PASTOR ATOLEWA JASHO NA WAFUASI BAADA YA KUWAAMBIA ETI MUNGU WAO ALIBEBWA NA IBILISI
Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. Kwa kutazama part one tafadhali fungua link hii
• WAKRISTO WA MBEERE WAM...
Пікірлер: 271
Sheikh that was a good dawah.May Allah increase you in knowledge and health.
@ARNOLDKARISA-fs3ht
7 ай бұрын
amiin
Allah (sw) akuhifadhi, akulinde ili uweze kuitangaza dini yake. Na sisi tupo nyuma yako
Mashallah sheikh ramadhan kwa kazi mzuri na changamoto ya dawaa Allah akulipe mema na akutemngeze mambo yako fii dunia waal Akhera inshallah
Subhanallah. Alhamdulillah kwa neema ya kua waisilamu Allah atujaalie tufe ktk Imani ya ki islamu na tufe hali ya kua ameturidhia. Amiin
@Yu-jr9uf
Жыл бұрын
amin, nafuraha kubwa sana na nina amani saana Allah kunijalia mm kua muislam!!! namuomba sana sana sana anifaulishe na atufaulishe waislam katika dunia yetu na akhera yake
@ARNOLDKARISA-fs3ht
7 ай бұрын
amiin
@jamilamchangamwe
7 ай бұрын
Ameen yarab
@ZsbAlbarwani
6 ай бұрын
Amiin 🤲
@hassanalfan6941
2 ай бұрын
🤲🤲🤲@@Yu-jr9uf
Wakiristo wengi hawaisomi bibilia yao wangeisoma wasingekua wakiristo wangekuwa. Waislam , Jazzakallah khaillah shehewetu kipenzi, Allah akupe subra kwenyeulinganizi 🤲🇹🇿
@sulealim6325
Жыл бұрын
Ndo. Mana wanataka kufanya mabadiliko kutoa album jipya mana wanahis limepitwa na wakati
@ndetim7043
Жыл бұрын
Tunasoma bibilia sana, hata tunajua manabii walikuwa mpaka Yohana, na wale wengine ujiita manabii baada yake in mwezi na waogo.
@davidmghanga8502
Жыл бұрын
Waislam ndo tunawahurumia mngeielewa BIBLE na uelewe na Quran ungekuja kwa YESU haraka maana ungeachana na Quran ungesoma 2:97utoke jasho yenyewe inajieleza ilitoka wapi Heshimu BIBLIA upone.bila YESU motoni
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Tegea upate majibu yako
@nooor1120
Жыл бұрын
@@ndetim7043 hamuisomi kwa mazingatio,mungesoma hasa mungeona kasoro nyingi na uongo ulio pandikizwa humo na mungeuliza maswali kwa wakubwa zenu .
Well handled step by step Dawah Ustad. MashaAllah. TabarakAllah Twam! Ujumbe ume fika, na misconceptions ku tolewa! AllahuAkbar!
Wallah Allah anona kazi unayo ifanya kazi kubwa sana hakika Mwenyezi mungu akuhalalishie jannatfirdaus inshallah na akupe kila hilahitaji lenye faida na yote upendezwayo duniani na akhe kila lenye kheiri Allah akupe umri mrefu kama namba ya nida uzizi kuelimisha maelifu ya watu inshallah 🤝 napenda sana hichi kipind kili nibadilisha sana kwakuangalia tu nimeyajua meng sana Shukuran na ipenda hy channel kwa Ajili ya Allah 💯 🙏 🤝
@Arishafa547
Жыл бұрын
Nikipata nafs kabla sijondoka kenya hii nitafika huko inshallah namuomba Allah
Sheikh Ramadhan kazi yako inahitaji uvumilivu wa hali ya juu nakutakieni kila la kheri ktk kuwalingania wasiokua Waislamu na Mwenzezi Mungu awalipe kheri nyingi Duniani na Akhera.
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Ameen 🤲
Sheikh Ramadhan nimehisi hao watu wanataka kujuwa hata pastor nae ni mgumu lakini ameelewa maandiko na ukweli, wanahitaji zaidi elimu wapate kumjuwa Mwenyezi Mungu na uislamu
I dont seen intelligent man like u. Mashaalah🙏🏾
@nooor1120
Жыл бұрын
Maa shaa Allah
Dinii ya haki mbele ya mwenyenzi mungu ni uislam
@SalmanMughal-lq5lt
2 ай бұрын
Takbri.AllahuAkbaru
Straight path daawa my namba one channel
الله اكبر للهم بارك لشيخنا رمضان واصل الدعوة وافقك الله وعانك الله على هذه الدعوة
@nassorsharifu9837
Жыл бұрын
Aamin pamoja na wote wanaofanya kazi ya da'awa
@babuuosama8752
Жыл бұрын
Amiin 1m%
Hehe walhy nacheka sana hyo jamaa ananangana kutafuta andiko la mungu mwana haoni kachnganyikiwa
Ma shaAllah. Great multitasking katika Dawah, both Part 1&2 ! Well done Ustad! Good Questions from Miraa Chewer to Pastor Mrongo! Paul ni BESTE wa Shaitani, ba bado huyy Pastor amem shikilia PAUL! Huyu Pastor na PAUL ni kitu KuMoja! WOtee wawili wana ongozwa na MA ROHO VITUKUTU! Kanisa ya Mwanzo Duniani liko Vatikan! Kweli kabisa! Hapa ndio HEADQUARTER ya UKRISTO!
Maashaallah baarakallah wakristo ushindani bila maandiko kumsingizia nabii isa(a.s) yesu kama mungu mwana apo tu ndio mwakosea
It’s insane . Inawezaji kunyentekea kwa sheitani na wewe ni Mungu. You will see crazy stuff with our Christian brothers.
May Allah bless you sheekh Ramathan jazaka Allahu Kheyra
@Sai.Mo69
Жыл бұрын
Ameen kwa Team mzima wa Ustad!
Ramadan umenifunza mengi sana mungu hawe nawe siku zote
@SalmanMughal-lq5lt
2 ай бұрын
Aamina
May Allah increase your knowledge sheikh,may Allah show His people the way.
@duniyarongo-yd7it
Жыл бұрын
Ñnmmmk0
Mkono kwa mkono Hadi peponi
MASHA ALLAH Uko Sawa Kabisa Parsonsl Yko + Elimu Ilio Nayo MASHA ALLAH Uko Fastar Kutoa Andiko Hubabsiki Kwa Wuraan Na Kwa Bibilia IN SHA ALLAH Tunakubea ALLAH Akupe Afya Na Umri Na Akuzidishie Elimu Zaidi Ww Na Hao Wenzako Na Ndugu Yetu Yusuf Wambugu Na Group Yke Nao Pia MASHA ALLAH Wko Poa Na Wengineo Kina Mazinge Tz Na Mazinge Wa Kenya
Shukran sheikh ramadan pamoja na team yako kwa kazi ngumu na yenye changamoto ya daawah,Allah awaufurahishe na awatengeze mambo yenu na awaruzuku jannat firdaus
Masha Allah watabaraka Allah ..kazi nzuri sana shekhe we2
Allah akujaalie umri mrefu wenye manufaa shekhh wetu ramadhaan
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Allahuma ameen 🤲
Good job keep going ndugu Ramadhan
Mambo imechemuka! JazakumAllah khairan!
JAZAKALLAHU KHAYR YAA SHEIKH . HIO LUKA 19 ;27 INAWAFUNGA MIDOMO ALWAYS .
Wakristo wengi hawajitambui jamani wanatakiwa wasaidiwe wengi watachomwa moto
Mashallah
Masha Allah, JazakAllahu kheyran ustaadh wetu ...
Mashallah Leo imenoga Mashallah pastor amechanganyikiwa
Allah akuzidishie subra na ilmu na akujaalie IKHLASW ktk uyafanyao....amiin
Unafanya kazi kubwa usichoke mwalimu...Allah ukupe jana tufridaus🤲
jazaakaAllahu kheyran sheikh i love you for the sake of Allah
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
💓
Watajua ukweli tu......keep it up ustadh
Wakorinto wa kwanza 15:18 Na hao nao waonao wamelala katika kristo wamepotea.
Allah awahifadhi masheikh wetu.
Sheikh ramadhan,may Allah grant u JANNAH InshaAllah
@ARNOLDKARISA-fs3ht
7 ай бұрын
amiin
Nimefurahi hadi wakiristo wanamkataa mwezao akisema yesu mungu
جزاك الله خيرا بارمضان شجاح وعالم ماشاالله
MaashAllah shekhe Rama Allah akuhifadhi
Their is supernatural stability and their is common sense 😂
Allah akujaalie kila la kher ramadhan 🙏
Ati mungu ni Mtoto wa yesu..huyu jamaa wa kwanza amechanganyikiwa😂
Masha Allah broad your knowledge
Subhanallah wakristo wanakuaga comed
Naona Pastor jasho kweli limemtoka kutoka kwa wafuasi...hawasikii lolote ukiwaambia ibilisi ameingia katika mwili wa Mungu..nimecheka mpaka basi. ATAJUA AJUI
sheikh ilo swali la Mungu kujaribiwa na shetani sikutegemea Kama kuna mkristo angeliona
SHEIKH you look very good in kanzu wallahi.
Sheikh uko na Kibarua walaahi....ALLAH akusaidie
Asalama alaikum yani mpaka dunia itaisha bs haitopatikana ukweli juu ya wakristo hashwa kwa yesu kwa sababu haiwezekani dini itengenezwe na watu alafu izidi kudra ya Mungu ambae kawaumba awo watu,Mungu atupe mwisho mwema ishaalwah
😂😂😂😂totally confused. He really thinks he knows everything. Hakuamini Yesu alibebwa na lbilisi.
Allah Akbar 😭🤲🏽
Hatari yaani sense ni kitu muhimu sana
Baada ya kufuatilia kwa muda mrefu kidogo. Nimegundua kuwa Ramadhani Kuriabhamna kitu anajua ila ni mbishi wa kutaka kukubaliana na ukweli. Yesu alipinga mipango ya shetani. Muhammad aliingiliwa na Shetani. Mungu awafunulie iliyo kweli.
Nimechekaa leo mashaallah
Hapo sawa.
Jazaakallah khayrii shekh
Huyu jamaa anayesema Yesu hakuwa Mkristo anajua maandiko vizuri
@jumannemuhammad2073
Жыл бұрын
Yesu ni kimungu kidogo😃😃
@maymunamakungu6265
Жыл бұрын
@@jumannemuhammad2073 Sema Astghafirullah
Ya Allah because of our bad actions, we are chasing pple away from the religion😭😭
@stoispapi2380
Жыл бұрын
What do you mean????
Masha Allah
Huyu pastor haeleweki mi simuelewi kabsa
Total confusion, mara Yesu ni Mungu, mara Yesu ni mtoto wa Mungu. Yesu ni mtume wa Yesu. Ajabu.
MashaAllah
Hakika uisilam nidini ya kweli
Jazakallahu kheir mashallah good work♥️
Mohamed alikuwa mtumwa wa mungu alifanya kazi gani hapa duniani? Jesu tujua kazi yenye alifanya
Huyu Patrick ni moja wa WaKristo ambao wana semaga URONGO, ili KUSUDI kui chafua Islam! A Deliberate Liar! 🤥 Ame sema UWONGO eti WaIslamu huwa wana tukana katika Ramadhan. HalafuAka sema UWINGO tena, eti WaIslamu wana Ma BAR! MShenzi sana huyu Mnafik Kafiri Patrick!
Allah bless you sheikh
Mashaallah huyu jamaa kapata daawa Hadi M/MUNGU kawa mtoto wa Yusu.
Kweli kbs sheikh Allah akujaalie 🙏🤲☝️
Mashallah Allah
Safi👍
Hakuna Mungu alituma Muhammad, alitumwa na watu na Mungu akiwa shaidi
Pastor ame pewa Free Air Time nyingi sanaaaaaa, yaku ongea UWONGO na PIROJO ya Kanisa! Musi wape hawa Pastoe free airtime kwa sababu audience ina weza ku fukiria ni UKWELI, na hali ni porojo!
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Usipowàpa muda hutajua msimamo wao
@Sal.0
Жыл бұрын
@@StraightPathDawah Kweli pia.
Barakallahu feek sheikhe Ramadan
Hapo mko sawa .watu wafundiswe ijapokuwa wengine ni mzigo lakini kwangu naona nikama nyati sa mwiso
Good job sir...
Mashaa Allah
Maashallah
Mashallah hakika leo nimejifunza mengi
@Sai.Mo69
Жыл бұрын
Well done !
@Ismaelnoton2543
Жыл бұрын
@@Sai.Mo69 thank you
@sikukuuchuo3093
Жыл бұрын
Awesome.🤝
Sheikh kutoka kenya mungu akupe maishamarefu yenye kumcha yeye na kuendeleza kaz yake
@SalmanMughal-lq5lt
2 ай бұрын
Aamina
Sheikh huyo mm nitamuoa akisilimu huyo inshaaa llah
@chiefmkalikibz1503
Жыл бұрын
Inshaa Allah
@ukweliwauislamu9590
Жыл бұрын
Masha Allah
@stoispapi2380
Жыл бұрын
It's not a must she becomes a muslim. As long as she's clean of chaste.. As long as she believes in One God. Insha Allah everything is possible.
mashallah
Jazaakumu Allahu khaira
Maneno mazuri sana shekhe wangu
Kazi nzuri sheikh alhmdhllh tunamshukuru mola kwa kutujalia ssi kua waislamu alhmdhllh alhmdhllh
@SalmanMughal-lq5lt
2 ай бұрын
Alhamdulilah😭😭
😭😭
MA SHA ALLAH
Allah akulinde ndugu unafanya daw'a nzuri Allah akuhifadhi
😂😂😂😂 pastor
Mashaallah shekh
ManshaAllah
Kiraaaa bai
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Yaani, maana yake NI nyamazaaa!!!
Kiraa moiwe mkisii kweli mumbeere, huyu ni hatari hapo mbeeere
MASHAALLAH SHEIKH
MASHALLAH
Tatizo la wakristo wanampenda kuimba sana kuliko kusoma biblia wanathamini sana mziki kuliko kuabudu mungu vimini kwa wingi na kucheza kwaya tu ndiyo wanachojua
MaashaAllah Ramadhan