SHEIKH SAID BIN NYANGE MADA MAVAZI YA KANZU FUPI KWA WANAUME
Жүктеу.....
Пікірлер: 36
@user-fz9ir4nj1y14 күн бұрын
Aamin
@user-ry2kn4fp7l26 күн бұрын
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في جنة الفردوس اللهم اجعل قبره روضا من رياض الجنة برحمتك. آمين
@zaidumohd312527 күн бұрын
Allah akulaze mahali pema peponi amin
@al-hidayahonlinetv34476 ай бұрын
masha allah sheikh mngeweka mawasiliano ktk acount yenu ingependeza kwajili ya maoni ushauri n.k jazakallahu khaira
@jumasalim722928 күн бұрын
Allah akuhifadh sheikh
@MAPETEE27 күн бұрын
Alkah Ampe kauli thabit Amesha fariki jana ndani ya nchi ya saudia mji wa makkah
@sharifuburuhani196911 ай бұрын
Sheikh maashaallah nimekuelewa
@wazirihamisi648426 күн бұрын
هذا من أهل البدع
@GreysonMdee-wm8tn26 күн бұрын
Inalillah Waina ilayh rajuun
@mwanaherimatata857120 күн бұрын
Huyu shekh Ana imani na yawezekana ni wa jannatul firdauth Ana hekima anajishusha mstarabu n moja ya dalili ya uchamungu
@user-vq6zx7oj9j28 күн бұрын
Inna lillahi wa inna ilahi raniun
@mrsultanzimbwe674611 ай бұрын
Nasaha ukiziona wazani kweli dini lkn kwa nafsi zimetawaliwa na kuichukia Sunnah
@mornasaidtindwa362227 күн бұрын
Innalilah wainnailah rajuun
@mohamedamiri459711 ай бұрын
Allah akuzidishie hikima
@mohamedamiri459711 ай бұрын
Huyu shekhe anajibu maswali kitaalamu sana mpaka uwe makini katika kupokea majibu yake Allah amuhifadhi huyu Sheikh
@rayisadesigns2646
26 күн бұрын
Allah amrehemu, sheikh tayari ameshafariki Makka ktk hijja ya mwaka huu 2024 na amezikwa huko huko. 😢😢
@princesaha3262
23 күн бұрын
Allah amsamehe na amrehemu
@MuhammedFoum-kr5kcАй бұрын
❤❤❤❤❤❤
@reallyman983627 күн бұрын
Innaalilaah wainnaa ilayhi raajiuun Sheikh Amefariki huko Saudia Arabia baada ya ibada ya Hijja na amezikwa huko huko Saudia Arabi. Allah amghufirie na amhifadhi
@raskingo149523 күн бұрын
Inna lillah wainna irahi rajiuna Allah Akupe Pepo ya juu Sheikh na sisi Tuliobaki Atupe mwisho mwema
@khamisrubea508311 ай бұрын
Mashehe walolelewa
@hamzakimaro376411 ай бұрын
BWANA NYANGE DINI HAICHULIWI KWA WATU WA MAKKA WALA MADINA! DINI INACHUKULIWA KUTOKA KWA KITABU (QUR"AN)NA SUNNAH(MWENENDO WA MTUME)SASA HUKO KOTE UNAKOZUNGUKA HUPATI JIBU!!
@salimhamad4363
2 ай бұрын
hongera maana sijui kasoma vipi
@abdulwahababdulkadir9965 Жыл бұрын
Sasa maalim kwani unaposema kanzu fupi unamaanisha haifai ama ni vp,maana muhim ni kua umestirika uchi wake na hajafanya isbari,kwani kuvaa pensi ni dhambi ama ni vp,ilimradi mtu amestiri uchi wake tu
@MuhamadHatib-bc1kb
Жыл бұрын
Allah ambarik shkh wetu anaelimisha kihekima zaid
@user-ql2om7qj3v Жыл бұрын
Kama.umesafiri ukaona mingi.wambiye kuwa makkah na madina hakuna bidaa. Basi fanya ujuwe wewe mzushi jirekebishe basi.
@salasturky4844
24 күн бұрын
Ucpanic ,sicilia na ujifunze
@SalimuMaganji-ts1fn25 күн бұрын
Hayo mambo ya kuita watu wanawake sio kweli kua watu waitwa hivyo au kukatiwa suruali ndefu au kanzu na mkasi sii kweli bali huo ulikua uongo ulozushwa na ilunga kua aliswali msikiti mmoja kule arusha akaambiwa arud nyuma kwakua ni mwanamke eti kisa anaburuza suruali hapo alidanganya umma kwan hajafanyiwa hivyo
@khamisrubea5083
24 күн бұрын
Ni mifano tu sio lazima iwe imefanyika
@SalimuMaganji-ts1fn
24 күн бұрын
@@khamisrubea5083 mimi niliandka hayo kwa sababu shekh Ilunga marehemu ashaawahi kudai aliitwa mwanamke akiwa msikiti mmoja kule arusha baada ya kuuliza kwa kiongozi wa ule msikiti akasema hata yeye alishangaa hayo maneno ya uongo ya ilunga na akasema wakati ilunga alipofika hapo alikaribishwa tu vizuri na aliruhusiwa kuzungumza mimbari lakini alivyotoka akawazushia huo uongo
@user-ql2om7qj3v18 күн бұрын
Sasa wewe mtu wa bidaaa angalia mbona husemi ulipofika kule kila mtu ameweka ndevu.wewe umenyowa kama mwanamke
@salafnungwi572311 ай бұрын
Sijajuwa huy mwalim kasimamia kauli gani kwenye sunnah ya uvaaji nguo. Jee sunnah kupunguza ama kuachilia? Na aliyeachilia hadi kufika chini ana hukumu gani? Jee hukumu ya aliyeachilia had kufika chini itawiyana sawa na yule ambaye amekifanya kikaz chake mpk kikawa kifupi sn?
@BilaliIloko26 күн бұрын
Mbona amna kitu apo,naona kama stori tu,ila allah amrahamu
@hemedabdullah6237
24 күн бұрын
Subhanalllah
@user-xu9nn3pe4k20 күн бұрын
huyu hapana shaka kua n mtu wa bidaa sjui wana mambo ya vp kuichukua sunna wanaona kama n jambo la watu fulan
@khamisrubea508324 күн бұрын
Tumeondokewa huyu jamaa ndo kwanza nlikua naanza kumfatilia ana hekma ya hali ya juu ktk kufundisha na unatakiwa uwe makini sana ili umuelewe
Пікірлер: 36
Aamin
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في جنة الفردوس اللهم اجعل قبره روضا من رياض الجنة برحمتك. آمين
Allah akulaze mahali pema peponi amin
masha allah sheikh mngeweka mawasiliano ktk acount yenu ingependeza kwajili ya maoni ushauri n.k jazakallahu khaira
Allah akuhifadh sheikh
Alkah Ampe kauli thabit Amesha fariki jana ndani ya nchi ya saudia mji wa makkah
Sheikh maashaallah nimekuelewa
هذا من أهل البدع
Inalillah Waina ilayh rajuun
Huyu shekh Ana imani na yawezekana ni wa jannatul firdauth Ana hekima anajishusha mstarabu n moja ya dalili ya uchamungu
Inna lillahi wa inna ilahi raniun
Nasaha ukiziona wazani kweli dini lkn kwa nafsi zimetawaliwa na kuichukia Sunnah
Innalilah wainnailah rajuun
Allah akuzidishie hikima
Huyu shekhe anajibu maswali kitaalamu sana mpaka uwe makini katika kupokea majibu yake Allah amuhifadhi huyu Sheikh
@rayisadesigns2646
26 күн бұрын
Allah amrehemu, sheikh tayari ameshafariki Makka ktk hijja ya mwaka huu 2024 na amezikwa huko huko. 😢😢
@princesaha3262
23 күн бұрын
Allah amsamehe na amrehemu
❤❤❤❤❤❤
Innaalilaah wainnaa ilayhi raajiuun Sheikh Amefariki huko Saudia Arabia baada ya ibada ya Hijja na amezikwa huko huko Saudia Arabi. Allah amghufirie na amhifadhi
Inna lillah wainna irahi rajiuna Allah Akupe Pepo ya juu Sheikh na sisi Tuliobaki Atupe mwisho mwema
Mashehe walolelewa
BWANA NYANGE DINI HAICHULIWI KWA WATU WA MAKKA WALA MADINA! DINI INACHUKULIWA KUTOKA KWA KITABU (QUR"AN)NA SUNNAH(MWENENDO WA MTUME)SASA HUKO KOTE UNAKOZUNGUKA HUPATI JIBU!!
@salimhamad4363
2 ай бұрын
hongera maana sijui kasoma vipi
Sasa maalim kwani unaposema kanzu fupi unamaanisha haifai ama ni vp,maana muhim ni kua umestirika uchi wake na hajafanya isbari,kwani kuvaa pensi ni dhambi ama ni vp,ilimradi mtu amestiri uchi wake tu
@MuhamadHatib-bc1kb
Жыл бұрын
Allah ambarik shkh wetu anaelimisha kihekima zaid
Kama.umesafiri ukaona mingi.wambiye kuwa makkah na madina hakuna bidaa. Basi fanya ujuwe wewe mzushi jirekebishe basi.
@salasturky4844
24 күн бұрын
Ucpanic ,sicilia na ujifunze
Hayo mambo ya kuita watu wanawake sio kweli kua watu waitwa hivyo au kukatiwa suruali ndefu au kanzu na mkasi sii kweli bali huo ulikua uongo ulozushwa na ilunga kua aliswali msikiti mmoja kule arusha akaambiwa arud nyuma kwakua ni mwanamke eti kisa anaburuza suruali hapo alidanganya umma kwan hajafanyiwa hivyo
@khamisrubea5083
24 күн бұрын
Ni mifano tu sio lazima iwe imefanyika
@SalimuMaganji-ts1fn
24 күн бұрын
@@khamisrubea5083 mimi niliandka hayo kwa sababu shekh Ilunga marehemu ashaawahi kudai aliitwa mwanamke akiwa msikiti mmoja kule arusha baada ya kuuliza kwa kiongozi wa ule msikiti akasema hata yeye alishangaa hayo maneno ya uongo ya ilunga na akasema wakati ilunga alipofika hapo alikaribishwa tu vizuri na aliruhusiwa kuzungumza mimbari lakini alivyotoka akawazushia huo uongo
Sasa wewe mtu wa bidaaa angalia mbona husemi ulipofika kule kila mtu ameweka ndevu.wewe umenyowa kama mwanamke
Sijajuwa huy mwalim kasimamia kauli gani kwenye sunnah ya uvaaji nguo. Jee sunnah kupunguza ama kuachilia? Na aliyeachilia hadi kufika chini ana hukumu gani? Jee hukumu ya aliyeachilia had kufika chini itawiyana sawa na yule ambaye amekifanya kikaz chake mpk kikawa kifupi sn?
Mbona amna kitu apo,naona kama stori tu,ila allah amrahamu
@hemedabdullah6237
24 күн бұрын
Subhanalllah
huyu hapana shaka kua n mtu wa bidaa sjui wana mambo ya vp kuichukua sunna wanaona kama n jambo la watu fulan
Tumeondokewa huyu jamaa ndo kwanza nlikua naanza kumfatilia ana hekma ya hali ya juu ktk kufundisha na unatakiwa uwe makini sana ili umuelewe