TAFSIR ZA NDOTO ZA WATU WALIO KUFA // MAJILIS YA PILI //SHEIKH ABUU JADAWI
TAFSIR ZA NDOTO ZA WATU WALIO KUFA // MAJILIS YA PILI //SHEIKH ABUU JADAWI
Жүктеу.....
Пікірлер: 14
@eriqfat-hkimathi5997 Жыл бұрын
Enyewe nilikua kapanga kumpa talaka mke wangu,kweli kabisa.Hongera kwa Mungu na shukran kwako...
@mozaseifwanatubaniasurayak39742 жыл бұрын
Shukraan
@suma6432 жыл бұрын
😭😭😭😭😭nimeota marehemu mama amefariki nipo na wadogo zangu tunagawana vyumba ila dada yetu hakuwepo Mungu tunusuru
@FettyOthman-jn4zu9 ай бұрын
Salam alaykum mim namuota mtu aliekufa ila anafulaha tyu nguo zangu akuvaa ila alikojolea na mtu akapewa akafua
@silviamessy63352 жыл бұрын
I dream my daughter died what can I do because I'm really working on travelling
@buyingocatherine5699
2 жыл бұрын
It means she eat and slp well ,she z gd so no pblm with dat dia
@hadijamahanyu42642 жыл бұрын
Assalamualaikum shekh Wang mim huwa namuota dada yangu Mara kwa mara namuota anakula mwili wangu nikiwa pemben kisha akanifukuza nikakimbilia chooni nikatoka kwenda kwa jirani mwanangu akaniita yule marehem akaja na kunipiga na tofali likanikosa
@mwanaishamwagele8999 Жыл бұрын
Assalamualaikum mm huwa naota mwalimu wangu aliekuwa niko pamoja nae
@ahmedmwakabulufu315 Жыл бұрын
Rishirikina kubwa hili hata siyo lakulifuata fuasi la shetani
@sophiajuma6798 Жыл бұрын
Ukiota ndoto hlfu ukiamka umeisahau hiyo ndoto ina maana gani
@myjambia91942 жыл бұрын
Niliota nyoka mweupe amenigonga mkononi chini kunawatu wamekaa wametiwa vivuli sikuwaona surazao niliwaomba msaada hawakunipatiliza baadae akawa anaondoka zake huku akitingisha mkia ishara yafuraha hukumeno yakiwa yamebaki mkononikwangu hii inamaanisha nini
@fatumakhalfankhalfan9373 Жыл бұрын
Naukiota unakua ila ndoto ikajirudiarudia nivipi
@ngongomamy2968 Жыл бұрын
sasa nbona munapizana wegime wasema ivi wegime wanasema megime munatuchaganya
@elizakeleme73 Жыл бұрын
Ukiota aliye kufa analia alafu na wewe unalia alafu anataka akukumbatie wewe unakataa ao unakubali alafu ankuulizia ndungu yako aliye fufa zamani nini Mahana
Пікірлер: 14
Enyewe nilikua kapanga kumpa talaka mke wangu,kweli kabisa.Hongera kwa Mungu na shukran kwako...
Shukraan
😭😭😭😭😭nimeota marehemu mama amefariki nipo na wadogo zangu tunagawana vyumba ila dada yetu hakuwepo Mungu tunusuru
Salam alaykum mim namuota mtu aliekufa ila anafulaha tyu nguo zangu akuvaa ila alikojolea na mtu akapewa akafua
I dream my daughter died what can I do because I'm really working on travelling
@buyingocatherine5699
2 жыл бұрын
It means she eat and slp well ,she z gd so no pblm with dat dia
Assalamualaikum shekh Wang mim huwa namuota dada yangu Mara kwa mara namuota anakula mwili wangu nikiwa pemben kisha akanifukuza nikakimbilia chooni nikatoka kwenda kwa jirani mwanangu akaniita yule marehem akaja na kunipiga na tofali likanikosa
Assalamualaikum mm huwa naota mwalimu wangu aliekuwa niko pamoja nae
Rishirikina kubwa hili hata siyo lakulifuata fuasi la shetani
Ukiota ndoto hlfu ukiamka umeisahau hiyo ndoto ina maana gani
Niliota nyoka mweupe amenigonga mkononi chini kunawatu wamekaa wametiwa vivuli sikuwaona surazao niliwaomba msaada hawakunipatiliza baadae akawa anaondoka zake huku akitingisha mkia ishara yafuraha hukumeno yakiwa yamebaki mkononikwangu hii inamaanisha nini
Naukiota unakua ila ndoto ikajirudiarudia nivipi
sasa nbona munapizana wegime wasema ivi wegime wanasema megime munatuchaganya
Ukiota aliye kufa analia alafu na wewe unalia alafu anataka akukumbatie wewe unakataa ao unakubali alafu ankuulizia ndungu yako aliye fufa zamani nini Mahana