MAMBO MANNE TU YATAKUPA UTAJIRI NA KILA UKITAKACHO KATIKA DUNIA FANYA LEO HII UONE MAAJABU MAKUBWA
#riyadhTvZnz #zanzibar
Жүктеу.....
Пікірлер: 35
@kuyasayalel2605 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda Prof. Huwa nakusikiliza kwa makini sana. Mimi ni mkristo lakini ujumbe huu nitawapa watoto wangu waiweke kwenye context ya dini yetu. Haya ni madini tosha. Mwenye masikio na asikie
@abdulrahmanally1412 Жыл бұрын
Yaa RABBI, wajaalie vijana hawa wawe wawakilishi wema wa darsa hili kwa vitendo, AMIN
@hadhaminfadhwil-rab287 Жыл бұрын
mashallah mzee amejaaliwa hekma ya uongeaji, huchoki kumskiliza, and kweli amesoma masha-ALLAH
@abuuluqmaana8444 Жыл бұрын
Yaan profesa allaah akuhifadhi umeongea maneno makubwa sana wengi wao hao unao onngea nao hawapendi kudhilisha neema walionayo ya uisilam wanawke wavaa uchi na wanaume wanavaa cheni na milegezo hawajui kua hii neema ya uisilam makafir wanaitamani bali baadh wanawaogopa watu kuingia kwenye uisilam ndio maana kuliko wapotee wenyewe waneona ni bora watuharibie na sie waisilam hasa kwa kutumia media
@salmsaid9700
Жыл бұрын
Kweli ndg na viongoz wote wangekua hivi kuwa nahofu ya mungu tungeushi maisha mazur Sana Mana kusingekua ufisadi na haki ingekuepo
@ksmally1985 Жыл бұрын
Umesema kweli professor
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
Pr,naomba uandike KITABU nadhani tutafaidika sana 🙏🙏🙏🙏
@Winstonfying Жыл бұрын
Mzee katema madini yote. Natamani angekuwa na kipindi kila ahsubuhi alfajiri labda ya mwisho wa wiki labda ijumaa saa 11 hvi alfajiri, watu wakiamka wanamsikia mzee huyu ana hekima nyingi sana. Lakini pia nchi ingemtumia huyu mzee hata kuwa waziri wa fedha tungefika mbali sana kama taifa. Kanipa masomo mazuri ahsubuhi ya leo. 1. Work hard (through Business or Trade) 2. Earn 3. Save 4. Invest 5. Expend - Charity Hatua hizi watu wengi sana, wana ziruka na zinaua uchumi wa family nyingi.
@lifeinmiddleeast8179
Жыл бұрын
Nifafanulie nielew hapo earn
@Winstonfying
Жыл бұрын
@@lifeinmiddleeast8179 Pata kipato halali mfano mshahara, au faida itokanayo na biashara halali
@abdulrahmanally1412 Жыл бұрын
Mashaallah, my National service mate at Ruvu camp under the late Major General Makame Rashid, A Coy under the late Capt Sungura, Platoon Commander(forgotten) and section under Pvt Said Musa.We made under Compulsory basis
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
Kazi. Kwa bidii Save Invest Spending Sadaka 🙏🙏🙏
@shaabanikabwe2651 Жыл бұрын
Professor wa maana sanaa Prof Asad Mussa Allah akutunze Mzee wetu kwa Busara nyingi sana na upana wa Elimu yako. Elimu yako wajua kuitumia MashaAllah.
@shaabanikabwe2651
Жыл бұрын
Sahihi kabisa ukitoa kwa Lilahi zinarudi maradufu hakuna uchawi kwenye kupata Allah kasema ikitoa anarejeshaa mara dufuu. kwa hiyo kukosa kwetu ni uchoyo wetu pia wakat mwingine. Ahadi ya Allah ni ya kweli kwa 100%
@abuuluqmaana8444 Жыл бұрын
Hao dada hapo wamevaa vizuri maashaallaah lakin wengine baada ya kutoka hapo waenda vaa uchi kwa kuwaiga makafir allaah awaongoze
@athumanikhamisi3377
Жыл бұрын
Umejuaje?
@alexvenas2699
Жыл бұрын
Kafiri ni nani huyo? Kati ya mzinzi,muasherati,mshirikina na muongo n.k? Je katika sifa hizo ww uko kwnye kundi lipi?
@muksinsaidi4892
Жыл бұрын
kafiri ni mtu au kiumbe anaepinga maneno ya mungu(vitabu) na mitume wake, (kubagua mitume) so kafuri ni mpingaji, au mtu anae abudu viumbe badala ya muumbaji
@hadijajuma3773 Жыл бұрын
Allah atujaalie kama wazazi na waja wake tukumbuke kutoa zaka na sadaka Kwa ujumla
@allynizar8765 Жыл бұрын
Mashaallah
@abdillahmbarak7418 Жыл бұрын
Mashaallah mungu atuongoze inshaallah
@khalidballeth5957 Жыл бұрын
Huwa sipotezi MB zangu kwa kumsikiliza Mzee wetu huyu..
@abdulrahmansalim9773 Жыл бұрын
MA SHAA ALLAH PROFFESSOR.
@athumanj.buyogela9295 Жыл бұрын
Learning is an Individual effort Learning is never communal
@tatutatu1570 Жыл бұрын
Mashaallaah
@khadijamgambo9382 Жыл бұрын
I wish ningekuwa miongoni mwa hawa wanafunzi wamepata madini na hazina kubwa
Пікірлер: 35
Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda Prof. Huwa nakusikiliza kwa makini sana. Mimi ni mkristo lakini ujumbe huu nitawapa watoto wangu waiweke kwenye context ya dini yetu. Haya ni madini tosha. Mwenye masikio na asikie
Yaa RABBI, wajaalie vijana hawa wawe wawakilishi wema wa darsa hili kwa vitendo, AMIN
mashallah mzee amejaaliwa hekma ya uongeaji, huchoki kumskiliza, and kweli amesoma masha-ALLAH
Yaan profesa allaah akuhifadhi umeongea maneno makubwa sana wengi wao hao unao onngea nao hawapendi kudhilisha neema walionayo ya uisilam wanawke wavaa uchi na wanaume wanavaa cheni na milegezo hawajui kua hii neema ya uisilam makafir wanaitamani bali baadh wanawaogopa watu kuingia kwenye uisilam ndio maana kuliko wapotee wenyewe waneona ni bora watuharibie na sie waisilam hasa kwa kutumia media
@salmsaid9700
Жыл бұрын
Kweli ndg na viongoz wote wangekua hivi kuwa nahofu ya mungu tungeushi maisha mazur Sana Mana kusingekua ufisadi na haki ingekuepo
Umesema kweli professor
Pr,naomba uandike KITABU nadhani tutafaidika sana 🙏🙏🙏🙏
Mzee katema madini yote. Natamani angekuwa na kipindi kila ahsubuhi alfajiri labda ya mwisho wa wiki labda ijumaa saa 11 hvi alfajiri, watu wakiamka wanamsikia mzee huyu ana hekima nyingi sana. Lakini pia nchi ingemtumia huyu mzee hata kuwa waziri wa fedha tungefika mbali sana kama taifa. Kanipa masomo mazuri ahsubuhi ya leo. 1. Work hard (through Business or Trade) 2. Earn 3. Save 4. Invest 5. Expend - Charity Hatua hizi watu wengi sana, wana ziruka na zinaua uchumi wa family nyingi.
@lifeinmiddleeast8179
Жыл бұрын
Nifafanulie nielew hapo earn
@Winstonfying
Жыл бұрын
@@lifeinmiddleeast8179 Pata kipato halali mfano mshahara, au faida itokanayo na biashara halali
Mashaallah, my National service mate at Ruvu camp under the late Major General Makame Rashid, A Coy under the late Capt Sungura, Platoon Commander(forgotten) and section under Pvt Said Musa.We made under Compulsory basis
Kazi. Kwa bidii Save Invest Spending Sadaka 🙏🙏🙏
Professor wa maana sanaa Prof Asad Mussa Allah akutunze Mzee wetu kwa Busara nyingi sana na upana wa Elimu yako. Elimu yako wajua kuitumia MashaAllah.
@shaabanikabwe2651
Жыл бұрын
Sahihi kabisa ukitoa kwa Lilahi zinarudi maradufu hakuna uchawi kwenye kupata Allah kasema ikitoa anarejeshaa mara dufuu. kwa hiyo kukosa kwetu ni uchoyo wetu pia wakat mwingine. Ahadi ya Allah ni ya kweli kwa 100%
Hao dada hapo wamevaa vizuri maashaallaah lakin wengine baada ya kutoka hapo waenda vaa uchi kwa kuwaiga makafir allaah awaongoze
@athumanikhamisi3377
Жыл бұрын
Umejuaje?
@alexvenas2699
Жыл бұрын
Kafiri ni nani huyo? Kati ya mzinzi,muasherati,mshirikina na muongo n.k? Je katika sifa hizo ww uko kwnye kundi lipi?
@muksinsaidi4892
Жыл бұрын
kafiri ni mtu au kiumbe anaepinga maneno ya mungu(vitabu) na mitume wake, (kubagua mitume) so kafuri ni mpingaji, au mtu anae abudu viumbe badala ya muumbaji
Allah atujaalie kama wazazi na waja wake tukumbuke kutoa zaka na sadaka Kwa ujumla
Mashaallah
Mashaallah mungu atuongoze inshaallah
Huwa sipotezi MB zangu kwa kumsikiliza Mzee wetu huyu..
MA SHAA ALLAH PROFFESSOR.
Learning is an Individual effort Learning is never communal
Mashaallaah
I wish ningekuwa miongoni mwa hawa wanafunzi wamepata madini na hazina kubwa
@Stavanger-cr3ee
Жыл бұрын
Hata mimi nimewaonea WIVU sana. Masha Allah
Mashallah
Mashaallah tabarakaallah 💙💙💙
@abisinawaziri1486
Жыл бұрын
Mungu atupe mioyo yakutoa
Mashaallah shukran
MashaaAllah
Kt1
Mashaallah