TAFSIR ZA NDOTO ZA WATU WALIO KUFA // MAJILIS YA KWANZA//SHEIKH ABUU JADAWI
TAFSIR ZA NDOTO ZA WATU WALIO KUFA // MAJILIS YA KWANZA//SHEIKH ABUU JADAWI
Жүктеу.....
Пікірлер: 69
@user-ce1ly7dl9j16 күн бұрын
Nimemuota baba angu alishakufa nimemuota anaumwa sana nami naumwa pia najiandaa niende nikamuone naogopa sana alifariki miaka mingi sana,nimeota anaumwa sana tumbo mpaka kwenye kitovu chake pameoza mm ndo niko sehem tofauti najiandaa nikamuone😢😢
@AthmanMbui-om9nw Жыл бұрын
shukran wa jazakumLlahi kheiry
@user-td9tv3xt3f5 күн бұрын
Asalam alaikum mimi nineota natoka safarini nimefika nyumbani nikamkuta mama yangu mareemu ame kaa uwanjani kalibu na mpapai nikapita ndani nikamkuta mke wangu ambae nimesha muacha yuko na mwanangu wa kike ila yule mke wangu alikua nikama mgonjwa alipo niona alikasilika sana nika toka nnje nikaenda pale alipo mama nikawa naongea nae nilimsalimia akaitikia akaniuliza kwenye mfuko ume beba nini nikamjibu nimebeba nyama akasema sawa nitaenda kukuombea kule ma nikaanza kulia mala nikashituka naomba niambie maana yake
@missmoona44972 жыл бұрын
Shukran sheikh, waaleykum msalamu warahmatullah wabarakatuh, sheikh mm nimeota naongea na mtu aliekufa tena anafurah mwenyewe ktk maongez yetu ,naumiza kichwa kujua nn maana yake😩😩
@amiramukambanza32072 жыл бұрын
Jazakkallah kheri
@yasinikunyuma21682 жыл бұрын
Ikiwa nimemuita baba sikiwa ana liliwa na wajukuu zake name nipo pemben huku nikimuombea Dua baba mungu ampunguzie adhabu ya kabri nn maana yake hi ndoto
@AnnaKahimba-bh7kh26 күн бұрын
Niunge
@deodatussalvatory85962 жыл бұрын
Shehe shukran kwa elim mm newah kuota naongea na mtu alishakufa mara 3 nn maana yake
@omanamenmct16002 жыл бұрын
Mungu wangu kwahiyo leo mm jimeota bibi yangu kaja lkn tuko kwenye nyumba isiyojulikana na bibi yangu ameshakufa ,eeh mwenyez mungu nisaidie tena ilikuwa kama kunashuguhuli bibi akaja kulikuwa na furaha tukampokea
@saufaHassan9 ай бұрын
Shekh niunge
@atugonzalugemalila5142 Жыл бұрын
Nimeota kiongozi wangu wa zamani aliyekwisha fariki nikimyoa ndevu na ananiambia wewe uko na ela nyingi na wakati sina
@user-dl8rg2gm8x8 ай бұрын
Asalam arykum shehe mm nimepata maiti anaoshwa maji yakaanza tupuyama inakinyesi samahani shehe leo sina sadaka inshaala nikipata
@lilianrichard90659 ай бұрын
Nimeota bibi yangu alishakufa lkn nimeota anaumwa sana akaniomba nimsaidie kumunyanyua chini ili atembee nilimshika na kumbeba na nikamfuga kanga began nn maana yake
@kiznationtv8055 Жыл бұрын
Nmeota jananapta sehemu nkakuta waganga sijuw wachawi lakini wale wachawi wakanitumia mbwa weusi wanifukuze nikakimbia sana nimefka nyumbani nikawa naita mama mama nkasikia anaitika kwa mbaali nikaita tena akaitika sasa akaitika akatoka nje aisee mama alikufa akiuwa mtu mzima hivi kiasi lakini nimemuona kama ana miaka 30 Hivi daah aisee 😢 tumeongea sana alafu tukaagana kuwa tutaonana tenah akanambia mungu akipanga inakuwa tu akaniambia wala usiogope alafu nkashtuka usingzn
@user-dl8rg2gm8x8 ай бұрын
Asalam arykum shehe mimi nimepata maiti anaoshwa
@ThuwaibaSheheАй бұрын
A.alykum, mm nimeota nakufa lakin kabla ya kufa ninawausia watu ambao nakaa nao wazidi kufanya ibada,wawe karibu na Allah subhanahuwataala lakin pia nilikuw natoa shahada,hapo hapo nikashtuka,please naomba majibu ya ndoto yangu,kuna mwaka mmoja niliota ndoto kama hii ila nilikuw namuusia mama yangu na dada zangu kuwa karibu sana na Allah subhanahuwataala, na mara hii nimeota tena
@saidmohamed7578 Жыл бұрын
mimi nimeota nimeenda kuwa uliza wadogo zangu kwa wewe shaban mama alipo kuwa anafaliki alisema nini nanini nikamuka na kuamuka
@zainabuchingwalu99512 жыл бұрын
Mashaallh
@rukianassoro8890
Жыл бұрын
shee mm nimeota bahari alafu imejaa maji machafu nikairuk kwa kipaa kwenda upande wa piri nikakutana na vizee viwir nikawa nakemea kikiristo vikawa haviogop nilivyo visomea kislamu vikawa vinaogop inamaanisha nini iyo alafu badae nikaambiwa maji yameshapungua tuwai kuvuk kivuko kile kizuri lkini sikuwai kuvuk inamaanisha nini
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
@@rukianassoro8890 sina sana utaalamu wa ndoto ila swali sana swala 5 na soma sana Qur an Yaani zidi kufanya kheri njema Hao wazew sio watu wazuri
@jamillahmussa37752 жыл бұрын
Asalaam Allaykum warahmatullahi wabarakatuh, naam ukiota kupaa angani,, chini Kuna watu wanahitaji kukudhuru, lakini wanapo jaribu kuku Usha hawafanikiwi unazidi tu kupaa zaidi na zaidi,, Cha pili wakati mwengine nikiota kitu au jambo lazima litendeke Sana vifo
@mohamedmtumwa3456
2 жыл бұрын
Jini mahaba uyo
@augustinolugagala Жыл бұрын
Mimi bado ni mwanafunzi chuo sijamaliza masomo mpaka mwakani
@carolineoyieko4791 Жыл бұрын
Nimeota napigana na dada yangu aliyekufa,vita
@hekimafashion-ev8nk Жыл бұрын
Nimeota mtu aliyekufa namjua nijirani napia mtu huyu akafa anapika chakula chakuuza nawatu wakawa wana kula kwake nachakula hicho kwakweli nikichafu sikuzuri sana halafu ndoto ikaendelea kuna mtoto wakiume amabe km ana changa nikiwa hihi sasa tukawa tuna mkombiza ili tumkamate aka kimbilia nyumbani kwenye chumba huku ndani alipo ingia kukawa kuna watu nawajua wengine siwajui sasa yule mtu aka wa ana sumbua kufungwa mikono nyuma mimi nika toka nikaenda kwayule mama nika mwambie Hawa watu muda wote huo hawa mtoi tena chumbahicho kilikua changu kufika pale alipo nilipo muelezea hakujibu akawa yuko bize nawateja wake lakini nikawa nimesahau smyangu palenyumbani kuna kijana mwenzangu ambaye namjua wakawa washaa mtoa yule mtu anye changanikiwa sijajua waliko mpeleka yulekija akaniletea sm yangu niliyo isahau hukua kichwani akiwa amebeba begi languo lakini begihilo nalijua tunalo hapa nyumbani nahuyo mama nikweli ana mtoto ambae akili zake haziko sawa tafadhali ostadhi naomba tafsir yandoto hii
@bintathman3926Ай бұрын
Nna shekhe ukiota unafanya tendo la ndoa na bwanako aliekufa inamaana gani
@nasraomarry8970 Жыл бұрын
Shekhe mm nime otaa marehem ana nidai deni nika muliza deni gani akasema pesa nika muliza mbona uku ni kumbusha basi nika mlipa nusu nusu nika mwambia nita Kumalizia
@dashuusaid3412 Жыл бұрын
Shehkh me naota ndoto nipo na babu yangu tunatembea wote lakini alishafiki
@samuelmwita63416 ай бұрын
Je ukiwa unakula na nyanya yako aliyekufa inamaanisha nini
@kkkm6404 Жыл бұрын
Asalam aleykum sheh mimi nimeota na marehem kwamtu lakin mimi nakataa kwenda ananilazimisha kisha nikawa nakimbia namuogopa tena ananikimbiza nikawa nasoma sura ndio akapotea nikashituka sasa tisa usiku
@FloraMkango-jj5io Жыл бұрын
Habari mimi nimeota nimekutana namtu aliekufa akanipa sidiria yake nimfulie je shee indoto inamaana gani?
@fatmaalwiy7651 Жыл бұрын
Asalam aleikum shukran shekh mm niliota kaka yangu alikufa hivi karibuni ananiomba nimkangie mayai alikua ananjaa nikamkangia nn maana yke pia tunaonba namba yko
@nasraomarry8970 Жыл бұрын
Asalm alkm shekhe niunge kwenye group
@fatmajoza94572 жыл бұрын
Asalam alykum shekhe kwa mfano umeota umeolewa na maiti maan yak nin
@dusengezubeda Жыл бұрын
Mimi nimeota nduguyangu alifariki amoananielezea gisi kifo kilimfikiya
@zainabjuma2405 Жыл бұрын
Asalm alekhum sheick, mm huwa kwa family yetu mm ndio huwa na ota ndoto Sana za ukweli, mutu aki enda kufa kwa family naotesha kabisa flan na tukiamkaamea agha huyo Ata chocho lazima niote. Leo kwa ndoto nimemwota nyanya yangu akini agha kuwa Sasa yeye ana ondoka na yeye Alikufa kitambo Sana aka ni paka mate kwa uso akasema haya kwaherini nenda kaolewe, huwa naota Mara kwa Mara watu wa family walioga Lakini yeye ameni stuwa Sana Sana kuniambiya anaondoka hadi Nika liya.
@zainabjuma2405
Жыл бұрын
Naomba uni add kwa group sheick
@augustinolugagala Жыл бұрын
Shekh Mimi niliota namuona kaka aliyekufa miaka kumi iliyopita Ananikaribisha nilipokuwa nimeenda kuanza kazi bandarini yeye akiwa mfanyakazi wa muda mrefu katika bandari hiyo,akinielekeza na kunisisitiza Sana kufuata maelekezo ya bosi wetu. Ndoyo hiyo niliiota Mara mbili. Pia naomba uniunge kwenye group
@husseinnuru7544
3 ай бұрын
Xhee Hy ninjema ila jiandae nasafali saw mana nixhelia kuwa mola anakuonyexha
@corandamisi9005 Жыл бұрын
Mimi niliota nakula namutu ambaye amesha kufa
@lusajokajombo1529 Жыл бұрын
Naota ndoto na waliokufa
@luqmanelectricaluqman30432 жыл бұрын
Assalamualaikum...kuota na maiti akikupea chakula kama mahindi bichi
@user-sd7vv9ed6t Жыл бұрын
Mimi nilifiwa namwanangu nimeota nimemkuta anatoka kwenyenyumba kijijini kwetu ananiambia Toka kapelekwa huko ajanjwa maji akitaka maji wanamwambia anywe yakwenyesinki la choo nikamuuliza umekunywa kasema ajanywa nikampa miji ajanywa alafu nikamchuku nikampeleka nyumba nyingine sijui nnini tafsili yake
Assalamu alayka ustadh, Mwaka 1990 nilioa mke na sikukaa naye muda mrefu nikaacha naye, Mwaka 2001 huyo mwanamke amefariki na Mwaka huu wa 2024 nimemuota tukiwa pamoja na nakuomba unyumba, je! Inaishara gani?!!
@kassimkibwe4614
3 ай бұрын
Namuomba unyumba
@zainabsalim9401 Жыл бұрын
Asalam aleikum warahma tullah,sheikh mimi niliota na babangu marehemu akinipa maagizo nitoe nyoka wakubwa wawili kwa sambani la nyanyangu na huyo huyo nyanyangu naotaga akinifanyia sihir sanasana kwa ndoto zangu,je ina ma'ana hii ama ni fitna za shaitani tu
@muddymandoa8359
Жыл бұрын
Asalamu aleykum mi Nilikuwa naomba kuunganishwa kwenye glop
@shukranijaiton8382
9 ай бұрын
Nimeota ndoto Mamaang mkubwa alie kufa nimemwona amekuja nyumbani kwake ameingia na ameshika chungu kipya nn maana yake
@mwanaidibushuti99292 жыл бұрын
Shukuran shekhe nimeota ndoto kidogo inafanana na hizi nimeota na mbusu marehemu nyanyangu ila Alisha kufa kitambo karibia miaka kumina na jee hii nayo maana yake nn
@AnnaKahimba-bh7kh26 күн бұрын
Sheikh me nimeota Jan usik nimeona mait nyingi. Mochwal zimepangana afu anaesimamia ni rafik angu nin maan ake
@AlhajjhajjAlhajjhajj Жыл бұрын
Nimeota namnyonyesha mwanangu mchanga aliekufa... Naomba kujua maana yake
@zarinahassan658 Жыл бұрын
Allah akran😓😓nimemuota baba yangu ananiomba maji ya kunywa nikampa😭😭😭
Пікірлер: 69
Nimemuota baba angu alishakufa nimemuota anaumwa sana nami naumwa pia najiandaa niende nikamuone naogopa sana alifariki miaka mingi sana,nimeota anaumwa sana tumbo mpaka kwenye kitovu chake pameoza mm ndo niko sehem tofauti najiandaa nikamuone😢😢
shukran wa jazakumLlahi kheiry
Asalam alaikum mimi nineota natoka safarini nimefika nyumbani nikamkuta mama yangu mareemu ame kaa uwanjani kalibu na mpapai nikapita ndani nikamkuta mke wangu ambae nimesha muacha yuko na mwanangu wa kike ila yule mke wangu alikua nikama mgonjwa alipo niona alikasilika sana nika toka nnje nikaenda pale alipo mama nikawa naongea nae nilimsalimia akaitikia akaniuliza kwenye mfuko ume beba nini nikamjibu nimebeba nyama akasema sawa nitaenda kukuombea kule ma nikaanza kulia mala nikashituka naomba niambie maana yake
Shukran sheikh, waaleykum msalamu warahmatullah wabarakatuh, sheikh mm nimeota naongea na mtu aliekufa tena anafurah mwenyewe ktk maongez yetu ,naumiza kichwa kujua nn maana yake😩😩
Jazakkallah kheri
Ikiwa nimemuita baba sikiwa ana liliwa na wajukuu zake name nipo pemben huku nikimuombea Dua baba mungu ampunguzie adhabu ya kabri nn maana yake hi ndoto
Niunge
Shehe shukran kwa elim mm newah kuota naongea na mtu alishakufa mara 3 nn maana yake
Mungu wangu kwahiyo leo mm jimeota bibi yangu kaja lkn tuko kwenye nyumba isiyojulikana na bibi yangu ameshakufa ,eeh mwenyez mungu nisaidie tena ilikuwa kama kunashuguhuli bibi akaja kulikuwa na furaha tukampokea
Shekh niunge
Nimeota kiongozi wangu wa zamani aliyekwisha fariki nikimyoa ndevu na ananiambia wewe uko na ela nyingi na wakati sina
Asalam arykum shehe mm nimepata maiti anaoshwa maji yakaanza tupuyama inakinyesi samahani shehe leo sina sadaka inshaala nikipata
Nimeota bibi yangu alishakufa lkn nimeota anaumwa sana akaniomba nimsaidie kumunyanyua chini ili atembee nilimshika na kumbeba na nikamfuga kanga began nn maana yake
Nmeota jananapta sehemu nkakuta waganga sijuw wachawi lakini wale wachawi wakanitumia mbwa weusi wanifukuze nikakimbia sana nimefka nyumbani nikawa naita mama mama nkasikia anaitika kwa mbaali nikaita tena akaitika sasa akaitika akatoka nje aisee mama alikufa akiuwa mtu mzima hivi kiasi lakini nimemuona kama ana miaka 30 Hivi daah aisee 😢 tumeongea sana alafu tukaagana kuwa tutaonana tenah akanambia mungu akipanga inakuwa tu akaniambia wala usiogope alafu nkashtuka usingzn
Asalam arykum shehe mimi nimepata maiti anaoshwa
A.alykum, mm nimeota nakufa lakin kabla ya kufa ninawausia watu ambao nakaa nao wazidi kufanya ibada,wawe karibu na Allah subhanahuwataala lakin pia nilikuw natoa shahada,hapo hapo nikashtuka,please naomba majibu ya ndoto yangu,kuna mwaka mmoja niliota ndoto kama hii ila nilikuw namuusia mama yangu na dada zangu kuwa karibu sana na Allah subhanahuwataala, na mara hii nimeota tena
mimi nimeota nimeenda kuwa uliza wadogo zangu kwa wewe shaban mama alipo kuwa anafaliki alisema nini nanini nikamuka na kuamuka
Mashaallh
@rukianassoro8890
Жыл бұрын
shee mm nimeota bahari alafu imejaa maji machafu nikairuk kwa kipaa kwenda upande wa piri nikakutana na vizee viwir nikawa nakemea kikiristo vikawa haviogop nilivyo visomea kislamu vikawa vinaogop inamaanisha nini iyo alafu badae nikaambiwa maji yameshapungua tuwai kuvuk kivuko kile kizuri lkini sikuwai kuvuk inamaanisha nini
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
@@rukianassoro8890 sina sana utaalamu wa ndoto ila swali sana swala 5 na soma sana Qur an Yaani zidi kufanya kheri njema Hao wazew sio watu wazuri
Asalaam Allaykum warahmatullahi wabarakatuh, naam ukiota kupaa angani,, chini Kuna watu wanahitaji kukudhuru, lakini wanapo jaribu kuku Usha hawafanikiwi unazidi tu kupaa zaidi na zaidi,, Cha pili wakati mwengine nikiota kitu au jambo lazima litendeke Sana vifo
@mohamedmtumwa3456
2 жыл бұрын
Jini mahaba uyo
Mimi bado ni mwanafunzi chuo sijamaliza masomo mpaka mwakani
Nimeota napigana na dada yangu aliyekufa,vita
Nimeota mtu aliyekufa namjua nijirani napia mtu huyu akafa anapika chakula chakuuza nawatu wakawa wana kula kwake nachakula hicho kwakweli nikichafu sikuzuri sana halafu ndoto ikaendelea kuna mtoto wakiume amabe km ana changa nikiwa hihi sasa tukawa tuna mkombiza ili tumkamate aka kimbilia nyumbani kwenye chumba huku ndani alipo ingia kukawa kuna watu nawajua wengine siwajui sasa yule mtu aka wa ana sumbua kufungwa mikono nyuma mimi nika toka nikaenda kwayule mama nika mwambie Hawa watu muda wote huo hawa mtoi tena chumbahicho kilikua changu kufika pale alipo nilipo muelezea hakujibu akawa yuko bize nawateja wake lakini nikawa nimesahau smyangu palenyumbani kuna kijana mwenzangu ambaye namjua wakawa washaa mtoa yule mtu anye changanikiwa sijajua waliko mpeleka yulekija akaniletea sm yangu niliyo isahau hukua kichwani akiwa amebeba begi languo lakini begihilo nalijua tunalo hapa nyumbani nahuyo mama nikweli ana mtoto ambae akili zake haziko sawa tafadhali ostadhi naomba tafsir yandoto hii
Nna shekhe ukiota unafanya tendo la ndoa na bwanako aliekufa inamaana gani
Shekhe mm nime otaa marehem ana nidai deni nika muliza deni gani akasema pesa nika muliza mbona uku ni kumbusha basi nika mlipa nusu nusu nika mwambia nita Kumalizia
Shehkh me naota ndoto nipo na babu yangu tunatembea wote lakini alishafiki
Je ukiwa unakula na nyanya yako aliyekufa inamaanisha nini
Asalam aleykum sheh mimi nimeota na marehem kwamtu lakin mimi nakataa kwenda ananilazimisha kisha nikawa nakimbia namuogopa tena ananikimbiza nikawa nasoma sura ndio akapotea nikashituka sasa tisa usiku
Habari mimi nimeota nimekutana namtu aliekufa akanipa sidiria yake nimfulie je shee indoto inamaana gani?
Asalam aleikum shukran shekh mm niliota kaka yangu alikufa hivi karibuni ananiomba nimkangie mayai alikua ananjaa nikamkangia nn maana yke pia tunaonba namba yko
Asalm alkm shekhe niunge kwenye group
Asalam alykum shekhe kwa mfano umeota umeolewa na maiti maan yak nin
Mimi nimeota nduguyangu alifariki amoananielezea gisi kifo kilimfikiya
Asalm alekhum sheick, mm huwa kwa family yetu mm ndio huwa na ota ndoto Sana za ukweli, mutu aki enda kufa kwa family naotesha kabisa flan na tukiamkaamea agha huyo Ata chocho lazima niote. Leo kwa ndoto nimemwota nyanya yangu akini agha kuwa Sasa yeye ana ondoka na yeye Alikufa kitambo Sana aka ni paka mate kwa uso akasema haya kwaherini nenda kaolewe, huwa naota Mara kwa Mara watu wa family walioga Lakini yeye ameni stuwa Sana Sana kuniambiya anaondoka hadi Nika liya.
@zainabjuma2405
Жыл бұрын
Naomba uni add kwa group sheick
Shekh Mimi niliota namuona kaka aliyekufa miaka kumi iliyopita Ananikaribisha nilipokuwa nimeenda kuanza kazi bandarini yeye akiwa mfanyakazi wa muda mrefu katika bandari hiyo,akinielekeza na kunisisitiza Sana kufuata maelekezo ya bosi wetu. Ndoyo hiyo niliiota Mara mbili. Pia naomba uniunge kwenye group
@husseinnuru7544
3 ай бұрын
Xhee Hy ninjema ila jiandae nasafali saw mana nixhelia kuwa mola anakuonyexha
Mimi niliota nakula namutu ambaye amesha kufa
Naota ndoto na waliokufa
Assalamualaikum...kuota na maiti akikupea chakula kama mahindi bichi
Mimi nilifiwa namwanangu nimeota nimemkuta anatoka kwenyenyumba kijijini kwetu ananiambia Toka kapelekwa huko ajanjwa maji akitaka maji wanamwambia anywe yakwenyesinki la choo nikamuuliza umekunywa kasema ajanywa nikampa miji ajanywa alafu nikamchuku nikampeleka nyumba nyingine sijui nnini tafsili yake
Miminimeota nikomsibani nainajiludia ilawatu siwajui
Assalamu alayka ustadh, Mwaka 1990 nilioa mke na sikukaa naye muda mrefu nikaacha naye, Mwaka 2001 huyo mwanamke amefariki na Mwaka huu wa 2024 nimemuota tukiwa pamoja na nakuomba unyumba, je! Inaishara gani?!!
@kassimkibwe4614
3 ай бұрын
Namuomba unyumba
Asalam aleikum warahma tullah,sheikh mimi niliota na babangu marehemu akinipa maagizo nitoe nyoka wakubwa wawili kwa sambani la nyanyangu na huyo huyo nyanyangu naotaga akinifanyia sihir sanasana kwa ndoto zangu,je ina ma'ana hii ama ni fitna za shaitani tu
@muddymandoa8359
Жыл бұрын
Asalamu aleykum mi Nilikuwa naomba kuunganishwa kwenye glop
@shukranijaiton8382
9 ай бұрын
Nimeota ndoto Mamaang mkubwa alie kufa nimemwona amekuja nyumbani kwake ameingia na ameshika chungu kipya nn maana yake
Shukuran shekhe nimeota ndoto kidogo inafanana na hizi nimeota na mbusu marehemu nyanyangu ila Alisha kufa kitambo karibia miaka kumina na jee hii nayo maana yake nn
Sheikh me nimeota Jan usik nimeona mait nyingi. Mochwal zimepangana afu anaesimamia ni rafik angu nin maan ake
Nimeota namnyonyesha mwanangu mchanga aliekufa... Naomba kujua maana yake
Allah akran😓😓nimemuota baba yangu ananiomba maji ya kunywa nikampa😭😭😭
@alisaidabdallah1480
Жыл бұрын
Mtolee swadaka
@allanjumaa2921
Жыл бұрын
Sadaka kwa wingi
Jazakallahu khaira
Niliota naongea na kaka aliye kufa nini tatizo Namba uniombee dua.
Asalam aleyku warahmatulallh wabarakatuh mwenyenyumba alishaga kufa nimeota amenipa magimbi nikapika nikayala ilayalikuwamagum mazuri baada yaapo kulikuwa nduguyake naeakanipa magimbi hayohayo nikapita nashituka maanayake nini?
@mwanamisiabdallah5409
Жыл бұрын
Asalam aleykum Shee Mimi nimtota nimempa mtoto wakakaangu maji na Alisha farika nisaifie
Shekhe mm nimeota niko na shangaziangu aliefariki tuko msibani na mm ndo mgawa chakula lkn shangazi yangu anafuraha kweli
A.a kama kamuota mke wangu kafa...tafsiri yake nini?
Sheikh nimekuamini,kabisa kwatafsiri zako,nimeota nduguyangu kishakufa,tuko ndani ananionesha viatu vyeupe bouti,nakuniambia kua alikua ameviwekesh,nikamjibu uwaminifu nijambo lakheri duniani.2) shemeji yangu mwanamke kaota ananywolewa ndevu na nywele zakichwa ,pia nakatoto kake kakike pia kaka nyolewa nywele nisaidie tafsiri
@mariamraiyane1673
Жыл бұрын
Mi naota nikipeana chakula Kwa wafu😭😭😭😭😭nisaidie mara Kwa mara
Sheikh mm nawota mandazi yako yanachomwa yako chini yangine yameja jua ya kitanda nini mana yake
@allyshaban4288
Жыл бұрын
Asallam aleykum warahmatullah wabarakaatuh naomba niunge shekh wang niunge kwnye group
Nimeota ananipa kitu cha thaman mme wangu ambaye kwa sasa ni marehem inamaana gani?
Niunge
Niunge