Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

"Waite watu katika njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora..."

(An-Nahl, 16:125)

Пікірлер

  • @patrickndichu3905
    @patrickndichu39057 сағат бұрын

    Huu upumbavu wa kulinganisha imani mtaacha lini...Mtu akae na imani yake...Mungu mwenyewe ndiye atatendea kila nafsi hukumu yake.

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt11 сағат бұрын

    Nyie Eti.huyo.akheraninani.🤣🤣🤣SubhanaAllah..hatari alifiria..sijui.nini.kah

  • @peterthuo1404
    @peterthuo140411 сағат бұрын

    Yaani😢 I can't believe wakristo wanakuanga wamechanganyikiwa hivo😂

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid815 сағат бұрын

    Maashaallah karibu kwenye dini ya kweli na haki nduguangu

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga197217 сағат бұрын

    Ngojea yesu kristo katika hukumu yake

  • @1Lukorito
    @1Lukorito18 сағат бұрын

    Read the bible too

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9dКүн бұрын

    Asalam alaykum 🤲🤲🤲☝️😊

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi1255Күн бұрын

    Ramadan. Unge unyesha when İbrahim aw. Wakati ana sema. Ini awalan. Musliman kuwa babake

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi1255Күн бұрын

    Ramadan Asalamu aleykum . Huyo kei ume kutana ni. İblisi.

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mwКүн бұрын

    Mashaallah Mashaallah 🙏🙏

  • @mohamedwabwireomar1156
    @mohamedwabwireomar1156Күн бұрын

    Allah awabariki

  • @AlIrshaad-j
    @AlIrshaad-jКүн бұрын

    Allah awahifadhi nyoote

  • @user-to4mj3di9m
    @user-to4mj3di9mКүн бұрын

    ALLAHU AKBAR ❤

  • @ibruzah001
    @ibruzah0012 күн бұрын

    Mashaa Allah Tabarakallah ❤❤

  • @Inagole4233
    @Inagole42332 күн бұрын

    Hats kuna wakiristo wanaoituwa Jesus Kama Mchesaji maarufu Wa mpira Gabriel Jesuus,

  • @benwambua902
    @benwambua9022 күн бұрын

    Kuria is a kikuyu name,kikuyus believed that their Supreme creator lived in Mount Kenya, this man should focus on his culture rather than going around with the name Mohammed, shouting everywhere to people, we should go back to our roots Africans

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d2 күн бұрын

    Asalam alaykum ❤❤

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro65332 күн бұрын

    Ramadhan huez hii mada

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d2 күн бұрын

    🙏🙏🙏🤲❤️❤️

  • @shamimnorah9156
    @shamimnorah91562 күн бұрын

    Masha Allah Allah bless you ❤

  • @abdallasuleiman8785
    @abdallasuleiman87852 күн бұрын

    The guy with a blue jacket is not ready to learn.

  • @davidjuma3440
    @davidjuma34402 күн бұрын

    @ Ramadhan Kuria mbona katika mafundisho yenyu uwanjani sijawai kuona siku hata moja ukikubalia mkristo ashike Quran na kujisomea mwenyewe

  • @hassanadam3007
    @hassanadam30072 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤assalam aleiykum wr wb brothers masha Allah kazi poa Allah Awalipie jazzakallahu kayri

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z2 күн бұрын

    Pole Sheikh, hayo majamaa(Makafiri) huwa ni mabisha tu, kwa kila jambo, ukimuona wa hivyo, ujue hataki kujifunza. Achana naye huyo.

  • @FatwimaZahrau
    @FatwimaZahrau2 күн бұрын

    ❤mashaLLAH

  • @salimbilali5174
    @salimbilali51742 күн бұрын

    Uyo ni pastor wa mchongo....😂😂😂😂anatwist maneno Hana points

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga46062 күн бұрын

    Maustadh hawanaga elimu eti baali yesu ni mtoto wa yesu ujinga kabisa

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi12552 күн бұрын

    Shida yaa wa ndugu zetu wa kiristi wana tetrta kitu hawaja fahamu . Religion not only faith must have a proof Islam is faith and proof

  • @saudaumar3354
    @saudaumar33543 күн бұрын

    Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah

  • @user-fc6uf6be5u
    @user-fc6uf6be5u3 күн бұрын

    😂😂😂 subhana Allah yaani binadamu kazaaa Mungu wawakristo daaaa

  • @mamprince3667
    @mamprince36673 күн бұрын

    Takbir

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6f3 күн бұрын

    Allah Akbar ❤❤❤

  • @asriyaaljabry27
    @asriyaaljabry273 күн бұрын

    ما شاء الله

  • @dominicwafula3997
    @dominicwafula39973 күн бұрын

    Sheikh Abbas amenikosha sana alipo wafunga kwa kuwauliza sai yesu upo wapi na tena kma nani nilingoja swali hilo sana mpaka raha MashaAllah😂😊

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6f3 күн бұрын

    Mashallah amekuwa na furah inshallah amani Amani inshallah

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r3 күн бұрын

    Ile siku atakapojua majini ni waislam atatoka mbio🏃

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4quКүн бұрын

    Kwani majini yakiwa waislam shida Iko wapi

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6rКүн бұрын

    @@Hussein-gx4qu kwani hujui majini ni mbaya?

  • @HassanKipyego-cs5ff
    @HassanKipyego-cs5ff3 күн бұрын

    Aslm alkm.sheigh ramathan mimi naomba mngekua mnatafuta viti na meza .mkifanya mahojiano mwenye swali anakaa chini kama vile muhadhara.hapo vip

  • @azizashiundu5778
    @azizashiundu57783 күн бұрын

    TAkbir

  • @daslamonline4665
    @daslamonline46653 күн бұрын

    Sheikh Ramadhan allha akupe umri na afya njema

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6f3 күн бұрын

    Ameen Ameen ya Rabi Ameen

  • @kennedyodhiambo8049
    @kennedyodhiambo80493 күн бұрын

    Hii dini inayodaiwa ni ya haki ina siri nyingi sana hadi mtu akitoka amkubali Yesu Kristo anatafutwa auliwe. Wakristo wanaslimu bila tisho na uwoga lakini muislamu kama Sheikh Ramadhan akiamua kumpokea Yesu Kristo itabidi ajifiche kwa sababu hawezi kuishi kwa amani. Nawaulizeni ndugu zangu hii ni dini ya haki ama ni secret society!!!

  • @rizikiali328
    @rizikiali3283 күн бұрын

    Hakuna kulazimishana dini Qur'an inasema na a nae uwa mtu kwakuacha uislamu sio sawa

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi12063 күн бұрын

    Hayafahamu wa naambiwa mwana wa malyam wanrudia mwana wa mungu astaghafilullah maskini unawaonea huruma maskini moto unawasubiri kumsingizia mungu na Hali yee ndo muumba wetu na dunia na aheraaa

  • @Natashaamina-u7w
    @Natashaamina-u7w3 күн бұрын

    Mashallah mubalikiwe

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz15033 күн бұрын

    Assalam Alleykum Warakhmatu-LLAH Wabarakathu. ❤Mashaa ALLAH ❤ Kaka yetu amesilimu Alhamdhuli-LLAH. Hakika ameshika kishiko kilicho madhubuti na Njia iliyo Nyooka, Ila KAZI BADO. Maadamu ameamua kufuata dini, basi hii ni SEHEMU YA KIROHO. UISLAM NI MFUMO KAMILI WA MAISHA💯. Hivyo basi Ni muongozo katika Kila nyanja ya maisha. KAMA ULIVYO UISLAM NA MUONGOZO WA IBADA ZA KIROHO, NDIVYO ULIVYO KATIKA SIASA #khilafah . ❗SASA AWACHANE NA SIASA ZA KIKAFIRI #democracy ❗ DEMOCRACY NI MFUMO WA 👹KIKAFIRI👹:, NI HARAMU KUUPOKEA,NI HARAMU KUUTABIKISHA AMA KUUFANYIA ULINGANIZI(campaign). Sasa imebaki aongozwe na kuonyeshwa jukumu lake la KULINGANA kurudi kwa SAITWARA YA UISLAM #khilafah, ili upate kuhukumu kwa aliyoteremsha ALLAH TAALAH na Ar'Rasool. #KhilafahIsTheAnswer #democracyIsKufr #ArmiesToAqsa #WorkForChange #WorkForPeace #WorkForKhilafah

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1iz3 күн бұрын

    Mnaslamisha walevi online surely kinyume na mtume wenu .......why ??

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1iz3 күн бұрын

    Asante wakristu wenye nimeona mnasimamia ukweli. Swali langu, MBONA MUISLAMU HAONGELELEI YESU KWA ROHO KABLA YA KUZALIWA NA MARIAM ALIPOFANYIKA MWILI ????

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1iz3 күн бұрын

    Nimeudhika sana waislamu kudanganya wakristu juu lengo lao waslim. Hii Jacaranda one i will invite this guy Ramadhan. In the Bible God says Jesus is my son and also kuna mahali Yesu anakilri ya kwamba yeye ndiye masihi. Surely waislamu maswali yenu kwangu ni 15 tu na yakizidi ni 16 na nitakujibu cash. Again, wacha kusoma haya nusu nusu juu hata Ndacha pia nimerudia kumwambia c vizuri kukata kurani kabla tupate mkudhata halisi. Ramadhani uko na kitabu on launch saa hii please i want to know ni kipi kigeni umeandika ndapo mbali na huo uongo uneaebdelea kudanganya innocent people. Rafiki yangu please nyenyekea kwa ukweli wacha kubeba uislamu kujificha please. Fundisha ukweli vile mm pia niko na msinamo wa kukosoa Ndacha mahali

  • @mutomubaya
    @mutomubaya3 күн бұрын

    Pongezi sana Ahmed Darwesh. Allah ndiye pekee Mola wa Ulimwengu. Tukimuabudu hakika atatujibu Dua. Sasa jiunge na Madrasa inayofundisha TAWHID na FIQH na Kusoma Qur'an nk. Uweke bidii masomoni utaona matunda ya haraka urashangaa

  • @mohamednurmohamed8812
    @mohamednurmohamed88123 күн бұрын

    Mash ALLAH alhamdulilah ❤❤❤

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem44583 күн бұрын

    Huyo alio vaa blue ame tumwa kuvuruga muhadhara musimpe chance tena kupoteza wakati

  • @halinishibakari5402
    @halinishibakari54023 күн бұрын

    MashaAllah Allah akufungulie bro welcome

  • @mohammededy7086
    @mohammededy70863 күн бұрын

    wapo kubishana ao wakiristo