Mlichoniudhi tu ni mechi kutokuanza angalau saa moja kwa kuchelewa.
@STANFORDNTILUGWALUGWA18 сағат бұрын
Ubaya ubwela ila kwenye jeys mmeboa wanasimba
@FurahaJeremiah-kd5ht19 сағат бұрын
Mtatafunana
@FurahaJeremiah-kd5ht19 сағат бұрын
Hats huko tls alikuwepo wa kutengezwa bado anangangana
@azamsp0rtshd2kiangi319 сағат бұрын
Sioni watani wakionyesha bashasha hawajachangamka kama wamelazimishwa hivi unafikiri wanamawazo gani nini shidaa waangalie nyuso za watani hawana furaha wanawaza tarehe nane?
@Topcentclassic20 сағат бұрын
kila saaa inajirudia hapo tu mnamaliza bandoooo tu
@PhilipoMwita-b2x23 сағат бұрын
Kumbe Hadi nyie mnapigana vikumbo
@SaidKessy-i1uКүн бұрын
Slmba kama kawaida yetu ushindi lazima
@danmbizo3472Күн бұрын
Weka picha Leo acha ujinga
@user-dr3mg5ey6fКүн бұрын
Tunawambea ushindi Leo na tarehe 8 pia
@MeshackMwakabengaКүн бұрын
Kwani kuna shido
@MamaNahla-f5nКүн бұрын
Ubaya bwela ndio nin
@abduliDotoКүн бұрын
Nawaombea ushind mkubwa Simba day leo
@JohnsonMashakaКүн бұрын
Simba nguvu mojaaa
@MasumbukoMikumoКүн бұрын
Simba good
@MasumbukoMikumoКүн бұрын
Simba god
@SerukonjeMkumburu21 сағат бұрын
Simba naiombea uxhindi
@GoldenjuliusКүн бұрын
Shida ipo wapi jmn mbn ukweli upo wazi yesu ni mambo yote ndani ya yote.. Ukimpata yeye umepata vyote... Kwa msioamini mungu awape wepesi muweze kupona na ule moto wa jehannam
@AbuuIbondoКүн бұрын
Naomba tafsiri nimempiga mtu adi akafa ndotoni iyo
@donaldbenedict5761Күн бұрын
Kwani katiba inasemaje kuhusu mikutano ya vyama vya siasa
@maftahmusa9513Күн бұрын
Hyu bwana tapeli kweli kunadua ya kukunusuru na kifo?😅😅😅😅
@maftahmusa9513Күн бұрын
Hapo lazima wateja watakua wanawake hupatikana kweli😅😅😅😅
@UmmyMsafiri2 күн бұрын
Ya rabh tujaalie subra
@mohamedsaidalhabsi78622 күн бұрын
Safisana muheshimiwa
@aslamhabonimana2 күн бұрын
Mimi niriota Niko natembeza gari Nini Mana yake
@georgegregory84142 күн бұрын
Tiketi bado zipo hazinauzika bado
@MareMa-kb3iy2 күн бұрын
Amen
@MareMa-kb3iy2 күн бұрын
Kweli kabisa Asante sana shekh
@ZainabuSufian3 күн бұрын
Tunaomba punguza manèn bando baba
@cyprianboniphace-oz5lw3 күн бұрын
Wamekuzuia usiruhusu tume huru ya uchaguzi umewasikiliza.
@aminielyusufu43513 күн бұрын
Uko sahihi Mhe. Kanali Kinana. Tuko Pamoja afande wangu
@sawebenjamin40153 күн бұрын
Dini ni jitiada ya mwanada kutafuta mungu, na ukiristo ni mungu kutafuta mwanadamu!!!!!
@gilbertmaganga93703 күн бұрын
Yaani wewe mchambuzi huyo mwembamba yaani unabaliki utapeli
@kasongoIDDi-mx7gz3 күн бұрын
Sasa mbona makoda hamumtaki na raia wanamtaka
@jacobletema36813 күн бұрын
Kuna mpango gani wa kuzuia bundi na ngedere?
@erastonrugabao3 күн бұрын
Ndacha kwa ukweli wewe ni pastor ambaye unaongozwa n'a roho wa yesu kristo kwa kutangaza habari njema kutoka kwa Mungu. Kiukweli ingewezekana tupate number yako ya sim. Mungu akubariki kwa kazi hii ya kuwaubiria watu wake neno la kweli.
@HamzaRashid-m5m3 күн бұрын
Saw makarama
@anithawidambe75433 күн бұрын
KIBU AMEDANGANYWA HAENDI NORWAI ILA NI YANGA. HAPO ALIKUWA ANAWAZUGA SIMBA NA UONGOZI WA SIMBA
@LuisFaustinoLuis4 күн бұрын
Nimeyangalia mdalo ndacha anatusaifiya sana waislam
@peterjosephat66854 күн бұрын
Mtamalizana wenyewe mnapinga katiba mpya mnafikiri nikwafaida ya vyama vya upinzani mtanyooka nabado
@user-zu8ou2oe4c4 күн бұрын
Vina mudaa basiii mshaanza kuomba radhi kwa kuchelewesha abiria nilijua havina mudaaa na hapo ngoja mwaka uishe C A G awakague nina uhakika kinachofwata ni hasara vina mudaaa tz mirad ming tunakurupukaaaaaa
@festokemibala58324 күн бұрын
Kiongozi, endesheni shirika kwa kufuata hali halisi ya uchumi msiende kwa mihemko. Ni kipindi cha mpito hivyo lazima msome upepo ukoje kama ambavyo unaendwlea kutujuza.
@MuhammadRamadhani-to7gk4 күн бұрын
Shukra sheikh
@user-bn4br7qm7r4 күн бұрын
Haaahaaaaa kumbe na nyie mnaijua dhuluma aibu yenu
@user-cx4nx7xi7s4 күн бұрын
mbona kwenye upinzani mna wadhulumu? mkibagua upinzani KISHA dhambi HIYO itaamia kwenu
@AnossyMbonekela-sb6ol4 күн бұрын
Kweli baba kila mtu anyone haki ya kuchagua na kuchaguliwa .tusiongope uchaguzi
Пікірлер
Mimi nimeota Msichana monye nataka kumuowa Analala na mwaume mungine inamaana gani
Dini yenu mbo
Allahu masaliAllah.muhammad. taybu taybu
Nimemsamehe kibu
Mlichoniudhi tu ni mechi kutokuanza angalau saa moja kwa kuchelewa.
Ubaya ubwela ila kwenye jeys mmeboa wanasimba
Mtatafunana
Hats huko tls alikuwepo wa kutengezwa bado anangangana
Sioni watani wakionyesha bashasha hawajachangamka kama wamelazimishwa hivi unafikiri wanamawazo gani nini shidaa waangalie nyuso za watani hawana furaha wanawaza tarehe nane?
kila saaa inajirudia hapo tu mnamaliza bandoooo tu
Kumbe Hadi nyie mnapigana vikumbo
Slmba kama kawaida yetu ushindi lazima
Weka picha Leo acha ujinga
Tunawambea ushindi Leo na tarehe 8 pia
Kwani kuna shido
Ubaya bwela ndio nin
Nawaombea ushind mkubwa Simba day leo
Simba nguvu mojaaa
Simba good
Simba god
Simba naiombea uxhindi
Shida ipo wapi jmn mbn ukweli upo wazi yesu ni mambo yote ndani ya yote.. Ukimpata yeye umepata vyote... Kwa msioamini mungu awape wepesi muweze kupona na ule moto wa jehannam
Naomba tafsiri nimempiga mtu adi akafa ndotoni iyo
Kwani katiba inasemaje kuhusu mikutano ya vyama vya siasa
Hyu bwana tapeli kweli kunadua ya kukunusuru na kifo?😅😅😅😅
Hapo lazima wateja watakua wanawake hupatikana kweli😅😅😅😅
Ya rabh tujaalie subra
Safisana muheshimiwa
Mimi niriota Niko natembeza gari Nini Mana yake
Tiketi bado zipo hazinauzika bado
Amen
Kweli kabisa Asante sana shekh
Tunaomba punguza manèn bando baba
Wamekuzuia usiruhusu tume huru ya uchaguzi umewasikiliza.
Uko sahihi Mhe. Kanali Kinana. Tuko Pamoja afande wangu
Dini ni jitiada ya mwanada kutafuta mungu, na ukiristo ni mungu kutafuta mwanadamu!!!!!
Yaani wewe mchambuzi huyo mwembamba yaani unabaliki utapeli
Sasa mbona makoda hamumtaki na raia wanamtaka
Kuna mpango gani wa kuzuia bundi na ngedere?
Ndacha kwa ukweli wewe ni pastor ambaye unaongozwa n'a roho wa yesu kristo kwa kutangaza habari njema kutoka kwa Mungu. Kiukweli ingewezekana tupate number yako ya sim. Mungu akubariki kwa kazi hii ya kuwaubiria watu wake neno la kweli.
Saw makarama
KIBU AMEDANGANYWA HAENDI NORWAI ILA NI YANGA. HAPO ALIKUWA ANAWAZUGA SIMBA NA UONGOZI WA SIMBA
Nimeyangalia mdalo ndacha anatusaifiya sana waislam
Mtamalizana wenyewe mnapinga katiba mpya mnafikiri nikwafaida ya vyama vya upinzani mtanyooka nabado
Vina mudaa basiii mshaanza kuomba radhi kwa kuchelewesha abiria nilijua havina mudaaa na hapo ngoja mwaka uishe C A G awakague nina uhakika kinachofwata ni hasara vina mudaaa tz mirad ming tunakurupukaaaaaa
Kiongozi, endesheni shirika kwa kufuata hali halisi ya uchumi msiende kwa mihemko. Ni kipindi cha mpito hivyo lazima msome upepo ukoje kama ambavyo unaendwlea kutujuza.
Shukra sheikh
Haaahaaaaa kumbe na nyie mnaijua dhuluma aibu yenu
mbona kwenye upinzani mna wadhulumu? mkibagua upinzani KISHA dhambi HIYO itaamia kwenu
Kweli baba kila mtu anyone haki ya kuchagua na kuchaguliwa .tusiongope uchaguzi
Mzee wetu