SHEIKH OTHMAN MAALIM AMUOMBA KITU KIZITO RAIS SAMIA "TUHURUMIYE WEWE NDIO KIONGOZI WETU ZIBITI ULIMI
#AdilTV
Жүктеу.....
Пікірлер: 122
@sadikidaudi46014 күн бұрын
Othman Maalim nakukubaali saana Allah akuzidishie maarifa uzidi kupambania dini ya Allah
@riazshaikh857714 күн бұрын
Sifa zote zinaenda kwa Allah Sub'hanna'Allah wata'allah aliyemjaalia shekh othman Maalim uwezo wa kufukisha ujumbe huu au kukumbusha maneno yake mwenyewe Allah ndani ya Quran binaadam anapaswa kuishi vipi, shukran sana shekh Othman Maalim , nakuaangalia au kukusikia kutoka marekani. ❤
@issamushi6389
11 күн бұрын
Shida ameelewa
@subirajohn72813 күн бұрын
Namependa Sana mawaidha ya Shekh Othman Maalim! Mwenyezimungu akutunze Sheikh tuendelee kupata faraja Kwa mawaidha yako! Amina!
@JumaAbdallah-gn5qu12 күн бұрын
Othuman Maalim silali Bila mawadha Yako Mungu Akuongoze IshaAllah
@umsulaiman746814 күн бұрын
Sheikh Allah akuhifadh na akupe umri wenye kher na ww tunakupenda kwa ajili ya Allah kwa kutufindisha mazuri ya dunian n akhera
@RashidiMubiri14 күн бұрын
Sheikh Othman maalim ahsante sana ALLAH Bless you
@user-xk7vy4gb6g13 күн бұрын
Shukrani Jazeera sheikh Othuman Allah Tabaraq akupe umri mrefu InshaAllah ❤
@fatimahirakoze731114 күн бұрын
Mama wa watoto mansh'Allah n'a cheikh wetu kipenzi Allah awaniifadhie n'a awape kauli sabith mwisho wa maisha yenu
@omaryhamza9112
13 күн бұрын
P . . .l L❤
@muddymuzungu435714 күн бұрын
Ahsante sheikh! Allah kareem Maneno mazuri ni yale machache na yenye kujitosheleza!🙏🙏🙏🙏🙏
@CLEVERBOY004-cr5cc13 күн бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu Othman maalim na fitna za walimwengu amiin
@ShamsiMikdad-bj7me9 күн бұрын
Masha allah jazakallahu khaira allah akuhifadhi shekhe kwa nasaha nzuri ❤
@harunhassan50662 күн бұрын
Mashallah Naomba sana Allah anikutanishe na Sheikh Othman Maalim
@Dhihrakhamis12 күн бұрын
Mashaallah allah akufanyie wepes sheikh othman maalim hakika umefikisha vyema mawaidha allah akulipe kkher na akujaalie mwisho mwema
@shaibchigwere4645
11 күн бұрын
Ameen
@hamzamasoud9120
10 күн бұрын
Aamin insh-Allah
@masoudalriyamy629811 күн бұрын
Hakuna chuki mbaya kama mtawala akiwasikiliza watu wanafiki kiongozi huyo inatakiwa awe mchunguzi utawaumiza watu kwakusikiliza watu waongo lakini samia fitina hiyo mungu akamuongoza na miba ilotanda akaichoma moto nawatu wanaishi salama leo tumuombee dua samia mungu amlinde na maadui na wanomtukana hawaipendi amani na mti wenye matunda ndio unopopolewa mawe chakufanya tuiombee dua nchi yetu mungu aijaalie salama na amani na utulivu kunawatu hawaipendi hii amani mungu awahukumu na asisimame nao amin
@chukuchukukissy869413 күн бұрын
Sheikh uko vzr sana
@AndulHida-hs5py14 күн бұрын
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
@user-qd2tp2mb5l13 күн бұрын
Mashaa'Allah ahsante Jazzakum'llah kheri ❤
@salminasalim56308 күн бұрын
Sheikh Othman Maalim mashaallah Tabarak Allah. Allah akuhifadhi.
@KamalSaid-qe6ny4 күн бұрын
Ta bararka Allah mola aku barik sheikh
@user-xy4kt8wk6l14 күн бұрын
Huyu Sheikh Anajuwa Sanaa tena Sanaa
@alishor602022 сағат бұрын
Shukran sana Sheikh wetu mpendwa
@seleabdi625112 күн бұрын
Wallah Alhamdullah anasimama shekhe na anaongea ushekhe
@amantually110513 күн бұрын
Allah akujaze kheri sheikh wetu tunakupenda sanaa Allah Akupe na kauli thabiti Amiin
@Omanbahla-f8i13 күн бұрын
Masha Allah Allah akupe umri mrf
@Maarifasnr-gu6dp12 күн бұрын
Mama samia ukipata muda ipitie tena crip hii uisikilize tena itakupa kitu cha kukusaidia duniani na akhera inshaallah
@issamushi6389
11 күн бұрын
Shida ni huo mda maana waliomzunguka ndyo wanampoteza njia
@dihamejr-bh6np13 күн бұрын
MashaAllah sheikh othman
@a.85614 күн бұрын
Jazakallah khayran
@RashidiMubiri14 күн бұрын
ما شاء الله❤
@MUANASASALIMO14 күн бұрын
Masha Allah
@abuusaidy150613 күн бұрын
Mashaa allah jazaaka allahulnkheiry
@MansoorJr11 күн бұрын
Mashallah mungu azid kukupa umri mref maalim
@issamushi638911 күн бұрын
Allah amjalie kila la kheri kwa kumkumbusha na ujasiri ila sujui kama kaelewa
@sameerjuma140514 күн бұрын
Naam mashaallah maalim nakuelewa sana❤
@adamjadeja197814 күн бұрын
1:29 mashallah subhallah
@binkhatwab76916 күн бұрын
Shukran San Allah akubarik
@shaibchigwere464511 күн бұрын
I like this sheikh, got soft voice
@user-gn8zs4qx2y14 күн бұрын
❤❤❤❤❤nampenda shekhe wangu
@kasaisatv976510 күн бұрын
Allah akupe kheri zaidi Sheikh letu.
@suremake44396 күн бұрын
Mashaallah allah akuhifadh
@bimumaulid117114 күн бұрын
Mashaalah
@FatnaAlly-go7yt12 күн бұрын
Yaaaah allah na uwakinge na hasadi na madhwalimu❤❤❤
@khalifamohammedkhalifa15788 күн бұрын
Mashllah Allah akuhifadhi
@dallatode829513 күн бұрын
Ma sha Allah
@user-pm7sx6mc1t13 күн бұрын
Mashallah❤
@khomeinially316511 күн бұрын
Maashaa allah ❤❤❤❤❤❤❤
@mody-guyngido27929 күн бұрын
Barakallahu fiikum
@FatnaAlly-go7yt12 күн бұрын
Allahu akbar mola nsomba utupe ulinzi na utukufu wako yaaah razaki
@Legends_Interviews14 күн бұрын
Sheikh Othman Maalim
@zuhramwavyoni840014 күн бұрын
❤❤❤
@hamidaissa47699 күн бұрын
Mashaallah maneno mafupi lakini yametujenga Allah awape umri mrefu viongozi wetu na akituita awe ameturidhia na atufishe hali yakuwa waislam
@TreasureMagumba6 күн бұрын
Ukiwaangalia na hayo mashungi huwezi amini kama ni ma lender mabovu 😢😢😢
@user-hx8tj3oe3r7 күн бұрын
Mashallah
@hamidashaban120313 күн бұрын
Wewe unayemtukana shekh Othman maalim huna chochote isipokuwa hasadi TU inakusumbua hata ukiumia aliyepewa kapewa TU hakuna wakumnyang'anya unaumia bureeeeeeee!
Hakika unayoongea ni kweli ,kwani kualikwa sehemu ukafikisha ujumbe ili atadabur na kubadilisha nyoyo zao viongozi ni tatizo,ndio hao mashehe wakiamiliana na walevi kuwafikishia dawa wanawasema kwa ubaya utasikia shehe nae ni muhuni ila jamii utaifikia jee bila kujenga mustaqbali mwema nao,mungu amlipe kwa wema wake🤲🤲🤲🤲🙏
@user-jh8es6kl4r9 күн бұрын
Mashaallah maneno mazito.
@SalamaRidaha11 күн бұрын
❤❤❤❤
@MirrahMeccu14 күн бұрын
Allah akupe mwisho mwema unaongea kwa busara sana
@user-rh7lj1lo5x11 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@jamalkishangu5 күн бұрын
Ujumbe mzito wenye kufidisha.
@sadamakame768411 күн бұрын
😢😢. l. L p. 😢😢😢
@user-xj5vm7ig2d14 күн бұрын
Sheikh Othman maalim huna baya kwangu
@sadamakame768411 күн бұрын
😢😢. l. L p. 😢😢😢😢😮😢
@salumkigoya5891
10 күн бұрын
Nini maana ya ii
@user-rw2ke1bd6l14 күн бұрын
Wewe boya acha kuita shekh mungo au ndio nyie mnae tumwa kutukana mashekh wetu tumia kauli nzur
@yohana1242
13 күн бұрын
Acha kuwajibu mashoga achana nao
@FatnaAlly-go7yt12 күн бұрын
Waaajaalie viongozi wetu waweze kutuongoza vyema
@NabilPrince-l5o4 күн бұрын
Yy
@saidrakwe872711 күн бұрын
eneo hili ukimpa nafasi ya kutoa speech kwa baadhi ya viongozi lazima watu wasepe
@osmaniidrisa629013 күн бұрын
Kongamano la wanawake
@joojombi23417 күн бұрын
Heading yako mbovu kabisa kwakweli daaah. Maalim asema Ulimi wako jinsi ya kuutumia
@joojombi23417 күн бұрын
Kapewa aelezee kuhusu Fitna. Heading yako mbovu akhui
@likimaro614 күн бұрын
Kaongea vizuri, hana uchawa wa kipuuuzi...watamwelewa wenye akili tu
@muddymuzungu4357
14 күн бұрын
I second you brother!🙏
@FahadAbubakari
14 күн бұрын
Mtu mwenye uislam wakweli hawezi kua chawa coz muislam hofu pekee alonayo ni ya Mungu waka si mtu wale machawa wanaojiita mashekhe ni madalali tu walovaa kanzu
@user-kq7mp8qz9e
13 күн бұрын
Hujui Kama kupenda niupofu nanyny munampenda mtu hatakama anakosea Asia I biwe
@user-kq7mp8qz9e13 күн бұрын
Hao wanawake bado wanavutia kimatamanio hakunastara hapo
@athmansalim3066
13 күн бұрын
kaka una maradhi ya moyo !!?
@user-kq7mp8qz9e
13 күн бұрын
@@athmansalim3066 siyo maradhi yamoyo hakuna uislaam unao amrisha michanganyiko Kama hayo
@yunus-or3ny12 күн бұрын
Mashkhe wanajisahau kwamba hakuna kiongozi mwanamke katika uislam
@rashid3562
11 күн бұрын
Kwhyo watak wafanya nn hao masheikh kwa mfano, afu masheikh au mungu ndo anae amua nani atutawale?
@rashid3562
11 күн бұрын
Kwhyo watak wafanya nn hao masheikh kwa mfano, afu masheikh au mungu ndo anae amua nani atutawale?
@East_Africa_120
10 күн бұрын
Kwahiyo
@imaniandrea-ib6fy10 күн бұрын
tanzania hatuna dini shekhe nakama tunadini kwanin kuna baaz ya maandiko hatufati mim nataman tanzania isiwe nadini bali iwe namungu mana nitaifa laumoja na halibagui jisia tukisema tufate din bas mwenamke atakua mtumwa na ufalume utakua wakulisishana
@BakariKatani
7 күн бұрын
Haiko hivyo ndugu😢
@RamooAli-hr3nv8 күн бұрын
Ubuyu na kisahani
@MRASISKA14 күн бұрын
Soon tutasikia imamu wakike
@umsulaiman7468
14 күн бұрын
Ovyooo huna
@umsulaiman7468
14 күн бұрын
Kama wanawake wanavo jifanya manabii na wengine eti wa falme eti wamemuona Mungu kufuru tupu
@staanstaan8722
13 күн бұрын
Utamleta ww uyo
@Shuu.A
13 күн бұрын
Hao wakristo si waisla hakuna muislamu gata mmoja alojifanya babii usiandinge upuuzi hapa@@umsulaiman7468
@Shuu.A
13 күн бұрын
Alokwambia nani kama mwanamke atakuwa imam peleka huko ukafiki wako mpuuzi wee
@natafutamatatizo438214 күн бұрын
KAZI NI KUMSIFU VIONGOZI TU, NA HAWAWAKOSOI NA KUWAAMBIA UKWELI KAMA VIONGOZI WAKO HATARI I NA MOTO WA JAHANNAM!
@MnubiMm
14 күн бұрын
Kosoa wewe unaejua na usiekuwa na Makosa
@Mumewangu
14 күн бұрын
@@MnubiMm ameingiza siasa huyo.
@staanstaan8722
13 күн бұрын
Kuna mijitu sijui ikoje alosema binadam ata ukimramba nyayo kwa ulimi basi atasema unamchuna ndo hawa @natafuta matatizo
Пікірлер: 122
Othman Maalim nakukubaali saana Allah akuzidishie maarifa uzidi kupambania dini ya Allah
Sifa zote zinaenda kwa Allah Sub'hanna'Allah wata'allah aliyemjaalia shekh othman Maalim uwezo wa kufukisha ujumbe huu au kukumbusha maneno yake mwenyewe Allah ndani ya Quran binaadam anapaswa kuishi vipi, shukran sana shekh Othman Maalim , nakuaangalia au kukusikia kutoka marekani. ❤
@issamushi6389
11 күн бұрын
Shida ameelewa
Namependa Sana mawaidha ya Shekh Othman Maalim! Mwenyezimungu akutunze Sheikh tuendelee kupata faraja Kwa mawaidha yako! Amina!
Othuman Maalim silali Bila mawadha Yako Mungu Akuongoze IshaAllah
Sheikh Allah akuhifadh na akupe umri wenye kher na ww tunakupenda kwa ajili ya Allah kwa kutufindisha mazuri ya dunian n akhera
Sheikh Othman maalim ahsante sana ALLAH Bless you
Shukrani Jazeera sheikh Othuman Allah Tabaraq akupe umri mrefu InshaAllah ❤
Mama wa watoto mansh'Allah n'a cheikh wetu kipenzi Allah awaniifadhie n'a awape kauli sabith mwisho wa maisha yenu
@omaryhamza9112
13 күн бұрын
P . . .l L❤
Ahsante sheikh! Allah kareem Maneno mazuri ni yale machache na yenye kujitosheleza!🙏🙏🙏🙏🙏
Allah akuhifadhi sheikh wetu Othman maalim na fitna za walimwengu amiin
Masha allah jazakallahu khaira allah akuhifadhi shekhe kwa nasaha nzuri ❤
Mashallah Naomba sana Allah anikutanishe na Sheikh Othman Maalim
Mashaallah allah akufanyie wepes sheikh othman maalim hakika umefikisha vyema mawaidha allah akulipe kkher na akujaalie mwisho mwema
@shaibchigwere4645
11 күн бұрын
Ameen
@hamzamasoud9120
10 күн бұрын
Aamin insh-Allah
Hakuna chuki mbaya kama mtawala akiwasikiliza watu wanafiki kiongozi huyo inatakiwa awe mchunguzi utawaumiza watu kwakusikiliza watu waongo lakini samia fitina hiyo mungu akamuongoza na miba ilotanda akaichoma moto nawatu wanaishi salama leo tumuombee dua samia mungu amlinde na maadui na wanomtukana hawaipendi amani na mti wenye matunda ndio unopopolewa mawe chakufanya tuiombee dua nchi yetu mungu aijaalie salama na amani na utulivu kunawatu hawaipendi hii amani mungu awahukumu na asisimame nao amin
Sheikh uko vzr sana
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
Mashaa'Allah ahsante Jazzakum'llah kheri ❤
Sheikh Othman Maalim mashaallah Tabarak Allah. Allah akuhifadhi.
Ta bararka Allah mola aku barik sheikh
Huyu Sheikh Anajuwa Sanaa tena Sanaa
Shukran sana Sheikh wetu mpendwa
Wallah Alhamdullah anasimama shekhe na anaongea ushekhe
Allah akujaze kheri sheikh wetu tunakupenda sanaa Allah Akupe na kauli thabiti Amiin
Masha Allah Allah akupe umri mrf
Mama samia ukipata muda ipitie tena crip hii uisikilize tena itakupa kitu cha kukusaidia duniani na akhera inshaallah
@issamushi6389
11 күн бұрын
Shida ni huo mda maana waliomzunguka ndyo wanampoteza njia
MashaAllah sheikh othman
Jazakallah khayran
ما شاء الله❤
Masha Allah
Mashaa allah jazaaka allahulnkheiry
Mashallah mungu azid kukupa umri mref maalim
Allah amjalie kila la kheri kwa kumkumbusha na ujasiri ila sujui kama kaelewa
Naam mashaallah maalim nakuelewa sana❤
1:29 mashallah subhallah
Shukran San Allah akubarik
I like this sheikh, got soft voice
❤❤❤❤❤nampenda shekhe wangu
Allah akupe kheri zaidi Sheikh letu.
Mashaallah allah akuhifadh
Mashaalah
Yaaaah allah na uwakinge na hasadi na madhwalimu❤❤❤
Mashllah Allah akuhifadhi
Ma sha Allah
Mashallah❤
Maashaa allah ❤❤❤❤❤❤❤
Barakallahu fiikum
Allahu akbar mola nsomba utupe ulinzi na utukufu wako yaaah razaki
Sheikh Othman Maalim
❤❤❤
Mashaallah maneno mafupi lakini yametujenga Allah awape umri mrefu viongozi wetu na akituita awe ameturidhia na atufishe hali yakuwa waislam
Ukiwaangalia na hayo mashungi huwezi amini kama ni ma lender mabovu 😢😢😢
Mashallah
Wewe unayemtukana shekh Othman maalim huna chochote isipokuwa hasadi TU inakusumbua hata ukiumia aliyepewa kapewa TU hakuna wakumnyang'anya unaumia bureeeeeeee!
@user-kq7mp8qz9e
13 күн бұрын
Kujipendekeza kwawatawala haifai
@mutaji5454
12 күн бұрын
Kajipendekeza vipi waja hamuishi maneno Nenda nawewe ukajipendekeze@@user-kq7mp8qz9e
@TawfiqHaji
8 күн бұрын
Hakika unayoongea ni kweli ,kwani kualikwa sehemu ukafikisha ujumbe ili atadabur na kubadilisha nyoyo zao viongozi ni tatizo,ndio hao mashehe wakiamiliana na walevi kuwafikishia dawa wanawasema kwa ubaya utasikia shehe nae ni muhuni ila jamii utaifikia jee bila kujenga mustaqbali mwema nao,mungu amlipe kwa wema wake🤲🤲🤲🤲🙏
Mashaallah maneno mazito.
❤❤❤❤
Allah akupe mwisho mwema unaongea kwa busara sana
❤❤❤❤❤
Ujumbe mzito wenye kufidisha.
😢😢. l. L p. 😢😢😢
Sheikh Othman maalim huna baya kwangu
😢😢. l. L p. 😢😢😢😢😮😢
@salumkigoya5891
10 күн бұрын
Nini maana ya ii
Wewe boya acha kuita shekh mungo au ndio nyie mnae tumwa kutukana mashekh wetu tumia kauli nzur
@yohana1242
13 күн бұрын
Acha kuwajibu mashoga achana nao
Waaajaalie viongozi wetu waweze kutuongoza vyema
Yy
eneo hili ukimpa nafasi ya kutoa speech kwa baadhi ya viongozi lazima watu wasepe
Kongamano la wanawake
Heading yako mbovu kabisa kwakweli daaah. Maalim asema Ulimi wako jinsi ya kuutumia
Kapewa aelezee kuhusu Fitna. Heading yako mbovu akhui
Kaongea vizuri, hana uchawa wa kipuuuzi...watamwelewa wenye akili tu
@muddymuzungu4357
14 күн бұрын
I second you brother!🙏
@FahadAbubakari
14 күн бұрын
Mtu mwenye uislam wakweli hawezi kua chawa coz muislam hofu pekee alonayo ni ya Mungu waka si mtu wale machawa wanaojiita mashekhe ni madalali tu walovaa kanzu
@user-kq7mp8qz9e
13 күн бұрын
Hujui Kama kupenda niupofu nanyny munampenda mtu hatakama anakosea Asia I biwe
Hao wanawake bado wanavutia kimatamanio hakunastara hapo
@athmansalim3066
13 күн бұрын
kaka una maradhi ya moyo !!?
@user-kq7mp8qz9e
13 күн бұрын
@@athmansalim3066 siyo maradhi yamoyo hakuna uislaam unao amrisha michanganyiko Kama hayo
Mashkhe wanajisahau kwamba hakuna kiongozi mwanamke katika uislam
@rashid3562
11 күн бұрын
Kwhyo watak wafanya nn hao masheikh kwa mfano, afu masheikh au mungu ndo anae amua nani atutawale?
@rashid3562
11 күн бұрын
Kwhyo watak wafanya nn hao masheikh kwa mfano, afu masheikh au mungu ndo anae amua nani atutawale?
@East_Africa_120
10 күн бұрын
Kwahiyo
tanzania hatuna dini shekhe nakama tunadini kwanin kuna baaz ya maandiko hatufati mim nataman tanzania isiwe nadini bali iwe namungu mana nitaifa laumoja na halibagui jisia tukisema tufate din bas mwenamke atakua mtumwa na ufalume utakua wakulisishana
@BakariKatani
7 күн бұрын
Haiko hivyo ndugu😢
Ubuyu na kisahani
Soon tutasikia imamu wakike
@umsulaiman7468
14 күн бұрын
Ovyooo huna
@umsulaiman7468
14 күн бұрын
Kama wanawake wanavo jifanya manabii na wengine eti wa falme eti wamemuona Mungu kufuru tupu
@staanstaan8722
13 күн бұрын
Utamleta ww uyo
@Shuu.A
13 күн бұрын
Hao wakristo si waisla hakuna muislamu gata mmoja alojifanya babii usiandinge upuuzi hapa@@umsulaiman7468
@Shuu.A
13 күн бұрын
Alokwambia nani kama mwanamke atakuwa imam peleka huko ukafiki wako mpuuzi wee
KAZI NI KUMSIFU VIONGOZI TU, NA HAWAWAKOSOI NA KUWAAMBIA UKWELI KAMA VIONGOZI WAKO HATARI I NA MOTO WA JAHANNAM!
@MnubiMm
14 күн бұрын
Kosoa wewe unaejua na usiekuwa na Makosa
@Mumewangu
14 күн бұрын
@@MnubiMm ameingiza siasa huyo.
@staanstaan8722
13 күн бұрын
Kuna mijitu sijui ikoje alosema binadam ata ukimramba nyayo kwa ulimi basi atasema unamchuna ndo hawa @natafuta matatizo
@user-hj4bc5uh2x
13 күн бұрын
Kwelikabisa
@user-hj4bc5uh2x
13 күн бұрын
Nchingum sanahii tujalibukufata ukweli kwamtu aliesahihi tusitawaliwe mnasiasa tutawaliwe naukweli dhati sio mihemko tuigemafunzo yakweli siokuiga hadikuvaamiwan tutawaliwe moyowaukweli kwenyekusifu tusitu kwenyeshida tukemee ilavyote vitawaliwe naheshima yakweli
Ivi shekhe huwezi kutoa Mawaidha usitoe Visa vya uwongo?
@allymnyenye8109
14 күн бұрын
Astaghafirullah dah ndugu yangu shekhe anazungumzia jinsi ya kujua kuzungumza na hapa hapa unatoa maneno yasiofaa ? Allah akusamehe Inshaallah
@KhamisOmar-kt4kz
14 күн бұрын
Nynyi wengine mtamuudhi Mungu Ata Mbele ya hukumu sheikh anaongea kuhusu ulimi hapo hapo unatusi watu
@staanstaan8722
13 күн бұрын
Toa ww vya kweli manyoya we
@yohana1242
13 күн бұрын
Mm nasema mara zote mashoga kwenye hii nchi yetu hatuwataki huyu jamaa aliecomet nina uhakik ni choko
@Shuu.A
13 күн бұрын
Kwani alokwita nani hapa kafirii mkubwa weye usiesoma ulotoka na bangi zako huko kuka comment ujinga
Masha Allah
😢😢. l. L p. 😢😢😢😢😮😢
MASHALAH
@sadamakame7684
11 күн бұрын
Ll. 9:59😊😊😊😢