DALILI ZA KUKUJULISHA UNASHAMBULIWA KIROHO || PST. GEORGE MUKABWA || 15/06/2023

Фильм және анимация

#Tanzania #jrctz #jrcchurch
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
#jrcchurch #Tanzania #jrctz
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
#jrcchurch #Tanzania #jrctz#youngministersconeference2023#
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa

Пікірлер: 966

  • @newgeneration9524
    @newgeneration95246 ай бұрын

    Duuuuh huyu pastor ni kwere, nilikuwa simjui ila naona nimekuwa addicted na haya mahubiri, hata siwezi kulala bila kumaliza mahubiri🤔🔥🔥 Mungu ambariki sana

  • @Paul3G

    @Paul3G

    2 ай бұрын

    Same thing here he's a spiritual man

  • @user-yd3qb2ne6u
    @user-yd3qb2ne6u6 ай бұрын

    Jamani hawa ndio watumishi wakweli wanatufundisha neno la kweli jinsi tunavyoshambuliwa kiroho... Asante baba nimepokea neno Amen

  • @user-fq4sx7qk7j
    @user-fq4sx7qk7j4 ай бұрын

    Since I heard this pastor teachings as I was scrolling you became my pastor online ,am blessed day by day ,may the Lord you

  • @Paul3G

    @Paul3G

    2 ай бұрын

    Same thing here he's a spiritual man

  • @doricaedisson5182
    @doricaedisson51826 ай бұрын

    Nimebarikiwa kuliko kawaida nahisi waumini wako wanafaidi Sana, Endelea kutenda kazi ya Bwana vyema. Baraka za Mungu zikufuate popote pale uendako mtumishi wa Mungu.

  • @anjelakigava3887
    @anjelakigava38877 ай бұрын

    Hili somo ni langu asante Yesu kwa kibali umeruhusu nisikililize apa

  • @furahaangos7222
    @furahaangos72223 ай бұрын

    Ameen amina mungu akubariki sana mtumishi wa mungu, yote uliyohubiri mjungaji ni kama ni mimi ulinihubiria ubarikiwe sana kwa kunifungua amina ubarikiwe

  • @erickmahindu9198
    @erickmahindu91988 күн бұрын

    Plz pastor pray for me Niko na kitu Cha kusoms najikumbusha inafaa nisome but nilimaliza kazi nasahau kusoma, au nilisoma sielewi neno na ninapatwa na ucngizi,,,but kuomba naomba na ninaona ndoto za ajabu sana plz I need your prayers

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7pyАй бұрын

    Asant aposto kwa mafundisho mungu wetu akaubaliki

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya31543 ай бұрын

    Thanks JESUS, nimebarikiwa hakika nitainuka niendelee na safari ya Imani.

  • @elizabethchima8098
    @elizabethchima809810 ай бұрын

    Hili somo unaongea na mimi🙌🙌🙌🙌🙌

  • @AgnesJonas-jz5oo
    @AgnesJonas-jz5oo12 күн бұрын

    Barikiwa sana mtumish neno hili limekuja kwangu wakat sahihi ahimidiwe Mungu anaetuwazia mema

  • @user-bl2jj5lo4q
    @user-bl2jj5lo4qАй бұрын

    Amina napokea baraka kwa jina na kwa Damu ya YESU KRISTO

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva171911 ай бұрын

    Amen mtumish Nmejifunza kitu Kikubwa sana. Ila dalili ya 1 & ya 8 n Zahatari mno na Za kuziepuka kwa Kila namna MUNGU atusaidie.

  • @user-hp3zx5lu5b
    @user-hp3zx5lu5b8 ай бұрын

    Hakika umenena vyema Mtumishi wa MUNGU, Ubarikiwe sana✍️🙏🙏

  • @user-yn3xu3nm4t
    @user-yn3xu3nm4t8 ай бұрын

    Everne moris mungu akupiganie sana Kwa kaz nzuri umenijenga sana nasomo hili barikiwe na mungu mtumishi wa kweli amena

  • @user-sk4lv4dc2f
    @user-sk4lv4dc2f7 сағат бұрын

    PASTOR LAKINI MWALIMU MUZURI KATIKA ROHO ❤UBARIKIWE

  • @SarahAbuliOtienoOtieno
    @SarahAbuliOtienoOtieno3 ай бұрын

    Nashukuru kupatana na huyu mchungaji kwa kweli nabarikiwa Sana nipo kenya

  • @josephinelauwo4947

    @josephinelauwo4947

    2 ай бұрын

    Mungu azid kukutumia baba nabarikiwa nafunguliwa sanaa kupitia mafundisho yako Mungu akutunze. Sanaa

  • @user-ur2ip7ds9o
    @user-ur2ip7ds9o4 ай бұрын

    Kabisa mtumishi WA mungu Mimi nimagojwa na hospitalini haionekani ugojwa chest pain

  • @user-gd5ip1dv9k
    @user-gd5ip1dv9k3 ай бұрын

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.

  • @user-zs9kr3tc5x
    @user-zs9kr3tc5x7 ай бұрын

    Nashukuru MUNGU kwa kuniongoza moja Kwa moja Kwa mtumishi mukabwa Kwa sababu Leo nimefunguliwa naomba unisaidie na mengine yafunguliwe

  • @fezafaustin5103
    @fezafaustin51032 ай бұрын

    Amen Mungu wangu kwa kunikutanisha na haya mafundisho ya leo,nimehisi upenyo wa roho mtakatifu ndani yangu.asante yesu.

  • @fatumasalehe4449

    @fatumasalehe4449

    2 ай бұрын

    Najifunza mengi sn kupitiai huyu Pastor.MunguAmtumze

  • @mathewsmathew5280
    @mathewsmathew528011 ай бұрын

    Mtumishi ,this word has found me at the right time, kumbe nilikuwa nimevamiwa ,but after 3 days of fasting , I thank God almighty for this word .

  • @chipedaniel

    @chipedaniel

    10 ай бұрын

    Mchungji umenibariki sana

  • @evelynmsoma764

    @evelynmsoma764

    7 ай бұрын

    Amen

  • @jenipharobert9694
    @jenipharobert96942 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mchungaji yaan sijui kwann sukukufaham siku nyingi. Mafundisho yako ni mazuri sana unaongozwa na Roho Mtakatifu mchungaji. Mungu akuinue sana.

  • @akwadaniel5383
    @akwadaniel538329 күн бұрын

    Hii imenigusa sana Pastor @George Mukabwa 🎉Mungu abariki

  • @obbykimbale9842
    @obbykimbale9842 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana mtumishi mungu amekutumia kwa ajili yangu dalili zote nimejifunza nimepitia nilikuwa karibu na kupotea hakika nimepata nguvu mpya

  • @MercyOgutu-oo4mh
    @MercyOgutu-oo4mh4 ай бұрын

    Thanks for the message May the LORD meet you to your point of need. And remain blessed

  • @user-eg8vz4cm2n
    @user-eg8vz4cm2n7 ай бұрын

    Barikiwa mtumishi wa Mungu na Mungu wa mbinguni akuzidishe zaidi ili izidi kutuhudumia .... Amen

  • @sylviamukabwa6804
    @sylviamukabwa68043 ай бұрын

    I have been so blessed since I started listening to you pastor you are a blessing

  • @kosopa-df3io
    @kosopa-df3io9 ай бұрын

    Haleluya JESUS Mungu Mukomboe watu wako

  • @LucySimeo-ci6jd
    @LucySimeo-ci6jd Жыл бұрын

    Mungu akubariki saaana, kweli wewe ni mwalimu Mungu akutunze

  • @marthaadammakatobemwakatob4246
    @marthaadammakatobemwakatob42464 ай бұрын

    Aminaa umenibariki San mtumishi wa mungu

  • @wazirilikimile7776
    @wazirilikimile77762 ай бұрын

    Amina🙏🏻❤️❤️

  • @marywafula2858
    @marywafula28587 ай бұрын

    Amen Amen Amen nimejifunza kwa huu ujumbe sitakubali tena kutolewa kwenye nafazi yangu💥💥🇰🇪🇰🇪roho ya uzito 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 in Jesus Name 👏👏👏

  • @mwendaAnnastacia-xy4ni

    @mwendaAnnastacia-xy4ni

    3 ай бұрын

    Annastisia

  • @EwaldKweka

    @EwaldKweka

    2 ай бұрын

    Yaaa,uyu ni mtumishi wa kitofauti,anatumikia kusudi la Mungu sirias.tunamuomba aje daa.

  • @PastorGloryDavidRupia-mh8kt
    @PastorGloryDavidRupia-mh8kt Жыл бұрын

    Amenii Baba nmefunguliwa sana sana hili somo kunamahali nmetoka na Kuna mahali na kwenda Mungu wa mbinginii Akubariki Baba 🙏🙏🔥🔥

  • @samweliantoni7707
    @samweliantoni770711 ай бұрын

    Amina Asante mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwakutuamsha kiroho ubarikiwe Mungu na kushukuru kwamengi uliyoyatendakwangu naunaendelea kutenda yesu wa bwana wetu Mungu mwenyezi naomba ya simamie maishayangu bwana tumainilangu na imani yanguipokwako baba wambinguni wewe shetani sinahaja ya kupigana na wewe nakukataa na kukupinga kwaneno la kiristo nenolabwana litanisimamia. Amina amina amina.

  • @AmAm-xt1og
    @AmAm-xt1og23 күн бұрын

    Ameni! Nimekuelewa mtumishi

  • @nicolerose5112
    @nicolerose51127 ай бұрын

    Baba, yote ume huburi ndo Hali nayoishi sasa. Mwenyezi Mungu akubariki saan kwa ili neno. Tuna wafwatilia from Norway. Nashukuru Mungu maana nime elewa sasa nini inayo nisumbua na hivi nitashinda maana nimepata strategy naamini nita shinda ktk yeye atutiaye Nguvu

  • @esterheri9592
    @esterheri959210 ай бұрын

    Amen baba angu 🙌 kuanzia sasa nimefunguliwa katika jina lipitalo majina yote Yesu kristo💪💪 nimepona na mashambulizi yote ya ibirisi niko huru 🙌🙌🙌🙌

  • @SARAHMLELWA

    @SARAHMLELWA

    4 күн бұрын

    Àmen

  • @AngelStanley-lr1cp
    @AngelStanley-lr1cp6 сағат бұрын

    😭😭😭😭😭😭MUNGU nisaidie nivuke haya nane (8) yote mtumishi aliyosema.nisaidie MUNGU wangu

  • @user-wn6es2wz3b
    @user-wn6es2wz3b27 күн бұрын

    N'a shukuru sana mutumishi kwamahana yote ulioya sema nimahisha yangu kbsa lakini sasa Imani ndafunguliwa nili hamka sa Saba ya usiku nikafikiya mayubiri iyi kweli rho aliniongoza

  • @jacklinenatocho2443
    @jacklinenatocho24437 ай бұрын

    Powerful revelation.. Hallelujah!

  • @user-ov8rr9yc7f
    @user-ov8rr9yc7f10 ай бұрын

    Hallelujah glory to God..🙏🙏🙏

  • @AgostinoSampala
    @AgostinoSampala26 күн бұрын

    Amen Mungu akubariki saana mtumishi uzidi kuwa baraka kwa watu wote

  • @esteryohan290
    @esteryohan2902 ай бұрын

    Amina, nimepata kitu Mungu akutumie zaidi

  • @beatriceragak4745
    @beatriceragak47457 ай бұрын

    Amen,this message was for me surely, I,ve been under spiritual attack for long

  • @catherineangaufoo2530
    @catherineangaufoo2530 Жыл бұрын

    Amen & Amen. Ubarikiwe mtumishi.

  • @user-cx4jl6wk6m
    @user-cx4jl6wk6m6 ай бұрын

    Mafundisho mazuri ya kufungua mtu kwenye vifungo vya shetani Mungu akubariki sana Pst

  • @JescaFesto
    @JescaFesto2 ай бұрын

    Asante mungu kwakunifungua na kufatilia mahubil haya

  • @peaceirene8183
    @peaceirene818311 ай бұрын

    Amen, namshukuru mwenyezi Mungu Kwa kuniambatanisha pamoja na mutumishi wake ilikunieka kwenye njia sahihi ya neno la Bwana. Nabarikiwa kila wakati ninapo sikiza mafundisho ya kwako. Mungu akuzidishie afya na nguvu ya kuendelea kufanya Kazi yake Amen

  • @deodatasndunguru989

    @deodatasndunguru989

    10 ай бұрын

    Mungu akubariki. Sana mtumishi hakika unagusa Sana maisha Yangu Amin

  • @deodatasndunguru989

    @deodatasndunguru989

    10 ай бұрын

    Naomba tuongeee Mtumish ninashida

  • @farajaramadhani5483
    @farajaramadhani54836 ай бұрын

    I use to ignore watching this video many times. I didn't know it has this wonderful message for me 😢😢😢. May the almighty God Bless you Man of God.

  • @user-pk7eq4uz3k

    @user-pk7eq4uz3k

    6 ай бұрын

    😊..

  • @user-pk7eq4uz3k

    @user-pk7eq4uz3k

    6 ай бұрын

    Mm😊 my

  • @user-he7ck4zb9b

    @user-he7ck4zb9b

    5 ай бұрын

    😮

  • @pelagiadamiano

    @pelagiadamiano

    5 ай бұрын

    Blessed mtumishi wa Mungu

  • @floranyefwe3464

    @floranyefwe3464

    2 ай бұрын

    This is me. So today fifteen April I just scrolled it so many times but I decided to listen

  • @yohanamkumbo2488
    @yohanamkumbo248818 күн бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Asante sana mungu akubariki

  • @adrophwilliam3225
    @adrophwilliam32253 ай бұрын

    Ujumbe wa Mungu kwangu kupitia mtumishi wa Mungu huyu umeniweka huru.Asante sana Yesu Kristo uliye Bwana na mwokozi wangu. Hakika mwana akikuweka huru unakuwa huru kwelikweli.Amina

  • @happynescostat7420
    @happynescostat742011 ай бұрын

    MchungajiMungu akubariki,nimejifunza ambayo sijawai kuyasikia popote,Ubarikiwe sana,Maneno yako ni mazito!!

  • @authurmwenda496
    @authurmwenda496 Жыл бұрын

    Asante yesu kwakumupa mutumishi wako neno sahiyii ,nimebali Kiwa .nakufunguliwa.

  • @ChristinaJuliusMasanja
    @ChristinaJuliusMasanja28 күн бұрын

    Amina

  • @lustikamlwilo7528
    @lustikamlwilo75287 ай бұрын

    December 2023 Na nmeponywa na neno La Mungu kupitia wewe Barikiwa sana baba

  • @suzanakiwele1832
    @suzanakiwele18328 ай бұрын

    KABISA HUYU MTUMISHI JAMANI, MUNGU AMBARIKI,SANA YAANI NIMEPATA DELIVERENCE KWA KUSIKILIZA TU, MTUMISHI MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏

  • @witnesskileo3552

    @witnesskileo3552

    4 ай бұрын

    0⁰😢😢

  • @YvetteMandenge

    @YvetteMandenge

    4 ай бұрын

    Ni kweli kabisa wewe uko natufunguwa vichwa mafundisho mazuri sana

  • @YvetteMandenge

    @YvetteMandenge

    4 ай бұрын

    Amen amen amen amen amen amen amen

  • @biancaryan-jx8kl

    @biancaryan-jx8kl

    Ай бұрын

    Amen🙌

  • @paulineandrew5232

    @paulineandrew5232

    Ай бұрын

    nashukuru Sana kwa mafundisho

  • @zipporangare
    @zipporangare8 ай бұрын

    Ninawochi kutoka saudia,,,pst maombi yako yamenifuza mengi,,,na nina imani nitajua kuomba na kusoma bibilia kutoka kwako,,,,,amen 🙏🙏

  • @pytchenJmsBSK
    @pytchenJmsBSK11 күн бұрын

    amen mtumishi mafunfisho ya muzuri sn

  • @MutanganaHakim
    @MutanganaHakim12 күн бұрын

    Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🇷🇼

  • @calistuskongani4934
    @calistuskongani49349 ай бұрын

    Man of God you been blessings to me, since i started following you on KZread.

  • @sharonnabwilewafula1558
    @sharonnabwilewafula1558 Жыл бұрын

    Hallelujah mtumishi wa mungu nimepata ufunuo kupitia hilo neno 🙏

  • @gfydfdf8869

    @gfydfdf8869

    Жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi wa Mungu asante kwa somo hili

  • @Bernadetterehema

    @Bernadetterehema

    Жыл бұрын

    Ubalikiwesana nitaamkatenakiroho

  • @benedictmillinga4297

    @benedictmillinga4297

    Жыл бұрын

    Amen, ipo hatua ninasogea

  • @georginanyamanga7241

    @georginanyamanga7241

    11 ай бұрын

    @@BernadetterehemaaYYAA araYaaaeAaaayayaaA ayauaaayayayaYaaaaAyyaaaayayaaayyYAaaayaaayyaayaaayyaaayyaayyayyyayayaua

  • @user-qb8bh9lm9h
    @user-qb8bh9lm9h6 ай бұрын

    Mtumish wa mungu bwana yesu asifiwe. Mafundisho yako yameniingia sana mm kunamda nashindwa kuomba nakusinzia atanikipanga malengo ningum kuyatimiza naomba uniunganishe kwenye maombi yako jaman

  • @raymwampola5554
    @raymwampola55546 ай бұрын

    Nashukuru kwa ujumbe mzuri,mungu akubariki mtumishi wa mungu

  • @StevenHalili
    @StevenHalili7 ай бұрын

    Am so glad man of God to hearing your teachings coz am gaining so many good spiritual things .ooh God thanks so.

  • @musungukelvin3621
    @musungukelvin36217 ай бұрын

    Amen and Amen, you don't know how much you have helped me. May the All knowing God richly shower you with His blessings. I believe that with a sincere heart, God has given me another chance to enjoy my freedom has a man and His servant in His presence and that I may also share in His blessings through offerings and testimonies. God bless you for inspiring my soul and restoring my stolen freedom of worshipping.

  • @user-ld4pu3jg7m
    @user-ld4pu3jg7m8 ай бұрын

    Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wa Mungu, nimekuelewa, hili somo limekuwa mkuki kwangu, nami nitasimama tena ktk zamu yangu

  • @ItsPasonYT
    @ItsPasonYT8 ай бұрын

    Glory to the Lord. Thank you Jesus.

  • @LilianAkoth-xq1rl
    @LilianAkoth-xq1rl9 ай бұрын

    Amen man of I have learned many things from this teachings

  • @alexmdaa9523
    @alexmdaa952311 ай бұрын

    Amen nimebarikiwa sana na MAFUNDISHO ya neno hili Bali naomba kitabu chako MCHUNGAJI.

  • @user-qg2lz5it7q
    @user-qg2lz5it7q10 ай бұрын

    Glory be to God

  • @JanethLukuna

    @JanethLukuna

    9 ай бұрын

    Mungu hakika uko upande wangu umenifungua kwelkwel adui jana nafasi yote kwangu 1:32:16

  • @rhodagwivaha8680
    @rhodagwivaha86807 ай бұрын

    God bless you! You are a man of God!

  • @ChristinaSanga-pl5jm
    @ChristinaSanga-pl5jm10 ай бұрын

    Asante kwa huu ujumbe hakika umekuja kwa wakati kwangu Mungu anifunulie hili neno lifanye mabadiliko ndani yangu

  • @user-hg4py7el3i
    @user-hg4py7el3i6 күн бұрын

    Ubarikiwe sana pastor

  • @YacoboHussain
    @YacoboHussain6 ай бұрын

    Mungu akupe neema yakuishi pasta

  • @FelistaMukami-ks7fm
    @FelistaMukami-ks7fmАй бұрын

    Nimependa neno lako,niko sauda Arabia huku akuna kuenda kanisa so you are my father nitakuwa nakuzikiza online Amen

  • @MmelaRamadhani

    @MmelaRamadhani

    Ай бұрын

    Pambana huko Mungu akutie nguvu

  • @jasminesungura8730

    @jasminesungura8730

    27 күн бұрын

    MUNGU awe pamoja naweee

  • @user-gx7iz3nn8u
    @user-gx7iz3nn8u2 күн бұрын

    Amen mtumishi

  • @user-gn8vr7ub5p
    @user-gn8vr7ub5p7 ай бұрын

    Mungu abariki hii neno nimebarikiwa sana na Mungu akubariki Mchungaji.

  • @bettykageza1964
    @bettykageza196411 ай бұрын

    God bless you pastor

  • @yasinthatemba1336
    @yasinthatemba13362 ай бұрын

    Yaaan haya mahubiri nilikuwa sitaki kuyasikiliza,Kumbe ni ujumbe wangu kabisa 😢, Naomba nipiganie Mungu wangu

  • @severinolubugo

    @severinolubugo

    2 ай бұрын

    HIZI BATTLE NI WEWE MWENYEWE KUPIGANA! Kaa kwenye nafasi yako, pigana kwenye hii vita: kwenye kila dalili amesema nini cha kufanya!

  • @user-ij9cs7hq1q
    @user-ij9cs7hq1q9 ай бұрын

    Asante kwa mafudisho mazuri mungu akubari ulipopunguza mungu akujazie na nina imani ya kwamba mungu atanitoa kwa haya mashambulizi ya jezebel Amen

  • @joycefrank5630
    @joycefrank563011 ай бұрын

    Barikiwa baba angu mtumishi George. nilipokuwa mwanza nilijifunza mengi sana kupitia jrc ...ni zaidi ya chuo

  • @rachelmtweve9280
    @rachelmtweve9280 Жыл бұрын

    May God bless you Servant of God!

  • @Kekee9595
    @Kekee95956 ай бұрын

    Huyu ndie mchungaji ambae hana utapeli ndani yake ila anahubili akiongozwa na ROHO WA MUNGU. Naomba MUNGU azidi kumuinua na kumbariki in everything.

  • @kareganjagi8640

    @kareganjagi8640

    2 ай бұрын

    Ameen 🙏🏾🙏🏾

  • @lufapavifapavi6277

    @lufapavifapavi6277

    2 ай бұрын

    Very true anahubilii pure ijili. May aGod fight his battles.

  • @user-ub8vm1go9j

    @user-ub8vm1go9j

    2 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @elizabethndila

    @elizabethndila

    2 ай бұрын

    Me too l love his teachings..,

  • @NaomyDaudi

    @NaomyDaudi

    Ай бұрын

    mungu ambariki

  • @AnnWangari-xf8se
    @AnnWangari-xf8se2 ай бұрын

    Mungu akurinde umeniponya Moyo furaha nikwangu amen

  • @mmasaalonda499
    @mmasaalonda49910 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mchungaji Ninakufata kila wakati Lakini nataka msaada Wa neno la Mungu

  • @athumanmvung2947
    @athumanmvung294711 ай бұрын

    Hawa jamani ndio watumishi

  • @Rose-zz8sf

    @Rose-zz8sf

    7 ай бұрын

    Amen

  • @FloralMugo

    @FloralMugo

    7 ай бұрын

    Watumishi wa ukweri

  • @fff6513

    @fff6513

    7 ай бұрын

    Amen 🙏🙏

  • @monicahmwalozi

    @monicahmwalozi

    6 ай бұрын

    Kabisa sio wale wa pokea nyota

  • @NoelaWaryoba-ql6os

    @NoelaWaryoba-ql6os

    6 ай бұрын

    Pastor ubarikiwe sana MUNGU kukuongoza kuleta hili neno maana Dalila zote nane zimenigusa

  • @lydiamulusa96
    @lydiamulusa962 ай бұрын

    Feeling blessed from Kenya

  • @user-nr5jd1oz5u
    @user-nr5jd1oz5u2 ай бұрын

    Nimeinuliwa sana mungu akubariki.

  • @jameskyumbu6959
    @jameskyumbu69594 ай бұрын

    Well done Pastor.nimesikiza Neno la mungu kupitia kinywa chako nimebarikiwa Sana.Barikiwa Sana mchungaji George.Unaweza shngaa ujumbe ni wa kitambo lakini Neno la kiungu halizeeki nijipya kila kuchao.mimi mkenya Pwani.

  • @user-pw9oj9wm5r
    @user-pw9oj9wm5r4 ай бұрын

    Oooh my Lord my God you bless me pastor you teach me

  • @lilyg2134
    @lilyg21345 ай бұрын

    Hawa ndo wachungaji tunawataka! Hallelujah!

  • @kakamegaingo651
    @kakamegaingo6519 ай бұрын

    Amen pastor nimefunguliwa macho maana haya mahubiri ni kama yananihusu mimi nimepitia mengi mpaka roho kurudia yale niliyoyashinda inaniandama nikifikiria MUNGU ameniacha naomba MUNGU toba na naomba urejesho nishakosa naomba mtumishi unisaidie

  • @gloriamoshi5220
    @gloriamoshi522019 сағат бұрын

    Nimebarikiwa sana

  • @HerriMossi-fu3lw
    @HerriMossi-fu3lw11 ай бұрын

    Pasteur mungu akupe pumuzi njema yakuwa unatowa ukweli nauzidi kuwa n'a pambaniyaukweli

  • @myalanity5207
    @myalanity520711 күн бұрын

    HUWA NABARIKIWA SAANA NA UTUMISHI WAKO🙏🙏🙏

  • @susanjuma4340
    @susanjuma4340Ай бұрын

    Amen and AMEN, Mungu wangu asante kwa mana hili ni andiko langu kabisa kabisa, Bwana naomba unisaidie kwa kweli haki, AMEN

  • @ApostlealexMayebei
    @ApostlealexMayebei20 күн бұрын

    Amen nimebarikiwa sana

  • @DorcasS-sadiki
    @DorcasS-sadiki27 күн бұрын

    Mtumishi wa mungu ni kweli uchofundisha na pia nikama umeona maisha yangu mungu akubaliki sana na akuinue azidi ya hapo amen

  • @ketrinamakobwe9078
    @ketrinamakobwe90784 ай бұрын

    Nabarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi. Naomba Mungu siku moja nifike huko mwanza nisikilize live na kukuona live. Mungu akubariki sana

Келесі