KHOFU YA TATIZO HILI YAWAKIMBIZA WAISLAM MSIKITINI NCHINI TANZANIA.
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Пікірлер: 41
Subhannallah Subhannallah Subhannallah!!! Allah ataleta kheri tu hapa na Kwa sababu Alfataha imefika basi kheri ipo karibu
Yarab Yarab jalia kheri n wepesi wapate wanchokita waja wako Amin Amin
Allahuma aijaaliye iwe haraka isimame msikiti na madrasa pia yaa rabi takakabliye Dua yao iwe kabul inshaallsh
Shukran sana AL fatah mwenyezi mungu amekuja alia kufika mpaka singida
Allah atakulipa ujira mwema shekhe hapaduniani na kesho akhera amin.
This is so touching my muslim brothers around the world, why are we quiet about this, subhanallah
Subhannalah Inshaalah utasimama msikiti Mkubwa zaid kwa nguvu zake Allah
Mung atafany wepes ktk hili Allah ishaallah
Kwetu Dar misikiti mizuri lakini waswaliji hakuna dah inaumiza sana 😢
Hongera kwa kuujulisha umma wa kiisilaam kwa kuwajuza waisilaam popote pale walipo duniani ili waweze kuchangia ili ndg zetu hawa waweze kupata msikiti mzr kwaajili ya kufanya ibada zao ktk hali ya Utulivu Inshallah.
Laailaaha illallaah Muhammadu rasuulullaah ! Ktk hili bas 'falyatanafasilmunataafisuun'
inshallah umoja ni nguvu utasimama ujenzi wetu kwa uwezo wa mungu
@sadaissa3974
3 ай бұрын
inshallah
Allah atafanya wepesi inshaAllah
Ya Allah Ya Rabbi help they ummah 😭😭😭
Mmekalia kubishana mambo yasiyokua na faida ujinga mliopandikizwa na mabwana zenu nje ya nchi ndiyo yanayorudisha nyuma maendeleo ya nyanja zote katika uislam mmekua mamwinyi mashekh mnatukanana mnadhalilishana saa ngapi mtawakumbuka waislam wa vijijini mashekh wa Tanzania mnatia kinyaa kuritad Kwa waislam Hawa ni matokeo ya sera mbaya za viongozi wa kiislam Tanzania
Subuhna Allah mwenyezi mungu mkubwa hakuna kinacho shindikana mkono kwa mkono hadi peponi
Yaa Rabii sisi hatuna uwezo wakujenga mskiti huu lakini tuta changia chochote pia tuna paza sauti nakuwaomba wmatajiri tuwaone waislam wenzetu jazaa utaikuta kwa Allah Al fatah tv Allah awalipe kheri kwaku wafata waislam bila kujali umbali na changamoto za njiani
@alfatahcharitableassociati18
2 жыл бұрын
Tunawashukuru kwa ushirikiano wenu.
😭😭😭😭😭Yaa Rabii wape subra ndugu zetu Mkono kwa mkono tuwa saidie waislam wenzetu
Jambo zuri kuwa mnakwenda TZ bara pia. Ndugu zetu huko wanahitaji sana msaada. Nashauri mjenge msikiti kwanza. Utumiwe pia kama madrassa. Khususan sehemu ya wanawake inafaa sana kwa shughuli hii. Misikiti haitumiwi efficiently, baina ya salawat huwa inafungwa au haitumiwi.
Ishaallha
Yaaaa allah
Allah ni muweza, hakuna lisilowezekana kwa Allah, Hongera sana Sheikh kwa kufunga safari hadi Singida, Nakuomba ufike na ktk Wilaya ya Nzega.
🤲🤲🤲
Poleni
😭😭😭 insha ahllaa
😭😭😭😭😭😭Yaa Rabii
Subuhanallah subuhanallah
Matajiri rudidi kwa mungu kujenga miskiti waislam wezenu wanpata shida siyo kusapoti simba na yanga mungu atufanyie wepesi ame.
😭😭😭😭😭😭wako wapi walio ruzukiwa na Allah?
😭😭😭
😢😢😢
Asalam aleykum twaomba utuletee ulipo fikilia msikit inshallah
Assalam alaykum kwa Waislamu wote kuna wiraya ya kisarawe mkoa wapwnani kijiji cha chore tunaomba mtutembere mutuone misikiti na watu wariyo na hari duni
Mama samia uwapi waislamu twazalilika ingekuwa kabisa mushalijenga
Wako wapi matajiri wakiislam 😭😭
Ma mm a samia wapi
😭😭😭😭this’s masjid?😭😭😭
Inshaallah tuko pamja kwa uwezo wa Allaah
@hermanjafeti6014
Ай бұрын
Where is it