MAAJABU MSIKITI WA MAJINI ULIOPO MAKKAH SHEIKH RUSAGANYA ALISWALI NA WATU VICHWANI MWAO ZINAWAKA TAA
• MAAJABU MSIKITI WA MAJ... #KHIDMATV #masjidaljinn #makkah #sheikhhashimrusaganya
@KHIDMAONLINETV350
#facebook @khidmaTV
#instagram @khidma_tv
#tiktok @khidmatv1
Пікірлер: 782
Mwenyezi Mungu atuepushe mabaya atulinde na mema pekee insha allah
Mashaa Allah Allah akuhifadh shekh wetu hii story imejua kuwapanikisha upande mwengine . kuna somo kubwa sana nimeliona.
Maa shaa ALLAH 🇰🇪 💚💚💚
The thief comes only to steal and kill and destroy. I came that they may have life and have it abundantly (John 10:10)
@wangechiwachira3560
2 ай бұрын
Halleluya
"Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;" 1Timotheo 4:1
@hamzaabeid
9 ай бұрын
😂😂😂ona huyuu kondoo
@mangulimanguli3974
9 ай бұрын
Ndo mitume yenu feki kina Mwamposa wanao wauzia udongo
@omaar5693
9 ай бұрын
@@mangulimanguli3974doh hiyo si saizi yake
@animamichael3968
9 ай бұрын
Kuna majini na mashetani
@raymrash
9 ай бұрын
@@animamichael3968 maadam ni "roho"..hatupaswi kuyasikiliza. Na Kuna maslahi gani kuyatetea majini!?
Allah humasali allaa Muhammad wallah Ali Muhammad
Waislam ni waarabu sana akija shafii wote wanamuunga mkono kwamba shafii mkweli,akija mbogo wanageuka na kuanza kimsifia
Mashallah mashallah Allah ndie muumba wa kila kitu hkn aliwezeza kuumba hata sisismizi
Shekhe hakuna jini mwema kama unawaamin Utaenda nao motoni Kubali leo kumpokea bwana Yesu krito kuwa bwana na mwokozi wa maisha nawe utaiona Pepo ya kweri
@headboy7768
8 ай бұрын
Kwa vigezo ama elimu gani ama wadhania tu
@SamuelKhadija
4 ай бұрын
We wajijua uwawapi adi unajudge mwenzio mungu pek ee ndo anajua n nan atakae enda motoni n n nani atakae enda peppni
Shekhe majini ni waasi wa Mungu na walilaniwa na kusikiliza kroani ni sawa kwa maana si kitabu cha kukupeleka mbinguni Ila jina pekee la Yesu kristo ndo njia ya uzima wa milele na bibilia pekee ndio kitabu ambacho kinauzima wa Roho
@luluelia-yo2rg
8 ай бұрын
Ujui unako enda walaunapo toka jitambue
@shamisfahiye9628
8 ай бұрын
Aise 😀 Imani gani😢
@SamuelKhadija
4 ай бұрын
A you normal
@allymwatima5401
3 ай бұрын
Hivi wewe unajua wewe ni nani? Na je jini ni nani? Nini tofauti ya jini na shetani? Shetani ni nani? Ukiweza kujibu kwa ufasaha maswali haya bila shaka utakuwa umefunguka sana
@hassanisaidi5422
3 ай бұрын
Km malaika wapo walioasi na wema yaan wale wa Mungu ikosekane majini?Malaika wengine walimuasi Mungu wakapigana na malaika walio upande wa Mungu ,maandiko yanasema hvyo tena ya biblia,Sasa kwnn na majini wasiwe wema na waovu
imani ni kitu cha ajabu sana,love you Jesus❤
@malikeyndotopopote
3 ай бұрын
Kama wewe unavyo amini
Nampenda sana uyushekh kwaji yallllah❤❤❤
MaashaAllah
Tunakupend. San shekh rusagany kw ajil ya Allah mashaallah mungu akubarik amin
@mwassamwassa7264
8 ай бұрын
Mnampenda kwa kuwadanganya
@ramadhanmahongole9293
8 ай бұрын
Mnampenda kwa uongo wake hapo hakuna lolote analoongea la maana ni ushetwani tu na makafiri na siku ya mwisho nyie wote waislamu ambao hamjakili Yesu kristo kuwa bwana na mokozi wa maisha yenu na mtatupwa jehannam kwenye tanulu la moto wa milele.pona yenu ni kumkiri Yesu kiristo mwana wa Mungu aliye hai ndipo mtauona ufalme wa Mungu
@user-ce4ec5vc7j
8 ай бұрын
Makafiri mnateseka kutokea wapi? 😂😂😂
@ramadhanmahongole9293
8 ай бұрын
@@user-ce4ec5vc7jtuwaulize nyie makafiri watumwa wa warabu
Namshukuru MUNGU kwa Masihi aliyeniokoa na kunifanye mwanawe. Hii imani ya majini Ee Yehova,.tuepushe nayo. Amin amin amin 🙏
@mundhirfauz
8 ай бұрын
Kwani jini hajaumbwa na mungu
@raymrash
8 ай бұрын
@@mundhirfauz ishu sio kuumbwa! Ishu ni kwamba majini ni malaika waasi!
@user-em3uf8wz6r
8 ай бұрын
Majini si malaika . Malaika wameumbwa kwa Nuru na majini wameumbwa kwa Moto
@raymrash
8 ай бұрын
🤣🤣🤣
@simonmahinya2223
8 ай бұрын
@@user-em3uf8wz6r tofaut ya moto na Nuru ni nn? Moto ni nn na Nuru n nn palipo moto patakosa Nuru?
MashaAllah ❤
Allah akutunukie pepo
Maashallah Barakallah fiqum shekh hawa wanaoandika matusi na dharau hawajui ila Allah awape faham
Mashallllah
MashaAllah ❤❤❤❤❤
Jesus Christ is the author and finisher of my faith
Mashallah mafundisho mazuri yenye mazingatiio
MashaAllah
Subhanalllah
Shekh mimi nimekuelewa naijua quran pia Kuna surat jinn wasokuwa waislamu hawajui history ispokuwa wajua u hawisi tu shukran
@saudaumar3354
9 ай бұрын
Uchawi ndio wanajua wakirsto hawajui majini walikuja kwanza duniani waulizie sio kukosoa jambo usilolijua kuuliza siujinga
@FridayMwassa
5 күн бұрын
@@saudaumar3354Hii dunia Mungu alimuumbia Adam na kizazi chake, Mungu hakuumba majini,kabla ya hapo walikuwa malaika huko mbinguni baada ya kumuasi Mungu ndipo yakatupwa Dunia baada ya kushindwa vita baina ya mikhael na jeshi lake dhiidi ya Lucifer(shetani)akiwa na jeshi lake.koran imekuja juzi imekuta vitabu vya zamani vikieleza ubaya wa shetani,majini na mapepo lakini cha ajabu amekuja Muhammad mtume wa waarabu na Hadith za uongo na kupata wafuasi wengi kwa lengo la kuwapeka jehanamu
Hakika ipo siku itawafaa walio amini
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja... .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285.... .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu 1..... Mungu baba, aliemtuma yesu 2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe 3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu.. Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5 Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
Ndiomaana hii dini yakiislam tunaikataa hii sio dini ya mungu, bali niyashetani
Mimi niliwahi kuambiwa waislamu wanasali na majini nikakataa Kumbe ni kweli. Kwa sababu hii Mungu tunayemwabudu wakristo ni tofauti kabisa na Mungu wanaomwabudu waislamu
@wangechiwachira3560
2 ай бұрын
Pia nimeshangaa
@JumaGwae-qw2qk
Ай бұрын
Imani yenu ya kikristo ni shortcat uislamu ni imani pana huyo jini anaekuchefua kuwepo kwake kunaonesha ukuu wa mungu kwani hakuna kitu kilicho jiumba kila ukionacho na ukisikiacho jua kimeletwa na mungu wa isiaka na yakob
Chakushangaza majini niwaisilamu na mkristo nae anasilu nakuwa mwuisilamu Asante Yesu kwakuniita kwako najivunia kuacha uisilamu nakuwa mkristo
@josephatjoseph1755
7 ай бұрын
Hongera unatumia jina gan fb au insta
Maa shaa ALLAH. ❤
Masha Allah
Jamani mungu hachangamani na majini 9:28
Mashallah tabaraka Allah
Mungu atusaidie kbsa
Allah akuongoze Mnapo jibiya ma suali msiwe mkisahau kuwa Qur'aan ipooo Wewe Nani kuhakikisha umeona jini Wewe kama Sule tuu Mungu anawaona. Waogaaa wa majini wakubwa
Jooni kwangu nyinyi wote muliwo lemewa na mizigo Nami Nitawapumzishi,asema Bwana
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja... .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285.... .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu 1..... Mungu baba, aliemtuma yesu 2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe 3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu.. 1+1+1=❓ Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5 Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
@user-nb2ql7zw3i
6 ай бұрын
Subhanallah,Hata kuandika hujui
Dua yarabi waislam Kwangu
Wakristo tujiandae yesu yuko mlangoni maana yaliotabiriwa yote yametimia
mashsa Allah
Rusanganaya mashalllllah❤❤
ALLAHU AKBAR
Ukisoma.historia ya majini utajua kweli Mungu ni Mkubwa jini ni wakubwa sana ila wanaweza kukaa space ndogo mno
@user-hw3wn8ms6j
8 ай бұрын
Ukisema ni wakubwa sanaaaa, usisahau kusema wanauwezo wa kuwa wadogo sanaaaaaa #😂😂
@raymrash
8 ай бұрын
😂😂😂
Huyu anasifu mapepo wachafu ambao Bwana yesu kristo aliwahukumu motoni
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Majin wabaya, waongo wataingia motoni, majin wazur, wakwer wataingia pepon... 2 Mambo ya nyakat 18:18-21
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Wap yesu kasema mapepo wote wataingia motoni ❓❓❓
Jini... Maana yake ni kischoonekana ni kiarabu. Kwa kiswahili fasaha ni pepo ....... Kama ilivyotumika kwenye bibilia
Afadhali shehe umesema ukweli majini yapo msikitini umemaliza utata
@raymrash
8 ай бұрын
😂😂😂...kumbe msikitini kuna majini
Nyie someni hayo yote ila Siri ni Yesu
Majini ni malaika walioasi mbinguni wakatupa duniani baada kushindwa vita huko mbinguni: ufunuo 12: 7
@MiraclemirajiMiraclemira-jm1ud
8 ай бұрын
Uko sahihi
@husseinmejja8041
8 ай бұрын
Someni ndugu zangu jini ni mwengine na malaika ni mwengine jini kaumbwa na Cheche za moto malaika kaumbwa kwa nuru binaadamu kaumbwa na udongo jini anakula anaenda chooni ana tamani na kuna wakike na wakiume wanazaana ila malaika hawazaani wanaumbwa tu hawali wala hawanywi na hawana jinsia wala matamanio nawala hawatendi dhambi ila majini na binaadamu uumbaji ni tofauti ila mengine yote tunafanana ila wao tu hawaonekani na mungu kawapa nguvu na viumbe vyote hivyo kaviumba mungu
@mundhirfauz
8 ай бұрын
Mungu kaumba malaika majini na binaadam
@mundhirfauz
8 ай бұрын
Jini aliemuasi mungu ndo anaitwa shetani
@goldenpdy7313
8 ай бұрын
@@mundhirfauzalafu akawaje wakajikuta hamjui mungu mpka uyu mtume aje kuwahubiria😅
Huyu mtu hajui kuwa majini ni malaika walioanguka / walioasi , pepo waovu (fallen angels / devils). Hakuna majini wema. Elimu unayoifundisha humu ni upotofu uliokithiri.
❤❤❤❤❤❤
Aisee nimemsikiliza sheikh vizur kabisa nimepata jibu kuwa mbingu ya wakristu na waislam ni tofauti, hata Mungu wa wakristu na mungu wa waislam ni tofauti. Yesu wewe kweli ni BWANA.
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja... .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285.... .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu 1..... Mungu baba, aliemtuma yesu 2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe 3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu.. Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5 Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
@lenardkenedy542
8 ай бұрын
Kabisa Ndugu
@SamuelKhadija
4 ай бұрын
Akuna mungu wawakristo wala waislamu mungu n mmoja sema Imani tofauti za kuabudu
@georgealoyce4849
4 ай бұрын
@@SamuelKhadija rafiki angu fatilia vizuri Mungu katika Jina la Yesu ni tofauti na mungu wa kislaam na ninakataa Mungu wang na wako sio mmoja ila mungu wa muhamad (allah) sio Mungu wa kweli na pia napinga mungu wako sio Mungu wang mana wang namjua jina lake anaitwa Yesu ambaye ninyi mlikataa
@killianjohn4794
Күн бұрын
@@SamuelKhadijaInaonyesha kabisa huna ufahamu hata ule wa kawaida kwa hoja tu. MUNGU wa Wakristo anaitwa JEHOVA na mungu wa waislam anaitwa allah. Ni tofauti kabisa. Wala issa bin mariam sio YESU KRISTO. Hio kusema MUNGU wetu na mungu wako kuwa ni kitu kimoja ni upumbavu uliopitiliza kwakua una linajisi Jina ya JEHOVA kwa kumfananisha na sanamu!
Waislamu huwa wananichekesha sana na story zao za uongo😂😂😂😂
@arbabhijjabshop3076
8 ай бұрын
we mkweli umefika wapi kua na nidhamu ya dini za wezio hasa ktk vyombo vya habari
@user-ce4ec5vc7j
8 ай бұрын
Makafiri huwa wanateseka na mambo ya waislam. 😂😂😂
@JESUSCHRIST19941
8 ай бұрын
Muhamedi ndiye kafiri aliyeoa mtoto wa miaka 6,😃😃😃
@JESUSCHRIST19941
8 ай бұрын
@@user-ce4ec5vc7j makafiri ni nyie na mtume wenu aliyeua watu na kuoa mtoto wa miaka 6, 😃😃😃
@user-ce4ec5vc7j
8 ай бұрын
@@JESUSCHRIST19941 Kafiri ni yule anaesema binadamu ni Mungu na anafungisha ndoa mashoga! 😅😅😅
Hii kali ya mwaka,majini ni waislamu kumbe,
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
@user-zz1yn1tp8i
8 ай бұрын
Hata mchawi na wezi wana mnyenyekea mungu lakini watabaki kuwa wakosefu
@SalamaNauthar
8 ай бұрын
Majini ni Viumbe wa MUNGU ' lazima na wao wamuabudu MUNGU' ivyo lazima waende Mskitini kuswali' Kwa sababu ndio kwenye dini' ya haki'. Waende Kanisani kufanya nini?
@yusuph1547
8 ай бұрын
@@SalamaNauthar😂😂😂 hujui hujui
@angolina1768
8 ай бұрын
Sisi Wakatoliki tunasala hii ya Nasadiki, Katika kipande cha mwanzo kabisa huwa tunasali, Nasadiki kwa Mungu Baba Mwenyezi Muumba wa Mbingu na Nchi Na vitu Vyote Vinavyoonekana na NAVISIVYOONEKANA, sasa sijui hata kama baadhi ya katoliki au Wakristo wameshawah kujiuliza hivyo visivyoonekena nini sasa ndo hao Majini hawa viumbe wapo kabisa na wanaokana kwa yule Mungu aliyemjaalia kuwaona na si mara kwa mara huwa wanatisha sana ila kwa sisi tuliyoishi nchi za Kiarabu baadhi yetu tumeshawaona sana na hata katika ndoto wanatokea sana kwa hiyo alichokisema Shehe Rusaganya ni kweli na kipo Wakristo Wenzangu tuache kubisha hovyo
Kila mmoja Imani yake amini unavyo amini lkn Malaika majini na binadamu ni viumbe tofauti binadamu na majini wanautashi lkn Malaika hawna utashi kwa hio Toka wameumbwa hawajawahi kumuazi Allah
Mtume Muhammad alikuja kimajine jine,hakuja kihalali
Shekhe njoi mtwara
Makamanda wansubiri swalaaaa😄😄😄😄😄dah hatari sana.najivunia saaaana kua mkristo.
@officialkamdudu
8 ай бұрын
ukifa ni mkristo we ni jehannam bila kuhojiwa. usije ukasema hukusikia
@nomamatata754
2 ай бұрын
@@officialkamdudu aiseee tunawaombea mwijue nuru ya kweli
@officialkamdudu
2 ай бұрын
@@nomamatata754 wewe unaijulia wapi nuru ya kweli wakati hujui ni Mtume gani alikua Mkristo na Mungu gani alileta ukristo ?
Fundisha tawhid sheikh maneno hayo hayajengi zaidi ya kuwapotosha na kuondoa katika imani watu walio na imani ndogo na kutoalika wengine katika dini, kwa kweli sijajua ulipo yatoa hayo. Kweli Wahabi wanajua uislam.
Wakor( 1)_10_20 mungu WA biblia ametuonya Didi ya kushilikiana na mashetani
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
@nehemiaayo9527
8 ай бұрын
@@RamadanPaulunasema shetani ni mbaya apo apo ni mzuri huu ni msiba mzito sana nuru na ngiza avikai pamoja
Ndugu zangu mbona waisilamu mbona mafundisho yenu ni Yakishetan Njoo kwa Yesu
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja... .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285.... .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu 1..... Mungu baba, aliemtuma yesu 2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe 3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu.. 1+1+1=❓ Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5 Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
Masikini hii ndo elimu mnapeana msikitini poleni sana ndo maana mm najivunia kuwa mkristo
@user-nb2ql7zw3i
6 ай бұрын
Ww hauwezi kuipata hiyo elimu .Ila walimu wenu wanaujua ukweli
@SamuelKhadija
4 ай бұрын
Kwt ulitumwa usikilize ama mlikua mkisubiria sheikh aongee ndo mpate Cha kuongea
Sitaweza kua na ndugu na majini mpaka kiama, kwahiyo nyumbani kwenu yapo majini mpaka msikitini mna swali nao😅
Assalam alleikum sheikh naomba utuelezee kuhusu maulidi INA faa ama ni kusoma maulidi
Msiwadanganye watu wa Mungu jamani. Kitu kinaitwa jini sio cha Mungu. Ni wale malaika waliomuasi Mungu pamoja na Lusufer. Tukumbuke Lusufer alikuwa malaika mkuu lakini akamuasi Mungu, akatupwa duniani, akaondoka huko na malaika 1/3 waliomsaidia vita kati yake na Malaika Mikaeli
Mnachanganya neno la Mungu na majini😢😢😢😢
@safarsafari68
3 ай бұрын
Hajachanganya..majini wapo na wanaamuabudu Mungu
Alhamdu li Jesus ! Kweli Quran ni kitabu Cha majini ! Ndo maana Kuna sura ya majini ndani yake ( Yan Surat jinn), na majini wametoa Aya zao ndani kuhubiri uislamu. Ukisoma pia Sunna, unapata Muhammad karogwa na kukaliwa na mashetani mpaka hajui kasema nini au katenda nini karibu mwaka mzima ( tena akiwa mtume wa Allah), Ina maana hata Allah alishindwa kumlinda mtume wake. Njooni kwa Yesu mponywe
@athmanyusufkea3405
8 ай бұрын
Kwayo una maana kuwa Yesu wakati akisulubiwa Mungu alishindwa kumsaidia???
@JESUSCHRIST19941
8 ай бұрын
Amina
@Chris-in1vc
8 ай бұрын
@@athmanyusufkea3405 uliza kitabu chako ndo ujue kua Allah wako alimsaidia au la ! Maana korani ( Quran) 3:55 inasema Allah amempaisha juu ISSA kwenda kwake alipo ( kwenye kitu Chake Cha enzi). Na Quran 4:157 inasema ISSA hakufa Bali Allah wako aliwaletea picha kama anasulubiwa huku yeye amamnyakua juu mbinguni kumnusuru na wayahudi wasimuue, na yuko hai mpaka Leo wakati Muhammad wako ameozea kaburini, na Allah alishindwa kumuokoa mtume wako mpaka akauliwa kwa simu na Binti wa kiyahudi, kama kisasi baada ya kuua familia yake. Jiulize, kwa nini Allah hakutaka kumuokoa Muhammad kama kweli ni kipenzi Chake, na badala yake akamuokoa ISSA asiuawe na kumpaisha kwake huku jamaa yako funza wanamtafuna na mkizidi kumuombea kila siku !?.
@Chris-in1vc
8 ай бұрын
@@athmanyusufkea3405 wewe inaonyesha ni mmoja wa wale wavivu wa kudadisi na kutafiti ukweli kwenye vitabu, umekua jahil usiyetaka kujua jambo kwa ajili ya nusura ya nafsi yako, umekalia ushabiki tu na kuwasikiliza viustadhi visivyokua na elimu.
@FatmaSalim-lk2wd
8 ай бұрын
Ww ni kafir na utachomwa ktk moto wa jahannam unapotosha watu
Hawa wanashirikiana na mapepo ahundred percent
Sasa nimeelewa yule anaitwa Gabriel wa kumlazimisha Mohammad kusema ni Jini. Hivi mtume wakuombewa badala ya kuwaombea wafuasi wake hivi inaingia akilini kweli. Kristo wakumbuke uwaombee kwa Baba.
Baragumu ya Tano kitabu Cha ufunuo, nyota aliyeanguka kutoka mbinguni hadi kuzimu na kupandisha Moshi la kuzimu
ACHENI KUHUBIRI VITU VIZIVYOELEWEKA, KAZANIENI MAADILI VIJANA WANAHARIBIKA LAKINI MMEKALIA MAJINI MAJINI....HAYATUHUSU
Mpokeni yesu
Hamna upendo baina ya majini na binadamu kumbuka majini ni malaika waliomhasi mungu na mkuu wao nishetani kazi yao nkudanganya watu iliwaende nao kuzimu eh Yesu tuone huruma sisi waonao
@FatmaSalim-lk2wd
8 ай бұрын
Acha kupotosha watu ww kuna aya inasema ,waman khalaktul jinn wal ins ila liabudun mungu anasem sikiwaumba majini na watu isipokuwa waniabudu. kwahy majini ni viumbe km ww wapo wanao muabudu mungu na sio shetan wakristo pia mnachochea ugomv wakidin nynyi
Jamani hii ni hatari sana.tafsiri ya majini no malaika walio mkubali shetani na wakalaanika na Mungu na kuitwa majini.leo huyu sheikh anatuambia wapo majini wazuri na majini wabaya?nimeamini kumbe ndio maana mnafuga majini.jamahi dini ya kikristo na uislam ni vitu viwili tofauti.huhu sheikh anasifia majini?mama wee!!!!!!!!
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja... .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285.... .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu 1..... Mungu baba, aliemtuma yesu 2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe 3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu.. Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5 Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Leo ndo nasikia mkristo anasema tofaut na wakristo wenzie kuhusu majini. Huyu anasema malaika waliomoubali shetan wakaungana nae. Wenzie husema ni malaika walioasi wakawa mashetan. Sasa hapo nani yupo sahihi. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
Ajab! Ila natahadharisha kwamba, katika Biblia, hamna ushahidi kwamba majini wako na nafasi mbinguni. Biblia inasema asiyemwamini na kumpokea Yesu moyoni mwake na kuishi maisha ya kumtii Mungu basi, hukumu itapofika mahali pake ni kwenye ziwa la moto. Lakini namshkuru huyu shehe kwa kuthibitisha kwamba wanamuabudu mungu mmoja ila siye yule sisi (wakristo) tunayemuabudu. Shehe, mpokee Yesu uepuke adhabu ya Mungu.
@headboy7768
8 ай бұрын
Shehke abamuabudu yule aliyeumba mbingu na ardhi Jua na mwezi na nyota Na shehe pia yuamtambua Yesu kama mtume was Mungu muumba na yesu ni mwanadamu Kwa hiyo shehe yuko karibu na yesu kukushinda wewr
@user-lq6cy1dy1g
7 ай бұрын
@@headboy7768x
@khalidomar9917
7 ай бұрын
Kabisa hawa wenye kumuabudu yesu na wale wanaoabudu masanamu hawana tafauti
@raniahAbdul
7 ай бұрын
Sheikh amwache Mola wa ardhi , na arsh tukufu amuabudu mtu alozaliwa na mwanamke ambaye alikuwa tu mjumbe wa Allah . Nyie kwa ujinga wenu mnamuita mwana wa Mungu .? Mungu Hana mtoto hajazaa Wala hajazaliwa na ametakasika na huo upuuzi wenu mnaomzulia
@user-ke2pq3yf4z
7 ай бұрын
sheikh anamwabudu shetani jina lake jingine ni Allah...@@headboy7768
Eeeh bwana Yesu Cristo okowa nafsi. Za ndugu zangu wa eslam
Majin tenaaah,duuh.
Waisilamu nyie acheni kuabudu majini na mashetani mtachomwa moto shauri yenu!!!!😢
Hii ni kali ya mwaka shehe atangaza rasmi kuwa majini ni waislamu n'a wataenda Mbinguni,n'a msikitini wamo,huo ni uongo majini ni viumbe walio laniwa hawawezi enda Mbinguni MDA au hawana neema tena ni viumbe wA kuzimu.
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Mimi nitawapa doz mpaka muerewe maana hata kitabu chenu hamsomi ila mwakalilishwa na wachungaji wenu tu. Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
@IzihakaFihirini
8 ай бұрын
@@RamadanPaul umesema ulikua mchungaji je hukusoma kama ulisoma kipi ulielewa nin au nawew ndio mwezi mchanga wainjili ila nikwambie kamwe huwezi kumaliza neno la Mungu
@nehemiaayo9527
8 ай бұрын
@@RamadanPaulunafunga Nini mbona unayatetea sana 😂😂😂😂 kama awa wataenda Mbiguni basi ata shetani ataende katika uzima wa milele awa ni mamlaka waliyo kaa katika upande wa shetani walipo pingwa na Mikaeli wakafukuzwa pamoja awa ni washirika wa iblisi kama wataenda Mbiguni basi ata shetani ataende
Majini are fallen angels, demon's
@officialkamdudu
8 ай бұрын
tafuta maarifa acha kufuata mkumbo
Wale wanaoelewa kizungu Enoch 15:8-10 [8]Now the giants, who lave been born of spirit and of flesh, shall be called upon earth evil spirits, and on earth shall be their habitation Evil spirits shall proceed from their flesh, because they were created from above; from the holy Watchers was their beginning and primary foundation Evil spirits shall they be upon earth, and the spirits of the wicked shall they be called The habitation of the spirits of heaven shall be in heaven; but upon earth shall be the habitation of terrestrial spirits, who are born on earth [9]The spirits of the giants shall be like clouds, which shall oppress, corrupt, fall, contend, and bruise upon earth [10]They shall cause lamentation No food shall they eat; and they shall be thirsty; they shall be concealed, and shall not 1 rise up against the sons of men, and against women; for they come forth during the days of slaughter and destruction
Waislam hawanaga akili…. Uwaza ushirikina na ujinga ujinga tu
Hmmmmmmmmmmmmmmm
hawa wamechanganyikiwa kweli hakuna jini mzuri
Duu kweli uwisramu kazi mnasali hadi namajini sijawahi ona hata kwenye biblia watu wakisali na majini yesu na mitume wake walikua wanayakemea nakuyafukuza kwa wapi waliopagawa nahisi mungu wenu niwatofauti na wakristo wenu anapenda majini wawakristo hapendi
Moto, mbuzi, vitu vya ajabu 😮😮jamani tumogope mwenzi Mungu
Kumbe mnajijua majini wameandikiwa adhabu sasa nyinyi uhusiano wenu wao🤔🤣🤣🤣
Sheikh wetu kaelezea vizuuuuuuri ila naona comments za wasiokuwa waislamu ambazo sizielewi NAWAOMBA msicomment haya mambo yana wenyewe bwana
Mi napenda wale waislam waliokoka ambao hawaamini majini bali Mungu peke yake
Someni akuna mbingu ya kristo mbingu allh2
Hakuna usilika kati ya Mungu na shetani
@yohana1242
8 ай бұрын
Tafautisha jini na shetani mungu kaumba binadamu na majini ili wamuabudu yeye shetani ni jini ila anaitwa shetani kwasabab kamuasi mungu kwaio wema na wabaya hao hao majin kam huelewi ten ww sjui binadam gani
@yohana1242
8 ай бұрын
Kwaio unatak kusem shetani na majini wamejiumba mwenyewe fikiria kwa makini hii ni dunia na itafika mwisho wake kwaio hakun ambae kajileta hapa duniani sote ni wa mungu na kwake tutarejea
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
Lusaganya uposawa kuna majibu walipo mwamini allahu wata ingia peponi nawale makafiri wata ngia peponi ila kwa wasio amini haya wa kejeli hebu wasubili
@shuwehaharuna6309
9 ай бұрын
Wasio amini huingia motoni upo sahihi
@sheikhanasser4714
8 ай бұрын
"Allah" andika kwa herufi kubwa Shukran
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
SHINDWE KABISA KWA JINA LA YESU. nimeanza kujua kinachoitwa pepo sio mbinguni ya wakristo. Nawaombeni waislam mwaminini Yesu na majini hawa watakimbia. Hakuna jini mwema. Hakuna pumziko baada ya kufa ukiamini na kushirikiana na vitu hivi
Kuweni waalewa Kuna majini waliosilimu na kumkubali Mungu nakuwa wema na wapo waliokuwa wabaya na sis binadamu tupo hivyo hivyo wema na wabaya hukmu ipo siku ya qiyama, roho inapoanza kutolewa ndio utajua ipi dini sahihi Allah atupe hatma njema
@FridayMwassa
5 күн бұрын
Nani kakwambia hivyo kwamba kuna majini wazuri,Yeye Muhammad aliwaona wapi wakati majini hawaonekani.Uzuri wa hao majini ulianza lini
@user-io3qu5zs8m
5 күн бұрын
@@FridayMwassa kwanza jirekebishe sio unamwita Muhammad, Bali ni mtume Muhammad( s.a.w). Ni mtume hubashiriwa kila kitu kupitia Malaika au ndoto. Kwa mfano watu wa nabii nuh walioangamizwa si walikuwa binadamu! waliangamizwa kwa ubaya wao na waliokuwa wema walipata rehma kutoka kwa Mola wao
Yaani, majini waishi msikitini? 😮😮
We mpumbavu, Allah atakuhukumu kwa uongo wako. Hakuna mahala popote katika historia Muhammad amewahi kuitwa ahmad. Hakuna hata hadithi iliyopokelewa kuwa Muhammad ndiye ahmad. Na pia hayo majini unayazungumza kwa itikadi ya shirki zenu. Hakuna kiumbe rasmi Chenye muonekano huo unaoutaja. Wala mtume hakuwa na itikadi zenu hizo. Acheni kupotosha watu kwa hadithi za abunuasi. Haya mastori yenu hayajengi uislam yanabomoa dini
Ufunuo wa Yohana 12:7-9 [7]Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; [8]nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. [9]Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye. Majini ni malaika walioasi MBINGUNI wakatukuzwa sambamba na baba yao ibilisi, na kazi yao kubwa ni kudanganya...Kama maandiko yanavyosema hapo juu. Ndiyo maana leo unaona yametumia uongo kuwaaminisha watu kuwa na yenyewe yanamwabudu MUNGU, udesi tu.. maongo sana
@NurdinMkina
8 ай бұрын
Ndugu sisi wanadamu tumeumbwa kwa udongo JE MALAIKA WAMEUMBWA NA NINI
@samoramussa5336
8 ай бұрын
Niajabu kweli mtu kumsifia jini?
@user-pr8ms8ry1d
8 ай бұрын
Jini kaumbwa kwa moto
@amanibwere3126
8 ай бұрын
@@NurdinMkinawameumbwa na NURU
@mwassamwassa7264
8 ай бұрын
@@NurdinMkinaShida siyo kuumbwa hii dunia tunayoishi alimbiwa Adam na uzao wake, majini hapa Siyo kwao
Tujue tofauti kati ya jini malaika na binadamu japo chache tu.kwanza binaadamu kaumbwa kwa kutumia udongo,majini wao kwa kutumia moto ñamalaika kwa kutumia nuru.... Sasa tofauti kati ya malaika na majini ...majin wanahiyari katik kuabudu ila malaika hawanahiyar katk kuabudu,pili majin niviumbe wenye matamanio kama ilivyo kwa binaadam ila malaika niviumbe wasio namatamanio yanafsi.tatu majini niviumbe wenyè kula kunywa nakufanya haja kama ilivyo binaadamu.ila malaika niviumbe wasio kula wala kufanya haja yoyote kati yahizo hata hivyo malaika niviumbe wamwanzo kuumbwa kuliko majini.
Naomba kujua kwanini tumswalie mtume na tusijiswalie wenyewe? maana mtume ni mtu aliyetakasika lakini sisi ni wenye dhambi
ukiristo raha ❤️
Hio heading umeweka juu ni makosa, huwezi kusema majini wako msikitini tena wako makkah, watu wingi hawakufahamu.
Huyu sheikh ni mwongo pamoja na Aya zake