USHUHUDA: NILIMWOONA MDADA AKICHUNWA NGOZI | NYWELE BANDIA |KUCHA BANDIA | NABII ESTHER MASANJA
Ойын-сауық
BADO KUNA USHINDI TV NI TV YA MTANDAONI INAYOJIHUSISHA NA MAMBO YENYE KUJENGA NA KUINUA IMANI YA KIKRISTO KUHUSU MUNGU WA KWELI YEHOVA. INARUSHA SEMINA, MIKUTANO YA INJILI, SHUHUDA ZENYE KUJENGA NA SIMULIZI MBALIMBALI ZA MAISHA YA MASHUJAA WA IMANI.
UNGANA NASI KWA KU-SUBSCRIBE, KU-SHARE NA ILI KUBORESHA HUDUMA HII UNAWEZA KUCHANGIA AU KUTUMA SADAKA YAKO. KWA NAMBA +255 718 600 557, + 255 629 920 640. PIA NAMBA HIZI UNAWEZA KUZITUMIA KWA MAWASILIANO. JINA LITAKALO TOKEA UKITUMA SADAKA YAKO NI DANIEL ANTHONY KITUA. UBARIKIWE
Пікірлер: 91
Nina asilimia kubwa Sana kwa mafundisho Kama haya wengi hawapendi kuyasikiliza na ndo maana hata moment zinakuwa chache maana mama kabina panapo wakuna wengi hudhani ni mafundisho ya kujitungia hapana..roho wa Mungu anawafunulia watumishi lakin tunawadhihaki..mama ubalikiwe mama umewakuna panapo washa hallelujaaaaaa❤❤❤
Ni kweli mimi nimepitia njia hiyo lakini nilitokewa na Mungu kakweli nikapata neema ya wokovu nikaacha mpaka Leo nipo katika kweli.
Mungu akufunukie zaidi wa kupona watapona
Mungu akutunze na akupe Maisha marefu
Nabii ..naomba maombi kwa familiar yangu wanangu wana matatizo ..mgonjwa hawana kazi ..maisha yameharibika..mkenya mimi....shukuran kwa ujumbe .jina la bwana litukuzwe
Mi nakuamini sana mama ester wewe ni nabii wa kweli jumbe zako hazifichiki zipo WAZI MUNGU azidi sana kukufunulia ili watu tupone
Mungu aturehemu.
Mungu akubariki mtumishi
HALLELUYA. YESU NI MZURI SANA JAMANI. ANATUPENDA SANA WANADAMU, HATAKI TUANGAMIE. HEEEEEEE. NAPIGA KELELE SAAAANA KWA JINSI USHUHUDA ULIVYO POWERFUL.
Mungu nisaidiye ubarikiwe sanaaa mutumishi wa Mungu
Yes, ni roho kamili. Wanawake wengi hawajiamini, wanamtukana Mungu kwa kudharau uumbaji Wake. Absolutely. Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu Esta. Ashukuriwe Mungu sana.
MUNGU akubariki mama
Umetoa ushuhuda huu vizuri sana mtumishi wa Mungu Esther. Ubarikiwe sana. Nampenda Yesu sana.
Asante Mama una tusaidia tupone na jehanamu
Amen amen nakupenda sana mamangu kwa mafundisho yako mungu akubariki
HALLELUYA HALLELUYA HALLELUYA. UBARIKIWE SANA MTUMWA WA YESU KRISTO ESTA. HAKIKA KWENYE WOKOVU KUNA NGAZI ZA KUKUA KIROHO. MUNGU ATUSAIDIE TUSIANGUKE NA KUMUACHA YESU. USHUHUDA WA NGUVU SANA.
Mungu akubaruki sana mama yetu na Mungu aendelee kukutumia zaidi.
Amen Dada ubarikiwe. Naomba no yako Dada.
Amina Amina mtumishi
Mama ahsante sana mama barikiwa sana kwa mafundisho mazuri
Mama Sina la kusema ila MUNGU tu akulinde na vita yoyote maana unafichua Siri nzito sana ambavyo imekuwa ngumu kwa kanisa la leo
Amina amina, nakuskiza tokea Kenya 🙏.
Mungu akubariki kwa kukubari kutuletea ujumbe tupone
Ninabarikiwa na ninakuwlewa vema san mtumishi
Amina wewe ni nabii wamataifa yote Mungu akutie nguvu ili uyaendee mataifa wasikie ushuhuda huu
Mungu azidi ku kutumiya zaidi na zaidi yaani viwango badala ya viwango, Ubarikiwe sana mutumishi wa Mungu.
Mungu nisaidie
Nikweli kabisaa Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe zaidi nazaidi
Mungu atukubuke wanawake na atusamehe.
Yaani mama nikama wanihubiria mm mungu anirehemu aniokoe😢😢
@trophywilson7211
Ай бұрын
pole saana Kata Nguvu ya mwovu nyuma yako ili usonge mbele
Sema mtumumishi wa Mungu
Merci maman ester Mungu akulinde amen 1:14:38
Amina... Mungu atusaidie sanaa...
MAY GOD FORGIVE US😢😢AND BE BLESSED MAMA
Kwetu sisi waislam hukumu ya M/Mungu ameshaitoa kabisa anaeunganisha nywele moto unamhusu anaeunganisha kucha,kujichubua kunyoa nyusi basi hao wote hukumu Yao Tayari zamani imeshatolewa
Mama shupavu wa Mungu,nakupenda sana kwa masomo ya Siri za mbinguni.Masomo Yako imenibariki sana.Mungu aliye hai na anaetamalaki mbinguni na duniani Yesu kristo,abariki sana kipawa chako.Amina🙏
Be blessed
Amina amina
Amen
Asante sana mtumishi kwakutufuria neno lake tujue zaidi mungu akulinde
Nimeshukuru mchungaji Kwa kuonya nitaacha mimi nauniombe iyo roho itoke
@badokunaushindiTv
10 күн бұрын
AMEN BARIKIWA
Dhehebu gani uyuuu
🙌🙌🙌🙌🙌
Ameen
AMINA
BADO KUNA USHINDI TV NI TV YA MTANDAONI INAYOJIHUSISHA NA MAMBO YENYE KUJENGA NA KUINUA IMANI YA KIKRISTO KUHUSU MUNGU WA KWELI YEHOVA. INARUSHA SEMINA, MIKUTANO YA INJILI, SHUHUDA ZENYE KUJENGA NA SIMULIZI MBALIMBALI ZA MAISHA YA MASHUJAA WA IMANI. UNGANA NASI KWA KU-SUBSCRIBE, KU-SHARE NA ILI KUBORESHA HUDUMA HII UNAWEZA KUCHANGIA AU KUTUMA SADAKA YAKO. KWA NAMBA +255 718 600 557, + 255 629 920 640. PIA NAMBA HIZI UNAWEZA KUZITUMIA KWA MAWASILIANO. JINA LITAKALO TOKEA UKITUMA SADAKA YAKO NI DANIEL ANTHONY KITUA. UBARIKIWE
Asante mama. Sasa sielewi. Nipake maftagani jamani. Loho mtakatifu. Aniongoze
@rosemarymwanitega7926
18 күн бұрын
Tumia mafuta ya nazi tena Kama unajua kuyatengeneza tengeneza mwenyew
Barikiwa Mama Estere
@user-uw5wy2yj8d
11 күн бұрын
Mungu turehemu.
Kuna makanisa yakiroho ukihubili mambo haya utashangaa utakavyopingwa
Ujumbe mkubwa sana huu, watu wa Mungu tumsikilize mtumishi Na nabii ESTHER EMANUEL MASANJA maana hakika amenibadilisha.
Ameni nakuelewa .... MUNGU anisaidie niwe sawa sawa na mapenzi yake...
Mama kunamtumishi wa kisabato alikuwa ana yshubiri hayo sema watu walimdharau ila mi nilipoona kaletwa mwanamke mwenye mapepo alikuwa amejiremba sana mtumishi akasema mnjoeni hizo njele kwangua kucha akatolewa urembo wote baada ya hapo msoepo yaksmtoka tokea hapo mi nanyoa nywele zangu cpaki urem o wowote nilimuogopa sana mungu barikiwa sana mama yangu nakupenda sana
@NdeshimuniSwai
29 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu aliye hai
@MARYNAGUJustin
29 күн бұрын
@@NdeshimuniSwai ameni
Mm ndo nimeanZa kukusikiliza mama ..hakika umenigusa Sana maana mafundisho Kama haya kwa sasa hayapo.wahubiri wengi hawasemi kwa uwazi wanatetea zambi lakin ww umekuwa muwazi na umenifungua Sana ubalikiwe mno
Hallelujah. Napenda huo ujumbe wa kuambiwa na Yesu kufunika kichwa ukiwa mbele zake kwenye maombi, kuhutubu. Mungu Atusaidie tupone. Nampenda sana Yesu. Napenda sana niingie mbinguni. Mimi sio wa dunia na Jehanumm. Mungu Nisaidie.
@happinessmchome9101
17 күн бұрын
Ameen
Asante Kwa ujumbe huu unapatikana wapi?
@dennyprommotz4585
Ай бұрын
Dodoma ,tanzania
Je na hiyo mewani je?.
Mama nakupenda na unajua stak kupepesa macho nasemahv;; HAKIKA WW UMEKUTANA NA YESUKRISTO HAKIKA uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kungu inanywewa haipakwi mchungaji.
@mariahyera3737
9 күн бұрын
Upo wa kupaka. Nilitumia sana kabla sijaokoka.
Àmen
Hakika nimekubali wewe ni mtumishi wa Mungu unafundisha vitu vya rohoni kweli kweli Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo akupe umande wa mbingu na manono ya nchi na mavuno ya nchi viwe juu yako na uzao wako
Mwenye sikio asikie hizi Ni nyakati za mwisho...
@DEBORAHMASANJA-yz3go
Ай бұрын
Amen kubwa
Kwa mfano mtu ana maradhi ya ngozi aende hosipitalini na kupewa dawa ajipake je nayo ni aje??
Nikweli mama injili hii sijawai kuisikia. Tuambie tupone😢😢😢
@vanessalibes7374
27 күн бұрын
Kakobe ameyafundisha sana haya ila tulikuwa hatumuelewi
Dada esta tuambie wanawake tupake mafuta gani
@rosemarymwanitega7926
18 күн бұрын
Tumia ya nazi tena kama unajua kuyatengeneza tengeneza mwenyew
Mama naomba unisaidie namba zako
@badokunaushindiTv
23 күн бұрын
0763099367
Mafuta karibia yote yameandikwa crim sijui tuna fanyaje
Je kusuka nywele zako mwenyewe ni makosa
@rosemarymwanitega7926
18 күн бұрын
Ndiyo hutakiwi kusuka kabisa zitunze tu vzr kwa usafi basi
Samahani mtumishi ester,naomba unijibu swali hili,je kuweka meno ya bandia ni zambi
Sadaka za nini sasa ndugu, yaani unachukua content za watu wengine alafu unaweka namba yako utumiwe sadaka. Kama nia yako ingekuwa ni kufikisha ujumbe na mahubiri tu watu waokoke ingekuwa Sawa ila kuweka namba yako utumiwe pesa ni Utapeli! 😡
@badokunaushindiTv
23 күн бұрын
ubarikwe Rafiki
Punyeto nini
@gosbertmuta5421
Ай бұрын
Mwanaume kujichua yaani kujichezea uume wako mpk ukamwaga manii na haswa wanawake mnapenda
@MabelKaaya-hl2je
Ай бұрын
Masterbation. Kujichua sehemu za Siri. Ndio maana ya punyeto.
Amen
Amen
@user-eb9ni9sb3n
Ай бұрын
Dunia hii ni hatari sana Sasa kama ni yesu uliyemuona ni muafrika au mzungu ?hacha kutudanganya wewe huna lolote hapo ni uzushi mtupu