Allah atakulipia sheikh.....hakika watu wema ni wenye kufanikiwa siku zote.... Nafikiria kama baba angu angefanyiwa haya....... Wallah inauma
@allymbarouk536224 күн бұрын
Hao vijana ni kama watoto ww bilisi tu wenye kukataa kheir na kujihalalishia kufru zao Allah atuongoe sisi na wao Amiin
@hamidamussa59321 күн бұрын
Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiun 🥺 Hao wakataji viuno km Kweli ni waelewa watazidi kuelewa wamememuita shekhe wetu majani lkn majani wamezikwa Makkah Saudi Arabia sijui Wao vigogo khatma Yao itakua ipi... Jamani pumzi zisituhadae...
@HalimaOmary-xs9jm22 күн бұрын
Laanatullah watakukumbuka
@allymbarouk536224 күн бұрын
Allah amrehemu Amiin
@khamisrubea508324 күн бұрын
Huyu sheikh ana hekma sana inna lillahi kazikwa ardhi ya mtume mashaallah
@aliabdalla9297
19 күн бұрын
Inna lillahi maana yake nini
@khamisrubea5083
18 күн бұрын
@@aliabdalla9297 "hakika sisi ni wa mungu "
@user-fj4ll4gc2p23 күн бұрын
Yarhamuka L-lahu ya shaykh
@user-on1mg5ng6n22 күн бұрын
Hao wenye kuimba wimbo huu kwaza wanapaswa kuomba msamaha kwa Allah, pili wastaghafiru Allah kwamakosa waliofanya, pia Waache upuuzi huo ili wapate Radhi za Allah
@KazijaOthman23 күн бұрын
Subhanallah
@user-gn8ls8ji5x24 күн бұрын
Amiin
@user-zr2pn5uv8b21 күн бұрын
Sasa ukiwauliza hio ndio dini
@khamissali207625 күн бұрын
Vijana acheni jeuri nyinji ni waislaam mujuwe kufa ipo na moto upo
@faridaally-jp1gx6 ай бұрын
Hawana Adabu madufu haraaam wanamtukana sheikh
@babatidaawa65506 ай бұрын
Duu mbona mtihani huu hawa vijana wanatafut matatizo TU kumtukana sheikh
@user-sg1bt5sv1l6 ай бұрын
إنا لله و إنا إليه راجعون
@AbuuAbdillah-hb8li6 ай бұрын
Hayo ni mazao ya vyuo vya uzushi na bidaa na kuamini kwako kua ngoma ni halali
Heh!Ivo unawaunga mkono hao vijana.Allwah atuongoze kwa kweli tuseme ya kweli.
@user-oc8uo9rl3u6 ай бұрын
Shekhe inaonekana wewe sio wahabi kwani ungekuwa wahabi hao vijana ungesema kuwa ni Masufi maana Mawahabi kila anaepiga dufu humuita Sufi wanajifanya kama hawajui kuwa hao wengine huwa sio Masufi
Пікірлер: 31
Allah akurehemu sheikh said na akutilie nour kaburi lako hakika kidoti itakukumbuka na athari zako zitabaki milele.
Mungu akulipe kwa subra na tunamuomba Allah akutie peponi na cc atupe mwisho mwema... Inshaallah
@sweetylove9918
24 күн бұрын
Amiin
Subhana Allah 😮😮😮😢😢😢 Hawa vijana Wana laana sio Bure. Allah akuhifadh sheikh Saidi Nyange
allah akupe kauli thabiti babangu kipenzi akika tulikupenda lakini allah amekupenda zaidi
Ameena inshaallah
Umepambana sana sheikh Alla akulipe pepo
@IdrissaJuma-sp4rp
23 күн бұрын
Amiina
Innalillah wainailah rajiun allahuma bilkaul thabit
Allah atakulipia sheikh.....hakika watu wema ni wenye kufanikiwa siku zote.... Nafikiria kama baba angu angefanyiwa haya....... Wallah inauma
Hao vijana ni kama watoto ww bilisi tu wenye kukataa kheir na kujihalalishia kufru zao Allah atuongoe sisi na wao Amiin
Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiun 🥺 Hao wakataji viuno km Kweli ni waelewa watazidi kuelewa wamememuita shekhe wetu majani lkn majani wamezikwa Makkah Saudi Arabia sijui Wao vigogo khatma Yao itakua ipi... Jamani pumzi zisituhadae...
Laanatullah watakukumbuka
Allah amrehemu Amiin
Huyu sheikh ana hekma sana inna lillahi kazikwa ardhi ya mtume mashaallah
@aliabdalla9297
19 күн бұрын
Inna lillahi maana yake nini
@khamisrubea5083
18 күн бұрын
@@aliabdalla9297 "hakika sisi ni wa mungu "
Yarhamuka L-lahu ya shaykh
Hao wenye kuimba wimbo huu kwaza wanapaswa kuomba msamaha kwa Allah, pili wastaghafiru Allah kwamakosa waliofanya, pia Waache upuuzi huo ili wapate Radhi za Allah
Subhanallah
Amiin
Sasa ukiwauliza hio ndio dini
Vijana acheni jeuri nyinji ni waislaam mujuwe kufa ipo na moto upo
Hawana Adabu madufu haraaam wanamtukana sheikh
Duu mbona mtihani huu hawa vijana wanatafut matatizo TU kumtukana sheikh
إنا لله و إنا إليه راجعون
Hayo ni mazao ya vyuo vya uzushi na bidaa na kuamini kwako kua ngoma ni halali
@karimdaud3993
24 күн бұрын
Unaingea utumbo kwanye moto unatia petrol. Itakii llah
@mzeerajab9154
22 күн бұрын
Heh!Ivo unawaunga mkono hao vijana.Allwah atuongoze kwa kweli tuseme ya kweli.
Shekhe inaonekana wewe sio wahabi kwani ungekuwa wahabi hao vijana ungesema kuwa ni Masufi maana Mawahabi kila anaepiga dufu humuita Sufi wanajifanya kama hawajui kuwa hao wengine huwa sio Masufi
KIDOTI WACHAWI WATUPU HADI HII LEO👁️👁️👀