No video

UKIOTA NDOTO NYOKA KAINGIA KATIKA CHUMBA AU OFSINI........ || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE

Kongamano La Waombaji Sumbawanga |\ 2024

Пікірлер: 71

  • @rabekahadson1401
    @rabekahadson14015 ай бұрын

    Jamani tunaomba video nzima ya hili kongamano 😢 naihitaji sana 🙏

  • @emmanuelhumph
    @emmanuelhumph4 ай бұрын

    Asante Baba unanikuza sana Mungu akutunze wewe na mama Diana na huduma ya mana

  • @ericmellau3783
    @ericmellau37835 ай бұрын

    Ila uyu mzee ni wamoto sana, yaani i tafsir imenibamba sana ❤❤❤

  • @emanuelnyab9872
    @emanuelnyab98725 ай бұрын

    Ohoo my Lord ahsante kww mafunuo haya

  • @esthermchiwa7896
    @esthermchiwa78965 ай бұрын

    Mungu wa mbinguni aukumbuke utumishi wako baba huwa unanibariki sana.Natamani siku moja nikuelezee ndoto zangu unisaidie

  • @christopherjoyce1903
    @christopherjoyce1903Ай бұрын

    Amina mtumishi najifunza!ni jana tu nimeota nyoka kaingia kwenye nyumba yetu

  • @rebeccabayo2988
    @rebeccabayo29885 ай бұрын

    Mwalimu naomba nami unikumbuke, niombee kwa mungu shamba langu lizae maana mwaka jana nilipata hasar mungu anisaidie na kuniinua.

  • @maryalphonce-jy8kn

    @maryalphonce-jy8kn

    4 ай бұрын

    Amen

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange88745 ай бұрын

    Jehovah nifundishe kuomba jinsi ipasavyo

  • @user-ke9vc5it1d
    @user-ke9vc5it1d5 ай бұрын

    Amen Baba Mungu akutuze

  • @rebeccabayo2988
    @rebeccabayo29885 ай бұрын

    Mungu akubariki mwalimu ili uzidi kutufundisha

  • @meudakayuni2346
    @meudakayuni23464 ай бұрын

    ❤ nawapenda katika Kristo mbarkiwe saana mtumishi

  • @bluebirdlogisticsco.limite3415
    @bluebirdlogisticsco.limite34155 күн бұрын

    Amen

  • @user-st8qb8qj7j
    @user-st8qb8qj7j4 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman164 ай бұрын

    I receive I receive I receive

  • @isdoryndayanse
    @isdoryndayanse4 ай бұрын

    Mungu akubalik

  • @EfronMayoba
    @EfronMayoba4 ай бұрын

    Amen sana mtumishi

  • @JacklineJoseph-ld1gi
    @JacklineJoseph-ld1gi2 ай бұрын

    Mwl naomba uniombee niliamka usiku. Nikaenda choooni. Mara narudi nikashutuka nyoka. Kumwamgalia sikumwona. Kweli sikuomba.nimekaaa wiki Moja . Mungu kanikushusha Ile nyoka ndo nikaomba. Nikangoa na kuaribu.

  • @edwardpeter701
    @edwardpeter7013 ай бұрын

    Asante mtumishi

  • @rechosagumo8971
    @rechosagumo89715 ай бұрын

    Amen baba

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty5 ай бұрын

    Amen Babà 🥰

  • @emmaforrealtz1
    @emmaforrealtz15 ай бұрын

    Amina

  • @rahelchilale1075
    @rahelchilale10755 ай бұрын

    AMEN 🙏.

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange88745 ай бұрын

    Amen Amen

  • @user-mt1vj9hh8p
    @user-mt1vj9hh8p4 ай бұрын

    Ameni 🙏

  • @Mak_health
    @Mak_health4 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman164 ай бұрын

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN

  • @user-is1ek4dh8o
    @user-is1ek4dh8o3 ай бұрын

    Naomba no za mchungaji jaman

  • @user-kc6lr3pq2c
    @user-kc6lr3pq2c4 ай бұрын

    Ameeen

  • @JoshuaHilgath
    @JoshuaHilgath5 ай бұрын

    Ameni

  • @MagangaMasunga
    @MagangaMasunga4 ай бұрын

    Ameen

  • @lightnesskweka4774
    @lightnesskweka47745 ай бұрын

    Shallom mm nimewah kuota nyoka ameingia sehem zangu za siri na hakutoka tena mara 2 kabisaa😢😢😢nn maana yke 😢

  • @joycestivini677

    @joycestivini677

    4 ай бұрын

    Maana yake unaishi na adui,,hasa eneo la mahusiano

  • @aidanongole9341
    @aidanongole93415 ай бұрын

    amen

  • @PriscaDaniel-vu5bl
    @PriscaDaniel-vu5bl2 ай бұрын

    Mwalimu mm nikiota nyoka mkubwa sana kavunja duka langu na aliyemtuma ni jirani yangu ,baada ya hapo uchumi wangu umevurugika sana ,leo nimeota nimengatwa na nyoka meno mawili

  • @CharlesNdoshi-xk7hd

    @CharlesNdoshi-xk7hd

    Ай бұрын

    Omba tena kwa maombi ya mnyororo wa kufunga usipo angalia uko pabaya sana

  • @florasimba3784
    @florasimba37844 ай бұрын

    Namb namb ya mtumish mwakaseg jmn

  • @user-im4dv8ls1b
    @user-im4dv8ls1b5 ай бұрын

    Baba naomba maombi

  • @tumainiswai3540
    @tumainiswai35404 ай бұрын

    Nimepata kitu nukikuamwajiriwa miaka 8 imepita sasa lakini naota nikiwa na yule boss. Tunahesabu ela hii inamanisha boss ananipiga ela nini

  • @samwelimadaraka4358
    @samwelimadaraka43585 ай бұрын

    Nina shida sana nahitaji mawasiliano ya Mwali mwakasege

  • @ChristinMsanganzila-te4pf
    @ChristinMsanganzila-te4pfАй бұрын

    jesus❤

  • @ChristinMsanganzila-te4pf

    @ChristinMsanganzila-te4pf

    Ай бұрын

    🙏🙏asntee mungu,unanipenda na kuniongoza vema,..Amen

  • @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
    @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf4 ай бұрын

    Wewe ni Baba unanilea japo sijawahi hata kukaa karibu na wewe zaidi ya kukuona madhabahuni

  • @user-gh9oh6mt5o
    @user-gh9oh6mt5o4 ай бұрын

    Niliota nyoka anaishia kutoka ndani paka wawili waksmla sikufuatilia😅😊

  • @amosmdullah7301
    @amosmdullah73013 ай бұрын

    Imenikita ili jambo😢

  • @user-th5xz1fg5t
    @user-th5xz1fg5t5 ай бұрын

    mtt wng mm anakimbia mpk ktandan uyo nyoka anamfuata na anamkimbiza

  • @christinamwakitalima4267
    @christinamwakitalima42675 ай бұрын

    Tunaomba somo lote huduma ya mana

  • @franklinisaya4796
    @franklinisaya47965 ай бұрын

    Kwanza nimecheka kweny kukimbia

  • @user-jt4xw3py4k
    @user-jt4xw3py4k5 ай бұрын

    Tunaomba semina nzima baba

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy5 ай бұрын

    Niliota baba nimengatwa na nyoka

  • @HappynesSamuel
    @HappynesSamuel5 ай бұрын

    Baba namie niliota ndoto nyoka kalala tumboni kwangu nyoka wa blauni

  • @beniviva5014

    @beniviva5014

    5 ай бұрын

    Duuuuh!! Omba toba Kwaajili ya chochote kilichofungua Mlango huyo nyoka akakaa hapo tumbn, Afu anzaa kuachilia Damu ya Yesu kumuondoa, jitahd kuombea sana hiyo ndoto, Maan baaada ya MUDA UTAAANZA KUSUMBULIWA NA MATATIZO YA TUMBO, ukishindwa kuomba mwenyew Mtafut mtumish mweny Nguv za Mungu akusaidie kuomb usiipotezee hiyo ndt

  • @HappynesSamuel

    @HappynesSamuel

    5 ай бұрын

    Ni miaka 4 iliyopita na kweli nasumbuliwa sana na tumbo kila nikienda hospital wanasema ni UTI na Taifod na kila mwez naenda hospital nameza dawa zikiisha linaanza kuuma tena

  • @HappynesSamuel

    @HappynesSamuel

    5 ай бұрын

    Kuna Mtumishi wa Huduma ya Mana Mwanza huwa naenda

  • @beniviva5014

    @beniviva5014

    5 ай бұрын

    Duuh! Pole aisee Mtumish, Hilo tumbo sio La ugonjwa wa kawaida Kam wanavyosema Uti, Mi nikushaur kam unaweza kufunga na kuomba, Na maombi yako yakilenga Toba Na Damu ya Yesu, Na kuamuru kila rojo iliyo kaa kweny Tumbo lako ikuachie, Basi baada ya Muda Utafunguliwa na utakua mzima kabisa

  • @user-th5xz1fg5t

    @user-th5xz1fg5t

    5 ай бұрын

    mwanang anaota anakimbizwa na nyoka

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown11015 ай бұрын

    Mie niliota nyoka kaniuma lakini nikamlalia kifuani na yeye huyo nyoka akafa

  • @yukundapeter8200

    @yukundapeter8200

    4 ай бұрын

    Hongera sana hapo ulikuwa adui.Mimi nilitoka kwa rafiki jioni,kagixa kanaingia,nkawa Nakimbia wamama wawili wakanistopisha ucje cha2,yule mama mmoja akarudi dukani kwake kuchukua panga,mimi nkachukua jiwe kubwa km kichwa changu,nkamlenga Nyoka cha2 kichwani paa akaviviringisha,nkachukua jingine paa,aka2lia ana hacra,mama wa duka akalikata kichwa likafa,hii ni life,Unene wake unakaribia nguxo ya umeme,urefu nusu nguxo,mkichwa wa nyoka 2kausokomexa kwenye shimo la mchwa pana sn.Kila alopita hakuna aloamini km cc wamama 3 ndo 2meuwa lile joka,ucku nikiwa ucngixini ktk ndoto,akanijia akanijia joka lile lile,likaniulixa kwa nn umeniua?? Sasa nakuuwa wewe,nami nkaliambia joka hutaniuwa,ntakuuwa mimi ktk jina la Yesu,nkachukua gongo nkalipiga kichwani nkaliuwa.Nkastuka ucngixini moyo ukawa unadunda sn,Nkafunga safari kwenda Arusha kumwelexea Mch.Mch akaniambia lile likitoka kuximu,kwa nguvu ya Mungu nkalishinda.Ukiwa karibu na Mungu utaepuka mengi ya ibilic.

  • @eaglecrown1101

    @eaglecrown1101

    4 ай бұрын

    @@yukundapeter8200 duuuu hongera Sana ulishinda hiyo Vita

  • @JacklineJoseph-ld1gi
    @JacklineJoseph-ld1gi2 ай бұрын

    Amen

  • @mathewpeter9504
    @mathewpeter95045 ай бұрын

    Amen

  • @user-ep2jm7dp2r
    @user-ep2jm7dp2r5 ай бұрын

    Amen

  • @esthermbugulu3404
    @esthermbugulu34044 ай бұрын

    Amen

  • @user-ep2jm7dp2r
    @user-ep2jm7dp2r5 ай бұрын

    Amen

  • @user-gg4ok6ws4p
    @user-gg4ok6ws4p4 ай бұрын

    Amen

  • @JonhMassawe
    @JonhMassawe4 ай бұрын

    Amen

  • @rosedohho8971
    @rosedohho89714 ай бұрын

    Amen

  • @amanmponji219
    @amanmponji2195 ай бұрын

    Amen

  • @HappynesSamuel

    @HappynesSamuel

    5 ай бұрын

    Amina Mtumishi nikumbuke ktk Maombi wakati mwingine nashindwa kuomba

  • @HappynesSamuel

    @HappynesSamuel

    5 ай бұрын

    Pole Mungu Akutetee

Келесі