Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya Straight Path Dawah. @StraightPathDawah ni dawah popote wakati wowote.
Жүктеу.....
Пікірлер: 117
@mwanaidiissa103 ай бұрын
Mic u shekhe Ramadan Allah akupe umri upate kuwalingania na kujaalie pepo inshallah
@Fumokale3 ай бұрын
Nawapenda kwa ajli ya Allah na nawaombea IKHLAS pamoja na kujiombea nafsi yangu...aaaminaaa
@ismaelodemo25393 ай бұрын
Khalif juma my good friend Allah awajalie ❤
@user-ie7yt9db6f3 ай бұрын
Masai tafadhali rungu Hilo na sheikh wetu ❤❤❤❤Allah akulinde na akupe umri mrefu tunawapenda nyote kwa ajili ya Allah❤❤❤❤
@musalumbi8490
3 ай бұрын
🤣🤣🤣
@maymunamakungu6265
Ай бұрын
😂😂😂
@user-rc7oi2hp8l3 ай бұрын
Maustadh wetu Allah amzidishie juhudi zenu. Nampenda saana kw ajili y Allah
@gabbylupittatv56073 ай бұрын
Mwalimu kazi mzuri sana ALLAH aendelea kukupea maisha malefu
@mubariekabrahams26503 ай бұрын
Assalam aleykum sheikh Ramadhan. Allah awabarik inshaallah Awalinde na mitihani ya maradhi nyinyi na familia zenu inshaallahu amin.
@abdirizakali62233 ай бұрын
اللهم صل وسلم وبارك على نبينا محمد صلى الله عليه وسلم
@user-du2fy5sd5u3 ай бұрын
MashaAllah TabarakahAllah
@SmilingGazingIguana-nb7dy3 ай бұрын
Masha Allah Sheikh Ramadan Jizaaka Allah
@user-ng1po1dh4z3 ай бұрын
Alhamdulillah🤲, Nyie Masheikh mnaoelimisha Da'awa, kuelimisha waliopotezwa na Wachungaji. "SIDHANI KAMA WANGELIKUWEPO WANAOJIITA WAKRISTO." Inshallah, nina imani wengi wataelewa ukweli.
@salmaminja77143 ай бұрын
Mashallah Ustadh mie nakuombea maisha marf yasiyo na vikwazo kwn hakika unaitangaza dini ya khaq. Allah akulinde na awape pepo yke maridhawa. Idhaa Aradallah.
@kassimjuma61513 ай бұрын
Huyu Mswahili wa Pemba atakuwa vizuri sana inshaallah
@faudhiasaidi36693 ай бұрын
Maa shaa Allah ❤❤
@KhamisJuma-ni1vk3 ай бұрын
Masha Allah Sheikh Ramadhani Nawengine Allah. Atujalie
@xogmalxarandid93693 ай бұрын
Please nawaomba wakiristo na wale hawana dini msilimu mapema na mapema mungu hakuleta dunia dini mbili dini ni uislamu tu ambayo mitume wote wame fuata na wame hubiri kwanzia Nabi adamu noho Musa yesu daudi Ibrahim Mohamed Suleimani na wengine wote na hiyo dini nyingine yote niyakutengeneza
@kennodhiambo
3 ай бұрын
Ahadi gani ziko katika kuslimu hebu tuelezee. Manabii kuwa waislamu ina umuhimu gani!!! Wewe uko na uhakika utaenda Janah?
@dulividuli5237
3 ай бұрын
@@kennodhiamboUmhimu upo mkubwa tu maana Uislamu ndo Tiketi yako ya Kukuingiza wa Peponi bila ya Uislamu pepo hutaiskia hata harufu. "Na anayetafuta Dini isiyokuwa Uislamu haitakubaliwa kwake.Naye Akhera atakuwa katika waliokula Khasara"(85:3) Qur'an.
@peternyaga-jh7zb
3 ай бұрын
Hakuna dini duniani ya mungu ni za watu kwanza dini n nini na nani alianzisha
@dulividuli5237
3 ай бұрын
@@peternyaga-jh7zb kwaiyo ww hauna Dini?
@dvjkelly8449
2 ай бұрын
pia nyinyi mujoin kristo, Mungu hakuleta kristo mbili, kristo ni Mmoja tu
@batulialmass89143 ай бұрын
Masha Allah
@KautharHersi-em5oy2 ай бұрын
Mashallah Allah aweunge mikono inshaallah mwalimu wetu
@abdallahazizi9993 ай бұрын
Naomba Mwenyezi Mungu awalipe kilalaheri ❤❤
@salimmashjary80283 ай бұрын
Ustadh ramadhan unawapa nafasi.kubwa hao kuongeya mambo hayapo kwenye vitabu. kulingana na vitabu.yani you give them winning very easly.
@StraightPathDawah
3 ай бұрын
We are there to convey the message through dialogue not to compel them. Alhamdulillah the outcome is very good
@kennodhiambo
3 ай бұрын
@@StraightPathDawah Which message??? That Jesus and the prophets were Muslims!! How does that help me? Please share the promises that Allah gives to His people and the beauty of Islam. Respect other peoples' faith and religion but try to convince them with facts not pure lies. No Christian can believe that Jesus was a Muslim and so change the tactics. A free advice sir, in order to win them to Islam state the benefits of Islam not humility to God but the promises and assurances of Salvation, Forgiveness of Sins, Eternal love of God, Victory over Satan and the pleasures of the world etc. Take this advice and you will excel in your quest to spread Islam. If even Prophet Muhammad (PBUH) have any assurance then you labor for nothing my brothers Surah 46:9 Say, “I am not the first messenger ever sent, nor do I know what will happen to me or you. I only follow what is revealed to me. And I am only sent with a clear warning.” At least our Lord, Jesus Christ assures us of a place in heaven John 14:1-3 "Let not your hearts be troubled; believe in God, believe also in me. In my Father's house are many rooms; if it were not so, would I have told you that I go to prepare a place for you? And when I go and prepare a place for you, I will come again and will take you to myself, that where I am you may be also
@salimmashjary8028
3 ай бұрын
@@StraightPathDawah its ok i undarstand ur right but atleast sometime give them quastion mark !!!!.
@BAUCHADAAWAH3 ай бұрын
kuna mmoja alimwambia mwenzake ( yesu anakupenda ) jibu la alieambiwa akajibu mwambie mimi nishaoa 😮😮😮😮
@issadiinmoulid
3 ай бұрын
😅
@hythamhashiem44583 ай бұрын
Huyo mzee William maneno mengi wala hatoi Ayah hata moja husema iko kwa bibilia wala hatoi
Kazi maridhawa, Allah awazidishie Kila lililo la kher, Aamin.
@faridbashuu3 ай бұрын
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh ? Mulikuwa Masjid Al Huda Maashallah. Msikiti niupendao Sana na Ust Mbarak Ahmed Awes. Ramadhan Kuria Allah Awahifadhi nyote
@bazibaker79863 ай бұрын
Asalaam aleykum yaa sheikh Ramadan mungu akupe afya na long life ku fanya kazi hiyi
@ChibuleSaid3 ай бұрын
Mashaala shehe Ramadhan mwenyezi Mungu akueke .
@ericmoriasi94763 ай бұрын
I live in the United States 🇺🇸 can I silimu online
@kassimngao2282
3 ай бұрын
Yes bro...❤
@batulialmass8914
3 ай бұрын
Yes
@StraightPathDawah
3 ай бұрын
Yes it's possible
@zanzibar-hf7vh
3 ай бұрын
yes you can
@user-ng1po1dh4z
3 ай бұрын
Yes you can do it, or👉 try to find any Mosque in America, and ask Any Sheikh he will make Shahada ☝to you. "It will take, not more than 15 minutes only. Well come to Islaam.
@user-ex4rk2yx4s3 ай бұрын
Ma sha Allah
@MohamedElmi-zf4tx3 ай бұрын
Mashaallah ramadhan kuria jazahullahu kheir.
@husseinmwenja43983 ай бұрын
MashAllah MashAllah MashAllah kaka Ramma ❤
@mohdngenyamohdngenya5503 ай бұрын
MashaAllah 53:15
@user-jj6sd8me9k3 ай бұрын
MswAhili wa pemba ,na shekb ramadhani ktk kazi hii ya daawa innshaalah tupo nyuma yenu
@saediyaofarah67503 ай бұрын
Mashalah
@saidmaro98343 ай бұрын
Mashaallah Allah awape wepesi Inshaallah
@Noorein-ws8wk3 ай бұрын
ALLAHU AKBAR ❤
@Leo-xc1nh3 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤
@softymoha54843 ай бұрын
assalam aleikuym warahmatullah...wabarakatuh...seikh huyo mtu anakudanganya,, Catholic huwa hawasujudu
@user-tl6bc5cv9s3 ай бұрын
Kazi mzuri sana shehe❤
@maryammdoe58013 ай бұрын
Barakallahu fiiqum ❤
@jumamsembe12133 ай бұрын
ASSalam aleikum warahmatullah wabarakatu ...hapa kenya wakristo wengi wanashindwa kuelewa mandiko kwanza kabisa sababu ya lugha ya kiswahili..pili ni kwamba hawajasoma mandiko kwenye kitabu chao..kwa mfano mtu hajui maana ya pepo au jini ..Allah awaongeze
@user-tl6bc5cv9s3 ай бұрын
Kazi mzuri sana shehe
@jamilaomari24443 ай бұрын
MashaAllah.
@osmanelmi28493 ай бұрын
Mashaallh iko sawa indeleya
@fatmaali67803 ай бұрын
MashaAllah natamani Kila siku iwe na dawaa mpya sipati usingizi mpaka niangalie
@user-rf7wx7og6t3 ай бұрын
Mashalla ❤
@yassiinabdi38073 ай бұрын
بسم لله ما شاء الله
@loner_wolf2 ай бұрын
hamnaga love ya jinsia tofauti na si mama na mtoto....acheni michezo bana .....
@user-nu8oj1dp3e3 ай бұрын
ماسا ءالله
@josemu8703 ай бұрын
Allahamdulillah
@hythamhashiem44583 ай бұрын
1) ما تأمر به الوصية الأولى: نص الوصية: “أنا الرب إلهك، الذي أخرجك من أرض مصر، من دار العبودية. لا يكن لك آلهة أخرى سواي. لا تصنع لك تمثالاً منحوتاً، ولا صورة، مما في السماء من فوق، وما في الأرض من أسفل، وما في الماء من تحت الأرض. لا تسجد لها ولا تعبدها” (تثنية 6:5-9).
@isaa_ogutu3 ай бұрын
Huyu samweli kuelewa kwake ni ngumu sana
@salhkasmm5583 ай бұрын
Acha kututusi tulozaliwa mwanzo ndani ya familia za kiislam si kweli.
Endelea kutoa taaluma shekh wetu na Allah atakusaidia kwa uwezo wako. Lakini inaonekana hawa wakristo hata uwaonyeshe kio hukiri kuwa ni kio lakini hapo hapo husema ni biskuti. Jamani hawa wameshikwa na shetani gani!!
@IsmailAbubakar-gh1zb3 ай бұрын
Assalamu alaikum haki kujeni huku Obama omega kayole junction
@fatumahamisi16043 ай бұрын
We Ramadhani hilo rungu mbona sije likaja husoni jamani
@kassimmbwana90252 ай бұрын
Jamaa kachafua hali ya hewa😢
@kassimjuma61513 ай бұрын
Huyu ni Mswahili wa Pemba gani
@molee2339
3 ай бұрын
Pemba ilioko Lake Victoria, aliye chokora Ustad Kuria.
@nasramusaro3 ай бұрын
Mmmmh mtu muongo huyo
@Sal.03 ай бұрын
Ai, Omera, ako na Propaganda NYINGI! OMERA, hii mambo yaku towa Watoto KAFARA, ni MTINDO ya WaKristo, khususan WaNigeria! ISLAM FORBIDS and therefore haina hio MAMBO yaku taka ku tajirika kwa SHIRK, na UCHAWI CHAFU wanao tenda WaKristo. Islam has RULES that have been WRITTEN down, as a 'FIREWALL' against SHIRK, ULEWI, ZINA, UCHAWI, KAMARI, INTEREST, and UCHAFU mengine ambao ni Common Non Muslims! SIO Hindu pekee wana Multiple gods! Hata Wa GREEK wali kuwa na Multiple gods, NA goddeses! Kama: Artemis, Athena, Ares, Aphrodite, Zeus, Poseidon, Hera, Demeter, Hermes, Dionysus, na Apollo, etc. Na Emperor CONSTANTINE considered himself as 'Apollo the Sun god'! Esther Ame sema Yesu ali vaa KIRAKA ! Hio Kali!😅😅 Alhamdulillah for Ney'ema za Islam! MashaAllah, beautiful Mosque! TabarakAllah Team.
@kennodhiambo
3 ай бұрын
Do you read the Quran really! Chapter 72 talks about Jinns which are evil spirits. They believed in the Quran and in verse 13, they became Muslims. Washirikina kama waganga, wachawi, wafuga majini na wanaowauza ni waislamu, tena sio waislamu wa kiwango chako juu nimeona bado wewe ni junior. Njoo kwa Yesu atakuondolea mizigo yote hadi majini hawatakuandama na kukushurutisha kuswali...
@Sal.0
3 ай бұрын
@@kennodhiambo Watu WASIO tahriwa huwa ni WARONGO tupu! Kama Wewe! Na Midomi zao hu SMELL, kwa sababu za Uwongo. HAKUNA mahali QURAN ina sema MaJinn wali SILIMU. HAKUNA! Na Quran 72:13 HAI semi hivyo either!!. Hiyo ni POROJO zako tuu!!! On the Contrary, MaSHETANI wote, wako na Imani MOJA na 'WaKristo'! Therefore, WaKristo na Ma SHETANI, ni Ma Relatives, kwa sababu nyote Wawili, muna IMANI MOJA, lakum SHIRIKISHA MUNGU: Some hapa: Luke 4:41 King James Version 41 And DEVILS also came out of many, crying out, and saying, Thou art Christ the Son of God!. Hata TANGU Mwanzo, John katika 6:70, ana shudia ya kwamba SHETANI ali kuwa moja wa Disciple kwenu. Na hata yule MROMA PAUL, aliye wa letea UPANGANI, alikuwa ana peleka WAKristo kwa SHETANI, for extra TUITION! Soma Hapa KAHEY: 2 Corinthians 12:7-10 7.... Therefore, in order to keep me from becoming conceited, I was given a thorn in my flesh, a MESSENGER of SATAN!" Nani JUNIOR hapa, KAHEY?
@Sal.0
3 ай бұрын
@@kennodhiambo Jaduong, HAKUNA mahali QURAN ina sema MaJinn wali SILIMU. HAKUNA! Na Quran 72:1 HAI semi hivyo either!!. Hiyo ni POROJO zako tuu!!! On the Contrary, MaSHETANI wote, wako na Imani MOJA na 'WaKristo'! Therefore, WaKristo na Ma SHETANI, ni Ma Relatives, kwa sababu nyote Wawili, muna IMANI MOJA, lakum SHIRIKISHA MUNGU: Some hapa: Mark 3:11 ► Whenever the impure spirits saw him, they fell down before him and cried out, “You are the Son of God.” Another VERSE.... Luke 4:41 King James Version 41 And DEVILS also came out of many, crying out, and saying, Thou art Christ the Son of God!. Hata TANGU Mwanzo, John katika 6:70, ana shudia ya kwamba SHETANI ali kuwa moja wa DESCIPLE wenu. Na hata yule MROMA PAUL, aliye wa letea UPANGANI, alikuwa ana peleka WAKristo kwa SHETANI, for extra TUITION! Soma Hapa: 2 Corinthians 12:7-10 7.... Therefore, in order to keep me from becoming conceited, I was given a thorn in my flesh, a MESSENGER of SATAN!" Nani 'JUNIOR' hapa, KAHEY? Kata BileBile!
@user-ex4rk2yx4s
3 ай бұрын
Na shakahola niwaislamu?
@molee2339
3 ай бұрын
@@kennodhiambo Jatelo, you are such a HYPOCRITE! Wakristoes ndio wana SHIRIKIANA na Ma SHETANI, and yet unawa tupua WaIslamu hilo laana laku Shirikiana na MaShetani! HYPOCRITE! Na popote katika QURAN, HAKUNA mahali inao sema MaJinn wali SILIMU! You are a Liar! Nyinyi ndio Munao towa Ma Shetani every SUNDAY, na juwa fuga, Nyumbani mwenu, kea sababu WEWE na MaShetani, muka na IMAANI moja tuu! Soma Mark 3:11: Mark 3:11 11 Whenever the impure spirits saw him, they fell down before him and cried out, “You are the Son of God.”! Na hata BABA wenu PAUL, alikuwa anawa peleka WANA FUNZU wake wote, kwa MaSHETANI, for 'further Studies'! Na Biblia enyewe ina sema NaKANISA zote, especially llilio Pergamo, ni HQ za MaSHETANI!😅😅. In your face JUNIOR!
@Sisterjemi13 ай бұрын
Mbona Ramadhan unamwambia Ndugu khalif aaa mswahili wa oemba tena kwanikuna ubaya ngani
Wewe usilaumu, wala kuchukia kwa yanayosomwa ktk. Kitabu chako cha Biblia au Qurani. (Shida iko wa piiii🤔⁉️KUPANGA NI KUCHAGUA☝, UKUBALI, USIKUBALI. MWENYEZI MUNGU NI MMOJA☝ PEKE YAKE, NA NDIYE MUUMBAJI PEKE YAKE☝)
@mariamally85483 ай бұрын
Wengine hawapo serious na maandiko
@ChibuleSaid3 ай бұрын
Shehe nakuomba mtutembelee mazeras
@mohagurey22143 ай бұрын
These people know nothing about religion, just blind followers
@user-hy5zd5rn6r3 ай бұрын
Kununua mawe kupiga shetani huko Mecca ni biashara
@Jingajinga64
3 ай бұрын
🤐😶😏
@user-rc7oi2hp8l
3 ай бұрын
Iyo n propaganda.mawe ngani zinauzwa makkah kua open minded ndugu ngu fuata dini y manabii waliofundisha only one creater and believe and pray to him and mtegeme yeye tu
@sheemaryam
3 ай бұрын
Yanauzwa pesa ngapi ama ulinunua pesa ngapi? Nyie mnanunua vifagio na mahanadi na vitambaa Ukristo is a scam alhamdulillah kwa neema ya uisilamu
@user-hy5zd5rn6r
3 ай бұрын
@@user-rc7oi2hp8l Kwani unafikiri ni Siri mkienda huko hamnunui? 😂 We are not in dark ages any longer.Internet has exposed everything bro.Kama huamini Nipe number yako ya watsapp nikuonyeshe vioja😂
@user-hy5zd5rn6r
3 ай бұрын
@@sheemaryam Leta number yako ya Whatsapp nikutumie videos uone mambo huko Mecca 😂😜.Hamuweza kutudanganya tena tuko Karne nyengine.
@fatumahamisi16043 ай бұрын
Asalam Alykum warhmatullah nawapenda sana mashekh wetu nampenda sana shekh khalifa kwaajili ya Allah
Пікірлер: 117
Mic u shekhe Ramadan Allah akupe umri upate kuwalingania na kujaalie pepo inshallah
Nawapenda kwa ajli ya Allah na nawaombea IKHLAS pamoja na kujiombea nafsi yangu...aaaminaaa
Khalif juma my good friend Allah awajalie ❤
Masai tafadhali rungu Hilo na sheikh wetu ❤❤❤❤Allah akulinde na akupe umri mrefu tunawapenda nyote kwa ajili ya Allah❤❤❤❤
@musalumbi8490
3 ай бұрын
🤣🤣🤣
@maymunamakungu6265
Ай бұрын
😂😂😂
Maustadh wetu Allah amzidishie juhudi zenu. Nampenda saana kw ajili y Allah
Mwalimu kazi mzuri sana ALLAH aendelea kukupea maisha malefu
Assalam aleykum sheikh Ramadhan. Allah awabarik inshaallah Awalinde na mitihani ya maradhi nyinyi na familia zenu inshaallahu amin.
اللهم صل وسلم وبارك على نبينا محمد صلى الله عليه وسلم
MashaAllah TabarakahAllah
Masha Allah Sheikh Ramadan Jizaaka Allah
Alhamdulillah🤲, Nyie Masheikh mnaoelimisha Da'awa, kuelimisha waliopotezwa na Wachungaji. "SIDHANI KAMA WANGELIKUWEPO WANAOJIITA WAKRISTO." Inshallah, nina imani wengi wataelewa ukweli.
Mashallah Ustadh mie nakuombea maisha marf yasiyo na vikwazo kwn hakika unaitangaza dini ya khaq. Allah akulinde na awape pepo yke maridhawa. Idhaa Aradallah.
Huyu Mswahili wa Pemba atakuwa vizuri sana inshaallah
Maa shaa Allah ❤❤
Masha Allah Sheikh Ramadhani Nawengine Allah. Atujalie
Please nawaomba wakiristo na wale hawana dini msilimu mapema na mapema mungu hakuleta dunia dini mbili dini ni uislamu tu ambayo mitume wote wame fuata na wame hubiri kwanzia Nabi adamu noho Musa yesu daudi Ibrahim Mohamed Suleimani na wengine wote na hiyo dini nyingine yote niyakutengeneza
@kennodhiambo
3 ай бұрын
Ahadi gani ziko katika kuslimu hebu tuelezee. Manabii kuwa waislamu ina umuhimu gani!!! Wewe uko na uhakika utaenda Janah?
@dulividuli5237
3 ай бұрын
@@kennodhiamboUmhimu upo mkubwa tu maana Uislamu ndo Tiketi yako ya Kukuingiza wa Peponi bila ya Uislamu pepo hutaiskia hata harufu. "Na anayetafuta Dini isiyokuwa Uislamu haitakubaliwa kwake.Naye Akhera atakuwa katika waliokula Khasara"(85:3) Qur'an.
@peternyaga-jh7zb
3 ай бұрын
Hakuna dini duniani ya mungu ni za watu kwanza dini n nini na nani alianzisha
@dulividuli5237
3 ай бұрын
@@peternyaga-jh7zb kwaiyo ww hauna Dini?
@dvjkelly8449
2 ай бұрын
pia nyinyi mujoin kristo, Mungu hakuleta kristo mbili, kristo ni Mmoja tu
Masha Allah
Mashallah Allah aweunge mikono inshaallah mwalimu wetu
Naomba Mwenyezi Mungu awalipe kilalaheri ❤❤
Ustadh ramadhan unawapa nafasi.kubwa hao kuongeya mambo hayapo kwenye vitabu. kulingana na vitabu.yani you give them winning very easly.
@StraightPathDawah
3 ай бұрын
We are there to convey the message through dialogue not to compel them. Alhamdulillah the outcome is very good
@kennodhiambo
3 ай бұрын
@@StraightPathDawah Which message??? That Jesus and the prophets were Muslims!! How does that help me? Please share the promises that Allah gives to His people and the beauty of Islam. Respect other peoples' faith and religion but try to convince them with facts not pure lies. No Christian can believe that Jesus was a Muslim and so change the tactics. A free advice sir, in order to win them to Islam state the benefits of Islam not humility to God but the promises and assurances of Salvation, Forgiveness of Sins, Eternal love of God, Victory over Satan and the pleasures of the world etc. Take this advice and you will excel in your quest to spread Islam. If even Prophet Muhammad (PBUH) have any assurance then you labor for nothing my brothers Surah 46:9 Say, “I am not the first messenger ever sent, nor do I know what will happen to me or you. I only follow what is revealed to me. And I am only sent with a clear warning.” At least our Lord, Jesus Christ assures us of a place in heaven John 14:1-3 "Let not your hearts be troubled; believe in God, believe also in me. In my Father's house are many rooms; if it were not so, would I have told you that I go to prepare a place for you? And when I go and prepare a place for you, I will come again and will take you to myself, that where I am you may be also
@salimmashjary8028
3 ай бұрын
@@StraightPathDawah its ok i undarstand ur right but atleast sometime give them quastion mark !!!!.
kuna mmoja alimwambia mwenzake ( yesu anakupenda ) jibu la alieambiwa akajibu mwambie mimi nishaoa 😮😮😮😮
@issadiinmoulid
3 ай бұрын
😅
Huyo mzee William maneno mengi wala hatoi Ayah hata moja husema iko kwa bibilia wala hatoi
Asalam aleikum warahma turullahi wabarakatuh Bano mtafika lini 😊
@StraightPathDawah
3 ай бұрын
insha'Allah 😊
Mashaallah
Mashaallah Allha 💖💖💖🤲🏾🤲🏾
Alhamdulillah ukweli umejulikana
Masha allah Mola atuongoze
Mashallah ♥️ sheck
❤❤❤❤ Masha'Allah
M.A my sheikh ramadan kuria
Kazi maridhawa, Allah awazidishie Kila lililo la kher, Aamin.
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh ? Mulikuwa Masjid Al Huda Maashallah. Msikiti niupendao Sana na Ust Mbarak Ahmed Awes. Ramadhan Kuria Allah Awahifadhi nyote
Asalaam aleykum yaa sheikh Ramadan mungu akupe afya na long life ku fanya kazi hiyi
Mashaala shehe Ramadhan mwenyezi Mungu akueke .
I live in the United States 🇺🇸 can I silimu online
@kassimngao2282
3 ай бұрын
Yes bro...❤
@batulialmass8914
3 ай бұрын
Yes
@StraightPathDawah
3 ай бұрын
Yes it's possible
@zanzibar-hf7vh
3 ай бұрын
yes you can
@user-ng1po1dh4z
3 ай бұрын
Yes you can do it, or👉 try to find any Mosque in America, and ask Any Sheikh he will make Shahada ☝to you. "It will take, not more than 15 minutes only. Well come to Islaam.
Ma sha Allah
Mashaallah ramadhan kuria jazahullahu kheir.
MashAllah MashAllah MashAllah kaka Ramma ❤
MashaAllah 53:15
MswAhili wa pemba ,na shekb ramadhani ktk kazi hii ya daawa innshaalah tupo nyuma yenu
Mashalah
Mashaallah Allah awape wepesi Inshaallah
ALLAHU AKBAR ❤
Mashallah ❤❤❤
assalam aleikuym warahmatullah...wabarakatuh...seikh huyo mtu anakudanganya,, Catholic huwa hawasujudu
Kazi mzuri sana shehe❤
Barakallahu fiiqum ❤
ASSalam aleikum warahmatullah wabarakatu ...hapa kenya wakristo wengi wanashindwa kuelewa mandiko kwanza kabisa sababu ya lugha ya kiswahili..pili ni kwamba hawajasoma mandiko kwenye kitabu chao..kwa mfano mtu hajui maana ya pepo au jini ..Allah awaongeze
Kazi mzuri sana shehe
MashaAllah.
Mashaallh iko sawa indeleya
MashaAllah natamani Kila siku iwe na dawaa mpya sipati usingizi mpaka niangalie
Mashalla ❤
بسم لله ما شاء الله
hamnaga love ya jinsia tofauti na si mama na mtoto....acheni michezo bana .....
ماسا ءالله
Allahamdulillah
1) ما تأمر به الوصية الأولى: نص الوصية: “أنا الرب إلهك، الذي أخرجك من أرض مصر، من دار العبودية. لا يكن لك آلهة أخرى سواي. لا تصنع لك تمثالاً منحوتاً، ولا صورة، مما في السماء من فوق، وما في الأرض من أسفل، وما في الماء من تحت الأرض. لا تسجد لها ولا تعبدها” (تثنية 6:5-9).
Huyu samweli kuelewa kwake ni ngumu sana
Acha kututusi tulozaliwa mwanzo ndani ya familia za kiislam si kweli.
Allah karim
assalaamu aleykum sheikh Ramadhan. Kaka Khalifa ungejiita "Msomaji Maridhawa"
Uyo jamaa anahitaji mawaidh
MashaaAllahu....mswahili wa Pemba😂
Endelea kutoa taaluma shekh wetu na Allah atakusaidia kwa uwezo wako. Lakini inaonekana hawa wakristo hata uwaonyeshe kio hukiri kuwa ni kio lakini hapo hapo husema ni biskuti. Jamani hawa wameshikwa na shetani gani!!
Assalamu alaikum haki kujeni huku Obama omega kayole junction
We Ramadhani hilo rungu mbona sije likaja husoni jamani
Jamaa kachafua hali ya hewa😢
Huyu ni Mswahili wa Pemba gani
@molee2339
3 ай бұрын
Pemba ilioko Lake Victoria, aliye chokora Ustad Kuria.
Mmmmh mtu muongo huyo
Ai, Omera, ako na Propaganda NYINGI! OMERA, hii mambo yaku towa Watoto KAFARA, ni MTINDO ya WaKristo, khususan WaNigeria! ISLAM FORBIDS and therefore haina hio MAMBO yaku taka ku tajirika kwa SHIRK, na UCHAWI CHAFU wanao tenda WaKristo. Islam has RULES that have been WRITTEN down, as a 'FIREWALL' against SHIRK, ULEWI, ZINA, UCHAWI, KAMARI, INTEREST, and UCHAFU mengine ambao ni Common Non Muslims! SIO Hindu pekee wana Multiple gods! Hata Wa GREEK wali kuwa na Multiple gods, NA goddeses! Kama: Artemis, Athena, Ares, Aphrodite, Zeus, Poseidon, Hera, Demeter, Hermes, Dionysus, na Apollo, etc. Na Emperor CONSTANTINE considered himself as 'Apollo the Sun god'! Esther Ame sema Yesu ali vaa KIRAKA ! Hio Kali!😅😅 Alhamdulillah for Ney'ema za Islam! MashaAllah, beautiful Mosque! TabarakAllah Team.
@kennodhiambo
3 ай бұрын
Do you read the Quran really! Chapter 72 talks about Jinns which are evil spirits. They believed in the Quran and in verse 13, they became Muslims. Washirikina kama waganga, wachawi, wafuga majini na wanaowauza ni waislamu, tena sio waislamu wa kiwango chako juu nimeona bado wewe ni junior. Njoo kwa Yesu atakuondolea mizigo yote hadi majini hawatakuandama na kukushurutisha kuswali...
@Sal.0
3 ай бұрын
@@kennodhiambo Watu WASIO tahriwa huwa ni WARONGO tupu! Kama Wewe! Na Midomi zao hu SMELL, kwa sababu za Uwongo. HAKUNA mahali QURAN ina sema MaJinn wali SILIMU. HAKUNA! Na Quran 72:13 HAI semi hivyo either!!. Hiyo ni POROJO zako tuu!!! On the Contrary, MaSHETANI wote, wako na Imani MOJA na 'WaKristo'! Therefore, WaKristo na Ma SHETANI, ni Ma Relatives, kwa sababu nyote Wawili, muna IMANI MOJA, lakum SHIRIKISHA MUNGU: Some hapa: Luke 4:41 King James Version 41 And DEVILS also came out of many, crying out, and saying, Thou art Christ the Son of God!. Hata TANGU Mwanzo, John katika 6:70, ana shudia ya kwamba SHETANI ali kuwa moja wa Disciple kwenu. Na hata yule MROMA PAUL, aliye wa letea UPANGANI, alikuwa ana peleka WAKristo kwa SHETANI, for extra TUITION! Soma Hapa KAHEY: 2 Corinthians 12:7-10 7.... Therefore, in order to keep me from becoming conceited, I was given a thorn in my flesh, a MESSENGER of SATAN!" Nani JUNIOR hapa, KAHEY?
@Sal.0
3 ай бұрын
@@kennodhiambo Jaduong, HAKUNA mahali QURAN ina sema MaJinn wali SILIMU. HAKUNA! Na Quran 72:1 HAI semi hivyo either!!. Hiyo ni POROJO zako tuu!!! On the Contrary, MaSHETANI wote, wako na Imani MOJA na 'WaKristo'! Therefore, WaKristo na Ma SHETANI, ni Ma Relatives, kwa sababu nyote Wawili, muna IMANI MOJA, lakum SHIRIKISHA MUNGU: Some hapa: Mark 3:11 ► Whenever the impure spirits saw him, they fell down before him and cried out, “You are the Son of God.” Another VERSE.... Luke 4:41 King James Version 41 And DEVILS also came out of many, crying out, and saying, Thou art Christ the Son of God!. Hata TANGU Mwanzo, John katika 6:70, ana shudia ya kwamba SHETANI ali kuwa moja wa DESCIPLE wenu. Na hata yule MROMA PAUL, aliye wa letea UPANGANI, alikuwa ana peleka WAKristo kwa SHETANI, for extra TUITION! Soma Hapa: 2 Corinthians 12:7-10 7.... Therefore, in order to keep me from becoming conceited, I was given a thorn in my flesh, a MESSENGER of SATAN!" Nani 'JUNIOR' hapa, KAHEY? Kata BileBile!
@user-ex4rk2yx4s
3 ай бұрын
Na shakahola niwaislamu?
@molee2339
3 ай бұрын
@@kennodhiambo Jatelo, you are such a HYPOCRITE! Wakristoes ndio wana SHIRIKIANA na Ma SHETANI, and yet unawa tupua WaIslamu hilo laana laku Shirikiana na MaShetani! HYPOCRITE! Na popote katika QURAN, HAKUNA mahali inao sema MaJinn wali SILIMU! You are a Liar! Nyinyi ndio Munao towa Ma Shetani every SUNDAY, na juwa fuga, Nyumbani mwenu, kea sababu WEWE na MaShetani, muka na IMAANI moja tuu! Soma Mark 3:11: Mark 3:11 11 Whenever the impure spirits saw him, they fell down before him and cried out, “You are the Son of God.”! Na hata BABA wenu PAUL, alikuwa anawa peleka WANA FUNZU wake wote, kwa MaSHETANI, for 'further Studies'! Na Biblia enyewe ina sema NaKANISA zote, especially llilio Pergamo, ni HQ za MaSHETANI!😅😅. In your face JUNIOR!
Mbona Ramadhan unamwambia Ndugu khalif aaa mswahili wa oemba tena kwanikuna ubaya ngani
Maasai na rungu ameniundia siku. 😂😂😂
Yesu akasema kipofu hawezi kumwongoza kipofu mwenzake .wote wataanguka shimoni ...wakuelewa ameelewa😂 ...
Wewe usilaumu, wala kuchukia kwa yanayosomwa ktk. Kitabu chako cha Biblia au Qurani. (Shida iko wa piiii🤔⁉️KUPANGA NI KUCHAGUA☝, UKUBALI, USIKUBALI. MWENYEZI MUNGU NI MMOJA☝ PEKE YAKE, NA NDIYE MUUMBAJI PEKE YAKE☝)
Wengine hawapo serious na maandiko
Shehe nakuomba mtutembelee mazeras
These people know nothing about religion, just blind followers
Kununua mawe kupiga shetani huko Mecca ni biashara
@Jingajinga64
3 ай бұрын
🤐😶😏
@user-rc7oi2hp8l
3 ай бұрын
Iyo n propaganda.mawe ngani zinauzwa makkah kua open minded ndugu ngu fuata dini y manabii waliofundisha only one creater and believe and pray to him and mtegeme yeye tu
@sheemaryam
3 ай бұрын
Yanauzwa pesa ngapi ama ulinunua pesa ngapi? Nyie mnanunua vifagio na mahanadi na vitambaa Ukristo is a scam alhamdulillah kwa neema ya uisilamu
@user-hy5zd5rn6r
3 ай бұрын
@@user-rc7oi2hp8l Kwani unafikiri ni Siri mkienda huko hamnunui? 😂 We are not in dark ages any longer.Internet has exposed everything bro.Kama huamini Nipe number yako ya watsapp nikuonyeshe vioja😂
@user-hy5zd5rn6r
3 ай бұрын
@@sheemaryam Leta number yako ya Whatsapp nikutumie videos uone mambo huko Mecca 😂😜.Hamuweza kutudanganya tena tuko Karne nyengine.
Asalam Alykum warhmatullah nawapenda sana mashekh wetu nampenda sana shekh khalifa kwaajili ya Allah
Masha Allah