CHANNEL HII NI MAALUM KWA AJILI YA TAFSIR ZA NDOTO NA MAANA ZAKE,MAWAIDHA,MIHADHARA,DARASSA MBALI MBALI NA MFANO WA HAYO USIACHE KUSUBSCRIBE KWA AJILI YA DUNIA YETU NA AKHERA INSHAALLAH
Ukiota umemuona ndan chini ya kabati mana nilieka mayai 7 lakini aliyala 3 yaka baki 4 nikawa na wasi wasi kuwa kala nyoka nikamtafuta nikamuona nyini ya friji nikawaonesha kaka zagu akatoka nyoka akaenda chini ya kabati akaja mtu akataka kumtowa
@ramadhanirama7970Күн бұрын
Shekh niunge kwenye group la tafsir
@esterpastory8918Күн бұрын
Mm huwa namuota binamu yangu alishafarki zamani sana huwa naota naongea nae au naota ananipa mtoto nimshikie mara ananipa hela
@EuniceReuben-bx6of4 күн бұрын
Ukiota unakula half cake ndoton maana yake nn
@AbdallahMohamed-n8b4 күн бұрын
Mashaallah
@user-uv8ne8hk8y5 күн бұрын
Nakubali hiii mie mana niliota nimepewa pesa kumbe ilikua fitna subhanallah
@RizikiKalume5 күн бұрын
Jamani pia mm nmeota nala pilau kisha nikamfichia babangu chakula hicho ele nmeshika nyama dadangu akanambia wewe na hizo na safari yako utajuwa mwenyewe
@ABEDISAIDILIGOMAABEDISAIDILIGO6 күн бұрын
Kumbe Kuna mambo menge ya kujifuza
@abdulkhaliqmuhammed4567 күн бұрын
Mbona imeishia kati hiyo
@user-cp9cf5te6n7 күн бұрын
Nimeota nilifunga imefika mda wa kufungua nikala ugali sahan 3 naulizwa mbona unakula sana nikajibu nilikua na njaa nimeamka tumbo halipo saw
@HabibaJumanne-yi4vo7 күн бұрын
Mimi nimeota nimekufa rakini sikuosha wara sikuwekwa kwenye jeneza wara sikuzikwa ira kunamutu akaja kunifunika macho nikajikuta ninatembea na wanangu kira wanakokwenda kama murizi
@mohamedimiraji54958 күн бұрын
Hili lishia, nalijua. puuzi kabisa.
@WinfridaAloyce8 күн бұрын
Mm nimeota nimeumwa na nyoka wa kijani na nyeus kwenye mkono
@user-pz8qk7ke4h10 күн бұрын
Mi niliota nimeshika mbuzi nyeupe nampelekea nayo n vipi sheikh
@user-pq8wv3ny8t12 күн бұрын
Unabatiza
@Asnathramatan12 күн бұрын
Mashaallh allah akupe mwisho mwema🙏
@ibrahimnkurunziza819817 күн бұрын
Masha Allah
@user-td9tv3xt3f19 күн бұрын
Asalam alaikum mimi nineota natoka safarini nimefika nyumbani nikamkuta mama yangu mareemu ame kaa uwanjani kalibu na mpapai nikapita ndani nikamkuta mke wangu ambae nimesha muacha yuko na mwanangu wa kike ila yule mke wangu alikua nikama mgonjwa alipo niona alikasilika sana nika toka nnje nikaenda pale alipo mama nikawa naongea nae nilimsalimia akaitikia akaniuliza kwenye mfuko ume beba nini nikamjibu nimebeba nyama akasema sawa nitaenda kukuombea kule ma nikaanza kulia mala nikashituka naomba niambie maana yake
@SalmaIbrahim-ns6wy21 күн бұрын
Mashaallah mungu akuzidishie akubarik karibu katika wislam
@user-jl9cp2hf5j21 күн бұрын
Assalamou alaikum warahmatullahi wabarakatuh sheikh nakuomba uniunge kwenye groupe
@ZenaMoshi23 күн бұрын
Tunajitahidi kusoma piya lakini na wachawi nao wanakazana Kuangisha watu Mungu atusaidiye
@ZenaMoshi23 күн бұрын
Asalam aleykum shekh Shukran kwa duwa
@ZenaMoshi23 күн бұрын
,🤲🤲🤲
@aidasalingwa97624 күн бұрын
Amiina yarab. Takabal duar !
@GiftAbduly25 күн бұрын
Allahumma amiin dua iwe kwetu soteee sijui uko wap sheikh saiv🤦🏾♂️
@abdulkadirchamshama406625 күн бұрын
Asalam alkm shekh mimi nimeota nimempa uji mama na mimi nikanywa huo uji
@ZenaMoshi29 күн бұрын
Asalam alaikum SHEKH
@ZenaMoshi29 күн бұрын
Amin takabali yaa rabiii
@ZenaMoshi29 күн бұрын
Amin amin
@asiamkindi7306Ай бұрын
Nimekuelewa sheikh walid
@ZenaMoshiАй бұрын
Asalam aleykum shekh
@user-ce1ly7dl9jАй бұрын
Nimemuota baba angu alishakufa nimemuota anaumwa sana nami naumwa pia najiandaa niende nikamuone naogopa sana alifariki miaka mingi sana,nimeota anaumwa sana tumbo mpaka kwenye kitovu chake pameoza mm ndo niko sehem tofauti najiandaa nikamuone😢😢
@faithwemamusic5266Ай бұрын
Kwani Mimi naota nikila vyakula sana
@SamsonOmondi-po2nfАй бұрын
P L😊o
@ZenaMoshiАй бұрын
Mashaallah mashallah
@yussufmohamed5120Ай бұрын
Naomba uniunge kwenye. Group shee
@user-hi3et7mp6mАй бұрын
Masha Allah
@salassalas-eo6voАй бұрын
Masha Allah iwe sadakatul jaaria yako in sha Allah
@hajatihajati5357Ай бұрын
Kweli shekhe Mayatima wa megeuzwa wallets za kulisha watu wengi Yaa Allah mimi na waumini wako tuepushe na kadhulumu ma yatima
@AbtwalibDilandaАй бұрын
👍
@AbtwalibDilandaАй бұрын
Mambo mazury
@god2023photographerАй бұрын
Sheikh naomba uniadd kweny group la ndoto kutafsiri
@AnnaKahimba-bh7khАй бұрын
Niunge
@AnnaKahimba-bh7khАй бұрын
Niunge
@AnnaKahimba-bh7khАй бұрын
Sheikh me nimeota Jan usik nimeona mait nyingi. Mochwal zimepangana afu anaesimamia ni rafik angu nin maan ake
@MahijaMagwizaАй бұрын
Hongel Allah hakufanyie wepes
@Ruthmpoa-sv9ulАй бұрын
Niliota nimeshika nyoka nikaikata na nikaipika na nikaikula 😢😢😢 sijui maana yake
@AwadhSaidMohamedАй бұрын
Naomba uni add kwa tiba Na tafsiri
@HamidakomboKombo-xs2juАй бұрын
Assalamualaikum sheikh nimeota madam wangu, kajiwekea nguo yangu kichwani tena chafu maana yake Nini? Mimi niko nje ya nchi nafanya kazi
@AsumaniAbdul-hq7oqАй бұрын
Mimi asumini abdu niriota nanyonyesha mtoto kuamka asubui nikakuta sina mtot
Пікірлер
Ukiota umemuona ndan chini ya kabati mana nilieka mayai 7 lakini aliyala 3 yaka baki 4 nikawa na wasi wasi kuwa kala nyoka nikamtafuta nikamuona nyini ya friji nikawaonesha kaka zagu akatoka nyoka akaenda chini ya kabati akaja mtu akataka kumtowa
Shekh niunge kwenye group la tafsir
Mm huwa namuota binamu yangu alishafarki zamani sana huwa naota naongea nae au naota ananipa mtoto nimshikie mara ananipa hela
Ukiota unakula half cake ndoton maana yake nn
Mashaallah
Nakubali hiii mie mana niliota nimepewa pesa kumbe ilikua fitna subhanallah
Jamani pia mm nmeota nala pilau kisha nikamfichia babangu chakula hicho ele nmeshika nyama dadangu akanambia wewe na hizo na safari yako utajuwa mwenyewe
Kumbe Kuna mambo menge ya kujifuza
Mbona imeishia kati hiyo
Nimeota nilifunga imefika mda wa kufungua nikala ugali sahan 3 naulizwa mbona unakula sana nikajibu nilikua na njaa nimeamka tumbo halipo saw
Mimi nimeota nimekufa rakini sikuosha wara sikuwekwa kwenye jeneza wara sikuzikwa ira kunamutu akaja kunifunika macho nikajikuta ninatembea na wanangu kira wanakokwenda kama murizi
Hili lishia, nalijua. puuzi kabisa.
Mm nimeota nimeumwa na nyoka wa kijani na nyeus kwenye mkono
Mi niliota nimeshika mbuzi nyeupe nampelekea nayo n vipi sheikh
Unabatiza
Mashaallh allah akupe mwisho mwema🙏
Masha Allah
Asalam alaikum mimi nineota natoka safarini nimefika nyumbani nikamkuta mama yangu mareemu ame kaa uwanjani kalibu na mpapai nikapita ndani nikamkuta mke wangu ambae nimesha muacha yuko na mwanangu wa kike ila yule mke wangu alikua nikama mgonjwa alipo niona alikasilika sana nika toka nnje nikaenda pale alipo mama nikawa naongea nae nilimsalimia akaitikia akaniuliza kwenye mfuko ume beba nini nikamjibu nimebeba nyama akasema sawa nitaenda kukuombea kule ma nikaanza kulia mala nikashituka naomba niambie maana yake
Mashaallah mungu akuzidishie akubarik karibu katika wislam
Assalamou alaikum warahmatullahi wabarakatuh sheikh nakuomba uniunge kwenye groupe
Tunajitahidi kusoma piya lakini na wachawi nao wanakazana Kuangisha watu Mungu atusaidiye
Asalam aleykum shekh Shukran kwa duwa
,🤲🤲🤲
Amiina yarab. Takabal duar !
Allahumma amiin dua iwe kwetu soteee sijui uko wap sheikh saiv🤦🏾♂️
Asalam alkm shekh mimi nimeota nimempa uji mama na mimi nikanywa huo uji
Asalam alaikum SHEKH
Amin takabali yaa rabiii
Amin amin
Nimekuelewa sheikh walid
Asalam aleykum shekh
Nimemuota baba angu alishakufa nimemuota anaumwa sana nami naumwa pia najiandaa niende nikamuone naogopa sana alifariki miaka mingi sana,nimeota anaumwa sana tumbo mpaka kwenye kitovu chake pameoza mm ndo niko sehem tofauti najiandaa nikamuone😢😢
Kwani Mimi naota nikila vyakula sana
P L😊o
Mashaallah mashallah
Naomba uniunge kwenye. Group shee
Masha Allah
Masha Allah iwe sadakatul jaaria yako in sha Allah
Kweli shekhe Mayatima wa megeuzwa wallets za kulisha watu wengi Yaa Allah mimi na waumini wako tuepushe na kadhulumu ma yatima
👍
Mambo mazury
Sheikh naomba uniadd kweny group la ndoto kutafsiri
Niunge
Niunge
Sheikh me nimeota Jan usik nimeona mait nyingi. Mochwal zimepangana afu anaesimamia ni rafik angu nin maan ake
Hongel Allah hakufanyie wepes
Niliota nimeshika nyoka nikaikata na nikaipika na nikaikula 😢😢😢 sijui maana yake
Naomba uni add kwa tiba Na tafsiri
Assalamualaikum sheikh nimeota madam wangu, kajiwekea nguo yangu kichwani tena chafu maana yake Nini? Mimi niko nje ya nchi nafanya kazi
Mimi asumini abdu niriota nanyonyesha mtoto kuamka asubui nikakuta sina mtot