USHUHUDA NA MAPITO YA MCH.KIJANA MWENYE KANISA LA WAUMINI WATATU TU "Mwanzoni nilikuwa mwenyewe tu"

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 166

  • @bukuruphilibert2968
    @bukuruphilibert29685 ай бұрын

    Mungu anaweza kufunga milango ya pesa hata misaada lengo aone iman yako na akuinue mwenyeee umuelewe zaidi

  • @kisembomaliyamungu572
    @kisembomaliyamungu5723 жыл бұрын

    Shukurani ninafurai sana na ushuhuda wako niko mutume kutoka Congo DRC mimi pia nilianza kanisa namna hio alakini leo kazi inaendelea usiogope yesu atakuinua simama tu

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale40473 жыл бұрын

    Kama ni MUNGU ameanza usihofu mtumishi MUNGU ndiye atakayeikuza huduma yako na kukuletea watu ni uvumilivu na imani na kumtumikia Mungu kwa Roho na kweli na kumsikiliza yeye kwa bidii tu ubarikiwe sana Mtumishi na Mungu atakupeleka viwango vya juu zaidi namshukuru Mungu kwa ajili yako Mtumishi

  • @ridgetomas7804

    @ridgetomas7804

    3 жыл бұрын

    a trick: you can watch movies on Kaldrostream. I've been using it for watching lots of of movies recently.

  • @jaxtonjerry6685

    @jaxtonjerry6685

    3 жыл бұрын

    @Ridge Tomas yup, been watching on Kaldrostream for since december myself :)

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai46913 жыл бұрын

    Amen, vumilia mpaka mwisho baba. Mungu wa mbinguni hawezi hakakuacha yuko nawe. Na atakuletea washirika maana ni mwaminifu.

  • @pastoreliya663
    @pastoreliya66310 күн бұрын

    Usiogope Mwana Wa Mungu ,Najua hatakuinulia watu,

  • @chumbachaneemaccnonlinetv6271
    @chumbachaneemaccnonlinetv62713 жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe ,nafuatiliaga shuhuda za promover Tv ,lakini huu ushuhuda umenigusa Sana ,na Mungu ambariki Mch Paulo ,naona Mungu anaenda kumutoa kwenye hali hii,na kufanya mambo makubwa kwake ,{SONGA MBELE USIKATE TAMAA}

  • @biblianenolaukweli5616
    @biblianenolaukweli56163 жыл бұрын

    Ungeanzia atanyumbani kwako baba mchungaji kwasababu iyo itakugarimu sana promover TV umwambieko angeanzia kwanza nyumbani kisha anatoka kanisani pole sana kaka yangu mungu awezi kukuacha

  • @magrethmanintveld5477

    @magrethmanintveld5477

    3 жыл бұрын

    Ni kweli jamani angeazia nyumbani, Mungu akubariki mtumishi🙏

  • @PROMOVERTVLive

    @PROMOVERTVLive

    3 жыл бұрын

    Ushauri mzuri

  • @user-dq3op3gs2d

    @user-dq3op3gs2d

    8 күн бұрын

    Kweli

  • @rosemarychristopher3827
    @rosemarychristopher38273 жыл бұрын

    Mungu akutete mtumishi wa MUNGU! Usikate tamaa endelea kumuamini Yesu atatenda. Kikubwa tu usijeukaingia tamaa ya kupata waumini wengi kwa haraka na sadaka nyingi kwa njia za giza.

  • @apostleeliyaj.milanzi5339
    @apostleeliyaj.milanzi53393 жыл бұрын

    Mungu akuinue na kukupeleka viwango vingine akuinulie watu watakaokushika kwenye Uduma

  • @Chekakidogo2
    @Chekakidogo23 жыл бұрын

    Mungu wa Mbinguni akuinue zaidi Katika huduma yako Mtumishi wa Mungu.

  • @janengaga2928
    @janengaga29282 ай бұрын

    Mshukuru sana MUNGU wengine wanapenda huduma wameitwa hawana hata pa kuabudia.Mungu akutie nguvu akupe mahitaji yote.

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph76873 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana baba yangu Mungu ni mwaminifu atafunguwa milango jipe moyo Mungu yupamoja nawe.

  • @christopherbomola4151
    @christopherbomola41513 жыл бұрын

    Maranatha!,Mungu ni mwema usikate tamaa tutakuweka kwenye maombi

  • @chumbachaneemaccnonlinetv6271
    @chumbachaneemaccnonlinetv62713 жыл бұрын

    Watu wote muliyoguswa na huduma ya Mch Paulo nawaomba tuungane tufanye kitu kwake ,tunaweza kumuchangia pesa akapata kununua vyombo ...hata ukitoa elfu 10 ,tukakusanya pamoja ,atapata kitu .Kama unaona hii umeielewa basi nijurishe tuone namna ya kuweka kikundi cha kumusaidia.Asanteni

  • @kabulagodfrey5343

    @kabulagodfrey5343

    3 жыл бұрын

    Am in

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen hili ni wazo zuri sana

  • @basilisamsaka8469

    @basilisamsaka8469

    3 жыл бұрын

    Sawa

  • @marymwikali1456

    @marymwikali1456

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @franckwahekimapasteurpaste5451

    @franckwahekimapasteurpaste5451

    3 жыл бұрын

    Mungu wangu akubariki dada yangu

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul18669 күн бұрын

    Mungu haangalii mazingira walipo wawili watatu yupo katikati yenu

  • @mariamfaith9914
    @mariamfaith99143 жыл бұрын

    Mahali Kuna watatu roho wa Mungu yupo pale. Ana Imani Sana huyu pastor

  • @millicentayangokunting3728

    @millicentayangokunting3728

    3 жыл бұрын

    Kweli

  • @gestinabunganiekuya6300
    @gestinabunganiekuya63003 жыл бұрын

    Biblia inasema kwamba wakusanyikapo wawili au watatu kwa ajili ya jina langu nami nitakuwa katikati yao asema Bwana wa majeshi, usikate tamaa mtumishi Mungu unayemtumikia akutie nguvu ya kusonga mbele kujaa kwa kanisa ni kazi ya Mungu mwenyewe

  • @liesharehema5193
    @liesharehema51933 жыл бұрын

    Sasa mtumishi wamungu amejieleza vizuri sana umepitia mambo mengi sana naroho wamungu yuko ndani yako nakizuri zaidi unaamini zaidi katika mungu sasa asitokee hata mtu mmoja akasema twende huku utapata waumini wengi usikubali acha mungu asimame mwenyewe na mungu atie nguvu amina

  • @enjoiburahim5908
    @enjoiburahim59083 жыл бұрын

    Kaza mwendo mngu yupo pamoja nawewe ipo siku Nita kuja kahama nijumuike nanjie roho yang ina uma ira mngu yupo ata kutetea tu

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz4 ай бұрын

    Barikiwa sana mtumishi mungu atakuinua mpk utamshangaa songa mbele na usimame na mungu tyu

  • @Lucy-nr2sm
    @Lucy-nr2sm3 жыл бұрын

    Mungu Baba awepamoja nawe uuwone ushindi wamwenyezi Mungu

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison2893 жыл бұрын

    Ungeanza nyumba hadi nyumba, halafu unaita watu nyumbani kwako kila wiki siku za kawaida. Unachagua siku mbili au moja kwa wiki. Basi Mungu atakuletea tu watu. Nitakuombea ndugu yangu ndani ya miezi sita kanisa lako litakua kubwa.

  • @lucywilson5875

    @lucywilson5875

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @fatumawasesa1049

    @fatumawasesa1049

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @renildevenerand9473
    @renildevenerand94733 жыл бұрын

    Kweli imenigusa .na nimeshangaa nakujifunza kweli tuiheshimu kazi yoyote ungejua kama muuza maji anaweza kufikisha milioni moja.

  • @laurianogerold5129
    @laurianogerold51293 жыл бұрын

    Kwa mtazamo wangu japo sijui agano lake na Mungu, ilitakiwa amtumikie Mungu chini ya yule mchungaji aliye mpokea huku akiwa na nia ileile ya kuanzisha huduma yake. Angekaa hapo had aone ana misingi imara ya kifedha ndipo angeenda kuanzisha huduma au hata walivyo shaur wengine kuwa angeanzia nyumbani aliko panga huku akifanya juhudi katika kufanya kazi ili misingi ya kifedha ikiwepo ndo angeenda kuanzisha huduma.

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack77863 жыл бұрын

    Mungu aliyeanzisha kusudi ndani yako naamini atakupelekea msaada na Injili itasonga mbele.

  • @biblianenolaukweli5616
    @biblianenolaukweli56163 жыл бұрын

    Ubarikiwe kweli mungu akuwezeshe kwauduma yako

  • @salomessmart9814
    @salomessmart98143 жыл бұрын

    Nimepnda sana kw kwel YESU ni bwana,yeye ni kila kitu kwetu naomba Mungu akuinulie watu

  • @pastoresthermwamba4010

    @pastoresthermwamba4010

    3 жыл бұрын

    Jitie moyo mungu nimwaminifu atakupangusa machozi kwajina layesu

  • @sarahawori6430
    @sarahawori64303 жыл бұрын

    Mungu akusaidie Kama alikuita hawez kukuacha keep 👆 👆 up and you will be blessed

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno17963 жыл бұрын

    MAONI YANGU KANISA WAEZA FANYA HATA NNJE MUNGU ANASIKIA MAONI MAALI POPOTE NDIO UKIPATA PESA UJENGE YA NINI UJIPE STRESS ZA KULIPA MAALI NA HUNA PESA HUNA WAAMINI KUNA SHULE WATOTO WABASOMA CHINI ZA MITI MAKANISANI CHICHINI ZA MITI MIMI NAAMINI MUNGU ANASIKIA POPOTE PALE ANYWAY ALL THE BEST

  • @lucywilson5875
    @lucywilson58753 жыл бұрын

    Bless you Brother, Mungu yu Pamoja nawe

  • @elizabethmasibo8628
    @elizabethmasibo86283 жыл бұрын

    Don't give up God is with u

  • @virginieimata4489
    @virginieimata4489 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter16613 жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu na kukuongoza usikate tamaa

  • @sallymumia8425
    @sallymumia84253 жыл бұрын

    Don't worry about this big churches,God is no longer in them

  • @anissawinasi2579
    @anissawinasi25793 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana kabisa ushuuda huu unasisimua kazi ya Mungu si rahisi. Kutokana na changamoto za kazi ya Mungu ndo mana wengi wanashindwa kuwa wavunilivu wanakimbilia kuhanza kumtumikia Mungu na miungu. Ila jipe moyo hata mitume na manabii walipambana kwa ajili ya kumtumikia Mungu

  • @hassanjoel6291
    @hassanjoel62913 ай бұрын

    MUNGU akuinulie watu ili kanisa lake liinuke, simama na MUNGU usikate tamaa

  • @maryinyas9320
    @maryinyas93205 ай бұрын

    Kawaida Mungu huwapitisha watu wake aliowita katika shule ngumu, utafaulu tu. Kumbuka neno la Bwn linasema maneno yake yasitoke kinywani mwako, atalithibitisha.

  • @obedlange5375
    @obedlange53752 жыл бұрын

    MUNGU akubariki kwa ushuhuda pia roho mtakatifu azid kukufundisha na kukuelimisha na kipawa akupatie kwa ajili ya kulitangaza jina lake!?

  • @aminaally4163
    @aminaally41633 жыл бұрын

    Nikweli inatupasa kumwamini YESU KRISTO kwaroho na kweli.

  • @liesharehema5193
    @liesharehema51933 жыл бұрын

    Mungu wambinguni akuinue sana mutumishi ubarikiwe sana

  • @bahatimellita6619
    @bahatimellita66193 жыл бұрын

    Mungu akutieee nguvu mtumishiii

  • @sarahawori6430
    @sarahawori64303 жыл бұрын

    Oo my God help her iknow that ur aliving God u are the God who answers prayer🐶🐶🐶🐶🐶

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32313 жыл бұрын

    Usikate tamaa.Mungu yuko nawe.Utafanikiwa

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro51747 ай бұрын

    Hili ndio kanisa la kweli.haya yanayoenda maelfu ya watu ni uongo tu

  • @alphonsinesingirankabo6274
    @alphonsinesingirankabo62743 жыл бұрын

    Mungu akutiye yulu sana kwa kumutumikiya endelea kazi chema

  • @marymmasawe9812
    @marymmasawe98124 ай бұрын

    Mungu akupeleke viwango vingine mtumishi

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent34836 ай бұрын

    Amina

  • @zedianagasper9475
    @zedianagasper94753 жыл бұрын

    MUNGU akutie nguvu

  • @alphonsinesingirankabo6274
    @alphonsinesingirankabo62743 жыл бұрын

    Mungu aendeleye kuku Linda kaka unhindered na adui Mungu njo wakwanza

  • @sallymumia8425
    @sallymumia84253 жыл бұрын

    Exactly, challenges are our daily bread 🥪.

  • @sallymumia8425
    @sallymumia84253 жыл бұрын

    Be encouraged dear brother,that's our way,of our spiritual and physical growth

  • @sarahawori6430
    @sarahawori64303 жыл бұрын

    Hawa wachawi hawana mmlaka in Jesus name

  • @0ttiliwiliam317
    @0ttiliwiliam3173 жыл бұрын

    eee Mungu saidia watoto wetu

  • @esaumahundi5076
    @esaumahundi50763 жыл бұрын

    Makanisa ya kweli hupitia Hari Kama hiyo huzaa 30 60kisha Mia songa mbele usiogope yupo mwanzilishi ambaye ni yesu

  • @dutarametv9793
    @dutarametv97933 жыл бұрын

    Imana igushigikire

  • @polynechamshama9457
    @polynechamshama94573 жыл бұрын

    Amina Mungu wa mbinguni akutie nguvu🙏

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim686610 ай бұрын

    Wewe wataka sadaka za watu ili ujitajirishe wacha ujanja mungu Hana mtumishi kama wewe wala yesuhakujui wewe wala hakutumwa kwako

  • @user13375

    @user13375

    6 ай бұрын

    Wewe umehubilia wangapi?

  • @stevenrichard189
    @stevenrichard1893 жыл бұрын

    Amen

  • @liesharehema5193
    @liesharehema51933 жыл бұрын

    Pole kaka yangu mungu anaona uliyopitia

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting37283 жыл бұрын

    Dont worry God is with you🙏🙏🙏🙏🙏💖💖💖💖

  • @josephmukhwana4795
    @josephmukhwana47953 жыл бұрын

    Mungu yupo atakuinua kaka mtumishi

  • @zenahassani2092

    @zenahassani2092

    3 жыл бұрын

    Mungu akubariki lkn kanisa nipopote hata ubuyu umeaza km mchicha yupo mungu halie hai kutakuwA mtumishi mkubwa ktkjina la yesu

  • @gracedavid2463
    @gracedavid24633 жыл бұрын

    Mungu akuinue!

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Жыл бұрын

    Nirikuwa simusomi rakini mungukanitendeya kanipereka amerika sasanawachungaji wengi watumika katiyamakanisa yariyojegwa nami nafurahisana

  • @ellymwakyando6549
    @ellymwakyando65493 жыл бұрын

    Sauti ya mtu aliaye nyikani ilivuta watu kwenda nyikani kwahiyo Usiogope MUNGU ana watu atakuletea Ukiendelea kumtegemea na Kumnyenyekea na Kushuka kabisa chini yake

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah77023 жыл бұрын

    Nakuombea yusipe au kuhuza mafuta yakupaka ambao nisumu kama ilovo tokea kwa kanisa moja ambao watu zaidi ya ishirini wamekufa hapo hapo

  • @tiamo726
    @tiamo7263 жыл бұрын

    Angeanza kwa nyumba kwanza alafu akiexpand ndio afungue kanisa ndio he would spend much paying church rent he may not be able to afford...

  • @mangapineema7652
    @mangapineema76523 жыл бұрын

    Usihofu mchungaji mngu wa mbinguni akuinue naatimize hitaji la moyo wako

  • @AlfaSanga
    @AlfaSanga3 жыл бұрын

    Ukiwa mwinjilisti utachumbia hata kilema, na bado atakukataa 😊

  • @richardsaimon6325
    @richardsaimon63253 жыл бұрын

    Amen Amen Amen

  • @nkoyiisack6808
    @nkoyiisack680813 күн бұрын

    KAZI ya Bwana ataiinua mwenyewe

  • @alexnyigo8864
    @alexnyigo886410 ай бұрын

    Uskate tamaa

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24443 жыл бұрын

    Omba kwanza uvunje madhababu ya hilo kanisa ,uwezi jua aliyeacha ameacha nini ,funga na kuomba , BWANA atawaleta kondoo

  • @ashleymechack5037
    @ashleymechack50373 жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu.

  • @levismike16
    @levismike163 жыл бұрын

    ASANTE YESU KRISTO KWA KUINUA KINA HUYU.KWA KILE ANACHOKILETA KWA KUKUTUMIKIA MSAIDIE SANA.APATE KUJENGA NA APATE WAUMINI.BWANA YESU UNAWEZA YOTE.AMINA

  • @leonardinabalenzi4005

    @leonardinabalenzi4005

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @wiliezecharia9575

    @wiliezecharia9575

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @verynicemonyo8671

    @verynicemonyo8671

    3 жыл бұрын

    Mungu atakuinua mtumikie kwa moyo wako wote hatakuacha

  • @bintiwazion765
    @bintiwazion7653 жыл бұрын

    Get out of the church and let the Lord lead you to certain houses, trust me winning souls will be more effective that way. At least you will see how some live and will help them little by little instead of staying in church preaching waiting for tithe... Oh by the way I did not understand one word... But I wrote what was on my heart

  • @sadikimtega4135

    @sadikimtega4135

    3 жыл бұрын

    Mchungaji huwa hafanyi kazi za nje, Mungu huwaleta kidogo kidogo, Mchungaji hupita kwa mtu mmoja mmoja mmoja

  • @christopherbomola4151

    @christopherbomola4151

    3 жыл бұрын

    Mungu ni mwema atamsimamia,aliyemwita katika safari anajua kusudi lake

  • @joanedmundR
    @joanedmundR3 жыл бұрын

    Mungu akutetee

  • @sarahawori6430
    @sarahawori64303 жыл бұрын

    Umenishangaza eti mpaka ue na bibi mungu anakutumikia then ndo Kupe

  • @FrankAloyce-ic6rq
    @FrankAloyce-ic6rq2 ай бұрын

    Kafanye biashara zingine jumapiri nenda kahubiri injili acha kupoteza mda ww kanisan ni la yesu watu ni WA yesu watakuja kwa wakati wakw

  • @NeemaAlphred-yw5dx
    @NeemaAlphred-yw5dx7 ай бұрын

    Jipe moyo mtumishi wa MUNGU

  • @liliancrochet3129
    @liliancrochet31293 жыл бұрын

    Daaa maskini

  • @consumingfire2772
    @consumingfire27723 жыл бұрын

    Jacktan tunaomba namba za huyu Mchungaji

  • @PROMOVERTVLive

    @PROMOVERTVLive

    3 жыл бұрын

    Ukiangali mpaka mwisho utaziona amezitaja 0764487028‎‎

  • @loycekagia2110
    @loycekagia21103 жыл бұрын

    Hakika zidi kugonja Mungu

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda27733 жыл бұрын

    YAANI KANDA YA ZIWA KUNA MAMBO.YESU AWATEMBELEE

  • @asteriambwei3349

    @asteriambwei3349

    3 жыл бұрын

    Mungu akusaidie mtumishi WA mungu kaza Nuri injilisha atafungua njia zako

  • @vicktorialessostuder7318
    @vicktorialessostuder73183 жыл бұрын

    Mungu awe nawe

  • @chiribagulajeanne1025
    @chiribagulajeanne10253 жыл бұрын

    Jambo kaka Ndugu usikate tama sababu Mungu ana mpango na wewe, uko na WhatsApp? Mungu awalinde na atume watu wengi na wasapoti, na misaada kwa kanisa ilo.

  • @Gloriawilliam-mr8kb
    @Gloriawilliam-mr8kb2 ай бұрын

    Naomba namba ya mtumishi wa MUNGu

  • @prettyh7509
    @prettyh75093 жыл бұрын

    Kwani mi nauliza ni lazma kila mtu awe na kanisa lake, mtaaa mmoja makanisa kumi

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Жыл бұрын

    Poresana mwanangu nyasikia nimagum mbona iyokazi yamungu ningumusana urikuwawakusaidiwa rakini vumiriya ndivyo uzima bikiwezekana tutahusapoti

  • @julianawanjala6495
    @julianawanjala6495 Жыл бұрын

    Don't give up God is with you

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Жыл бұрын

    Hatanam niriteseka ukotanzaniy nikiwamukimbizi rakisasa namakanisa sita ukoburundi nanunuwa nikajenga nikahwe kamabati nanini munguni mwema

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke67853 жыл бұрын

    Pokea sawasawa na kuamini kwako

  • @Houseofprayercentertz
    @Houseofprayercentertz9 күн бұрын

    NYIE MNAOSEMA MUNGU ATAMWINUA MARA AVUMILIE, NI HIVI TUTOE MICHANGO YA KIFETHA AWEZE KUINUKA ZAIDI! TUSIKWEPE KAZI YAMUNGU

  • @EuniceM-wt5br
    @EuniceM-wt5br8 ай бұрын

    MUNGU atakupoganiha bro

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka84693 жыл бұрын

    Huu ni wito wa Mungu.

  • @sheillahwairai4691

    @sheillahwairai4691

    3 жыл бұрын

    Mungu apewe sifa, shuhuda zote huu umenitoa machozi sana. Na bado sijatazama video yote.

  • @ibrahimlameckministry1867
    @ibrahimlameckministry18673 жыл бұрын

    Nimezaliwa hapo kahama

  • @djmtengwatz1099
    @djmtengwatz10993 жыл бұрын

    Kusema kwwli pole sanaa kusema kweli

  • @sikujuasteven4323
    @sikujuasteven43233 жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu

  • @anngrace522
    @anngrace5223 жыл бұрын

    Husiogope kaka MUNGU atafanya njia pia typo kukusaidia mtumishi na kwa habari ya uchache wa wahumini Husiogope songa mbele MUNGU hangalii wingi wa watu mbinguni wanafurahi mmoja tu akiokoka pia 2 au 3 wakusanyikapo kwa anjili ya MUNGU yuko hapo pamoja nao.jivike nguvu katika BWANA neema ya MUNGU izidi juu yako. Tunakuombea. MUNGU atakuinua kwa wakti wake.

  • @ibrahimlameckministry1867
    @ibrahimlameckministry18673 жыл бұрын

    Nimekupata nipo Dar es salaam

  • @BlessKanyamale-up5pu
    @BlessKanyamale-up5pu10 ай бұрын

    MUNGU akutie nguvu Mtumishi wa MUNGU

Келесі