Pt1_USHUHUDA WA KUSHANGAZA WA NABII MKE WA CONGO MARIAM KINYAMARURA ALIYEISHI MIAKA 24 BILA KULA

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 55

  • @AfirenAfiren
    @AfirenAfirenАй бұрын

    Haki si siku moja Mungu nione pia kwenye haja za moyo wangu, barikiwa promover kwa shuuda hizi

  • @AdelaidaNyota-lz5ty

    @AdelaidaNyota-lz5ty

    Ай бұрын

    😮😮

  • @langistany6811
    @langistany6811Ай бұрын

    Maarufu sana hapa kwetu huo Nabii wa kike, Na sisi tulikua tuna mwita NABII MARIAMU WA ABELA. Huo mama alitumia na Mungu kwa viwango vikubwa sana.

  • @dativajoachimwai1194

    @dativajoachimwai1194

    Ай бұрын

    kwani alishakufa? au bado anaishi

  • @user-tt7cu2et1x
    @user-tt7cu2et1x3 күн бұрын

    Blessed kaka jacktan na Audax na promover tv ❤

  • @user-xl1gm8rh8s
    @user-xl1gm8rh8sАй бұрын

    Ushuuda ni mazuri promover endeleeni kushuudia pamoja na mzee ana mengi zaidi ya mtumishi wa Mungu amin

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6wАй бұрын

    promover mbarikiwe sana ,God can do what no man can do,his ways are far above our ways.🙏❤️

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289Ай бұрын

    Mungu alimpa mwili,mfanano na maisha wanaoishi watakatifu Mbinguni ,

  • @fitinamarando
    @fitinamarandoАй бұрын

    PROMOVER TV mbarikiwe sana wana wa Mungu kwa kazi nzuri mnayofanya.

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299Ай бұрын

    Safi sana huu ndo unabii wa MUNGU AAA HATA KEO WATU WA HIVO WAPO WANAJULISHWA KILA KITU ILA HUYO ALIKUWA NABII MKUBWA SANA NA KUJUA JINA LA MTU NI KWELI NA KUJULISHWA HABARI BADO WZPO MANABI WA HI ILA NI KAZI SANA LAZIMA UWE MTULIVU SANA AAAA NIMEIPENDA SANA HII NA KWELI MAMBO YA MUNGU WENGI HUTUPENDI TWAIPENDA DUNIA

  • @user-kj7kz7sl9j
    @user-kj7kz7sl9jАй бұрын

    Mungu ni Mungu wa yale yasiyowezekana na yasiyofikirika kwa akili za mwanadamu.aliweza kuumba hashindwi na lolote.

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8eeАй бұрын

    Hata Moses Magembe hanyowagi nywele alimwomba Mungu kwa maana aliona zinamsumbua na Mungu akampa sawa na haja ya moyo wake.

  • @valenakomba7686

    @valenakomba7686

    Ай бұрын

    Umeulizwa?.

  • @bbnthia2055
    @bbnthia2055Ай бұрын

    Promover, Audax unachukuwa mda mrefu Sana wa kuongea. Ningependa uanzie Habari Moja kwa moja. Ubarikiwe

  • @user-qp5jh6qy3p
    @user-qp5jh6qy3pАй бұрын

    Amen Watumishi wa Mungu.tuko pamoja

  • @JohnFisha
    @JohnFisha11 күн бұрын

    Amina

  • @fredmariita8930
    @fredmariita8930Ай бұрын

    Asante Sana promoter munanitia moyo siku sote🙏🙏🙏 MUNGU pia mm naomba siku moja anitokee anieke kua njia saii

  • @annkim2690
    @annkim2690Ай бұрын

    10 years mpaka wa leo bado amesimama lakini Inchi ya Congo Mungu aliipendelea Sana sijui ni vile ilikua ikutwe na vita

  • @joshuakimuha4567

    @joshuakimuha4567

    14 күн бұрын

    Hiyo vitæ itakwisha maana hata huyo Nabii Mariamu alitabiri juu yake

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551Ай бұрын

    Iyo ushuuda nikweli kabisa baba yangu aliwahi kunisumulia kabla ajafa alimuona uyo Mariamu walutabula kabela congo karibu na baraka.

  • @zawadiEsther-gt2iw
    @zawadiEsther-gt2iwАй бұрын

    Baba Askofu Moses Kulola Alimuongeleya uyu Nabii Miriam

  • @SelestinaHamis-dw1gs

    @SelestinaHamis-dw1gs

    Ай бұрын

    Kumbe

  • @dativajoachimwai1194

    @dativajoachimwai1194

    Ай бұрын

    akamsemaje

  • @user-qp5jh6qy3p
    @user-qp5jh6qy3pАй бұрын

    Glory glory glory hallelujah

  • @jastinewilliam4475
    @jastinewilliam4475Ай бұрын

    Amina najifunza

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431Ай бұрын

    Amina!

  • @utakatifunahaki5095
    @utakatifunahaki5095Ай бұрын

    Promover si mtoa shuhuda hivyo atoaye shuhuda ndio unaweza kumuuliza vema upate usahihi. wao promover ni chombo cha Habari cha wote na mtoa shuhuda ndiye anajua yote, si promover

  • @marthaumazi2197
    @marthaumazi2197Ай бұрын

    Promover Mungu awabariki sana kwa huduma zenu.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Ай бұрын

    Amen

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194Ай бұрын

    Mungu akili zake si kama zetu. sisi tungesema asimfunge kwenda choo instead angemponya ili aweze kujipeleka haja. lkn mambo yaMungu ndo ivo

  • @Misigaro8246
    @Misigaro824611 күн бұрын

    Mwendelezo plsss

  • @julianawanjala6495
    @julianawanjala6495Ай бұрын

    Mubarikiwe sanaa Promover TV

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Ай бұрын

    Amen ubarikiwe pia

  • @AnnaNgobola-pm7fz
    @AnnaNgobola-pm7fzАй бұрын

    Umenikumbusha kuhusu huyo mariamu nllimsikia tanngu miaka ya 1970 kupitia moses kulola

  • @BYAMUNGUGERLASMASHAURI
    @BYAMUNGUGERLASMASHAURIАй бұрын

    Mimi nahitaji hicho kitabu. Naishi DRCONGO , butembo. Naomba musomapo ujumbe huu, nipeni jibu

  • @ElizabethMuia-ro9yh
    @ElizabethMuia-ro9yhАй бұрын

    Huyo mariam nikisikiza ushuda vile mzee anaelesa nikama EZEKIEL WA KENYA 🇰🇪

  • @carolinederi5690

    @carolinederi5690

    Ай бұрын

    Ezekiel alihubir lini mapenz ya Mungu haki uko kusema mipango ya kando ilazwe wodi number 8 ndio pendo la Yesu 🤔

  • @user-yt2bi7ts5k
    @user-yt2bi7ts5kАй бұрын

    Kitabu hicho tunakipataje na sisi

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214Ай бұрын

    Kwa nini muhusika asitoe ushuhuda yeye mwenyewe???

  • @SelestinaHamis-dw1gs

    @SelestinaHamis-dw1gs

    Ай бұрын

    Tuliza akili usikilize kwa makini ili uelewe

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299Ай бұрын

    Yaani hicho kitabu napataje

  • @Blessedboi8019
    @Blessedboi8019Ай бұрын

    Hata mwezi mmoja tu bila kula, mtu anaaga, iweje mtu akae miaka 24 bila kula na awe hai? Promover mumeanza kujinajisi wenyewe. This is fake testimony

  • @mobilebeats3086

    @mobilebeats3086

    Ай бұрын

    Mbona musa alifunga siku arobaini bila kula chochote kwani alikufa sabu yakutokula ndugu usipende kuhukumu Muulize Mungu ndiyo uongee acha maneno Roho wa Mungu yupo Muulize ila sio unachafua channel unazani kwa Comment yako inaweza fanya kazi ya Mungu isiaminike kwenye hii channel kwaiyo acha maneno kama unaona wamekosea promover watafute DM

  • @nunyabizactually6928

    @nunyabizactually6928

    Ай бұрын

    Nakuonea huruma sana,you're too carnal minded😂

  • @zawadiEsther-gt2iw

    @zawadiEsther-gt2iw

    Ай бұрын

    It is not fake ni kweli. Uyo Alikuwa amechanguliwa na Mungu. Na Moses kulola alienda Congo kumuona uyu nabii. Kuna hata namwengine mama Zawadi naye Mungu kamufanya mambo kama hayo yeye haiti choo

  • @janethmwihumbo1289

    @janethmwihumbo1289

    Ай бұрын

    Mungu ni Mungu tu akili zake hazina mpaka,na hazichunguziki ,Mungu hufanya atakavyo ndugu,

  • @myself4128

    @myself4128

    Ай бұрын

    wat does a miracle mean to you?do u know the power of God?Have u experienced the presence of God in your life?before u type some nonsense Just reserve some Respect,some people have Encountered the divine so dont just comment prematurely!ur so dumb! There is a man in india he hasnt eaten for 72 years&they brought him to the UK for Research activities&he stayed watched live on cctv for 3 months without food or water,&he was very active

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431Ай бұрын

    Amina!

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431Ай бұрын

    Amina!

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431Ай бұрын

    Amina!

Келесі