TAFSIRI YA NDOTO ZA KUOTA UPO SEHEMU ULIYOZALIWA AU KUKULIA. APOSTLE MICHAEL MWAKILAMBO.
Жүктеу.....
Пікірлер: 247
@MgayaJoyna29 күн бұрын
Amina baba nimebarikiwa na neno sirudi kijijini Kwa jina la yesu- imeandikw mauti na uzima huwa ktk uwezo waulimii nakataaa
@makimbiliochannel
28 күн бұрын
Amina amina ubarikiwe sana.
@AshuraSalumu-k7h3 күн бұрын
Ameen mtumish nakataa kabisa kurudi nyumaa kwa jina la yesu
@HattaHatta-pk7hr10 күн бұрын
Kwa Damu ya Yesu Kristo ndoto za kijijin azina mamulaka na Yesu Mungu mkuu atusaidie 🙏 🙏 mtumishi
@GahimbalMarieCantalАй бұрын
Asante mtumishi wa Mungu mimi naota sana nikiwa kijijini upanda wa babaangu nikiwa naongea nawazazi wangu walie kufa handi ndugu walie kufa najikuta naongea nao mara naota nikiweko huko nikikimbizwa na babaangu mudogo ananikibiza tukiporomoka mirima yauko naoyijuwa nanikiziota nahamuka tayali shida zimeniandama
@javerymsangi285612 күн бұрын
Nashukuru sana mtumishi mungu azid kukubarki
@anithamsoke23298 ай бұрын
Baba umenibariki na ujumbe huu asubuh ya leo. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri. Umenifungua kwakweli 🙏🙏
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@AliceMakori-bs1ikАй бұрын
ka Mimi naota Kila siku aki Niko home na Niko uarabuni but I know God will fight for me ooh pastor unlock that chain for me coz napata niliota mom ananiambia enda mwanangu Rudi had ananipa pesa hata dad aliaga two wks ago ananisukuma ktk home aliniambia enda usirudi hapa pigania familia
@user-zc2be1bj8nАй бұрын
Mungu anisaidie kwa Jina la yesu kwa roho za kuota nipo nyumbani.niweze kufanya vizuri kwenye masomo yangu
@DorisMwanyula8 күн бұрын
Asante baba
@ImeldaMyinga9 күн бұрын
Ndoto hii inanisumbua sana mm
@GahimbalMarieCantalАй бұрын
Naomba mungu anishindie vita hivi nimeshinda kwajina la Yesu kristo Amen 🙏 kama kuna mutu ananifunga kwenye familia yangu upande wa babaangu hatofanikiwa kwajina ra Yesu kristo kama kuna mutu ananitowa kafala hatofanikiwa akufe yeye mwenyewe kwajinala Yesu kristo kama kuna lani zakifamilia kwenye maisha yangu nimezikataa zifutike ziniondokee ziniepuke ziwaludie wawo wauzika kwajina la Yesu kristo aliye hayi Amen 🙏🙏🙏
@makimbiliochannel
Ай бұрын
Pole sana kwa changamoto hizo. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.
@lizmary-ss2kz6 ай бұрын
Amen pastor hizo ndoto ziishe katika jina la yesu
@makimbiliochannel
6 ай бұрын
Amina amina na iwe kwako. Jambo la kuzingatia ni kwamba ukiri wako uambatane na matendo dhahiri ili ukombozi uwe sehemu ya maisha yako. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.
@user-lw8hp1zb8r7 ай бұрын
Nimefunguliw kwa jina la yesu sitarud kijijn kwa kufilisik zaid nitaend kusalimia na kurud mjin amina
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu.
@janechaula28705 ай бұрын
Mchungaji uko vizuri sana yaani umeongea ukweli kabisa unayajua maandiko kupita maelezo nimekukubali sana barikiwa na Bwana
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Amina amina ubarikiwe nawe pia. Thanks for your appreciation.
@shinemichael-oj7wc8 ай бұрын
Amina baba nimebalikiwa kwa neno
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@AshuraSalumu-k7h3 күн бұрын
Nakataa kabisa kurudi kijijin kwa jina la yesu
@kilalahamis1484Ай бұрын
Amen amen Kwa jina la yesu nimeshida silud kijijin kuwa nimekosa kazi
@makimbiliochannel
Ай бұрын
Ubarikiwe sana. Endelea kuwa na msimamo huo katika maneno na matendo yako ya kila siku.
@genevievesunday8 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu azidi kukuimarisha.
@agnesneema23983 ай бұрын
Niombee pastor 🙏🙏
@JamesOdhiambo-wu2pj7 ай бұрын
Amen Mtumishi wa Mungu
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@asanianselm67598 ай бұрын
Amen amen mungu akubariki mutumishi wa mungu ni mepitiya izo do to sana na sasa ni funguliwa Kwa damu ya yesu
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina . Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@rastonmwakifuna85838 ай бұрын
Ameen,nimeelewa vizuri mno.
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@rizikivincent52557 ай бұрын
Hakika kweli mwenyezi Mungu atusaidie
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina amina. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu akubariki sana.
@user-rm5hp3lc6d8 ай бұрын
Amen mafundisho mazuri hakika
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@VinaelKerry6 ай бұрын
Amen parikiwa sana pastor
@makimbiliochannel
6 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
@theresiathiaka28667 ай бұрын
Amen .Mafundisho mazuri sana hii shida nimekuwa nayo kila mara mm uota kila siku niko kijijini. Nafanya kazi sioni fahida kila mara vifo ,magonjwa,ajali ..
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@HamidaOmary-wh2ueАй бұрын
Amen amen nmeshinda njozi na ndoto mbaya
@makimbiliochannel
Ай бұрын
Amina amina Mungu akujalie sawasawa na haja yako.
@user-tx5sx1wu6l5 ай бұрын
Amina mungu nimwema kilawakati
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Amina. Mafundisho haya kama utaweza kuwashirikisha na watu wengine litakua ni jambo la baraka sana na adili hata mbele za Mungu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.
@martinehussein72618 ай бұрын
Amiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiina🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@ombeninnko93323 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi hii ni kweli mimi pia huota hizi ndoto sana ninafanya kazi mjini miaka mingi sasa
@makimbiliochannel
3 ай бұрын
Pole kwa hiyo changamoto. Jitahidi kutafuta msaada wa kiroho juu ya changamoto hiyo. Isaya 28:1,22[22]Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ya hukumu itakayotimizwa, nayo imekusudiwa, itakayoipata dunia yote pia.
@aimeebusime58498 күн бұрын
Barikiwa sana Mtumishi najifunza mengi nikumbuka kwa maombi plz nateseka sana nahi zo ndoto
@hellinahombuya51748 ай бұрын
Powerful
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pongezi sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@user-cx7xy5cq1d8 ай бұрын
Amina kwa neno
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@user-lw8hp1zb8r7 ай бұрын
Mungu akulinde cn meng
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina amina asante.
@JemaMbwilo2 күн бұрын
Hizi zote zinanitokea Mimi mara Niko shule ya msingi niliyosoma na kijijini kwetu na nyumba niliyopanga zamani miaka mingi iliyopita
@bbhv35688 ай бұрын
Amina
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@BarakaRichard-pg3qz26 күн бұрын
Mungu akubariki maana leo nimepata Malibu juu yandoto ambayo imenitesa myaka mingi
@jinaop4908 ай бұрын
Amen Apostle,hizi ndoto sinanitesaza sana kwa Kila mara,mungu nisaidie hizi ndotioziishe Kwa damu ya yesukristo
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole kwa changamoto hiyo. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Damu ya Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Be blessed
@malaikalihuda28318 ай бұрын
Nashukuru sana mtumishi nami huwa naota hivyo hivyo
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@PeninahMwendwa
8 ай бұрын
Hizi ndoto Sina uchungu tufanye nini😢
@evak81227 ай бұрын
Amen
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Usisahau kufatiloa mfululizo mwingine wa. Mafundisho mengine mazuri kama haya.
@benardbonephace48968 ай бұрын
Amina sana mchungaji,nimepata ufunuo Sasa.... kumbe tukilala tukaota tunachokiona kwenye ndoto kinaonwa na nafsi zetu hivyo tunapoona chochote kupitia ndoto huo ndo uhalisia wa nafsi ya mtu
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Ni kweli kabisa unachosema. Maandiko yanasema aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Kwahiyo kama unaona upo kijijini kwenu basi huko ndipo uliko.
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@gudanemma14595 ай бұрын
Ubarikiwe kwa mafundisho mm mme wangu anaota kila siku yupo kijijini kwako na marafiki zake ananiambia kaenjoy ndoto kila akisema anataka kwenda kwao anasema ana nauli miaka kumi sasa ajawai kwenda kwao kila anachofanya afanikiwi yani akipata ela anaishia kula tu mpka ishe yote ndo anakumbuka kwenda kazni tena ivo ivo tu
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Pole sana kwa hiyo changamoto aliyonayo mme wako. Ulimwengu wa roho ndio huuamilia ulimwengu wa mwili. Pia changamoto ambayo huwa inajurudia rudia kwenye maisha ya mwandamu huwa ni kifungo. Kwahiyo mtu unapoona mtu anaota ndoto upo nyumbani kwenu, halafu kuna tatizo linakukuta punde tu baada ya kuota hiyo ndoto inamaana kwamba, ipo nguvu ya asili ya kijijini kwenu ambayo inamrudisha nyuma mara tu anapojaribu kuvuka mpaka fulani wa kimaisha. Kwahiyo wanaweza wasimzuie harakati zake ila watamzuia maendeleo yake. Mfano mtu anatembea, haendi mbele ila anaenda upande. Ni kweli anafanya bidii katika harakati zake lakini ni kama mtu azungukae. Tayari kuna mifumo ya nguvu za giza inayohusiana na eneo alilozaliwa au alilokulia ( yaani kijijini kwao ) linamzuia asiweze kupiga hatua mbele katika nyanja fulani katika maisha yake.
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya ya Muhimu. Be blessed.
@user-zc2be1bj8nАй бұрын
Mungu aniongoze katika kila hatua yangu ninayopita kwenye maisha
@makimbiliochannel
Ай бұрын
Amina amina. May God bless you.
@rebeccawangui88088 ай бұрын
Mmi niko uarabuni hua naota niko place falani after few days naskia mtu amekufa😢 kuna siku niliota na kijiji ingine iko bali na kijiji yetu after somedays nikaskia msichana amekufa
@ashuranzagamba63287 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumush, mim nimepigwa uchumi , ila uwa naota mara kwa mara ninauza duka kubwa
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0)755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240.
@lydiamakenge56133 ай бұрын
Niombee pastor
@user-ny1ev1bi8u4 ай бұрын
Aminaa
@makimbiliochannel
4 ай бұрын
Hongera sana na ubarikiwe na Mungu. Mungu huzungumza nasi kupitia mafundisho ya Neno lake pia. Natumai umepat kitu cha kujifunza. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
@ireengrimbe74928 ай бұрын
Nafunguliwa leo kwa jina la Yesu
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina na iwe kwako. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.
@VeronicaJane-em4rg5 ай бұрын
Amina, bwanagu huwa anaota akiwa nyumbani Kila wakati, mtumishi wa MUNGU muscadine
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Yohana 10:10 [10]Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. Yesu yeye ndiye suluhisho la hayo yote. Kwa kumtii yeye tunakuwa na nguvu ya kumpinga shetani naye akakimbia kutoka kwenye maisha yetu. I'm just a servant of Jesus, kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Be blessed.
@jacklinemwamsojo29558 ай бұрын
Asantee Sana mtumishi kwa ufafanuzi mzuri nimekuelewa Sana mimi hizi ndoto za kuota nipo nyumbani zimenisumbua Sana yaani mpaka wiki ilio pita nimeota nipo nyumbani kabisaa nipo ndani naongea na mama lakini mama mwenyewe alisha kufa mwaka wa tatu sasa😢 ananiambia nimuangalie ndugu yangu chumbani anaumwa nae huyu ndugu yangu alishakufa miaka 17 iliopita nikaingia chumbani kweli nikamkuta ndugu yangu kweli anaumwa miguu
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole sana kwa changamoto hiyo. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria hatari fulani katika mfumo wako wa maisha. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@user-dq5xt8ed7w
8 ай бұрын
Yaan mm nmeota baba yangu anani chapa fimbo na uko Alisha kufa miaka makumi na alafu wakat naota nilkua cja lala nyumbni nili lala Kwa mchepuko je hii Ina maana gan paster
@WinnieKagendo-zx1cv2 күн бұрын
Mtumishi Mimi naish na mume wangu mjini lakini naota nikiwa nyumban na wazazi wangu Kila siku, najaribu kufanya kitu sifanikiwi, nisaidie nifanye Nini juu Naolewa na mume sio kabila yangu
@HOPESIMONY-kp7ug8 ай бұрын
Ahsante YESU Sasa nimekombolewa kwa DAMU YA YESU,ndoto mbaya Haina nafasi tena kwenye MAISHA YANGU
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@user-iu1fx2bo4r5 ай бұрын
Zishindwe Kwa jina la yesu
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Hatua stahiki zinapaswa kuchukuliwa kama umewahi kukutana na ndoto za namna hiyo. Ili neno hili ulilolipokea liwe na faida kwako. Be blessed. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio.
@damarisnjerunjeru3997 ай бұрын
Ahsante baba
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina, na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.
@damarisnjerunjeru399
7 ай бұрын
@@makimbiliochannel ahsante
@user-bi1em9ji4s5 ай бұрын
Naota sana hizo ndoto Mungu nisaidie
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Amina Mungu akusaidie. Ila usisahau kuchukua hatua stahiki. Kumbuka palipo na haki kuna wajibu. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Maana somo la namna ya kutoka kwenye vifungo vya ndoto linaandaliwa na punde litakuwa youtube. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
@user-st8vq3me7x4 ай бұрын
Nimefunguliwa kwa jina la yesu
@makimbiliochannel
4 ай бұрын
Amina amina. Usisahau kufuata hatua stahiki za kiroho kuelekea kwenye ukombozi kamili. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Na pia unaweza ukawashirikisha na wengine mafundisho haya. Be blessed
@nesmoskanyuto67154 ай бұрын
Tafsiri yako siyo Sahihi
@elizabethmkasiwa4 ай бұрын
Nafunguliwa na mwanangu na ndugu zangu kwa dam ya yesu
@makimbiliochannel
4 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu Kristo. Zingatia taratibu zote zitakazokupeleka kwenye ukombozi kamili. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
@irinechoi82047 ай бұрын
Nifunguliwe kwa jina la yesu
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0) 755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240. Usisahau ku subscribe katika channel hii. Be blessed in Jesus name.
@agnesneema23983 ай бұрын
Mimi naota Na shangazi yngu alikufa naota nikiongea Nae,bado naota Niko primary school,Mara naota nko kwetu kijijini Niko zaliwa,Naomba tu niweze kushinda izo ndoto kW Jina la yesu🙏
@user-wk2bg8zf3l
3 ай бұрын
Uyo ndiyo aliyezima nyotayako ya mafanikio😢😢😢😢
@tumainlenad51416 ай бұрын
Ee mwenyez mungu nusaidie mm na unikomboe kwenye ndoto chafu zisizofaaa iwe mwisho kuota ndoto za kunirdisha kijiin nilinde mungu na yvunje maagano yote mavaya juu yangu
@makimbiliochannel
6 ай бұрын
Amina amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu.
@peterlaurent59698 ай бұрын
Sasa somo lako haliishi apostle ilitakiwa umalizie na namna yakujitoa..
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Asante. Tutalifanyia kazi suala hilo. Hakikisha ume subscribe kwenye channel hii na account nyingine za mitandao ya kijamii kama vile Facebook na Instagram ili uweze kupata tarifa punde tu somo hili litakapokua hewani. Mungu akubariki sana.
@makimbiliochannel8 ай бұрын
KANISA LA THLIC- MAKIMBULIO HM LINALOONGOZWA NA MTUMISHI WA MUNGU MICHAEL MWAKILAMBO LINAPATIKANA KINYEREZI DAR ES SALAAM
@PeninahMwendwa
8 ай бұрын
Pia mimi nilikua naota nikifanyia mtu wa nyumbani kazi,nanilikua warabuni, na kwakweli nilirundi Niko kwake namfanyia kazi,inauma sana😔
@linajoseph5296
7 ай бұрын
Kinyerezi sehemu gani?
@GahimbalMarieCantalАй бұрын
Niliipata nikiwa saudia alabia nikahalibikiwa muda huo mama wanyumba akanipambasisha nikawa naonana akitaka kuniuwa nikaludi bila chochote mipango yangu ikawa imekufa kila nikiipata ndoto hiyo majilani wananikata maneno yakunichafuwa atajaa mutaa nimejalibu bunyumba bumekataa mimi sivilahisi 😭😭😭😭😭🙆
@stevenmwalwiba61648 ай бұрын
Naanza kuelewa baba ubarikiwe
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@JusterKaberia-ry2sh4 ай бұрын
Amen apostle nisaidie mm naota ndoto za kwatu kijijini, ndoa yangu ilivujika nikarudi kwetu nyumbani ,sahii Niko Nairobi lakini naota nikiwa nyumbani , mpaka nimeshidwa nifanye nn.
@makimbiliochannel
4 ай бұрын
Pole kwa hiyo changamoto. Nikushauri kutafuta msaada wa kiroho juu ya jambo hilo kwa haraka maana hiyo siyo ndoto ambayo ni kama taarifa tu. Adui amepata nafasi ya kuyashambulia maisha yako hivyo ni muhimu kuchukua hatua thabiti. Kama ulipo una kiongozi wako wa kitoho unaweza ukamuekeza kuhusu changamoto hiyo na akakusaidia pia. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Hongera kwa kuyapata mafundisho haya.
@bbhv35688 ай бұрын
Mm hua naota sana izo ndoto
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Ooooh pole sana wasiliana na mtumishi kwa watsapu 0755 021008
@nzivoalbanus22408 ай бұрын
Mimi niko Nairobi lakini huwa naota nikiwa kijijini Kila siku na maisha yangu inaedelea vibaya
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Polesana kwa hiyo changamoto. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@ShakirashakiraKiuno7 ай бұрын
Mimi nazioto sana ndoto izo naoto niko kijijini kwetu. 😢 Sehem nilipo zaliwa namimi nipo ndia lakn naoto sana ndoto izo mungu anisaidie
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina. KKama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0)755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240.
@lydiamakenge56133 ай бұрын
Ziiishe kwa jina layesu
@rebeccawangui88088 ай бұрын
Nifanye nni niko Saudi niliona na familia ya boss sister yako mndogo wakiwa na nice yake sasa after some days sister yake mkubwa kuliko huyu niliota naye amepata ajari but hakukufa,
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008. Kwa msaada wa kiroho zaidi. Mungu yuko pamoja nawe.
@user-qk7zi9cw6w8 ай бұрын
Baba mungu akubariki sana sana umeniponya hayo madoto kila mara tena shuleni nilikosoma naota kweli siku hii imekuwa yangu naenda kufanikiwa
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Unapoota upo shuleni maana yake haiishii kama ya kuota ukiwa upo kijijini kwenu au sehemu uliyokulia. Unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi, na Mungu akubariki sana.
@user-ny6dp1iz2g7 ай бұрын
Nimefunguliwa leo na damu ya yesu
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.
@user-lm7xx3pp7q2 ай бұрын
Mungu nisaidie yani mimi haipiti siku mbili bila yakuota nipo kijijini 😢😢
@makimbiliochannel
2 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya. Kuipata ndoto hiyo si kwamba ufalme wa giza unakuhusuru. Pia Mungu amekupa nafasi ya kuliona hilo ili uchukue hatua. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
@Kenzowakitaa-lm3uf8 ай бұрын
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@ireengrimbe74928 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu yaan naona kama unanisema Mimi yaan Niko uwarabuni lakini ndoto zangu ni kijijini nilikolelewa ujombami
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@linajoseph5296
7 ай бұрын
Mm Niko dar ila naota Niko tanga upande wa mamangu nilipozaliwa kwa bibiangu . Niko jikoni kwa Bibi alikokua anapikia nakula tu . Na Bibi alishafariki kwa sasa nyumba hamna mtu. Ila haipiti wiki naota Niko jikoni kwa Bibi nakula tu. Na maisha yngu hayaend😢
@rebeccawangui88088 ай бұрын
Mmi hua na subuliwa sana na ndoto hua naomba sana nitafanya nni.hizo ndoto hua fulfilled
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu atakutia nguvu.
@VeronicaJane-em4rg5 ай бұрын
Mtumishi wa MUNGU nisaidie huwa naota ivyo na kufanikiwa ni shida. Am in kenya
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Amini kisha fuata hatua za kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hiko, Amini kwamba ukombozi utakua ni sehemu ya maisha yako. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Ubarikiwe.
@HappyPyramids-dj7iyАй бұрын
Tusaidie mchungaji maana ndapata shida sana
@irinenanciebarasa55668 ай бұрын
Hallelujah 🙌 mtumishi wa MUNGU Leo nimeotea Niko nyumbani kijijini na Niko urabuni ?
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole kwa hiyo changamoto. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255) 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@MaaDii-iz3ur8 ай бұрын
Naota kila siku naota nko kijijini na mm nko ngambo ad sielewi,mpaka nmechoka nazo
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@marcongeleja94508 ай бұрын
Amen somo zuli sana
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255)0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba(+255) 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@lydiamakenge56133 ай бұрын
Nifunguliwe kwajina layesu
@OmAn-jw4jt8 ай бұрын
Kweli mtumishi mimi naota sana nipo kijijini kwetu kwa sasa nipo uarabuni
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole sana. Unaweza ukanitafuta kwa njia ya WhatsApp namba 0755021008, kwaajili ya msaada zaidi wa kiroho. Be blessed
@PeninahMwendwa
8 ай бұрын
@@makimbiliochannel code namba ni gani
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
@@PeninahMwendwa +255 Karibu sana
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
+255 755 021 008 for watsapu and call welcome
@user-xw9kh3vm8i8 ай бұрын
Mh!
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@user-ns7bw5ps9f8 ай бұрын
Yaani mimi ndioo ndoto zangu kila siku
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@JanethLukuna8 ай бұрын
Mimi mwenyewe nimechoka kuota ndogo hizi za vijijin
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
Mithali 23:7 [7]Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo.... Baada ya kusoma hilo andiko ninakukaribisha kuuliza swali tena. WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255)0768385240
@user-oy9ly1sb8z5 ай бұрын
Kiukwel....na mengi nataman kuyaeleza lakn Leo nimefunguliwa ahsant San ubarikiwe nimeota ndoto hizo mar Kwa mara na kwel mambo hayaend napata ajali nakata tanaa natamani kurud nyumban lakn nasimama nafunga nakusali ahsant mtumish
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Amina Asante na hongera. Uwepo wa vikwazo kuelekea lile tunalolitaka haimaanishi kwamba sio jema lile tunalolielekea kama tukiwa upande wa Mungu. Tunapoelekea kwenye ukuu wetu shetani huwa haachi kuturudisha nyuma. Ongeza kiwango chako cha kumtafuta Mungu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Be blessed.
@seraphinamsacky53933 ай бұрын
Pastor mimi kila diku naonta nyumbani kwetu tena kwenye nyumba mbazo hata leo hazipo ni za zamani na mimi nipo mjini kwa miaka mingi. Niombee pastor
@makimbiliochannel
2 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya. Kuipata ndoto hiyo si kwamba ufalme wa giza unakuhusuru. Pia Mungu amekupa nafasi ya kuliona hilo ili uchukue hatua. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
@HappyPyramids-dj7iyАй бұрын
bwana asifiwe nikweli mchungaji mm naota hizo ndoto Kila wakati Kwa sahi Niko saudia lakini huota Niko kijijini niliko zaliwa Kila mara
@makimbiliochannel
28 күн бұрын
Pole kwa hiyo changamoto na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240
@ConsolataNgatunga-fb1yn5 ай бұрын
Mimi ndio nimeota Leo hii ndoto
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Mara zote Mungu hulituma neno lake ili lituokoe na kututoa katika maangamizi. Pole kwa kuota ndoto hiyo na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya.
@makimbiliochannel8 ай бұрын
KWA MSAADA WA USHAURI PAMOJA NA MAOMBEZI KATIKA MAMBO YOYOTE YA KIROHO IKIWA NI PAMOJA NA HAYO MAFUNDISHO YA NDOTO WASILIANA NA MTUMISHI WA MUNGU KWA NAMBA ZIFUATAZO WATSAPU +255-755021008. CALL 0768385240.
@yesesimoni
8 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki
@Hellenkerubo-xh6xv6 ай бұрын
Pastor mimi naoto kijiji na manyoka na shule ndoto mbaya mbaya paka😢.
@makimbiliochannel
6 ай бұрын
Tambua kwamba ndoto ni taswira halisi ya jambo linaloendelea ulimwengu wa roho. Hapo haijalishi kwa macho yako hauoni au unaona. Amka sasa na uchukue hatua sahihi za kiroho ili uweze kutika kwenye changamoto hiyo maana hauwezi kujua kwamba ni unaugua au tayari upo mahututi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
@user-eg4bz1zn1c8 ай бұрын
Apostle tunaomba utufundishe tufanye nini ili tufunguliwe?
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Majibu ya hilo swali lako utayapata baada ya muda mfupi. Unachotakiwa ni ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Au WhatsApp namba 0755021008.
@ElizabethLugono8 ай бұрын
Nahitaji msaada sana katika jambo hili
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole ndugu Elizabeth. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255) 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Bado hujachelewa. Mungu ana nafasi ya kukusaidia katika maisha yako.
@jnanawilly72294 ай бұрын
Uko wapi mtumishi ❤❤nikutafute
@makimbiliochannel
4 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@GatewayPharmacy-uq1dv6 ай бұрын
Mm naota nalishwa vyakula ndoton na naota manyoka makubwa xn
@alishakt7877
6 ай бұрын
Vifungo vya famille yko omba sana
@makimbiliochannel
6 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Suala la msingi ni kuanza kuchukua hatua za kujifungua kutoka kwenye hivyo vifungo. Kumbuka ndoto ni taswira halisi ya jambo linaloendelea ulimwengu wa roho. Hapo haijalishi kwa macho yako hauoni au unaona. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
@mwitowainjili72258 ай бұрын
Kwa ukiwa hivyo ufanyaje
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya . Tutalifanyia kazi suala hilo. Hakikisha ume subscribe kwenye channel hii na account nyingine za mitandao ya kijamii kama vile Facebook na Instagram ili uweze kupata tarifa punde tu somo hili litakapokua hewani. Mungu akubariki sana.
@user-pr1jo8ll4m8 ай бұрын
Naota nipo kijijini upande was baba ndani ya nyumba kumejaa maji mpk shigoni tunapita humo imekuwa ikirudia Sana maana take mini hii ndoto
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
Пікірлер: 247
Amina baba nimebarikiwa na neno sirudi kijijini Kwa jina la yesu- imeandikw mauti na uzima huwa ktk uwezo waulimii nakataaa
@makimbiliochannel
28 күн бұрын
Amina amina ubarikiwe sana.
Ameen mtumish nakataa kabisa kurudi nyumaa kwa jina la yesu
Kwa Damu ya Yesu Kristo ndoto za kijijin azina mamulaka na Yesu Mungu mkuu atusaidie 🙏 🙏 mtumishi
Asante mtumishi wa Mungu mimi naota sana nikiwa kijijini upanda wa babaangu nikiwa naongea nawazazi wangu walie kufa handi ndugu walie kufa najikuta naongea nao mara naota nikiweko huko nikikimbizwa na babaangu mudogo ananikibiza tukiporomoka mirima yauko naoyijuwa nanikiziota nahamuka tayali shida zimeniandama
Nashukuru sana mtumishi mungu azid kukubarki
Baba umenibariki na ujumbe huu asubuh ya leo. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri. Umenifungua kwakweli 🙏🙏
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
ka Mimi naota Kila siku aki Niko home na Niko uarabuni but I know God will fight for me ooh pastor unlock that chain for me coz napata niliota mom ananiambia enda mwanangu Rudi had ananipa pesa hata dad aliaga two wks ago ananisukuma ktk home aliniambia enda usirudi hapa pigania familia
Mungu anisaidie kwa Jina la yesu kwa roho za kuota nipo nyumbani.niweze kufanya vizuri kwenye masomo yangu
Asante baba
Ndoto hii inanisumbua sana mm
Naomba mungu anishindie vita hivi nimeshinda kwajina la Yesu kristo Amen 🙏 kama kuna mutu ananifunga kwenye familia yangu upande wa babaangu hatofanikiwa kwajina ra Yesu kristo kama kuna mutu ananitowa kafala hatofanikiwa akufe yeye mwenyewe kwajinala Yesu kristo kama kuna lani zakifamilia kwenye maisha yangu nimezikataa zifutike ziniondokee ziniepuke ziwaludie wawo wauzika kwajina la Yesu kristo aliye hayi Amen 🙏🙏🙏
@makimbiliochannel
Ай бұрын
Pole sana kwa changamoto hizo. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.
Amen pastor hizo ndoto ziishe katika jina la yesu
@makimbiliochannel
6 ай бұрын
Amina amina na iwe kwako. Jambo la kuzingatia ni kwamba ukiri wako uambatane na matendo dhahiri ili ukombozi uwe sehemu ya maisha yako. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.
Nimefunguliw kwa jina la yesu sitarud kijijn kwa kufilisik zaid nitaend kusalimia na kurud mjin amina
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu.
Mchungaji uko vizuri sana yaani umeongea ukweli kabisa unayajua maandiko kupita maelezo nimekukubali sana barikiwa na Bwana
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Amina amina ubarikiwe nawe pia. Thanks for your appreciation.
Amina baba nimebalikiwa kwa neno
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
Nakataa kabisa kurudi kijijin kwa jina la yesu
Amen amen Kwa jina la yesu nimeshida silud kijijin kuwa nimekosa kazi
@makimbiliochannel
Ай бұрын
Ubarikiwe sana. Endelea kuwa na msimamo huo katika maneno na matendo yako ya kila siku.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu azidi kukuimarisha.
Niombee pastor 🙏🙏
Amen Mtumishi wa Mungu
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
Amen amen mungu akubariki mutumishi wa mungu ni mepitiya izo do to sana na sasa ni funguliwa Kwa damu ya yesu
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina . Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
Ameen,nimeelewa vizuri mno.
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
Hakika kweli mwenyezi Mungu atusaidie
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina amina. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu akubariki sana.
Amen mafundisho mazuri hakika
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
Amen parikiwa sana pastor
@makimbiliochannel
6 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
Amen .Mafundisho mazuri sana hii shida nimekuwa nayo kila mara mm uota kila siku niko kijijini. Nafanya kazi sioni fahida kila mara vifo ,magonjwa,ajali ..
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
Amen amen nmeshinda njozi na ndoto mbaya
@makimbiliochannel
Ай бұрын
Amina amina Mungu akujalie sawasawa na haja yako.
Amina mungu nimwema kilawakati
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Amina. Mafundisho haya kama utaweza kuwashirikisha na watu wengine litakua ni jambo la baraka sana na adili hata mbele za Mungu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.
Amiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiina🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
Ubarikiwe mtumishi hii ni kweli mimi pia huota hizi ndoto sana ninafanya kazi mjini miaka mingi sasa
@makimbiliochannel
3 ай бұрын
Pole kwa hiyo changamoto. Jitahidi kutafuta msaada wa kiroho juu ya changamoto hiyo. Isaya 28:1,22[22]Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ya hukumu itakayotimizwa, nayo imekusudiwa, itakayoipata dunia yote pia.
Barikiwa sana Mtumishi najifunza mengi nikumbuka kwa maombi plz nateseka sana nahi zo ndoto
Powerful
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pongezi sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
Amina kwa neno
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
Mungu akulinde cn meng
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina amina asante.
Hizi zote zinanitokea Mimi mara Niko shule ya msingi niliyosoma na kijijini kwetu na nyumba niliyopanga zamani miaka mingi iliyopita
Amina
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
Mungu akubariki maana leo nimepata Malibu juu yandoto ambayo imenitesa myaka mingi
Amen Apostle,hizi ndoto sinanitesaza sana kwa Kila mara,mungu nisaidie hizi ndotioziishe Kwa damu ya yesukristo
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole kwa changamoto hiyo. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Damu ya Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Be blessed
Nashukuru sana mtumishi nami huwa naota hivyo hivyo
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@PeninahMwendwa
8 ай бұрын
Hizi ndoto Sina uchungu tufanye nini😢
Amen
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Usisahau kufatiloa mfululizo mwingine wa. Mafundisho mengine mazuri kama haya.
Amina sana mchungaji,nimepata ufunuo Sasa.... kumbe tukilala tukaota tunachokiona kwenye ndoto kinaonwa na nafsi zetu hivyo tunapoona chochote kupitia ndoto huo ndo uhalisia wa nafsi ya mtu
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Ni kweli kabisa unachosema. Maandiko yanasema aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Kwahiyo kama unaona upo kijijini kwenu basi huko ndipo uliko.
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
Ubarikiwe kwa mafundisho mm mme wangu anaota kila siku yupo kijijini kwako na marafiki zake ananiambia kaenjoy ndoto kila akisema anataka kwenda kwao anasema ana nauli miaka kumi sasa ajawai kwenda kwao kila anachofanya afanikiwi yani akipata ela anaishia kula tu mpka ishe yote ndo anakumbuka kwenda kazni tena ivo ivo tu
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Pole sana kwa hiyo changamoto aliyonayo mme wako. Ulimwengu wa roho ndio huuamilia ulimwengu wa mwili. Pia changamoto ambayo huwa inajurudia rudia kwenye maisha ya mwandamu huwa ni kifungo. Kwahiyo mtu unapoona mtu anaota ndoto upo nyumbani kwenu, halafu kuna tatizo linakukuta punde tu baada ya kuota hiyo ndoto inamaana kwamba, ipo nguvu ya asili ya kijijini kwenu ambayo inamrudisha nyuma mara tu anapojaribu kuvuka mpaka fulani wa kimaisha. Kwahiyo wanaweza wasimzuie harakati zake ila watamzuia maendeleo yake. Mfano mtu anatembea, haendi mbele ila anaenda upande. Ni kweli anafanya bidii katika harakati zake lakini ni kama mtu azungukae. Tayari kuna mifumo ya nguvu za giza inayohusiana na eneo alilozaliwa au alilokulia ( yaani kijijini kwao ) linamzuia asiweze kupiga hatua mbele katika nyanja fulani katika maisha yake.
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya ya Muhimu. Be blessed.
Mungu aniongoze katika kila hatua yangu ninayopita kwenye maisha
@makimbiliochannel
Ай бұрын
Amina amina. May God bless you.
Mmi niko uarabuni hua naota niko place falani after few days naskia mtu amekufa😢 kuna siku niliota na kijiji ingine iko bali na kijiji yetu after somedays nikaskia msichana amekufa
Bwana yesu asifiwe mtumush, mim nimepigwa uchumi , ila uwa naota mara kwa mara ninauza duka kubwa
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0)755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240.
Niombee pastor
Aminaa
@makimbiliochannel
4 ай бұрын
Hongera sana na ubarikiwe na Mungu. Mungu huzungumza nasi kupitia mafundisho ya Neno lake pia. Natumai umepat kitu cha kujifunza. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
Nafunguliwa leo kwa jina la Yesu
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina na iwe kwako. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.
Amina, bwanagu huwa anaota akiwa nyumbani Kila wakati, mtumishi wa MUNGU muscadine
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Yohana 10:10 [10]Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. Yesu yeye ndiye suluhisho la hayo yote. Kwa kumtii yeye tunakuwa na nguvu ya kumpinga shetani naye akakimbia kutoka kwenye maisha yetu. I'm just a servant of Jesus, kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Be blessed.
Asantee Sana mtumishi kwa ufafanuzi mzuri nimekuelewa Sana mimi hizi ndoto za kuota nipo nyumbani zimenisumbua Sana yaani mpaka wiki ilio pita nimeota nipo nyumbani kabisaa nipo ndani naongea na mama lakini mama mwenyewe alisha kufa mwaka wa tatu sasa😢 ananiambia nimuangalie ndugu yangu chumbani anaumwa nae huyu ndugu yangu alishakufa miaka 17 iliopita nikaingia chumbani kweli nikamkuta ndugu yangu kweli anaumwa miguu
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole sana kwa changamoto hiyo. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria hatari fulani katika mfumo wako wa maisha. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@user-dq5xt8ed7w
8 ай бұрын
Yaan mm nmeota baba yangu anani chapa fimbo na uko Alisha kufa miaka makumi na alafu wakat naota nilkua cja lala nyumbni nili lala Kwa mchepuko je hii Ina maana gan paster
Mtumishi Mimi naish na mume wangu mjini lakini naota nikiwa nyumban na wazazi wangu Kila siku, najaribu kufanya kitu sifanikiwi, nisaidie nifanye Nini juu Naolewa na mume sio kabila yangu
Ahsante YESU Sasa nimekombolewa kwa DAMU YA YESU,ndoto mbaya Haina nafasi tena kwenye MAISHA YANGU
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
Zishindwe Kwa jina la yesu
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Hatua stahiki zinapaswa kuchukuliwa kama umewahi kukutana na ndoto za namna hiyo. Ili neno hili ulilolipokea liwe na faida kwako. Be blessed. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio.
Ahsante baba
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina, na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.
@damarisnjerunjeru399
7 ай бұрын
@@makimbiliochannel ahsante
Naota sana hizo ndoto Mungu nisaidie
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Amina Mungu akusaidie. Ila usisahau kuchukua hatua stahiki. Kumbuka palipo na haki kuna wajibu. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Maana somo la namna ya kutoka kwenye vifungo vya ndoto linaandaliwa na punde litakuwa youtube. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
Nimefunguliwa kwa jina la yesu
@makimbiliochannel
4 ай бұрын
Amina amina. Usisahau kufuata hatua stahiki za kiroho kuelekea kwenye ukombozi kamili. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Na pia unaweza ukawashirikisha na wengine mafundisho haya. Be blessed
Tafsiri yako siyo Sahihi
Nafunguliwa na mwanangu na ndugu zangu kwa dam ya yesu
@makimbiliochannel
4 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu Kristo. Zingatia taratibu zote zitakazokupeleka kwenye ukombozi kamili. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
Nifunguliwe kwa jina la yesu
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0) 755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240. Usisahau ku subscribe katika channel hii. Be blessed in Jesus name.
Mimi naota Na shangazi yngu alikufa naota nikiongea Nae,bado naota Niko primary school,Mara naota nko kwetu kijijini Niko zaliwa,Naomba tu niweze kushinda izo ndoto kW Jina la yesu🙏
@user-wk2bg8zf3l
3 ай бұрын
Uyo ndiyo aliyezima nyotayako ya mafanikio😢😢😢😢
Ee mwenyez mungu nusaidie mm na unikomboe kwenye ndoto chafu zisizofaaa iwe mwisho kuota ndoto za kunirdisha kijiin nilinde mungu na yvunje maagano yote mavaya juu yangu
@makimbiliochannel
6 ай бұрын
Amina amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu.
Sasa somo lako haliishi apostle ilitakiwa umalizie na namna yakujitoa..
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Asante. Tutalifanyia kazi suala hilo. Hakikisha ume subscribe kwenye channel hii na account nyingine za mitandao ya kijamii kama vile Facebook na Instagram ili uweze kupata tarifa punde tu somo hili litakapokua hewani. Mungu akubariki sana.
KANISA LA THLIC- MAKIMBULIO HM LINALOONGOZWA NA MTUMISHI WA MUNGU MICHAEL MWAKILAMBO LINAPATIKANA KINYEREZI DAR ES SALAAM
@PeninahMwendwa
8 ай бұрын
Pia mimi nilikua naota nikifanyia mtu wa nyumbani kazi,nanilikua warabuni, na kwakweli nilirundi Niko kwake namfanyia kazi,inauma sana😔
@linajoseph5296
7 ай бұрын
Kinyerezi sehemu gani?
Niliipata nikiwa saudia alabia nikahalibikiwa muda huo mama wanyumba akanipambasisha nikawa naonana akitaka kuniuwa nikaludi bila chochote mipango yangu ikawa imekufa kila nikiipata ndoto hiyo majilani wananikata maneno yakunichafuwa atajaa mutaa nimejalibu bunyumba bumekataa mimi sivilahisi 😭😭😭😭😭🙆
Naanza kuelewa baba ubarikiwe
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
Amen apostle nisaidie mm naota ndoto za kwatu kijijini, ndoa yangu ilivujika nikarudi kwetu nyumbani ,sahii Niko Nairobi lakini naota nikiwa nyumbani , mpaka nimeshidwa nifanye nn.
@makimbiliochannel
4 ай бұрын
Pole kwa hiyo changamoto. Nikushauri kutafuta msaada wa kiroho juu ya jambo hilo kwa haraka maana hiyo siyo ndoto ambayo ni kama taarifa tu. Adui amepata nafasi ya kuyashambulia maisha yako hivyo ni muhimu kuchukua hatua thabiti. Kama ulipo una kiongozi wako wa kitoho unaweza ukamuekeza kuhusu changamoto hiyo na akakusaidia pia. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Hongera kwa kuyapata mafundisho haya.
Mm hua naota sana izo ndoto
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Ooooh pole sana wasiliana na mtumishi kwa watsapu 0755 021008
Mimi niko Nairobi lakini huwa naota nikiwa kijijini Kila siku na maisha yangu inaedelea vibaya
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Polesana kwa hiyo changamoto. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
Mimi nazioto sana ndoto izo naoto niko kijijini kwetu. 😢 Sehem nilipo zaliwa namimi nipo ndia lakn naoto sana ndoto izo mungu anisaidie
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Amina. KKama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0)755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240.
Ziiishe kwa jina layesu
Nifanye nni niko Saudi niliona na familia ya boss sister yako mndogo wakiwa na nice yake sasa after some days sister yake mkubwa kuliko huyu niliota naye amepata ajari but hakukufa,
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008. Kwa msaada wa kiroho zaidi. Mungu yuko pamoja nawe.
Baba mungu akubariki sana sana umeniponya hayo madoto kila mara tena shuleni nilikosoma naota kweli siku hii imekuwa yangu naenda kufanikiwa
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Unapoota upo shuleni maana yake haiishii kama ya kuota ukiwa upo kijijini kwenu au sehemu uliyokulia. Unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi, na Mungu akubariki sana.
Nimefunguliwa leo na damu ya yesu
@makimbiliochannel
7 ай бұрын
Na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.
Mungu nisaidie yani mimi haipiti siku mbili bila yakuota nipo kijijini 😢😢
@makimbiliochannel
2 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya. Kuipata ndoto hiyo si kwamba ufalme wa giza unakuhusuru. Pia Mungu amekupa nafasi ya kuliona hilo ili uchukue hatua. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
Mtumishi wa Mungu yaan naona kama unanisema Mimi yaan Niko uwarabuni lakini ndoto zangu ni kijijini nilikolelewa ujombami
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@linajoseph5296
7 ай бұрын
Mm Niko dar ila naota Niko tanga upande wa mamangu nilipozaliwa kwa bibiangu . Niko jikoni kwa Bibi alikokua anapikia nakula tu . Na Bibi alishafariki kwa sasa nyumba hamna mtu. Ila haipiti wiki naota Niko jikoni kwa Bibi nakula tu. Na maisha yngu hayaend😢
Mmi hua na subuliwa sana na ndoto hua naomba sana nitafanya nni.hizo ndoto hua fulfilled
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu atakutia nguvu.
Mtumishi wa MUNGU nisaidie huwa naota ivyo na kufanikiwa ni shida. Am in kenya
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Amini kisha fuata hatua za kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hiko, Amini kwamba ukombozi utakua ni sehemu ya maisha yako. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Ubarikiwe.
Tusaidie mchungaji maana ndapata shida sana
Hallelujah 🙌 mtumishi wa MUNGU Leo nimeotea Niko nyumbani kijijini na Niko urabuni ?
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole kwa hiyo changamoto. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255) 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
Naota kila siku naota nko kijijini na mm nko ngambo ad sielewi,mpaka nmechoka nazo
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
Amen somo zuli sana
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255)0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba(+255) 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
Nifunguliwe kwajina layesu
Kweli mtumishi mimi naota sana nipo kijijini kwetu kwa sasa nipo uarabuni
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole sana. Unaweza ukanitafuta kwa njia ya WhatsApp namba 0755021008, kwaajili ya msaada zaidi wa kiroho. Be blessed
@PeninahMwendwa
8 ай бұрын
@@makimbiliochannel code namba ni gani
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
@@PeninahMwendwa +255 Karibu sana
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
+255 755 021 008 for watsapu and call welcome
Mh!
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
Yaani mimi ndioo ndoto zangu kila siku
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
Mimi mwenyewe nimechoka kuota ndogo hizi za vijijin
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
acheni kuongeza maneno (hakuna mtu) aonae nafsini mwake
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Mithali 23:7 [7]Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo.... Baada ya kusoma hilo andiko ninakukaribisha kuuliza swali tena. WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255)0768385240
Kiukwel....na mengi nataman kuyaeleza lakn Leo nimefunguliwa ahsant San ubarikiwe nimeota ndoto hizo mar Kwa mara na kwel mambo hayaend napata ajali nakata tanaa natamani kurud nyumban lakn nasimama nafunga nakusali ahsant mtumish
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Amina Asante na hongera. Uwepo wa vikwazo kuelekea lile tunalolitaka haimaanishi kwamba sio jema lile tunalolielekea kama tukiwa upande wa Mungu. Tunapoelekea kwenye ukuu wetu shetani huwa haachi kuturudisha nyuma. Ongeza kiwango chako cha kumtafuta Mungu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Be blessed.
Pastor mimi kila diku naonta nyumbani kwetu tena kwenye nyumba mbazo hata leo hazipo ni za zamani na mimi nipo mjini kwa miaka mingi. Niombee pastor
@makimbiliochannel
2 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya. Kuipata ndoto hiyo si kwamba ufalme wa giza unakuhusuru. Pia Mungu amekupa nafasi ya kuliona hilo ili uchukue hatua. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
bwana asifiwe nikweli mchungaji mm naota hizo ndoto Kila wakati Kwa sahi Niko saudia lakini huota Niko kijijini niliko zaliwa Kila mara
@makimbiliochannel
28 күн бұрын
Pole kwa hiyo changamoto na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240
Mimi ndio nimeota Leo hii ndoto
@makimbiliochannel
5 ай бұрын
Mara zote Mungu hulituma neno lake ili lituokoe na kututoa katika maangamizi. Pole kwa kuota ndoto hiyo na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya.
KWA MSAADA WA USHAURI PAMOJA NA MAOMBEZI KATIKA MAMBO YOYOTE YA KIROHO IKIWA NI PAMOJA NA HAYO MAFUNDISHO YA NDOTO WASILIANA NA MTUMISHI WA MUNGU KWA NAMBA ZIFUATAZO WATSAPU +255-755021008. CALL 0768385240.
@yesesimoni
8 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki
Pastor mimi naoto kijiji na manyoka na shule ndoto mbaya mbaya paka😢.
@makimbiliochannel
6 ай бұрын
Tambua kwamba ndoto ni taswira halisi ya jambo linaloendelea ulimwengu wa roho. Hapo haijalishi kwa macho yako hauoni au unaona. Amka sasa na uchukue hatua sahihi za kiroho ili uweze kutika kwenye changamoto hiyo maana hauwezi kujua kwamba ni unaugua au tayari upo mahututi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
Apostle tunaomba utufundishe tufanye nini ili tufunguliwe?
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Majibu ya hilo swali lako utayapata baada ya muda mfupi. Unachotakiwa ni ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Au WhatsApp namba 0755021008.
Nahitaji msaada sana katika jambo hili
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole ndugu Elizabeth. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255) 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Bado hujachelewa. Mungu ana nafasi ya kukusaidia katika maisha yako.
Uko wapi mtumishi ❤❤nikutafute
@makimbiliochannel
4 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
Mm naota nalishwa vyakula ndoton na naota manyoka makubwa xn
@alishakt7877
6 ай бұрын
Vifungo vya famille yko omba sana
@makimbiliochannel
6 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Suala la msingi ni kuanza kuchukua hatua za kujifungua kutoka kwenye hivyo vifungo. Kumbuka ndoto ni taswira halisi ya jambo linaloendelea ulimwengu wa roho. Hapo haijalishi kwa macho yako hauoni au unaona. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
Kwa ukiwa hivyo ufanyaje
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya . Tutalifanyia kazi suala hilo. Hakikisha ume subscribe kwenye channel hii na account nyingine za mitandao ya kijamii kama vile Facebook na Instagram ili uweze kupata tarifa punde tu somo hili litakapokua hewani. Mungu akubariki sana.
Naota nipo kijijini upande was baba ndani ya nyumba kumejaa maji mpk shigoni tunapita humo imekuwa ikirudia Sana maana take mini hii ndoto
@makimbiliochannel
8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.