MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2

Пікірлер: 41

  • @flm1530
    @flm15306 ай бұрын

    Mchungaj angepata mda mrefu angesimulia vzr zaid sema anaehoji ana mrukisha

  • @kilalamuhumba4612
    @kilalamuhumba461215 күн бұрын

    Daaaah, mtangazaji Mungu anakuona! Tafuta wenye taaluma hiyo wewe unasababisha tuichoke stori wakati ni nzuri....

  • @marymassawe8655
    @marymassawe865514 күн бұрын

    Jaman kueni makini na hawa wachungaji wanao sema walikua wabaya ila wameokoka.

  • @meshack3266

    @meshack3266

    13 күн бұрын

    Sijaelewa maana yako

  • @njiaya6833
    @njiaya68333 күн бұрын

    safi kwa yesu kuna furaha

  • @swalehramadhani4192
    @swalehramadhani41923 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂 ah! Stori za majini,

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76863 күн бұрын

    Kweli niki kusikia hayo unayosema, bai ni kweli wachungaji wengine ni waganga.

  • @user-vl3sg1fz7w
    @user-vl3sg1fz7w6 ай бұрын

    Daah story imenifunza sema mwendelezo ndo changamoto tena

  • @ahadimalamso4155
    @ahadimalamso415515 күн бұрын

    Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.

  • @JoelMoshi

    @JoelMoshi

    7 күн бұрын

    Ww uliloga na yy

  • @audaxemmanuel7927

    @audaxemmanuel7927

    6 күн бұрын

    Hujaelewa alicho maanisha​@@JoelMoshi

  • @vesentsikainda
    @vesentsikainda4 күн бұрын

    Mzee namwandishe wotewaongo watupu

  • @NghobokoSalehe-kv3qm
    @NghobokoSalehe-kv3qm16 күн бұрын

    Mtangazaji Mara nyingi maswali yako yanaharibu mwendelezo wa ushuhuda.

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo71217 күн бұрын

    Mm sijui lkn maongeo yake tu ni uongo mzee wa ovyo tu

  • @faithe4063
    @faithe406323 күн бұрын

    Mtangazi wewe unaharibu wachana ajielezee mwenyewe au pia wewe umewai kua mchawi 😂

  • @tumsifumassawe1273
    @tumsifumassawe127315 күн бұрын

    Mtangazaji ana kiherehere kama nn yaan

  • @user-uj7kj3fh7n
    @user-uj7kj3fh7n11 күн бұрын

    Ushuhuda ni mzuri japo kidogo muuliza maswali ana haraka ya maneno yake

  • @AlexAyubu
    @AlexAyubu17 күн бұрын

    Muuliza maswali daaa achaaa

  • @tumsifumassawe1273
    @tumsifumassawe127315 күн бұрын

    Ana kimuhemuhe kama nn huyuu litangazaji

  • @joshuaedward275
    @joshuaedward27516 күн бұрын

    Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview...... Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    8 күн бұрын

    kabisaa

  • @kennethmagupa698
    @kennethmagupa6985 күн бұрын

    Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..

  • @valenakomba7686
    @valenakomba768618 сағат бұрын

    Anakamuliwa NGAMA.

  • @nabihelias821
    @nabihelias82117 күн бұрын

    Mwendelezo haupo

  • @ameenaameena422
    @ameenaameena422Сағат бұрын

    Mtagazaj kasome

  • @TuroRukiko
    @TuroRukiko16 күн бұрын

    Anaye hoji anakatisha history ina kuwa haina maana

  • @ElisifaLukas
    @ElisifaLukas28 күн бұрын

    Ila we unayehoji unaharibu ushuhuda uu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale391924 күн бұрын

    Angalia selikari ilifikili ni mtu wa kawaida wanamlipa hela nyingi kweli dunia ni upepo

  • @meshack3266
    @meshack326613 күн бұрын

    Lusekelo umezingua yan kwanza kitendo cha kuweka nyimbo katikati ya mahojiano unazani watu wanasikiliza nikupeleka tu mbele

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa59420 күн бұрын

    Mbona uweki sehemu ya tatu

  • @utakatifunahaki5095
    @utakatifunahaki509516 күн бұрын

    bahati mbaya amefariki tuvumilie tu

  • @optimamarenda7082
    @optimamarenda708216 күн бұрын

    Wewe mtangazaji wewe

  • @DAWASADAWASA
    @DAWASADAWASA16 күн бұрын

    Dunia inamambo

  • @utakatifunahaki5095
    @utakatifunahaki509516 күн бұрын

    huyu mchungaji babu yetu amefariki hivo ushuhuda hauwezi kupatikana

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc17 күн бұрын

    Naomba namba ya Mchungaji Mwasekaga

  • @utakatifunahaki5095

    @utakatifunahaki5095

    16 күн бұрын

    Huyu babu kama umesikia Mtumishi wa Mungu amesema alifariki

  • @utakatifunahaki5095

    @utakatifunahaki5095

    16 күн бұрын

    Sikiliza kwa makini maelekezo part 1

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9hu10 күн бұрын

    Yaaan ningelikuwa karibu na uyo kaka ningemnyang'anya maike maana hajui kazi yake

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9hu10 күн бұрын

    Yaaan uyo mtangazaji ni fake 😏😏😏

  • @JoelMoshi

    @JoelMoshi

    7 күн бұрын

    Kabisaa awape watu na fani zao

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa59420 күн бұрын

    Ndo imeisha au