Daaaah, mtangazaji Mungu anakuona! Tafuta wenye taaluma hiyo wewe unasababisha tuichoke stori wakati ni nzuri....
@marymassawe865514 күн бұрын
Jaman kueni makini na hawa wachungaji wanao sema walikua wabaya ila wameokoka.
@meshack3266
13 күн бұрын
Sijaelewa maana yako
@njiaya68333 күн бұрын
safi kwa yesu kuna furaha
@swalehramadhani41923 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 ah! Stori za majini,
@valenakomba76863 күн бұрын
Kweli niki kusikia hayo unayosema, bai ni kweli wachungaji wengine ni waganga.
@user-vl3sg1fz7w6 ай бұрын
Daah story imenifunza sema mwendelezo ndo changamoto tena
@ahadimalamso415515 күн бұрын
Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.
@JoelMoshi
7 күн бұрын
Ww uliloga na yy
@audaxemmanuel7927
6 күн бұрын
Hujaelewa alicho maanisha@@JoelMoshi
@vesentsikainda4 күн бұрын
Mzee namwandishe wotewaongo watupu
@NghobokoSalehe-kv3qm16 күн бұрын
Mtangazaji Mara nyingi maswali yako yanaharibu mwendelezo wa ushuhuda.
@festokivuyo71217 күн бұрын
Mm sijui lkn maongeo yake tu ni uongo mzee wa ovyo tu
@faithe406323 күн бұрын
Mtangazi wewe unaharibu wachana ajielezee mwenyewe au pia wewe umewai kua mchawi 😂
@tumsifumassawe127315 күн бұрын
Mtangazaji ana kiherehere kama nn yaan
@user-uj7kj3fh7n11 күн бұрын
Ushuhuda ni mzuri japo kidogo muuliza maswali ana haraka ya maneno yake
@AlexAyubu17 күн бұрын
Muuliza maswali daaa achaaa
@tumsifumassawe127315 күн бұрын
Ana kimuhemuhe kama nn huyuu litangazaji
@joshuaedward27516 күн бұрын
Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview...... Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.
@trophywilson7211
8 күн бұрын
kabisaa
@kennethmagupa6985 күн бұрын
Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..
@valenakomba768618 сағат бұрын
Anakamuliwa NGAMA.
@nabihelias82117 күн бұрын
Mwendelezo haupo
@ameenaameena422Сағат бұрын
Mtagazaj kasome
@TuroRukiko16 күн бұрын
Anaye hoji anakatisha history ina kuwa haina maana
@ElisifaLukas28 күн бұрын
Ila we unayehoji unaharibu ushuhuda uu
@festinamwakipale391924 күн бұрын
Angalia selikari ilifikili ni mtu wa kawaida wanamlipa hela nyingi kweli dunia ni upepo
@meshack326613 күн бұрын
Lusekelo umezingua yan kwanza kitendo cha kuweka nyimbo katikati ya mahojiano unazani watu wanasikiliza nikupeleka tu mbele
Пікірлер: 41
Mchungaj angepata mda mrefu angesimulia vzr zaid sema anaehoji ana mrukisha
Daaaah, mtangazaji Mungu anakuona! Tafuta wenye taaluma hiyo wewe unasababisha tuichoke stori wakati ni nzuri....
Jaman kueni makini na hawa wachungaji wanao sema walikua wabaya ila wameokoka.
@meshack3266
13 күн бұрын
Sijaelewa maana yako
safi kwa yesu kuna furaha
😂😂😂😂😂😂 ah! Stori za majini,
Kweli niki kusikia hayo unayosema, bai ni kweli wachungaji wengine ni waganga.
Daah story imenifunza sema mwendelezo ndo changamoto tena
Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.
@JoelMoshi
7 күн бұрын
Ww uliloga na yy
@audaxemmanuel7927
6 күн бұрын
Hujaelewa alicho maanisha@@JoelMoshi
Mzee namwandishe wotewaongo watupu
Mtangazaji Mara nyingi maswali yako yanaharibu mwendelezo wa ushuhuda.
Mm sijui lkn maongeo yake tu ni uongo mzee wa ovyo tu
Mtangazi wewe unaharibu wachana ajielezee mwenyewe au pia wewe umewai kua mchawi 😂
Mtangazaji ana kiherehere kama nn yaan
Ushuhuda ni mzuri japo kidogo muuliza maswali ana haraka ya maneno yake
Muuliza maswali daaa achaaa
Ana kimuhemuhe kama nn huyuu litangazaji
Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview...... Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.
@trophywilson7211
8 күн бұрын
kabisaa
Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..
Anakamuliwa NGAMA.
Mwendelezo haupo
Mtagazaj kasome
Anaye hoji anakatisha history ina kuwa haina maana
Ila we unayehoji unaharibu ushuhuda uu
Angalia selikari ilifikili ni mtu wa kawaida wanamlipa hela nyingi kweli dunia ni upepo
Lusekelo umezingua yan kwanza kitendo cha kuweka nyimbo katikati ya mahojiano unazani watu wanasikiliza nikupeleka tu mbele
Mbona uweki sehemu ya tatu
bahati mbaya amefariki tuvumilie tu
Wewe mtangazaji wewe
Dunia inamambo
huyu mchungaji babu yetu amefariki hivo ushuhuda hauwezi kupatikana
Naomba namba ya Mchungaji Mwasekaga
@utakatifunahaki5095
16 күн бұрын
Huyu babu kama umesikia Mtumishi wa Mungu amesema alifariki
@utakatifunahaki5095
16 күн бұрын
Sikiliza kwa makini maelekezo part 1
Yaaan ningelikuwa karibu na uyo kaka ningemnyang'anya maike maana hajui kazi yake
Yaaan uyo mtangazaji ni fake 😏😏😏
@JoelMoshi
7 күн бұрын
Kabisaa awape watu na fani zao
Ndo imeisha au