FUATILIA VIDEO HII MWANZO HADI MWISHO ILI UYAONE HAYO MATUSI YA WANAMNANDA WALIO MTUSI MWALIMU WETU

Пікірлер: 31

  • @khamisjaafar6860
    @khamisjaafar686027 күн бұрын

    Allah akurehemu sheikh said na akutilie nour kaburi lako hakika kidoti itakukumbuka na athari zako zitabaki milele.

  • @KomboMachano
    @KomboMachano25 күн бұрын

    Mungu akulipe kwa subra na tunamuomba Allah akutie peponi na cc atupe mwisho mwema... Inshaallah

  • @sweetylove9918

    @sweetylove9918

    24 күн бұрын

    Amiin

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa60546 ай бұрын

    Subhana Allah 😮😮😮😢😢😢 Hawa vijana Wana laana sio Bure. Allah akuhifadh sheikh Saidi Nyange

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe20 күн бұрын

    allah akupe kauli thabiti babangu kipenzi akika tulikupenda lakini allah amekupenda zaidi

  • @AbuuMuawiyya
    @AbuuMuawiyya20 күн бұрын

    Ameena inshaallah

  • @MashibuAjemi
    @MashibuAjemi24 күн бұрын

    Umepambana sana sheikh Alla akulipe pepo

  • @IdrissaJuma-sp4rp

    @IdrissaJuma-sp4rp

    23 күн бұрын

    Amiina

  • @sairismoses6586
    @sairismoses658619 күн бұрын

    Innalillah wainailah rajiun allahuma bilkaul thabit

  • @fatmasaid3134
    @fatmasaid31346 ай бұрын

    Allah atakulipia sheikh.....hakika watu wema ni wenye kufanikiwa siku zote.... Nafikiria kama baba angu angefanyiwa haya....... Wallah inauma

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk536224 күн бұрын

    Hao vijana ni kama watoto ww bilisi tu wenye kukataa kheir na kujihalalishia kufru zao Allah atuongoe sisi na wao Amiin

  • @hamidamussa593
    @hamidamussa59321 күн бұрын

    Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiun 🥺 Hao wakataji viuno km Kweli ni waelewa watazidi kuelewa wamememuita shekhe wetu majani lkn majani wamezikwa Makkah Saudi Arabia sijui Wao vigogo khatma Yao itakua ipi... Jamani pumzi zisituhadae...

  • @HalimaOmary-xs9jm
    @HalimaOmary-xs9jm22 күн бұрын

    Laanatullah watakukumbuka

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk536224 күн бұрын

    Allah amrehemu Amiin

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea508324 күн бұрын

    Huyu sheikh ana hekma sana inna lillahi kazikwa ardhi ya mtume mashaallah

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    19 күн бұрын

    Inna lillahi maana yake nini

  • @khamisrubea5083

    @khamisrubea5083

    18 күн бұрын

    @@aliabdalla9297 "hakika sisi ni wa mungu "

  • @user-fj4ll4gc2p
    @user-fj4ll4gc2p23 күн бұрын

    Yarhamuka L-lahu ya shaykh

  • @user-on1mg5ng6n
    @user-on1mg5ng6n22 күн бұрын

    Hao wenye kuimba wimbo huu kwaza wanapaswa kuomba msamaha kwa Allah, pili wastaghafiru Allah kwamakosa waliofanya, pia Waache upuuzi huo ili wapate Radhi za Allah

  • @KazijaOthman
    @KazijaOthman23 күн бұрын

    Subhanallah

  • @user-gn8ls8ji5x
    @user-gn8ls8ji5x24 күн бұрын

    Amiin

  • @user-zr2pn5uv8b
    @user-zr2pn5uv8b21 күн бұрын

    Sasa ukiwauliza hio ndio dini

  • @khamissali2076
    @khamissali207625 күн бұрын

    Vijana acheni jeuri nyinji ni waislaam mujuwe kufa ipo na moto upo

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx6 ай бұрын

    Hawana Adabu madufu haraaam wanamtukana sheikh

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa65506 ай бұрын

    Duu mbona mtihani huu hawa vijana wanatafut matatizo TU kumtukana sheikh

  • @user-sg1bt5sv1l
    @user-sg1bt5sv1l6 ай бұрын

    إنا لله و إنا إليه راجعون

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li6 ай бұрын

    Hayo ni mazao ya vyuo vya uzushi na bidaa na kuamini kwako kua ngoma ni halali

  • @karimdaud3993

    @karimdaud3993

    24 күн бұрын

    Unaingea utumbo kwanye moto unatia petrol. Itakii llah

  • @mzeerajab9154

    @mzeerajab9154

    22 күн бұрын

    Heh!Ivo unawaunga mkono hao vijana.Allwah atuongoze kwa kweli tuseme ya kweli.

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u6 ай бұрын

    Shekhe inaonekana wewe sio wahabi kwani ungekuwa wahabi hao vijana ungesema kuwa ni Masufi maana Mawahabi kila anaepiga dufu humuita Sufi wanajifanya kama hawajui kuwa hao wengine huwa sio Masufi

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo438224 күн бұрын

    KIDOTI WACHAWI WATUPU HADI HII LEO👁️👁️👀