UKISOMA DUA HII UTAPATA CHOCOTE UNACHOKITAKA | IKIWA NI WATOTO, MALI HATA KUONDOKANA NA MIKOSIA

#riyadhTvZnz #zanzibar

Пікірлер: 46

  • @NdenengoNkya
    @NdenengoNkya2 ай бұрын

    Shehe na kuomba uniandikie samahani nikutake radhi, pia namuomba mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu

  • @ayshahamisi1240
    @ayshahamisi1240 Жыл бұрын

    Allah akulipe heri shekh wetu

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Жыл бұрын

    Asante Rusaganya Barakallafiyk Jazskall Kheriy Shukran Jazillah Allah Akuzidishie Na Akuhifadhi Nakikabaya Yarabiy

  • @maryamhimid5577
    @maryamhimid5577 Жыл бұрын

    MashaAllah Mungu akubariki shehe wetu

  • @leylaamour9804
    @leylaamour9804 Жыл бұрын

    Shukran sana Shekh Mungu akulipe kila la kherii Inshallah. Ameen.

  • @khadijamwinyi3759

    @khadijamwinyi3759

    Жыл бұрын

    Shukran kwa kutuelimisha Mungu akupe umri mrefu

  • @user-rc6mq1np3l
    @user-rc6mq1np3l Жыл бұрын

    Shukran JazakaaAllah kheiry

  • @zuwenanassor9076
    @zuwenanassor9076 Жыл бұрын

    Shukran sana Sheikh letu.Allah akulipe kheri kea kutuelimisha.

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 Жыл бұрын

    MASHA ALLAH

  • @assinaassende7561
    @assinaassende7561 Жыл бұрын

    Allah akupe umli mlefi sheh wetu

  • @salameahmed2515
    @salameahmed2515 Жыл бұрын

    mashallah tabarakah Allah. Allah Akbar

  • @kimarojamila1014
    @kimarojamila1014 Жыл бұрын

    Shukran shee wetu Allah akulinde na maradh uweze kutuelimisha kila siku

  • @ayshahamisi1240

    @ayshahamisi1240

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange7357 Жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah tabarak rahman

  • @zahrasaid6928
    @zahrasaid6928 Жыл бұрын

    MASHAALLAH... TAKBIR! ALLAHU AKBAR

  • @pilitantine5090

    @pilitantine5090

    Жыл бұрын

    Shurkan

  • @jamilamohammed2771
    @jamilamohammed2771 Жыл бұрын

    Jazakallah kheir

  • @mwanaishabakari240
    @mwanaishabakari240 Жыл бұрын

    Shukran jazakallahu khairan.

  • @azizaathumani1617
    @azizaathumani1617 Жыл бұрын

    Jazakallah khayra

  • @ayushjhay4361
    @ayushjhay4361 Жыл бұрын

    Jazakaallah

  • @omarylyimo955
    @omarylyimo955 Жыл бұрын

    Jazakhallah

  • @hidayarashid5263
    @hidayarashid5263 Жыл бұрын

    Jazaakumullaha khaira

  • @alexbayingana7879
    @alexbayingana7879 Жыл бұрын

    Shukran Shekh wetu,

  • @user-ie5bm1ij4t
    @user-ie5bm1ij4t7 ай бұрын

    Allah akujaalie umri wenye kheri na barakaka nyingi ndani yake

  • @anisahadi4004
    @anisahadi4004 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @fatmakichawele150
    @fatmakichawele150 Жыл бұрын

    Jazakallahu kheir

  • @kadiffneyy8469
    @kadiffneyy8469 Жыл бұрын

    Mashaalah shukran sheikh Mungu akupe kheri.

  • @hairathchigalika7240
    @hairathchigalika7240 Жыл бұрын

    Shukrani shekhe

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Жыл бұрын

    Allah_Akulipe

  • @abuubakariamiri1037
    @abuubakariamiri1037 Жыл бұрын

    Ngoja tukupige copyright ndiyo utaaca kuiba video Darsa Tv

  • @NdenengoNkya
    @NdenengoNkya2 ай бұрын

    Shehe na mimi nifanye nini ili mama anihamishe shule ktk siku mbili tu

  • @veronicambeleseroisaya4539
    @veronicambeleseroisaya4539 Жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @aminaally7042
    @aminaally7042 Жыл бұрын

    Eti shekhe me naomba kuuliza ni halali kwa mwanamke kusoma quran wakati akiwa katika period jamani kwa anaejua naomba jibu

  • @UkhtyMuslim

    @UkhtyMuslim

    Жыл бұрын

    Naam dadangu inafaa mwanamke kusoma Qur'an wakati akiwa kwenye hedhi ila asiukuse ms'hafu

  • @swalehseifmuhammed8289

    @swalehseifmuhammed8289

    11 ай бұрын

    Ni haramu haifai

  • @swalehseifmuhammed8289

    @swalehseifmuhammed8289

    11 ай бұрын

    Hairuhusiwi hatakama haja chukuwa masafu tena ni kharamu

  • @maymunaabdallah4238
    @maymunaabdallah4238 Жыл бұрын

    JAZAKALLAH LKHEIR

  • @mnandilandsimba8627
    @mnandilandsimba8627 Жыл бұрын

    shukran

  • @anisahadi4004

    @anisahadi4004

    Жыл бұрын

    Shukrn mngu akubariki

  • @nurufarah3071

    @nurufarah3071

    Жыл бұрын

    Allah akujalie afya njema shekh

  • @abuubakariamiri1037
    @abuubakariamiri1037 Жыл бұрын

    Ngoja tukupige copyright ndiyo utaaca kuiba video Darsa Tv

  • @cholomsury1548

    @cholomsury1548

    Жыл бұрын

    Kuna ubaya gani akieneza ujumbe wa Allah...

  • @abuubakariamiri1037

    @abuubakariamiri1037

    Жыл бұрын

    @@cholomsury1548 upo ila mpaka ukae utulia ndiyo utajua na siyo kwa mihamko utojua

  • @UkhtyMuslim

    @UkhtyMuslim

    Жыл бұрын

    Acha husda kakaangu kama kaiba ibayako nawew Allah amemtia hapa duniani na akamjalia elim bora yakumjuwa molawake namtume wake nadini yake Allah ampe kila lakheri kwakuitumia elim yake vyema hivyo basi kama kaiba ibayako wacha maneno hapo🙏🙏🆗Allah akuongoze

  • @abuubakariamiri1037

    @abuubakariamiri1037

    Жыл бұрын

    @@UkhtyMuslim dada mbona unalopoka kama umekunywa maji ya chooni mimi sijamsema sheikh Rusaganya bali nimemwambia uyo mwenye KZread kwamba hii video ambazo anadownload kwetu Darsa Tv bila ya kutuomba wenye tunaweza kupiga copyright ©️ siyo sheikh sasa kama kitu haujui usikimbilie kujibu

  • @UkhtyMuslim

    @UkhtyMuslim

    Жыл бұрын

    @@abuubakariamiri1037 wala sijaropoka nile mtu akiongea ukweli ansonekana ameongea upumbavu ila ningeekuunga mkon ningeonekana wamana so nichukulie unavyotaka hatakama ame darlod kwan kuna ubaya gani yeye kusambaza kheri?hata mimi naeza nikai darlod nikapost yaezekana kwahiyo acha kumsema mwenzako vibaya eti kaiba kaiba nyumban kwako?kakuiba mke? ama

Келесі