USHUHUDA: NILIMWOONA MDADA AKICHUNWA NGOZI | NYWELE BANDIA |KUCHA BANDIA | NABII ESTHER MASANJA

Ойын-сауық

BADO KUNA USHINDI TV NI TV YA MTANDAONI INAYOJIHUSISHA NA MAMBO YENYE KUJENGA NA KUINUA IMANI YA KIKRISTO KUHUSU MUNGU WA KWELI YEHOVA. INARUSHA SEMINA, MIKUTANO YA INJILI, SHUHUDA ZENYE KUJENGA NA SIMULIZI MBALIMBALI ZA MAISHA YA MASHUJAA WA IMANI.
UNGANA NASI KWA KU-SUBSCRIBE, KU-SHARE NA ILI KUBORESHA HUDUMA HII UNAWEZA KUCHANGIA AU KUTUMA SADAKA YAKO. KWA NAMBA +255 718 600 557, + 255 629 920 640. PIA NAMBA HIZI UNAWEZA KUZITUMIA KWA MAWASILIANO. JINA LITAKALO TOKEA UKITUMA SADAKA YAKO NI DANIEL ANTHONY KITUA. UBARIKIWE

Пікірлер: 91

  • @sukisa1234
    @sukisa123420 күн бұрын

    Nina asilimia kubwa Sana kwa mafundisho Kama haya wengi hawapendi kuyasikiliza na ndo maana hata moment zinakuwa chache maana mama kabina panapo wakuna wengi hudhani ni mafundisho ya kujitungia hapana..roho wa Mungu anawafunulia watumishi lakin tunawadhihaki..mama ubalikiwe mama umewakuna panapo washa hallelujaaaaaa❤❤❤

  • @Anifanusura
    @Anifanusura24 күн бұрын

    Ni kweli mimi nimepitia njia hiyo lakini nilitokewa na Mungu kakweli nikapata neema ya wokovu nikaacha mpaka Leo nipo katika kweli.

  • @user-qc5bp6iu2b
    @user-qc5bp6iu2b8 күн бұрын

    Mungu akufunukie zaidi wa kupona watapona

  • @GossesMwambene-eg8lo
    @GossesMwambene-eg8lo8 күн бұрын

    Mungu akutunze na akupe Maisha marefu

  • @user-ez6cy4pj8z
    @user-ez6cy4pj8z5 күн бұрын

    Nabii ..naomba maombi kwa familiar yangu wanangu wana matatizo ..mgonjwa hawana kazi ..maisha yameharibika..mkenya mimi....shukuran kwa ujumbe .jina la bwana litukuzwe

  • @elishadeulitv2711
    @elishadeulitv2711Ай бұрын

    Mi nakuamini sana mama ester wewe ni nabii wa kweli jumbe zako hazifichiki zipo WAZI MUNGU azidi sana kukufunulia ili watu tupone

  • @mayranehemia9469
    @mayranehemia9469Күн бұрын

    Mungu aturehemu.

  • @EuniceKinuma-pw4vx
    @EuniceKinuma-pw4vxАй бұрын

    Mungu akubariki mtumishi

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2jeАй бұрын

    HALLELUYA. YESU NI MZURI SANA JAMANI. ANATUPENDA SANA WANADAMU, HATAKI TUANGAMIE. HEEEEEEE. NAPIGA KELELE SAAAANA KWA JINSI USHUHUDA ULIVYO POWERFUL.

  • @LylianeBaumaLyly
    @LylianeBaumaLyly11 күн бұрын

    Mungu nisaidiye ubarikiwe sanaaa mutumishi wa Mungu

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2jeАй бұрын

    Yes, ni roho kamili. Wanawake wengi hawajiamini, wanamtukana Mungu kwa kudharau uumbaji Wake. Absolutely. Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu Esta. Ashukuriwe Mungu sana.

  • @kesiawailes1223
    @kesiawailes122320 күн бұрын

    MUNGU akubariki mama

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2jeАй бұрын

    Umetoa ushuhuda huu vizuri sana mtumishi wa Mungu Esther. Ubarikiwe sana. Nampenda Yesu sana.

  • @DEBORAHMASANJA-yz3go
    @DEBORAHMASANJA-yz3goАй бұрын

    Asante Mama una tusaidia tupone na jehanamu

  • @user-wl6ns9hb6j
    @user-wl6ns9hb6jАй бұрын

    Amen amen nakupenda sana mamangu kwa mafundisho yako mungu akubariki

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2jeАй бұрын

    HALLELUYA HALLELUYA HALLELUYA. UBARIKIWE SANA MTUMWA WA YESU KRISTO ESTA. HAKIKA KWENYE WOKOVU KUNA NGAZI ZA KUKUA KIROHO. MUNGU ATUSAIDIE TUSIANGUKE NA KUMUACHA YESU. USHUHUDA WA NGUVU SANA.

  • @kahindobashanga1443
    @kahindobashanga1443Ай бұрын

    Mungu akubaruki sana mama yetu na Mungu aendelee kukutumia zaidi.

  • @devothanestory4880
    @devothanestory4880Ай бұрын

    Amen Dada ubarikiwe. Naomba no yako Dada.

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325Ай бұрын

    Amina Amina mtumishi

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6cАй бұрын

    Mama ahsante sana mama barikiwa sana kwa mafundisho mazuri

  • @FaithBeauty-te4dq
    @FaithBeauty-te4dqАй бұрын

    Mama Sina la kusema ila MUNGU tu akulinde na vita yoyote maana unafichua Siri nzito sana ambavyo imekuwa ngumu kwa kanisa la leo

  • @MaryAmaiza-th2fo
    @MaryAmaiza-th2foАй бұрын

    Amina amina, nakuskiza tokea Kenya 🙏.

  • @user-mf3ke4wk8k
    @user-mf3ke4wk8kАй бұрын

    Mungu akubariki kwa kukubari kutuletea ujumbe tupone

  • @deogratiusphunga7783
    @deogratiusphunga778316 күн бұрын

    Ninabarikiwa na ninakuwlewa vema san mtumishi

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325Ай бұрын

    Amina wewe ni nabii wamataifa yote Mungu akutie nguvu ili uyaendee mataifa wasikie ushuhuda huu

  • @stevenngoy5096
    @stevenngoy5096Ай бұрын

    Mungu azidi ku kutumiya zaidi na zaidi yaani viwango badala ya viwango, Ubarikiwe sana mutumishi wa Mungu.

  • @stellaemanuel4474
    @stellaemanuel4474Ай бұрын

    Mungu nisaidie

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846Ай бұрын

    Nikweli kabisaa Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe zaidi nazaidi

  • @kahindobashanga1443
    @kahindobashanga1443Ай бұрын

    Mungu atukubuke wanawake na atusamehe.

  • @user-lg4zp8do7u
    @user-lg4zp8do7uАй бұрын

    Yaani mama nikama wanihubiria mm mungu anirehemu aniokoe😢😢

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Ай бұрын

    pole saana Kata Nguvu ya mwovu nyuma yako ili usonge mbele

  • @DEBORAHMASANJA-yz3go
    @DEBORAHMASANJA-yz3goАй бұрын

    Sema mtumumishi wa Mungu

  • @kilazaQueen
    @kilazaQueenАй бұрын

    Merci maman ester Mungu akulinde amen 1:14:38

  • @user-bk5dt3br3d
    @user-bk5dt3br3dАй бұрын

    Amina... Mungu atusaidie sanaa...

  • @faithmarcho-yf3sb
    @faithmarcho-yf3sbАй бұрын

    MAY GOD FORGIVE US😢😢AND BE BLESSED MAMA

  • @user-qh9gw2vr6k
    @user-qh9gw2vr6k5 күн бұрын

    Kwetu sisi waislam hukumu ya M/Mungu ameshaitoa kabisa anaeunganisha nywele moto unamhusu anaeunganisha kucha,kujichubua kunyoa nyusi basi hao wote hukumu Yao Tayari zamani imeshatolewa

  • @nicolasoduor7695
    @nicolasoduor7695Ай бұрын

    Mama shupavu wa Mungu,nakupenda sana kwa masomo ya Siri za mbinguni.Masomo Yako imenibariki sana.Mungu aliye hai na anaetamalaki mbinguni na duniani Yesu kristo,abariki sana kipawa chako.Amina🙏

  • @user-ys6gi1bt6j
    @user-ys6gi1bt6jАй бұрын

    Be blessed

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325Ай бұрын

    Amina amina

  • @samwelielikana
    @samwelielikanaАй бұрын

    Amen

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk20 күн бұрын

    Asante sana mtumishi kwakutufuria neno lake tujue zaidi mungu akulinde

  • @GekoBueb
    @GekoBueb10 күн бұрын

    Nimeshukuru mchungaji Kwa kuonya nitaacha mimi nauniombe iyo roho itoke

  • @badokunaushindiTv

    @badokunaushindiTv

    10 күн бұрын

    AMEN BARIKIWA

  • @vannyk-jz7tf
    @vannyk-jz7tf6 күн бұрын

    Dhehebu gani uyuuu

  • @antiaelizeus-jn5rx
    @antiaelizeus-jn5rxАй бұрын

    🙌🙌🙌🙌🙌

  • @user-ru5bc5pu8p
    @user-ru5bc5pu8pАй бұрын

    Ameen

  • @drmaryjohnmponda3484
    @drmaryjohnmponda3484Ай бұрын

    AMINA

  • @badokunaushindiTv
    @badokunaushindiTvАй бұрын

    BADO KUNA USHINDI TV NI TV YA MTANDAONI INAYOJIHUSISHA NA MAMBO YENYE KUJENGA NA KUINUA IMANI YA KIKRISTO KUHUSU MUNGU WA KWELI YEHOVA. INARUSHA SEMINA, MIKUTANO YA INJILI, SHUHUDA ZENYE KUJENGA NA SIMULIZI MBALIMBALI ZA MAISHA YA MASHUJAA WA IMANI. UNGANA NASI KWA KU-SUBSCRIBE, KU-SHARE NA ILI KUBORESHA HUDUMA HII UNAWEZA KUCHANGIA AU KUTUMA SADAKA YAKO. KWA NAMBA +255 718 600 557, + 255 629 920 640. PIA NAMBA HIZI UNAWEZA KUZITUMIA KWA MAWASILIANO. JINA LITAKALO TOKEA UKITUMA SADAKA YAKO NI DANIEL ANTHONY KITUA. UBARIKIWE

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6cАй бұрын

    Asante mama. Sasa sielewi. Nipake maftagani jamani. Loho mtakatifu. Aniongoze

  • @rosemarymwanitega7926

    @rosemarymwanitega7926

    18 күн бұрын

    Tumia mafuta ya nazi tena Kama unajua kuyatengeneza tengeneza mwenyew

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673Ай бұрын

    Barikiwa Mama Estere

  • @user-uw5wy2yj8d

    @user-uw5wy2yj8d

    11 күн бұрын

    Mungu turehemu.

  • @deogratiusphunga7783
    @deogratiusphunga778316 күн бұрын

    Kuna makanisa yakiroho ukihubili mambo haya utashangaa utakavyopingwa

  • @elizaberthleonard4362
    @elizaberthleonard4362Ай бұрын

    Ujumbe mkubwa sana huu, watu wa Mungu tumsikilize mtumishi Na nabii ESTHER EMANUEL MASANJA maana hakika amenibadilisha.

  • @faridamndeme2751
    @faridamndeme2751Ай бұрын

    Ameni nakuelewa .... MUNGU anisaidie niwe sawa sawa na mapenzi yake...

  • @MARYNAGUJustin
    @MARYNAGUJustinАй бұрын

    Mama kunamtumishi wa kisabato alikuwa ana yshubiri hayo sema watu walimdharau ila mi nilipoona kaletwa mwanamke mwenye mapepo alikuwa amejiremba sana mtumishi akasema mnjoeni hizo njele kwangua kucha akatolewa urembo wote baada ya hapo msoepo yaksmtoka tokea hapo mi nanyoa nywele zangu cpaki urem o wowote nilimuogopa sana mungu barikiwa sana mama yangu nakupenda sana

  • @NdeshimuniSwai

    @NdeshimuniSwai

    29 күн бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @MARYNAGUJustin

    @MARYNAGUJustin

    29 күн бұрын

    @@NdeshimuniSwai ameni

  • @sukisa1234
    @sukisa123420 күн бұрын

    Mm ndo nimeanZa kukusikiliza mama ..hakika umenigusa Sana maana mafundisho Kama haya kwa sasa hayapo.wahubiri wengi hawasemi kwa uwazi wanatetea zambi lakin ww umekuwa muwazi na umenifungua Sana ubalikiwe mno

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2jeАй бұрын

    Hallelujah. Napenda huo ujumbe wa kuambiwa na Yesu kufunika kichwa ukiwa mbele zake kwenye maombi, kuhutubu. Mungu Atusaidie tupone. Nampenda sana Yesu. Napenda sana niingie mbinguni. Mimi sio wa dunia na Jehanumm. Mungu Nisaidie.

  • @happinessmchome9101

    @happinessmchome9101

    17 күн бұрын

    Ameen

  • @MargarethMapunda-tf6tc
    @MargarethMapunda-tf6tcАй бұрын

    Asante Kwa ujumbe huu unapatikana wapi?

  • @dennyprommotz4585

    @dennyprommotz4585

    Ай бұрын

    Dodoma ,tanzania

  • @valenakomba7686
    @valenakomba768616 күн бұрын

    Je na hiyo mewani je?.

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421Ай бұрын

    Mama nakupenda na unajua stak kupepesa macho nasemahv;; HAKIKA WW UMEKUTANA NA YESUKRISTO HAKIKA uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @valenakomba7686
    @valenakomba768616 күн бұрын

    Kungu inanywewa haipakwi mchungaji.

  • @mariahyera3737

    @mariahyera3737

    9 күн бұрын

    Upo wa kupaka. Nilitumia sana kabla sijaokoka.

  • @esthercharo695
    @esthercharo695Ай бұрын

    Àmen

  • @ibrahimukikwilili4368
    @ibrahimukikwilili4368Ай бұрын

    Hakika nimekubali wewe ni mtumishi wa Mungu unafundisha vitu vya rohoni kweli kweli Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo akupe umande wa mbingu na manono ya nchi na mavuno ya nchi viwe juu yako na uzao wako

  • @user-bk5dt3br3d
    @user-bk5dt3br3dАй бұрын

    Mwenye sikio asikie hizi Ni nyakati za mwisho...

  • @DEBORAHMASANJA-yz3go

    @DEBORAHMASANJA-yz3go

    Ай бұрын

    Amen kubwa

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3urАй бұрын

    Kwa mfano mtu ana maradhi ya ngozi aende hosipitalini na kupewa dawa ajipake je nayo ni aje??

  • @user-lg4zp8do7u
    @user-lg4zp8do7uАй бұрын

    Nikweli mama injili hii sijawai kuisikia. Tuambie tupone😢😢😢

  • @vanessalibes7374

    @vanessalibes7374

    27 күн бұрын

    Kakobe ameyafundisha sana haya ila tulikuwa hatumuelewi

  • @evalyneayo-xo3lp
    @evalyneayo-xo3lpАй бұрын

    Dada esta tuambie wanawake tupake mafuta gani

  • @rosemarymwanitega7926

    @rosemarymwanitega7926

    18 күн бұрын

    Tumia ya nazi tena kama unajua kuyatengeneza tengeneza mwenyew

  • @denisbongore3098
    @denisbongore3098Ай бұрын

    Mama naomba unisaidie namba zako

  • @badokunaushindiTv

    @badokunaushindiTv

    23 күн бұрын

    0763099367

  • @elizabethsembe1677
    @elizabethsembe167711 күн бұрын

    Mafuta karibia yote yameandikwa crim sijui tuna fanyaje

  • @FlorenceKhaoma
    @FlorenceKhaomaАй бұрын

    Je kusuka nywele zako mwenyewe ni makosa

  • @rosemarymwanitega7926

    @rosemarymwanitega7926

    18 күн бұрын

    Ndiyo hutakiwi kusuka kabisa zitunze tu vzr kwa usafi basi

  • @getrudamussa5699
    @getrudamussa569910 күн бұрын

    Samahani mtumishi ester,naomba unijibu swali hili,je kuweka meno ya bandia ni zambi

  • @EdwinJaphet
    @EdwinJaphet23 күн бұрын

    Sadaka za nini sasa ndugu, yaani unachukua content za watu wengine alafu unaweka namba yako utumiwe sadaka. Kama nia yako ingekuwa ni kufikisha ujumbe na mahubiri tu watu waokoke ingekuwa Sawa ila kuweka namba yako utumiwe pesa ni Utapeli! 😡

  • @badokunaushindiTv

    @badokunaushindiTv

    23 күн бұрын

    ubarikwe Rafiki

  • @christinethabu5069
    @christinethabu5069Ай бұрын

    Punyeto nini

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    Ай бұрын

    Mwanaume kujichua yaani kujichezea uume wako mpk ukamwaga manii na haswa wanawake mnapenda

  • @MabelKaaya-hl2je

    @MabelKaaya-hl2je

    Ай бұрын

    Masterbation. Kujichua sehemu za Siri. Ndio maana ya punyeto.

  • @IdahNambelasiwala-qs3su
    @IdahNambelasiwala-qs3suАй бұрын

    Amen

  • @JoelMkumbo
    @JoelMkumboАй бұрын

    Amen

  • @user-eb9ni9sb3n

    @user-eb9ni9sb3n

    Ай бұрын

    Dunia hii ni hatari sana Sasa kama ni yesu uliyemuona ni muafrika au mzungu ?hacha kutudanganya wewe huna lolote hapo ni uzushi mtupu

Келесі