Sheik nakuomba allah akubariki na mimi naomba uniombee dua nipate elimu nyingi yenye taqwa nakupenda sana kwaajili ya allah
@user-qs1pv7lp3g
7 ай бұрын
Allah akujaalie uipate elimu ya akhera na iwe na manufa kwako na waislamu wenzako pamoja na mm amin yarabi atupe tulioyaomba amin.
@mwalisuleih11649 ай бұрын
😢😢😢😢😢 Allah awarehemu wote waliotutangulia mbele za haki na tulio hai bfo Allah atujaalie mwisho mwema ummati Muhammad S. A. W
@jasminmohamed6145
9 ай бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN QADIR WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI. ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM. Barakallahu Feek
@siriyangu4724
9 ай бұрын
Amiin yarrab 🤲
@zauloabdallahmussa1615
9 ай бұрын
Allahuma Amiin 🙏
@mwanaathumani95947 ай бұрын
Asante she mungu akujalie kwaelim hii nilio ipata kupigia wewe Kwan namuota Sana mama yangu mkubwa mara kwamara kumbe niroho zetu zinakutana nimefrai sana❤❤❤asante
@safarsafari68
2 ай бұрын
Inategemea mda mwengine wamuota marehemu kwsbb humtolei sadaka hua anataka chakula yani umtolee sadaka..au ni shetani hua anataka kukutia ktk shirki
@jamalalnadhir40584 ай бұрын
Walio tangulia mbele za haki Allah awaingize janatul fridaus ameen yarab
@user-pp5lz9qs9k9 ай бұрын
INSHAALLAH TUNAMUOMBA ALLAH AWAREHEMU WTE N AWAONDOLEE MISUKOSUKO ZTE Z KABURUNI
@sabihahamadi22879 ай бұрын
Subuhanallh yarabi tujaliye mwisho mwema
@MebouHakizimana-od3ku4 ай бұрын
Allah awarehem waliotangulia amen Jaana nimemuita baba yangu marehem Allah mueekeh shifah pamoja nafamilia zetu inshallah
@justineemanueli684720 күн бұрын
Mungu wa mbinguni akulind San sheikh
@bjzee19819 ай бұрын
Subhaanallah. Ni kweli utakacho ambiwa na maiti utaona kama alivyo kwambia. Na akikupa kitu hakika utakipata kitu hichohicho
@user-km4gk3dq6p9 ай бұрын
Allah awajaalie ndugu zetu waliotangulia awaepushie na adhabu ammiin
@HakizimanaSalima-sg7cv8 ай бұрын
Subhan Allah yaa Allah warehemu wa Zazie wangu nawa islamu wote walio tangulia mbele za haqi Allahumma Ameen yaarabby 🤲
AMINA RABI AMINA. NASI ALLAH ATUJALIE HUSNUL KHATIMA . ameen
@mwanamkasiabdul46469 ай бұрын
Innalilah wainailah rajiuun Allah atufikishe mwisho mwema
@eshasalim549610 ай бұрын
SUBHANA ALLAH! ALLAH Awarehemu Ndugu Zetu Waliotangulia Mbele Za Haki Ya Rabb. AMIIN
@salhaali9284
10 ай бұрын
Amin
@fabssaleh7273
10 ай бұрын
ALLAHUMMA AMEEN WA JAZAKALLAHU KHAIRAN
@muniraramadhan9097
10 ай бұрын
AMIN THUMMA AMIN
@siriyangu4724
9 ай бұрын
Amiin yarrab
@jumaame2832
9 ай бұрын
oo up
@salumsalum88667 ай бұрын
nishamuota sna Mama yangu tena naongea nae na ananiambia vitu vengine cvijui leo nimepata Elim yaarab nipe mwisho mwema
@user-zo9lb1id9v2 ай бұрын
Sheikh allah azidi kkuokania katika wasia wako
@fatmahmkuzi7 ай бұрын
Mm nilikuwa na ongopa mana baba na mama simalizi mwezi bila kuongea nao handi nikawa natafuta masanda kwaza nikiwa na mawazo ama kufikiria ama kwenye matatizo mangum basi huwa lazima mama niongee naye ndio hicho kitu kifanyika yani amekuwa kama mshauri wangu wa kila wakati❤❤❤❤❤ila nashukuru ka kuelewa mana ya ndoto ya kuota mtu wa kufa
@abdirizakrashid87699 ай бұрын
Amin
@user-tc1bk5qc3y9 ай бұрын
Allah awalehemu ndugu zetu walotangulia nasi atupe mwisho mwema 🙏🙏
@rahmarr2160
8 ай бұрын
Allahuma Amiin 🤲
@user-ju1pl7rr8n9 ай бұрын
Wlkm slm ww... shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏
@user-vc6yu2kf3i9 ай бұрын
Allah awarehemu ndugu zetu waliyo tangulia mbele ya haki
@mwanamisiomari81894 күн бұрын
Mi usiku wa jana nimeota nakaa na mamangu twaongea na alishakufa saii ana miaka minne
@abuumohamed70909 ай бұрын
Allah waondoshee adhabu ya kabri ndugu zangu wote waliotangulia mbele za haki
@zauloabdallahmussa1615
9 ай бұрын
Allahuma Amiin 🙏
@user-fs7xc2bb5d
9 ай бұрын
Allahuma Amin 🤲🤲
@kholaabdulrahman1750
8 ай бұрын
Amin
@husnasalim96149 ай бұрын
Allah wasamehe maiti wetu wote
@aishamother99438 ай бұрын
Ya Allah tujalie mwisho mwema, wallahi kulala n nusu ya kifo,na huwarehemu ndugu zetu walio tangulia mbele za haki,Amiin
@user-sb9nv7sd4o10 сағат бұрын
Awarehemu maiti wetu wote
@cellcelll21519 ай бұрын
mashaAllah mungu akujze sheikh ila ukutuambia maana y hii ndoto
@imamufamily56177 ай бұрын
Yalaby warehemu ndugu zetu waliotangulia mbele zahaki nautujalie mwisho mwema
@zahrahabibu73853 ай бұрын
Allah Awarehemu Wote waliotangulia Mbele ya Haki
@user-zq1nq4jp6q6 ай бұрын
mue mnajitaidi kuonge kiswahili bana tuna penda kuwa sikiliza ila ruga zenu hatuzielewi
@fatimaussene10109 ай бұрын
Mi nilipewa namba za simu ni dada yangu alisema ukipiga namba hii utanipata na asubuhi nilipoipiga simu ikaita mtu yuko morogoro na nilipotaka kujua kama anamfahamu marehemu alikataa na kukata simu allaha ampunguzie adhabu ya kabri dada yangu
@monarose60919 ай бұрын
Subuana Allah mwenyez mungu tujalie mwisho mwema inshallah
@user-gx6gd1ql7c8 ай бұрын
Mola wangu wareemu watoto wangu yaraab na ndugu zangu
@katore1982
3 ай бұрын
Aamen yaRabb
@user-kw4wn7rj1h9 ай бұрын
Allah awarehem ndugu zetu wote waliotangulia mbele za haki ameena labby ameen
@halimamfaume192510 ай бұрын
Allahu akbar
@abdulmwakubambanya909110 ай бұрын
Barakh Allah Khair
@hanifahnabakiibi69298 ай бұрын
JazaakAllahu khair
@ZainabOmar-hf3vu8 ай бұрын
Subhana llah
@siriyangu47249 ай бұрын
Allah akbar
@user-vc4cf9yf2y8 ай бұрын
SubuhanaAllah Allah Akbar
@kassimhassan84269 ай бұрын
Allah awarehemu
@user-ce6ob6zh7k8 ай бұрын
Wallahi nilikua namuota dadaangu ananiambia kaniombee msamaha kwa mamaake wa kufikia au mlezi maana uko ajafika kaburi limemkataa yupo tu Kati uko anafukuzwa bc naliia tuu sijui nifanye je
@user-wo9re8if4d9 ай бұрын
Shukuran shehe mm huwa naota Sana leo nimeelewa sasa
@mwanaidisagai66538 ай бұрын
❤❤mashaallah
@HusseinIbrahim-mc9sq9 ай бұрын
Allah awarehmu ndug zetu
@SNKANTO8 ай бұрын
Allahu Akbaru
@aziziwailu75318 ай бұрын
Mashaalaa
@Pinky-qd4gh8 ай бұрын
Allahu laailaha ila Allah
@musa.-hj5ld8 ай бұрын
Allah awapumzishe kwa amani
@khadijaali98619 ай бұрын
Allah awape mema huko walipo wazazi wetu
@mbwanarajab72387 ай бұрын
Subhaanallhah Allhah Akbar
@user-tm2nj1qx4g8 ай бұрын
Shukran
@user-zm8eh3ym1s9 ай бұрын
Innalillah
@hawamicky46518 ай бұрын
Ni kweli mm nilikua na mahusiano na mtu wa din nyingine marhum babaangu akanijia usingiz akaniambia nilikuhusia usiolewe na asiyekua muislam achaa nilistuka na nikweli alinihusia enz za uhai wake
@user-cp7rw6wo6r9 ай бұрын
Àllah akbar
@chimohassan84997 ай бұрын
Subhanallah Allahu Akbar
@rabialema90137 ай бұрын
Inshaalah
@user-td2yx1dj2o8 ай бұрын
Allah awarehem ndug zetu walotangulia
@user-oj3cb1oq3j8 ай бұрын
Allah awassmeh wote waliotangulia mbele za haki
@siriyangu47249 ай бұрын
Mmi hii otanitokea pka wanitia hofu shukran sheikh
@NasibuNasoro-ew3vw9 ай бұрын
Subuhanallh yabi tujarie mwisho mwema je? Nisaidie erimu juu ya hizo doto baada ya kukutana huko baina roho hizo mbili aidha kumuona mzazi wako arietangulia au ndg yko vp hpo ukimuona ypo ktk furaha ina maanisha nini haswa nipe faida yke pia naitaji kujua erimmu hiyo zai ishaallaah
@johngachuhi47768 ай бұрын
Hi mimi mkristo je ni kosa au inamaana gani kuota na aliyeaga ?
@Aishamrembo-pk7tl8 ай бұрын
Allahu laillah ilallah
@MbelwaZubeli
5 ай бұрын
Assalaam aleykum
@SophiaMngodo-kz7xb9 ай бұрын
Mm nilliota mtu aliyekuwa nishangaz yngu..ila kwenye hyo ndoto nilikuw napiga kelle kma kuomba msaada lakin skumbuki tukio llte wala maongez yyte kti yetu na nilipoamk asubuh nilikuw nimechoka sna na koo linaniuma...hii ina maana gni shekh nisaidie
@aminatanzanya74758 ай бұрын
Mi huwa namuota ila ananilaum kwann kabl hajaf aliita nikaw sijaend hospital. najiuliz kwann ananijiya mar kwa mar ndoton
@motorsportsmotorsports21705 ай бұрын
Inamanisha nini sheikh bado hujasema manaeke nini?
@sylvia39998 ай бұрын
Mimi kila siku ADI nashindwa , mala wananipa pesa
@victoriarwerengera48319 ай бұрын
Baba unaongea kiarabu kingi nashindwa kukuelewa vema
@omarmohammad1528
9 ай бұрын
Kua na utulivu katika kusikiliza utaelewa, Kila neno la kiarabu ameli Tafsir na Dalili Kwenye Hadith. Na kwamba maneno ni ya kwely basi itaongelewa kwa Lugha ya kiarabu kulingana na Maneno ya wanazuoni. Tuheshimu ma Sheikh zetu na tutumie lugha nzryy
@muskhaj1230
9 ай бұрын
Nadhani victoria hajakosea yupo sahihi. Anatumia sana lugha ya kiarabu kwa sababu ushahidi anaotolea kwenye Quran na hadithi ama maneno ya MTUME s.a.w lakini pia hujitahidi kuyatafsiri kwa kiswahili. Mashallah nikupongeze Victoria kwa kutafuta elimu zote bila ubaguzi Karibu Zanzibar
@remiomar7154
9 ай бұрын
@@muskhaj1230kuweni makini anaeongea kiarabu lakini mbona anatafsuri Kiswahili tuu vizuri uwelewa wenu ndio mfupi
@yusufmohdali261710 ай бұрын
Ameeni
@FurahaAugustin3 ай бұрын
Mbona havi eleweki sasa
@user-oc8uo9rl3u10 ай бұрын
SASA KAMA UMEMUONA MTU LAKINI WEWE HUJAFA NA YEYE HAJAFA INAKUAJE??
@bakarkombo3393
8 ай бұрын
Umeuliza swali zuri sana... sidhani kama kutakuwa na wa kujibu
@fabssaleh727310 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@user-zq5iu5oh1b9 ай бұрын
F
@maase20238 ай бұрын
Ustaaz kweli tafsiri za ndoto wazijua ww??? Mmmhhh
@bibahhadith9 ай бұрын
Sheikh anaendeleaje jmn ameshaanza darsa? Allah amfanyie wepec
@fauzproduction
9 ай бұрын
Naam Darsa zimeregea
@bibahhadith
9 ай бұрын
@@fauzproduction Alhamdulillah Allah amuhifadhi
@wardaomar4828
9 ай бұрын
Ameenn
@wardaomar4828
9 ай бұрын
Mim natamn niulze swalo
@fatmaathman98178 ай бұрын
Amin
@salumsalum88667 ай бұрын
Allah awarehem Wazazi wangu Amin
@imamufamily56177 ай бұрын
Yalaby warehemu ndugu zetu waliotangulia mbele zahaki nautujalie mwisho mwema
Пікірлер: 115
Sheik nakuomba allah akubariki na mimi naomba uniombee dua nipate elimu nyingi yenye taqwa nakupenda sana kwaajili ya allah
@user-qs1pv7lp3g
7 ай бұрын
Allah akujaalie uipate elimu ya akhera na iwe na manufa kwako na waislamu wenzako pamoja na mm amin yarabi atupe tulioyaomba amin.
😢😢😢😢😢 Allah awarehemu wote waliotutangulia mbele za haki na tulio hai bfo Allah atujaalie mwisho mwema ummati Muhammad S. A. W
@jasminmohamed6145
9 ай бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN QADIR WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI. ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM. Barakallahu Feek
@siriyangu4724
9 ай бұрын
Amiin yarrab 🤲
@zauloabdallahmussa1615
9 ай бұрын
Allahuma Amiin 🙏
Asante she mungu akujalie kwaelim hii nilio ipata kupigia wewe Kwan namuota Sana mama yangu mkubwa mara kwamara kumbe niroho zetu zinakutana nimefrai sana❤❤❤asante
@safarsafari68
2 ай бұрын
Inategemea mda mwengine wamuota marehemu kwsbb humtolei sadaka hua anataka chakula yani umtolee sadaka..au ni shetani hua anataka kukutia ktk shirki
Walio tangulia mbele za haki Allah awaingize janatul fridaus ameen yarab
INSHAALLAH TUNAMUOMBA ALLAH AWAREHEMU WTE N AWAONDOLEE MISUKOSUKO ZTE Z KABURUNI
Subuhanallh yarabi tujaliye mwisho mwema
Allah awarehem waliotangulia amen Jaana nimemuita baba yangu marehem Allah mueekeh shifah pamoja nafamilia zetu inshallah
Mungu wa mbinguni akulind San sheikh
Subhaanallah. Ni kweli utakacho ambiwa na maiti utaona kama alivyo kwambia. Na akikupa kitu hakika utakipata kitu hichohicho
Allah awajaalie ndugu zetu waliotangulia awaepushie na adhabu ammiin
Subhan Allah yaa Allah warehemu wa Zazie wangu nawa islamu wote walio tangulia mbele za haqi Allahumma Ameen yaarabby 🤲
Yaarabbi tujaalie Mwisho mwema YARABBI🤲🤲🤲😭😭😭😭😭
Allahummaghfir lahum warhamhum waskinhum fil jinnah,wote walotangulia
@shuwehaharuna6309
9 ай бұрын
Ameen
@abdallasalim1407
9 ай бұрын
Amin❤
@dadaasalim501
7 ай бұрын
AMINA RABI AMINA. NASI ALLAH ATUJALIE HUSNUL KHATIMA . ameen
Innalilah wainailah rajiuun Allah atufikishe mwisho mwema
SUBHANA ALLAH! ALLAH Awarehemu Ndugu Zetu Waliotangulia Mbele Za Haki Ya Rabb. AMIIN
@salhaali9284
10 ай бұрын
Amin
@fabssaleh7273
10 ай бұрын
ALLAHUMMA AMEEN WA JAZAKALLAHU KHAIRAN
@muniraramadhan9097
10 ай бұрын
AMIN THUMMA AMIN
@siriyangu4724
9 ай бұрын
Amiin yarrab
@jumaame2832
9 ай бұрын
oo up
nishamuota sna Mama yangu tena naongea nae na ananiambia vitu vengine cvijui leo nimepata Elim yaarab nipe mwisho mwema
Sheikh allah azidi kkuokania katika wasia wako
Mm nilikuwa na ongopa mana baba na mama simalizi mwezi bila kuongea nao handi nikawa natafuta masanda kwaza nikiwa na mawazo ama kufikiria ama kwenye matatizo mangum basi huwa lazima mama niongee naye ndio hicho kitu kifanyika yani amekuwa kama mshauri wangu wa kila wakati❤❤❤❤❤ila nashukuru ka kuelewa mana ya ndoto ya kuota mtu wa kufa
Amin
Allah awalehemu ndugu zetu walotangulia nasi atupe mwisho mwema 🙏🙏
@rahmarr2160
8 ай бұрын
Allahuma Amiin 🤲
Wlkm slm ww... shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏
Allah awarehemu ndugu zetu waliyo tangulia mbele ya haki
Mi usiku wa jana nimeota nakaa na mamangu twaongea na alishakufa saii ana miaka minne
Allah waondoshee adhabu ya kabri ndugu zangu wote waliotangulia mbele za haki
@zauloabdallahmussa1615
9 ай бұрын
Allahuma Amiin 🙏
@user-fs7xc2bb5d
9 ай бұрын
Allahuma Amin 🤲🤲
@kholaabdulrahman1750
8 ай бұрын
Amin
Allah wasamehe maiti wetu wote
Ya Allah tujalie mwisho mwema, wallahi kulala n nusu ya kifo,na huwarehemu ndugu zetu walio tangulia mbele za haki,Amiin
Awarehemu maiti wetu wote
mashaAllah mungu akujze sheikh ila ukutuambia maana y hii ndoto
Yalaby warehemu ndugu zetu waliotangulia mbele zahaki nautujalie mwisho mwema
Allah Awarehemu Wote waliotangulia Mbele ya Haki
mue mnajitaidi kuonge kiswahili bana tuna penda kuwa sikiliza ila ruga zenu hatuzielewi
Mi nilipewa namba za simu ni dada yangu alisema ukipiga namba hii utanipata na asubuhi nilipoipiga simu ikaita mtu yuko morogoro na nilipotaka kujua kama anamfahamu marehemu alikataa na kukata simu allaha ampunguzie adhabu ya kabri dada yangu
Subuana Allah mwenyez mungu tujalie mwisho mwema inshallah
Mola wangu wareemu watoto wangu yaraab na ndugu zangu
@katore1982
3 ай бұрын
Aamen yaRabb
Allah awarehem ndugu zetu wote waliotangulia mbele za haki ameena labby ameen
Allahu akbar
Barakh Allah Khair
JazaakAllahu khair
Subhana llah
Allah akbar
SubuhanaAllah Allah Akbar
Allah awarehemu
Wallahi nilikua namuota dadaangu ananiambia kaniombee msamaha kwa mamaake wa kufikia au mlezi maana uko ajafika kaburi limemkataa yupo tu Kati uko anafukuzwa bc naliia tuu sijui nifanye je
Shukuran shehe mm huwa naota Sana leo nimeelewa sasa
❤❤mashaallah
Allah awarehmu ndug zetu
Allahu Akbaru
Mashaalaa
Allahu laailaha ila Allah
Allah awapumzishe kwa amani
Allah awape mema huko walipo wazazi wetu
Subhaanallhah Allhah Akbar
Shukran
Innalillah
Ni kweli mm nilikua na mahusiano na mtu wa din nyingine marhum babaangu akanijia usingiz akaniambia nilikuhusia usiolewe na asiyekua muislam achaa nilistuka na nikweli alinihusia enz za uhai wake
Àllah akbar
Subhanallah Allahu Akbar
Inshaalah
Allah awarehem ndug zetu walotangulia
Allah awassmeh wote waliotangulia mbele za haki
Mmi hii otanitokea pka wanitia hofu shukran sheikh
Subuhanallh yabi tujarie mwisho mwema je? Nisaidie erimu juu ya hizo doto baada ya kukutana huko baina roho hizo mbili aidha kumuona mzazi wako arietangulia au ndg yko vp hpo ukimuona ypo ktk furaha ina maanisha nini haswa nipe faida yke pia naitaji kujua erimmu hiyo zai ishaallaah
Hi mimi mkristo je ni kosa au inamaana gani kuota na aliyeaga ?
Allahu laillah ilallah
@MbelwaZubeli
5 ай бұрын
Assalaam aleykum
Mm nilliota mtu aliyekuwa nishangaz yngu..ila kwenye hyo ndoto nilikuw napiga kelle kma kuomba msaada lakin skumbuki tukio llte wala maongez yyte kti yetu na nilipoamk asubuh nilikuw nimechoka sna na koo linaniuma...hii ina maana gni shekh nisaidie
Mi huwa namuota ila ananilaum kwann kabl hajaf aliita nikaw sijaend hospital. najiuliz kwann ananijiya mar kwa mar ndoton
Inamanisha nini sheikh bado hujasema manaeke nini?
Mimi kila siku ADI nashindwa , mala wananipa pesa
Baba unaongea kiarabu kingi nashindwa kukuelewa vema
@omarmohammad1528
9 ай бұрын
Kua na utulivu katika kusikiliza utaelewa, Kila neno la kiarabu ameli Tafsir na Dalili Kwenye Hadith. Na kwamba maneno ni ya kwely basi itaongelewa kwa Lugha ya kiarabu kulingana na Maneno ya wanazuoni. Tuheshimu ma Sheikh zetu na tutumie lugha nzryy
@muskhaj1230
9 ай бұрын
Nadhani victoria hajakosea yupo sahihi. Anatumia sana lugha ya kiarabu kwa sababu ushahidi anaotolea kwenye Quran na hadithi ama maneno ya MTUME s.a.w lakini pia hujitahidi kuyatafsiri kwa kiswahili. Mashallah nikupongeze Victoria kwa kutafuta elimu zote bila ubaguzi Karibu Zanzibar
@remiomar7154
9 ай бұрын
@@muskhaj1230kuweni makini anaeongea kiarabu lakini mbona anatafsuri Kiswahili tuu vizuri uwelewa wenu ndio mfupi
Ameeni
Mbona havi eleweki sasa
SASA KAMA UMEMUONA MTU LAKINI WEWE HUJAFA NA YEYE HAJAFA INAKUAJE??
@bakarkombo3393
8 ай бұрын
Umeuliza swali zuri sana... sidhani kama kutakuwa na wa kujibu
ALLAHU AKBAR
F
Ustaaz kweli tafsiri za ndoto wazijua ww??? Mmmhhh
Sheikh anaendeleaje jmn ameshaanza darsa? Allah amfanyie wepec
@fauzproduction
9 ай бұрын
Naam Darsa zimeregea
@bibahhadith
9 ай бұрын
@@fauzproduction Alhamdulillah Allah amuhifadhi
@wardaomar4828
9 ай бұрын
Ameenn
@wardaomar4828
9 ай бұрын
Mim natamn niulze swalo
Amin
Allah awarehem Wazazi wangu Amin
Yalaby warehemu ndugu zetu waliotangulia mbele zahaki nautujalie mwisho mwema