MSANII MÛKÛRINÛ ASILIMU BAADA YA KUFICHUA MENGI KUHUSU UKRISTO.
@StraightPathDawah
please subscribe to our channel to continue watching our episodes.
Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.
Пікірлер: 527
Najiona niko sehemu sahihi sana baada ya kuwaskiliza ndugu. Nilislimu tu hivi majuzi nami naendelea kujifunza polepole tuzidi kuombeana ndugu waislamu 🙏
@user-sf7lp1fs7d
11 ай бұрын
Kwa kweli umefanya maamuzi sahihi,Allah akufanyie wepesi kila zito
@Adm9464
11 ай бұрын
MaashaAllah dada we welcome you to the fastest growing religion in the world. You have over 2 Billion brothers and sisters
@hamzayesu2017
11 ай бұрын
Mashallah
@hafsakirao398
11 ай бұрын
Allah akujalie wepesi kuisoma dini, na akudumishe na kuzidi kuipenda. Karibu sana, sisi ni ndugi zako sote.
@salimsiri1183
11 ай бұрын
Mashallah hongera sana
Mashallah.huyu jamaa aliye kuwa mcristo ALLAH amzidishiye imani.FIKRA ZANGU MIMI Nimeona ana hamasa mzuri sana anawezankuwa ddai mzuri sana mkali mwenyeezi mngu aweza kumpa kipawa akawasilimisha wengi.INSHAALLAH.
@shamsiyasalim6866
11 ай бұрын
Mashallah mungu akuzidishie na mungu akulinde wewe na mungu atakuongoza Allah akujalie Maisha mema Leo na Kesho kama update janaa ya Firdausi sote waislamu
@ronaldmatimbo9691
11 ай бұрын
He has witnessed that the rapist,women snatcher, Al-shabaab,.... Nkama kuruka mkojo unakanyaga mavi😂
@zainabhussain4114
11 ай бұрын
MashaaAllah
@husna34562
11 ай бұрын
Amiin
@munenesam2395
11 ай бұрын
@@ronaldmatimbo9691wee umechunguza unayoyadema?
Ya Allah mfunguli mjja wako huyu njia ya halali ya rizki na umuonngoze katika njia ilio nyooka
@husna34562
11 ай бұрын
امين
Kaka etu kosha roho sasa uso wako una NURU ya uislamu Unafundisha vizuri uislamu Mwenyezi mungu akuongoze
USTADH TWAOMBA UMLETE TENA 😅 THE CONVERSATION IS INTERESTING AND ENJOYABLE
Assalam alaikum VP Hali YAKO SHEIKH Ramadan. Niko na ombi kwa huyu nduguyetu tusimuache ki uchumi kama uki na njia ambayo itaweza kumsaidia ki uchumi basi itakua Bora na kama utataka usaidizi ILI tumuezeshe kama waislam aseme ni biashara gani ya halali anayotaka then utujuze Sisi waislam ILI tumchangie. Tusimuache wallai tukimuacha Allah atatuadhibu na kutuhukumu . Huyu ni mja WA Allah na lazima tuonyeshe utukufu wake Allah shukran .
Yani huyu kaka atakuwa mwalimu mzuri sana kwakweli mungu umuongoa amtakae mungu akupe ujuzi zaidi inshaallah
ما شاء الله تبارك الله يا اخواني في الله جزاكم الله خيرا انا أم كلثوم من جنوب السودان
@inamxmdsheekh1978
11 ай бұрын
الله يحفظك اختي الكريمة اللهم انصر اخواننا في السودان
Masha Allah Allah amuongoze mpaka mwisho wa uhai wake ishallah
My brother in Islam. He is going to enjoy his Salaa kwasababu amefanya research mwenyewe. Subhanallah. May Allah aid you and us all. Ameen.
MashaAllah Allah awajaalie kila la kheri kwa kuieneza dini ya uislam
Indeed Allah guides whom he wills.
@daru2549
11 ай бұрын
MashaAllah walahi leo maweskia
@guenterernst5481
11 ай бұрын
Yes
Allah akuwekeye wepesi Mwalimu wetu Ramadhani
Asalam alleykum. ALLAH TAALAH amuongoze katika haki, na utambue UISLAM KAMA MFUMO KAMILI WA MAISHA, ILA SIO KIMATAGAA.
May Allah SWT guide more people to islam through your lectures brother Ramadhan.
@Sai.Mo69
11 ай бұрын
Ameeeen!
Huyu ana kipaji cha kuimba aweza imba nasheed asifu mtume na uislam Kwa lugha ya Kikuyu
@aishahazary4097
11 ай бұрын
@andallaathma Asome uislam nashid si katika sisi akianza nashid tu kuna hatar ya kuendeleza ngoma zao za zamani.Hapa ni kumhimiza tauhid tu ili azidishe hofu kwa RABB wake.
Masha'Allah.Our brother A/Karim karibu kwa dini ya haki Islam. May Allmighty Allah make everything easy for you & May Allah SW Protect you. Baraka'Allahu fiikum.🙏👍❤
ALLAHU AKBAR huyo jamaa nmempenda kwaajili ya ALLAH ALLAH atawafanyiya wepesi nyote ameen
Allah humongoza anayemtaka,....na aliyoongozwa kwa njia ya uislamu ana bahati kweli kweli......Allah atuongoze sote kwa njia yake....njia ya uislamu...ameen.
MashaAllah akubariki na natumai utakuwa miongoni mwa masheikh wa Kiislamu katika nchi yetu
Masha allah mungu awape kheyri, huyu sasa ni ndugu wetu ingekua vizuri akutane pia na yusufu wambongo , ambaye pia aliuacha ukorino na leo anashika bendera ya kiisilamu ya laa ilaha ila Allah.
Imeniliza wallah,Allah azidi kumpa nguvu ndugu yetu aweze kuishinda mitihani yote itakayokuja mbeleni,3asaa aje kuwa daaii mzuri badaae biidhni Allah
Mashaallah. Wahimize wasokua waislamu wajisomee vitabu vyao vya dini wasingoje kusomewa watadanganywa kwani watajua dini ya haki niya kiislamu..
@nasimkassam8371
11 ай бұрын
MAASHALLAH. ALLAH LOVES THAT'S WHY HE HAS GUIDED YOU TO THE RIGHT PATH.. MAY HE BLESS U BY GIVING YOU HALAL RUZQ. NEVER WILL ALLAH S.W.T DUMP YOU. YOU WILL GET YOUR RIZQ IN OTHER WAYS BIIDHNILLAH. AND MAY HE MAKE YOU ONE OF THE SCHOLARS OF ISLAM AND MAY HE GRANT YOU JANNATUL FIRDAUS.
@seifkhamis2268
11 ай бұрын
Nipo Zanzibar Safi sana
Jamaae tuswalini suratu Nasr ilisema utawaona watu wakiingia dini ya wenye zi mungu makundi kwa makundi so for real watu wana sikimu kama wewe ni muislam hizi ni nyakati za mwisho masha Allah Europe watu wana silimu America watu wana silimu mashallah nasikia raha nikiona hivi mungu hawafanyie wepesi kwa kila kitu chenye heri uyu kijana pia mungu ampe wepesi katika kila katika kila lenye na heri amina rabi amina
Masha Allah huyu atakuwa mwalimu nzuri sana na anaweza salimisha wa kikuyu wengi tutamsupport kwa mali na nguvu
@Hi_20206
11 ай бұрын
Kabisaaa..speed yake ndio iko juu sana..aende tu polepole
❤MashaAllah ❤Mabruk ❤ Ramadhan ❤👏👏👏👏👏🤲🤲🤲🤲
Nipe like 1k please.
@HusseinAli-fx1ld
11 ай бұрын
1000Likes for you
Allah hu.Akbar Welcome to Islam brother Allah bless you forever
Takbiir
@azizashiundu5778
11 ай бұрын
Allah Akbar
@hansmswagara2789
11 ай бұрын
Allah Akbar
@twaine40
11 ай бұрын
Allahu Akbar
@halimahbwelele694
11 ай бұрын
Allahu Akbar
@Catherine-mh8sw
11 ай бұрын
Allahu Akbar
MaashaAllah Allah guides whomsoever he wants. This is a blessing brother Mkorino coming to Islam with his own understanding and investigation
MashaAllah! Brother AbdulKareem you put tears in our eyes. How beautiful you presented yourself. Welcome to Islam Allah azidi kukuongoza akupe afya elmu akupe umri na mwisho mwema. Greetings from Canada❤
@isayajerad
9 ай бұрын
Naina washenzi wawiri na majini ya mewanjaa mungu na kufunga Majin wapi na wapi
Allahu Akbar
Allahu Akbar Welcome to Islam our brother
Sheikh Ramadhan may Allah bless you and your Daawah this what the world wants sio kugombana WA Islam kwa WA Islam
welcome Brother Abdikarim.....CONGRATULATIONS, .....MAY ALLAH GUIDE AND BLESS YOU ALWAYS
Taqbrii
@Catherine-mh8sw
11 ай бұрын
Allahu Akbar
Tunamushukuru mungu mwenye amemuongoza kwadini ya ukweli dini yamitume wote mungu nimumujaa karibu ndugu yetu asante sana kwabusara wallahi mungu akulinde sana
Alhabdulilai ustaz Ramazan kuria 🇲🇿(mozanbulique Nampula) ustaz nimefuray sana Sana.ustaz kwel kwell unaifanha kazi ya mungo 🤲🤲🤲🤲📖📖📖📖📿
😢 Alhamdulillahi karibu kaka kwenye imani ya haki na Mola akuongoze na akuzidishie imani ya kumcha wewe na aila yako Aamin inshaAllah. ❤
MashaALLAH
Mashaallah 🥰 Allah akulinde InshaAllah
Bismillah mashallah ❤
The best video on a saturday morning
@sheemaryam
11 ай бұрын
Daa upon mpka huku karibu sanaa katika dini
@Hi_20206
11 ай бұрын
@@sheemaryam shukran sana na Allah akuzidishie mema ameen
@Hi_20206
11 ай бұрын
@@sheemaryam best part ni jina la kiislam ni maryam pia..lkini nimeshindwa kuchange hapo
@sheemaryam
11 ай бұрын
@@Hi_20206 sio lazima uchange jina pia mm id yangu inasomanga mary LAKINI majina niyakujuana nikienda mahali nikisema naitwa Maryam wanajuwa mm ni dada yao ...na nakuomba usirude nyuma shikiria imano kabisa mm nilitukanwa nikakanwa na kakangu but nilikaa ngangari sahi wananipenda sana ata kama wao sio waisilamu nashukuru 11yrs now na sijawai kufa moyo and my Faith grows..coz najuwa nitakufa peke yangu na nitahesabiwa peke yangu..and Allah aliniruzuku na mme muisilamu Alhamdulillah
@zakykarama9566
11 ай бұрын
Maryam Allah akuhifadhi na akupe elmu ya dini ya kiislam na akuongezee imani. Amin
Ma shaa Allah
Mashallah Sheikh Ramadhan kazi nzuri. Allah akuvindishiye.
MashaaAllah Allah humfungua mtu kifua chake na kumwongoza amtakaye katika hakki. PARANI nikweli ni Hijaz ambayo ndio Makkah ya sasa na Ismael (a s ) ndipo alilazwa jangawani na mamake kutafta maji . Ref mwanzo 21-21.
Masha ALLAH.....May Almighty ALLAH (s.w.t) bless you all
Maa Shaa Allah,Alhamdulillah for guidance My Allah make you to steadfast in your Imaan
MaaMaashaallah mashallah shekhe wetu kwa kazi ya kulingania dini mungu atakulipa kwakila hatua yako ya kuuweneza uwislam kila pande ya dunia 🤲🤲🤲🤲
Aliye ongozwa na MUNGU hakuna wa kumupoteza ndugu yangu mukolinto nakupa pongezi kwa kupendelewa na MUNGU hakika umeongozwa nakutakia ku ongoka milele Naweye Ramadhani Mungu akuzidishie Kila la kheli
Maa shaa Allah ❤❤
Mashalla alhabdulilai ustaz Ramazan kuria
Alhabdulilai ustaz Ramazan 🇲🇿 mnakupata kwa mozabik
@abdalaauame3863
11 ай бұрын
Mozanbuque-nampula
Mashallah mashallah 💞 Alhamduililaahi kwa siku ya leo Allah Akbar ❤
mashaAllah ust. Ramadhan ust. Yussuf, and Abdulkarim by Maulid from Zanzibar
MashaAllah! Welcome Brother AbdulKareem! You just booked yourself a potential place in Jannat! Allahswt aku fungiliye kila njia la Kheri! Ameen
Mash Allah
This is the most interesting video Shehee wangu
Mashaallah
#AbdhulKarim❤❤❤ NDACHA UPO⁉️
@HOOFCLANMEDIA
11 ай бұрын
Broh kaa chini usome dini vzri ujue dini ya kweli utajuwa 2 uislamu ni dini ya kipekee
@shabbymakapane
11 ай бұрын
😁😁😁. NDACHA AAAAA Upo Wapi ??? 😅😅🙃
Mashallah Allah awaongoze. Ss atoe kasidi
@user-gw8we8bb2o
11 ай бұрын
Kasida
Allah Akbar
Welcome back brother to your original faith Alhamdulilah Rabbil Aalamiin Allah Akbar
Mashaallah Tabaraka Rahman. Alhamdulillah
Mashallah kazi nzuri Sheikh Allah akulipe inshallah
@Hi_20206
11 ай бұрын
Ameen
Abdulkarim karibu sana katika dini ya Uislamu na Allah Akuongoze pamoja na Familia yako
My brother umefanya jambo la busara sana kwa kukimbia hiyo dini ya kikorinu,mimi hapa nabii mmoja alitaka kunikosanisha na mke wangu kwa kumsingizia ya kwamba yy ni mshetati,nikashindwa mbona nikiwa kenya hakuwahi niambia alingoja mpaka nipande ndege ndio aniambie .. huyo alitaka pesa zangu tuu. allah azidi kukubariki ndugu yangu na usirudi huko tena
Allah ukbar mashallah straight path Allah azidi kuwapa nguvu zakueneza dini
الله أكبر
MashAllah welcome brother
MashaAllah, Allah akupe Tawfiq juu ya uislamu na KUPITIA kwako usilimishe wengi zaidi. Allahumma Aamiin!
MashaAllah Allah ampe umri mrefu awe dai kama wewe kaka
ALLAHUMA BARIK ALLAH akuhifadhi na azidi kukuongoza umechagua njia ya haki
Indeed Allah guides whom he wills. vyema chukuwa account yako ya KZread futa music zote Anza kuokowa wengine walioko kwenye kilugha chako
Maasha Allah.
@farheenmasoudchannel2495
11 ай бұрын
Hata hueleweki umeandika nn
Masha Allah
Nafarijika na kujifunia Dini yangu
Subhannah Allaah yupooo wazi kuweza kuwafahamishaaa, kuwafahamishaaa walopotokaaa ni hodari kama sheikh MashaAllaah
الله يحفظها يارب
Mashaa Allah
I hope Abdul Karim ata kuwa the first Student wa Markaz ya Mukurueni! Wellcome to your ticket to Jannat! TabarakAllah Team Kuria na mzee waku pelekwa pole pole, Ustad Yusuf!
Allah atuongoze mwisho mwema insha'allah wewe ndio Chairman wngu Allah anatenda na kubariki 🕌🙏
ALLAHU AKBAR, wataelewa tu! Allah akudumishe katika dini yake ya haki na atujalie sote mwisho mwema.
ALLAHU AKBAR
Asalam aleikum w.w Abdulkareem amenifurahisha namaelezo yake Allah amuhifadhi
MashaAllah Abdul Karimu
Haqq ikipatikana uongo hujitenga, nuru ikapatikana, Al hamdulillaah Allaah amekujalia kuona Nuru, Allaah akujalie pepo ya hali ya juu kesho kiyyama
Mashallah mashallah mashallah
MashaAllah TabarakaAllah
Masha ‘Allah 🤲☝️❤️
MASHA ALLAH sh. Ramadha INSHA ALLAH ikiwezekana temeya apo Dallas uwalinganiye ndugu zetu
ماشاء الله عبد الكريم بيتر
mashAllah huyu jamaa anaweza kuwa mwalimu mzuri sna
Mashaallah Mungu wafanyi wapesi waja wako wakujue wewe ulie wapeke na mitume wako.
Mashallah shekhe
Asalamu. Alakum,Mashala mwenyezi mungu amuzidishie kujua dini
❤ Ma'sha'Allah
ALLAH AKBAR.
MashaAllah Tabaraka Rahman. InshaAllah, Allah atakukufanyia wepesi katika maisha yako na atakulinda na kukuongoza popote ulipo.
MashaAllah