Jmn mm nmeota baba yangu ananipa vitika vere vidogovidogo huku akinibembereza anasema niacekuria nn mayake
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
Sheikh Assalam Aleykum nimeota tumetengewa chakula na marehem rafiki yangu tukawa tuna share sahani moja tunakula, maana yake ni nini? ila kama ndoto ina kheri Allah anijaalie kheri na kama ina shari Allah aniepushie
@ndayambajefikirini72522 жыл бұрын
Shukran sana kwakunipa fasiri sahihi,sasa sheikh kheri hii nifanye vp niyipate ??nilikua nimeota nimebeba maiti ikawa nzito sana ila nikaibeba mpak mwisho wandoto
@aminaabdalla9949 Жыл бұрын
Nimeota naona mazishi lkn mtu mwenyewealikufa zamani
@omanamenmct16002 жыл бұрын
Mm nimeota nampokea bibi yangu amekufa kaja kwa sherehe nampokea mizigo bibi na tunasherekea
@jamilanjumwa71511 ай бұрын
Salamu alekumu nimeota kiwa nita kufa hii ina maana gani
@alicesamson6316 Жыл бұрын
Nilikiwa nimelala nikawa naweka chakula nile pembeni alikuwa amekaa nyanyangu na alikufa kitambo ..kisha nikamuliza nikwekee chakula akawa yuwalia akasema ndio mbona hamuniwekei nika shutuka kuamka nikasikia adani nikaswali
@maryammohammed19912 жыл бұрын
naomba namba
@JamilaJey-gm9cb4 ай бұрын
Mm nimeota babu yangu marehrmu nimenda kumuhamsha nikumuambia babu nyumba yako inaungua moto akika akahamuka kisha tuaenda kuzima ule moto nakisha akesma mm ninawajukuu wengi pia ninwalisha wote mara tu nashika nn maana yake
@maryammohammed19912 жыл бұрын
naukiota unataka kukutana na mumewa zaman marehem
@fadhilajuvenarh4004 Жыл бұрын
Samwaleikyum sheet nimeota mama angu maleemu akiniakikishia kwamba bibi angu ndo alimuua mama angu japo kuwa niliwai kwamba namugaga inamaana nikweli
@MohammedMo-ew7el6 ай бұрын
Nini cha kufanya ikiita mtoto wako wa kike amefariki plz
@user-ce5yq2fr1b9 ай бұрын
Asalam alaikum mm nimeota nipo na mtu aliekufa tumesalimiana na tukataniana km tunapigana na kucheka sana inamaanisha nn
@Fatuma_12323 Жыл бұрын
Niliota mume yangu amekufa
@hellenmalika82622 жыл бұрын
Ndoto naelea kwe maji yanayokwendaaa maana ake
@azzamahamdu70392 жыл бұрын
Mie mait kanikaba lkn sjui nani uyo mait..
@yanwiner8591 Жыл бұрын
Shekh number yako ni ipi nna swali nnautata nalo
@mwasitisefu7866 Жыл бұрын
Shekhe nimeota navuka daraja mara mbao ikakatika nikatumbukia mtoni lakn pembezon mwa mto ambako Amna maji, pia ndani ya maji kukawa na nyoka ananifuata nikawa najisogeza Zaid pemben, nikaomba msaada akatokea mtuu akanitoa mtoni, lakn pia baada ya kutoka nikavuka mto Kwa miguu ki sikupita Tena darajani lakn cha kushangaz Darajan kulikuwa na watu wanafanya biashara ya Kuni. Nikashangaa mbona wao awajatumbukia km Mimi?
@janethmtangi493611 ай бұрын
Nimeota nimemnyonga mtu ninamjua mpaka akafa kisha akazikwa nikawa naliona kaburi lake bado jipya nini hii maana yake shekh
@RukhailaHussein2 ай бұрын
Miami nimejiotea nimevishwa Sanda nikashtuka
@user-he3xm4rl3e5 ай бұрын
A.alaykum
@user-zp7ft2ik5k6 ай бұрын
Nimeota mama yangu anakimbiza bodaboda tukasimama akampa dereva akmpe wifi yangu aliekufa yani anampa pole
@user-zp7ft2ik5k
6 ай бұрын
Shilingi alf mbili
@user-zp7ft2ik5k
6 ай бұрын
Nn maana yk shkh
@moussaadija3262 жыл бұрын
Asalamwaleikum sas mtu amekuoteya umekufa tafsiri yake ni ipi
@robertnyelele9896 Жыл бұрын
ukiota umerara kanisani gafura akaja kibaka ukamukamata manaake nin shehe
@Mwanaharusi-ro8nm Жыл бұрын
Mim nimeota naongea na mtu aliye fariki lakin sijui nini alikua anaongea hiyo ndoto unamaanish nini
@user-fi8qt7wm5v3 ай бұрын
Kama umeota mtto wa kike kafa lakini yuko hai na dada ake analia kwa makelele lakini kugeuka anamkuta yupo hai kavaa shungi jeupe na kanzu yke jee inahusu nn shekhe
@perusephares12392 жыл бұрын
Mm nimeota tupomsibani mama kafaliki ilaalishakufa miaka mingi ilanimeludia kuota msibawake watuwengi wanalia wanapelekwa kabulini ilamm sikuliona kabuli nn tafasili yake
@keishaabdallah6711
Жыл бұрын
mimi ni meota nimekufa lakin nikamuona mama yangu analia sana lakin mm nikimwambia mama mi sijafa nipo sehemu
@keishaabdallah6711
Жыл бұрын
naomba unisaidie
@uwantegedjalia74202 жыл бұрын
Ass w w je ukiota maiti 3 unazitiri pakatokeya moja akakushika mugu anakwambia kwamba yeye nimuzima hajafa nahuwezi kumwacha ina manisha nini?
@patrickenest6635
Жыл бұрын
Nimeota nimeona maiti imefungwa inaenda kuzikwa
@alimsellem8500 Жыл бұрын
nimeota me nimekufa ila sikusaliwa wa kuvishwa sanda ilikuwa ndani ya mwanaandani nanikaulizwa masuwali yote
@NuratyAlly-lq7xc
8 ай бұрын
Duuuh muombe allah
@user-ht3if3nu1s9 ай бұрын
Ukiota talehe Yako ya kufa maana yake nn
@AbdallahMbarouk-fe4wm11 ай бұрын
Jee kunuota mzazu wako aliekufa mko pamoja mnaongea lkn baada ya kushtuka hukumbuki mlicho ongea nn taafsiri yk
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de10 ай бұрын
Sheh nimeota amekufa mtu ninaemjuwa kwenye ndoto,hii ndoto inanirudia mara kwa mara,nijulishe nini naana yake sheh tafazari
Пікірлер: 68
Alhamdulillah leo nimepata tafsiri za ndoto zangu Allah akulipe kheri
Yes nilimuota marehemu baba ananipatia bisibisi nikapokea na niliamka nimekunje mkono na niliota dada yangu amenipatia peni...Mungu anifanyie wepesi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤mimi nimeota nipo msibani na kulikuwa watu wengi sana na mimi ndo ni likua mpishi kwenye huo msiba
Mm huwa namuota binamu yangu alishafarki zamani sana huwa naota naongea nae au naota ananipa mtoto nimshikie mara ananipa hela
MaashaAllah
Jmn 😭 😭 😭 mm nimeota kunasehemu nilikwend lkn sikuw pekeyangu nilikuw namwanangu namdog wangu wakiume lkn nilipo fik kweny hiy nyumba nilimkuta bibi alikufa muda sn lkn nilipo muwona nikaanza kulia sn nikamshika miguu huku nalia akanishika nakunifut machoz akanambia usilie nyamaz hafafu akatutengea maboba nikawal nakul namwanangu namdog wangu ila yy alikuw hal kasimama tuu
Amiin
AAMIIN SHUQRAN
Aslm alykm, shukran Shekhe wng Allah akuzidishie. Leo umenipa jibu ambalo kuna chenjeu 1 alinitisha sn.
Nilitaka kujua ukiota upo ndotoni na watu waliokufa lkn kwnye ndoto wapo hai tunaendelea na maisha ya kawaida
Ishaalah mimi shekhe nimekufa
Jaman mm nimeota nipo kijijini alafu nikaona watu wengi wanaenda kwenye msiba wa nyumba ya jirani 😢😢 shekhe naomba nisaidie
Nimelia sana nimeota mtoto wangu wakiume amekufa
Masha Allah
@rehemamohammed9872
Жыл бұрын
Mimi nilipata nimekufa na nilikuwa nina adi shehemu nitakao zikwa
@DalilaHamis-gb7mj
7 ай бұрын
Alhamdulillah Leo nimepata tafsiri za ndoto zangu Allah akulipe kheri
🙏
Sheh mm nimeletewa taarifa ya msiba kuwa kunamtu alibeba ujauzito amefariki
Shekhe niliota wanaume wawili wanataka uchumba kwangu
Tupeni namba chekh
Asalam alekhum shekh mimi nimeota nikining, inia juu kisha nikashushwa na mtu
Je ukiota watu wanafanyiwa mazishi
Shehe m nimeota nimeiyona mait ikiwa ndan ya kabuli ya kike Ila ilikuwa saf sana nikaogopa nikakimbia inamana gan
Shekh mimi nishawai ota nimekufa na nikaingizwa kweny sanduku la kikristo ingali mm nimiislam alafu nikaekwa pemben mwa mto
Jee shehe mimi nimeo watu wamepita kaburin kwangu na limewekea kibao cha jina langu lqkin mimj nikawambia waombe dua
Salam alaykum shkh jazakallahu khayraa naomba kuuliza ukiota umebeba maziwa katika chombo nini maanayake
Asalam aleikum na jee ukiota umemuona maiti mweusi akioshwa na humjui, maiti Tatu je ni nini maana yake shukran
Me nimeota maiti inanichekea
Naomba niadi kweny ngroup rako shehe
Asalam alykum shekh,,,,je ukiota umekufa alafu ukafufuka ,,,,je iyo nayo vp
Jmn mm nmeota baba yangu ananipa vitika vere vidogovidogo huku akinibembereza anasema niacekuria nn mayake
Sheikh Assalam Aleykum nimeota tumetengewa chakula na marehem rafiki yangu tukawa tuna share sahani moja tunakula, maana yake ni nini? ila kama ndoto ina kheri Allah anijaalie kheri na kama ina shari Allah aniepushie
Shukran sana kwakunipa fasiri sahihi,sasa sheikh kheri hii nifanye vp niyipate ??nilikua nimeota nimebeba maiti ikawa nzito sana ila nikaibeba mpak mwisho wandoto
Nimeota naona mazishi lkn mtu mwenyewealikufa zamani
Mm nimeota nampokea bibi yangu amekufa kaja kwa sherehe nampokea mizigo bibi na tunasherekea
Salamu alekumu nimeota kiwa nita kufa hii ina maana gani
Nilikiwa nimelala nikawa naweka chakula nile pembeni alikuwa amekaa nyanyangu na alikufa kitambo ..kisha nikamuliza nikwekee chakula akawa yuwalia akasema ndio mbona hamuniwekei nika shutuka kuamka nikasikia adani nikaswali
naomba namba
Mm nimeota babu yangu marehrmu nimenda kumuhamsha nikumuambia babu nyumba yako inaungua moto akika akahamuka kisha tuaenda kuzima ule moto nakisha akesma mm ninawajukuu wengi pia ninwalisha wote mara tu nashika nn maana yake
naukiota unataka kukutana na mumewa zaman marehem
Samwaleikyum sheet nimeota mama angu maleemu akiniakikishia kwamba bibi angu ndo alimuua mama angu japo kuwa niliwai kwamba namugaga inamaana nikweli
Nini cha kufanya ikiita mtoto wako wa kike amefariki plz
Asalam alaikum mm nimeota nipo na mtu aliekufa tumesalimiana na tukataniana km tunapigana na kucheka sana inamaanisha nn
Niliota mume yangu amekufa
Ndoto naelea kwe maji yanayokwendaaa maana ake
Mie mait kanikaba lkn sjui nani uyo mait..
Shekh number yako ni ipi nna swali nnautata nalo
Shekhe nimeota navuka daraja mara mbao ikakatika nikatumbukia mtoni lakn pembezon mwa mto ambako Amna maji, pia ndani ya maji kukawa na nyoka ananifuata nikawa najisogeza Zaid pemben, nikaomba msaada akatokea mtuu akanitoa mtoni, lakn pia baada ya kutoka nikavuka mto Kwa miguu ki sikupita Tena darajani lakn cha kushangaz Darajan kulikuwa na watu wanafanya biashara ya Kuni. Nikashangaa mbona wao awajatumbukia km Mimi?
Nimeota nimemnyonga mtu ninamjua mpaka akafa kisha akazikwa nikawa naliona kaburi lake bado jipya nini hii maana yake shekh
Miami nimejiotea nimevishwa Sanda nikashtuka
A.alaykum
Nimeota mama yangu anakimbiza bodaboda tukasimama akampa dereva akmpe wifi yangu aliekufa yani anampa pole
@user-zp7ft2ik5k
6 ай бұрын
Shilingi alf mbili
@user-zp7ft2ik5k
6 ай бұрын
Nn maana yk shkh
Asalamwaleikum sas mtu amekuoteya umekufa tafsiri yake ni ipi
ukiota umerara kanisani gafura akaja kibaka ukamukamata manaake nin shehe
Mim nimeota naongea na mtu aliye fariki lakin sijui nini alikua anaongea hiyo ndoto unamaanish nini
Kama umeota mtto wa kike kafa lakini yuko hai na dada ake analia kwa makelele lakini kugeuka anamkuta yupo hai kavaa shungi jeupe na kanzu yke jee inahusu nn shekhe
Mm nimeota tupomsibani mama kafaliki ilaalishakufa miaka mingi ilanimeludia kuota msibawake watuwengi wanalia wanapelekwa kabulini ilamm sikuliona kabuli nn tafasili yake
@keishaabdallah6711
Жыл бұрын
mimi ni meota nimekufa lakin nikamuona mama yangu analia sana lakin mm nikimwambia mama mi sijafa nipo sehemu
@keishaabdallah6711
Жыл бұрын
naomba unisaidie
Ass w w je ukiota maiti 3 unazitiri pakatokeya moja akakushika mugu anakwambia kwamba yeye nimuzima hajafa nahuwezi kumwacha ina manisha nini?
@patrickenest6635
Жыл бұрын
Nimeota nimeona maiti imefungwa inaenda kuzikwa
nimeota me nimekufa ila sikusaliwa wa kuvishwa sanda ilikuwa ndani ya mwanaandani nanikaulizwa masuwali yote
@NuratyAlly-lq7xc
8 ай бұрын
Duuuh muombe allah
Ukiota talehe Yako ya kufa maana yake nn
Jee kunuota mzazu wako aliekufa mko pamoja mnaongea lkn baada ya kushtuka hukumbuki mlicho ongea nn taafsiri yk
Sheh nimeota amekufa mtu ninaemjuwa kwenye ndoto,hii ndoto inanirudia mara kwa mara,nijulishe nini naana yake sheh tafazari