NJIA ANAZO ZITUMIA SHETANI KUTEKA NAFSI YA MTU |NABII ESTHER MASANJA
Ойын-сауық
BADO KUNA USHINDI TV NI TV YA MTANDAONI INAYOJIHUSISHA NA MAMBO YENYE KUJENGA NA KUINUA IMANI YA KIKRISTO KUHUSU MUNGU WA KWELI YEHOVA. INARUSHA SEMINA, MIKUTANO YA INJILI, SHUHUDA ZENYE KUJENGA NA SIMULIZI MBALIMBALI ZA MAISHA YA MASHUJAA WA IMANI.
UNGANA NASI KWA KU-SUBSCRIBE, KU-SHARE NA ILI KUBORESHA HUDUMA HII UNAWEZA KUCHANGIA AU KUTUMA SADAKA YAKO. KWA NAMBA +255 718 600 557, + 255 629 920 640. PIA NAMBA HIZI UNAWEZA KUZITUMIA KWA MAWASILIANO. JINA LITAKALO TOKEA UKITUMA SADAKA YAKO NI DANIEL ANTHONY KITUA. UBARIKIWE
Пікірлер: 25
Amina
Mungu akubariki mtumishi kwa kutuhubirikia mahisha ya mbingu
Amen mtumishi
Amen.
Nafuatilia. Mbarikiwa sana Kwa ajili ya huduma NJEMA KATIKA YESU Kristo.
Maman mungu awa bariki mimi ni Gamaliel mwema apa Congo naitadji maombi mungu afungue nafusi yangu
Amen 🎉🎉🎉🎉 more grace of God my sister 💝😘💝💕🥰.more inspiring 💝
Ubarikiwe sana mama nataman ata kukuona
Ubarikiwe sana
Ibarikiwe sana mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na mafundisho Ila ninaomba namba yako ya simu
Haleluyaa nasikia bubujiko Mungu akuinue mtumishi wa Mungu binafsi umenibariki na nimepata kitu kikubwa mnoo Yesu Kristo akutunze mtumishi wa Mungu
nakupenda mama
Amen amen
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana
Bwana Yesu asifiwe Mwana Wa Mungu ,Nabarikiwa Sana ,Nakupenda Sana
@badokunaushindi2153
9 күн бұрын
KRISTO AZIDI KUKUBARIKI
Ubarikiwe dada nipo Moçambique nakufuatilia nabarikiwa pia. Mungu akutiye nguvu zaidi
@badokunaushindi2153
10 күн бұрын
amen kristo akubariki sana kutoka hapo
Amina, ujumbe wakubariki sana 🙏🏽.
@badokunaushindi2153
8 күн бұрын
AMEN
Nduguzangu katika YESU KRISTO, tunashukuru kwa kipindi hiki kinatusaidia sana.
@badokunaushindi2153
10 күн бұрын
amen share link kadri uwezavyo
Alafu wanaume wa siku hizi sio wanaoweza kubeba majukum kama baba au mume hana logic ukiwa kama mke unahtaji kusikia kauli nzto kutoka kwa baba sasa anawaza mpira tu mara madem wakali utakuwa kam ungekuwa mwanamke kwa mtu wa hvyo??
Mama yangu hili andiko unalielewa? 1 Timotheo 2: 11. Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna. 12. Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.
@EZEKIAMGWILANGA-hj4hj
5 күн бұрын
Ameeni, it's true