TAFSIR ZA NDOTO ZA WATU WALIO KUFA // MAJILIS YA TATU //SHEIKH ABUU JADAWI
TAFSIR ZA NDOTO ZA WATU WALIO KUFA // MAJILIS YA TATU //SHEIKH ABUU JADAWI
Жүктеу.....
Пікірлер: 36
@sashatom946310 ай бұрын
Mmh sijaelewa vizur shekh
@abdulkadirchamshama406625 күн бұрын
Asalam alkm shekh mimi nimeota nimempa uji mama na mimi nikanywa huo uji
@trainermaganga37952 жыл бұрын
Mash Allah kipindi kizuri
@user-nz5kn7ln5r9 ай бұрын
Ndoto unaoneshwa sanda
@abdallahahmed3685 Жыл бұрын
Assalamun alaykum sheikh mimi nnamuota sana rais mmoja katika marais wastaafu
@salimawishenga7588
10 ай бұрын
Malizia Kivipi anasema kitu au anakupea kitu na amefurahi au Laa?
@mozaseifwanatubaniasurayak39742 жыл бұрын
Maaashallah
@halimakunary8802 Жыл бұрын
Namba zenu
@user-pp5wx1nq4q10 ай бұрын
Assalaamu Aleykum warehmatullahi wa barakatuh cheikh ebu twaomba namba ili niwe kwenye group la whastapp naomba please 🙏
@hamzaforogo10 ай бұрын
Assalaam alaykum, mimi nimemuota baba yangu mzazi ambaye tayari amefariki, mara nyingi namuota hua anakuja nyumbani anaingia ndani anakaa kwenye kiti lakini hazungumzi jambo lolote mpaka anaondoka, na muda mwengine namuota anakuja nyumbani mimi nipo nje anaingia ndani yani kama vile mtu katoka kazini ndio anarudi kwake lakini kila nikimuota hua hasemi kitu chochote yupo kimya tu na hata kusalimia hasalimii na mimi pia wala sikupata kumuongelesha neno lolote , hizi ndoto hua nilikua naota mara kwa mara
@salimawishenga7588
10 ай бұрын
Naam yeye huwa na furaha au uzuni usoni mwake?
@user-zp7ft2ik5k6 ай бұрын
Shkh nimeota mme wangu ambae alifariki zamani nko nae anaumwa ila kuumwa kwake sio hali mbaya nini maana yake nJana yake alikuja amevaa gauni nkamwambia mme wangu vp umechanganikiwa kasema hapana nkataka ntoke akanambia ukitoka nakukuata naikikisu nkakichukua nkawa nacho ndomm nlomshika hakuwa nauwezo wa kuniweza nkashtuka
@feruzimusa33011 ай бұрын
Asalaam alaykum ww,shekh je m2 akiota amefunikwa na babar alafu akaomba msaada kwawatu wakamshika mkono wakamtoa inamaanisha nni
@atugonzalugemalila51427 ай бұрын
Nimeota watu wawili waliokwisha fariki wakiwa mahakamani kwa kesi ya shamba ila hakimu sikumuona lkn walikua wakijitetea kila mmoja
@amesjames59562 жыл бұрын
Ndoto ya kuota unaenda msikitini unachukua udhu Kisha ausaili na ndoto ya kuota mbwa
@mesalimmwanyoha2 ай бұрын
Na kama umeota mtu wako yuakwambia mm nimekufa nayo ni ishara gani plz
@richardassey456 Жыл бұрын
Asalam alyekum mm nimeota jirani yangu aliyefariki kwa ajali ya Moto amefufuka na yupo na familia yake na aliopo niona akanionyesha baadhi ya majeraha yake ya Moto nn maana yake pia wakati huu nilimuota mzee ninaye mfamu amefariki natukaenda mzika lkn hatukumzika Wala kumuosha nn maana yake nakesho yake asubuhi nikamuona
@bintsharifsalehqullatein27082 жыл бұрын
ASSALAM ALAYKUM. Ukiota katika ndoto unafuatana na maiti katika nyumba unayoijua ukampigia kelele mtu mwengine ambae tayari amekufa kumuambia kuwa huyo uliefuatana nae kuwa hakufa
@HamidaSaid-vh4hr2 ай бұрын
Ndoto ya kuota unapaa juu ya kilele cha bahari inamaana gani tena mda mwengine naota nipo napaa sambamba na daimond
@rayafakii9434 Жыл бұрын
Asalamalaykum je ukiota umempa mkono maiti kwa ishara ya kumwamkia Ina maana Gani,?
@user-ry8nc7if4n Жыл бұрын
A alaykum sheykh nmeota nampa zawadi mfu baada ya kumpa akawa anazionesha na kujisifu kwa wenziwe kuwa mtoti wng ameniletea zawadi je hii ina maana gani?
@salimawishenga7588
10 ай бұрын
Ya Aina gani chakula vazi au nini?
@ellyvadiaz2476 Жыл бұрын
Mama kaota amezaa mtoto na baba kafa Nana nami wakat baba ame kufa mama kasha olewa
@thamudasalim4720 Жыл бұрын
Nimana ume muota mamayako amesha kufa kitambo kuwa alikuwa nafuraha lakini sasa mwanzumza ana huzni
@aminazuhura-fs9eh Жыл бұрын
Assalam aleykum, je ukiota mtu unaye mjua alifariki kitambo lakini kwa ndoto umeuona ni mgonjwa amelala kitandani ywaumwa ina maanisha nini?
@fatmag89832 жыл бұрын
Assallam alaykum ostzi jmn nimeota kunasehemu tulikwend lkn sikuw pekeyangu nilikuw nawadog zangu wawiri namwanangu ss tulivo fika kul ambapo tunakwend tukamkuta mtu ila mwanamke simkumbuki ila alitwambia nendeni nyumbin tulivo fika ndan tuu nikamkat bibi yangu ambae tayal alikuf kipindi kilefu san nilipo muwon tuu nikaanza kulia nimelia lkn nikapig magot chin nikamshik vidole vyak akanambia usilie nyamaza akanifut machozi namkono wake badae nikaamka nikawa nimekaa mezan nawadog zangu tukawa tunakul maboga yalio Chemswa nahapo nikastuk ss sijuw inamn gn nisaidie prrrzzzz
@estermsangawale7127 Жыл бұрын
Kuota maiti amelala Kando yako
@user-nz5kn7ln5r9 ай бұрын
Kuota unaona sufuria ipo jikoni Ina njugumawe zinachemka
@sarakassim91552 жыл бұрын
Mi huwa naota nafukuzwa na kaka yangu ana kisu mkononi lakini hanipati ni mtoto wa mama angu mkubwa.
@abdulazeezuae2442
Жыл бұрын
Ukijibiwa niambie Momy maana 😭Leo nimeota piah napigwa na mjomba angu jamani 😭😭
@sityjuma30492 жыл бұрын
Nimeota nimeambiwa kitu na maiti akiwa nafuraha
@dalilahamisi3536 Жыл бұрын
Muotaji alimuota baba yake anajisaidia watu wakamuona Kisha yeye akakimbia akamletea nguo yake yeye muotaji akamfunika nayo ili asitirike watu wasimuone na wakati huo baba yake alikua amekonda Sana Akaota Tena anamuona baba yake anakula Tena amefurahi amenenepa Kisha baba yake anawambia watu Sasa Niko sawa mwanangu kanistir ndo anaenipenda Ndoto hiyo Ina maana gani?
@masoudnassor5332 Жыл бұрын
Ukiota umempa maiti hela nn maana yake
@user-zp7ft2ik5k6 ай бұрын
Shkh nimeota mme wangu ambae alifariki zamani nko nae anaumwa ila kuumwa kwake sio hali mbaya nini maana yake nJana yake alikuja amevaa gauni nkamwambia mme wangu vp umechanganikiwa kasema hapana nkataka ntoke akanambia ukitoka nakukuata naikikisu nkakichukua nkawa nacho ndomm nlomshika hakuwa nauwezo wa kuniweza nkashtuka
Пікірлер: 36
Mmh sijaelewa vizur shekh
Asalam alkm shekh mimi nimeota nimempa uji mama na mimi nikanywa huo uji
Mash Allah kipindi kizuri
Ndoto unaoneshwa sanda
Assalamun alaykum sheikh mimi nnamuota sana rais mmoja katika marais wastaafu
@salimawishenga7588
10 ай бұрын
Malizia Kivipi anasema kitu au anakupea kitu na amefurahi au Laa?
Maaashallah
Namba zenu
Assalaamu Aleykum warehmatullahi wa barakatuh cheikh ebu twaomba namba ili niwe kwenye group la whastapp naomba please 🙏
Assalaam alaykum, mimi nimemuota baba yangu mzazi ambaye tayari amefariki, mara nyingi namuota hua anakuja nyumbani anaingia ndani anakaa kwenye kiti lakini hazungumzi jambo lolote mpaka anaondoka, na muda mwengine namuota anakuja nyumbani mimi nipo nje anaingia ndani yani kama vile mtu katoka kazini ndio anarudi kwake lakini kila nikimuota hua hasemi kitu chochote yupo kimya tu na hata kusalimia hasalimii na mimi pia wala sikupata kumuongelesha neno lolote , hizi ndoto hua nilikua naota mara kwa mara
@salimawishenga7588
10 ай бұрын
Naam yeye huwa na furaha au uzuni usoni mwake?
Shkh nimeota mme wangu ambae alifariki zamani nko nae anaumwa ila kuumwa kwake sio hali mbaya nini maana yake nJana yake alikuja amevaa gauni nkamwambia mme wangu vp umechanganikiwa kasema hapana nkataka ntoke akanambia ukitoka nakukuata naikikisu nkakichukua nkawa nacho ndomm nlomshika hakuwa nauwezo wa kuniweza nkashtuka
Asalaam alaykum ww,shekh je m2 akiota amefunikwa na babar alafu akaomba msaada kwawatu wakamshika mkono wakamtoa inamaanisha nni
Nimeota watu wawili waliokwisha fariki wakiwa mahakamani kwa kesi ya shamba ila hakimu sikumuona lkn walikua wakijitetea kila mmoja
Ndoto ya kuota unaenda msikitini unachukua udhu Kisha ausaili na ndoto ya kuota mbwa
Na kama umeota mtu wako yuakwambia mm nimekufa nayo ni ishara gani plz
Asalam alyekum mm nimeota jirani yangu aliyefariki kwa ajali ya Moto amefufuka na yupo na familia yake na aliopo niona akanionyesha baadhi ya majeraha yake ya Moto nn maana yake pia wakati huu nilimuota mzee ninaye mfamu amefariki natukaenda mzika lkn hatukumzika Wala kumuosha nn maana yake nakesho yake asubuhi nikamuona
ASSALAM ALAYKUM. Ukiota katika ndoto unafuatana na maiti katika nyumba unayoijua ukampigia kelele mtu mwengine ambae tayari amekufa kumuambia kuwa huyo uliefuatana nae kuwa hakufa
Ndoto ya kuota unapaa juu ya kilele cha bahari inamaana gani tena mda mwengine naota nipo napaa sambamba na daimond
Asalamalaykum je ukiota umempa mkono maiti kwa ishara ya kumwamkia Ina maana Gani,?
A alaykum sheykh nmeota nampa zawadi mfu baada ya kumpa akawa anazionesha na kujisifu kwa wenziwe kuwa mtoti wng ameniletea zawadi je hii ina maana gani?
@salimawishenga7588
10 ай бұрын
Ya Aina gani chakula vazi au nini?
Mama kaota amezaa mtoto na baba kafa Nana nami wakat baba ame kufa mama kasha olewa
Nimana ume muota mamayako amesha kufa kitambo kuwa alikuwa nafuraha lakini sasa mwanzumza ana huzni
Assalam aleykum, je ukiota mtu unaye mjua alifariki kitambo lakini kwa ndoto umeuona ni mgonjwa amelala kitandani ywaumwa ina maanisha nini?
Assallam alaykum ostzi jmn nimeota kunasehemu tulikwend lkn sikuw pekeyangu nilikuw nawadog zangu wawiri namwanangu ss tulivo fika kul ambapo tunakwend tukamkuta mtu ila mwanamke simkumbuki ila alitwambia nendeni nyumbin tulivo fika ndan tuu nikamkat bibi yangu ambae tayal alikuf kipindi kilefu san nilipo muwon tuu nikaanza kulia nimelia lkn nikapig magot chin nikamshik vidole vyak akanambia usilie nyamaza akanifut machozi namkono wake badae nikaamka nikawa nimekaa mezan nawadog zangu tukawa tunakul maboga yalio Chemswa nahapo nikastuk ss sijuw inamn gn nisaidie prrrzzzz
Kuota maiti amelala Kando yako
Kuota unaona sufuria ipo jikoni Ina njugumawe zinachemka
Mi huwa naota nafukuzwa na kaka yangu ana kisu mkononi lakini hanipati ni mtoto wa mama angu mkubwa.
@abdulazeezuae2442
Жыл бұрын
Ukijibiwa niambie Momy maana 😭Leo nimeota piah napigwa na mjomba angu jamani 😭😭
Nimeota nimeambiwa kitu na maiti akiwa nafuraha
Muotaji alimuota baba yake anajisaidia watu wakamuona Kisha yeye akakimbia akamletea nguo yake yeye muotaji akamfunika nayo ili asitirike watu wasimuone na wakati huo baba yake alikua amekonda Sana Akaota Tena anamuona baba yake anakula Tena amefurahi amenenepa Kisha baba yake anawambia watu Sasa Niko sawa mwanangu kanistir ndo anaenipenda Ndoto hiyo Ina maana gani?
Ukiota umempa maiti hela nn maana yake
Shkh nimeota mme wangu ambae alifariki zamani nko nae anaumwa ila kuumwa kwake sio hali mbaya nini maana yake nJana yake alikuja amevaa gauni nkamwambia mme wangu vp umechanganikiwa kasema hapana nkataka ntoke akanambia ukitoka nakukuata naikikisu nkakichukua nkawa nacho ndomm nlomshika hakuwa nauwezo wa kuniweza nkashtuka
Ukiota umempa maiti hela nn maana yake
@sapeelthabt3657
Жыл бұрын
Imeningusa sana duu