Namshukuru sana Mungu kutupatia Mwalimu Mwakasege ambaye Roho wa Mungu yupo ndani take.🙏🙏.
@betinaernest2766 Жыл бұрын
NiliwAhi kuota ndoto Fulani ilikuwa ngumu Sana kuitafsir na hata mpaka leo hii siikumbuki,, baada ya kuiota hiyo ndoto nikaamka usiku huo huo na mda huo huo nikamuomba mwenyezi mungu anipe lugha rahisi niweze kuielew ile ndoto yaani anioteshe ndoto nyingine iliyo rahsi niweze kujua, nilivyolala tu haikupita mda mrefu nikapata mafunuo makubwa yaliyorahisi Sana ambayo hata mtoto mdogo anaweza kujua... Asante mungu
@saraphinasalila9202
Жыл бұрын
Ameen
@user-pt4xd7eh9v
11 ай бұрын
Betina naomba mamba y'all pls
@ikanaelmshana8182 Жыл бұрын
Amen Mungu tusaidie tupe Roho wako mtakatifu atuwezeshe kutukumbusha ndoto tunazoziota kwa jina la Yesu Kes
@elizabethjakobo27911 ай бұрын
Uyu mtumishi nilikuwa na mskiliza tangu nikiwa mtoto adi Sasa niko mtu mzima Mungu akutuze baba yangu wakirooh 🇰🇪
@user-ll5dl5kh1s2 ай бұрын
Asante Yesu Kwa kumtumia mtumishi wako, Mungu azidi kukuinua na kukutia nguvu mno
@Yasintamaiko15 күн бұрын
Naomba uniombe nipatekazi nimechoka kufanya kazi zandani sikia maombi yangu BABA na Mungu akubaliki sana tena sana naitwa yasinta maiko🤲🤲😭
@Yasintamaiko15 күн бұрын
Mwalimu natamani kukutana nawewe lkn nashindwa me kumfwata kwangu Mungu ndugu wamenitenga sijui nifanye nini na moyo wangu unaniambia nikikutana nawewe bc yote yataisha akuna ndugu anae niitaji kwasababu nimeamua kumfwata Mungu nashindwa kuendelea mbele vita nikubwa sana Baba kwangu maisha yangu yanaangamia naomba nisaidie 🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭kilio changu nikikubwa mno sijui nifanye nini Mungu anipe neema ya kukutananawewe vikwazo nivingi sana pale ninapotamani kukutana nawewe naomba nisaidie mwalimu 🤲🤲🙏
@Mary-f4zКүн бұрын
Ameeen baba Mungu akutumie kama yeye apendavyo
@servantjosiahtv31293 жыл бұрын
Oooh yes.. Asante sana Roho mtakatifu kwaajiri ya ujumbe huu kupitia Mtumishi wako mwakasege
@marrytesha67793 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa nguvu mwalimu tunakupenda😍
@italegeleo5624
3 жыл бұрын
baba nashukulu kwa chakula charoho
@johnmwilolezi39243 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe watu wa mungu, mm nilikuwa naomba juu ya kupata mume. sahihi kwa muda wa siku kadhaa, lakin gafla naskia sauti ikiniambia mume wako anakuja ila hana mbuz wala kondooo ila ana kiu ya upendo mmpokeee. Jaman nisaidien kuhusu hili jambo
@susiehollo7434 Жыл бұрын
Ndo leo napata ujumbe huu wakati nikiuhitaji zaidi, hakika wakati wa Bwana ndo wakati sahihi. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu na Bwana aendelee kukutumia kwa ajili ya Utukufu wake 🙏
@PaulineIlolo14 күн бұрын
Niliwai kuota ndoto kuhusu baba angu aliekua mgonjwa kesho yake baba angu akafariki nilitamani kuhama dunia💔
@dianasimon72023 жыл бұрын
Asante mtumishi wa MUNGU barikiwa utokapo na uingiapo,MUNGU asikupungukie HEKIMA
@barakkissoka8511
3 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@asiamtatifikolo64773 жыл бұрын
Asante Mwakasege Mimi din nyingine lakin, nakuelewa saana/
@amedeusmodestikimey9888
3 жыл бұрын
Mungu anakutambua
@aoman5214
3 жыл бұрын
Amen mwenyez Mungu akupe maisha marefu uzidi kujua yaliyo ya Mungu na kuyatenda
@aoman5214
3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana dada
@jovithaclavery64743 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe Sana mtumishi ,nami nimeelewa sasa ,kuna ndoto naotaga mno inajirudiarudia Sana ,na huwa nafadhaika Sana kwasababu ni Mara nyingi sasa zinajirudia hizo ndoto🙏🙏🙏
@joyjilien5432
2 жыл бұрын
Mwambie mtu yeyote haswa mtumishi wa mungu akuombee na baadae muulize tafsiri yake 🙏🙏
@patriciameshacky21582 жыл бұрын
Amen amen barikiwa sana baba nimekuanikikufatilia tangia nikiwa mdogo nasoma shule ya msingi hakika ufunuo wako kwangu uwanashuuda sana Baba yangu Mungu hakubariki sana 🙏🙏🙏
@emmanuelirunde87153 жыл бұрын
Amen Ubarikiwe Baba, Ninakutakia Baraka Za BWANA Na MUNGU MKUU, Aendelee Kukupa Upako.
@kaicy165
10 ай бұрын
Amina🙏🏾
@jacquelinemwakatika3 жыл бұрын
Natamani kama wewe au zaidi ya wewe,unanibariki sana MUNGU azidi kukunza nakukutumia zaidi
@jacksonbiswalo8360
3 жыл бұрын
Yap
@priscapaul339
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtu wa Mungu soma nimelielewa
@evaristagabriel49603 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajili yako mwalimu na mtumishi wa Mungu.
@lucyjeremia13813 жыл бұрын
Mungu akupe afya zaid mtumishi wa mungu
@nancykigamwamureli91973 жыл бұрын
Amen Amen glory to God am glad to hear from this channel. Asante kwa kunifungua macho ya ndani na kunifungisha kwajili ya ndoto be blessed too Amen watching from Germany
@jacklinemomanyi16512 жыл бұрын
Thanks to God !!! It has touched my heart and l am blessed too much .God bless the words of your mouth
@CatheLorryКүн бұрын
Mungu azidi kukubariki baba
@dativadiocles27143 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristo mwalimu nimeota nakufa ila naomba adi nafufuka na nizaidi ya mara moja na kwa mfurulizo nn maana yake nisaidie mwalimu
@elibarikieliatunawapatavzr78723 жыл бұрын
Amen umeniongezea kitu Mungu aendelee kukupa ufunuo zaidi
@victoriasuleiman1066 Жыл бұрын
Your Blessed Man of God... I'm Healed.Glory to Almighty God.
@pendonziku87313 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtishi wa MUNGU umenifumgua kitu nilikuwa sijui
@fatumaluze77243 жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu Amina somo zuri sana
@marylynliseche773 Жыл бұрын
Amen mtumishi wa mungu Kwa kweli umenibariki sana and be blessed 🙏🙏🙏🙏❤️
@clementkigelulye79153 жыл бұрын
I'm so happy umeongea mengi yananihusu ukiwa na kupewa Cha utambuzi utawe tafsiri ndoto zako Kuna siku nilipata ndoto ya kufunguliwa anga Mungu azidi kukubariki Mtumishi wetu
@hellenkintebwe23193 жыл бұрын
Thanks,Man of God. Umenisaidia sana kwa hili. Be blessed.
@happyiskaka73183 жыл бұрын
Mungu akuinue mtumishi Asante nimeijua Siri
@angelbless70703 жыл бұрын
God bless you daily,your my teacher in my life
@chipetapeter68042 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba yangu nakupenda Sana naomba niombeee uchumi wangu ukatulie baba
@samsonnashon97193 жыл бұрын
hakika somo hili ni jema na MUNGU akubariki sana mwalimu mwakasege I LOVE YOU
@sophiampolo3281
3 жыл бұрын
Mungu akubariki mwalimu you are the best
@YUSUPHIGUNGU2 ай бұрын
Umebarikiwa sana mtumishi wa mungu. Mungu azidi kukubarki uzidi kutufundisha ile kweli tuipasayo kuenenda
@RosePatrick-vh2orАй бұрын
Damu ya yesu inanena mwema maishani mwangu Amina mtumishi
@rhodasamwel24853 жыл бұрын
Ameen Ameen Yesu akutunze mwl wetu
@aminashikalage9733
3 жыл бұрын
amina napokea kwa jina la yesu
@richarddavidmk3 жыл бұрын
Baba asante kwa hii chanel. Sala ya Bwana ,ilinifungua sana
@godlovemwakabuba89603 жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni aendelee kukutia nguvu katika utumishi wako.
@ErnestKayombo9 ай бұрын
Mchungaji naitwa Lili nipo njombe naomba uniombee rehema mchungaji tangu mwezi wa Saba nimekuwa nikiota na kuwaza hizo ndoto za kumkufuru mungu wangu nampenda mungu wangu niombee mchungaji
@connieconny35843 жыл бұрын
Be blessed man of God!! This has really touched my heart....
@winniekombe4619
3 жыл бұрын
Amen
@gracemsuya8953 жыл бұрын
Mungu akubariki na akutunze mwalimu
@sadickwalker27953 жыл бұрын
Amen Man of God.
@mariamukasyupa68173 жыл бұрын
Ubarikiwe Mwalim
@happytimpiyian13473 жыл бұрын
Mwendelezo maana neno ni tamu sana
@jacksonbiswalo83603 жыл бұрын
Ninakukubali sana MTUMISHI wa MUNGU.Mungu akujaalie maisha marefu.
@joycefuraha2643 жыл бұрын
Thank you so much mwalimu.Mungu wa mbinguni akubariki sana na akuongezee ufunuo mkuu kwakusaidia watu wote.aksanti sana papa
@rahabnkya82763 жыл бұрын
NDOTO NI VITA NDANI YA NAFSI.EEEH MUNGU NIZIJUE NA KUTAMBUA NINI MANAKE NA NIFANYE NINI NA NDOTO SUMBUFU ZA ROHO CHAFU ZINIACHE KTK JINA LA YESU.AMINA.
@elizayanga9756
2 жыл бұрын
AMEN
@shininisoipano49733 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏
@miriamopiyo48253 жыл бұрын
Wachungaji wa mungu bwanayesu asifiwe.. Naitwa miriam ..Naomba mnisaidie nimekwa nikiota ndoto kuhusu mtoto wangu mara kwa mara .. Naota mtoto wangu amefura uvimbe mkubwa sehemu zake za siri tena naota analia kwa uchungu sana kuenda niangalie nikaona mtu ametoka hapo huyu mtu nikama amemba mtoto wangu tena naota mama yangu amemwinua mtoto wangu juu akamwangusha na tumbo macho ya mtoto ikatoa damu na mdomo nikalia kwa uchungu zaidi...sasa hi si ndoto mtoto wangu akiwa amelala ana tafuna sana meno nisaidieni tafathali ...
@aoman5214
3 жыл бұрын
Hmmmm pole Sana mpenz ukiona hivyo basi jua kuna nguvu flani inayowez kumjarb mtoto wako hivyo umepewa maono ili uweze kusimama na kumwombea mwanao na pia unapopat ndoto km hizi ni muhimu Sana kusali na kukemea nguvu za magonjwa au za Giza maan unaweza kuot kumbe si mwanao akawa ni mtoto wa mwingine kupitia maombi yako yakamponya
@evdanifordyphilipo7017
2 жыл бұрын
Mmh
@lucialeoter9342 жыл бұрын
Amina mtumishi BWANA yesu akubaliki.
@sedekiabilijite55163 жыл бұрын
Mwalimu Nimekuwa nikiota sana ndoto nikiwa shule na wanafunzi wenzangu wa secondary haipiti siku mbili wala week bila kuota hizo ndoto ,mara tunajiandaa na mitihani ,kama sijaota hiyo ndoto naota nikiwa mazingira ya kijijini kwetu na ndungu zangu ,najua kuna kitu Mungu ananisemesha ila bado sijaelewa nini maana yake ,na huwa roho yangu haina furaha kuto fahamu hizo ndoto , Nimekuwa nikiomba rehema na kukaa mwaga damu ya Yesu kwenye lango la ndoto hizo , Mungu akubariki sana nitaendelea kujifunza masomo yako na kuendelea kuomba
@neemanalailakiula1738
3 жыл бұрын
Habari, omba against spirit of delay / roho ya kuchelewa au kucheleweshwa
@clementkigelulye7915
3 жыл бұрын
Kuna mahali umekwama kiimani omba Mungu akuvushe kwenye Hilo daraja
@sedekiabilijite5516
3 жыл бұрын
@@clementkigelulye7915 nashukuru kwa ushauri wako , nilitamani kujua zaidi nifanyeje maana nateseka na ndoto hizo mbili
@elizaexpery2207
3 жыл бұрын
Me mwenyew huw ii ndoto inanisumbua sana...huwa naomb ila inajirudia...tu.. Maana nyingine ni kwamb Upo level za chin kimaisha...
@florakibona8042
3 жыл бұрын
Roho ya kurudishwa nyuma
@harunimwita79763 жыл бұрын
mungu akubariki sana mzee mwakasege.
@nuhumasika8000 Жыл бұрын
Amina mtumishi wa mungu, mungu atusaidie katika ndoto na niwe na kiu ya kukujua wewe zaidi
@rebbymichelle60563 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi..
@palmomfwango45 Жыл бұрын
Mungu akulinde na akupe hekima zaid asathe kwa neno la kutukumbussha
@anjelasaid60983 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@reymasenya64503 жыл бұрын
Ubalikiwe Sana Mtumishi Wa Mungu
@albertcharles61743 жыл бұрын
Ameni mtumish wa Mungu napenda hudumazako.
@giselamkwele77453 жыл бұрын
Asante sana Mchungaji,nahitaji sana huduma yako,Mungu akubariki
@successsafari52502 жыл бұрын
mwl bwana yesu asifiwe....asante sana kwa somo zuri ila naomba unisaidie maana kuna ndoto naiyota mala kwa mala ila cjui maana yake (naota na paa hewani)
@stevenkyando1513 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mwalimu kwa somo zuri
@tumainimosha644 Жыл бұрын
Amina Baba, Baraka za Mungu ziwe juu yako!
@ndakitv81482 жыл бұрын
To God be the glory..!
@vivianmauya93023 жыл бұрын
Amen..be bless A man of God
@ikanaelmshana8182 Жыл бұрын
Amen Mungu akubariki mtumishi wake kwa kutulisha kiroho
@abcujamaa61513 жыл бұрын
Ameen MTUMISHI barikiwa sana
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Asante mwalimu kumbe nilifanya bila kuelewa km niko sahihi nitaendelea kufuata hayo mafundisho
@beatricentyangiri92543 жыл бұрын
Am blessed with ths 🙏🙏
@severinisway4593
2 жыл бұрын
AMINA
@waziriamina17403 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe ,naitwa AMINA HAMADI WAZIRI kutoka mbeya, Naomba tafsiri ya ndoto hii niliota ninakula ugali maharage ,ndoto hii niliiota kwa siku tatu mfululizo
@richarddavidmk
3 жыл бұрын
Wakati unaendelea kuitafakari, weka kinga, yaani Achilia damu Ya Yesu,juu Ya ndotohiyo. Na uiharibu kwa Damu Ya Yesu.kwamaana kula ktk ndoto si jambo jema.
@cynlym1847
3 жыл бұрын
Muombe Mungu uvunje hyo ndoto yamkini inamaana ya jela! Mungu akutie nguvu ubarikiwe
@toliamgaya4217
3 жыл бұрын
Soma biblia Sana maana yake kula neno la mungu
@mohsixtus7048
2 жыл бұрын
Kula ndotoni ni ambatano la urithi wa kichawi
@edinakamendu33163 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@brightmollel66983 жыл бұрын
Powerful msg! Praise the Holy- spirit
@sabrinamsoma1353
3 жыл бұрын
Hi, kaduma hapa
@eliadahmhina4125
2 жыл бұрын
Baba Yangu ...Mwl Mwakasege
@neemaharnaa4553 Жыл бұрын
God bless you Dad, it touch my heart
@benjaminngholope31913 жыл бұрын
Mungu akuzidishe nguvu ktk kazi yako ya kutufundisha neno la Mungu
@hosianapanga93432 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri yako,be blessed baba.
@dannymlewa68523 жыл бұрын
Powerful massage
@esterisengela33452 жыл бұрын
Mungu abariki huduma yako maana inatusaidia sana, Amen 🙏
@mossesjoseph22023 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai.
@clementmusalege24772 жыл бұрын
Thank you for good massage to us God bless you forever.
@neemasapiyo54942 жыл бұрын
ASANTE kwa mafundisho, MUNGU AZIDI KUKUFUNIKA. Nakupenda BABA
@dorelnbraison3483 жыл бұрын
Amina mungu akubariki karikibu utuhubirie injiri iringa mtumish wa mungu
@tupoaaron36562 жыл бұрын
Glory to God, God bless You Mwl.
@anthonymbise5283 Жыл бұрын
Amen baba barikiwa sana
@elimika013 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi.🙌🙌🙌
@tatushemsanga16422 жыл бұрын
Ameeeen ubarikiwe sana mtumishi was mungu kwa mafundisho
@aloycesilas171 Жыл бұрын
Asante kwa mafundisho yako mtumishi wa mungu akubariki sana
@amosmwenda2634 Жыл бұрын
Amen mtumishi ubarikiwe Sana🙏🙏
@lucyjeremia13813 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi
@winnycham8588 Жыл бұрын
Bwana asifiwe sana, nimeota ndoto naudumia watoto wadogo
@agustinashayo72473 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa neno zuri
@irenekalemera7000 Жыл бұрын
Amen!! Hakika nimebarikiwa kwa somo hili
@happytimpiyian13473 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi🙏🙏
@dorcasrobert9278
3 жыл бұрын
Ubarikiwe
@sadickmajaliwa1296 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwa mafundisho mazuri.
@renaldatemu538 Жыл бұрын
Ahsante Kwa mafunuo haya mwl. Mungu àkutunze.
@bethmbwilo3092 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mtu mishi wa Bwana Yesu
@emmanuelmakinga-tr3zu Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa mafundisho Mazuri Mwalimu
@albertnestorylukoo97163 жыл бұрын
We hakika ni mtumishi wa Mungu. Mungu azidi kukupatia nguvu
@lightnessclementebrighton4990
3 жыл бұрын
Nabalikiwa Asante mungu kwa kunifundisha kupitia mtumishi wako
Пікірлер: 520
Damu ya Yesu ikanene mema maishani mwako baba 🙏.
Namshukuru sana Mungu kutupatia Mwalimu Mwakasege ambaye Roho wa Mungu yupo ndani take.🙏🙏.
NiliwAhi kuota ndoto Fulani ilikuwa ngumu Sana kuitafsir na hata mpaka leo hii siikumbuki,, baada ya kuiota hiyo ndoto nikaamka usiku huo huo na mda huo huo nikamuomba mwenyezi mungu anipe lugha rahisi niweze kuielew ile ndoto yaani anioteshe ndoto nyingine iliyo rahsi niweze kujua, nilivyolala tu haikupita mda mrefu nikapata mafunuo makubwa yaliyorahisi Sana ambayo hata mtoto mdogo anaweza kujua... Asante mungu
@saraphinasalila9202
Жыл бұрын
Ameen
@user-pt4xd7eh9v
11 ай бұрын
Betina naomba mamba y'all pls
Amen Mungu tusaidie tupe Roho wako mtakatifu atuwezeshe kutukumbusha ndoto tunazoziota kwa jina la Yesu Kes
Uyu mtumishi nilikuwa na mskiliza tangu nikiwa mtoto adi Sasa niko mtu mzima Mungu akutuze baba yangu wakirooh 🇰🇪
Asante Yesu Kwa kumtumia mtumishi wako, Mungu azidi kukuinua na kukutia nguvu mno
Naomba uniombe nipatekazi nimechoka kufanya kazi zandani sikia maombi yangu BABA na Mungu akubaliki sana tena sana naitwa yasinta maiko🤲🤲😭
Mwalimu natamani kukutana nawewe lkn nashindwa me kumfwata kwangu Mungu ndugu wamenitenga sijui nifanye nini na moyo wangu unaniambia nikikutana nawewe bc yote yataisha akuna ndugu anae niitaji kwasababu nimeamua kumfwata Mungu nashindwa kuendelea mbele vita nikubwa sana Baba kwangu maisha yangu yanaangamia naomba nisaidie 🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭kilio changu nikikubwa mno sijui nifanye nini Mungu anipe neema ya kukutananawewe vikwazo nivingi sana pale ninapotamani kukutana nawewe naomba nisaidie mwalimu 🤲🤲🙏
Ameeen baba Mungu akutumie kama yeye apendavyo
Oooh yes.. Asante sana Roho mtakatifu kwaajiri ya ujumbe huu kupitia Mtumishi wako mwakasege
Mungu azidi kukupa nguvu mwalimu tunakupenda😍
@italegeleo5624
3 жыл бұрын
baba nashukulu kwa chakula charoho
Bwana yesu asifiwe watu wa mungu, mm nilikuwa naomba juu ya kupata mume. sahihi kwa muda wa siku kadhaa, lakin gafla naskia sauti ikiniambia mume wako anakuja ila hana mbuz wala kondooo ila ana kiu ya upendo mmpokeee. Jaman nisaidien kuhusu hili jambo
Ndo leo napata ujumbe huu wakati nikiuhitaji zaidi, hakika wakati wa Bwana ndo wakati sahihi. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu na Bwana aendelee kukutumia kwa ajili ya Utukufu wake 🙏
Niliwai kuota ndoto kuhusu baba angu aliekua mgonjwa kesho yake baba angu akafariki nilitamani kuhama dunia💔
Asante mtumishi wa MUNGU barikiwa utokapo na uingiapo,MUNGU asikupungukie HEKIMA
@barakkissoka8511
3 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
Asante Mwakasege Mimi din nyingine lakin, nakuelewa saana/
@amedeusmodestikimey9888
3 жыл бұрын
Mungu anakutambua
@aoman5214
3 жыл бұрын
Amen mwenyez Mungu akupe maisha marefu uzidi kujua yaliyo ya Mungu na kuyatenda
@aoman5214
3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana dada
Amen, ubarikiwe Sana mtumishi ,nami nimeelewa sasa ,kuna ndoto naotaga mno inajirudiarudia Sana ,na huwa nafadhaika Sana kwasababu ni Mara nyingi sasa zinajirudia hizo ndoto🙏🙏🙏
@joyjilien5432
2 жыл бұрын
Mwambie mtu yeyote haswa mtumishi wa mungu akuombee na baadae muulize tafsiri yake 🙏🙏
Amen amen barikiwa sana baba nimekuanikikufatilia tangia nikiwa mdogo nasoma shule ya msingi hakika ufunuo wako kwangu uwanashuuda sana Baba yangu Mungu hakubariki sana 🙏🙏🙏
Amen Ubarikiwe Baba, Ninakutakia Baraka Za BWANA Na MUNGU MKUU, Aendelee Kukupa Upako.
@kaicy165
10 ай бұрын
Amina🙏🏾
Natamani kama wewe au zaidi ya wewe,unanibariki sana MUNGU azidi kukunza nakukutumia zaidi
@jacksonbiswalo8360
3 жыл бұрын
Yap
@priscapaul339
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtu wa Mungu soma nimelielewa
Namshukuru Mungu kwa ajili yako mwalimu na mtumishi wa Mungu.
Mungu akupe afya zaid mtumishi wa mungu
Amen Amen glory to God am glad to hear from this channel. Asante kwa kunifungua macho ya ndani na kunifungisha kwajili ya ndoto be blessed too Amen watching from Germany
Thanks to God !!! It has touched my heart and l am blessed too much .God bless the words of your mouth
Mungu azidi kukubariki baba
Tumsifu Yesu Kristo mwalimu nimeota nakufa ila naomba adi nafufuka na nizaidi ya mara moja na kwa mfurulizo nn maana yake nisaidie mwalimu
Amen umeniongezea kitu Mungu aendelee kukupa ufunuo zaidi
Your Blessed Man of God... I'm Healed.Glory to Almighty God.
Ubarikiwe sana mtishi wa MUNGU umenifumgua kitu nilikuwa sijui
Mungu akupe umri mrefu Amina somo zuri sana
Amen mtumishi wa mungu Kwa kweli umenibariki sana and be blessed 🙏🙏🙏🙏❤️
I'm so happy umeongea mengi yananihusu ukiwa na kupewa Cha utambuzi utawe tafsiri ndoto zako Kuna siku nilipata ndoto ya kufunguliwa anga Mungu azidi kukubariki Mtumishi wetu
Thanks,Man of God. Umenisaidia sana kwa hili. Be blessed.
Mungu akuinue mtumishi Asante nimeijua Siri
God bless you daily,your my teacher in my life
Mungu akupe maisha marefu baba yangu nakupenda Sana naomba niombeee uchumi wangu ukatulie baba
hakika somo hili ni jema na MUNGU akubariki sana mwalimu mwakasege I LOVE YOU
@sophiampolo3281
3 жыл бұрын
Mungu akubariki mwalimu you are the best
Umebarikiwa sana mtumishi wa mungu. Mungu azidi kukubarki uzidi kutufundisha ile kweli tuipasayo kuenenda
Damu ya yesu inanena mwema maishani mwangu Amina mtumishi
Ameen Ameen Yesu akutunze mwl wetu
@aminashikalage9733
3 жыл бұрын
amina napokea kwa jina la yesu
Baba asante kwa hii chanel. Sala ya Bwana ,ilinifungua sana
Mungu wa Mbinguni aendelee kukutia nguvu katika utumishi wako.
Mchungaji naitwa Lili nipo njombe naomba uniombee rehema mchungaji tangu mwezi wa Saba nimekuwa nikiota na kuwaza hizo ndoto za kumkufuru mungu wangu nampenda mungu wangu niombee mchungaji
Be blessed man of God!! This has really touched my heart....
@winniekombe4619
3 жыл бұрын
Amen
Mungu akubariki na akutunze mwalimu
Amen Man of God.
Ubarikiwe Mwalim
Mwendelezo maana neno ni tamu sana
Ninakukubali sana MTUMISHI wa MUNGU.Mungu akujaalie maisha marefu.
Thank you so much mwalimu.Mungu wa mbinguni akubariki sana na akuongezee ufunuo mkuu kwakusaidia watu wote.aksanti sana papa
NDOTO NI VITA NDANI YA NAFSI.EEEH MUNGU NIZIJUE NA KUTAMBUA NINI MANAKE NA NIFANYE NINI NA NDOTO SUMBUFU ZA ROHO CHAFU ZINIACHE KTK JINA LA YESU.AMINA.
@elizayanga9756
2 жыл бұрын
AMEN
Nabarikiwa Sana Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏
Wachungaji wa mungu bwanayesu asifiwe.. Naitwa miriam ..Naomba mnisaidie nimekwa nikiota ndoto kuhusu mtoto wangu mara kwa mara .. Naota mtoto wangu amefura uvimbe mkubwa sehemu zake za siri tena naota analia kwa uchungu sana kuenda niangalie nikaona mtu ametoka hapo huyu mtu nikama amemba mtoto wangu tena naota mama yangu amemwinua mtoto wangu juu akamwangusha na tumbo macho ya mtoto ikatoa damu na mdomo nikalia kwa uchungu zaidi...sasa hi si ndoto mtoto wangu akiwa amelala ana tafuna sana meno nisaidieni tafathali ...
@aoman5214
3 жыл бұрын
Hmmmm pole Sana mpenz ukiona hivyo basi jua kuna nguvu flani inayowez kumjarb mtoto wako hivyo umepewa maono ili uweze kusimama na kumwombea mwanao na pia unapopat ndoto km hizi ni muhimu Sana kusali na kukemea nguvu za magonjwa au za Giza maan unaweza kuot kumbe si mwanao akawa ni mtoto wa mwingine kupitia maombi yako yakamponya
@evdanifordyphilipo7017
2 жыл бұрын
Mmh
Amina mtumishi BWANA yesu akubaliki.
Mwalimu Nimekuwa nikiota sana ndoto nikiwa shule na wanafunzi wenzangu wa secondary haipiti siku mbili wala week bila kuota hizo ndoto ,mara tunajiandaa na mitihani ,kama sijaota hiyo ndoto naota nikiwa mazingira ya kijijini kwetu na ndungu zangu ,najua kuna kitu Mungu ananisemesha ila bado sijaelewa nini maana yake ,na huwa roho yangu haina furaha kuto fahamu hizo ndoto , Nimekuwa nikiomba rehema na kukaa mwaga damu ya Yesu kwenye lango la ndoto hizo , Mungu akubariki sana nitaendelea kujifunza masomo yako na kuendelea kuomba
@neemanalailakiula1738
3 жыл бұрын
Habari, omba against spirit of delay / roho ya kuchelewa au kucheleweshwa
@clementkigelulye7915
3 жыл бұрын
Kuna mahali umekwama kiimani omba Mungu akuvushe kwenye Hilo daraja
@sedekiabilijite5516
3 жыл бұрын
@@clementkigelulye7915 nashukuru kwa ushauri wako , nilitamani kujua zaidi nifanyeje maana nateseka na ndoto hizo mbili
@elizaexpery2207
3 жыл бұрын
Me mwenyew huw ii ndoto inanisumbua sana...huwa naomb ila inajirudia...tu.. Maana nyingine ni kwamb Upo level za chin kimaisha...
@florakibona8042
3 жыл бұрын
Roho ya kurudishwa nyuma
mungu akubariki sana mzee mwakasege.
Amina mtumishi wa mungu, mungu atusaidie katika ndoto na niwe na kiu ya kukujua wewe zaidi
Ubarikiwe sana mtumishi..
Mungu akulinde na akupe hekima zaid asathe kwa neno la kutukumbussha
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Ubalikiwe Sana Mtumishi Wa Mungu
Ameni mtumish wa Mungu napenda hudumazako.
Asante sana Mchungaji,nahitaji sana huduma yako,Mungu akubariki
mwl bwana yesu asifiwe....asante sana kwa somo zuri ila naomba unisaidie maana kuna ndoto naiyota mala kwa mala ila cjui maana yake (naota na paa hewani)
Ubarikiwe sana mwalimu kwa somo zuri
Amina Baba, Baraka za Mungu ziwe juu yako!
To God be the glory..!
Amen..be bless A man of God
Amen Mungu akubariki mtumishi wake kwa kutulisha kiroho
Ameen MTUMISHI barikiwa sana
Asante mwalimu kumbe nilifanya bila kuelewa km niko sahihi nitaendelea kufuata hayo mafundisho
Am blessed with ths 🙏🙏
@severinisway4593
2 жыл бұрын
AMINA
Bwana yesu asifiwe ,naitwa AMINA HAMADI WAZIRI kutoka mbeya, Naomba tafsiri ya ndoto hii niliota ninakula ugali maharage ,ndoto hii niliiota kwa siku tatu mfululizo
@richarddavidmk
3 жыл бұрын
Wakati unaendelea kuitafakari, weka kinga, yaani Achilia damu Ya Yesu,juu Ya ndotohiyo. Na uiharibu kwa Damu Ya Yesu.kwamaana kula ktk ndoto si jambo jema.
@cynlym1847
3 жыл бұрын
Muombe Mungu uvunje hyo ndoto yamkini inamaana ya jela! Mungu akutie nguvu ubarikiwe
@toliamgaya4217
3 жыл бұрын
Soma biblia Sana maana yake kula neno la mungu
@mohsixtus7048
2 жыл бұрын
Kula ndotoni ni ambatano la urithi wa kichawi
Ubarikiwe mtumishi
Powerful msg! Praise the Holy- spirit
@sabrinamsoma1353
3 жыл бұрын
Hi, kaduma hapa
@eliadahmhina4125
2 жыл бұрын
Baba Yangu ...Mwl Mwakasege
God bless you Dad, it touch my heart
Mungu akuzidishe nguvu ktk kazi yako ya kutufundisha neno la Mungu
Nabarikiwa sana na mahubiri yako,be blessed baba.
Powerful massage
Mungu abariki huduma yako maana inatusaidia sana, Amen 🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai.
Thank you for good massage to us God bless you forever.
ASANTE kwa mafundisho, MUNGU AZIDI KUKUFUNIKA. Nakupenda BABA
Amina mungu akubariki karikibu utuhubirie injiri iringa mtumish wa mungu
Glory to God, God bless You Mwl.
Amen baba barikiwa sana
Ubarikiwe Sana mtumishi.🙌🙌🙌
Ameeeen ubarikiwe sana mtumishi was mungu kwa mafundisho
Asante kwa mafundisho yako mtumishi wa mungu akubariki sana
Amen mtumishi ubarikiwe Sana🙏🙏
Barikiwa Sana mtumishi
Bwana asifiwe sana, nimeota ndoto naudumia watoto wadogo
Mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa neno zuri
Amen!! Hakika nimebarikiwa kwa somo hili
Barikiwa sana mtumishi🙏🙏
@dorcasrobert9278
3 жыл бұрын
Ubarikiwe
Ubarikiwe mtumishi kwa mafundisho mazuri.
Ahsante Kwa mafunuo haya mwl. Mungu àkutunze.
Ubarikiwe Sana Mtu mishi wa Bwana Yesu
Ubarikiwe sana kwa mafundisho Mazuri Mwalimu
We hakika ni mtumishi wa Mungu. Mungu azidi kukupatia nguvu
@lightnessclementebrighton4990
3 жыл бұрын
Nabalikiwa Asante mungu kwa kunifundisha kupitia mtumishi wako