NDOTO ZINAZO WEZA KUKUJULISHA MKE AU MME KAMA KACHEPUKA/SHEIKH ABUU JADAWI

NDOTO ZINAZO WEZA KUKUJULISHA MKE AU MME KAMA KACHEPUKA/SHEIKH ABUU JADAWI
#ndoto #mke #mme #sheikhabuujadawi

Пікірлер: 70

  • @arafaabdulrahman645
    @arafaabdulrahman6452 жыл бұрын

    Asante kwa darsa hili ni juzi tu nimemuona nyoka mweusi mdogo anatembea mbele yangu anakuja kunizuru lakiniakuwai kunizuru nikaamka yarabii niepushe na uadui huo😭

  • @marthamashinji6830
    @marthamashinji6830 Жыл бұрын

    Ni kweli ndoto za nyoka zimenisumbua sana mwisho wa siku nikamfuma mme wangu

  • @user-hx3pe8hv8k
    @user-hx3pe8hv8k2 ай бұрын

    Asante sanaa mim naotaga napambana na nyoka so mara moja naoyoga tu kila siku asant sanaa

  • @khadijaathumanikhadijaathu9031
    @khadijaathumanikhadijaathu9031 Жыл бұрын

    Suhana Allah mungu.tusaidie jaman waja wako.Alla.tunakuomba tusaidie

  • @khamishemedsaid2134
    @khamishemedsaid2134 Жыл бұрын

    Mimi mmoja sheikh yani hamalizi mwezi basi ndoto Kali za nyoka wakubwa sana sheikh

  • @emanuelgeofrey3859
    @emanuelgeofrey3859 Жыл бұрын

    Nimeota nilikuwa natembea nikakutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakakimbia xana

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Жыл бұрын

    Sheikh wangu mimi nimeota joka amekaa tu

  • @rahmalove531
    @rahmalove531Ай бұрын

    Nime ota ndoto nyoka ipo kitandani pamoja na mserebani yani mjusikafie nyokaiyo imekua nyeupe sijuwimana ake😢

  • @DativaMbowe

    @DativaMbowe

    Ай бұрын

    Nyoka ni roho zamizimu nawe😅😅

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 Жыл бұрын

    🙏 🙏 🙏 Asante sana kwa tafuziri sa ndoto...

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu17 күн бұрын

    Nimeota Nyoka alikuwa mkubwa sana ila amekatwa katwa vipande vipande ila haikudhulu mtu

  • @stivemathiasi3056
    @stivemathiasi30562 жыл бұрын

    Habar mm huwa naota mmewangu akitoka namwanamke mwingne naakinitishia kuniacha inamaana gani🙏

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 Жыл бұрын

    Asante sana sheikh

  • @ramadhanimussa2106
    @ramadhanimussa2106 Жыл бұрын

    Ramadhani mussa

  • @Ruthmpoa-sv9ul
    @Ruthmpoa-sv9ulАй бұрын

    Sasa hii yangu ni ng'ani niliota, nimeshika nyoka nikaikata nikaipika na nikaikula nyama ya nyoka 😢😢😢

  • @yunisalfarsi6168
    @yunisalfarsi61682 жыл бұрын

    Hongera

  • @user-nd1nx1bf4r
    @user-nd1nx1bf4r4 ай бұрын

    Jamani mimi nimeota napita barabarani nikakuta nyoka mrefu sana alafu ni mwembaba kakatisha barabarani alafu mweupe nikamwangukia kila nikitaka kunyeyuka nashindwa akaning'ata kichwani nikamtupa inamaana gani

  • @YassirKhalfan-cv5zm
    @YassirKhalfan-cv5zm Жыл бұрын

    Nifanyeje kujua mume kama wangu anamwanamke wa nje

  • @habibisimba5081

    @habibisimba5081

    Жыл бұрын

    Unacho kitafuta utakipata.

  • @Ummayman283

    @Ummayman283

    10 ай бұрын

    @@habibisimba5081 😂😂

  • @user-xv1mj9ge9y
    @user-xv1mj9ge9y10 ай бұрын

    Nikweli shekhe nimewahi kumuota nyoka sema nilimuua

  • @PhilipinaBajuta
    @PhilipinaBajutaАй бұрын

    Mm Huwa naota mume wangu ananisaidia kuua nyoka

  • @emanuelgeofrey3859
    @emanuelgeofrey3859 Жыл бұрын

    Mom nimeota nimekutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakaanza kukimbia wote

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma30453 жыл бұрын

    Asanteee umetafsiri vizurii sanaa.....

  • @SaraMkiwa
    @SaraMkiwa6 күн бұрын

    Nimeota nyoka kanikimbiza hajanipata mbele nikaluta mto wamaji nikashituka nikamka

  • @user-rn1ed8fj9d
    @user-rn1ed8fj9d Жыл бұрын

    nimeota nyoka ana mkia nusu anaingia ndan nandan yuko mkewangu

  • @user-nz5kn7ln5r
    @user-nz5kn7ln5r7 ай бұрын

    She ukipewa taraka ya hira za kichawi unaswii

  • @mohamedimnembwe1342
    @mohamedimnembwe134211 ай бұрын

    Mimi huwa naota nacheza na nyoka mwekundu na rangi nyingi tofauti na Wala hawanizuru

  • @yunisalfarsi6168
    @yunisalfarsi61682 жыл бұрын

    Nimeota nimelala na mbuzi yaani mtu lakini alibadilika kuwa mbuzi

  • @RabieGerard
    @RabieGerard Жыл бұрын

    .mm nilikuwa nimejifungua kiukweli mtt wa kike ambae sasa Anamosa 2 lakini kipindi yuko na miezi 2 kipindi namnyonyesha nikaota nyoka kumbwa sana limetanda chumbani jeusi kipindi namnyonyesha likarefusha shingo lake akamginga mwanangu kwenye paji la uso nikapiga kelele akapotelea dalini hapo tulikuwa tumepanga maana yake nini

  • @fathiyaishak3154
    @fathiyaishak31542 жыл бұрын

    Asalm alykoum mimi nimeshaota nyoka mweuc mara 2 napigana nae ila mara y kwanza nilisoma sana dua akpotea mara ya pili nmepgana nae hdi nikamchoma n moto nn maana yke

  • @damariswanza9195
    @damariswanza9195 Жыл бұрын

    Mimi nimeota nyoka nyeusi kwa mlango,

  • @mohamedimnembwe1342
    @mohamedimnembwe134211 ай бұрын

    Mimi naota nyoka was rangi mbili nyoka mwdusi au kijani lakini nikiamka sku aishi nawAona ndani ya fensi

  • @fortunatuselisa421
    @fortunatuselisa4212 жыл бұрын

    Ukiota nyoka mkubwa mweusi amekatwa kichwa ila ananifuata na nikamuwekea stick kifuan kwake pia nikaota nyoka wawili wakijani wawili wadogo wananizunguka katika ndoto hiyo na ghafla nikastuka

  • @mwanaherimo9462
    @mwanaherimo94622 жыл бұрын

    Nataka number

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Жыл бұрын

    Sheikh mimi niliota yani kama kausingizi kamenipitia kidogo tu,naona naona nyoka wawili weusi umoja amenipita kwenye katikati ya mapaja na tumbo yani katikati Ingine imenipita haraka kwenye mkono wangu wakulia alafu akapanda ju ya ukuta kibambazi penye nalala nikashtuka haraka kama vile naona kweli nyoka mbili nyeusi zinapita hapa sasa mbona sizioni najuwa nashanga mwenyewe tu,ila yote nimemkabizi Allah ndiye mjuzi yeye ndiye anaona cha siri na cha zahiri.

  • @trainermaganga3795
    @trainermaganga37952 жыл бұрын

    Salam alykum shaikh mda sasa hatuoni program zako

  • @yunisalfarsi6168
    @yunisalfarsi61682 жыл бұрын

    Naota Magali yananikimbiza mpaka kwenye njia za milima nikishuka galinalo linashuka

  • @zuwenaodaizuwenaodai1999
    @zuwenaodaizuwenaodai19992 жыл бұрын

    Mim naota nyoka anatoka shimoni mblele yangu halafu ananifukuza lkn hanikamati

  • @shaurimfungoni1772
    @shaurimfungoni17722 жыл бұрын

    Assalam aleykum...nimeota nyoka mweusi lkn nikiwa na rafiki yangu kipenzi...na akamshika tulipotoka nje akamponyoka lkn akamwagia mafuta taa akamuawasha moto lkn aliwaka huku akikimbia....naomba tafsiri tafadhali

  • @yunisalfarsi6168
    @yunisalfarsi61682 жыл бұрын

    Mimi nimeota natembea na tumbo naninasipidi kutwa nashindana na magal

  • @sospeterjuma3867
    @sospeterjuma38676 ай бұрын

    Niliota nyaka nyeusi akiwa kwasimo maanake nini

  • @saiame641
    @saiame641 Жыл бұрын

    Vip ukiota nyoka anabadilika rangi kutoka nyeusi kuwa nyeupe???

  • @robertjoshua3094
    @robertjoshua30943 жыл бұрын

    Mm niliota nakmbizwa na nyoka mkubwa mno mwenye rangi nyeusi na nyeupe na tulikuwa wengi lkn akawa ananifata mm tu namkimbia namchenga kbsa lkn ananiona Tena lkn hakunidhuru nn maana yake

  • @lewismpangala927

    @lewismpangala927

    2 жыл бұрын

    Niliota pia

  • @ruu6592

    @ruu6592

    2 жыл бұрын

    Nyoka sio dalili mbaya yategemea umemuota vipi

  • @amiriabedy4511
    @amiriabedy45112 жыл бұрын

    Me nimeota nakimbizwa nakanyoka kadogo tu karangi yagoldi imeng'aa sana nimekimbia Sana lkn kakanifkia nakuning'ata

  • @noreendominic155

    @noreendominic155

    2 жыл бұрын

    utapata Mali dada ni ndoto njema

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah57962 жыл бұрын

    Mnaswali kwanza, hamdokoi dokoi mali za mayatima au viakiba vya watu mlivyoaminiwa muvieke???

  • @arafaoscar5083
    @arafaoscar50832 жыл бұрын

    Kuna mtu kaniotea mm nimeviringishwa na nyoka mkubwa mweusi na ninahangaika kumkata na kisu lkn kisu nilicho nacho ni kibutu sikuweza kumkata ,, hii inamaana gani ??

  • @hidayatondogoso8652
    @hidayatondogoso86522 жыл бұрын

    Tatzo hawajbu msj hapo ndio wanafeli wanatoa clip tunawauliza maswali hawajbu wakitoa namba ukiwapigia hawapokei wala msj hawajibu jmn

  • @nasibually4137
    @nasibually41372 жыл бұрын

    Salam alaykum mimi nieota nampika nyoka mweusi kwenye sufuria ndoto hii ina maana gani shekh

  • @abuuyoga6736

    @abuuyoga6736

    Жыл бұрын

    Kwa ninavyofahamu umeushinda uadui lakin zaid ufanye udadisi

  • @abuuyoga6736

    @abuuyoga6736

    Жыл бұрын

    Kwa ninavyofahamu umeushinda uadui lakin zaid ufanye udadisi

  • @irennaserian1450
    @irennaserian14502 жыл бұрын

    I dream somebody try to put the black snake inside my body mean what

  • @WillyHamza-iw7ot

    @WillyHamza-iw7ot

    Ай бұрын

    I can say it's mean kind of cheating with your man

  • @gervasnangomo4865
    @gervasnangomo48653 жыл бұрын

    Mimi nimeota nyoka ameanguka toka juu na anataka kummeza mwanangu wa kiume mm nikampiga mkiani yule nyoka akapotea ghafla nn maana ya ndoto hii

  • @angelinafranky8958

    @angelinafranky8958

    2 жыл бұрын

    Mimi nimeota nyoka mwekundu na mweusina mweusi anamoto midomoni nawakaondoka wakifoka

  • @kuruthumcharles626

    @kuruthumcharles626

    2 жыл бұрын

    Nimeota mtu kashika nyoka mdg wang anakimbiza

  • @kuruthumcharles626

    @kuruthumcharles626

    2 жыл бұрын

    Mara nying naota joka kubwa lkn nikimuona anatoondoka

  • @kuruthumcharles626

    @kuruthumcharles626

    2 жыл бұрын

    Namuota mweuse

  • @rashidyally8715

    @rashidyally8715

    2 жыл бұрын

    @@angelinafranky8958 dragoni hao

  • @officialSkuBy
    @officialSkuBy2 жыл бұрын

    Ukiota una mahusiano ya kimapenzi na nyoka maaana yake nn

  • @ruu6592

    @ruu6592

    2 жыл бұрын

    Jinne

  • @rahmaalliy4

    @rahmaalliy4

    2 жыл бұрын

    M

  • @getrudamartin2409

    @getrudamartin2409

    2 жыл бұрын

    Mmh huyo ni jini mahaba jini nyoka nenda ukafanyiwe dua my dear