MASAIBU YA SAFARI YA MPEKETONI

Please consider subscribing to our Channel for more videos.

Пікірлер: 49

  • @minhajsahal4467
    @minhajsahal4467Ай бұрын

    Allah awajalie ikhlas kwa hiyo kazi mnaofanya. Tuwaombee ndugu zetu wa Palestine 🇵🇸🇵🇸

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856Ай бұрын

    Sheikh ramadhan karibu lamu inshaa llah natamani ningekua nikuunge kwahio daawa hadi uregee

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5uАй бұрын

    In shaa Allah kila la kheir

  • @mukandamaakbar599
    @mukandamaakbar599Ай бұрын

    Allah awabariki kua kazi zenu na mfike salama

  • @smartwriter2544
    @smartwriter2544Ай бұрын

    Allah awalinde

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594Ай бұрын

    Allah awanusuru nkaz yenu nzuri

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011Ай бұрын

    Poleni na safari Allah awalinde na kila baya

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3htАй бұрын

    wa aleikum salaam warahmatulillahi wabarakatuh

  • @user-fc6uf6be5u
    @user-fc6uf6be5uАй бұрын

    Mashallah Mola azidi kuwafungulia milango ya heri na awalindi kwa kilabaya amiin inshallah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847Ай бұрын

    🤲🏾🤲🏾

  • @rizikiali328
    @rizikiali328Ай бұрын

    Mashallah masheikh wetu Allah awahifadhi na kila Shari na awalipe dua twawaombea

  • @zanzibar-hf7vh
    @zanzibar-hf7vhАй бұрын

    AllahhuAkbar

  • @Alinuribrahim1
    @Alinuribrahim1Ай бұрын

    Poleni sana hio safari sio rahisi.

  • @Shillingi
    @ShillingiАй бұрын

    Home town 🙏

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6fАй бұрын

    Allah awajaalie awaepushe na shari awafanyie wepesi katika kila hatua inshaallah one love mashkhe wetu mkono kwa mkono hadi peponi inshallah

  • @user-ie7yt9db6f

    @user-ie7yt9db6f

    Ай бұрын

    Shekh Yusuf unanichekesha eti Kuna magovernor masenetor na yule Mama WA county 😂😂😂😂inahuzunisha lkn

  • @Fumokale
    @FumokaleАй бұрын

    Subhanalladhy sakkharalanaa hadha wamakunnaa lahu muqrinyn....Allah atujaalie IKHLAS...aaaaamiina

  • @Abdiidaawah
    @AbdiidaawahАй бұрын

    Nawapenda sana Ustadh Wangu Ramadhan na Yusuf

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8lАй бұрын

    Ma sha Allah tabaraka Rahman.umepitia apa kwetu uwe na safari njema

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Ай бұрын

    Kwenu ni wapi?

  • @user-rc7oi2hp8l

    @user-rc7oi2hp8l

    Ай бұрын

    Garsen tana river

  • @swahabahusein23
    @swahabahusein23Ай бұрын

    Masha Allah pia upitie mavuno utupe dawa

  • @martymcfly9232
    @martymcfly9232Ай бұрын

    Mungu awafungulie na awafanikishe

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092Ай бұрын

    Maa shaa Allaah, sijawai mkisii muislamu

  • @Kitwitwi
    @KitwitwiАй бұрын

    Mwenyezimngu awapeleke salama na murudi salama!

  • @softymoha5484
    @softymoha5484Ай бұрын

    assalam aleikuym...sheikh ...usikaribie mto...unaweza liwa na mamba....haaaa 。。。mwenyezi mungu awafanyie wepesi...kwa safari yenu

  • @zainabhussain4114
    @zainabhussain4114Ай бұрын

    MashaaAllah Allah awafanyie wepes

  • @salimbaasba6159
    @salimbaasba6159Ай бұрын

    Karibu, huko Mpeketoni ndiko kwa biashara yangu

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Ай бұрын

    Shukran

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214Ай бұрын

    Ustadh umepita Witu

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Ай бұрын

    Naam

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    Ай бұрын

    @@StraightPathDawah when are you coming back, I want to say hae

  • @josemu870
    @josemu870Ай бұрын

    Barikiweni sana sana

  • @rizikiali328
    @rizikiali328Ай бұрын

    Twawapenda kwa ajili ya Allah

  • @swahabahusein23
    @swahabahusein23Ай бұрын

    Sheikh tuna furahi sana kukuona kwetu ila ufike mavuno utupe dawa

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265Ай бұрын

    MAASHAALLAH. Sheikh Yussuf ulikuwa wapi

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1yАй бұрын

    ALLAH awape kheri

  • @omarmselem6407
    @omarmselem6407Ай бұрын

    Alhamdulillah siku zote nilikua naomba one day ufikirie kutembelea mpeketoni na limetimia...

  • @omarmselem6407

    @omarmselem6407

    Ай бұрын

    Mpeketoni wanaona waislamu kuwa ni watu wabaya sana Allah awape nguvu kuweza kuwalingania na kuelewa uislamu

  • @AbdirahmangolloHalake
    @AbdirahmangolloHalakeАй бұрын

    MASHAALLAH

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343Ай бұрын

    Masha ALLAH ❤ ♥ 💖

  • @muhamedibrahim8931
    @muhamedibrahim8931Ай бұрын

    Ishekh siku moja mutembee madgo

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702Ай бұрын

    Masha Allah ❤

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265Ай бұрын

    Subhanallah. Duu maji hayo wanakunywa?

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092Ай бұрын

    Hao nao waarabu lakin waandika mosque, badala ya masjid

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8lАй бұрын

    tanariver

  • @martymcfly9232
    @martymcfly9232Ай бұрын

    Vitu viwili vita unganisha wakenya na kuitukuza Kenya: lugha ya kiswahili na dini ya kiislamu.

  • @kennodhiambo
    @kennodhiamboАй бұрын

    Nawaulizeni enyi ndugu zangu waislamu yaani hakuna hata mmoja wenu ambaye anaona kasoro kuu iliyoko katika kile mnachoita imani? Hebu mjiulize maswali haya; 1. Mbona shahada ikaandikwa kwenye bendera ya Saudi Arabia? 2. Mbona nikisali lazima nielekeze uso wangu Mecca ambayo pia iko Saudi Arabia? 3. Mbona nisali nikitumia lugha ya kiarabu ambayo ni lugha ya kitaifa ya Saudi Arabia? 4. Mbona kuitimiza nguzo ya tano ya uislamu ni lazima niende Saudi Arabia? 5. Mbona nijifunze lugha ya Kiarabu ili kuwasiliana na Mungu ( neno la Mungu na sala pia) Cha nyongeza ni kuwa majini nikitaka kuwasiliana nao ni lazima niwaongeleshe kiarabu Yesu wa Nazareti alitokea Israeli katika kabila ya kiyahudi lakini wakristo hawajalazimishwa kuwasilana na Mungu wakitazama Israeli, hawasali wakitumia lugha za wengine n.k

  • @Alinuribrahim1
    @Alinuribrahim1Ай бұрын

    Allah awalinde

Келесі