ABUU JDAWI ONLINE TV

ABUU JDAWI ONLINE TV

THIS CHANNEL SPECIAL FOR VERYTHINGS IN COMMUNITY BASECAL IN ISLAMIC SHERIA

Пікірлер

  • @ustadhharun4687
    @ustadhharun46875 сағат бұрын

    Mimi nimeota Msichana monye nataka kumuowa Analala na mwaume mungine inamaana gani

  • @bonifacebahati
    @bonifacebahati15 сағат бұрын

    Dini yenu mbo

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai15 сағат бұрын

    Allahu masaliAllah.muhammad. taybu taybu

  • @EvadeusGonge
    @EvadeusGonge18 сағат бұрын

    Nimemsamehe kibu

  • @EmanuelPiusMasaki
    @EmanuelPiusMasaki18 сағат бұрын

    Mlichoniudhi tu ni mechi kutokuanza angalau saa moja kwa kuchelewa.

  • @STANFORDNTILUGWALUGWA
    @STANFORDNTILUGWALUGWA18 сағат бұрын

    Ubaya ubwela ila kwenye jeys mmeboa wanasimba

  • @FurahaJeremiah-kd5ht
    @FurahaJeremiah-kd5ht19 сағат бұрын

    Mtatafunana

  • @FurahaJeremiah-kd5ht
    @FurahaJeremiah-kd5ht19 сағат бұрын

    Hats huko tls alikuwepo wa kutengezwa bado anangangana

  • @azamsp0rtshd2kiangi3
    @azamsp0rtshd2kiangi319 сағат бұрын

    Sioni watani wakionyesha bashasha hawajachangamka kama wamelazimishwa hivi unafikiri wanamawazo gani nini shidaa waangalie nyuso za watani hawana furaha wanawaza tarehe nane?

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic20 сағат бұрын

    kila saaa inajirudia hapo tu mnamaliza bandoooo tu

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x23 сағат бұрын

    Kumbe Hadi nyie mnapigana vikumbo

  • @SaidKessy-i1u
    @SaidKessy-i1uКүн бұрын

    Slmba kama kawaida yetu ushindi lazima

  • @danmbizo3472
    @danmbizo3472Күн бұрын

    Weka picha Leo acha ujinga

  • @user-dr3mg5ey6f
    @user-dr3mg5ey6fКүн бұрын

    Tunawambea ushindi Leo na tarehe 8 pia

  • @MeshackMwakabenga
    @MeshackMwakabengaКүн бұрын

    Kwani kuna shido

  • @MamaNahla-f5n
    @MamaNahla-f5nКүн бұрын

    Ubaya bwela ndio nin

  • @abduliDoto
    @abduliDotoКүн бұрын

    Nawaombea ushind mkubwa Simba day leo

  • @JohnsonMashaka
    @JohnsonMashakaКүн бұрын

    Simba nguvu mojaaa

  • @MasumbukoMikumo
    @MasumbukoMikumoКүн бұрын

    Simba good

  • @MasumbukoMikumo
    @MasumbukoMikumoКүн бұрын

    Simba god

  • @SerukonjeMkumburu
    @SerukonjeMkumburu21 сағат бұрын

    Simba naiombea uxhindi

  • @Goldenjulius
    @GoldenjuliusКүн бұрын

    Shida ipo wapi jmn mbn ukweli upo wazi yesu ni mambo yote ndani ya yote.. Ukimpata yeye umepata vyote... Kwa msioamini mungu awape wepesi muweze kupona na ule moto wa jehannam

  • @AbuuIbondo
    @AbuuIbondoКүн бұрын

    Naomba tafsiri nimempiga mtu adi akafa ndotoni iyo

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761Күн бұрын

    Kwani katiba inasemaje kuhusu mikutano ya vyama vya siasa

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513Күн бұрын

    Hyu bwana tapeli kweli kunadua ya kukunusuru na kifo?😅😅😅😅

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513Күн бұрын

    Hapo lazima wateja watakua wanawake hupatikana kweli😅😅😅😅

  • @UmmyMsafiri
    @UmmyMsafiri2 күн бұрын

    Ya rabh tujaalie subra

  • @mohamedsaidalhabsi7862
    @mohamedsaidalhabsi78622 күн бұрын

    Safisana muheshimiwa

  • @aslamhabonimana
    @aslamhabonimana2 күн бұрын

    Mimi niriota Niko natembeza gari Nini Mana yake

  • @georgegregory8414
    @georgegregory84142 күн бұрын

    Tiketi bado zipo hazinauzika bado

  • @MareMa-kb3iy
    @MareMa-kb3iy2 күн бұрын

    Amen

  • @MareMa-kb3iy
    @MareMa-kb3iy2 күн бұрын

    Kweli kabisa Asante sana shekh

  • @ZainabuSufian
    @ZainabuSufian3 күн бұрын

    Tunaomba punguza manèn bando baba

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw3 күн бұрын

    Wamekuzuia usiruhusu tume huru ya uchaguzi umewasikiliza.

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu43513 күн бұрын

    Uko sahihi Mhe. Kanali Kinana. Tuko Pamoja afande wangu

  • @sawebenjamin4015
    @sawebenjamin40153 күн бұрын

    Dini ni jitiada ya mwanada kutafuta mungu, na ukiristo ni mungu kutafuta mwanadamu!!!!!

  • @gilbertmaganga9370
    @gilbertmaganga93703 күн бұрын

    Yaani wewe mchambuzi huyo mwembamba yaani unabaliki utapeli

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gz3 күн бұрын

    Sasa mbona makoda hamumtaki na raia wanamtaka

  • @jacobletema3681
    @jacobletema36813 күн бұрын

    Kuna mpango gani wa kuzuia bundi na ngedere?

  • @erastonrugabao
    @erastonrugabao3 күн бұрын

    Ndacha kwa ukweli wewe ni pastor ambaye unaongozwa n'a roho wa yesu kristo kwa kutangaza habari njema kutoka kwa Mungu. Kiukweli ingewezekana tupate number yako ya sim. Mungu akubariki kwa kazi hii ya kuwaubiria watu wake neno la kweli.

  • @HamzaRashid-m5m
    @HamzaRashid-m5m3 күн бұрын

    Saw makarama

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75433 күн бұрын

    KIBU AMEDANGANYWA HAENDI NORWAI ILA NI YANGA. HAPO ALIKUWA ANAWAZUGA SIMBA NA UONGOZI WA SIMBA

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis4 күн бұрын

    Nimeyangalia mdalo ndacha anatusaifiya sana waislam

  • @peterjosephat6685
    @peterjosephat66854 күн бұрын

    Mtamalizana wenyewe mnapinga katiba mpya mnafikiri nikwafaida ya vyama vya upinzani mtanyooka nabado

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c4 күн бұрын

    Vina mudaa basiii mshaanza kuomba radhi kwa kuchelewesha abiria nilijua havina mudaaa na hapo ngoja mwaka uishe C A G awakague nina uhakika kinachofwata ni hasara vina mudaaa tz mirad ming tunakurupukaaaaaa

  • @festokemibala5832
    @festokemibala58324 күн бұрын

    Kiongozi, endesheni shirika kwa kufuata hali halisi ya uchumi msiende kwa mihemko. Ni kipindi cha mpito hivyo lazima msome upepo ukoje kama ambavyo unaendwlea kutujuza.

  • @MuhammadRamadhani-to7gk
    @MuhammadRamadhani-to7gk4 күн бұрын

    Shukra sheikh

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r4 күн бұрын

    Haaahaaaaa kumbe na nyie mnaijua dhuluma aibu yenu

  • @user-cx4nx7xi7s
    @user-cx4nx7xi7s4 күн бұрын

    mbona kwenye upinzani mna wadhulumu? mkibagua upinzani KISHA dhambi HIYO itaamia kwenu

  • @AnossyMbonekela-sb6ol
    @AnossyMbonekela-sb6ol4 күн бұрын

    Kweli baba kila mtu anyone haki ya kuchagua na kuchaguliwa .tusiongope uchaguzi

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc4 күн бұрын

    Mzee wetu