MCHUNGAJI AWAOMBEA WAISLAMU DUA NZURI KWA KAZI NGUMU YA DAWAH WANAYOIFANYA
Please subscribe to our channel. #StraightPathDawah
Жүктеу.....
Пікірлер: 59
@omarmuhamud3302Ай бұрын
Kila alie na roho mzuri Allah amuongoze. Aaameeen
@josemu870Ай бұрын
Kwa neema ya uislamu barikiweni Allahamdhulla
@user-oy4gc8bi7gАй бұрын
Allah awahifadhi na awape umri mrefu. Na awajaalie wepesi
@FumokaleАй бұрын
Kazi inaendelea na inshaAllah itaendelea hadi ifike saa...Allah awawezese kwa kila namna na awajaalie IKHLAS....aaaaminaaaa
@minaniyasini7834Ай бұрын
Masha allah. Allah awalipe wahadhiri kwa juhudi zeni
@seifserenge3340Ай бұрын
Nawapongeza sana mashekh wetu. Huyo pasta ni mtaratibu sana na anaweza kukufahamuni, ushauri wangu musimwache akatoa tu maneno yake kichwani Kila hoja mbaneni atoe maandiko na kama hajatoa mtoleeni nyinyi haraka, nyinyi ni TX wa maandiko kwani anawazungusha zungusha akwepa kujibu maswali.
@mobutu3884
Ай бұрын
Yote aliyoongea mchungaji maandiko yapo labda useme ni wapi hujaelwa utolewe andiko hapahapa 😂
@kimzymamy6594Ай бұрын
MashaaAllah Allah awahifadhi. Mashekhe wetu kaz nzuri❤❤❤❤
@abdalaauame3863Ай бұрын
Mashalla ustaz ramazane kuria 🤲🤲🤲🤲📿
@hamzafishten9560Ай бұрын
Allah akulipe sheikh wangu
@user-du2fy5sd5uАй бұрын
MashaaAllah tabarakah Rahman
@Noorein-ws8wkАй бұрын
Allah awaongoze waione haki na waifuate.
@fardoshnassor7847Ай бұрын
Mashaallah Allha 💖💖💖
@MohamedMejaАй бұрын
Mashallah mungu awajazii herii
@Sai.Mo69Ай бұрын
Pastor haja towa ANDIKO iki sema UKRISTO ni dini! Na wala HATA TOWA, kwa sababu 'UKRISTO' hai EXIST! Pastor ni mjanja sana! Ame DODGE swali laku towa ANDIKO iki sema Ukristo ni Dehebu! Pastor ana taka ku okota SADAKA tuu, aki jua ana DANGANYA Watu! Welldone Team! MashaAllah.
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Halipatikani abadan
@hemedalli4073Ай бұрын
Mashallah
@adanabdi5249Ай бұрын
Masha Allah.
@salmaminja7714Ай бұрын
Assalam Alaykum. Shekh Ramadhan, na jopo lako sijui km naweza kuwaclisha furaha yngu kwa kaz ya kutangaza dini ya khaq, hakika siwez kwn napata furaha mnoo kwa video zenu Alhamdulilah. Allah azid kuwapa afya nzr na wepec kwn hii kazi ina vikwazo snaa. Namuomba pia hapa na kesho akhera awajalie pepo yke tukufu nac tunaofuatilia atujalie pia. Inshallah. Allahu Maa'ana.
❤asc Masha'Allah kazi ni ngumu lakini mjikaze nira
@bahsansheikh6042Ай бұрын
Mzee Yusuf umemkaba sana pastor mpaka hana pumzi😂😂
@user-fc6uf6be5uАй бұрын
Mashallah pastor anakua muelewa inshaaAllah Allah amuongoze awe muislam amiin ✋
@HassanKipyego-cs5ffАй бұрын
Sema bismi
@aliissa-je6gtАй бұрын
shekhe wang umenifurahisha sana leo huwaga nasikiliza sana dawah na furahi kuona hivyo mungu awafanyie wepesi insha allah❤sasa kilicho nichekesha leo na nikacheka kwa sauti nikwamba jamaa anasema yy ni mchanganyiko na ww ukamjibu hahahha sasa ilo jibu lenyewe sasa😁😁😄
@StraightPathDawah
Ай бұрын
😅😅😅😅
@abdallahjuma2608Ай бұрын
❤
@MalowhassanMalowАй бұрын
Mash Allah
@zeharaz411613 күн бұрын
Huyu kijana poa kweli na Jina kesha litafuta Ya Rab amjalie asilim
@iddyjuma8036Ай бұрын
Hahahaaa iyo kama dawa kama kawa
@user-fr6rv2yb4sАй бұрын
Masha Allah huyo pastor ni mtu mwenye ilmu, utulivu na ana tamaa ya kujua uislami. Namuombeya ALLAH ampe hidaya na apate na kufata njia ya haki baada ya kusoma hiyo Qur'an aliyopewa na ma sheikh. Na kwa team ya straighpath daawa ni ALLAH pekee yake atakayewalipa kwa KAZI mzuri mnayofanya kwa niaba ya waislamu billioni 2 duniani mzima. ALLAH awafanyie kazi yenu rahisi na yenye baraka. Allahibarik na fiamanallah
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
AaminayaarabiKwasoteUmmati.Muhammad
@mufunyiibrahim3655Ай бұрын
Mimi nilisilimu kitambo natafuta msichana muislamu kati ya miaka 25-28 wa kuoa kabla ya September mwaka huu.akuwe serious
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Tupigie simu insha'Allah
@user-ng1po1dh4z
18 күн бұрын
Waislamu tunao Wasichana wengi tu. Ila yabidi kumchagua aliye na hofu ya Mwenyezi Mungu mmoja peke yake, kwa kuufuata Uislamu Dini moja ya haki Duniani.
@user-rc7oi2hp8lАй бұрын
Ustadh mukitoa quran muwambie wakieke pasafi nawakisome wakiwa wasafi(twahara)
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
HawanagaTohara.wanatumiaTishu
@mwanaidiissa10Ай бұрын
Mbona huyu mchungaji anakwepa swali
@mwangimuhammad-sx9hbАй бұрын
Justus ole tipis
@hythamhashiem4458Ай бұрын
Aadam alipo kuwa hapo peponi hakuwa na sheriya yoyote illa alipo fika Ardhini ndipo alipo pewa uongozi! hivo ndivyo ayah zinavyo sema kwe suratul baqara na surat twaha, na baada kupewa uongofu hakufanya makosa yoyote alio fanya
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Maelekezo ya kutokula katika ule mti alipewa akiwa wapi?
@hythamhashiem4458
Ай бұрын
Ni peponi lakini sio pepo watakao ingia watu siku ya mwisho sababu huko hakuna kutaliwa kula kitu chochote bali hiyo ni bustani la strehe kiarabu ime itwa jannah na maana zaidi ya moja
@martymcfly9232Ай бұрын
Hapo ni mji gani?
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Mariakani
@user-vj2bv6dv2p7 күн бұрын
Nina swali hivi niseemu gani kwenye biblia au kwenye koroani imehandikwa wanahume kuhowa wana wake 2 au 4
@kennodhiamboАй бұрын
Aliwaumba majini na watu wamuabudu... dini inayowatukiza majini (mashetani). Mbona msiwatukuze malaika ambao ni viumbe vya nuru bali mnawatukuza majini ambao ni mashetani. Waislamu fungueni macho! Hakika Allah ni Al-Makir, Al-Muzil
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Aliowataja ni mwenye kuwaumba na amewataja malaika vivyo hivyo. Ukifungua akili utaona
@mobutu3884
Ай бұрын
@@StraightPathDawahSiku zote majini hukaa sehemu wasiyosumbuliwa na hawapati madhara yoyote ndio maana huwezi tenganisha majini na uislamu,
@kennodhiamboАй бұрын
Soma Luka 4:16 katika lugha ya Kiingereza halafu msome maelezo kama itasema ni msikiti. Uwongo itawasaidia na nini? Biblia iko na majina kama Shehe na kadhi kwa sababu ya tafsiri kwa wakati huo
@isaa_ogutu
Ай бұрын
So ya kiswahili hakieleweki sio na unajaribu kusema ya kiswahili walio tafsiri uko na elimu kuwashinda sio? Kaka wacha ubishi bana.
@mobutu3884
Ай бұрын
@@isaa_ogutumbona sasa quran haitambui kuwa sinagogi ni msikiti? Kwa hiyo unakubaliana na Biblia kuliko quran?😂 Soma quran 22:40 halafu utwambie sinagogi ni nini
@hamisikassimmwatamu7949
Ай бұрын
Lugha ndio inakutatiza msikiti ni kiswahili sinangogi ni kibrania kwa kiarabu ni masjid na nyumba ni hiyo hiyo mmmojy
@mobutu3884
Ай бұрын
@@hamisikassimmwatamu7949 kama lugha inanitatiza ndio maana nikasema basi soma quran 22:40 halafu uniambie kati yangu, wewe na quran ni nani lugha inamtatiza?
@kennodhiambo
Ай бұрын
@@hamisikassimmwatamu7949 Hebu nikuulize ndugu yangu, kisawe cha msikiti ni sinagogi? Soma Surah 22:40 mbona sinagogi na misikiti zimetajwa kando kando
Пікірлер: 59
Kila alie na roho mzuri Allah amuongoze. Aaameeen
Kwa neema ya uislamu barikiweni Allahamdhulla
Allah awahifadhi na awape umri mrefu. Na awajaalie wepesi
Kazi inaendelea na inshaAllah itaendelea hadi ifike saa...Allah awawezese kwa kila namna na awajaalie IKHLAS....aaaaminaaaa
Masha allah. Allah awalipe wahadhiri kwa juhudi zeni
Nawapongeza sana mashekh wetu. Huyo pasta ni mtaratibu sana na anaweza kukufahamuni, ushauri wangu musimwache akatoa tu maneno yake kichwani Kila hoja mbaneni atoe maandiko na kama hajatoa mtoleeni nyinyi haraka, nyinyi ni TX wa maandiko kwani anawazungusha zungusha akwepa kujibu maswali.
@mobutu3884
Ай бұрын
Yote aliyoongea mchungaji maandiko yapo labda useme ni wapi hujaelwa utolewe andiko hapahapa 😂
MashaaAllah Allah awahifadhi. Mashekhe wetu kaz nzuri❤❤❤❤
Mashalla ustaz ramazane kuria 🤲🤲🤲🤲📿
Allah akulipe sheikh wangu
MashaaAllah tabarakah Rahman
Allah awaongoze waione haki na waifuate.
Mashaallah Allha 💖💖💖
Mashallah mungu awajazii herii
Pastor haja towa ANDIKO iki sema UKRISTO ni dini! Na wala HATA TOWA, kwa sababu 'UKRISTO' hai EXIST! Pastor ni mjanja sana! Ame DODGE swali laku towa ANDIKO iki sema Ukristo ni Dehebu! Pastor ana taka ku okota SADAKA tuu, aki jua ana DANGANYA Watu! Welldone Team! MashaAllah.
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Halipatikani abadan
Mashallah
Masha Allah.
Assalam Alaykum. Shekh Ramadhan, na jopo lako sijui km naweza kuwaclisha furaha yngu kwa kaz ya kutangaza dini ya khaq, hakika siwez kwn napata furaha mnoo kwa video zenu Alhamdulilah. Allah azid kuwapa afya nzr na wepec kwn hii kazi ina vikwazo snaa. Namuomba pia hapa na kesho akhera awajalie pepo yke tukufu nac tunaofuatilia atujalie pia. Inshallah. Allahu Maa'ana.
MashaAllah
SbhanaAllah.kaokoka...a.Allah.AtuongozewooteYaarabi
MashaaAllah ❤️
❤asc Masha'Allah kazi ni ngumu lakini mjikaze nira
Mzee Yusuf umemkaba sana pastor mpaka hana pumzi😂😂
Mashallah pastor anakua muelewa inshaaAllah Allah amuongoze awe muislam amiin ✋
Sema bismi
shekhe wang umenifurahisha sana leo huwaga nasikiliza sana dawah na furahi kuona hivyo mungu awafanyie wepesi insha allah❤sasa kilicho nichekesha leo na nikacheka kwa sauti nikwamba jamaa anasema yy ni mchanganyiko na ww ukamjibu hahahha sasa ilo jibu lenyewe sasa😁😁😄
@StraightPathDawah
Ай бұрын
😅😅😅😅
❤
Mash Allah
Huyu kijana poa kweli na Jina kesha litafuta Ya Rab amjalie asilim
Hahahaaa iyo kama dawa kama kawa
Masha Allah huyo pastor ni mtu mwenye ilmu, utulivu na ana tamaa ya kujua uislami. Namuombeya ALLAH ampe hidaya na apate na kufata njia ya haki baada ya kusoma hiyo Qur'an aliyopewa na ma sheikh. Na kwa team ya straighpath daawa ni ALLAH pekee yake atakayewalipa kwa KAZI mzuri mnayofanya kwa niaba ya waislamu billioni 2 duniani mzima. ALLAH awafanyie kazi yenu rahisi na yenye baraka. Allahibarik na fiamanallah
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
AaminayaarabiKwasoteUmmati.Muhammad
Mimi nilisilimu kitambo natafuta msichana muislamu kati ya miaka 25-28 wa kuoa kabla ya September mwaka huu.akuwe serious
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Tupigie simu insha'Allah
@user-ng1po1dh4z
18 күн бұрын
Waislamu tunao Wasichana wengi tu. Ila yabidi kumchagua aliye na hofu ya Mwenyezi Mungu mmoja peke yake, kwa kuufuata Uislamu Dini moja ya haki Duniani.
Ustadh mukitoa quran muwambie wakieke pasafi nawakisome wakiwa wasafi(twahara)
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
HawanagaTohara.wanatumiaTishu
Mbona huyu mchungaji anakwepa swali
Justus ole tipis
Aadam alipo kuwa hapo peponi hakuwa na sheriya yoyote illa alipo fika Ardhini ndipo alipo pewa uongozi! hivo ndivyo ayah zinavyo sema kwe suratul baqara na surat twaha, na baada kupewa uongofu hakufanya makosa yoyote alio fanya
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Maelekezo ya kutokula katika ule mti alipewa akiwa wapi?
@hythamhashiem4458
Ай бұрын
Ni peponi lakini sio pepo watakao ingia watu siku ya mwisho sababu huko hakuna kutaliwa kula kitu chochote bali hiyo ni bustani la strehe kiarabu ime itwa jannah na maana zaidi ya moja
Hapo ni mji gani?
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Mariakani
Nina swali hivi niseemu gani kwenye biblia au kwenye koroani imehandikwa wanahume kuhowa wana wake 2 au 4
Aliwaumba majini na watu wamuabudu... dini inayowatukiza majini (mashetani). Mbona msiwatukuze malaika ambao ni viumbe vya nuru bali mnawatukuza majini ambao ni mashetani. Waislamu fungueni macho! Hakika Allah ni Al-Makir, Al-Muzil
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Aliowataja ni mwenye kuwaumba na amewataja malaika vivyo hivyo. Ukifungua akili utaona
@mobutu3884
Ай бұрын
@@StraightPathDawahSiku zote majini hukaa sehemu wasiyosumbuliwa na hawapati madhara yoyote ndio maana huwezi tenganisha majini na uislamu,
Soma Luka 4:16 katika lugha ya Kiingereza halafu msome maelezo kama itasema ni msikiti. Uwongo itawasaidia na nini? Biblia iko na majina kama Shehe na kadhi kwa sababu ya tafsiri kwa wakati huo
@isaa_ogutu
Ай бұрын
So ya kiswahili hakieleweki sio na unajaribu kusema ya kiswahili walio tafsiri uko na elimu kuwashinda sio? Kaka wacha ubishi bana.
@mobutu3884
Ай бұрын
@@isaa_ogutumbona sasa quran haitambui kuwa sinagogi ni msikiti? Kwa hiyo unakubaliana na Biblia kuliko quran?😂 Soma quran 22:40 halafu utwambie sinagogi ni nini
@hamisikassimmwatamu7949
Ай бұрын
Lugha ndio inakutatiza msikiti ni kiswahili sinangogi ni kibrania kwa kiarabu ni masjid na nyumba ni hiyo hiyo mmmojy
@mobutu3884
Ай бұрын
@@hamisikassimmwatamu7949 kama lugha inanitatiza ndio maana nikasema basi soma quran 22:40 halafu uniambie kati yangu, wewe na quran ni nani lugha inamtatiza?
@kennodhiambo
Ай бұрын
@@hamisikassimmwatamu7949 Hebu nikuulize ndugu yangu, kisawe cha msikiti ni sinagogi? Soma Surah 22:40 mbona sinagogi na misikiti zimetajwa kando kando