EPISODE 8:TAFSIR YA NDOTO /MAANA YA KUOTA UNA UMWA/SHEIKH ABUU JADAWI#ndoto #tafsir #kuumwa
Shekhe Adam Alha akupe umri mrefu
Ameen
Habari, nimeota nachuna ngozi ya mtu nikaweka kwenye begi nikawa naogopa natafuta pa kuificha sikupata hadi nikaamka naomba uniambie maana yake 👏👏👏
Salamu.alaykum warahmatullah waraqat shekhe mm nimeota mtoto wangu wakiume ametahiriwa nn maana yak
mm nimeota mjomba angu anaumwa na mguu wa kushoto tafsiri yke nini
Na ukiota minapakwa mafuta na madam boss wangu, kumaliza nikaanza kuumwa mahana nini
niota kidore chamwisho kimeganda lakini nikawa nimeenda sokon nikagomban na mkemwenzagu nni maanayake
Niliota nimejisaidia vidonge viwili vyeupe siku ilio fuata pia nikaota nakunywa kidonge cheupe
Mie meota naumwa sana je nini tafsiri yake
Пікірлер: 9
Shekhe Adam Alha akupe umri mrefu
@abuujadawionlinetv3675
4 жыл бұрын
Ameen
Habari, nimeota nachuna ngozi ya mtu nikaweka kwenye begi nikawa naogopa natafuta pa kuificha sikupata hadi nikaamka naomba uniambie maana yake 👏👏👏
Salamu.alaykum warahmatullah waraqat shekhe mm nimeota mtoto wangu wakiume ametahiriwa nn maana yak
mm nimeota mjomba angu anaumwa na mguu wa kushoto tafsiri yke nini
Na ukiota minapakwa mafuta na madam boss wangu, kumaliza nikaanza kuumwa mahana nini
niota kidore chamwisho kimeganda lakini nikawa nimeenda sokon nikagomban na mkemwenzagu nni maanayake
Niliota nimejisaidia vidonge viwili vyeupe siku ilio fuata pia nikaota nakunywa kidonge cheupe
Mie meota naumwa sana je nini tafsiri yake