KHOFU YA TATIZO HILI YAWAKIMBIZA WAISLAM MSIKITINI NCHINI TANZANIA.

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 41

  • @makkamadinnah9586
    @makkamadinnah95862 жыл бұрын

    Subhannallah Subhannallah Subhannallah!!! Allah ataleta kheri tu hapa na Kwa sababu Alfataha imefika basi kheri ipo karibu

  • @gangmore9091
    @gangmore90912 жыл бұрын

    Yarab Yarab jalia kheri n wepesi wapate wanchokita waja wako Amin Amin

  • @salimaslalaamalekumwardah1318
    @salimaslalaamalekumwardah13182 ай бұрын

    Allahuma aijaaliye iwe haraka isimame msikiti na madrasa pia yaa rabi takakabliye Dua yao iwe kabul inshaallsh

  • @zawadghafri5440
    @zawadghafri54402 жыл бұрын

    Shukran sana AL fatah mwenyezi mungu amekuja alia kufika mpaka singida

  • @user-uz1er8xp6h
    @user-uz1er8xp6h Жыл бұрын

    Allah atakulipa ujira mwema shekhe hapaduniani na kesho akhera amin.

  • @belkoscongas242
    @belkoscongas242Ай бұрын

    This is so touching my muslim brothers around the world, why are we quiet about this, subhanallah

  • @zayumar2955
    @zayumar29552 жыл бұрын

    Subhannalah Inshaalah utasimama msikiti Mkubwa zaid kwa nguvu zake Allah

  • @malikmzee1772
    @malikmzee1772Ай бұрын

    Mung atafany wepes ktk hili Allah ishaallah

  • @user-nv7jg6xc8l
    @user-nv7jg6xc8l4 ай бұрын

    Kwetu Dar misikiti mizuri lakini waswaliji hakuna dah inaumiza sana 😢

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba29 күн бұрын

    Hongera kwa kuujulisha umma wa kiisilaam kwa kuwajuza waisilaam popote pale walipo duniani ili waweze kuchangia ili ndg zetu hawa waweze kupata msikiti mzr kwaajili ya kufanya ibada zao ktk hali ya Utulivu Inshallah.

  • @wanusuleiman169
    @wanusuleiman169 Жыл бұрын

    Laailaaha illallaah Muhammadu rasuulullaah ! Ktk hili bas 'falyatanafasilmunataafisuun'

  • @zanzibarsafi2882
    @zanzibarsafi28822 жыл бұрын

    inshallah umoja ni nguvu utasimama ujenzi wetu kwa uwezo wa mungu

  • @sadaissa3974

    @sadaissa3974

    3 ай бұрын

    inshallah

  • @dulividuli5237
    @dulividuli5237Ай бұрын

    Allah atafanya wepesi inshaAllah

  • @safiaidriss4535
    @safiaidriss45352 жыл бұрын

    Ya Allah Ya Rabbi help they ummah 😭😭😭

  • @almasramadhan9387
    @almasramadhan9387Ай бұрын

    Mmekalia kubishana mambo yasiyokua na faida ujinga mliopandikizwa na mabwana zenu nje ya nchi ndiyo yanayorudisha nyuma maendeleo ya nyanja zote katika uislam mmekua mamwinyi mashekh mnatukanana mnadhalilishana saa ngapi mtawakumbuka waislam wa vijijini mashekh wa Tanzania mnatia kinyaa kuritad Kwa waislam Hawa ni matokeo ya sera mbaya za viongozi wa kiislam Tanzania

  • @zawadghafri5440
    @zawadghafri54402 жыл бұрын

    Subuhna Allah mwenyezi mungu mkubwa hakuna kinacho shindikana mkono kwa mkono hadi peponi

  • @hajiassumani9138
    @hajiassumani91382 жыл бұрын

    Yaa Rabii sisi hatuna uwezo wakujenga mskiti huu lakini tuta changia chochote pia tuna paza sauti nakuwaomba wmatajiri tuwaone waislam wenzetu jazaa utaikuta kwa Allah Al fatah tv Allah awalipe kheri kwaku wafata waislam bila kujali umbali na changamoto za njiani

  • @alfatahcharitableassociati18

    @alfatahcharitableassociati18

    2 жыл бұрын

    Tunawashukuru kwa ushirikiano wenu.

  • @rashiddaudrashi2895
    @rashiddaudrashi28952 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭Yaa Rabii wape subra ndugu zetu Mkono kwa mkono tuwa saidie waislam wenzetu

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du2 жыл бұрын

    Jambo zuri kuwa mnakwenda TZ bara pia. Ndugu zetu huko wanahitaji sana msaada. Nashauri mjenge msikiti kwanza. Utumiwe pia kama madrassa. Khususan sehemu ya wanawake inafaa sana kwa shughuli hii. Misikiti haitumiwi efficiently, baina ya salawat huwa inafungwa au haitumiwi.

  • @ZainaBu-zs6wc
    @ZainaBu-zs6wcАй бұрын

    Ishaallha

  • @NoraKedir
    @NoraKedirАй бұрын

    Yaaaa allah

  • @hassanjoseph6658
    @hassanjoseph66582 жыл бұрын

    Allah ni muweza, hakuna lisilowezekana kwa Allah, Hongera sana Sheikh kwa kufunga safari hadi Singida, Nakuomba ufike na ktk Wilaya ya Nzega.

  • @aisha-zu8vr
    @aisha-zu8vr2 жыл бұрын

    🤲🤲🤲

  • @AshaKilagula
    @AshaKilagula3 ай бұрын

    Poleni

  • @user-gg5ow9bg6y
    @user-gg5ow9bg6yАй бұрын

    😭😭😭 insha ahllaa

  • @rahmaabdallah5114
    @rahmaabdallah51142 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭Yaa Rabii

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72582 жыл бұрын

    Subuhanallah subuhanallah

  • @mohammedaziz3813
    @mohammedaziz38132 жыл бұрын

    Matajiri rudidi kwa mungu kujenga miskiti waislam wezenu wanpata shida siyo kusapoti simba na yanga mungu atufanyie wepesi ame.

  • @suleimanmorisho6612
    @suleimanmorisho66122 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭wako wapi walio ruzukiwa na Allah?

  • @criticalthinker1179
    @criticalthinker11792 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @NoraKedir
    @NoraKedirАй бұрын

    😢😢😢

  • @suleimankira9195
    @suleimankira9195 Жыл бұрын

    Asalam aleykum twaomba utuletee ulipo fikilia msikit inshallah

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz Жыл бұрын

    Assalam alaykum kwa Waislamu wote kuna wiraya ya kisarawe mkoa wapwnani kijiji cha chore tunaomba mtutembere mutuone misikiti na watu wariyo na hari duni

  • @zahratinsaleh1004
    @zahratinsaleh10042 жыл бұрын

    Mama samia uwapi waislamu twazalilika ingekuwa kabisa mushalijenga

  • @rashiddaudrashi2895
    @rashiddaudrashi28952 жыл бұрын

    Wako wapi matajiri wakiislam 😭😭

  • @zahratinsaleh1004
    @zahratinsaleh10042 жыл бұрын

    Ma mm a samia wapi

  • @okwechukuucheunajonfu6752
    @okwechukuucheunajonfu67522 жыл бұрын

    😭😭😭😭this’s masjid?😭😭😭

  • @mohammedkimanga8960
    @mohammedkimanga89602 жыл бұрын

    Inshaallah tuko pamja kwa uwezo wa Allaah

  • @hermanjafeti6014

    @hermanjafeti6014

    Ай бұрын

    Where is it

Келесі