Je kama mtu sio muisilamu mwisho ataenda wapi ukweli wafichuka kimeeleweka vinzuri
Жүктеу.....
Пікірлер: 75
@rahmaabdalla7643
Huyu kijana wa red salimu ,kazi yake nikusumbua hata ile side ya Eslaigh huwa anafukuzwa saa hii amefika huku na maswali ya Mungu ni mwanaume.Allah amuongoze
@Noorein-ws8wk
Wa mwanzo leo nimefurahii
@user-us6ox1xl1u
Huyo dogo WA red n chizi ati ISsa n kiumbe wakwandza duniani
@suleymanali431
asalamu aleykum warahmatulahi wa wa barakatu niko hapa chonjo mashaalah naongojea sana video yenu
@Fumokale
Allah awajaalie kila la khairi ktk kazi nzuri munao fanya na Allah awajaalie IKHLAS...aaaminaaa
@user-ng1po1dh4z
Achana na huyo kijana, huwenda ana kasoro kichwani
@hassanimouigni6648
Jamaa kaleta mpya yesu kazaliwa kabla ya mamake
@mwangimuhammad-sx9hb
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... Maa Shaa Allah...Allah awahifadhi nyote na awalalipe jannatul firdaus,,Huwa nafurahia mafunzo yenu.
@Leo-xc1nh
😅😅😅 daawah nikazi nzito kabisa musiwe musiwemukichukuwa muda murefu kwawatu kama hawo kama hawo
@mwanaidiissa10
Nimewahi mashallah Allah awalipe janna
@samxx411
Sheikh Salim nimemsoma huyo red jacket yupo kiubishi zaidi, hajui ikisha anajifanya anajuwa lakini hajui na hataki kujuwa ila time waster...
@samxx411
Sheikh salim wakati mwengine hao wote wanakuwa kitu kimoja lengo lao ni kuharibu mkutano kwa kupoteza muda.
@isaa_ogutu
Jamaa hachemuka kwa kutolewa bibilia😂😂😂😂
@SalumNyanza
Mashaallah Allah awalipe masheh wetu kwa kazi kubwa mnayoifanya
Пікірлер: 75
Huyu kijana wa red salimu ,kazi yake nikusumbua hata ile side ya Eslaigh huwa anafukuzwa saa hii amefika huku na maswali ya Mungu ni mwanaume.Allah amuongoze
Wa mwanzo leo nimefurahii
Huyo dogo WA red n chizi ati ISsa n kiumbe wakwandza duniani
asalamu aleykum warahmatulahi wa wa barakatu niko hapa chonjo mashaalah naongojea sana video yenu
Allah awajaalie kila la khairi ktk kazi nzuri munao fanya na Allah awajaalie IKHLAS...aaaminaaa
Achana na huyo kijana, huwenda ana kasoro kichwani
Jamaa kaleta mpya yesu kazaliwa kabla ya mamake
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... Maa Shaa Allah...Allah awahifadhi nyote na awalalipe jannatul firdaus,,Huwa nafurahia mafunzo yenu.
😅😅😅 daawah nikazi nzito kabisa musiwe musiwemukichukuwa muda murefu kwawatu kama hawo kama hawo
Nimewahi mashallah Allah awalipe janna
Sheikh Salim nimemsoma huyo red jacket yupo kiubishi zaidi, hajui ikisha anajifanya anajuwa lakini hajui na hataki kujuwa ila time waster...
Sheikh salim wakati mwengine hao wote wanakuwa kitu kimoja lengo lao ni kuharibu mkutano kwa kupoteza muda.
Jamaa hachemuka kwa kutolewa bibilia😂😂😂😂
Mashaallah Allah awalipe masheh wetu kwa kazi kubwa mnayoifanya
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
Barikiweni
Waaleykumusalama
AAWWABARAKATU Hamjambo nyote waumini wa
Wuyu kiboko mungu na yesu wame Mumba adamu
MashAllah MashAllah MashAllah