NDOTO HIZI '3' NI HATARI SANA!!

Пікірлер: 230

  • @joshuaonefive6820
    @joshuaonefive68203 жыл бұрын

    Amen baba yangu, Mungu akuongeze utukufu hata utukufu, Roho wa Mungu yuko ndani yako hakika.

  • @godwinnyambulapi6816
    @godwinnyambulapi68162 жыл бұрын

    Mafundisho ya mashetani ndo HYa. Hakuna Roho mtakatifu hapo. Hubiri Kristo na Sio ndoto. Ww unayeota ndoto badili mfumo wako wa maisha na mawazo hata chakula tu. Hakuna maadui. Adui yetu ni mmoja tu shetani ambaye ukitoka ushamshinda.

  • @joycekikome383

    @joycekikome383

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @shukururukaga8334
    @shukururukaga83342 жыл бұрын

    Amen MTU wa mungu mungu hazidi kukutumia said Na zaid

  • @janemugwiria9846
    @janemugwiria9846 Жыл бұрын

    Thank you pastor.pray for me I had such a dream at night.i was in my village where I used to be many yrs ago.

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari81602 жыл бұрын

    Bwana YESU CHRISTO asifiwe mtumishi wa Mungu, mimi naishi marecani , kwakweli izo ndoto mimi naziota sana nikiwa afrcan pia nikiwa darasani Mungu nisaidiye

  • @furahaabdallah1377
    @furahaabdallah13772 жыл бұрын

    Asante mtumishi, MUNGU akubariki mtumishi naomba Masada wa maombi sababu naota kila Mara niko kwenye mtiani na siumalizi ndoto hii inajirudia tafadhali nisaidie.kwa maombi.

  • @annmungai5191
    @annmungai51912 жыл бұрын

    Amen that pastor is talking the truth do not judge him he is truly a man ofGod

  • @maurinekelly252

    @maurinekelly252

    Жыл бұрын

    Niombee pastor mm kila siku nipo shuleni tena mazingira ya nyumbani kule huku nishaolewa

  • @djumazuena52
    @djumazuena522 жыл бұрын

    Mungu ndoto m mbaya uzifute kwajina lakopeke yako. Mungu AMEN AMEN AMEN

  • @florasingano5859
    @florasingano58592 жыл бұрын

    Amen baba, ubarikiwe

  • @MilikaYohan
    @MilikaYohanАй бұрын

    Mungu akupe maisha maref nabii uzdi kutufumbua macho

  • @NancyJohn-rp4uz
    @NancyJohn-rp4uzАй бұрын

    Amina mtumishi mungu awatie nguvu mtumishi

  • @lizymuthonimuthoni7367
    @lizymuthonimuthoni73672 жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe,mm hivi jana nimeota nimerejea kutoka Saudi manake mm nko huku na sikuona nikigia kwetu nyumbani bali niligia kwenye kusanyiko la watu wa mungu kama ulikuwa mkutana na wale wote walio kuwa hapo ni wakanisa nililo lelewa kiroho na wote walikuwa gala mvua ikaaza kunyesha ikatulazimu tuigie ndani nilipo igia,wadada nawajua walikuwa wakinisalimu kwa mshagao na furaha huku mwaki nidakua eti mtoto wa fulani amerejea kutoka majuu ghafula nika gutuka

  • @annafrancis2629
    @annafrancis26292 жыл бұрын

    Asante babaa niombee mm mara nyingi naota Niko darasan kufanya mtihan mara kwa mara sana mungu anisaidie

  • @boaziskk5439

    @boaziskk5439

    Жыл бұрын

    Merci kwa mafasirio mimi ni Pasteur magnifique.

  • @boaziskk5439

    @boaziskk5439

    Жыл бұрын

    Pole

  • @edinakyaruzi9226

    @edinakyaruzi9226

    Жыл бұрын

    Na mimi jamani

  • @SheilaIrusa

    @SheilaIrusa

    Ай бұрын

    NAMI poa pastor

  • @lydiakimani5087
    @lydiakimani50872 жыл бұрын

    I've had those 3 dreams, little did l know they were not good.

  • @afandechanel1507
    @afandechanel15072 жыл бұрын

    Ndoto ambayo na pinganayo nia kuota upo kijijini eti nimbaya kwaio ukiota upo town ndo uta fanikiwa

  • @user-ub8vm1go9j

    @user-ub8vm1go9j

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @esthernafula9995
    @esthernafula99952 жыл бұрын

    Bwana asifiwe mchungaji, nahitaji maombi , hizo ndoto zote umeongelea huwa sinanikujia mara kwa mara nashindwa kuelewa shida ni nini, nashukuru sana kunifanya nielewe maana yake, barikiwa sana mchungaji.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw10 ай бұрын

    Miungu akubaliki pastor hizi ndoto mbili nimekuwa nikiota nipo nafanya mithihani simalizi na nipo kijijini sikuelewa tuombee mtumishi wa mungu

  • @SamwelMarcus
    @SamwelMarcus13 күн бұрын

    Amin .ndoto hizo zimenigusa sana naomba msaada

  • @sarahandrea3110
    @sarahandrea31103 жыл бұрын

    Ameni,mungu Akupe nguvu,uzidikutufunuliaAmeni

  • @linetkerubo7353
    @linetkerubo73532 жыл бұрын

    Amen Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @shiplegcm4948
    @shiplegcm49482 жыл бұрын

    Niliota ndoto hiz last year jumba mbovu then niko shule lower class Mungu nakataa ndoto hiz kwa damu ya Yesu christo

  • @neemacharles4144
    @neemacharles414410 ай бұрын

    Ameen mtumishi ndoto hizi Huwa naziota sana nahitaji msaada

  • @kasondesampa7187
    @kasondesampa71872 жыл бұрын

    Kweli mtumishi mm Mara nyingi naota nipo Kijiji kwetu nilikuwa cjajua maana yake nashukuru mtumishi was mungu fro zambi

  • @felistabosta6080
    @felistabosta60802 жыл бұрын

    Amina. Mungu akulinde daima

  • @user-my5vs9gt7k
    @user-my5vs9gt7k3 ай бұрын

    Nisaidie baba Mimi kijana maisha yangu yamekuwa ni yakuwa na mawazo abaya kwenye hakili yangu

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin54362 жыл бұрын

    Hiyo ndoto ya mtihani imekua ikiniandama Sana lkn hujasema nin tafsili yake

  • @sekundaasenga2102
    @sekundaasenga21022 жыл бұрын

    Mungu awabariki kwa utumihi wenu

  • @richardhaonga8138
    @richardhaonga81382 жыл бұрын

    Asante mtumishi kwa somo zuri

  • @janethmushi5359
    @janethmushi53592 жыл бұрын

    Mungu wangu nisaidie mtumishi ndoto hizi 2 nimeziota Leo usiku

  • @glodynkondo9800
    @glodynkondo98002 жыл бұрын

    Amen mimi 3 times nalota tuko na mke wangu tuna furayi

  • @peterobiri2509
    @peterobiri25092 жыл бұрын

    Amen 🙏 , zote mm nimeota kila siku

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe72483 жыл бұрын

    Ameen

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati98333 жыл бұрын

    Kwel kabisa 🙏

  • @monicampokwa441
    @monicampokwa4412 жыл бұрын

    Aminaaa mtumishi.ni kweli kabisa

  • @annamasebo2061
    @annamasebo20612 жыл бұрын

    Mm huwa naota Sana ndoto no 3 eeeh mungu niepushe na hili

  • @judyliz4544
    @judyliz45442 жыл бұрын

    Amen jamani Mimi naota nikiwa Kwa siku za wa mama,hii inamanisha nini

  • @elizabethwambui2766
    @elizabethwambui27662 жыл бұрын

    Hello pastor I had the fast two dreams for sometime now the problem is the pastor of this days want money when praying for you

  • @NairobiHotGossip07

    @NairobiHotGossip07

    2 жыл бұрын

    MIMI ya kufanya mtihani ndio huwa naota sana, any pastor who can help us?

  • @joycelivingstone7426
    @joycelivingstone74262 жыл бұрын

    Ni kweli mtumishi DAMU YA YESU ITULINDE KILA WAKATI SAA DAKIKA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE HAI

  • @FRADOSFAMILLY-mf6ch
    @FRADOSFAMILLY-mf6ch3 ай бұрын

    Amen baba ubariwee

  • @happyzablon3106
    @happyzablon31062 жыл бұрын

    Hiyo ya tatu ishawahi ntokea naona Kama wenzangu wamemaliza kufanya mtihan lkn wenzangu wanaona mtihan mwepesi nashindwa kuandika muda nap hauishii

  • @esternikata5948
    @esternikata59482 жыл бұрын

    Jamani asante ni kweli kabisa hizo ndoto zote niliota nanikasambalatika kiuchumi gafla

  • @albertfabrigas5383
    @albertfabrigas53833 жыл бұрын

    Ameen!! Tunafunguliwa kupitia Ufunuo huo wa Ndoto

  • @emmysimon3706
    @emmysimon37062 жыл бұрын

    Amina na mm naota sana nkiwa kijijin nyumban

  • @kombayona8949
    @kombayona89492 жыл бұрын

    Amina mtumishi

  • @estetyohana1322
    @estetyohana13222 жыл бұрын

    Ameen baba

  • @gidionsimon8875
    @gidionsimon887520 күн бұрын

    Amen mtumishi

  • @maureenwanyama9730
    @maureenwanyama97302 жыл бұрын

    Amen pastor me huota ile ndoto ya pili na ya tatu nafanya mtihani tena najikuta natembea kijijini

  • @priscasanga6211

    @priscasanga6211

    2 жыл бұрын

    Me pia

  • @mwanaidsalehe1109
    @mwanaidsalehe11093 жыл бұрын

    Baba minaziota sana karibu zote asante baba kwa mafundisho mazuri.

  • @EvaLastonimwabobo
    @EvaLastonimwabobo29 күн бұрын

    Mara nyingi naota Mume wangu kadufuka Hali alishakufa hii Ina maana gani mtumishi

  • @asiamushi1898
    @asiamushi18982 жыл бұрын

    Amina pastor mimi ndoto zote naziota jamani

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe72483 жыл бұрын

    Ameen mtume mimi.nilikuwa naota sana nipo kwenye nyumba mzuri na kijana wakizungu sijui maana yake nini mtume

  • @judithcheptonui9764
    @judithcheptonui97642 жыл бұрын

    So why can you do after dreaming

  • @lucyrichard5117
    @lucyrichard51172 жыл бұрын

    Aminaaa

  • @felisterandrew8741
    @felisterandrew87412 жыл бұрын

    Mungu nisaidie.

  • @happinessrichard719
    @happinessrichard7193 жыл бұрын

    Amen

  • @Chep-oj7og
    @Chep-oj7og9 күн бұрын

    Very true kabisa

  • @irenemendez7715
    @irenemendez77152 жыл бұрын

    Aminaaaa

  • @linetharon
    @linetharon2 жыл бұрын

    Hizi ndoto kwangu ni zote😳😳😳😳🙆🙆🙆🙆ghai

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib9 ай бұрын

    Ni kweli ata mimi ya mitihan nilikuwa naiotaga na nikajuwa ni mbaya ndio matatizo yanaanzaga kwenye ulimwengu wa roho

  • @petronialushona174
    @petronialushona1742 жыл бұрын

    Ubarikiwe

  • @kcwttv5516
    @kcwttv55163 жыл бұрын

    AMEN

  • @DogooHhayuma
    @DogooHhayuma4 ай бұрын

    Niombee mtumishi pia ubarikiwe

  • @ancillawanga9002
    @ancillawanga90022 жыл бұрын

    Mimi huota nimerudi shule yenye nilikuwa nasomea sekondari ....ama nakutana na marafiki wakitambo please pray for me towards that

  • @godrivermichaelsugwejo4979

    @godrivermichaelsugwejo4979

    2 жыл бұрын

    Namimi naotaga hiviii

  • @user-ix5fw2mf8s
    @user-ix5fw2mf8s2 жыл бұрын

    Naomba tafadhali nieleze kuhusu Naoto ya kufanya mtihani yaani mimi huwa naota tu kila siku nafanya mtihani ngumu sana na shindwa kumaliza

  • @rosemuthini6098
    @rosemuthini60982 жыл бұрын

    Nilijenga miaka 5 ilioyo pita nyumba kubwa na nimekua nikiota naishi ndani lakini ikiwa imebomoka na kweli maisha yangu kwa sasa imekua ya kuangaika

  • @citybirdproduction7828
    @citybirdproduction78282 жыл бұрын

    Every dream has a meaning..hii ya kufanya mtihani ama kuota umerudi shule very dangerous.

  • @sakinam3658
    @sakinam36583 жыл бұрын

    Amina Baba nilikuwa Nikiota ndoto hizi sana Namahali nilipoishi na kufanya mtihan

  • @AnnaJosephkacheche-ot2yh
    @AnnaJosephkacheche-ot2yh4 ай бұрын

    Kwenye izo ndoto mimi moja ndo sijaota ya bagala ila izo zingine zote nimeota

  • @jacklinedanieli5684
    @jacklinedanieli56842 жыл бұрын

    Mi nimeota mala kibao jamani uwhiiiii. Zote hizo Sijui nipo shule mungu wangu mala kijijin

  • @Haikakimaro
    @Haikakimaro2 жыл бұрын

    Amina mtumishi sioni namba

  • @mebalkamonya4287
    @mebalkamonya42877 ай бұрын

    Mimi nimeota maiti 4 wakiwa wamelazwa ndani ya jeneza zikiwa ndani ya magari maa nne aina ya Nissan maanake?

  • @nancynancy5680
    @nancynancy56802 жыл бұрын

    Amen and Amen

  • @user-ci6js4yt5q
    @user-ci6js4yt5qАй бұрын

    Amen 🙏

  • @stanleykathurima8062
    @stanleykathurima80622 жыл бұрын

    Wewe ni mwongo sana sana sana unatumika na hayo maroho ya uongo kusubua waomini ambao hawajakomaa na kuwaibia pesa eti watoe ili iwe hivi na vile kazi imekuwa ni kubabaisha watu wa mungu kills uchao naomba atakaye kusukia asichukulie kitu ni udaku wa shetani mtu uota na pale ameleliwa mungu hana mabaya juu ya watu wake. Ni shetani tuu ndiye anayo hayo unasema ndiye unatikia mungu akuokoe kabisa

  • @jacklinedanieli5684

    @jacklinedanieli5684

    2 жыл бұрын

    Nimeota kipindi kilefu mimi. Mpk now nasubili hayo majibu. Naomba tu yasitokee

  • @EmanuelChazi

    @EmanuelChazi

    Ай бұрын

    Usimhukumu anachokisema kiko sahh

  • @nijulishenijue1168
    @nijulishenijue11683 жыл бұрын

    hII INANIHUSU KABISA NAONA KAMA VILE ILIKUWA YANGU UJUMBE UNANIHUSU MIMI KABISA

  • @user-kg3ns5iw9p
    @user-kg3ns5iw9p2 ай бұрын

    Mi Niko singida nimeota vua inanyesha lakini ilitokea shoti zaywaya za umeme zimeowa mujini muzima ikiwa mpamoja na matunda ya zabarau mengi yamedodoka chini

  • @sakinam3658
    @sakinam36583 жыл бұрын

    Mimi nilikuwa Nikiota sana nikiwa kijijini na Pia ndoto nikiwa Shuleni nikifanya mtihan na simalizi

  • @azizahassan5919
    @azizahassan59192 жыл бұрын

    Mimi ninaota sana nipo shulechungaji yaani sijui ni kwann na inajirudia sana

  • @user-nr8tr8dk2e
    @user-nr8tr8dk2e6 ай бұрын

    Niliota na ng'ombe wengi sana kijijini chetu na waliogopesha sana..walikua brown in color yamaanisha nini??

  • @clarispendo8556
    @clarispendo85562 жыл бұрын

    Pastor mm hizi ndoto zote zenye umezitaja huwa naziota kabisaa

  • @mainanjogu7872
    @mainanjogu78722 жыл бұрын

    Blessed

  • @wilemkondya8367
    @wilemkondya83673 жыл бұрын

    Ameena Baba mm nimekua nikiota hyo ndoto ya Kwanza na ya tatu sana, kiukwel hata nikikazana kutafuta msaada wa kiroho nakua naishia njian sasa cjajua kwann inakua hvyo kwang

  • @mageembarikiwa2991

    @mageembarikiwa2991

    2 жыл бұрын

    Woooi hizo xote tatu naotanga ghai mimi pesa zangu haishiki kwa mikono.

  • @luhyabae6471
    @luhyabae64712 жыл бұрын

    Aki mm naota sana ndoto nikiwa kwetu na family ya upande wa babangu

  • @fabianbenardngatunga2713
    @fabianbenardngatunga27133 ай бұрын

    Niliota ndoto nimeng'atwa nanyoka mkono wa kulia naomba maana yake

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib9 ай бұрын

    Ata kuna mchungaji alisema hayo .ndoto hizo mbaya

  • @tompatrick146
    @tompatrick1466 ай бұрын

    NAOMBA mkaanzishe FACE BOOK Chanell.. kama mano nijulshe , shukran.

  • @janelayala2914
    @janelayala29142 жыл бұрын

    Mara mbili nimeota nimeenda kwetu na kufanya harusi Kubwa mno. Wiki haikupita nephew wangu mpendwa akafa😭

  • @florashirima1224
    @florashirima1224 Жыл бұрын

    Nikweli past hizindoto huwasina nisumbua San sinarudiarudia san

  • @VeronicaNdunge
    @VeronicaNdunge4 ай бұрын

    Naota nikifanya mtian na wanafunzi tuliomalisa shule miakamingi imepita😊

  • @priscapaul339
    @priscapaul3392 жыл бұрын

    Mungu.nisaidie

  • @RabieGerard
    @RabieGerard4 ай бұрын

    Mimi nimeota naenda shule tena ilikuwa siku ya mtihani maana yake nini

  • @ChegeboyAssey
    @ChegeboyAssey2 ай бұрын

    Mchungaji bwana yesu asifiwe

  • @bettyraman8517
    @bettyraman85172 жыл бұрын

    Izo ndoto zote uwa naziota na zinajirudia kila mara kilaa mara naota na wanafunzi tulio soma na wao pamoja na walimu na imekua ikijirudia kila mara

  • @enockoward2656
    @enockoward26562 жыл бұрын

    Tubuni kwamaana ufalme wa mbingun umekaribia Achaneni na mandoto haya

  • @beatricemwamini2044
    @beatricemwamini20444 ай бұрын

    Amen.

  • @annwanjiru386
    @annwanjiru3862 жыл бұрын

    Ukiota ukishiriki ngono ama ukipigana na mtu unaye mjua ama usiye mjua inamaana gani ama ukiota ukinyolewa nywele yaonyesha nini

  • @salamaseif4183
    @salamaseif41832 жыл бұрын

    Kweli

  • @christineamukoye9969
    @christineamukoye99692 жыл бұрын

    JAMANI HIZI NDOTO ZOTE MII HUZIOTA KILA MARA, MUNGU NISAIDIE AKI NIMECHOKA NA MAISHA NINAYO YAISHI.

  • @monicaisayah5374
    @monicaisayah53742 жыл бұрын

    Naomba namba yako mtumishi me pia mhanga wa kuota ndoto mbaya

  • @VeredianaKalembi-gs4vs
    @VeredianaKalembi-gs4vsАй бұрын

    Ivi mpaka utafute msaada au uombe na KUFUNGA sana ili uwe salama

Келесі