mda mpk wanakataa maandiko daagh....Allah awaongoe🤲🤲
@annasolomon9855
6 ай бұрын
Muda upi utafika 😅😅
@NeemaSamson-ti8pc
6 ай бұрын
Nyie ndio mnajua si mnaabudu majini
MASHAALLAH
Mbarikiwe sana Sh.
Shika Imani Yako. Usijitengenezee uongo Kwa kulazimisha watu wa Imani tofauti Kwa mambo fekifeki. Mtu anajifa ya mkristo kumbe ni muislam mwenzako. Mungu HAHADHIKIWI. MSPOTOSHE WATU
@user-ij9te1ck9p
Ай бұрын
Lete hoja acha hasira
Waleykum Salaam Waramadhulillahi Wabarakatu Ustadh Ramadan
@user-su7np6sn7s
6 ай бұрын
Hao unaowasema wewe kua wanakunywa pombe Na wanaiba Sasa hao sio waislamu Ila wanajulikana kama waislamu Sasa hao wapo upande wako wewe wote nyie sio waislamu
MASHA ALLAH ❣️ ❣️ ❣️ ALLAHU AKBAR
@hamadihome-hg5oj
6 ай бұрын
ASALAMUALIKUM
@UMMYYFATMA
6 ай бұрын
@@hamadihome-hg5oj WALIKUM SALAM WARAHMATULLAH WABARAKATUH
Mi nawakubali Sana wakristo wasabato wayafuata maandiko, na hawana Christmas,coz wanasema kuwa tar 25 Dec ilikua birthday ya tamuzi mtoto wa mungu jua wa Babel. Na yasherekewa wakibandika picha ya Yesu na si Yesu, ni huyo mtoto wa upanini
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu,,, Maa Shaa Allah...hao ushaa wafoki
Masha Allah ❤
mashaAllah Allah akuhifadhi kaka kuria
Hogereni xna mkonakazi ngumu Allah awafanyie wepesi inshaaAllah
Uyu amevaa yellow hana dini mara yesu n Mungu alivaa mwili anajichanganya kwl mnkazi walim
@faudhiasaidi3669
6 ай бұрын
Amevaa mwili kama nguo😂 Amekuwa mbisha na dini hana
Maasha'Allah brother Ramadhan ALLAHU Baairk
Mwenye Enzi Mungu awape nguvu, afya muendelee kuitangaza dini ya haqi na kuwa fundisha walio potezwa na walio kuwa hawana elimu. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin
Masha Allah Masha Allah wape ujumbe Shehe Ramadhani
Alhamdhulillah 🤲
MashaALLAH
SubhannaAllah ama kweli akili zinakutu iliyoganda Allah aeaongoze katika swiratwal mustakim
Mimi ni mkristo but ukweli hakuna kurisimax but huwa twaichukua kama siku ya yesu kuzaliwa
@parinshii1898
6 ай бұрын
Ni siku tu watu wamechagua ya kusherehekea
Brow una pambana sana Allah akuzidishie afya uzidi kusonga mbele kueneza neno lake.
Bora nanyi waislam muwafungue sisi wasabato tumefundisha hawaelewi,Mungu awabariki
Masha Allah
Mashallah
Mashalla Allah ❤❤❤
Mimi ni Robert na Mimi ni mkristo,lakini naanza kuamini uislamu kweli kama yesu ni mungu basi pia natumuite yohana pia mungu juu wamezaliwa kwa njia moja nayo ni roho ama
Maashallah
Masha Allah Ramadan uko poa sana
MashaAllah
Asalamualekum warahmatulahi wabarakatu ndugu zangu samahani kama nitawakosea nauliza naomba kujuwa nikitabu Quran gani emeandikwa kuswali ni kucheza kwa sababu kila juma pili wanasema wanaswali kisha kwenye kanisa wana piga ngoma na kucheza
Mashaallah
Good job
MashaAllah hustadhi ramadhani kazinzur zaidi umewafundisha hawataki kuelewa Bado Wanalazimisha yesu ni Mungu nitabu shda kuzidi sana wasema wamuongeza andiko lakumsapoti Ili aende jikoni vizur 😂😂😂😂
Mashallha
واطيعوا الله واطيعوا الرسول فان توليتم فانما على رسولنا البلاغ المبين
MashaAllah Ramadan
Mungu akubariki Kwa kuuweka ukweli wazi.
Nendeni mukahubirie waaislam wenzenu, achana na waikristo. Mungu ndiyo muamuzi.
ALLAH ATAKUJAALIA JANNATUL FIRDAUS AL U3LYAA IN SHAA ALLAH.
ALLAH AKBAR ❤❤❤
Hakuna dini inapeleka mtu mbinguni, matendo yako ndio itakupeleka...
Good job bro ❤❤❤🎉
@StraightPathDawah
6 ай бұрын
🥳
Amiin YaRabb
hamjui kitu nyie waislamu, ibada/kuabudu na kuomba ni vitu viwili tofauti, jifundisheni kwanza ndio mje kuhoji na tafuteni wenye elimu.
Wewe Yesu ni Mwana wa Mungu...
@khuzeimaabdul4275
6 ай бұрын
Labda mungu wako ndy anazaa maana wa ukweli hana mshirika na hawezi kuzaa anajua kuumba
Mimi niko cape town. Na nilikuwa na hitaji kile kitabu
Usimlinganishe Yesu na mtume yeyotee, unakosea sana kusema Yesu ni mtume, yaani ni heri mkubali Yesu ni Mwana wa Mungu alafu usimkute kwenye wadhifa huoo kuliko kumshusha alafu ukamkuta ndio Mungu, na ni mhukumu, kiukweli utajuta sanaa wewe ndugu
@salimmohammedmwazecha4169
3 ай бұрын
Kwa lipi yesu ndo awe Bora kama si mtume tu unastaajabu ya yesu kuzaliwa na maryam bikira je Adam mtu wa kwanza naye je tumuite ni mtoto wa mungu au mungu pia Kila Allah analolitaka akisema jambo kuwa lina kuwa hapo hapo
Huyu Jatelo,wa shati Yellow, ni MRONGO na kichwa haiko sawa! Ako na Ma PEPO wachafu, wale wale katika Mark 3:11, ambao PIA wali kuwa wanam ita yesu, 'mwana wa mungu'…! Peleka huyu OMERA Wazimu, straight to MATHARE Hospital!
mashallah
❤🎉
Tena basi huyu mwenye akasema yesu alisulubiwa si ndie anaemshusha thamani yesu kwasababu anadaisha alisulubiwa, na hapa tunampa cheo ya kwamba hajasulubiwa
ALLAHU AKBAR
@flm1530
6 ай бұрын
Pamoja na alahu akubar yako usipookoka na kumfwata YESU kuzimu ya Moto inakusubiri
❤
Kwa nini waislamu wanahangaika sana na Ukristo? Lakini Wakristo hawana habari nao,wanaendelea na mambo yao... kwa nini waislamu hawajiamini na imani yao,wasimame wao bila kuhusisha imani nyingine.. hivi Wakristo wakiamua kujibu huu uwongo wao,itakuwaje..
@abubakarishame2624
6 ай бұрын
Islam ipo kwa ajili ya kutangaza haki( ukweli) ili kwenye ukweli ufuatwe na si vinginevyo. Nakama utajifunza kwa undani zaidi bila kubishana utajua ukweli.
@josephlorri431
6 ай бұрын
@@abubakarishame2624 matendo na maneno yenu ni tofauti..mahubiri yenu ni chuki,matukano na kufarakanisha jamii....mataifa mengi ya kiislam wanakimbilia ulaya kutafuta hifadhi sababu ya vita, maonevu,ubaguzi uliokithiri katika nchi zao...badilikeni,kubalini ukweli
@RahamaMohamed-nv1bm
6 ай бұрын
@@abubakarishame2624 ukweli Gani hata mtume wao akifa lisema hajui kwenye hana enda mta mfata aje mtu mwenye yeye mwenyewe hajui kwenye hana enda 🤣🤣🤣
asalaam alaykum,naweza pata bibilia kama hiyo?. mnafanya kazi nzuri.
Nyinyi Wasilamu msitusumbue Christmas ni Siku ya kuzaliwa Yesu kristo alie hai. ( 25/12/ Miaka 2000 Iliyopita.,msituguse ktk Hilo, kila kitu mnataka Kutupangia , 😂 ,Yesu amezaliwa kimiujiza kwahiyo anaweza kuzaliwa chini ya miezi 9 yani kivyovyote anaweza zaliwa. Acheni kutusumbua wasilamu. Mnatafu ugovi na sisi big up Christmas 2023
@rahmaabdalla7643
6 ай бұрын
Toa andiko basi ,
@salimmohammedmwazecha4169
3 ай бұрын
😂Soma vitabu Ama soma Quran kwani whats special kwa yesu hata adam aliletwa bila Mama wala Baba
Yesu asifiweeee,sasa kwa aya hiyo aliyosoma mnafeli wapi kumwamini Yesu
@khuzeimaabdul4275
6 ай бұрын
Tunaamini yesu ni nabii wa mungu ila shda yenu munamuamini ni mungu hapo ndipo mmepotea.wapi yesu alisema yy ni mungu?andiko hatutaki porojo
Aki napenda sana hii daawah
Alafu ikifika wakati wa maulid shekh utoe aya wapi mnaruhusa kusherehekea kuzaliwa kwa Muhammad ili muache unafiki
Poleni Sana msojua maandiko na kudanganywa.ilishuka usiku lini, wapi just stories
Huyu jamaa anajifanya sana kuhoji watu ambao hawajui maandiko vizuri kwanini usimtafute pastor ndacha ueke hio mada kama kwli unajiamini😅😅
Bibilia haihalalishi, bibilia. Hapo mumethibitisha visawa. However, wakulao na kulewa si wenye imani.