Allah akujaze kheyr sheikh MashaAllah watufaidisha na mengi, nawe Allah akuzidishie na akufungilie milango ya kheir zote
@bibasulesh78662 жыл бұрын
Jazakallahu khairan yaa sheikh
@maryamally3085 Жыл бұрын
Mashallah mawaidha mazuri Allah SWT akulinde na maadui zako wote na akujaze mema hapa hapa duniani na akakkuingize Jannat Ferdaus pamoja family yako tukakutane pamoja kwenye pepo .Allahumma Ameen.
@jamalhuka89492 жыл бұрын
Mashallah sheikh Allah akujalie kheri hapa duniani na akhera hivyo ulituelimisha mtandaoni kila kukicha
Shukran Shukran kaka Kwamawaiza mazuri sana Asante 💙💙💙
@bahatiadamu59262 жыл бұрын
Shukran Sheikh Othman Angalia wenzetu wa upande wapili wanapo fanya Maombi yao utadhani yule wanae Muomba wanamuona!Ela cc Macho makavu hata simannzi na ishara ya muombaji halipo! Subhanalah!
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Swadakta🙏🙏🙏
@alfredMvanda Жыл бұрын
ASMAA HASSAN,,,,,,,,,,,,,,maashaalah
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Amina
@rehemaothaman59992 жыл бұрын
Allah akujaze kheri
@mozasaid38692 жыл бұрын
Shukran shekhe kwa mawaidha
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Napenda sana duwa
@jumahizza6812 Жыл бұрын
SHEKH SHUKRAN UNATUPA NJIA YA KUKUTANA NA ALLAH KWA WEPESI SANA
@fhyubhhh28812 жыл бұрын
MashaAllah shkh Allah akupe umri wenye afya Yarrab
@fatmakombo75842 жыл бұрын
Shukran
@rufaydabaskut22302 жыл бұрын
Mashallah mungu akuhifadhi sheikh othman
@ashaabeid4520
7 ай бұрын
Manshallah, Allah akujaaliye kheri na akupe mwisho mwema.
@asiakibali1253 Жыл бұрын
❤❤❤❤
@rahmanguzo92702 жыл бұрын
Dua
@athumanikhamisi33772 жыл бұрын
Shukraan
@highmedland92802 жыл бұрын
Mm nakujibu uliouliza suali kwa shkh wetu 7b Hana mda wa kkujibu, Nikua swala ya usiku wa manane na swala ya alfajiri sio sawa, kwamaana swala ya alfajiri sio usiku mda huo ukilala na kusinzia ktk Sala alfjr ni uzembe wako unapaswa upigwe Kofi lausoni😴
@chunaabdullah1333
2 жыл бұрын
Unge replie chini yake kama hivi
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Huku nilipo kwa sasa swala ya Isha inaingia saa 4 na dakika 43 na swala ya Alfajir inaingia saa 8 na dakika 40, Na jua linatoka saa 10 na dakika 40. Unakuta kuswali swala za usiku huezi.
@fhyubhhh2881
2 жыл бұрын
Poleni kwa mabadiliko ya nyakati, lkn nia yko Allah anaijua anakupokelea!!
@nasrainagakima41452 жыл бұрын
Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh,sheikh Nina swali ,nimeskia umezungumza kuwa sio vyema kuswali swala ya usiku huku ukiwa na usingizi na vp kuhusu swala ya faradhi ambayo ni swalatul fajri nayo hupaswi ??
@heyumi2340
2 жыл бұрын
kumbuka swala ya asubuhi ni faradhi na ni lazima kuiswali swala zausiku ni suna OK
@jamalamon5846
2 жыл бұрын
Pia fajri mm nadhani si usiku, km sijakosea.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@jamalamon5846 ni asubuhi ndiooo
@nusaybahabduly450
2 жыл бұрын
Jaman sala za faradh ni lazima uisali haina sababu ila za sunna km una uwezo nazo sali km huwez una usingiz unatakiwa ulale ili ukiamka alfajir kwa ajili ya sala usiwe na usingiz wala uchovu. Kumbuka kuwa sala ya faradh ukiacha bila sabab za mcng ni dhambiiiii
@shaabanmtunguja51282 жыл бұрын
Me
@halimaa9367
2 жыл бұрын
Wewe ndugu yke mariam mtunguja yupo uku oman
@boubabizo2462 жыл бұрын
Naona mwengine kapiga usingizi .. yaani anakaa pia haskie kama sheikh anawahusia kulala wakati wa ibada.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
swala za usiku ni suna au aidha unaswali swala ya haja sio kusema anawafundisha wasiswali kuwa muelewa
@sharifashabani8973
Жыл бұрын
Mashaallah shekh wetu allah akujaze majazo mema Yaarab👏👏🤲🤲🙏
@makamewadi72432 жыл бұрын
Mashallah
@mangulimanguli39742 жыл бұрын
Mashaallah
@mozaally76432 жыл бұрын
Shukran
@fatmahajj42
Жыл бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh Allah akuhifathi akuwengezee almu mafia akupe Pepo ya firdaus amin
@SelemanMakau
9 ай бұрын
Mimi kiukweli,Kama ningejaliwa kukaa karibu nawewe Basi Kila msikiti ambao ungekuwa unaenda kutoa hutuba Basi ningekuja kukusiliza kwakweli Allah akuweke,visa na mifano unayoyatoa kwetu tunanyooka Sana,Allah akuhifahifadhi na manyang"au was ulimwengu.
Пікірлер: 103
MashaAllah..Rehma na Amani zimshukie mtume wetu kipenzi Muhammad..Aamiin.
Allah akulipe heri maarimu wetu darsa zako ni mzuri sana zina tija na mazingatio makubwa
MashaAllah shekhe Othman maalim Allah akuhifadhi na . Hasad na akujalye mwisho mwema
MashaAllah hayo maneno ya kuombea dua ni ajib Sana nataman kujifunza Kwa kuay2mia kuombea dua Allah aniwezeshe niyajue na jamiatu Islam. Aamin
@kassimsleiman4117
2 жыл бұрын
Waislamu tujifunze mambo ya dini yetu na tutekeleze. Tuwe waislamu Bora na siyo Bora Uislamu.
@Asha-gb1xr
8 ай бұрын
Omar
MashaAllah darsa zako zina utulivu sanaa na funzo na mifano lazma utanyoka ..Mungu atuongoze jamii Islam
@amnnehassani3957
2 жыл бұрын
Allahumma Amin
@mwanashahamisi2538
2 жыл бұрын
Amiin
Maashaallah tabarrak allah
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Allah yahfadak ya Sheikh!!! Nakupenda kwa ajili ya Allah.....
Masha Allah Allah Akulipe kila la kheir insha Allahh
Huu msikiti membari yake nzuri sana, Mwenyezi Mungu awalipe waliotoa kwa ajili ya nyumba yake.
@w4058
2 жыл бұрын
Jamal Allah akulipe na wewe ulowaombea dua waliotowa na wewe Allah akufungulie kila lenye kheri ammin
@nurumusa4754
2 жыл бұрын
alhamdullillah shekhe wetu darsa zako alhamdullilah
Aslm alkm ww..... Yoyote anae muelekeza mja kumtambua Allah. Allah amlipe Jannah firdous Yaa Rabb 🙏
Allah akujaze kheyr sheikh MashaAllah watufaidisha na mengi, nawe Allah akuzidishie na akufungilie milango ya kheir zote
Jazakallahu khairan yaa sheikh
Mashallah mawaidha mazuri Allah SWT akulinde na maadui zako wote na akujaze mema hapa hapa duniani na akakkuingize Jannat Ferdaus pamoja family yako tukakutane pamoja kwenye pepo .Allahumma Ameen.
Mashallah sheikh Allah akujalie kheri hapa duniani na akhera hivyo ulituelimisha mtandaoni kila kukicha
Mashaallah shekh wetu allah akufanyie wepesi ktk kutufikishia elim Kazakh lahu khaira
Mashaallah yaa sheikh allah akulipe kila lenye gheir
Mashaallah,Shekh Allah akupe umri MREFU wenye manufaa
Subhanallah mngu atutatulie shida na dhiki yaraab
Mashallah
MASHALLAH MASHALLAH SHEIKH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI INSHALLAH NASI ALLAH ATUONGOZE INSHALLAH
@allymajid1767
2 жыл бұрын
Mashallah allah akuhifadhi na akupe umri mrefu ktk kuitumikia dini na wauslamu insha allah..NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH AKHII.
Ma Sha Allah
@rehemaothaman5999
2 жыл бұрын
Jazaaka llah. Lkheir
Subhanallah Allah atupe Imani Yarrab atusameh
Ameen shek Allah barik
Jazak Allahu Khairaan Kathiraan kwa Darsa Muruwa lenye mafundisho na mazingatio makubwa sana.
Mashaallah tabaraka Allah
Subhanalla wabihamdi subhanalla alladhim. Shukrn kwa ukumbsho.
Ma Shaa Allah Tabarakallah 💞
Ameen
Mashaa Allah
Barakallahu fiq
Shukran jazila🤲
Jazakum llahu khair
Mash allah jazakal kheir sheikh Wallah sichoki kabisa kuangalia clip zako Shukran
Allah akuweke ishaallah utuongoze kwenye dini
Allah akuhifadhi sheikh wetu. Jazakallahu kher
Mashallah tabarrakah allah
Alhamdulillah Mungu azidi kukupa umri na nguvu
Shukrani akujazi kheri allah
Shukran Allah akubariki Amiin
Mashaa Allah tabaraka Allah
Mashaallah
Masha Allah, Allah akulipe mazingatio mema
Mashallah Allah akutunzee kwa ajil ya kutufunza siee....🙏
Subhanallah
Shukran ya Sheikh
Shukran sheikh sichoki kukusikiliza maishan mwangu
Alhamdulillah sheikh
Masha allah tabaraka llah
@fatmaahmed6881
2 жыл бұрын
iý7 w
MashaAllah ❤
Mashalllah
Alhamdulillah
Ma sha allah
Mashalla tabaaraka llah
Shukraan sheikh wangu MashaAllah ❤❤❤
Jizaaka alllah kheyr
Subahana llah alhamdulilah
Shukran Shukran kaka Kwamawaiza mazuri sana Asante 💙💙💙
Shukran Sheikh Othman Angalia wenzetu wa upande wapili wanapo fanya Maombi yao utadhani yule wanae Muomba wanamuona!Ela cc Macho makavu hata simannzi na ishara ya muombaji halipo! Subhanalah!
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Swadakta🙏🙏🙏
ASMAA HASSAN,,,,,,,,,,,,,,maashaalah
Amina
Allah akujaze kheri
Shukran shekhe kwa mawaidha
Napenda sana duwa
SHEKH SHUKRAN UNATUPA NJIA YA KUKUTANA NA ALLAH KWA WEPESI SANA
MashaAllah shkh Allah akupe umri wenye afya Yarrab
Shukran
Mashallah mungu akuhifadhi sheikh othman
@ashaabeid4520
7 ай бұрын
Manshallah, Allah akujaaliye kheri na akupe mwisho mwema.
❤❤❤❤
Dua
Shukraan
Mm nakujibu uliouliza suali kwa shkh wetu 7b Hana mda wa kkujibu, Nikua swala ya usiku wa manane na swala ya alfajiri sio sawa, kwamaana swala ya alfajiri sio usiku mda huo ukilala na kusinzia ktk Sala alfjr ni uzembe wako unapaswa upigwe Kofi lausoni😴
@chunaabdullah1333
2 жыл бұрын
Unge replie chini yake kama hivi
Huku nilipo kwa sasa swala ya Isha inaingia saa 4 na dakika 43 na swala ya Alfajir inaingia saa 8 na dakika 40, Na jua linatoka saa 10 na dakika 40. Unakuta kuswali swala za usiku huezi.
@fhyubhhh2881
2 жыл бұрын
Poleni kwa mabadiliko ya nyakati, lkn nia yko Allah anaijua anakupokelea!!
Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh,sheikh Nina swali ,nimeskia umezungumza kuwa sio vyema kuswali swala ya usiku huku ukiwa na usingizi na vp kuhusu swala ya faradhi ambayo ni swalatul fajri nayo hupaswi ??
@heyumi2340
2 жыл бұрын
kumbuka swala ya asubuhi ni faradhi na ni lazima kuiswali swala zausiku ni suna OK
@jamalamon5846
2 жыл бұрын
Pia fajri mm nadhani si usiku, km sijakosea.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@jamalamon5846 ni asubuhi ndiooo
@nusaybahabduly450
2 жыл бұрын
Jaman sala za faradh ni lazima uisali haina sababu ila za sunna km una uwezo nazo sali km huwez una usingiz unatakiwa ulale ili ukiamka alfajir kwa ajili ya sala usiwe na usingiz wala uchovu. Kumbuka kuwa sala ya faradh ukiacha bila sabab za mcng ni dhambiiiii
Me
@halimaa9367
2 жыл бұрын
Wewe ndugu yke mariam mtunguja yupo uku oman
Naona mwengine kapiga usingizi .. yaani anakaa pia haskie kama sheikh anawahusia kulala wakati wa ibada.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
swala za usiku ni suna au aidha unaswali swala ya haja sio kusema anawafundisha wasiswali kuwa muelewa
@sharifashabani8973
Жыл бұрын
Mashaallah shekh wetu allah akujaze majazo mema Yaarab👏👏🤲🤲🙏
Mashallah
Mashaallah
Shukran
@fatmahajj42
Жыл бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh Allah akuhifathi akuwengezee almu mafia akupe Pepo ya firdaus amin
@SelemanMakau
9 ай бұрын
Mimi kiukweli,Kama ningejaliwa kukaa karibu nawewe Basi Kila msikiti ambao ungekuwa unaenda kutoa hutuba Basi ningekuja kukusiliza kwakweli Allah akuweke,visa na mifano unayoyatoa kwetu tunanyooka Sana,Allah akuhifahifadhi na manyang"au was ulimwengu.
Mashallah