UKIOTA NDOTO NYOKA KAINGIA KATIKA CHUMBA AU OFSINI........ || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE
Kongamano La Waombaji Sumbawanga |\ 2024
Жүктеу.....
Пікірлер: 71
@rabekahadson14015 ай бұрын
Jamani tunaomba video nzima ya hili kongamano 😢 naihitaji sana 🙏
@emmanuelhumph4 ай бұрын
Asante Baba unanikuza sana Mungu akutunze wewe na mama Diana na huduma ya mana
@ericmellau37835 ай бұрын
Ila uyu mzee ni wamoto sana, yaani i tafsir imenibamba sana ❤❤❤
@emanuelnyab98725 ай бұрын
Ohoo my Lord ahsante kww mafunuo haya
@esthermchiwa78965 ай бұрын
Mungu wa mbinguni aukumbuke utumishi wako baba huwa unanibariki sana.Natamani siku moja nikuelezee ndoto zangu unisaidie
@christopherjoyce1903Ай бұрын
Amina mtumishi najifunza!ni jana tu nimeota nyoka kaingia kwenye nyumba yetu
@rebeccabayo29885 ай бұрын
Mwalimu naomba nami unikumbuke, niombee kwa mungu shamba langu lizae maana mwaka jana nilipata hasar mungu anisaidie na kuniinua.
@maryalphonce-jy8kn
4 ай бұрын
Amen
@neemamachangemachange88745 ай бұрын
Jehovah nifundishe kuomba jinsi ipasavyo
@user-ke9vc5it1d5 ай бұрын
Amen Baba Mungu akutuze
@rebeccabayo29885 ай бұрын
Mungu akubariki mwalimu ili uzidi kutufundisha
@meudakayuni23464 ай бұрын
❤ nawapenda katika Kristo mbarkiwe saana mtumishi
@bluebirdlogisticsco.limite34155 күн бұрын
Amen
@user-st8qb8qj7j4 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@elishaathumanathuman164 ай бұрын
I receive I receive I receive
@isdoryndayanse4 ай бұрын
Mungu akubalik
@EfronMayoba4 ай бұрын
Amen sana mtumishi
@JacklineJoseph-ld1gi2 ай бұрын
Mwl naomba uniombee niliamka usiku. Nikaenda choooni. Mara narudi nikashutuka nyoka. Kumwamgalia sikumwona. Kweli sikuomba.nimekaaa wiki Moja . Mungu kanikushusha Ile nyoka ndo nikaomba. Nikangoa na kuaribu.
@edwardpeter7013 ай бұрын
Asante mtumishi
@rechosagumo89715 ай бұрын
Amen baba
@allthingdranabeauty5 ай бұрын
Amen Babà 🥰
@emmaforrealtz15 ай бұрын
Amina
@rahelchilale10755 ай бұрын
AMEN 🙏.
@neemamachangemachange88745 ай бұрын
Amen Amen
@user-mt1vj9hh8p4 ай бұрын
Ameni 🙏
@Mak_health4 ай бұрын
Amen 🙏
@elishaathumanathuman164 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
@user-is1ek4dh8o3 ай бұрын
Naomba no za mchungaji jaman
@user-kc6lr3pq2c4 ай бұрын
Ameeen
@JoshuaHilgath5 ай бұрын
Ameni
@MagangaMasunga4 ай бұрын
Ameen
@lightnesskweka47745 ай бұрын
Shallom mm nimewah kuota nyoka ameingia sehem zangu za siri na hakutoka tena mara 2 kabisaa😢😢😢nn maana yke 😢
@joycestivini677
4 ай бұрын
Maana yake unaishi na adui,,hasa eneo la mahusiano
@aidanongole93415 ай бұрын
amen
@PriscaDaniel-vu5bl2 ай бұрын
Mwalimu mm nikiota nyoka mkubwa sana kavunja duka langu na aliyemtuma ni jirani yangu ,baada ya hapo uchumi wangu umevurugika sana ,leo nimeota nimengatwa na nyoka meno mawili
@CharlesNdoshi-xk7hd
Ай бұрын
Omba tena kwa maombi ya mnyororo wa kufunga usipo angalia uko pabaya sana
@florasimba37844 ай бұрын
Namb namb ya mtumish mwakaseg jmn
@user-im4dv8ls1b5 ай бұрын
Baba naomba maombi
@tumainiswai35404 ай бұрын
Nimepata kitu nukikuamwajiriwa miaka 8 imepita sasa lakini naota nikiwa na yule boss. Tunahesabu ela hii inamanisha boss ananipiga ela nini
@samwelimadaraka43585 ай бұрын
Nina shida sana nahitaji mawasiliano ya Mwali mwakasege
@ChristinMsanganzila-te4pfАй бұрын
jesus❤
@ChristinMsanganzila-te4pf
Ай бұрын
🙏🙏asntee mungu,unanipenda na kuniongoza vema,..Amen
@MINISTERBAHATIMPUME-px4pf4 ай бұрын
Wewe ni Baba unanilea japo sijawahi hata kukaa karibu na wewe zaidi ya kukuona madhabahuni
@user-gh9oh6mt5o4 ай бұрын
Niliota nyoka anaishia kutoka ndani paka wawili waksmla sikufuatilia😅😊
@amosmdullah73013 ай бұрын
Imenikita ili jambo😢
@user-th5xz1fg5t5 ай бұрын
mtt wng mm anakimbia mpk ktandan uyo nyoka anamfuata na anamkimbiza
@christinamwakitalima42675 ай бұрын
Tunaomba somo lote huduma ya mana
@franklinisaya47965 ай бұрын
Kwanza nimecheka kweny kukimbia
@user-jt4xw3py4k5 ай бұрын
Tunaomba semina nzima baba
@FelisterMunissy5 ай бұрын
Niliota baba nimengatwa na nyoka
@HappynesSamuel5 ай бұрын
Baba namie niliota ndoto nyoka kalala tumboni kwangu nyoka wa blauni
@beniviva5014
5 ай бұрын
Duuuuh!! Omba toba Kwaajili ya chochote kilichofungua Mlango huyo nyoka akakaa hapo tumbn, Afu anzaa kuachilia Damu ya Yesu kumuondoa, jitahd kuombea sana hiyo ndoto, Maan baaada ya MUDA UTAAANZA KUSUMBULIWA NA MATATIZO YA TUMBO, ukishindwa kuomba mwenyew Mtafut mtumish mweny Nguv za Mungu akusaidie kuomb usiipotezee hiyo ndt
@HappynesSamuel
5 ай бұрын
Ni miaka 4 iliyopita na kweli nasumbuliwa sana na tumbo kila nikienda hospital wanasema ni UTI na Taifod na kila mwez naenda hospital nameza dawa zikiisha linaanza kuuma tena
@HappynesSamuel
5 ай бұрын
Kuna Mtumishi wa Huduma ya Mana Mwanza huwa naenda
@beniviva5014
5 ай бұрын
Duuh! Pole aisee Mtumish, Hilo tumbo sio La ugonjwa wa kawaida Kam wanavyosema Uti, Mi nikushaur kam unaweza kufunga na kuomba, Na maombi yako yakilenga Toba Na Damu ya Yesu, Na kuamuru kila rojo iliyo kaa kweny Tumbo lako ikuachie, Basi baada ya Muda Utafunguliwa na utakua mzima kabisa
@user-th5xz1fg5t
5 ай бұрын
mwanang anaota anakimbizwa na nyoka
@eaglecrown11015 ай бұрын
Mie niliota nyoka kaniuma lakini nikamlalia kifuani na yeye huyo nyoka akafa
@yukundapeter8200
4 ай бұрын
Hongera sana hapo ulikuwa adui.Mimi nilitoka kwa rafiki jioni,kagixa kanaingia,nkawa Nakimbia wamama wawili wakanistopisha ucje cha2,yule mama mmoja akarudi dukani kwake kuchukua panga,mimi nkachukua jiwe kubwa km kichwa changu,nkamlenga Nyoka cha2 kichwani paa akaviviringisha,nkachukua jingine paa,aka2lia ana hacra,mama wa duka akalikata kichwa likafa,hii ni life,Unene wake unakaribia nguxo ya umeme,urefu nusu nguxo,mkichwa wa nyoka 2kausokomexa kwenye shimo la mchwa pana sn.Kila alopita hakuna aloamini km cc wamama 3 ndo 2meuwa lile joka,ucku nikiwa ucngixini ktk ndoto,akanijia akanijia joka lile lile,likaniulixa kwa nn umeniua?? Sasa nakuuwa wewe,nami nkaliambia joka hutaniuwa,ntakuuwa mimi ktk jina la Yesu,nkachukua gongo nkalipiga kichwani nkaliuwa.Nkastuka ucngixini moyo ukawa unadunda sn,Nkafunga safari kwenda Arusha kumwelexea Mch.Mch akaniambia lile likitoka kuximu,kwa nguvu ya Mungu nkalishinda.Ukiwa karibu na Mungu utaepuka mengi ya ibilic.
@eaglecrown1101
4 ай бұрын
@@yukundapeter8200 duuuu hongera Sana ulishinda hiyo Vita
@JacklineJoseph-ld1gi2 ай бұрын
Amen
@mathewpeter95045 ай бұрын
Amen
@user-ep2jm7dp2r5 ай бұрын
Amen
@esthermbugulu34044 ай бұрын
Amen
@user-ep2jm7dp2r5 ай бұрын
Amen
@user-gg4ok6ws4p4 ай бұрын
Amen
@JonhMassawe4 ай бұрын
Amen
@rosedohho89714 ай бұрын
Amen
@amanmponji2195 ай бұрын
Amen
@HappynesSamuel
5 ай бұрын
Amina Mtumishi nikumbuke ktk Maombi wakati mwingine nashindwa kuomba
Пікірлер: 71
Jamani tunaomba video nzima ya hili kongamano 😢 naihitaji sana 🙏
Asante Baba unanikuza sana Mungu akutunze wewe na mama Diana na huduma ya mana
Ila uyu mzee ni wamoto sana, yaani i tafsir imenibamba sana ❤❤❤
Ohoo my Lord ahsante kww mafunuo haya
Mungu wa mbinguni aukumbuke utumishi wako baba huwa unanibariki sana.Natamani siku moja nikuelezee ndoto zangu unisaidie
Amina mtumishi najifunza!ni jana tu nimeota nyoka kaingia kwenye nyumba yetu
Mwalimu naomba nami unikumbuke, niombee kwa mungu shamba langu lizae maana mwaka jana nilipata hasar mungu anisaidie na kuniinua.
@maryalphonce-jy8kn
4 ай бұрын
Amen
Jehovah nifundishe kuomba jinsi ipasavyo
Amen Baba Mungu akutuze
Mungu akubariki mwalimu ili uzidi kutufundisha
❤ nawapenda katika Kristo mbarkiwe saana mtumishi
Amen
Mungu akubariki mtumishi
I receive I receive I receive
Mungu akubalik
Amen sana mtumishi
Mwl naomba uniombee niliamka usiku. Nikaenda choooni. Mara narudi nikashutuka nyoka. Kumwamgalia sikumwona. Kweli sikuomba.nimekaaa wiki Moja . Mungu kanikushusha Ile nyoka ndo nikaomba. Nikangoa na kuaribu.
Asante mtumishi
Amen baba
Amen Babà 🥰
Amina
AMEN 🙏.
Amen Amen
Ameni 🙏
Amen 🙏
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Naomba no za mchungaji jaman
Ameeen
Ameni
Ameen
Shallom mm nimewah kuota nyoka ameingia sehem zangu za siri na hakutoka tena mara 2 kabisaa😢😢😢nn maana yke 😢
@joycestivini677
4 ай бұрын
Maana yake unaishi na adui,,hasa eneo la mahusiano
amen
Mwalimu mm nikiota nyoka mkubwa sana kavunja duka langu na aliyemtuma ni jirani yangu ,baada ya hapo uchumi wangu umevurugika sana ,leo nimeota nimengatwa na nyoka meno mawili
@CharlesNdoshi-xk7hd
Ай бұрын
Omba tena kwa maombi ya mnyororo wa kufunga usipo angalia uko pabaya sana
Namb namb ya mtumish mwakaseg jmn
Baba naomba maombi
Nimepata kitu nukikuamwajiriwa miaka 8 imepita sasa lakini naota nikiwa na yule boss. Tunahesabu ela hii inamanisha boss ananipiga ela nini
Nina shida sana nahitaji mawasiliano ya Mwali mwakasege
jesus❤
@ChristinMsanganzila-te4pf
Ай бұрын
🙏🙏asntee mungu,unanipenda na kuniongoza vema,..Amen
Wewe ni Baba unanilea japo sijawahi hata kukaa karibu na wewe zaidi ya kukuona madhabahuni
Niliota nyoka anaishia kutoka ndani paka wawili waksmla sikufuatilia😅😊
Imenikita ili jambo😢
mtt wng mm anakimbia mpk ktandan uyo nyoka anamfuata na anamkimbiza
Tunaomba somo lote huduma ya mana
Kwanza nimecheka kweny kukimbia
Tunaomba semina nzima baba
Niliota baba nimengatwa na nyoka
Baba namie niliota ndoto nyoka kalala tumboni kwangu nyoka wa blauni
@beniviva5014
5 ай бұрын
Duuuuh!! Omba toba Kwaajili ya chochote kilichofungua Mlango huyo nyoka akakaa hapo tumbn, Afu anzaa kuachilia Damu ya Yesu kumuondoa, jitahd kuombea sana hiyo ndoto, Maan baaada ya MUDA UTAAANZA KUSUMBULIWA NA MATATIZO YA TUMBO, ukishindwa kuomba mwenyew Mtafut mtumish mweny Nguv za Mungu akusaidie kuomb usiipotezee hiyo ndt
@HappynesSamuel
5 ай бұрын
Ni miaka 4 iliyopita na kweli nasumbuliwa sana na tumbo kila nikienda hospital wanasema ni UTI na Taifod na kila mwez naenda hospital nameza dawa zikiisha linaanza kuuma tena
@HappynesSamuel
5 ай бұрын
Kuna Mtumishi wa Huduma ya Mana Mwanza huwa naenda
@beniviva5014
5 ай бұрын
Duuh! Pole aisee Mtumish, Hilo tumbo sio La ugonjwa wa kawaida Kam wanavyosema Uti, Mi nikushaur kam unaweza kufunga na kuomba, Na maombi yako yakilenga Toba Na Damu ya Yesu, Na kuamuru kila rojo iliyo kaa kweny Tumbo lako ikuachie, Basi baada ya Muda Utafunguliwa na utakua mzima kabisa
@user-th5xz1fg5t
5 ай бұрын
mwanang anaota anakimbizwa na nyoka
Mie niliota nyoka kaniuma lakini nikamlalia kifuani na yeye huyo nyoka akafa
@yukundapeter8200
4 ай бұрын
Hongera sana hapo ulikuwa adui.Mimi nilitoka kwa rafiki jioni,kagixa kanaingia,nkawa Nakimbia wamama wawili wakanistopisha ucje cha2,yule mama mmoja akarudi dukani kwake kuchukua panga,mimi nkachukua jiwe kubwa km kichwa changu,nkamlenga Nyoka cha2 kichwani paa akaviviringisha,nkachukua jingine paa,aka2lia ana hacra,mama wa duka akalikata kichwa likafa,hii ni life,Unene wake unakaribia nguxo ya umeme,urefu nusu nguxo,mkichwa wa nyoka 2kausokomexa kwenye shimo la mchwa pana sn.Kila alopita hakuna aloamini km cc wamama 3 ndo 2meuwa lile joka,ucku nikiwa ucngixini ktk ndoto,akanijia akanijia joka lile lile,likaniulixa kwa nn umeniua?? Sasa nakuuwa wewe,nami nkaliambia joka hutaniuwa,ntakuuwa mimi ktk jina la Yesu,nkachukua gongo nkalipiga kichwani nkaliuwa.Nkastuka ucngixini moyo ukawa unadunda sn,Nkafunga safari kwenda Arusha kumwelexea Mch.Mch akaniambia lile likitoka kuximu,kwa nguvu ya Mungu nkalishinda.Ukiwa karibu na Mungu utaepuka mengi ya ibilic.
@eaglecrown1101
4 ай бұрын
@@yukundapeter8200 duuuu hongera Sana ulishinda hiyo Vita
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
@HappynesSamuel
5 ай бұрын
Amina Mtumishi nikumbuke ktk Maombi wakati mwingine nashindwa kuomba
@HappynesSamuel
5 ай бұрын
Pole Mungu Akutetee