SISI WANAJESHI TUKITUMWA VITANI NA IKATOKEA TUMEUA JE NANI ANAPATA DHAMBI HIYO YA KUUA ALIYETUTUMA
• SISI WANAJESHI TUKITUM... #KHIDMATV
=
Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
Facebook: / mzeewakhidma
Instagram: / khidma_tv
Tiktok: / khidmatv1
KZread: / @khidmaonlinetv350
Пікірлер: 102
Assalam aleiykum warahmatullah wabarakatuh kwanza ndg zangu waislam mi nadhani kabla ya kujibiwa sawasawa hilo swali ipatikane mas'ala ya vita kwa sbb pande zote zinawindana ifahamike kwanz lengo la vita ni nn?
Hata mimi majibu ya kuhusu mwana jeshi kua au kuliwa bado hayajakaa Sawa hapo
Shekh wang bado jawabu halijaridhisha kam elimu ya dini yetu .🤲
MshaAllah shukrani sana sheikhe kwa jawabu
Hakuna mtu kutiwa motoni na kutolewa wa moton moton wa pepon peponi
Sawa sawa sheg zuvery upo sawa
MASWALI YOTE YANAYOULIZWA HAPA, hayawezi kujibiwa milele, zaidi watajikanyagakanyaga tu. Mmmmmmmmmmmmmmmmmmh! Tunaijua hiyo.
ulie tumwa pia una akili wewe sio mnyama kwamba hujui jema na baya ukiuwa unapata zambi wewe na uyo alie kutuma
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
Kama kalazimishwa akauwe kwa nguvu dhulma inamuangukia yule mtumaji mtume amewahi sema Allah amesamehe makosa katika umati wangu wenye kufanya makosa bila ya kujuwa pili mwenye kutenzwa nguvu na mtu afanye jambo ambalo kinyume na sheria akini madamu yeye hakubaiani nalo anafanywa kwa kinguvu Allah. Umsamehe mtu huyu walau alamu Allah ndo mjuzi zaidi
@coyancodavao4004
14 күн бұрын
@@salumabdallah2990 Utupe jibu kwanza je kazi ya jeshi ni haramu au halali? Kama ni halali basi hiyo kutii amri ndio jeshi lenyewe
@salumabdallah2990
14 күн бұрын
@@user-yj5on8cz3e akikutuma mtu ukamuuuwe mwanao utaweza?
Kazi ya Jeshi haifai kwa sababu wao ndio wanasema Jeshi Halina dini.
wew kma aujaelewa bc shekh amejbu kutokana na swali lilivyo ulizwa muuliza swali ajauliza kila kuuwa ila amekusudia watu fulani
Ivi Nini maana ya vita kisheria? Na je VIPI huku za vita kisheria? Naona sheikh kaenda direct kwenye swala la kuua tu nasi swala la kivita
Swali zuri sana
KWA UELEWA WANGUMIMI HILO NI SWALI MOJA😂
Kuua inafaa kwa haki mbaya ni ile kuua bila haki ya nafsi hy kufa shekhe hapo yy ni mtazamowake
SUB HANALLAH
Wanajeshi wazamani walimu vitani ila wasasaivi wanatumwa uraiani
Sawasawa
Bado shekhe hujajibu hili swali ipasavyo
Shekhe bizman ujajibu vzr swali hilo kuna shekhe nilimsikia si kila kuuwa ni dhambi kuna kuuwa kuuwa kwa kulinda nchi hiyo so dhambi mfano kuuwa kwa kilinda mali yako na maadui wakaja vamia ili kuleta madhara ukauwa ni dhambi mashekhe ilmu zenu zinatofautiana
@gundererthemustache5818
16 күн бұрын
Sikiliza ilo swali Ka makini my dear brother
@user-yj5on8cz3e
16 күн бұрын
@@gundererthemustache5818 swalli limeelewwka ndomana nkaona. Shekhe kalijjibu sivyo au mim ndo nimemuelewa. Vibaya
@abdallahibrahim280
15 күн бұрын
Majibu yapo sahihi kama swali lilivyoulizwa , swali ni kutumwa askari na mamlaka kwenda kuua; sio kujilinda na kuua au kuuwawa na kufa shahidi
@user-yj5on8cz3e
15 күн бұрын
@@abdallahibrahim280 ndo mi nauliza mfano huyo askari analinda nchi ikaja watu wamevamia wakapiga nao ili kulinda maslahi ya nchi dhidi ya wale adui atakuwa ameuwa nakupata dhmbi madamu yule ni adui
@S.SWarfa
15 күн бұрын
Kwell kuua kwa kujilinda inakubaliwa
Hadithi za bunuasi huko misikitini 😂😂da!!
@basharahamtzhalisi6871
7 күн бұрын
Nimekuelewa ndugu. Kuisema haki si jambo rahisi.
@jumaabakari3440
6 күн бұрын
Huku ww umefuata nn?
maswali ya muhimu kuhusu twahara na swala hatujui twauliza
Kwa ufupi kazi ya jeshi ni mtihan mkubwa mnoo kwa muislamu ktk hali nyingi kuna dhulma ndani yke ukiachana na ile kulinda nchi na vita ya haki ya kweli.
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
Mmu kunawanajeshi makambini mwao wana misikiti wabaswali swala 5 kuna raiya uraiyani wanafanya ukafiri tuuh waislamu hawastuki kuna swala 5 yupi bora hapo kazi so kigezo cha kumtoa kwenye uislamu Allah ndo mjuzi wa hilo kuiko wanadamu
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
Madamu adhulumu watu analipwa mshahara kwa jasho lake sasa huyo na shekhe mtaani anae pata kipato kwa njia ya uganga na shirki ndani yake huyo vipi kwa allh ukamlinganisha na huyu anae lipwa mshahara kwa kulinda nchi yupi anaingia kwenye kufuru hapo
Shehe wangu hapo kuingia motoni na kutolewa baadae hapo umechemka shehe wangu
@ogenylaurent7961
12 күн бұрын
KASOME DINI ACHA UZWAZWA
Sheikh hujajibu swali hivyo ni vita kinachotakiwa kujulikana hapo ni je hiyo vita inahusu nn?
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
Ndo tatizo la kujibu kitu ambacho huna ilmu nacho unaona nisipojibu ntaanguka kumbe siyo kauli za ulamaa zipo tofauti inatakiwa kabla ya kujibu ufatilie uhakika kina mtu anajuwa zaidi hili na akaelezea vzr kuliko kumpiga kamba mmtu
Na wale wanaojiripua kwa kujitoa mhanga sokoni,au msikitini n.k na kuua watu wasiokuwa na kosa lolote kwa kisa cha ugomvi na serikali😮😮😮😮
@samxx411
14 күн бұрын
usiwe na akili ndogo....hii umeambiwa wote wanaomwaga damu (kuuwa) hujaambiwa kuuwa kwa namna gani....ila wale kama wamedhulumiwa wana haki kujitetea..mfano hapa Tanzania tumevamiwa na adui tuna haki kujitetea, kwako umevamiwa una haki kujitetea, familia yako imevamiwa una haki kujitetea...kaa usome.
@EricsonNoah
14 күн бұрын
Pia pia inaingia kuuwa watu wasio na hatia
Allah atuongoze,kwaswali la Mzee Mrisho, Shekhe hakujibu sawawa!
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
Kwanini akujibu sawa sawa
Wewe Shekh kaa na wasomi upate ilimu ya vita apo UMEKWANGA
@samxx411
14 күн бұрын
Hajakwanga ameeleza kweli kabisa ila nadhani wewe ulihitaji uelezwe na wale ambao watapigana kwa haki...hiyo ni kesi nyengine.
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
Sasa kama mtu yule ni muharifu anaharibu amani na mfano vikundi vile vinavyojitikezaga kuuwa watu ovyo ovyo akatumwa kusaka na kuwauwa hapo dambi inakujaje sasa? Manake kunavikundi vinauashiria na uharibifu na kumwaga damu za watu akatumwa askari akawauwa kuna tatizo hapo??
@samxx411
14 күн бұрын
@@user-yj5on8cz3e muuwaji auwawe kwasababu tayari anadhulumu..hapo sheikh alizungumza kwa mfano watu wamefanya maandamano watu wakauliwa. Majeshi wakaenda sehemu wakavamia na kuuwa watu labda kwa kutaka mali au sehemu ktk eneo hilo.
@KheyriHassani
11 күн бұрын
Kwel
Kwanini wanjeishi hawaruhusiwi kutumia akili zao?kwani hawajui sawa na makosa?
@IsmailMjesh
13 күн бұрын
Kiufupi hizi kazi ni mashaka matupu........ Tunaingia tuu bhasi kwakua imetokea tuuuu, pia wapo wanaokataaa yale wanaoamrishwa'.... Japo jeshini hakuna hapana, kila kitu ni ndio......... Allah atuhifazi sote.......
Bado hajayajibu bado
Acha uongo shekhe ata mungu alikuwa akiwaagiza Israel kuuwa. arafu parestina ndio makafiri sio Israel
@IsmailJuma-ck3rr
13 күн бұрын
Kwadalili IPO iyo kua wapalestina ndo makafir
@user-ij9te1ck9p
12 күн бұрын
Kafiri ni yule anaemuadu mola Mmoja pekee Muumba WA mbingu na nchi na kuwatii mitume wote WA Mungu pasi na kuwabagua au anaemuabudu yesu aliyezaliwa na mwanamke kwa miujiza Kisha wakafanya ndio Mungu na kuhitaji msaada wake badala ya Muumba aliyemuumba YESU.
@IsmailJuma-ck3rr
11 күн бұрын
@@user-ij9te1ck9p Io andiko umetoa kitabu Gani Sikia mtu anapoitw kafiri asikasirike kwakutokusoma kwake nakujua( Kafir ) nikiarabu kiswahili ni kaidi au kataa kutii amri za mungu au mtu anaepinga amri za mungu Kwaio wewe kama unapinga amri za mung wewe nikafiri na hayo so maneno yang . Kwaio ACHA kuminyana kwa ushabik au matamanio Yako ukikosea unalinganiwa kama nimuungwana na muelewa basi utapat faida wewe binafsi simimi na kinyume chale ivyoivyo bro
Shehe nataka kujua hili kafili ni mtu mwovu au ni mkristo mchamungu au muhislamu mwovu nani kafili
@AbdalahMtambuka-rh1dp
15 күн бұрын
kafili mtuyeyote anae Pinga mungu uwepowake. au ukamkataa mtume yeyote au ukapinga kiama au ukapinga ukasema mungu siommoja au ukasema mungu anamtoto Yani ukasema mungu kazaa .au ukakanusha uwepo wakiama ukasema akuna ukipinga japo moja ayo wewe nikafili ai jalishi .wewe muislam au mklsto
@abdoumadiousseni4835
14 күн бұрын
Kafiri nikila mtu amekataya sheria za Allah awe muislam lkn yukokinyume na sharia za Allah na pia mkristo hatakama anajihita mcha mungu lkn yy ana muabudia yesu badala yakumuabudia alio muomba hapo yy nikafiri tu
Kuliko kunilazimisha kumua mtu kwa nini nisikubali uniue mimi?
@laylayl5166
14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
@@laylayl5166 utakuwa umejidhulumu nafsi bi fatma mtume amesema Allah amesamehe madhambi katika umati wangu yule mwenye kufanya kosa kwa kutojuwa hili ni kosa na yule anaelazimishwa kufanya jambo kinyume na sheria lakini akalazimishwa afanye huyo mungu humsameeh e
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
@@laylayl5166 kuna mwanamke mmoja aliwahy kuja kwa mtume analia mtume akamuuliza unalia nini akasema nimelazimishwa kumtukana Allah na nikutukane mtume niwapinge sasa mtume akamjibu huna kosa madamu ukifanya kuinusuru nafsi yako isidjulumiwe ukauwawa na pia yupo mwanamke aloamrishwa amkufuru muhammad so mtume wa mungu nae alikataa akauliwa summahya mwanamke wakwanza kufa shahidi kwahiyo Allah kusamehe makosa yamtu alolazimishwa kufanya jambo fulani likawa la kumkufuru mungu nae akafanya huyu usamehewa
Waislam wanaamini makafiri ni motoni ila majini wataenda peponi
@abdoumadiousseni4835
14 күн бұрын
Majini kuna makafiri nau pia wataigia motoni
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
@@abdoumadiousseni4835 akuna anae sema majni wataenda peponi wote huo urongo umetunga ww jini wema wataingia eoni jini waovu wataingia motoni madamu ni viumbe nao waliumbwa wamtumikie mungu wapo wanaomtii mungu na wapo wanaomkufuru mungu motoni nao
@yakobomkristo872
13 күн бұрын
@@abdoumadiousseni4835Hayo Ni Matamanio Yako, Lakini Quran Imebainisha Wazi Kabisa Kwamba Majini Wote Na Binadamu Wanaoshirikiana Nao Wote Jehanamu Ndiyo Makazi Yao.
Muhammad pia aliua pindi alipokua vitani je nae anaenda motoni,!?
@YahyaYahya-vp2pp
14 күн бұрын
Una ushahidi wowote kuwa mtume Muhammad aliua mtu vitani. Quran sunna.
@emanuelmsolopa2018
12 күн бұрын
Ndo na mm nashangaa unajua ukijibu swal inabid ufikirie kwa mfano wavamiz wamevamia Tanzania wanajeshi wakawa wanawazuia kuwa n dhambi wanajibu swal bila kufikiria na wanajibu kwa hisia zaid ya elimu ya kawaida tu
CCM NA JESHI LAKE WANAWAUA WAZANZIBARI KILA BAADA YA MIAKA MITANO YA UCHAGUZI, NOA HUKU U YAO IKOJE?
@salehmussa9371
16 күн бұрын
Anza nahao waliouwawa kwanza je? Wameuliwa wakifanyanini? Au wameuliwa wakiwa nyumbn wamelala? Au wapomckitni wanaswali? Ukipata hayomajibu utaelewa tu.
@Khatib-xp6fp
16 күн бұрын
Zanzibar ni uonevu hakuna vita hata iwe mazingira gani
@cath-ef7wd
15 күн бұрын
Wewe akili mavi@@salehmussa9371
@Sheba4651
14 күн бұрын
@@salehmussa9371Zanzibar yote yametipa hayo, itakua wewe hujasikia kwa sababu hujaja mjini, au hujasoma history ya yaliyopita, enzi hizo hata msikitini ama majumbani watu yamewakuta. Siku hiyo ikifika ni ngumu sana.
Shehe hunajibu kuhusiana.kuuwa vitani,.somasoma zaidi.
@HamisMagambo-gw6ti
14 күн бұрын
Kweli kabisa bado hajajibu swali
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
@@HamisMagambo-gw6ti kwanini hajajibiwa swali huyo mzee
@user-nm5ge6dt8i
14 күн бұрын
Wewe uliyetumwa ukakubali una dhambi huyu aliekutuma yeye Hana sababu ya kumjadili Sasa unataka jibu lipi?
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
@@user-nm5ge6dt8i sasa inategemea nni. Watu wa aina gaani. Uloenda kuwauwa ikiwa ni vikundi vinavyouwa watu na kuvuruga amani je kunatatizo hapo??
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
Mfaano watu wanachinja watu na kuoora maduka yao na kukimbilia msituni kamanda wa jeshi kakutuma ukauwe unadhambi hapo au waachwe waendelee kuuwa nao??
Kuuwa kafiri sikosa kislam.nakushangaa shekh unajichanganya
@AbdullahKulondwa
14 күн бұрын
Kumuua kafili ikiwa kuna haja auliwe sio kufyekatu lakini
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
@@AbdullahKulondwa kwani kafiri hana hakki ya kuishi ndugu
@user-yj5on8cz3e
14 күн бұрын
Kafiri mtume aliwauwa kwa ruksa ya Allah katika mapambano ya vita lakini kinyume na hapo utakiwi kumuuwa inatakiwa umlinganie aje katika uislamu ataki unamuacha lakum dinakum wali ya dinu mtume akufundisha madamu kafiri ndo umuue tuu kama wanavyofanya alshababi si
@AbdullahKulondwa
14 күн бұрын
@@user-yj5on8cz3e huja nielewa aya yakwanza ya mapigano inasema wameruhusiwa kupigana wale walio dhuliwa.waislamu hatupigi mgaka kue na haja ya mapigano mfano gaza inavyo onewa tunapaswa kupigana na myahudi mana ni dhalim ila sio kila kafili alie mbele unapiga mpaka awe na hatia
@binuqaasha675
12 күн бұрын
Ndio Hana ruhsa ya kuishi mpaka alipe Kodi kwa waislaamu