Amen baba yangu, Mungu akuongeze utukufu hata utukufu, Roho wa Mungu yuko ndani yako hakika.
@godwinnyambulapi68162 жыл бұрын
Mafundisho ya mashetani ndo HYa. Hakuna Roho mtakatifu hapo. Hubiri Kristo na Sio ndoto. Ww unayeota ndoto badili mfumo wako wa maisha na mawazo hata chakula tu. Hakuna maadui. Adui yetu ni mmoja tu shetani ambaye ukitoka ushamshinda.
@joycekikome383
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@shukururukaga83342 жыл бұрын
Amen MTU wa mungu mungu hazidi kukutumia said Na zaid
@janemugwiria9846 Жыл бұрын
Thank you pastor.pray for me I had such a dream at night.i was in my village where I used to be many yrs ago.
@mauwashomari81602 жыл бұрын
Bwana YESU CHRISTO asifiwe mtumishi wa Mungu, mimi naishi marecani , kwakweli izo ndoto mimi naziota sana nikiwa afrcan pia nikiwa darasani Mungu nisaidiye
@furahaabdallah13772 жыл бұрын
Asante mtumishi, MUNGU akubariki mtumishi naomba Masada wa maombi sababu naota kila Mara niko kwenye mtiani na siumalizi ndoto hii inajirudia tafadhali nisaidie.kwa maombi.
@annmungai51912 жыл бұрын
Amen that pastor is talking the truth do not judge him he is truly a man ofGod
@maurinekelly252
Жыл бұрын
Niombee pastor mm kila siku nipo shuleni tena mazingira ya nyumbani kule huku nishaolewa
@djumazuena522 жыл бұрын
Mungu ndoto m mbaya uzifute kwajina lakopeke yako. Mungu AMEN AMEN AMEN
@florasingano58592 жыл бұрын
Amen baba, ubarikiwe
@MilikaYohanАй бұрын
Mungu akupe maisha maref nabii uzdi kutufumbua macho
@NancyJohn-rp4uzАй бұрын
Amina mtumishi mungu awatie nguvu mtumishi
@lizymuthonimuthoni73672 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe,mm hivi jana nimeota nimerejea kutoka Saudi manake mm nko huku na sikuona nikigia kwetu nyumbani bali niligia kwenye kusanyiko la watu wa mungu kama ulikuwa mkutana na wale wote walio kuwa hapo ni wakanisa nililo lelewa kiroho na wote walikuwa gala mvua ikaaza kunyesha ikatulazimu tuigie ndani nilipo igia,wadada nawajua walikuwa wakinisalimu kwa mshagao na furaha huku mwaki nidakua eti mtoto wa fulani amerejea kutoka majuu ghafula nika gutuka
@annafrancis26292 жыл бұрын
Asante babaa niombee mm mara nyingi naota Niko darasan kufanya mtihan mara kwa mara sana mungu anisaidie
@boaziskk5439
Жыл бұрын
Merci kwa mafasirio mimi ni Pasteur magnifique.
@boaziskk5439
Жыл бұрын
Pole
@edinakyaruzi9226
Жыл бұрын
Na mimi jamani
@SheilaIrusa
Ай бұрын
NAMI poa pastor
@lydiakimani50872 жыл бұрын
I've had those 3 dreams, little did l know they were not good.
@afandechanel15072 жыл бұрын
Ndoto ambayo na pinganayo nia kuota upo kijijini eti nimbaya kwaio ukiota upo town ndo uta fanikiwa
@user-ub8vm1go9j
Ай бұрын
😂😂😂
@esthernafula99952 жыл бұрын
Bwana asifiwe mchungaji, nahitaji maombi , hizo ndoto zote umeongelea huwa sinanikujia mara kwa mara nashindwa kuelewa shida ni nini, nashukuru sana kunifanya nielewe maana yake, barikiwa sana mchungaji.
@fidelfidel-jz4iw10 ай бұрын
Miungu akubaliki pastor hizi ndoto mbili nimekuwa nikiota nipo nafanya mithihani simalizi na nipo kijijini sikuelewa tuombee mtumishi wa mungu
@SamwelMarcus13 күн бұрын
Amin .ndoto hizo zimenigusa sana naomba msaada
@sarahandrea31103 жыл бұрын
Ameni,mungu Akupe nguvu,uzidikutufunuliaAmeni
@linetkerubo73532 жыл бұрын
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏
@shiplegcm49482 жыл бұрын
Niliota ndoto hiz last year jumba mbovu then niko shule lower class Mungu nakataa ndoto hiz kwa damu ya Yesu christo
@neemacharles414410 ай бұрын
Ameen mtumishi ndoto hizi Huwa naziota sana nahitaji msaada
@kasondesampa71872 жыл бұрын
Kweli mtumishi mm Mara nyingi naota nipo Kijiji kwetu nilikuwa cjajua maana yake nashukuru mtumishi was mungu fro zambi
@felistabosta60802 жыл бұрын
Amina. Mungu akulinde daima
@user-my5vs9gt7k3 ай бұрын
Nisaidie baba Mimi kijana maisha yangu yamekuwa ni yakuwa na mawazo abaya kwenye hakili yangu
@olivanooraladin54362 жыл бұрын
Hiyo ndoto ya mtihani imekua ikiniandama Sana lkn hujasema nin tafsili yake
@sekundaasenga21022 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa utumihi wenu
@richardhaonga81382 жыл бұрын
Asante mtumishi kwa somo zuri
@janethmushi53592 жыл бұрын
Mungu wangu nisaidie mtumishi ndoto hizi 2 nimeziota Leo usiku
@glodynkondo98002 жыл бұрын
Amen mimi 3 times nalota tuko na mke wangu tuna furayi
@peterobiri25092 жыл бұрын
Amen 🙏 , zote mm nimeota kila siku
@kadunawewe72483 жыл бұрын
Ameen
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Kwel kabisa 🙏
@monicampokwa4412 жыл бұрын
Aminaaa mtumishi.ni kweli kabisa
@annamasebo20612 жыл бұрын
Mm huwa naota Sana ndoto no 3 eeeh mungu niepushe na hili
@judyliz45442 жыл бұрын
Amen jamani Mimi naota nikiwa Kwa siku za wa mama,hii inamanisha nini
@elizabethwambui27662 жыл бұрын
Hello pastor I had the fast two dreams for sometime now the problem is the pastor of this days want money when praying for you
@NairobiHotGossip07
2 жыл бұрын
MIMI ya kufanya mtihani ndio huwa naota sana, any pastor who can help us?
@joycelivingstone74262 жыл бұрын
Ni kweli mtumishi DAMU YA YESU ITULINDE KILA WAKATI SAA DAKIKA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE HAI
@FRADOSFAMILLY-mf6ch3 ай бұрын
Amen baba ubariwee
@happyzablon31062 жыл бұрын
Hiyo ya tatu ishawahi ntokea naona Kama wenzangu wamemaliza kufanya mtihan lkn wenzangu wanaona mtihan mwepesi nashindwa kuandika muda nap hauishii
@esternikata59482 жыл бұрын
Jamani asante ni kweli kabisa hizo ndoto zote niliota nanikasambalatika kiuchumi gafla
@albertfabrigas53833 жыл бұрын
Ameen!! Tunafunguliwa kupitia Ufunuo huo wa Ndoto
@emmysimon37062 жыл бұрын
Amina na mm naota sana nkiwa kijijin nyumban
@kombayona89492 жыл бұрын
Amina mtumishi
@estetyohana13222 жыл бұрын
Ameen baba
@gidionsimon887520 күн бұрын
Amen mtumishi
@maureenwanyama97302 жыл бұрын
Amen pastor me huota ile ndoto ya pili na ya tatu nafanya mtihani tena najikuta natembea kijijini
@priscasanga6211
2 жыл бұрын
Me pia
@mwanaidsalehe11093 жыл бұрын
Baba minaziota sana karibu zote asante baba kwa mafundisho mazuri.
@EvaLastonimwabobo29 күн бұрын
Mara nyingi naota Mume wangu kadufuka Hali alishakufa hii Ina maana gani mtumishi
@asiamushi18982 жыл бұрын
Amina pastor mimi ndoto zote naziota jamani
@kadunawewe72483 жыл бұрын
Ameen mtume mimi.nilikuwa naota sana nipo kwenye nyumba mzuri na kijana wakizungu sijui maana yake nini mtume
@judithcheptonui97642 жыл бұрын
So why can you do after dreaming
@lucyrichard51172 жыл бұрын
Aminaaa
@felisterandrew87412 жыл бұрын
Mungu nisaidie.
@happinessrichard7193 жыл бұрын
Amen
@Chep-oj7og9 күн бұрын
Very true kabisa
@irenemendez77152 жыл бұрын
Aminaaaa
@linetharon2 жыл бұрын
Hizi ndoto kwangu ni zote😳😳😳😳🙆🙆🙆🙆ghai
@VickKulekana-si1ib9 ай бұрын
Ni kweli ata mimi ya mitihan nilikuwa naiotaga na nikajuwa ni mbaya ndio matatizo yanaanzaga kwenye ulimwengu wa roho
@petronialushona1742 жыл бұрын
Ubarikiwe
@kcwttv55163 жыл бұрын
AMEN
@DogooHhayuma4 ай бұрын
Niombee mtumishi pia ubarikiwe
@ancillawanga90022 жыл бұрын
Mimi huota nimerudi shule yenye nilikuwa nasomea sekondari ....ama nakutana na marafiki wakitambo please pray for me towards that
@godrivermichaelsugwejo4979
2 жыл бұрын
Namimi naotaga hiviii
@user-ix5fw2mf8s2 жыл бұрын
Naomba tafadhali nieleze kuhusu Naoto ya kufanya mtihani yaani mimi huwa naota tu kila siku nafanya mtihani ngumu sana na shindwa kumaliza
@rosemuthini60982 жыл бұрын
Nilijenga miaka 5 ilioyo pita nyumba kubwa na nimekua nikiota naishi ndani lakini ikiwa imebomoka na kweli maisha yangu kwa sasa imekua ya kuangaika
@citybirdproduction78282 жыл бұрын
Every dream has a meaning..hii ya kufanya mtihani ama kuota umerudi shule very dangerous.
@sakinam36583 жыл бұрын
Amina Baba nilikuwa Nikiota ndoto hizi sana Namahali nilipoishi na kufanya mtihan
@AnnaJosephkacheche-ot2yh4 ай бұрын
Kwenye izo ndoto mimi moja ndo sijaota ya bagala ila izo zingine zote nimeota
@jacklinedanieli56842 жыл бұрын
Mi nimeota mala kibao jamani uwhiiiii. Zote hizo Sijui nipo shule mungu wangu mala kijijin
@Haikakimaro2 жыл бұрын
Amina mtumishi sioni namba
@mebalkamonya42877 ай бұрын
Mimi nimeota maiti 4 wakiwa wamelazwa ndani ya jeneza zikiwa ndani ya magari maa nne aina ya Nissan maanake?
@nancynancy56802 жыл бұрын
Amen and Amen
@user-ci6js4yt5qАй бұрын
Amen 🙏
@stanleykathurima80622 жыл бұрын
Wewe ni mwongo sana sana sana unatumika na hayo maroho ya uongo kusubua waomini ambao hawajakomaa na kuwaibia pesa eti watoe ili iwe hivi na vile kazi imekuwa ni kubabaisha watu wa mungu kills uchao naomba atakaye kusukia asichukulie kitu ni udaku wa shetani mtu uota na pale ameleliwa mungu hana mabaya juu ya watu wake. Ni shetani tuu ndiye anayo hayo unasema ndiye unatikia mungu akuokoe kabisa
@jacklinedanieli5684
2 жыл бұрын
Nimeota kipindi kilefu mimi. Mpk now nasubili hayo majibu. Naomba tu yasitokee
@EmanuelChazi
Ай бұрын
Usimhukumu anachokisema kiko sahh
@nijulishenijue11683 жыл бұрын
hII INANIHUSU KABISA NAONA KAMA VILE ILIKUWA YANGU UJUMBE UNANIHUSU MIMI KABISA
@user-kg3ns5iw9p2 ай бұрын
Mi Niko singida nimeota vua inanyesha lakini ilitokea shoti zaywaya za umeme zimeowa mujini muzima ikiwa mpamoja na matunda ya zabarau mengi yamedodoka chini
@sakinam36583 жыл бұрын
Mimi nilikuwa Nikiota sana nikiwa kijijini na Pia ndoto nikiwa Shuleni nikifanya mtihan na simalizi
@azizahassan59192 жыл бұрын
Mimi ninaota sana nipo shulechungaji yaani sijui ni kwann na inajirudia sana
@user-nr8tr8dk2e6 ай бұрын
Niliota na ng'ombe wengi sana kijijini chetu na waliogopesha sana..walikua brown in color yamaanisha nini??
@clarispendo85562 жыл бұрын
Pastor mm hizi ndoto zote zenye umezitaja huwa naziota kabisaa
@mainanjogu78722 жыл бұрын
Blessed
@wilemkondya83673 жыл бұрын
Ameena Baba mm nimekua nikiota hyo ndoto ya Kwanza na ya tatu sana, kiukwel hata nikikazana kutafuta msaada wa kiroho nakua naishia njian sasa cjajua kwann inakua hvyo kwang
@mageembarikiwa2991
2 жыл бұрын
Woooi hizo xote tatu naotanga ghai mimi pesa zangu haishiki kwa mikono.
@luhyabae64712 жыл бұрын
Aki mm naota sana ndoto nikiwa kwetu na family ya upande wa babangu
@fabianbenardngatunga27133 ай бұрын
Niliota ndoto nimeng'atwa nanyoka mkono wa kulia naomba maana yake
@VickKulekana-si1ib9 ай бұрын
Ata kuna mchungaji alisema hayo .ndoto hizo mbaya
@tompatrick1466 ай бұрын
NAOMBA mkaanzishe FACE BOOK Chanell.. kama mano nijulshe , shukran.
@janelayala29142 жыл бұрын
Mara mbili nimeota nimeenda kwetu na kufanya harusi Kubwa mno. Wiki haikupita nephew wangu mpendwa akafa😭
@florashirima1224 Жыл бұрын
Nikweli past hizindoto huwasina nisumbua San sinarudiarudia san
@VeronicaNdunge4 ай бұрын
Naota nikifanya mtian na wanafunzi tuliomalisa shule miakamingi imepita😊
@priscapaul3392 жыл бұрын
Mungu.nisaidie
@RabieGerard4 ай бұрын
Mimi nimeota naenda shule tena ilikuwa siku ya mtihani maana yake nini
@ChegeboyAssey2 ай бұрын
Mchungaji bwana yesu asifiwe
@bettyraman85172 жыл бұрын
Izo ndoto zote uwa naziota na zinajirudia kila mara kilaa mara naota na wanafunzi tulio soma na wao pamoja na walimu na imekua ikijirudia kila mara
@enockoward26562 жыл бұрын
Tubuni kwamaana ufalme wa mbingun umekaribia Achaneni na mandoto haya
@beatricemwamini20444 ай бұрын
Amen.
@annwanjiru3862 жыл бұрын
Ukiota ukishiriki ngono ama ukipigana na mtu unaye mjua ama usiye mjua inamaana gani ama ukiota ukinyolewa nywele yaonyesha nini
@salamaseif41832 жыл бұрын
Kweli
@christineamukoye99692 жыл бұрын
JAMANI HIZI NDOTO ZOTE MII HUZIOTA KILA MARA, MUNGU NISAIDIE AKI NIMECHOKA NA MAISHA NINAYO YAISHI.
@monicaisayah53742 жыл бұрын
Naomba namba yako mtumishi me pia mhanga wa kuota ndoto mbaya
@VeredianaKalembi-gs4vsАй бұрын
Ivi mpaka utafute msaada au uombe na KUFUNGA sana ili uwe salama
Пікірлер: 230
Amen baba yangu, Mungu akuongeze utukufu hata utukufu, Roho wa Mungu yuko ndani yako hakika.
Mafundisho ya mashetani ndo HYa. Hakuna Roho mtakatifu hapo. Hubiri Kristo na Sio ndoto. Ww unayeota ndoto badili mfumo wako wa maisha na mawazo hata chakula tu. Hakuna maadui. Adui yetu ni mmoja tu shetani ambaye ukitoka ushamshinda.
@joycekikome383
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Amen MTU wa mungu mungu hazidi kukutumia said Na zaid
Thank you pastor.pray for me I had such a dream at night.i was in my village where I used to be many yrs ago.
Bwana YESU CHRISTO asifiwe mtumishi wa Mungu, mimi naishi marecani , kwakweli izo ndoto mimi naziota sana nikiwa afrcan pia nikiwa darasani Mungu nisaidiye
Asante mtumishi, MUNGU akubariki mtumishi naomba Masada wa maombi sababu naota kila Mara niko kwenye mtiani na siumalizi ndoto hii inajirudia tafadhali nisaidie.kwa maombi.
Amen that pastor is talking the truth do not judge him he is truly a man ofGod
@maurinekelly252
Жыл бұрын
Niombee pastor mm kila siku nipo shuleni tena mazingira ya nyumbani kule huku nishaolewa
Mungu ndoto m mbaya uzifute kwajina lakopeke yako. Mungu AMEN AMEN AMEN
Amen baba, ubarikiwe
Mungu akupe maisha maref nabii uzdi kutufumbua macho
Amina mtumishi mungu awatie nguvu mtumishi
Bwana yesu asifiwe,mm hivi jana nimeota nimerejea kutoka Saudi manake mm nko huku na sikuona nikigia kwetu nyumbani bali niligia kwenye kusanyiko la watu wa mungu kama ulikuwa mkutana na wale wote walio kuwa hapo ni wakanisa nililo lelewa kiroho na wote walikuwa gala mvua ikaaza kunyesha ikatulazimu tuigie ndani nilipo igia,wadada nawajua walikuwa wakinisalimu kwa mshagao na furaha huku mwaki nidakua eti mtoto wa fulani amerejea kutoka majuu ghafula nika gutuka
Asante babaa niombee mm mara nyingi naota Niko darasan kufanya mtihan mara kwa mara sana mungu anisaidie
@boaziskk5439
Жыл бұрын
Merci kwa mafasirio mimi ni Pasteur magnifique.
@boaziskk5439
Жыл бұрын
Pole
@edinakyaruzi9226
Жыл бұрын
Na mimi jamani
@SheilaIrusa
Ай бұрын
NAMI poa pastor
I've had those 3 dreams, little did l know they were not good.
Ndoto ambayo na pinganayo nia kuota upo kijijini eti nimbaya kwaio ukiota upo town ndo uta fanikiwa
@user-ub8vm1go9j
Ай бұрын
😂😂😂
Bwana asifiwe mchungaji, nahitaji maombi , hizo ndoto zote umeongelea huwa sinanikujia mara kwa mara nashindwa kuelewa shida ni nini, nashukuru sana kunifanya nielewe maana yake, barikiwa sana mchungaji.
Miungu akubaliki pastor hizi ndoto mbili nimekuwa nikiota nipo nafanya mithihani simalizi na nipo kijijini sikuelewa tuombee mtumishi wa mungu
Amin .ndoto hizo zimenigusa sana naomba msaada
Ameni,mungu Akupe nguvu,uzidikutufunuliaAmeni
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏
Niliota ndoto hiz last year jumba mbovu then niko shule lower class Mungu nakataa ndoto hiz kwa damu ya Yesu christo
Ameen mtumishi ndoto hizi Huwa naziota sana nahitaji msaada
Kweli mtumishi mm Mara nyingi naota nipo Kijiji kwetu nilikuwa cjajua maana yake nashukuru mtumishi was mungu fro zambi
Amina. Mungu akulinde daima
Nisaidie baba Mimi kijana maisha yangu yamekuwa ni yakuwa na mawazo abaya kwenye hakili yangu
Hiyo ndoto ya mtihani imekua ikiniandama Sana lkn hujasema nin tafsili yake
Mungu awabariki kwa utumihi wenu
Asante mtumishi kwa somo zuri
Mungu wangu nisaidie mtumishi ndoto hizi 2 nimeziota Leo usiku
Amen mimi 3 times nalota tuko na mke wangu tuna furayi
Amen 🙏 , zote mm nimeota kila siku
Ameen
Kwel kabisa 🙏
Aminaaa mtumishi.ni kweli kabisa
Mm huwa naota Sana ndoto no 3 eeeh mungu niepushe na hili
Amen jamani Mimi naota nikiwa Kwa siku za wa mama,hii inamanisha nini
Hello pastor I had the fast two dreams for sometime now the problem is the pastor of this days want money when praying for you
@NairobiHotGossip07
2 жыл бұрын
MIMI ya kufanya mtihani ndio huwa naota sana, any pastor who can help us?
Ni kweli mtumishi DAMU YA YESU ITULINDE KILA WAKATI SAA DAKIKA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE HAI
Amen baba ubariwee
Hiyo ya tatu ishawahi ntokea naona Kama wenzangu wamemaliza kufanya mtihan lkn wenzangu wanaona mtihan mwepesi nashindwa kuandika muda nap hauishii
Jamani asante ni kweli kabisa hizo ndoto zote niliota nanikasambalatika kiuchumi gafla
Ameen!! Tunafunguliwa kupitia Ufunuo huo wa Ndoto
Amina na mm naota sana nkiwa kijijin nyumban
Amina mtumishi
Ameen baba
Amen mtumishi
Amen pastor me huota ile ndoto ya pili na ya tatu nafanya mtihani tena najikuta natembea kijijini
@priscasanga6211
2 жыл бұрын
Me pia
Baba minaziota sana karibu zote asante baba kwa mafundisho mazuri.
Mara nyingi naota Mume wangu kadufuka Hali alishakufa hii Ina maana gani mtumishi
Amina pastor mimi ndoto zote naziota jamani
Ameen mtume mimi.nilikuwa naota sana nipo kwenye nyumba mzuri na kijana wakizungu sijui maana yake nini mtume
So why can you do after dreaming
Aminaaa
Mungu nisaidie.
Amen
Very true kabisa
Aminaaaa
Hizi ndoto kwangu ni zote😳😳😳😳🙆🙆🙆🙆ghai
Ni kweli ata mimi ya mitihan nilikuwa naiotaga na nikajuwa ni mbaya ndio matatizo yanaanzaga kwenye ulimwengu wa roho
Ubarikiwe
AMEN
Niombee mtumishi pia ubarikiwe
Mimi huota nimerudi shule yenye nilikuwa nasomea sekondari ....ama nakutana na marafiki wakitambo please pray for me towards that
@godrivermichaelsugwejo4979
2 жыл бұрын
Namimi naotaga hiviii
Naomba tafadhali nieleze kuhusu Naoto ya kufanya mtihani yaani mimi huwa naota tu kila siku nafanya mtihani ngumu sana na shindwa kumaliza
Nilijenga miaka 5 ilioyo pita nyumba kubwa na nimekua nikiota naishi ndani lakini ikiwa imebomoka na kweli maisha yangu kwa sasa imekua ya kuangaika
Every dream has a meaning..hii ya kufanya mtihani ama kuota umerudi shule very dangerous.
Amina Baba nilikuwa Nikiota ndoto hizi sana Namahali nilipoishi na kufanya mtihan
Kwenye izo ndoto mimi moja ndo sijaota ya bagala ila izo zingine zote nimeota
Mi nimeota mala kibao jamani uwhiiiii. Zote hizo Sijui nipo shule mungu wangu mala kijijin
Amina mtumishi sioni namba
Mimi nimeota maiti 4 wakiwa wamelazwa ndani ya jeneza zikiwa ndani ya magari maa nne aina ya Nissan maanake?
Amen and Amen
Amen 🙏
Wewe ni mwongo sana sana sana unatumika na hayo maroho ya uongo kusubua waomini ambao hawajakomaa na kuwaibia pesa eti watoe ili iwe hivi na vile kazi imekuwa ni kubabaisha watu wa mungu kills uchao naomba atakaye kusukia asichukulie kitu ni udaku wa shetani mtu uota na pale ameleliwa mungu hana mabaya juu ya watu wake. Ni shetani tuu ndiye anayo hayo unasema ndiye unatikia mungu akuokoe kabisa
@jacklinedanieli5684
2 жыл бұрын
Nimeota kipindi kilefu mimi. Mpk now nasubili hayo majibu. Naomba tu yasitokee
@EmanuelChazi
Ай бұрын
Usimhukumu anachokisema kiko sahh
hII INANIHUSU KABISA NAONA KAMA VILE ILIKUWA YANGU UJUMBE UNANIHUSU MIMI KABISA
Mi Niko singida nimeota vua inanyesha lakini ilitokea shoti zaywaya za umeme zimeowa mujini muzima ikiwa mpamoja na matunda ya zabarau mengi yamedodoka chini
Mimi nilikuwa Nikiota sana nikiwa kijijini na Pia ndoto nikiwa Shuleni nikifanya mtihan na simalizi
Mimi ninaota sana nipo shulechungaji yaani sijui ni kwann na inajirudia sana
Niliota na ng'ombe wengi sana kijijini chetu na waliogopesha sana..walikua brown in color yamaanisha nini??
Pastor mm hizi ndoto zote zenye umezitaja huwa naziota kabisaa
Blessed
Ameena Baba mm nimekua nikiota hyo ndoto ya Kwanza na ya tatu sana, kiukwel hata nikikazana kutafuta msaada wa kiroho nakua naishia njian sasa cjajua kwann inakua hvyo kwang
@mageembarikiwa2991
2 жыл бұрын
Woooi hizo xote tatu naotanga ghai mimi pesa zangu haishiki kwa mikono.
Aki mm naota sana ndoto nikiwa kwetu na family ya upande wa babangu
Niliota ndoto nimeng'atwa nanyoka mkono wa kulia naomba maana yake
Ata kuna mchungaji alisema hayo .ndoto hizo mbaya
NAOMBA mkaanzishe FACE BOOK Chanell.. kama mano nijulshe , shukran.
Mara mbili nimeota nimeenda kwetu na kufanya harusi Kubwa mno. Wiki haikupita nephew wangu mpendwa akafa😭
Nikweli past hizindoto huwasina nisumbua San sinarudiarudia san
Naota nikifanya mtian na wanafunzi tuliomalisa shule miakamingi imepita😊
Mungu.nisaidie
Mimi nimeota naenda shule tena ilikuwa siku ya mtihani maana yake nini
Mchungaji bwana yesu asifiwe
Izo ndoto zote uwa naziota na zinajirudia kila mara kilaa mara naota na wanafunzi tulio soma na wao pamoja na walimu na imekua ikijirudia kila mara
Tubuni kwamaana ufalme wa mbingun umekaribia Achaneni na mandoto haya
Amen.
Ukiota ukishiriki ngono ama ukipigana na mtu unaye mjua ama usiye mjua inamaana gani ama ukiota ukinyolewa nywele yaonyesha nini
Kweli
JAMANI HIZI NDOTO ZOTE MII HUZIOTA KILA MARA, MUNGU NISAIDIE AKI NIMECHOKA NA MAISHA NINAYO YAISHI.
Naomba namba yako mtumishi me pia mhanga wa kuota ndoto mbaya
Ivi mpaka utafute msaada au uombe na KUFUNGA sana ili uwe salama