KUITWA PASTOR SIO KAZI RAHISI 😂 || ALIYEDAI KUWA PASTOR APATA DOSE YAKE
Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. @StraightPathDawah tunajitahidi kufikisha ujumbe wa Uislamu hadi mashinani.
Пікірлер: 86
Yaa shaikh hio jengo ni haswaa...mashaAllah umetoa khiyana (ambao huna) na ww Allah atakujengea nyumba ya akhira na hp duniani Allah akupe mpaka utosheke akujaalie na IKHLAS...amiin
SAFI SANA. MASHALLAH MASHALLAH ❤️ ALLAHU AKBAR ❤️ ♥️ 🤲🤲🤲
Shekh Ramadhan Kulia Mungu akuongoze kwa baraka na mafundisho yako manzuri
Mashallah mashallah Allah akuhifadhi
Maashaallah tabarakallah
I love you for the sake of Allah ❤❤❤
Mashallah ustadhi ramadhan
Mashallah,Allah awabarkkie jobyenu na awape Umri wa kuwaelimisha Ummah❤
Masha ALLAH Tabarakallah. ALLAHU AKBAR..
Masha Allah 🥰
Mashalla Allah ❤❤❤
Team yenu yanifurahisha mashaallah
MaaMaashaallah mashallah mashekhe wetu mungu awape afya njema
Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh
@bentybenty2343
11 ай бұрын
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Allah Akbar mashallah 💞
Mashallah ustadhi, keep up the good work sheikh Inshallah
Poleni sana, hivi tukiamua kuchambua uislamu kwa ukweli na historia yake najua hatutakaa. Tutashambuliwa. Imani sio kitabu, ni kuamini na kujisikia unawiwa.
ALLAH AKBAR
Mimi nilikuwa msani, alimalufu washalom mukurinu, na nilisilim two weeks ago, uislam Dio jia ya kweri na dini ya mwenyezi mungu, TAQIBLII
@user-sv6zy3hc8o
11 ай бұрын
Allahu akbaru
@BintiomariSwalehkimuswa
11 ай бұрын
Allahu Akbaru
@user-rc7oi2hp8l
5 ай бұрын
Ma sha Allah tabaraka llah ndugu Allah akufishe ukiwa muislam n waislam wote
@ibruzah001
Ай бұрын
Allahu Akbar ❤
TabarakAllah Team and local Team! Mafundisho Bora kabisa!
inshallah
Mmmmh Anakula Miraa Alafu Anaandisha Boda Boda Hivi Kweli Mtu Atakua Na Akili
Mashaalllah Allah awajalie kila la kheri
Baraka Allahu sheikh Ramadan, una fanya kazi nzito ya kuwa eleza wakiristo utamu na uweli ya kislamu na kwa huruma ya Allah uta faulu Duniyani na kesho Akhira. Ameen. Ameen. Ameen.
@maymgaya4192
8 ай бұрын
Amiyn
MASHA ALLAH 💚 💚💚
😂 hio roho imemu disappoint😂 pastor ako Facebook 😂
Mashallah
Kazana tu Masheikh, wengi waliingia Mkumbo bila kujua ni njia gani iliyo sahihi ya kuwafikisha kwa Mwenyezi Mungu. Hii ni hatari jamani, waelimisheni msichoke. Inshaallah. (LINI BIN-ADAM AKAWA MUNGU 😂😂😂 !!??
@samuelondieki9164
3 ай бұрын
Njia Ni yesu alisema mwenyewe
Subhana Allah Alhamduli llah Allah Akbar
Masha Allah Ustaz Gakuo.
Atowe tu Andiko ukirsto ni dini feki hata hiyo atowe
MashaAllah tabarkallah Mukrwein mashaAlla!
Pastor hajielewi😂 confused element
SUBHANNALLAH WALHAMDULLILLAH WALAHU AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MASHALLAH MASHALLAH SHEIK
Pastor amelelewa. Haja jipanga. Even with roho He can’t remember anything. Ajabu
MashaALLAH ❤️❤️❤️
KABISA SHEIKH RAMADHAN MTU ASIYE NDIO ANÀTAKA AFUNDISHWE NAKUFAHAMU SABABU WANAIJIDAI WANAJUA KUMBE NDIO HAO WANAPOTEZA WATU KWA MAANDIKO
@jumahamad9463
11 ай бұрын
MTU ASIYEJUA NDIO ANATAKA AFUNDISHWE SIO KAMA MAFUNDISHO WANAYODAI KUFUNGA TU MPAKA KUFA NAKUZIKWA SHAKAHOLA
Allah Akbar hkka kapata kibano
Nimechekaa umemueza Pastor timothy
Allahu Akbar ❤
sheikh nimecheka apo mchungaji aliposema Paulo alikuja kabla ya Yesu,haha ulichoka akili mpaka ukapeana mic...Allah swt awalipe mema
Yan Bora TU uliondoka mapema Uislamu mzur
MANSHALLAH ❤❤❤❤❤
Ustadh Ramadhan kuria naomba ufike hata marsabit County haswa Moyale ❤
@ukweliwauislamu9590
11 ай бұрын
JazakAllahu kheyran ustadh
Asalam alakumu mashala kazinzuri
Mashallah ❤
Wcs ww wa brothers waislamu
Un educated pastor. Very sad
ALLAHU AKBAR ❤❤❤❤❤
❤❤❤
Hapo hapo.
❤❤❤❤
Eti Timothy ni Muezalie na kumbe ni Mmeru wa kenya
Nina swali apa ndugu zangu wengi ni wa kisto sijui wata kubali Islam lini. ili swali hua najiuliza sana
@mwarabumbarak4342
11 ай бұрын
In shaa Allah Mwenyezi Mungu atawaongeza.
Chungeni watakuja wengi waseme yesu hayuko huku hako mahali Fulani nawatapoteza wengi kuwapeleka muungue pamoja
@smadon5638
3 ай бұрын
Haluna pahali kwenye biblia Yesu kasema yeye ni mkristo
@samuelondieki9164
3 ай бұрын
@@smadon5638 hakuna hapo kweli lakini alisema chungeni wengi watakuja Kwa Jina Hilo nawatapoteza
I see confusion everywhere. The two groups here are only religious depending o the family/country/place they have been raised. Before you come and approach someone, i will ask you one question. Who wrote quran? Who wrote the bible. If it's God, then i will be ready to answer. So long as it's manuscript, I'm not there. Africanism defines me. Im not religious, i don't need bible neither quran to live, I need God in my life who knows how I came here on earth and how I will get out of here. Period
Wakati mukimaliza na daawah muuwaambie watizame KZread Straight path wajisikize popote
RAMADHAN MPE NAFASI HUYO MWENZAKO ATOE SOMO KILA AKIANZA KUONGEA UNAMOKONYA MIKE NA UMEFANYA HIVYO MARA NYINGI SISI TUNAFATILIA KWA MAKINI MIDAHALO YAKO HEBU FANYA UADILIFU
@huseinshedrack6180
10 ай бұрын
Mm nataman muda wote awe anaongea Ramadhan sababu anajua sn namna ya kuwabana kwa hoja hao makafir
Why you lie jessu was not Muslim bro,
Christians ni wafuasi wa Christo everyone knows this.Ndio ni dini Hata Qur'an inajua hili.
@RamadanPaul
9 ай бұрын
Ni kwer yesu ni njia ya kwenda kwa Mungu, sio yesu tu, mitume wote ni njia ya kwenda kwa Mungu. Ukimkataa YESU hutoboi, ukimkataa mohamad, Musa, Ibrahim, NUHU, luti n.k. hutoboi mjomba,,,,, shida yenu mnamuabudu YESU nyie ni wanafik. Marko 7:6-7,8,9
Wa slim kwanini mntaka kufahamisha vitu zingine complicated mnajipanga alafu mna surprise watu alafu mnataka kusema ety sijui wakatholik si watu wazuli na nyinyi mnasoma musitali mumoja badala ya kusoma content wacha niwambie 1Corinthians 16:5 1corinthians 15:23 Galantians 3:29 Galantians 5:24 inatuonesha vizuli kwamba sisi niwa kristo mwokozi wetu,,,,, je nyinyi niwa Muhammad ama?
@Sai.Mo69
11 ай бұрын
Toa ANDIKO anao sema: UKRISTO ni......! Kwani mashikeo zako hazi listen?
@Sal.0
11 ай бұрын
Reurey, hatu taki BARUA za Mu ROMA Paul! Tuna taka andiko anao taja UKRISTO ni Dini ya yeso! Towa gasia from your Ears!
@sheemaryam
11 ай бұрын
Kwani bibilia ilisahau kuna dini inaitwa ukristo? Alafu lazima mtu ajipange ndio atetee dini yake? $si inafaaa kitabu kikutetee ? Twataka andiko liseme "Ukristo ni Dini hivyo tu Na pia wapi yesu alikuwa mkristo jina la mtu laweza kuwa dini ? Leo tena yesu ni mwokozi? Sio MUNGU tena😂😂😂😂😂 aki sijui paulo aliwafanyia wakristo nn hawajielewi
MaaMaashaallah mashallah mungu mrefu
❤❤❤❤