Ma sha Allah tabaraka Rahman.umepitia apa kwetu uwe na safari njema
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Kwenu ni wapi?
@user-rc7oi2hp8l
Ай бұрын
Garsen tana river
@swahabahusein23Ай бұрын
Masha Allah pia upitie mavuno utupe dawa
@martymcfly9232Ай бұрын
Mungu awafungulie na awafanikishe
@habibasalim3092Ай бұрын
Maa shaa Allaah, sijawai mkisii muislamu
@KitwitwiАй бұрын
Mwenyezimngu awapeleke salama na murudi salama!
@softymoha5484Ай бұрын
assalam aleikuym...sheikh ...usikaribie mto...unaweza liwa na mamba....haaaa 。。。mwenyezi mungu awafanyie wepesi...kwa safari yenu
@zainabhussain4114Ай бұрын
MashaaAllah Allah awafanyie wepes
@salimbaasba6159Ай бұрын
Karibu, huko Mpeketoni ndiko kwa biashara yangu
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Shukran
@mohagurey2214Ай бұрын
Ustadh umepita Witu
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Naam
@mohagurey2214
Ай бұрын
@@StraightPathDawah when are you coming back, I want to say hae
@josemu870Ай бұрын
Barikiweni sana sana
@rizikiali328Ай бұрын
Twawapenda kwa ajili ya Allah
@swahabahusein23Ай бұрын
Sheikh tuna furahi sana kukuona kwetu ila ufike mavuno utupe dawa
@maymunamakungu6265Ай бұрын
MAASHAALLAH. Sheikh Yussuf ulikuwa wapi
@user-fh7wu8vx1yАй бұрын
ALLAH awape kheri
@omarmselem6407Ай бұрын
Alhamdulillah siku zote nilikua naomba one day ufikirie kutembelea mpeketoni na limetimia...
@omarmselem6407
Ай бұрын
Mpeketoni wanaona waislamu kuwa ni watu wabaya sana Allah awape nguvu kuweza kuwalingania na kuelewa uislamu
@AbdirahmangolloHalakeАй бұрын
MASHAALLAH
@bentybenty2343Ай бұрын
Masha ALLAH ❤ ♥ 💖
@muhamedibrahim8931Ай бұрын
Ishekh siku moja mutembee madgo
@mwanamtotosaid702Ай бұрын
Masha Allah ❤
@maymunamakungu6265Ай бұрын
Subhanallah. Duu maji hayo wanakunywa?
@habibasalim3092Ай бұрын
Hao nao waarabu lakin waandika mosque, badala ya masjid
@user-rc7oi2hp8lАй бұрын
tanariver
@martymcfly9232Ай бұрын
Vitu viwili vita unganisha wakenya na kuitukuza Kenya: lugha ya kiswahili na dini ya kiislamu.
@kennodhiamboАй бұрын
Nawaulizeni enyi ndugu zangu waislamu yaani hakuna hata mmoja wenu ambaye anaona kasoro kuu iliyoko katika kile mnachoita imani? Hebu mjiulize maswali haya; 1. Mbona shahada ikaandikwa kwenye bendera ya Saudi Arabia? 2. Mbona nikisali lazima nielekeze uso wangu Mecca ambayo pia iko Saudi Arabia? 3. Mbona nisali nikitumia lugha ya kiarabu ambayo ni lugha ya kitaifa ya Saudi Arabia? 4. Mbona kuitimiza nguzo ya tano ya uislamu ni lazima niende Saudi Arabia? 5. Mbona nijifunze lugha ya Kiarabu ili kuwasiliana na Mungu ( neno la Mungu na sala pia) Cha nyongeza ni kuwa majini nikitaka kuwasiliana nao ni lazima niwaongeleshe kiarabu Yesu wa Nazareti alitokea Israeli katika kabila ya kiyahudi lakini wakristo hawajalazimishwa kuwasilana na Mungu wakitazama Israeli, hawasali wakitumia lugha za wengine n.k
Пікірлер: 49
Allah awajalie ikhlas kwa hiyo kazi mnaofanya. Tuwaombee ndugu zetu wa Palestine 🇵🇸🇵🇸
Sheikh ramadhan karibu lamu inshaa llah natamani ningekua nikuunge kwahio daawa hadi uregee
In shaa Allah kila la kheir
Allah awabariki kua kazi zenu na mfike salama
Allah awalinde
Allah awanusuru nkaz yenu nzuri
Poleni na safari Allah awalinde na kila baya
wa aleikum salaam warahmatulillahi wabarakatuh
Mashallah Mola azidi kuwafungulia milango ya heri na awalindi kwa kilabaya amiin inshallah
🤲🏾🤲🏾
Mashallah masheikh wetu Allah awahifadhi na kila Shari na awalipe dua twawaombea
AllahhuAkbar
Poleni sana hio safari sio rahisi.
Home town 🙏
Allah awajaalie awaepushe na shari awafanyie wepesi katika kila hatua inshaallah one love mashkhe wetu mkono kwa mkono hadi peponi inshallah
@user-ie7yt9db6f
Ай бұрын
Shekh Yusuf unanichekesha eti Kuna magovernor masenetor na yule Mama WA county 😂😂😂😂inahuzunisha lkn
Subhanalladhy sakkharalanaa hadha wamakunnaa lahu muqrinyn....Allah atujaalie IKHLAS...aaaaamiina
Nawapenda sana Ustadh Wangu Ramadhan na Yusuf
Ma sha Allah tabaraka Rahman.umepitia apa kwetu uwe na safari njema
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Kwenu ni wapi?
@user-rc7oi2hp8l
Ай бұрын
Garsen tana river
Masha Allah pia upitie mavuno utupe dawa
Mungu awafungulie na awafanikishe
Maa shaa Allaah, sijawai mkisii muislamu
Mwenyezimngu awapeleke salama na murudi salama!
assalam aleikuym...sheikh ...usikaribie mto...unaweza liwa na mamba....haaaa 。。。mwenyezi mungu awafanyie wepesi...kwa safari yenu
MashaaAllah Allah awafanyie wepes
Karibu, huko Mpeketoni ndiko kwa biashara yangu
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Shukran
Ustadh umepita Witu
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Naam
@mohagurey2214
Ай бұрын
@@StraightPathDawah when are you coming back, I want to say hae
Barikiweni sana sana
Twawapenda kwa ajili ya Allah
Sheikh tuna furahi sana kukuona kwetu ila ufike mavuno utupe dawa
MAASHAALLAH. Sheikh Yussuf ulikuwa wapi
ALLAH awape kheri
Alhamdulillah siku zote nilikua naomba one day ufikirie kutembelea mpeketoni na limetimia...
@omarmselem6407
Ай бұрын
Mpeketoni wanaona waislamu kuwa ni watu wabaya sana Allah awape nguvu kuweza kuwalingania na kuelewa uislamu
MASHAALLAH
Masha ALLAH ❤ ♥ 💖
Ishekh siku moja mutembee madgo
Masha Allah ❤
Subhanallah. Duu maji hayo wanakunywa?
Hao nao waarabu lakin waandika mosque, badala ya masjid
tanariver
Vitu viwili vita unganisha wakenya na kuitukuza Kenya: lugha ya kiswahili na dini ya kiislamu.
Nawaulizeni enyi ndugu zangu waislamu yaani hakuna hata mmoja wenu ambaye anaona kasoro kuu iliyoko katika kile mnachoita imani? Hebu mjiulize maswali haya; 1. Mbona shahada ikaandikwa kwenye bendera ya Saudi Arabia? 2. Mbona nikisali lazima nielekeze uso wangu Mecca ambayo pia iko Saudi Arabia? 3. Mbona nisali nikitumia lugha ya kiarabu ambayo ni lugha ya kitaifa ya Saudi Arabia? 4. Mbona kuitimiza nguzo ya tano ya uislamu ni lazima niende Saudi Arabia? 5. Mbona nijifunze lugha ya Kiarabu ili kuwasiliana na Mungu ( neno la Mungu na sala pia) Cha nyongeza ni kuwa majini nikitaka kuwasiliana nao ni lazima niwaongeleshe kiarabu Yesu wa Nazareti alitokea Israeli katika kabila ya kiyahudi lakini wakristo hawajalazimishwa kuwasilana na Mungu wakitazama Israeli, hawasali wakitumia lugha za wengine n.k
Allah awalinde