ZAINAB ONLINE TV

ZAINAB ONLINE TV

CHANNEL HII NI MAALUM KWA AJILI YA TAFSIR ZA NDOTO NA MAANA ZAKE,MAWAIDHA,MIHADHARA,DARASSA MBALI MBALI NA MFANO WA HAYO USIACHE KUSUBSCRIBE KWA AJILI YA DUNIA YETU NA AKHERA INSHAALLAH

Пікірлер

  • @SeleBobo-q1i
    @SeleBobo-q1iКүн бұрын

    Ukiota umemuona ndan chini ya kabati mana nilieka mayai 7 lakini aliyala 3 yaka baki 4 nikawa na wasi wasi kuwa kala nyoka nikamtafuta nikamuona nyini ya friji nikawaonesha kaka zagu akatoka nyoka akaenda chini ya kabati akaja mtu akataka kumtowa

  • @ramadhanirama7970
    @ramadhanirama7970Күн бұрын

    Shekh niunge kwenye group la tafsir

  • @esterpastory8918
    @esterpastory8918Күн бұрын

    Mm huwa namuota binamu yangu alishafarki zamani sana huwa naota naongea nae au naota ananipa mtoto nimshikie mara ananipa hela

  • @EuniceReuben-bx6of
    @EuniceReuben-bx6of4 күн бұрын

    Ukiota unakula half cake ndoton maana yake nn

  • @AbdallahMohamed-n8b
    @AbdallahMohamed-n8b4 күн бұрын

    Mashaallah

  • @user-uv8ne8hk8y
    @user-uv8ne8hk8y5 күн бұрын

    Nakubali hiii mie mana niliota nimepewa pesa kumbe ilikua fitna subhanallah

  • @RizikiKalume
    @RizikiKalume5 күн бұрын

    Jamani pia mm nmeota nala pilau kisha nikamfichia babangu chakula hicho ele nmeshika nyama dadangu akanambia wewe na hizo na safari yako utajuwa mwenyewe

  • @ABEDISAIDILIGOMAABEDISAIDILIGO
    @ABEDISAIDILIGOMAABEDISAIDILIGO6 күн бұрын

    Kumbe Kuna mambo menge ya kujifuza

  • @abdulkhaliqmuhammed456
    @abdulkhaliqmuhammed4567 күн бұрын

    Mbona imeishia kati hiyo

  • @user-cp9cf5te6n
    @user-cp9cf5te6n7 күн бұрын

    Nimeota nilifunga imefika mda wa kufungua nikala ugali sahan 3 naulizwa mbona unakula sana nikajibu nilikua na njaa nimeamka tumbo halipo saw

  • @HabibaJumanne-yi4vo
    @HabibaJumanne-yi4vo7 күн бұрын

    Mimi nimeota nimekufa rakini sikuosha wara sikuwekwa kwenye jeneza wara sikuzikwa ira kunamutu akaja kunifunika macho nikajikuta ninatembea na wanangu kira wanakokwenda kama murizi

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji54958 күн бұрын

    Hili lishia, nalijua. puuzi kabisa.

  • @WinfridaAloyce
    @WinfridaAloyce8 күн бұрын

    Mm nimeota nimeumwa na nyoka wa kijani na nyeus kwenye mkono

  • @user-pz8qk7ke4h
    @user-pz8qk7ke4h10 күн бұрын

    Mi niliota nimeshika mbuzi nyeupe nampelekea nayo n vipi sheikh

  • @user-pq8wv3ny8t
    @user-pq8wv3ny8t12 күн бұрын

    Unabatiza

  • @Asnathramatan
    @Asnathramatan12 күн бұрын

    Mashaallh allah akupe mwisho mwema🙏

  • @ibrahimnkurunziza8198
    @ibrahimnkurunziza819817 күн бұрын

    Masha Allah

  • @user-td9tv3xt3f
    @user-td9tv3xt3f19 күн бұрын

    Asalam alaikum mimi nineota natoka safarini nimefika nyumbani nikamkuta mama yangu mareemu ame kaa uwanjani kalibu na mpapai nikapita ndani nikamkuta mke wangu ambae nimesha muacha yuko na mwanangu wa kike ila yule mke wangu alikua nikama mgonjwa alipo niona alikasilika sana nika toka nnje nikaenda pale alipo mama nikawa naongea nae nilimsalimia akaitikia akaniuliza kwenye mfuko ume beba nini nikamjibu nimebeba nyama akasema sawa nitaenda kukuombea kule ma nikaanza kulia mala nikashituka naomba niambie maana yake

  • @SalmaIbrahim-ns6wy
    @SalmaIbrahim-ns6wy21 күн бұрын

    Mashaallah mungu akuzidishie akubarik karibu katika wislam

  • @user-jl9cp2hf5j
    @user-jl9cp2hf5j21 күн бұрын

    Assalamou alaikum warahmatullahi wabarakatuh sheikh nakuomba uniunge kwenye groupe

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshi23 күн бұрын

    Tunajitahidi kusoma piya lakini na wachawi nao wanakazana Kuangisha watu Mungu atusaidiye

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshi23 күн бұрын

    Asalam aleykum shekh Shukran kwa duwa

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshi23 күн бұрын

    ,🤲🤲🤲

  • @aidasalingwa976
    @aidasalingwa97624 күн бұрын

    Amiina yarab. Takabal duar !

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly25 күн бұрын

    Allahumma amiin dua iwe kwetu soteee sijui uko wap sheikh saiv🤦🏾‍♂️

  • @abdulkadirchamshama4066
    @abdulkadirchamshama406625 күн бұрын

    Asalam alkm shekh mimi nimeota nimempa uji mama na mimi nikanywa huo uji

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshi29 күн бұрын

    Asalam alaikum SHEKH

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshi29 күн бұрын

    Amin takabali yaa rabiii

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshi29 күн бұрын

    Amin amin

  • @asiamkindi7306
    @asiamkindi7306Ай бұрын

    Nimekuelewa sheikh walid

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshiАй бұрын

    Asalam aleykum shekh

  • @user-ce1ly7dl9j
    @user-ce1ly7dl9jАй бұрын

    Nimemuota baba angu alishakufa nimemuota anaumwa sana nami naumwa pia najiandaa niende nikamuone naogopa sana alifariki miaka mingi sana,nimeota anaumwa sana tumbo mpaka kwenye kitovu chake pameoza mm ndo niko sehem tofauti najiandaa nikamuone😢😢

  • @faithwemamusic5266
    @faithwemamusic5266Ай бұрын

    Kwani Mimi naota nikila vyakula sana

  • @SamsonOmondi-po2nf
    @SamsonOmondi-po2nfАй бұрын

    P L😊o

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshiАй бұрын

    Mashaallah mashallah

  • @yussufmohamed5120
    @yussufmohamed5120Ай бұрын

    Naomba uniunge kwenye. Group shee

  • @user-hi3et7mp6m
    @user-hi3et7mp6mАй бұрын

    Masha Allah

  • @salassalas-eo6vo
    @salassalas-eo6voАй бұрын

    Masha Allah iwe sadakatul jaaria yako in sha Allah

  • @hajatihajati5357
    @hajatihajati5357Ай бұрын

    Kweli shekhe Mayatima wa megeuzwa wallets za kulisha watu wengi Yaa Allah mimi na waumini wako tuepushe na kadhulumu ma yatima

  • @AbtwalibDilanda
    @AbtwalibDilandaАй бұрын

    👍

  • @AbtwalibDilanda
    @AbtwalibDilandaАй бұрын

    Mambo mazury

  • @god2023photographer
    @god2023photographerАй бұрын

    Sheikh naomba uniadd kweny group la ndoto kutafsiri

  • @AnnaKahimba-bh7kh
    @AnnaKahimba-bh7khАй бұрын

    Niunge

  • @AnnaKahimba-bh7kh
    @AnnaKahimba-bh7khАй бұрын

    Niunge

  • @AnnaKahimba-bh7kh
    @AnnaKahimba-bh7khАй бұрын

    Sheikh me nimeota Jan usik nimeona mait nyingi. Mochwal zimepangana afu anaesimamia ni rafik angu nin maan ake

  • @MahijaMagwiza
    @MahijaMagwizaАй бұрын

    Hongel Allah hakufanyie wepes

  • @Ruthmpoa-sv9ul
    @Ruthmpoa-sv9ulАй бұрын

    Niliota nimeshika nyoka nikaikata na nikaipika na nikaikula 😢😢😢 sijui maana yake

  • @AwadhSaidMohamed
    @AwadhSaidMohamedАй бұрын

    Naomba uni add kwa tiba Na tafsiri

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2juАй бұрын

    Assalamualaikum sheikh nimeota madam wangu, kajiwekea nguo yangu kichwani tena chafu maana yake Nini? Mimi niko nje ya nchi nafanya kazi

  • @AsumaniAbdul-hq7oq
    @AsumaniAbdul-hq7oqАй бұрын

    Mimi asumini abdu niriota nanyonyesha mtoto kuamka asubui nikakuta sina mtot