Hasbiyallahu waniimal wakil minsharri hasidin idhaa hasad Allah anihifadhi mimi pamoja nakizazi changu aniepushe mabalaa pamoja nafamiliayangu
@husna34562 Жыл бұрын
Subhanallah hasbunallah waneemal wakil
@khadijaismail5013 Жыл бұрын
Subhanallah mtihan
@husna34562 Жыл бұрын
Allah atunusur na balaa na atukinge na shar za mahasid
@zaituniabubakari7329 Жыл бұрын
Nyoka namwogopa mimi ila sinabudi kinanitokea Allah niondolee yarab subhanallah
@yasalaam5902 жыл бұрын
Shukran ya sheykh
@sifamanyori-kf9vq Жыл бұрын
Bona wakina dayamodi anafuka nyoka kimahisha mungu apedi uongo wamahisha anapenda Himani yako
@MariaPlmbuki Жыл бұрын
Niliota nimeng'atwa na nyoka mwenye sumu kari sana,niliota ndoto hiyo mara tatu kwa siku tofauti tofauti.aiseee nilikuja kupatwa na maumivu ambayo yalifikia maumivu ya sumu ile na nikajua aliekua nyoka alikua ni mutu wa karibu nami sana,hivyo usipuuze ndoto,zingatia
@latifahstephano903811 ай бұрын
Nashukuru sana kiukweli leo nimejua maana ya kuota nyoka 😭😭😭😭
@abdulwahidsaid41863 жыл бұрын
Asalam alaykum sheikh nashukuru kwa darsa yako kuhusu ndogo y’a nyoka,mm nimemuota nyoka mkubwa amejiviringisha na amejificha kichwa chake Lkn nyoka huyo yupo jikoni nyumbani kwangu karibu Na sink y’a kunawiya maji chini Lkn baadae Nikamuona kama kile kichwa chake kimekuwa kama samaki kambare mkavu Lkn mwili wake unajiviringisha naona msaada wako imma watafsiri Na dua ili nifanye au kisomo nifanye Dawa yyte jifanye ili niondoe uadui shukran.
@askaobengo2253
2 жыл бұрын
Asalam alekum nimeota nyoka mkubwa ikiniona ikakimbia ikapotea
@ashurayassin2541
2 ай бұрын
Mimi nimeota nyoka mwenye vichwa viwili mkian na kichwan ananitembea mwilin
@paulineemali80082 ай бұрын
Nimeota na nyoka wawili mmoja eti ni mzuri mwingine anadhuru
@sumeiyamaddy95 Жыл бұрын
Mm pia naota sana nyoka Allah atuhifadhi inshallah
@sifamanyori-kf9vq Жыл бұрын
Kubuka doto za nyoka kubuka kunamari uripo mukosea mungu wabinguni
@rahimaamour275610 ай бұрын
Mimi naota sana nyoka ila inanipa sana shida kujuwa maana japo huwa nahisi . kunasiku pia niliota nyoka mkuwa sana mweusu . nilishtuka na kumjuza mdogo wangu ili aweze kunisaidia maana ila nae hakuwa anajuwa .ila leo nashkur umenipa ufafanuzi nyoka ni uwaduei wa ndani yameshanitokea mpaka nikaachishwa kz ila nashkur mungu amenipa zaidi ya ile
@user-yy6iz5le9l6 ай бұрын
🙌🙌🙌
@lrene4442 Жыл бұрын
Naomba uniambie kila siku naota naibiwa pesa au vitu vya ndani yani kama vile kidanda ngodoro vitu vyote kwa ujumla nimeota mara nyingi sana😢
@mankagema52672 жыл бұрын
mimi nimetoa gamba la nyoka wa kijani
@rehemaomary98042 жыл бұрын
Nimeota nakimbizwa na nyoka wawili weupeee
@samiamohamed76022 жыл бұрын
Aslam alaykum sheikh,, pole na majukum,, naomba kujua ndoto hii,,niliota nimeumwa na nyoka maranying Hua naota ivo na pia namwote na mwanangu anakimbiza na nyoka
@nurumwinyi7962 жыл бұрын
Aslm Aleikum warramatullahi. Mmi niliota nipo chumbni na nyoka mkubwa yupo sakafuni yuwaranda randa chini ya kitanda ila ukishuka chini ndio yuwakufukuza bt ukiwa juu ya kitanda hakufuati.
@ghareebatotoz13422 жыл бұрын
Ndoto nyengine za nyoka naskia ni asili ya jini mbuki ni kweli sheikh
@salumsaid4574 Жыл бұрын
Asalaam aleikum sheikh mm nimgonjwa naumwa sna na maradhi ya ki sihri Jana nimelala usku nikaota nimeumwa na nyoka nikawa na hangaika kutafuta msaada lkn hakuna anae nisaidia nikawa natoa mapofu mdomoni baadae nikatoa damu nikawa na hangaika kuzunguka Kila nnae mfata hanipi msaada baadae nikaona nakufa kivuli kinatengna na mwili wangu Kisha Nika amka kutoka usingizni naomba uniambie hii ndoto Ina maana gani
@HawaSaleheАй бұрын
Shekh mm naota sana hao nyoka na kuwaota marehem je nifanye nn
@halimabaishe23262 жыл бұрын
Assalama laikum warahmatullah wabarakatu Shekhe Mimi niliota nyoka wawili wakinaangaliya tuliangaliyana machokwamacho lakini nikawanaogopa natetema katika ndoto ndio nikastuka ucngizi hiyo maana yake nini Shekhe manake Toka niote sinaraha nimtu sayote nimnyonge
@gasharazarehema142729 күн бұрын
Asalam alaikum warhamatullah wabarakatuh nikiota nyoka nifanye Dua Gani ili niepuke madhara ya ndoto iyo
Hii ni kweli mm nliota nyoka mara nyingi sana nkaskia mamangu na jirani zangu wamegombana wakajenga uadui
@FaridaMwinyi Жыл бұрын
Sheikh mm naota sana naokota pesa tena zkiwa zimepagwa kla nkienda mbele naziokota ila ikifka ya nne au ya tano kuokota tu hunijia ah pengne ni mtego wa kitu kibaya huziacha haraka naomba unitafsirie
@anliomaromar71632 жыл бұрын
Asalamu alaykum mualimu.mim nimeota ananifukuza nyoka mkubua Ana mabaka meusy badae nikanza kunfukuza na Mimi alikimbilia shimoni
@OsmanMussa-ry6mh2 ай бұрын
Unadarsa nzuri lakini una long introduction shekh
@somosaria81676 ай бұрын
Nimeota nyoka napewa na mtibabu alafu kuna dawa ukimwalia yuwajivua magamba nimeshtuka sana walah na sijawahi hata kwenda kwa mtibabu hii inamanisha nini jamani tena nyoka mkubwa sana
@user-us1wc1qy9n8 ай бұрын
Mimi nimeota nyoka amenirukia nikiwa nimelala
@adelbethaclemensilyenji2951 Жыл бұрын
She Mimi niliota ndoto nyoka wa njano amekatika kichwa lakini Bado anatembea anakitafuta kichwa chake
@alimaomary8515 Жыл бұрын
Naombe mnisaidie hili jamani ua naita nipo namimba tena kumbwa yakukomaa napia wakati mwengine uota zaidi yamara mbili kwausiku mmoja niambieni jamani hiyo ndoto ninzuri au mbaya mana hinafululiza kila siku
@zaituniabubakari7329 Жыл бұрын
Uyu shekh nampataje niko na hiyo tatizo toka juzi napatwa nahilo tatizo nashutka nafukunzwa na nyoka naota silali kwa raha simchana wala usiku
@kennedykalenga1506 Жыл бұрын
Nilishaka wai kulota ivo
@yasalaam5902 жыл бұрын
Naomba niombee dua nimemuota huyo mnyama lakini nilimuota upande nyoka kichwani lakini mkiani ana mkia wasamaki
Mimi nimeota ndoto ya nyoka wengi,wengine wakubwa,wengine wakawaida,wengine nawaua wengine siwauwi.....inamaana gani
@lrene4442
Жыл бұрын
Uyo ni mimi kabisa jamani
@halimahamis37422 жыл бұрын
Shekhe mimi huwa naota nge tandu nikiwa usingizini marakwamara inajirudia kila mara
@HalimaBeyyazid2 ай бұрын
mm nimeota nyoka mkumbwa
@candypowz12742 жыл бұрын
Mbona mm huwa naota nyoka wengi ila hawanitafuni wala hawanifanyi chochote napita na wao wapo
@reginadzame60155 ай бұрын
Unamuota nyoka unamkimbiza umuuwe na yeye na kutoroka
@user-lv3pf9mq3c7 ай бұрын
Mm niliota nyoka ameumia mkia wake lakin anatoa Moshi nnin maana yake
@elizabethndege44582 жыл бұрын
Shykrani natamani nipate namba ya Whatsapp nipate mafundisho mengi
@akimuabdallah80392 жыл бұрын
Ili usiote ndoto yoyote unatakiwa usilale ila ukilala tu lazma utaota unataka usitake
@bellahashim37872 жыл бұрын
Ukiwota watu watatu wasiyo eleweka wanagewuka wanyama wakali. Kama nyoka mukubwa sana na Simba wamakali pamoja mamba mukubwa sana
@user-sn8rn9hn5d5 ай бұрын
Shehee nisaidie maana ya hii nyoka naota napigana nayo na nikamshinda nyoka huyo
@dahumsuya-tp8zd7 ай бұрын
Shekhe hujibu SMS lakn kwann jmn
@anithabashir6406 Жыл бұрын
Nimeota ndoto nyoka watatu wame fariki
@sumeiyamaddy95 Жыл бұрын
Yani mpka kitandan naota
@salmauae2261 Жыл бұрын
Mimeota nazaa nyoka mpaka nimeshituka
@dianabosibori8476
10 ай бұрын
😮😮😮khai
@nameno86082 жыл бұрын
Mimi niliambiwa Nyoka ni mizimu yetu ukiota nyoka ujue mizimu inakulinda pia nyoka wote si wabaya wapo wenye sumu na wengine ni wema tu tusiwachukie nyoka ni viumbe kama sisi
@chinguilechinguile1501
10 ай бұрын
Mlinzi wa kweli na haki ni Allah pekee.tumtegemee Allah pekee tuache habari za mizimu ni shirki.
@alonngoko7814 Жыл бұрын
Nliota ndoto mwanangu amegusa nyoka paspo kjua akang'atwa mkono nakatka harakati yakumsaidia nkaamka Toka usngzn nauliza mama ya ndoto hiyo Nini?
@sharifayusuph72 жыл бұрын
Naomba nisaidie kujua maana ya ndoto hii...nmeota nitojifungua watoto mapacha wawili wakiume na watu wananishangaa nimejifungua vipi wakati sikua na mimba
@veronicamaghembe2102
4 ай бұрын
Hii ni ishara nzuri ya mafanikio kwenye maisha yako
Sekh mm tangu nilipofikish miaka 12 paka sasa nina miaka 18 na haiwez kupita wiki bila kuota Njozi za nyoka na nyoka wenyew naota nyoka zaid ya 50 alfu japo na wingi wao wote hakuna nyoka hata mmoja ambaye ananinga'ata sasa labda unisaidie ndotohii maana ake nini maana ni miaka mingi sana na ndoto ni aina tofauti tofauti ila zimejazwa nyoka kila pande zinaishia kunitambaa tu
@stephanomaduhu54268 ай бұрын
Hiyo miezi nusu maana yake ni nini
@NajimaNichole-oz3zv7 ай бұрын
Niliota nyoka mkubwaaa kazunguka kabati lakini kichwa chake juuuu ni sura ya mama yangu tena kakasirika ana muangalia vibaya dada yngu yuko getini kubwa na dadayangu pia anaogopa kuingia getini 🙏
@asnathyasnathy48762 жыл бұрын
Mimi nimemuota nyoka kaningata ila yani nilikua namsaidia mtu kupambana nao ndo nikangatwa ila nikawa siogopi
@fatmag8983
2 жыл бұрын
Daaa hat mm nilioat hiv nilikuw namsaidia mtu
@filsanshamsi6129
Жыл бұрын
Kheee mbn tunafanana tena nilikuwa nasaidia mtu asiyejulikana
Пікірлер: 74
Unaporojo sana had Yale ya maana hauyaongei
Hasbiyallahu waniimal wakil minsharri hasidin idhaa hasad Allah anihifadhi mimi pamoja nakizazi changu aniepushe mabalaa pamoja nafamiliayangu
Subhanallah hasbunallah waneemal wakil
Subhanallah mtihan
Allah atunusur na balaa na atukinge na shar za mahasid
Nyoka namwogopa mimi ila sinabudi kinanitokea Allah niondolee yarab subhanallah
Shukran ya sheykh
Bona wakina dayamodi anafuka nyoka kimahisha mungu apedi uongo wamahisha anapenda Himani yako
Niliota nimeng'atwa na nyoka mwenye sumu kari sana,niliota ndoto hiyo mara tatu kwa siku tofauti tofauti.aiseee nilikuja kupatwa na maumivu ambayo yalifikia maumivu ya sumu ile na nikajua aliekua nyoka alikua ni mutu wa karibu nami sana,hivyo usipuuze ndoto,zingatia
Nashukuru sana kiukweli leo nimejua maana ya kuota nyoka 😭😭😭😭
Asalam alaykum sheikh nashukuru kwa darsa yako kuhusu ndogo y’a nyoka,mm nimemuota nyoka mkubwa amejiviringisha na amejificha kichwa chake Lkn nyoka huyo yupo jikoni nyumbani kwangu karibu Na sink y’a kunawiya maji chini Lkn baadae Nikamuona kama kile kichwa chake kimekuwa kama samaki kambare mkavu Lkn mwili wake unajiviringisha naona msaada wako imma watafsiri Na dua ili nifanye au kisomo nifanye Dawa yyte jifanye ili niondoe uadui shukran.
@askaobengo2253
2 жыл бұрын
Asalam alekum nimeota nyoka mkubwa ikiniona ikakimbia ikapotea
@ashurayassin2541
2 ай бұрын
Mimi nimeota nyoka mwenye vichwa viwili mkian na kichwan ananitembea mwilin
Nimeota na nyoka wawili mmoja eti ni mzuri mwingine anadhuru
Mm pia naota sana nyoka Allah atuhifadhi inshallah
Kubuka doto za nyoka kubuka kunamari uripo mukosea mungu wabinguni
Mimi naota sana nyoka ila inanipa sana shida kujuwa maana japo huwa nahisi . kunasiku pia niliota nyoka mkuwa sana mweusu . nilishtuka na kumjuza mdogo wangu ili aweze kunisaidia maana ila nae hakuwa anajuwa .ila leo nashkur umenipa ufafanuzi nyoka ni uwaduei wa ndani yameshanitokea mpaka nikaachishwa kz ila nashkur mungu amenipa zaidi ya ile
🙌🙌🙌
Naomba uniambie kila siku naota naibiwa pesa au vitu vya ndani yani kama vile kidanda ngodoro vitu vyote kwa ujumla nimeota mara nyingi sana😢
mimi nimetoa gamba la nyoka wa kijani
Nimeota nakimbizwa na nyoka wawili weupeee
Aslam alaykum sheikh,, pole na majukum,, naomba kujua ndoto hii,,niliota nimeumwa na nyoka maranying Hua naota ivo na pia namwote na mwanangu anakimbiza na nyoka
Aslm Aleikum warramatullahi. Mmi niliota nipo chumbni na nyoka mkubwa yupo sakafuni yuwaranda randa chini ya kitanda ila ukishuka chini ndio yuwakufukuza bt ukiwa juu ya kitanda hakufuati.
Ndoto nyengine za nyoka naskia ni asili ya jini mbuki ni kweli sheikh
Asalaam aleikum sheikh mm nimgonjwa naumwa sna na maradhi ya ki sihri Jana nimelala usku nikaota nimeumwa na nyoka nikawa na hangaika kutafuta msaada lkn hakuna anae nisaidia nikawa natoa mapofu mdomoni baadae nikatoa damu nikawa na hangaika kuzunguka Kila nnae mfata hanipi msaada baadae nikaona nakufa kivuli kinatengna na mwili wangu Kisha Nika amka kutoka usingizni naomba uniambie hii ndoto Ina maana gani
Shekh mm naota sana hao nyoka na kuwaota marehem je nifanye nn
Assalama laikum warahmatullah wabarakatu Shekhe Mimi niliota nyoka wawili wakinaangaliya tuliangaliyana machokwamacho lakini nikawanaogopa natetema katika ndoto ndio nikastuka ucngizi hiyo maana yake nini Shekhe manake Toka niote sinaraha nimtu sayote nimnyonge
Asalam alaikum warhamatullah wabarakatuh nikiota nyoka nifanye Dua Gani ili niepuke madhara ya ndoto iyo
Mimi nikimuona nyoka usingizini. Napigaa niganyejr
Hii ni kweli mm nliota nyoka mara nyingi sana nkaskia mamangu na jirani zangu wamegombana wakajenga uadui
Sheikh mm naota sana naokota pesa tena zkiwa zimepagwa kla nkienda mbele naziokota ila ikifka ya nne au ya tano kuokota tu hunijia ah pengne ni mtego wa kitu kibaya huziacha haraka naomba unitafsirie
Asalamu alaykum mualimu.mim nimeota ananifukuza nyoka mkubua Ana mabaka meusy badae nikanza kunfukuza na Mimi alikimbilia shimoni
Unadarsa nzuri lakini una long introduction shekh
Nimeota nyoka napewa na mtibabu alafu kuna dawa ukimwalia yuwajivua magamba nimeshtuka sana walah na sijawahi hata kwenda kwa mtibabu hii inamanisha nini jamani tena nyoka mkubwa sana
Mimi nimeota nyoka amenirukia nikiwa nimelala
She Mimi niliota ndoto nyoka wa njano amekatika kichwa lakini Bado anatembea anakitafuta kichwa chake
Naombe mnisaidie hili jamani ua naita nipo namimba tena kumbwa yakukomaa napia wakati mwengine uota zaidi yamara mbili kwausiku mmoja niambieni jamani hiyo ndoto ninzuri au mbaya mana hinafululiza kila siku
Uyu shekh nampataje niko na hiyo tatizo toka juzi napatwa nahilo tatizo nashutka nafukunzwa na nyoka naota silali kwa raha simchana wala usiku
Nilishaka wai kulota ivo
Naomba niombee dua nimemuota huyo mnyama lakini nilimuota upande nyoka kichwani lakini mkiani ana mkia wasamaki
Asalam alaykum sheikh Ukiota nyoka kajivingisha kichwani kwako nini mahana yake sheikh 🙏🙏
Hi
Mimi nimeota ndoto ya nyoka wengi,wengine wakubwa,wengine wakawaida,wengine nawaua wengine siwauwi.....inamaana gani
@lrene4442
Жыл бұрын
Uyo ni mimi kabisa jamani
Shekhe mimi huwa naota nge tandu nikiwa usingizini marakwamara inajirudia kila mara
mm nimeota nyoka mkumbwa
Mbona mm huwa naota nyoka wengi ila hawanitafuni wala hawanifanyi chochote napita na wao wapo
Unamuota nyoka unamkimbiza umuuwe na yeye na kutoroka
Mm niliota nyoka ameumia mkia wake lakin anatoa Moshi nnin maana yake
Shykrani natamani nipate namba ya Whatsapp nipate mafundisho mengi
Ili usiote ndoto yoyote unatakiwa usilale ila ukilala tu lazma utaota unataka usitake
Ukiwota watu watatu wasiyo eleweka wanagewuka wanyama wakali. Kama nyoka mukubwa sana na Simba wamakali pamoja mamba mukubwa sana
Shehee nisaidie maana ya hii nyoka naota napigana nayo na nikamshinda nyoka huyo
Shekhe hujibu SMS lakn kwann jmn
Nimeota ndoto nyoka watatu wame fariki
Yani mpka kitandan naota
Mimeota nazaa nyoka mpaka nimeshituka
@dianabosibori8476
10 ай бұрын
😮😮😮khai
Mimi niliambiwa Nyoka ni mizimu yetu ukiota nyoka ujue mizimu inakulinda pia nyoka wote si wabaya wapo wenye sumu na wengine ni wema tu tusiwachukie nyoka ni viumbe kama sisi
@chinguilechinguile1501
10 ай бұрын
Mlinzi wa kweli na haki ni Allah pekee.tumtegemee Allah pekee tuache habari za mizimu ni shirki.
Nliota ndoto mwanangu amegusa nyoka paspo kjua akang'atwa mkono nakatka harakati yakumsaidia nkaamka Toka usngzn nauliza mama ya ndoto hiyo Nini?
Naomba nisaidie kujua maana ya ndoto hii...nmeota nitojifungua watoto mapacha wawili wakiume na watu wananishangaa nimejifungua vipi wakati sikua na mimba
@veronicamaghembe2102
4 ай бұрын
Hii ni ishara nzuri ya mafanikio kwenye maisha yako
poa
Tatizo shekeeeeeeee unaongea sanaaaaa mb zenyewe nizashd sn☹️
@zuwenasalim2794
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣ndokashaamua yn MB zetu ajui za kuungaunga
Sekh mm tangu nilipofikish miaka 12 paka sasa nina miaka 18 na haiwez kupita wiki bila kuota Njozi za nyoka na nyoka wenyew naota nyoka zaid ya 50 alfu japo na wingi wao wote hakuna nyoka hata mmoja ambaye ananinga'ata sasa labda unisaidie ndotohii maana ake nini maana ni miaka mingi sana na ndoto ni aina tofauti tofauti ila zimejazwa nyoka kila pande zinaishia kunitambaa tu
Hiyo miezi nusu maana yake ni nini
Niliota nyoka mkubwaaa kazunguka kabati lakini kichwa chake juuuu ni sura ya mama yangu tena kakasirika ana muangalia vibaya dada yngu yuko getini kubwa na dadayangu pia anaogopa kuingia getini 🙏
Mimi nimemuota nyoka kaningata ila yani nilikua namsaidia mtu kupambana nao ndo nikangatwa ila nikawa siogopi
@fatmag8983
2 жыл бұрын
Daaa hat mm nilioat hiv nilikuw namsaidia mtu
@filsanshamsi6129
Жыл бұрын
Kheee mbn tunafanana tena nilikuwa nasaidia mtu asiyejulikana