NDOTO ZA KIFO ZINAZO TABIRI MAMBO MAZURI // MAJILIS YA KWANZA // SHEIKH ABUU JAWI

NDOTO ZA KIFO ZINAZO TABIRI MAMBO MAZURI // MAJILIS YA KWANZA // SHEIKH ABUU JAWI

Пікірлер: 68

  • @DalilaHamis-gb7mj
    @DalilaHamis-gb7mj7 ай бұрын

    Alhamdulillah leo nimepata tafsiri za ndoto zangu Allah akulipe kheri

  • @suma643
    @suma6432 жыл бұрын

    Yes nilimuota marehemu baba ananipatia bisibisi nikapokea na niliamka nimekunje mkono na niliota dada yangu amenipatia peni...Mungu anifanyie wepesi

  • @oman1oman179
    @oman1oman1792 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤mimi nimeota nipo msibani na kulikuwa watu wengi sana na mimi ndo ni likua mpishi kwenye huo msiba

  • @esterpastory8918
    @esterpastory8918Күн бұрын

    Mm huwa namuota binamu yangu alishafarki zamani sana huwa naota naongea nae au naota ananipa mtoto nimshikie mara ananipa hela

  • @zaitunmaulid5049
    @zaitunmaulid5049 Жыл бұрын

    MaashaAllah

  • @fatmag8983
    @fatmag89832 жыл бұрын

    Jmn 😭 😭 😭 mm nimeota kunasehemu nilikwend lkn sikuw pekeyangu nilikuw namwanangu namdog wangu wakiume lkn nilipo fik kweny hiy nyumba nilimkuta bibi alikufa muda sn lkn nilipo muwona nikaanza kulia sn nikamshika miguu huku nalia akanishika nakunifut machoz akanambia usilie nyamaz hafafu akatutengea maboba nikawal nakul namwanangu namdog wangu ila yy alikuw hal kasimama tuu

  • @salmaabdallah7200
    @salmaabdallah72002 жыл бұрын

    Amiin

  • @user-xm7yc7qz7g
    @user-xm7yc7qz7g10 ай бұрын

    AAMIIN SHUQRAN

  • @zawadiramadhan6181
    @zawadiramadhan6181 Жыл бұрын

    Aslm alykm, shukran Shekhe wng Allah akuzidishie. Leo umenipa jibu ambalo kuna chenjeu 1 alinitisha sn.

  • @rukiafundikira2097
    @rukiafundikira2097 Жыл бұрын

    Nilitaka kujua ukiota upo ndotoni na watu waliokufa lkn kwnye ndoto wapo hai tunaendelea na maisha ya kawaida

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Жыл бұрын

    Ishaalah mimi shekhe nimekufa

  • @monicamichaely1134
    @monicamichaely1134 Жыл бұрын

    Jaman mm nimeota nipo kijijini alafu nikaona watu wengi wanaenda kwenye msiba wa nyumba ya jirani 😢😢 shekhe naomba nisaidie

  • @upendotete1594
    @upendotete1594 Жыл бұрын

    Nimelia sana nimeota mtoto wangu wakiume amekufa

  • @swaumumakunga2469
    @swaumumakunga24692 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @rehemamohammed9872

    @rehemamohammed9872

    Жыл бұрын

    Mimi nilipata nimekufa na nilikuwa nina adi shehemu nitakao zikwa

  • @DalilaHamis-gb7mj

    @DalilaHamis-gb7mj

    7 ай бұрын

    Alhamdulillah Leo nimepata tafsiri za ndoto zangu Allah akulipe kheri

  • @omanamenmct1600
    @omanamenmct16002 жыл бұрын

    🙏

  • @NyumbuFatuma
    @NyumbuFatuma4 ай бұрын

    Sheh mm nimeletewa taarifa ya msiba kuwa kunamtu alibeba ujauzito amefariki

  • @OmanIzki-oe8xo
    @OmanIzki-oe8xo Жыл бұрын

    Shekhe niliota wanaume wawili wanataka uchumba kwangu

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q2 ай бұрын

    Tupeni namba chekh

  • @hdmmaster9033
    @hdmmaster9033 Жыл бұрын

    Asalam alekhum shekh mimi nimeota nikining, inia juu kisha nikashushwa na mtu

  • @user-jz3ly8qp2v
    @user-jz3ly8qp2v7 ай бұрын

    Je ukiota watu wanafanyiwa mazishi

  • @zafaranishabani5521
    @zafaranishabani55212 жыл бұрын

    Shehe m nimeota nimeiyona mait ikiwa ndan ya kabuli ya kike Ila ilikuwa saf sana nikaogopa nikakimbia inamana gan

  • @husnakawambwa6143
    @husnakawambwa61432 жыл бұрын

    Shekh mimi nishawai ota nimekufa na nikaingizwa kweny sanduku la kikristo ingali mm nimiislam alafu nikaekwa pemben mwa mto

  • @ummialey6391
    @ummialey63912 жыл бұрын

    Jee shehe mimi nimeo watu wamepita kaburin kwangu na limewekea kibao cha jina langu lqkin mimj nikawambia waombe dua

  • @ismailswalehesalimabedi214
    @ismailswalehesalimabedi2142 жыл бұрын

    Salam alaykum shkh jazakallahu khayraa naomba kuuliza ukiota umebeba maziwa katika chombo nini maanayake

  • @khadeejahrashid3177
    @khadeejahrashid31772 жыл бұрын

    Asalam aleikum na jee ukiota umemuona maiti mweusi akioshwa na humjui, maiti Tatu je ni nini maana yake shukran

  • @ShekhatSeleman
    @ShekhatSeleman2 ай бұрын

    Me nimeota maiti inanichekea

  • @fatmag8983
    @fatmag89832 жыл бұрын

    Naomba niadi kweny ngroup rako shehe

  • @fatumaalisaid9816
    @fatumaalisaid98162 жыл бұрын

    Asalam alykum shekh,,,,je ukiota umekufa alafu ukafufuka ,,,,je iyo nayo vp

  • @nzeyimananadia1446
    @nzeyimananadia1446 Жыл бұрын

    Jmn mm nmeota baba yangu ananipa vitika vere vidogovidogo huku akinibembereza anasema niacekuria nn mayake

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_2 жыл бұрын

    Sheikh Assalam Aleykum nimeota tumetengewa chakula na marehem rafiki yangu tukawa tuna share sahani moja tunakula, maana yake ni nini? ila kama ndoto ina kheri Allah anijaalie kheri na kama ina shari Allah aniepushie

  • @ndayambajefikirini7252
    @ndayambajefikirini72522 жыл бұрын

    Shukran sana kwakunipa fasiri sahihi,sasa sheikh kheri hii nifanye vp niyipate ??nilikua nimeota nimebeba maiti ikawa nzito sana ila nikaibeba mpak mwisho wandoto

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 Жыл бұрын

    Nimeota naona mazishi lkn mtu mwenyewealikufa zamani

  • @omanamenmct1600
    @omanamenmct16002 жыл бұрын

    Mm nimeota nampokea bibi yangu amekufa kaja kwa sherehe nampokea mizigo bibi na tunasherekea

  • @jamilanjumwa715
    @jamilanjumwa71511 ай бұрын

    Salamu alekumu nimeota kiwa nita kufa hii ina maana gani

  • @alicesamson6316
    @alicesamson6316 Жыл бұрын

    Nilikiwa nimelala nikawa naweka chakula nile pembeni alikuwa amekaa nyanyangu na alikufa kitambo ..kisha nikamuliza nikwekee chakula akawa yuwalia akasema ndio mbona hamuniwekei nika shutuka kuamka nikasikia adani nikaswali

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed19912 жыл бұрын

    naomba namba

  • @JamilaJey-gm9cb
    @JamilaJey-gm9cb4 ай бұрын

    Mm nimeota babu yangu marehrmu nimenda kumuhamsha nikumuambia babu nyumba yako inaungua moto akika akahamuka kisha tuaenda kuzima ule moto nakisha akesma mm ninawajukuu wengi pia ninwalisha wote mara tu nashika nn maana yake

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed19912 жыл бұрын

    naukiota unataka kukutana na mumewa zaman marehem

  • @fadhilajuvenarh4004
    @fadhilajuvenarh4004 Жыл бұрын

    Samwaleikyum sheet nimeota mama angu maleemu akiniakikishia kwamba bibi angu ndo alimuua mama angu japo kuwa niliwai kwamba namugaga inamaana nikweli

  • @MohammedMo-ew7el
    @MohammedMo-ew7el6 ай бұрын

    Nini cha kufanya ikiita mtoto wako wa kike amefariki plz

  • @user-ce5yq2fr1b
    @user-ce5yq2fr1b9 ай бұрын

    Asalam alaikum mm nimeota nipo na mtu aliekufa tumesalimiana na tukataniana km tunapigana na kucheka sana inamaanisha nn

  • @Fatuma_12323
    @Fatuma_12323 Жыл бұрын

    Niliota mume yangu amekufa

  • @hellenmalika8262
    @hellenmalika82622 жыл бұрын

    Ndoto naelea kwe maji yanayokwendaaa maana ake

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70392 жыл бұрын

    Mie mait kanikaba lkn sjui nani uyo mait..

  • @yanwiner8591
    @yanwiner8591 Жыл бұрын

    Shekh number yako ni ipi nna swali nnautata nalo

  • @mwasitisefu7866
    @mwasitisefu7866 Жыл бұрын

    Shekhe nimeota navuka daraja mara mbao ikakatika nikatumbukia mtoni lakn pembezon mwa mto ambako Amna maji, pia ndani ya maji kukawa na nyoka ananifuata nikawa najisogeza Zaid pemben, nikaomba msaada akatokea mtuu akanitoa mtoni, lakn pia baada ya kutoka nikavuka mto Kwa miguu ki sikupita Tena darajani lakn cha kushangaz Darajan kulikuwa na watu wanafanya biashara ya Kuni. Nikashangaa mbona wao awajatumbukia km Mimi?

  • @janethmtangi4936
    @janethmtangi493611 ай бұрын

    Nimeota nimemnyonga mtu ninamjua mpaka akafa kisha akazikwa nikawa naliona kaburi lake bado jipya nini hii maana yake shekh

  • @RukhailaHussein
    @RukhailaHussein2 ай бұрын

    Miami nimejiotea nimevishwa Sanda nikashtuka

  • @user-he3xm4rl3e
    @user-he3xm4rl3e5 ай бұрын

    A.alaykum

  • @user-zp7ft2ik5k
    @user-zp7ft2ik5k6 ай бұрын

    Nimeota mama yangu anakimbiza bodaboda tukasimama akampa dereva akmpe wifi yangu aliekufa yani anampa pole

  • @user-zp7ft2ik5k

    @user-zp7ft2ik5k

    6 ай бұрын

    Shilingi alf mbili

  • @user-zp7ft2ik5k

    @user-zp7ft2ik5k

    6 ай бұрын

    Nn maana yk shkh

  • @moussaadija326
    @moussaadija3262 жыл бұрын

    Asalamwaleikum sas mtu amekuoteya umekufa tafsiri yake ni ipi

  • @robertnyelele9896
    @robertnyelele9896 Жыл бұрын

    ukiota umerara kanisani gafura akaja kibaka ukamukamata manaake nin shehe

  • @Mwanaharusi-ro8nm
    @Mwanaharusi-ro8nm Жыл бұрын

    Mim nimeota naongea na mtu aliye fariki lakin sijui nini alikua anaongea hiyo ndoto unamaanish nini

  • @user-fi8qt7wm5v
    @user-fi8qt7wm5v3 ай бұрын

    Kama umeota mtto wa kike kafa lakini yuko hai na dada ake analia kwa makelele lakini kugeuka anamkuta yupo hai kavaa shungi jeupe na kanzu yke jee inahusu nn shekhe

  • @perusephares1239
    @perusephares12392 жыл бұрын

    Mm nimeota tupomsibani mama kafaliki ilaalishakufa miaka mingi ilanimeludia kuota msibawake watuwengi wanalia wanapelekwa kabulini ilamm sikuliona kabuli nn tafasili yake

  • @keishaabdallah6711

    @keishaabdallah6711

    Жыл бұрын

    mimi ni meota nimekufa lakin nikamuona mama yangu analia sana lakin mm nikimwambia mama mi sijafa nipo sehemu

  • @keishaabdallah6711

    @keishaabdallah6711

    Жыл бұрын

    naomba unisaidie

  • @uwantegedjalia7420
    @uwantegedjalia74202 жыл бұрын

    Ass w w je ukiota maiti 3 unazitiri pakatokeya moja akakushika mugu anakwambia kwamba yeye nimuzima hajafa nahuwezi kumwacha ina manisha nini?

  • @patrickenest6635

    @patrickenest6635

    Жыл бұрын

    Nimeota nimeona maiti imefungwa inaenda kuzikwa

  • @alimsellem8500
    @alimsellem8500 Жыл бұрын

    nimeota me nimekufa ila sikusaliwa wa kuvishwa sanda ilikuwa ndani ya mwanaandani nanikaulizwa masuwali yote

  • @NuratyAlly-lq7xc

    @NuratyAlly-lq7xc

    8 ай бұрын

    Duuuh muombe allah

  • @user-ht3if3nu1s
    @user-ht3if3nu1s9 ай бұрын

    Ukiota talehe Yako ya kufa maana yake nn

  • @AbdallahMbarouk-fe4wm
    @AbdallahMbarouk-fe4wm11 ай бұрын

    Jee kunuota mzazu wako aliekufa mko pamoja mnaongea lkn baada ya kushtuka hukumbuki mlicho ongea nn taafsiri yk

  • @SaidimaulidiMaulidi-lf9de
    @SaidimaulidiMaulidi-lf9de10 ай бұрын

    Sheh nimeota amekufa mtu ninaemjuwa kwenye ndoto,hii ndoto inanirudia mara kwa mara,nijulishe nini naana yake sheh tafazari

Келесі