DALILI ZA KUKUJULISHA UNASHAMBULIWA KIROHO || PST. GEORGE MUKABWA || 15/06/2023
Фильм және анимация
#Tanzania #jrctz #jrcchurch
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
#jrcchurch #Tanzania #jrctz
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
#jrcchurch #Tanzania #jrctz#youngministersconeference2023#
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa
Пікірлер: 966
Duuuuh huyu pastor ni kwere, nilikuwa simjui ila naona nimekuwa addicted na haya mahubiri, hata siwezi kulala bila kumaliza mahubiri🤔🔥🔥 Mungu ambariki sana
@Paul3G
2 ай бұрын
Same thing here he's a spiritual man
Jamani hawa ndio watumishi wakweli wanatufundisha neno la kweli jinsi tunavyoshambuliwa kiroho... Asante baba nimepokea neno Amen
Since I heard this pastor teachings as I was scrolling you became my pastor online ,am blessed day by day ,may the Lord you
@Paul3G
2 ай бұрын
Same thing here he's a spiritual man
Nimebarikiwa kuliko kawaida nahisi waumini wako wanafaidi Sana, Endelea kutenda kazi ya Bwana vyema. Baraka za Mungu zikufuate popote pale uendako mtumishi wa Mungu.
Hili somo ni langu asante Yesu kwa kibali umeruhusu nisikililize apa
Ameen amina mungu akubariki sana mtumishi wa mungu, yote uliyohubiri mjungaji ni kama ni mimi ulinihubiria ubarikiwe sana kwa kunifungua amina ubarikiwe
Plz pastor pray for me Niko na kitu Cha kusoms najikumbusha inafaa nisome but nilimaliza kazi nasahau kusoma, au nilisoma sielewi neno na ninapatwa na ucngizi,,,but kuomba naomba na ninaona ndoto za ajabu sana plz I need your prayers
Asant aposto kwa mafundisho mungu wetu akaubaliki
Thanks JESUS, nimebarikiwa hakika nitainuka niendelee na safari ya Imani.
Hili somo unaongea na mimi🙌🙌🙌🙌🙌
Barikiwa sana mtumish neno hili limekuja kwangu wakat sahihi ahimidiwe Mungu anaetuwazia mema
Amina napokea baraka kwa jina na kwa Damu ya YESU KRISTO
Amen mtumish Nmejifunza kitu Kikubwa sana. Ila dalili ya 1 & ya 8 n Zahatari mno na Za kuziepuka kwa Kila namna MUNGU atusaidie.
Hakika umenena vyema Mtumishi wa MUNGU, Ubarikiwe sana✍️🙏🙏
Everne moris mungu akupiganie sana Kwa kaz nzuri umenijenga sana nasomo hili barikiwe na mungu mtumishi wa kweli amena
PASTOR LAKINI MWALIMU MUZURI KATIKA ROHO ❤UBARIKIWE
Nashukuru kupatana na huyu mchungaji kwa kweli nabarikiwa Sana nipo kenya
@josephinelauwo4947
2 ай бұрын
Mungu azid kukutumia baba nabarikiwa nafunguliwa sanaa kupitia mafundisho yako Mungu akutunze. Sanaa
Kabisa mtumishi WA mungu Mimi nimagojwa na hospitalini haionekani ugojwa chest pain
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.
Nashukuru MUNGU kwa kuniongoza moja Kwa moja Kwa mtumishi mukabwa Kwa sababu Leo nimefunguliwa naomba unisaidie na mengine yafunguliwe
Amen Mungu wangu kwa kunikutanisha na haya mafundisho ya leo,nimehisi upenyo wa roho mtakatifu ndani yangu.asante yesu.
@fatumasalehe4449
2 ай бұрын
Najifunza mengi sn kupitiai huyu Pastor.MunguAmtumze
Mtumishi ,this word has found me at the right time, kumbe nilikuwa nimevamiwa ,but after 3 days of fasting , I thank God almighty for this word .
@chipedaniel
10 ай бұрын
Mchungji umenibariki sana
@evelynmsoma764
7 ай бұрын
Amen
Mungu akubariki sana mchungaji yaan sijui kwann sukukufaham siku nyingi. Mafundisho yako ni mazuri sana unaongozwa na Roho Mtakatifu mchungaji. Mungu akuinue sana.
Hii imenigusa sana Pastor @George Mukabwa 🎉Mungu abariki
Ubarikiwe Sana mtumishi mungu amekutumia kwa ajili yangu dalili zote nimejifunza nimepitia nilikuwa karibu na kupotea hakika nimepata nguvu mpya
Thanks for the message May the LORD meet you to your point of need. And remain blessed
Barikiwa mtumishi wa Mungu na Mungu wa mbinguni akuzidishe zaidi ili izidi kutuhudumia .... Amen
I have been so blessed since I started listening to you pastor you are a blessing
Haleluya JESUS Mungu Mukomboe watu wako
Mungu akubariki saaana, kweli wewe ni mwalimu Mungu akutunze
Aminaa umenibariki San mtumishi wa mungu
Amina🙏🏻❤️❤️
Amen Amen Amen nimejifunza kwa huu ujumbe sitakubali tena kutolewa kwenye nafazi yangu💥💥🇰🇪🇰🇪roho ya uzito 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 in Jesus Name 👏👏👏
@mwendaAnnastacia-xy4ni
3 ай бұрын
Annastisia
@EwaldKweka
2 ай бұрын
Yaaa,uyu ni mtumishi wa kitofauti,anatumikia kusudi la Mungu sirias.tunamuomba aje daa.
Amenii Baba nmefunguliwa sana sana hili somo kunamahali nmetoka na Kuna mahali na kwenda Mungu wa mbinginii Akubariki Baba 🙏🙏🔥🔥
Amina Asante mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwakutuamsha kiroho ubarikiwe Mungu na kushukuru kwamengi uliyoyatendakwangu naunaendelea kutenda yesu wa bwana wetu Mungu mwenyezi naomba ya simamie maishayangu bwana tumainilangu na imani yanguipokwako baba wambinguni wewe shetani sinahaja ya kupigana na wewe nakukataa na kukupinga kwaneno la kiristo nenolabwana litanisimamia. Amina amina amina.
Ameni! Nimekuelewa mtumishi
Baba, yote ume huburi ndo Hali nayoishi sasa. Mwenyezi Mungu akubariki saan kwa ili neno. Tuna wafwatilia from Norway. Nashukuru Mungu maana nime elewa sasa nini inayo nisumbua na hivi nitashinda maana nimepata strategy naamini nita shinda ktk yeye atutiaye Nguvu
Amen baba angu 🙌 kuanzia sasa nimefunguliwa katika jina lipitalo majina yote Yesu kristo💪💪 nimepona na mashambulizi yote ya ibirisi niko huru 🙌🙌🙌🙌
@SARAHMLELWA
4 күн бұрын
Àmen
😭😭😭😭😭😭MUNGU nisaidie nivuke haya nane (8) yote mtumishi aliyosema.nisaidie MUNGU wangu
N'a shukuru sana mutumishi kwamahana yote ulioya sema nimahisha yangu kbsa lakini sasa Imani ndafunguliwa nili hamka sa Saba ya usiku nikafikiya mayubiri iyi kweli rho aliniongoza
Powerful revelation.. Hallelujah!
Hallelujah glory to God..🙏🙏🙏
Amen Mungu akubariki saana mtumishi uzidi kuwa baraka kwa watu wote
Amina, nimepata kitu Mungu akutumie zaidi
Amen,this message was for me surely, I,ve been under spiritual attack for long
Amen & Amen. Ubarikiwe mtumishi.
Mafundisho mazuri ya kufungua mtu kwenye vifungo vya shetani Mungu akubariki sana Pst
Asante mungu kwakunifungua na kufatilia mahubil haya
Amen, namshukuru mwenyezi Mungu Kwa kuniambatanisha pamoja na mutumishi wake ilikunieka kwenye njia sahihi ya neno la Bwana. Nabarikiwa kila wakati ninapo sikiza mafundisho ya kwako. Mungu akuzidishie afya na nguvu ya kuendelea kufanya Kazi yake Amen
@deodatasndunguru989
10 ай бұрын
Mungu akubariki. Sana mtumishi hakika unagusa Sana maisha Yangu Amin
@deodatasndunguru989
10 ай бұрын
Naomba tuongeee Mtumish ninashida
I use to ignore watching this video many times. I didn't know it has this wonderful message for me 😢😢😢. May the almighty God Bless you Man of God.
@user-pk7eq4uz3k
6 ай бұрын
😊..
@user-pk7eq4uz3k
6 ай бұрын
Mm😊 my
@user-he7ck4zb9b
5 ай бұрын
😮
@pelagiadamiano
5 ай бұрын
Blessed mtumishi wa Mungu
@floranyefwe3464
2 ай бұрын
This is me. So today fifteen April I just scrolled it so many times but I decided to listen
🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Asante sana mungu akubariki
Ujumbe wa Mungu kwangu kupitia mtumishi wa Mungu huyu umeniweka huru.Asante sana Yesu Kristo uliye Bwana na mwokozi wangu. Hakika mwana akikuweka huru unakuwa huru kwelikweli.Amina
MchungajiMungu akubariki,nimejifunza ambayo sijawai kuyasikia popote,Ubarikiwe sana,Maneno yako ni mazito!!
Asante yesu kwakumupa mutumishi wako neno sahiyii ,nimebali Kiwa .nakufunguliwa.
Amina
December 2023 Na nmeponywa na neno La Mungu kupitia wewe Barikiwa sana baba
KABISA HUYU MTUMISHI JAMANI, MUNGU AMBARIKI,SANA YAANI NIMEPATA DELIVERENCE KWA KUSIKILIZA TU, MTUMISHI MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏
@witnesskileo3552
4 ай бұрын
0⁰😢😢
@YvetteMandenge
4 ай бұрын
Ni kweli kabisa wewe uko natufunguwa vichwa mafundisho mazuri sana
@YvetteMandenge
4 ай бұрын
Amen amen amen amen amen amen amen
@biancaryan-jx8kl
Ай бұрын
Amen🙌
@paulineandrew5232
Ай бұрын
nashukuru Sana kwa mafundisho
Ninawochi kutoka saudia,,,pst maombi yako yamenifuza mengi,,,na nina imani nitajua kuomba na kusoma bibilia kutoka kwako,,,,,amen 🙏🙏
amen mtumishi mafunfisho ya muzuri sn
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🇷🇼
Man of God you been blessings to me, since i started following you on KZread.
Hallelujah mtumishi wa mungu nimepata ufunuo kupitia hilo neno 🙏
@gfydfdf8869
Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu asante kwa somo hili
@Bernadetterehema
Жыл бұрын
Ubalikiwesana nitaamkatenakiroho
@benedictmillinga4297
Жыл бұрын
Amen, ipo hatua ninasogea
@georginanyamanga7241
11 ай бұрын
@@BernadetterehemaaYYAA araYaaaeAaaayayaaA ayauaaayayayaYaaaaAyyaaaayayaaayyYAaaayaaayyaayaaayyaaayyaayyayyyayayaua
Mtumish wa mungu bwana yesu asifiwe. Mafundisho yako yameniingia sana mm kunamda nashindwa kuomba nakusinzia atanikipanga malengo ningum kuyatimiza naomba uniunganishe kwenye maombi yako jaman
Nashukuru kwa ujumbe mzuri,mungu akubariki mtumishi wa mungu
Am so glad man of God to hearing your teachings coz am gaining so many good spiritual things .ooh God thanks so.
Amen and Amen, you don't know how much you have helped me. May the All knowing God richly shower you with His blessings. I believe that with a sincere heart, God has given me another chance to enjoy my freedom has a man and His servant in His presence and that I may also share in His blessings through offerings and testimonies. God bless you for inspiring my soul and restoring my stolen freedom of worshipping.
Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wa Mungu, nimekuelewa, hili somo limekuwa mkuki kwangu, nami nitasimama tena ktk zamu yangu
Glory to the Lord. Thank you Jesus.
Amen man of I have learned many things from this teachings
Amen nimebarikiwa sana na MAFUNDISHO ya neno hili Bali naomba kitabu chako MCHUNGAJI.
Glory be to God
@JanethLukuna
9 ай бұрын
Mungu hakika uko upande wangu umenifungua kwelkwel adui jana nafasi yote kwangu 1:32:16
God bless you! You are a man of God!
Asante kwa huu ujumbe hakika umekuja kwa wakati kwangu Mungu anifunulie hili neno lifanye mabadiliko ndani yangu
Ubarikiwe sana pastor
Mungu akupe neema yakuishi pasta
Nimependa neno lako,niko sauda Arabia huku akuna kuenda kanisa so you are my father nitakuwa nakuzikiza online Amen
@MmelaRamadhani
Ай бұрын
Pambana huko Mungu akutie nguvu
@jasminesungura8730
27 күн бұрын
MUNGU awe pamoja naweee
Amen mtumishi
Mungu abariki hii neno nimebarikiwa sana na Mungu akubariki Mchungaji.
God bless you pastor
Yaaan haya mahubiri nilikuwa sitaki kuyasikiliza,Kumbe ni ujumbe wangu kabisa 😢, Naomba nipiganie Mungu wangu
@severinolubugo
2 ай бұрын
HIZI BATTLE NI WEWE MWENYEWE KUPIGANA! Kaa kwenye nafasi yako, pigana kwenye hii vita: kwenye kila dalili amesema nini cha kufanya!
Asante kwa mafudisho mazuri mungu akubari ulipopunguza mungu akujazie na nina imani ya kwamba mungu atanitoa kwa haya mashambulizi ya jezebel Amen
Barikiwa baba angu mtumishi George. nilipokuwa mwanza nilijifunza mengi sana kupitia jrc ...ni zaidi ya chuo
May God bless you Servant of God!
Huyu ndie mchungaji ambae hana utapeli ndani yake ila anahubili akiongozwa na ROHO WA MUNGU. Naomba MUNGU azidi kumuinua na kumbariki in everything.
@kareganjagi8640
2 ай бұрын
Ameen 🙏🏾🙏🏾
@lufapavifapavi6277
2 ай бұрын
Very true anahubilii pure ijili. May aGod fight his battles.
@user-ub8vm1go9j
2 ай бұрын
❤❤❤
@elizabethndila
2 ай бұрын
Me too l love his teachings..,
@NaomyDaudi
Ай бұрын
mungu ambariki
Mungu akurinde umeniponya Moyo furaha nikwangu amen
Ubarikiwe sana mchungaji Ninakufata kila wakati Lakini nataka msaada Wa neno la Mungu
Hawa jamani ndio watumishi
@Rose-zz8sf
7 ай бұрын
Amen
@FloralMugo
7 ай бұрын
Watumishi wa ukweri
@fff6513
7 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@monicahmwalozi
6 ай бұрын
Kabisa sio wale wa pokea nyota
@NoelaWaryoba-ql6os
6 ай бұрын
Pastor ubarikiwe sana MUNGU kukuongoza kuleta hili neno maana Dalila zote nane zimenigusa
Feeling blessed from Kenya
Nimeinuliwa sana mungu akubariki.
Well done Pastor.nimesikiza Neno la mungu kupitia kinywa chako nimebarikiwa Sana.Barikiwa Sana mchungaji George.Unaweza shngaa ujumbe ni wa kitambo lakini Neno la kiungu halizeeki nijipya kila kuchao.mimi mkenya Pwani.
Oooh my Lord my God you bless me pastor you teach me
Hawa ndo wachungaji tunawataka! Hallelujah!
Amen pastor nimefunguliwa macho maana haya mahubiri ni kama yananihusu mimi nimepitia mengi mpaka roho kurudia yale niliyoyashinda inaniandama nikifikiria MUNGU ameniacha naomba MUNGU toba na naomba urejesho nishakosa naomba mtumishi unisaidie
Nimebarikiwa sana
Pasteur mungu akupe pumuzi njema yakuwa unatowa ukweli nauzidi kuwa n'a pambaniyaukweli
HUWA NABARIKIWA SAANA NA UTUMISHI WAKO🙏🙏🙏
Amen and AMEN, Mungu wangu asante kwa mana hili ni andiko langu kabisa kabisa, Bwana naomba unisaidie kwa kweli haki, AMEN
Amen nimebarikiwa sana
Mtumishi wa mungu ni kweli uchofundisha na pia nikama umeona maisha yangu mungu akubaliki sana na akuinue azidi ya hapo amen
Nabarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi. Naomba Mungu siku moja nifike huko mwanza nisikilize live na kukuona live. Mungu akubariki sana