NDOTO ZINAZO WEZA KUKUJULISHA MKE AU MME KAMA KACHEPUKA/SHEIKH ABUU JADAWI
NDOTO ZINAZO WEZA KUKUJULISHA MKE AU MME KAMA KACHEPUKA/SHEIKH ABUU JADAWI #ndoto #mke #mme #sheikhabuujadawi
Жүктеу.....
Пікірлер: 70
@arafaabdulrahman6452 жыл бұрын
Asante kwa darsa hili ni juzi tu nimemuona nyoka mweusi mdogo anatembea mbele yangu anakuja kunizuru lakiniakuwai kunizuru nikaamka yarabii niepushe na uadui huo😭
@marthamashinji6830 Жыл бұрын
Ni kweli ndoto za nyoka zimenisumbua sana mwisho wa siku nikamfuma mme wangu
@user-hx3pe8hv8k2 ай бұрын
Asante sanaa mim naotaga napambana na nyoka so mara moja naoyoga tu kila siku asant sanaa
@khadijaathumanikhadijaathu9031 Жыл бұрын
Suhana Allah mungu.tusaidie jaman waja wako.Alla.tunakuomba tusaidie
@khamishemedsaid2134 Жыл бұрын
Mimi mmoja sheikh yani hamalizi mwezi basi ndoto Kali za nyoka wakubwa sana sheikh
@emanuelgeofrey3859 Жыл бұрын
Nimeota nilikuwa natembea nikakutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakakimbia xana
@SociedadeSust1234 Жыл бұрын
Sheikh wangu mimi nimeota joka amekaa tu
@rahmalove531Ай бұрын
Nime ota ndoto nyoka ipo kitandani pamoja na mserebani yani mjusikafie nyokaiyo imekua nyeupe sijuwimana ake😢
@DativaMbowe
Ай бұрын
Nyoka ni roho zamizimu nawe😅😅
@rebeccamaunde4085 Жыл бұрын
🙏 🙏 🙏 Asante sana kwa tafuziri sa ndoto...
@MuasitiAboBakri-ew5mu17 күн бұрын
Nimeota Nyoka alikuwa mkubwa sana ila amekatwa katwa vipande vipande ila haikudhulu mtu
@stivemathiasi30562 жыл бұрын
Habar mm huwa naota mmewangu akitoka namwanamke mwingne naakinitishia kuniacha inamaana gani🙏
@suzanne9517 Жыл бұрын
Asante sana sheikh
@ramadhanimussa2106 Жыл бұрын
Ramadhani mussa
@Ruthmpoa-sv9ulАй бұрын
Sasa hii yangu ni ng'ani niliota, nimeshika nyoka nikaikata nikaipika na nikaikula nyama ya nyoka 😢😢😢
@yunisalfarsi61682 жыл бұрын
Hongera
@user-nd1nx1bf4r4 ай бұрын
Jamani mimi nimeota napita barabarani nikakuta nyoka mrefu sana alafu ni mwembaba kakatisha barabarani alafu mweupe nikamwangukia kila nikitaka kunyeyuka nashindwa akaning'ata kichwani nikamtupa inamaana gani
@YassirKhalfan-cv5zm Жыл бұрын
Nifanyeje kujua mume kama wangu anamwanamke wa nje
Mom nimeota nimekutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakaanza kukimbia wote
@magrethmbuma30453 жыл бұрын
Asanteee umetafsiri vizurii sanaa.....
@SaraMkiwa6 күн бұрын
Nimeota nyoka kanikimbiza hajanipata mbele nikaluta mto wamaji nikashituka nikamka
@user-rn1ed8fj9d Жыл бұрын
nimeota nyoka ana mkia nusu anaingia ndan nandan yuko mkewangu
@user-nz5kn7ln5r7 ай бұрын
She ukipewa taraka ya hira za kichawi unaswii
@mohamedimnembwe134211 ай бұрын
Mimi huwa naota nacheza na nyoka mwekundu na rangi nyingi tofauti na Wala hawanizuru
@yunisalfarsi61682 жыл бұрын
Nimeota nimelala na mbuzi yaani mtu lakini alibadilika kuwa mbuzi
@RabieGerard Жыл бұрын
.mm nilikuwa nimejifungua kiukweli mtt wa kike ambae sasa Anamosa 2 lakini kipindi yuko na miezi 2 kipindi namnyonyesha nikaota nyoka kumbwa sana limetanda chumbani jeusi kipindi namnyonyesha likarefusha shingo lake akamginga mwanangu kwenye paji la uso nikapiga kelele akapotelea dalini hapo tulikuwa tumepanga maana yake nini
@fathiyaishak31542 жыл бұрын
Asalm alykoum mimi nimeshaota nyoka mweuc mara 2 napigana nae ila mara y kwanza nilisoma sana dua akpotea mara ya pili nmepgana nae hdi nikamchoma n moto nn maana yke
@damariswanza9195 Жыл бұрын
Mimi nimeota nyoka nyeusi kwa mlango,
@mohamedimnembwe134211 ай бұрын
Mimi naota nyoka was rangi mbili nyoka mwdusi au kijani lakini nikiamka sku aishi nawAona ndani ya fensi
@fortunatuselisa4212 жыл бұрын
Ukiota nyoka mkubwa mweusi amekatwa kichwa ila ananifuata na nikamuwekea stick kifuan kwake pia nikaota nyoka wawili wakijani wawili wadogo wananizunguka katika ndoto hiyo na ghafla nikastuka
@mwanaherimo94622 жыл бұрын
Nataka number
@alimatambwe3402 Жыл бұрын
Sheikh mimi niliota yani kama kausingizi kamenipitia kidogo tu,naona naona nyoka wawili weusi umoja amenipita kwenye katikati ya mapaja na tumbo yani katikati Ingine imenipita haraka kwenye mkono wangu wakulia alafu akapanda ju ya ukuta kibambazi penye nalala nikashtuka haraka kama vile naona kweli nyoka mbili nyeusi zinapita hapa sasa mbona sizioni najuwa nashanga mwenyewe tu,ila yote nimemkabizi Allah ndiye mjuzi yeye ndiye anaona cha siri na cha zahiri.
@trainermaganga37952 жыл бұрын
Salam alykum shaikh mda sasa hatuoni program zako
@yunisalfarsi61682 жыл бұрын
Naota Magali yananikimbiza mpaka kwenye njia za milima nikishuka galinalo linashuka
Assalam aleykum...nimeota nyoka mweusi lkn nikiwa na rafiki yangu kipenzi...na akamshika tulipotoka nje akamponyoka lkn akamwagia mafuta taa akamuawasha moto lkn aliwaka huku akikimbia....naomba tafsiri tafadhali
@yunisalfarsi61682 жыл бұрын
Mimi nimeota natembea na tumbo naninasipidi kutwa nashindana na magal
@sospeterjuma38676 ай бұрын
Niliota nyaka nyeusi akiwa kwasimo maanake nini
@saiame641 Жыл бұрын
Vip ukiota nyoka anabadilika rangi kutoka nyeusi kuwa nyeupe???
@robertjoshua30943 жыл бұрын
Mm niliota nakmbizwa na nyoka mkubwa mno mwenye rangi nyeusi na nyeupe na tulikuwa wengi lkn akawa ananifata mm tu namkimbia namchenga kbsa lkn ananiona Tena lkn hakunidhuru nn maana yake
@lewismpangala927
2 жыл бұрын
Niliota pia
@ruu6592
2 жыл бұрын
Nyoka sio dalili mbaya yategemea umemuota vipi
@amiriabedy45112 жыл бұрын
Me nimeota nakimbizwa nakanyoka kadogo tu karangi yagoldi imeng'aa sana nimekimbia Sana lkn kakanifkia nakuning'ata
@noreendominic155
2 жыл бұрын
utapata Mali dada ni ndoto njema
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Mnaswali kwanza, hamdokoi dokoi mali za mayatima au viakiba vya watu mlivyoaminiwa muvieke???
@arafaoscar50832 жыл бұрын
Kuna mtu kaniotea mm nimeviringishwa na nyoka mkubwa mweusi na ninahangaika kumkata na kisu lkn kisu nilicho nacho ni kibutu sikuweza kumkata ,, hii inamaana gani ??
@hidayatondogoso86522 жыл бұрын
Tatzo hawajbu msj hapo ndio wanafeli wanatoa clip tunawauliza maswali hawajbu wakitoa namba ukiwapigia hawapokei wala msj hawajibu jmn
@nasibually41372 жыл бұрын
Salam alaykum mimi nieota nampika nyoka mweusi kwenye sufuria ndoto hii ina maana gani shekh
@abuuyoga6736
Жыл бұрын
Kwa ninavyofahamu umeushinda uadui lakin zaid ufanye udadisi
@abuuyoga6736
Жыл бұрын
Kwa ninavyofahamu umeushinda uadui lakin zaid ufanye udadisi
@irennaserian14502 жыл бұрын
I dream somebody try to put the black snake inside my body mean what
@WillyHamza-iw7ot
Ай бұрын
I can say it's mean kind of cheating with your man
@gervasnangomo48653 жыл бұрын
Mimi nimeota nyoka ameanguka toka juu na anataka kummeza mwanangu wa kiume mm nikampiga mkiani yule nyoka akapotea ghafla nn maana ya ndoto hii
Пікірлер: 70
Asante kwa darsa hili ni juzi tu nimemuona nyoka mweusi mdogo anatembea mbele yangu anakuja kunizuru lakiniakuwai kunizuru nikaamka yarabii niepushe na uadui huo😭
Ni kweli ndoto za nyoka zimenisumbua sana mwisho wa siku nikamfuma mme wangu
Asante sanaa mim naotaga napambana na nyoka so mara moja naoyoga tu kila siku asant sanaa
Suhana Allah mungu.tusaidie jaman waja wako.Alla.tunakuomba tusaidie
Mimi mmoja sheikh yani hamalizi mwezi basi ndoto Kali za nyoka wakubwa sana sheikh
Nimeota nilikuwa natembea nikakutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakakimbia xana
Sheikh wangu mimi nimeota joka amekaa tu
Nime ota ndoto nyoka ipo kitandani pamoja na mserebani yani mjusikafie nyokaiyo imekua nyeupe sijuwimana ake😢
@DativaMbowe
Ай бұрын
Nyoka ni roho zamizimu nawe😅😅
🙏 🙏 🙏 Asante sana kwa tafuziri sa ndoto...
Nimeota Nyoka alikuwa mkubwa sana ila amekatwa katwa vipande vipande ila haikudhulu mtu
Habar mm huwa naota mmewangu akitoka namwanamke mwingne naakinitishia kuniacha inamaana gani🙏
Asante sana sheikh
Ramadhani mussa
Sasa hii yangu ni ng'ani niliota, nimeshika nyoka nikaikata nikaipika na nikaikula nyama ya nyoka 😢😢😢
Hongera
Jamani mimi nimeota napita barabarani nikakuta nyoka mrefu sana alafu ni mwembaba kakatisha barabarani alafu mweupe nikamwangukia kila nikitaka kunyeyuka nashindwa akaning'ata kichwani nikamtupa inamaana gani
Nifanyeje kujua mume kama wangu anamwanamke wa nje
@habibisimba5081
Жыл бұрын
Unacho kitafuta utakipata.
@Ummayman283
10 ай бұрын
@@habibisimba5081 😂😂
Nikweli shekhe nimewahi kumuota nyoka sema nilimuua
Mm Huwa naota mume wangu ananisaidia kuua nyoka
Mom nimeota nimekutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakaanza kukimbia wote
Asanteee umetafsiri vizurii sanaa.....
Nimeota nyoka kanikimbiza hajanipata mbele nikaluta mto wamaji nikashituka nikamka
nimeota nyoka ana mkia nusu anaingia ndan nandan yuko mkewangu
She ukipewa taraka ya hira za kichawi unaswii
Mimi huwa naota nacheza na nyoka mwekundu na rangi nyingi tofauti na Wala hawanizuru
Nimeota nimelala na mbuzi yaani mtu lakini alibadilika kuwa mbuzi
.mm nilikuwa nimejifungua kiukweli mtt wa kike ambae sasa Anamosa 2 lakini kipindi yuko na miezi 2 kipindi namnyonyesha nikaota nyoka kumbwa sana limetanda chumbani jeusi kipindi namnyonyesha likarefusha shingo lake akamginga mwanangu kwenye paji la uso nikapiga kelele akapotelea dalini hapo tulikuwa tumepanga maana yake nini
Asalm alykoum mimi nimeshaota nyoka mweuc mara 2 napigana nae ila mara y kwanza nilisoma sana dua akpotea mara ya pili nmepgana nae hdi nikamchoma n moto nn maana yke
Mimi nimeota nyoka nyeusi kwa mlango,
Mimi naota nyoka was rangi mbili nyoka mwdusi au kijani lakini nikiamka sku aishi nawAona ndani ya fensi
Ukiota nyoka mkubwa mweusi amekatwa kichwa ila ananifuata na nikamuwekea stick kifuan kwake pia nikaota nyoka wawili wakijani wawili wadogo wananizunguka katika ndoto hiyo na ghafla nikastuka
Nataka number
Sheikh mimi niliota yani kama kausingizi kamenipitia kidogo tu,naona naona nyoka wawili weusi umoja amenipita kwenye katikati ya mapaja na tumbo yani katikati Ingine imenipita haraka kwenye mkono wangu wakulia alafu akapanda ju ya ukuta kibambazi penye nalala nikashtuka haraka kama vile naona kweli nyoka mbili nyeusi zinapita hapa sasa mbona sizioni najuwa nashanga mwenyewe tu,ila yote nimemkabizi Allah ndiye mjuzi yeye ndiye anaona cha siri na cha zahiri.
Salam alykum shaikh mda sasa hatuoni program zako
Naota Magali yananikimbiza mpaka kwenye njia za milima nikishuka galinalo linashuka
Mim naota nyoka anatoka shimoni mblele yangu halafu ananifukuza lkn hanikamati
Assalam aleykum...nimeota nyoka mweusi lkn nikiwa na rafiki yangu kipenzi...na akamshika tulipotoka nje akamponyoka lkn akamwagia mafuta taa akamuawasha moto lkn aliwaka huku akikimbia....naomba tafsiri tafadhali
Mimi nimeota natembea na tumbo naninasipidi kutwa nashindana na magal
Niliota nyaka nyeusi akiwa kwasimo maanake nini
Vip ukiota nyoka anabadilika rangi kutoka nyeusi kuwa nyeupe???
Mm niliota nakmbizwa na nyoka mkubwa mno mwenye rangi nyeusi na nyeupe na tulikuwa wengi lkn akawa ananifata mm tu namkimbia namchenga kbsa lkn ananiona Tena lkn hakunidhuru nn maana yake
@lewismpangala927
2 жыл бұрын
Niliota pia
@ruu6592
2 жыл бұрын
Nyoka sio dalili mbaya yategemea umemuota vipi
Me nimeota nakimbizwa nakanyoka kadogo tu karangi yagoldi imeng'aa sana nimekimbia Sana lkn kakanifkia nakuning'ata
@noreendominic155
2 жыл бұрын
utapata Mali dada ni ndoto njema
Mnaswali kwanza, hamdokoi dokoi mali za mayatima au viakiba vya watu mlivyoaminiwa muvieke???
Kuna mtu kaniotea mm nimeviringishwa na nyoka mkubwa mweusi na ninahangaika kumkata na kisu lkn kisu nilicho nacho ni kibutu sikuweza kumkata ,, hii inamaana gani ??
Tatzo hawajbu msj hapo ndio wanafeli wanatoa clip tunawauliza maswali hawajbu wakitoa namba ukiwapigia hawapokei wala msj hawajibu jmn
Salam alaykum mimi nieota nampika nyoka mweusi kwenye sufuria ndoto hii ina maana gani shekh
@abuuyoga6736
Жыл бұрын
Kwa ninavyofahamu umeushinda uadui lakin zaid ufanye udadisi
@abuuyoga6736
Жыл бұрын
Kwa ninavyofahamu umeushinda uadui lakin zaid ufanye udadisi
I dream somebody try to put the black snake inside my body mean what
@WillyHamza-iw7ot
Ай бұрын
I can say it's mean kind of cheating with your man
Mimi nimeota nyoka ameanguka toka juu na anataka kummeza mwanangu wa kiume mm nikampiga mkiani yule nyoka akapotea ghafla nn maana ya ndoto hii
@angelinafranky8958
2 жыл бұрын
Mimi nimeota nyoka mwekundu na mweusina mweusi anamoto midomoni nawakaondoka wakifoka
@kuruthumcharles626
2 жыл бұрын
Nimeota mtu kashika nyoka mdg wang anakimbiza
@kuruthumcharles626
2 жыл бұрын
Mara nying naota joka kubwa lkn nikimuona anatoondoka
@kuruthumcharles626
2 жыл бұрын
Namuota mweuse
@rashidyally8715
2 жыл бұрын
@@angelinafranky8958 dragoni hao
Ukiota una mahusiano ya kimapenzi na nyoka maaana yake nn
@ruu6592
2 жыл бұрын
Jinne
@rahmaalliy4
2 жыл бұрын
M
@getrudamartin2409
2 жыл бұрын
Mmh huyo ni jini mahaba jini nyoka nenda ukafanyiwe dua my dear