SHEIKH SAID BIN NYANGE MADA MAVAZI YA KANZU FUPI KWA WANAUME

Пікірлер: 36

  • @user-fz9ir4nj1y
    @user-fz9ir4nj1y14 күн бұрын

    Aamin

  • @user-ry2kn4fp7l
    @user-ry2kn4fp7l26 күн бұрын

    اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في جنة الفردوس اللهم اجعل قبره روضا من رياض الجنة برحمتك. آمين

  • @zaidumohd3125
    @zaidumohd312527 күн бұрын

    Allah akulaze mahali pema peponi amin

  • @al-hidayahonlinetv3447
    @al-hidayahonlinetv34476 ай бұрын

    masha allah sheikh mngeweka mawasiliano ktk acount yenu ingependeza kwajili ya maoni ushauri n.k jazakallahu khaira

  • @jumasalim7229
    @jumasalim722928 күн бұрын

    Allah akuhifadh sheikh

  • @MAPETEE
    @MAPETEE27 күн бұрын

    Alkah Ampe kauli thabit Amesha fariki jana ndani ya nchi ya saudia mji wa makkah

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani196911 ай бұрын

    Sheikh maashaallah nimekuelewa

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi648426 күн бұрын

    هذا من أهل البدع

  • @GreysonMdee-wm8tn
    @GreysonMdee-wm8tn26 күн бұрын

    Inalillah Waina ilayh rajuun

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata857120 күн бұрын

    Huyu shekh Ana imani na yawezekana ni wa jannatul firdauth Ana hekima anajishusha mstarabu n moja ya dalili ya uchamungu

  • @user-vq6zx7oj9j
    @user-vq6zx7oj9j28 күн бұрын

    Inna lillahi wa inna ilahi raniun

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe674611 ай бұрын

    Nasaha ukiziona wazani kweli dini lkn kwa nafsi zimetawaliwa na kuichukia Sunnah

  • @mornasaidtindwa3622
    @mornasaidtindwa362227 күн бұрын

    Innalilah wainnailah rajuun

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri459711 ай бұрын

    Allah akuzidishie hikima

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri459711 ай бұрын

    Huyu shekhe anajibu maswali kitaalamu sana mpaka uwe makini katika kupokea majibu yake Allah amuhifadhi huyu Sheikh

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    26 күн бұрын

    Allah amrehemu, sheikh tayari ameshafariki Makka ktk hijja ya mwaka huu 2024 na amezikwa huko huko. 😢😢

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    23 күн бұрын

    Allah amsamehe na amrehemu

  • @MuhammedFoum-kr5kc
    @MuhammedFoum-kr5kcАй бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @reallyman9836
    @reallyman983627 күн бұрын

    Innaalilaah wainnaa ilayhi raajiuun Sheikh Amefariki huko Saudia Arabia baada ya ibada ya Hijja na amezikwa huko huko Saudia Arabi. Allah amghufirie na amhifadhi

  • @raskingo1495
    @raskingo149523 күн бұрын

    Inna lillah wainna irahi rajiuna Allah Akupe Pepo ya juu Sheikh na sisi Tuliobaki Atupe mwisho mwema

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea508311 ай бұрын

    Mashehe walolelewa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro376411 ай бұрын

    BWANA NYANGE DINI HAICHULIWI KWA WATU WA MAKKA WALA MADINA! DINI INACHUKULIWA KUTOKA KWA KITABU (QUR"AN)NA SUNNAH(MWENENDO WA MTUME)SASA HUKO KOTE UNAKOZUNGUKA HUPATI JIBU!!

  • @salimhamad4363

    @salimhamad4363

    2 ай бұрын

    hongera maana sijui kasoma vipi

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 Жыл бұрын

    Sasa maalim kwani unaposema kanzu fupi unamaanisha haifai ama ni vp,maana muhim ni kua umestirika uchi wake na hajafanya isbari,kwani kuvaa pensi ni dhambi ama ni vp,ilimradi mtu amestiri uchi wake tu

  • @MuhamadHatib-bc1kb

    @MuhamadHatib-bc1kb

    Жыл бұрын

    Allah ambarik shkh wetu anaelimisha kihekima zaid

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Жыл бұрын

    Kama.umesafiri ukaona mingi.wambiye kuwa makkah na madina hakuna bidaa. Basi fanya ujuwe wewe mzushi jirekebishe basi.

  • @salasturky4844

    @salasturky4844

    24 күн бұрын

    Ucpanic ,sicilia na ujifunze

  • @SalimuMaganji-ts1fn
    @SalimuMaganji-ts1fn25 күн бұрын

    Hayo mambo ya kuita watu wanawake sio kweli kua watu waitwa hivyo au kukatiwa suruali ndefu au kanzu na mkasi sii kweli bali huo ulikua uongo ulozushwa na ilunga kua aliswali msikiti mmoja kule arusha akaambiwa arud nyuma kwakua ni mwanamke eti kisa anaburuza suruali hapo alidanganya umma kwan hajafanyiwa hivyo

  • @khamisrubea5083

    @khamisrubea5083

    24 күн бұрын

    Ni mifano tu sio lazima iwe imefanyika

  • @SalimuMaganji-ts1fn

    @SalimuMaganji-ts1fn

    24 күн бұрын

    @@khamisrubea5083 mimi niliandka hayo kwa sababu shekh Ilunga marehemu ashaawahi kudai aliitwa mwanamke akiwa msikiti mmoja kule arusha baada ya kuuliza kwa kiongozi wa ule msikiti akasema hata yeye alishangaa hayo maneno ya uongo ya ilunga na akasema wakati ilunga alipofika hapo alikaribishwa tu vizuri na aliruhusiwa kuzungumza mimbari lakini alivyotoka akawazushia huo uongo

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v18 күн бұрын

    Sasa wewe mtu wa bidaaa angalia mbona husemi ulipofika kule kila mtu ameweka ndevu.wewe umenyowa kama mwanamke

  • @salafnungwi5723
    @salafnungwi572311 ай бұрын

    Sijajuwa huy mwalim kasimamia kauli gani kwenye sunnah ya uvaaji nguo. Jee sunnah kupunguza ama kuachilia? Na aliyeachilia hadi kufika chini ana hukumu gani? Jee hukumu ya aliyeachilia had kufika chini itawiyana sawa na yule ambaye amekifanya kikaz chake mpk kikawa kifupi sn?

  • @BilaliIloko
    @BilaliIloko26 күн бұрын

    Mbona amna kitu apo,naona kama stori tu,ila allah amrahamu

  • @hemedabdullah6237

    @hemedabdullah6237

    24 күн бұрын

    Subhanalllah

  • @user-xu9nn3pe4k
    @user-xu9nn3pe4k20 күн бұрын

    huyu hapana shaka kua n mtu wa bidaa sjui wana mambo ya vp kuichukua sunna wanaona kama n jambo la watu fulan

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea508324 күн бұрын

    Tumeondokewa huyu jamaa ndo kwanza nlikua naanza kumfatilia ana hekma ya hali ya juu ktk kufundisha na unatakiwa uwe makini sana ili umuelewe

Келесі