SHEIKH OTHMAN MAALIM AMUOMBA KITU KIZITO RAIS SAMIA "TUHURUMIYE WEWE NDIO KIONGOZI WETU ZIBITI ULIMI

#AdilTV

Пікірлер: 122

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi46014 күн бұрын

    Othman Maalim nakukubaali saana Allah akuzidishie maarifa uzidi kupambania dini ya Allah

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh857714 күн бұрын

    Sifa zote zinaenda kwa Allah Sub'hanna'Allah wata'allah aliyemjaalia shekh othman Maalim uwezo wa kufukisha ujumbe huu au kukumbusha maneno yake mwenyewe Allah ndani ya Quran binaadam anapaswa kuishi vipi, shukran sana shekh Othman Maalim , nakuaangalia au kukusikia kutoka marekani. ❤

  • @issamushi6389

    @issamushi6389

    11 күн бұрын

    Shida ameelewa

  • @subirajohn728
    @subirajohn72813 күн бұрын

    Namependa Sana mawaidha ya Shekh Othman Maalim! Mwenyezimungu akutunze Sheikh tuendelee kupata faraja Kwa mawaidha yako! Amina!

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5qu12 күн бұрын

    Othuman Maalim silali Bila mawadha Yako Mungu Akuongoze IshaAllah

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman746814 күн бұрын

    Sheikh Allah akuhifadh na akupe umri wenye kher na ww tunakupenda kwa ajili ya Allah kwa kutufindisha mazuri ya dunian n akhera

  • @RashidiMubiri
    @RashidiMubiri14 күн бұрын

    Sheikh Othman maalim ahsante sana ALLAH Bless you

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g13 күн бұрын

    Shukrani Jazeera sheikh Othuman Allah Tabaraq akupe umri mrefu InshaAllah ❤

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze731114 күн бұрын

    Mama wa watoto mansh'Allah n'a cheikh wetu kipenzi Allah awaniifadhie n'a awape kauli sabith mwisho wa maisha yenu

  • @omaryhamza9112

    @omaryhamza9112

    13 күн бұрын

    P . . .l L❤

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu435714 күн бұрын

    Ahsante sheikh! Allah kareem Maneno mazuri ni yale machache na yenye kujitosheleza!🙏🙏🙏🙏🙏

  • @CLEVERBOY004-cr5cc
    @CLEVERBOY004-cr5cc13 күн бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh wetu Othman maalim na fitna za walimwengu amiin

  • @ShamsiMikdad-bj7me
    @ShamsiMikdad-bj7me9 күн бұрын

    Masha allah jazakallahu khaira allah akuhifadhi shekhe kwa nasaha nzuri ❤

  • @harunhassan5066
    @harunhassan50662 күн бұрын

    Mashallah Naomba sana Allah anikutanishe na Sheikh Othman Maalim

  • @Dhihrakhamis
    @Dhihrakhamis12 күн бұрын

    Mashaallah allah akufanyie wepes sheikh othman maalim hakika umefikisha vyema mawaidha allah akulipe kkher na akujaalie mwisho mwema

  • @shaibchigwere4645

    @shaibchigwere4645

    11 күн бұрын

    Ameen

  • @hamzamasoud9120

    @hamzamasoud9120

    10 күн бұрын

    Aamin insh-Allah

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy629811 күн бұрын

    Hakuna chuki mbaya kama mtawala akiwasikiliza watu wanafiki kiongozi huyo inatakiwa awe mchunguzi utawaumiza watu kwakusikiliza watu waongo lakini samia fitina hiyo mungu akamuongoza na miba ilotanda akaichoma moto nawatu wanaishi salama leo tumuombee dua samia mungu amlinde na maadui na wanomtukana hawaipendi amani na mti wenye matunda ndio unopopolewa mawe chakufanya tuiombee dua nchi yetu mungu aijaalie salama na amani na utulivu kunawatu hawaipendi hii amani mungu awahukumu na asisimame nao amin

  • @chukuchukukissy8694
    @chukuchukukissy869413 күн бұрын

    Sheikh uko vzr sana

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py14 күн бұрын

    Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe

  • @user-qd2tp2mb5l
    @user-qd2tp2mb5l13 күн бұрын

    Mashaa'Allah ahsante Jazzakum'llah kheri ❤

  • @salminasalim5630
    @salminasalim56308 күн бұрын

    Sheikh Othman Maalim mashaallah Tabarak Allah. Allah akuhifadhi.

  • @KamalSaid-qe6ny
    @KamalSaid-qe6ny4 күн бұрын

    Ta bararka Allah mola aku barik sheikh

  • @user-xy4kt8wk6l
    @user-xy4kt8wk6l14 күн бұрын

    Huyu Sheikh Anajuwa Sanaa tena Sanaa

  • @alishor6020
    @alishor602022 сағат бұрын

    Shukran sana Sheikh wetu mpendwa

  • @seleabdi6251
    @seleabdi625112 күн бұрын

    Wallah Alhamdullah anasimama shekhe na anaongea ushekhe

  • @amantually1105
    @amantually110513 күн бұрын

    Allah akujaze kheri sheikh wetu tunakupenda sanaa Allah Akupe na kauli thabiti Amiin

  • @Omanbahla-f8i
    @Omanbahla-f8i13 күн бұрын

    Masha Allah Allah akupe umri mrf

  • @Maarifasnr-gu6dp
    @Maarifasnr-gu6dp12 күн бұрын

    Mama samia ukipata muda ipitie tena crip hii uisikilize tena itakupa kitu cha kukusaidia duniani na akhera inshaallah

  • @issamushi6389

    @issamushi6389

    11 күн бұрын

    Shida ni huo mda maana waliomzunguka ndyo wanampoteza njia

  • @dihamejr-bh6np
    @dihamejr-bh6np13 күн бұрын

    MashaAllah sheikh othman

  • @a.856
    @a.85614 күн бұрын

    Jazakallah khayran

  • @RashidiMubiri
    @RashidiMubiri14 күн бұрын

    ما شاء الله❤

  • @MUANASASALIMO
    @MUANASASALIMO14 күн бұрын

    Masha Allah

  • @abuusaidy1506
    @abuusaidy150613 күн бұрын

    Mashaa allah jazaaka allahulnkheiry

  • @MansoorJr
    @MansoorJr11 күн бұрын

    Mashallah mungu azid kukupa umri mref maalim

  • @issamushi6389
    @issamushi638911 күн бұрын

    Allah amjalie kila la kheri kwa kumkumbusha na ujasiri ila sujui kama kaelewa

  • @sameerjuma1405
    @sameerjuma140514 күн бұрын

    Naam mashaallah maalim nakuelewa sana❤

  • @adamjadeja1978
    @adamjadeja197814 күн бұрын

    1:29 mashallah subhallah

  • @binkhatwab7691
    @binkhatwab76916 күн бұрын

    Shukran San Allah akubarik

  • @shaibchigwere4645
    @shaibchigwere464511 күн бұрын

    I like this sheikh, got soft voice

  • @user-gn8zs4qx2y
    @user-gn8zs4qx2y14 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤nampenda shekhe wangu

  • @kasaisatv9765
    @kasaisatv976510 күн бұрын

    Allah akupe kheri zaidi Sheikh letu.

  • @suremake4439
    @suremake44396 күн бұрын

    Mashaallah allah akuhifadh

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid117114 күн бұрын

    Mashaalah

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt12 күн бұрын

    Yaaaah allah na uwakinge na hasadi na madhwalimu❤❤❤

  • @khalifamohammedkhalifa1578
    @khalifamohammedkhalifa15788 күн бұрын

    Mashllah Allah akuhifadhi

  • @dallatode8295
    @dallatode829513 күн бұрын

    Ma sha Allah

  • @user-pm7sx6mc1t
    @user-pm7sx6mc1t13 күн бұрын

    Mashallah❤

  • @khomeinially3165
    @khomeinially316511 күн бұрын

    Maashaa allah ❤❤❤❤❤❤❤

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido27929 күн бұрын

    Barakallahu fiikum

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt12 күн бұрын

    Allahu akbar mola nsomba utupe ulinzi na utukufu wako yaaah razaki

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews14 күн бұрын

    Sheikh Othman Maalim

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni840014 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @hamidaissa4769
    @hamidaissa47699 күн бұрын

    Mashaallah maneno mafupi lakini yametujenga Allah awape umri mrefu viongozi wetu na akituita awe ameturidhia na atufishe hali yakuwa waislam

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba6 күн бұрын

    Ukiwaangalia na hayo mashungi huwezi amini kama ni ma lender mabovu 😢😢😢

  • @user-hx8tj3oe3r
    @user-hx8tj3oe3r7 күн бұрын

    Mashallah

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban120313 күн бұрын

    Wewe unayemtukana shekh Othman maalim huna chochote isipokuwa hasadi TU inakusumbua hata ukiumia aliyepewa kapewa TU hakuna wakumnyang'anya unaumia bureeeeeeee!

  • @user-kq7mp8qz9e

    @user-kq7mp8qz9e

    13 күн бұрын

    Kujipendekeza kwawatawala haifai

  • @mutaji5454

    @mutaji5454

    12 күн бұрын

    Kajipendekeza vipi waja hamuishi maneno Nenda nawewe ukajipendekeze​@@user-kq7mp8qz9e

  • @TawfiqHaji

    @TawfiqHaji

    8 күн бұрын

    Hakika unayoongea ni kweli ,kwani kualikwa sehemu ukafikisha ujumbe ili atadabur na kubadilisha nyoyo zao viongozi ni tatizo,ndio hao mashehe wakiamiliana na walevi kuwafikishia dawa wanawasema kwa ubaya utasikia shehe nae ni muhuni ila jamii utaifikia jee bila kujenga mustaqbali mwema nao,mungu amlipe kwa wema wake🤲🤲🤲🤲🙏

  • @user-jh8es6kl4r
    @user-jh8es6kl4r9 күн бұрын

    Mashaallah maneno mazito.

  • @SalamaRidaha
    @SalamaRidaha11 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @MirrahMeccu
    @MirrahMeccu14 күн бұрын

    Allah akupe mwisho mwema unaongea kwa busara sana

  • @user-rh7lj1lo5x
    @user-rh7lj1lo5x11 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu5 күн бұрын

    Ujumbe mzito wenye kufidisha.

  • @sadamakame7684
    @sadamakame768411 күн бұрын

    😢😢. l. L p. 😢😢😢

  • @user-xj5vm7ig2d
    @user-xj5vm7ig2d14 күн бұрын

    Sheikh Othman maalim huna baya kwangu

  • @sadamakame7684
    @sadamakame768411 күн бұрын

    😢😢. l. L p. 😢😢😢😢😮😢

  • @salumkigoya5891

    @salumkigoya5891

    10 күн бұрын

    Nini maana ya ii

  • @user-rw2ke1bd6l
    @user-rw2ke1bd6l14 күн бұрын

    Wewe boya acha kuita shekh mungo au ndio nyie mnae tumwa kutukana mashekh wetu tumia kauli nzur

  • @yohana1242

    @yohana1242

    13 күн бұрын

    Acha kuwajibu mashoga achana nao

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt12 күн бұрын

    Waaajaalie viongozi wetu waweze kutuongoza vyema

  • @NabilPrince-l5o
    @NabilPrince-l5o4 күн бұрын

    Yy

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe872711 күн бұрын

    eneo hili ukimpa nafasi ya kutoa speech kwa baadhi ya viongozi lazima watu wasepe

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa629013 күн бұрын

    Kongamano la wanawake

  • @joojombi2341
    @joojombi23417 күн бұрын

    Heading yako mbovu kabisa kwakweli daaah. Maalim asema Ulimi wako jinsi ya kuutumia

  • @joojombi2341
    @joojombi23417 күн бұрын

    Kapewa aelezee kuhusu Fitna. Heading yako mbovu akhui

  • @likimaro6
    @likimaro614 күн бұрын

    Kaongea vizuri, hana uchawa wa kipuuuzi...watamwelewa wenye akili tu

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    14 күн бұрын

    I second you brother!🙏

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    14 күн бұрын

    Mtu mwenye uislam wakweli hawezi kua chawa coz muislam hofu pekee alonayo ni ya Mungu waka si mtu wale machawa wanaojiita mashekhe ni madalali tu walovaa kanzu

  • @user-kq7mp8qz9e

    @user-kq7mp8qz9e

    13 күн бұрын

    Hujui Kama kupenda niupofu nanyny munampenda mtu hatakama anakosea Asia I biwe

  • @user-kq7mp8qz9e
    @user-kq7mp8qz9e13 күн бұрын

    Hao wanawake bado wanavutia kimatamanio hakunastara hapo

  • @athmansalim3066

    @athmansalim3066

    13 күн бұрын

    kaka una maradhi ya moyo !!?

  • @user-kq7mp8qz9e

    @user-kq7mp8qz9e

    13 күн бұрын

    @@athmansalim3066 siyo maradhi yamoyo hakuna uislaam unao amrisha michanganyiko Kama hayo

  • @yunus-or3ny
    @yunus-or3ny12 күн бұрын

    Mashkhe wanajisahau kwamba hakuna kiongozi mwanamke katika uislam

  • @rashid3562

    @rashid3562

    11 күн бұрын

    Kwhyo watak wafanya nn hao masheikh kwa mfano, afu masheikh au mungu ndo anae amua nani atutawale?

  • @rashid3562

    @rashid3562

    11 күн бұрын

    Kwhyo watak wafanya nn hao masheikh kwa mfano, afu masheikh au mungu ndo anae amua nani atutawale?

  • @East_Africa_120

    @East_Africa_120

    10 күн бұрын

    Kwahiyo

  • @imaniandrea-ib6fy
    @imaniandrea-ib6fy10 күн бұрын

    tanzania hatuna dini shekhe nakama tunadini kwanin kuna baaz ya maandiko hatufati mim nataman tanzania isiwe nadini bali iwe namungu mana nitaifa laumoja na halibagui jisia tukisema tufate din bas mwenamke atakua mtumwa na ufalume utakua wakulisishana

  • @BakariKatani

    @BakariKatani

    7 күн бұрын

    Haiko hivyo ndugu😢

  • @RamooAli-hr3nv
    @RamooAli-hr3nv8 күн бұрын

    Ubuyu na kisahani

  • @MRASISKA
    @MRASISKA14 күн бұрын

    Soon tutasikia imamu wakike

  • @umsulaiman7468

    @umsulaiman7468

    14 күн бұрын

    Ovyooo huna

  • @umsulaiman7468

    @umsulaiman7468

    14 күн бұрын

    Kama wanawake wanavo jifanya manabii na wengine eti wa falme eti wamemuona Mungu kufuru tupu

  • @staanstaan8722

    @staanstaan8722

    13 күн бұрын

    Utamleta ww uyo

  • @Shuu.A

    @Shuu.A

    13 күн бұрын

    Hao wakristo si waisla hakuna muislamu​ gata mmoja alojifanya babii usiandinge upuuzi hapa@@umsulaiman7468

  • @Shuu.A

    @Shuu.A

    13 күн бұрын

    Alokwambia nani kama mwanamke atakuwa imam peleka huko ukafiki wako mpuuzi wee

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo438214 күн бұрын

    KAZI NI KUMSIFU VIONGOZI TU, NA HAWAWAKOSOI NA KUWAAMBIA UKWELI KAMA VIONGOZI WAKO HATARI I NA MOTO WA JAHANNAM!

  • @MnubiMm

    @MnubiMm

    14 күн бұрын

    Kosoa wewe unaejua na usiekuwa na Makosa

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    14 күн бұрын

    @@MnubiMm ameingiza siasa huyo.

  • @staanstaan8722

    @staanstaan8722

    13 күн бұрын

    Kuna mijitu sijui ikoje alosema binadam ata ukimramba nyayo kwa ulimi basi atasema unamchuna ndo hawa @natafuta matatizo

  • @user-hj4bc5uh2x

    @user-hj4bc5uh2x

    13 күн бұрын

    Kwelikabisa

  • @user-hj4bc5uh2x

    @user-hj4bc5uh2x

    13 күн бұрын

    Nchingum sanahii tujalibukufata ukweli kwamtu aliesahihi tusitawaliwe mnasiasa tutawaliwe naukweli dhati sio mihemko tuigemafunzo yakweli siokuiga hadikuvaamiwan tutawaliwe moyowaukweli kwenyekusifu tusitu kwenyeshida tukemee ilavyote vitawaliwe naheshima yakweli

  • @user-vb6rg4tk7z
    @user-vb6rg4tk7z14 күн бұрын

    Ivi shekhe huwezi kutoa Mawaidha usitoe Visa vya uwongo?

  • @allymnyenye8109

    @allymnyenye8109

    14 күн бұрын

    Astaghafirullah dah ndugu yangu shekhe anazungumzia jinsi ya kujua kuzungumza na hapa hapa unatoa maneno yasiofaa ? Allah akusamehe Inshaallah

  • @KhamisOmar-kt4kz

    @KhamisOmar-kt4kz

    14 күн бұрын

    Nynyi wengine mtamuudhi Mungu Ata Mbele ya hukumu sheikh anaongea kuhusu ulimi hapo hapo unatusi watu

  • @staanstaan8722

    @staanstaan8722

    13 күн бұрын

    Toa ww vya kweli manyoya we

  • @yohana1242

    @yohana1242

    13 күн бұрын

    Mm nasema mara zote mashoga kwenye hii nchi yetu hatuwataki huyu jamaa aliecomet nina uhakik ni choko

  • @Shuu.A

    @Shuu.A

    13 күн бұрын

    Kwani alokwita nani hapa kafirii mkubwa weye usiesoma ulotoka na bangi zako huko kuka comment ujinga

  • @SalamaRidaha
    @SalamaRidaha11 күн бұрын

    Masha Allah

  • @sadamakame7684
    @sadamakame768411 күн бұрын

    😢😢. l. L p. 😢😢😢😢😮😢

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan700614 күн бұрын

    MASHALAH

  • @sadamakame7684

    @sadamakame7684

    11 күн бұрын

    Ll. 9:59😊😊😊😢