AINA 10 YA NDOTO ZA UTAJIRI WAKO NA USIHADITHIE MTU. Tiba Zakissuna tv
Tiba Zakissuna tv Sheikh Abdallah Nusura
Жүктеу.....
Пікірлер: 81
@ahlamsaid7518 Жыл бұрын
Shukran nimejifunza mengi alhamdullah je ukiota ndoto inamuda maalum wa matokeo yake
@shersaid7988 Жыл бұрын
Shukran Sheikh tunafaidika sana Allah akubariki
@hawaamkubwa20202 жыл бұрын
shukran jazila
@angle3600 Жыл бұрын
Shukran sheik mungu akujalie maisha marefu
@sinahilamwinyishauri6882 Жыл бұрын
ahsante shehe nimejifunza ila mm naona naota ndoto zisizoeleweka tu
@user-jz8sj5us1h Жыл бұрын
Masha Allah Shukraan sana
@suzanne9517 Жыл бұрын
Shukran sana
@nasrashaban7928 Жыл бұрын
Asante sn shekhe m/mungu akujaalie ,, nimejifunza sn juu ya ndoto ,, shukrani
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Afuan
@iddymohamedy3476
Жыл бұрын
Shukuran shekh mi naota niko na mume mwingine ina maana gan
@izackizack9616 Жыл бұрын
Mungu akujarie maisha MAREFU shekhe
@husenibikosila3307 Жыл бұрын
Nimekubali
@naimamoddy Жыл бұрын
Chief Nusura Asante
@alishakt7877 Жыл бұрын
Asalam warahmatullah wabarakatuh Allah akulipe sheikh nimejifunza mengi aslimia zote ulitaja uwa Mara kwa Mara nikiziota alfu nikimwambia Kaka yng uchek alfu ujibu Ayo ni mawanzo tu
Hongera shekh M.mungu akuongezee elim afya na barka
@kingramah8213 Жыл бұрын
Mashallah
@magdalenew.mwanyota59014 ай бұрын
Aki sheikh umefanya ni cheke leo ingawaje ndoto ninazo kadhaa apo mashalah 😂😂😂😂😂😂unakaa wapenda matani juu ukiongea kitu watania 😂😂😂mola akupe thawabu in shaa allah
@magdalenew.mwanyota5901
4 ай бұрын
Oooh ustadh nimeota umepanda farasi😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-oy8gk5fj2eАй бұрын
Nikweli mm nilikuwa nasimlia ndoto zangu nikaaza kupata mitihani Asante sana
@fedhandunga5935 Жыл бұрын
Asante sheikh wang nimekuelewa Naulizia ndoto hii ukiota nyumbani kwenu kwanzamani kilamara naumeshakuwa mtu mzima manayake nni
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Fatilia vizuri mada zinazo husu ndoto kwenye hii chanel Imesha fafanuliwa Kama ni, Ziada tafsiri ya private hulipiwa
@mariamharoon184011 ай бұрын
❤❤❤❤❤ kweli
@ashuratyally9953 Жыл бұрын
Habari shekhe samahani nimeota paka wanajamiana tena paka mdogo anafanya tendo na paka mkubwa
@JosephMisalaba-tg3sh8 ай бұрын
Na je usipokuwa umeota hzo ndoto hauwi tajili
@tumajunior6080 Жыл бұрын
Mashaallah shukran jazzakallah khairan kwa mafunzo mema Allah atusaidie
Ni sawa ila nashauri kupunguza maelezo Ili tupate ujumbe.
@abdallahmapila7939 Жыл бұрын
Mm niliota namuendesha Rais magufuri ila tulikua na pikipiki tukafika sehemu tukasimama kwa ajili ya kusikiliza kero za watu na kuzitatua ina maana gani sheikh
@mamakekhubeiby4206
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo ndoto utambeba mama Samia na pikipiki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Vipi utarudi kuota Tena ama basi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@trainermaganga37952 жыл бұрын
Mash Allah nimejua mengi sana kupitia mawaidha yako.
@tibazakissunatv
2 жыл бұрын
Alhamdu lillaahi Shukran
@MeryMpangule10 күн бұрын
Naomba uniambie ndoto ya kuota umeximamia haruxi uxiyo ijua na umepewa kilauni umeivaa
@prettyh75092 жыл бұрын
Jazaka llahu khaira Ustadh Ila sauti iko chini
@tibazakissunatv
2 жыл бұрын
Shukran
@Farhani-gd5ziАй бұрын
❤
@JacklineChambale6 ай бұрын
Mimi naota sana napanda farasi mweupe, naotaga pia maji yananidondokea kutoka mbinguni natupo wengi ila yananimwagikia peke yangu
@Mpakauseme Жыл бұрын
Mimi niliota ndege anaongea na mimi na ni mda mrefu sana na ndoto hiyo iliniogopepesha sana
@thethreestrawberries3032
Жыл бұрын
Ndio usiseme jamani 😂ushaambiwa subir mavuno yko inshallah utayapata
@yustinamsigwa6477 Жыл бұрын
SAWA shehe naomba kuuliza na ukiota unagombana na mnyama inamaanisha nn
@lovenessmushendwa1230 Жыл бұрын
Nimeota nimewekewa sumu na mtu ninaemjua
@nasrakal Жыл бұрын
Nimejifunza kwasababu nina tabia ya kuwaambia ndugu zangu nikiwaota hata rafiki zangu .
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Allah akulinde na akuhifadhi
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Mimi pia
@jumanneshabani46382 ай бұрын
Asallam alyekum! Mke wangu ameota ammepanda dragon anapaa nae juu! hii ina mana gani shekh?
@jamillahmussa3775 Жыл бұрын
Assalam Allaikum Warahmatullahi Wabarakatuhu, na ukiota samaki wageni wanakula lakini hapungui, unapakukuwa lakini haziishi kwa sufuria, alafu ukiota unapaa angani kwa mda mrefu bila kutwa???
@zainurukaya1939 Жыл бұрын
Hakika nimejifunza kuanzia leo sitasimulia Tena..Nina tabia ya kuwaotea hata marafiki zangu na kuwaambia..hata Leo nimeota rafiki yangu mojawapo amekuwa kipofu..
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Mimi pia
@lifeinmiddleeast8179
Жыл бұрын
Hata Mimi nimekoma
@maryammohammed1991 Жыл бұрын
ukiota unasoma halafu ukaona yai lipo mbele
@JoakimChitera-ir6mx Жыл бұрын
Je kama umeisha ota iyo ndoto na ulishaiadidhia utafikia maana yaiyo ndoto
@jacklineakinyi5385 Жыл бұрын
.
@ZuhuraMselem-ww9hu Жыл бұрын
Nina ndoto nyengine. Nataka tafsiri ykenifabyeje?
@CatherineMunyau3 ай бұрын
Nimeota nikifanya mapenzi na mwanamke mwenzangu maana yake nn
@mariamoden1131 Жыл бұрын
Asante sana naomba namba zako shekhe
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
+255784638989
@AhmedAli-qo8qw
Жыл бұрын
mashallah
@user-er9zm7ig1p2 ай бұрын
Naomba namba za simu zako shekh
@tibazakissunatv
2 ай бұрын
+255784638989
@fatmatraashidu852210 ай бұрын
Sheikh Samahani nina Swali,Jee nikiota nimeona Mbuyu au Mibuyu Miwili,imepandwa nyumbani Kwetu, Maana yake ni nini Sheikh!??
Naitwa iman sheikh yahya natk nambazako nipo unguja
@FatmaNicholaus-xh3xy9 ай бұрын
Mimi nimeota nimepewa ndege wawili Weus na mweupe mmoja na watu tofaut tofaut, nini maana yake shehk🙏
@adesdeliacyprian7748 Жыл бұрын
Mm uwa zinaa nijia tu kichwan nyimbo za misiba au naota akifa ndugu yang bas anakufa jilani au nikiota jilani bas anakufa ndugu yangu na uwa zinanijia nyimbo za misiba na azipiti siku nyingi mtu anakufa kwel uwa zinamaana gani
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Karibu ofisini kwangu ni Goba Mpakani
@fatmakhanii1676
Жыл бұрын
Minawewe tuko sawa sjui kwa nn
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Uje ofisini
@neymakubi173
Жыл бұрын
Mimi niko musoma na mimi nikama mwenzangu apo kuhusu misiba
@Daudmayenga Жыл бұрын
Sema we bro mbaguzi wa dini unajua wanaokuskiliza ni waislam tu?
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Kwani ulisikia Mimi ni Muhubiri wa Injili mpaka niongelee Ukiristo?
@mbisukamana6818 Жыл бұрын
Sheikh je ukiota unapewa pesa maana yake Nini?
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Ukihitaji fasiri za ndoto, uje ofisini. Tafsiri ya ndoto inalipiwa Ndugu yangu, hiyo ni kazi ya Kiofisi.
@peterochi1112 Жыл бұрын
Asate sana Baba number whtspp please Peter gutoka Kenya
Пікірлер: 81
Shukran nimejifunza mengi alhamdullah je ukiota ndoto inamuda maalum wa matokeo yake
Shukran Sheikh tunafaidika sana Allah akubariki
shukran jazila
Shukran sheik mungu akujalie maisha marefu
ahsante shehe nimejifunza ila mm naona naota ndoto zisizoeleweka tu
Masha Allah Shukraan sana
Shukran sana
Asante sn shekhe m/mungu akujaalie ,, nimejifunza sn juu ya ndoto ,, shukrani
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Afuan
@iddymohamedy3476
Жыл бұрын
Shukuran shekh mi naota niko na mume mwingine ina maana gan
Mungu akujarie maisha MAREFU shekhe
Nimekubali
Chief Nusura Asante
Asalam warahmatullah wabarakatuh Allah akulipe sheikh nimejifunza mengi aslimia zote ulitaja uwa Mara kwa Mara nikiziota alfu nikimwambia Kaka yng uchek alfu ujibu Ayo ni mawanzo tu
Mashallaah
Mashallah shekhe
Safiii asantee
Nimejifunza kwakwel nilikuwa nikiota nasimulia kilichonikuta nikaw nikiota usiku asubuh sikumbuki duh
Hongera shekh M.mungu akuongezee elim afya na barka
Mashallah
Aki sheikh umefanya ni cheke leo ingawaje ndoto ninazo kadhaa apo mashalah 😂😂😂😂😂😂unakaa wapenda matani juu ukiongea kitu watania 😂😂😂mola akupe thawabu in shaa allah
@magdalenew.mwanyota5901
4 ай бұрын
Oooh ustadh nimeota umepanda farasi😂😂😂😂😂😂😂😂
Nikweli mm nilikuwa nasimlia ndoto zangu nikaaza kupata mitihani Asante sana
Asante sheikh wang nimekuelewa Naulizia ndoto hii ukiota nyumbani kwenu kwanzamani kilamara naumeshakuwa mtu mzima manayake nni
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Fatilia vizuri mada zinazo husu ndoto kwenye hii chanel Imesha fafanuliwa Kama ni, Ziada tafsiri ya private hulipiwa
❤❤❤❤❤ kweli
Habari shekhe samahani nimeota paka wanajamiana tena paka mdogo anafanya tendo na paka mkubwa
Na je usipokuwa umeota hzo ndoto hauwi tajili
Mashaallah shukran jazzakallah khairan kwa mafunzo mema Allah atusaidie
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Waalaykum salaam warah matullaahi wabarakaatuh Allahumma aamiin, atulipe sote
Maneno yako sahihi shekhe wangu
Shekhe mfano ukiota unataka kuingia msikitini ghafla unaona miwa imesitawi vizuri inaamana gani shekhe
Ni sawa ila nashauri kupunguza maelezo Ili tupate ujumbe.
Mm niliota namuendesha Rais magufuri ila tulikua na pikipiki tukafika sehemu tukasimama kwa ajili ya kusikiliza kero za watu na kuzitatua ina maana gani sheikh
@mamakekhubeiby4206
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo ndoto utambeba mama Samia na pikipiki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Vipi utarudi kuota Tena ama basi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mash Allah nimejua mengi sana kupitia mawaidha yako.
@tibazakissunatv
2 жыл бұрын
Alhamdu lillaahi Shukran
Naomba uniambie ndoto ya kuota umeximamia haruxi uxiyo ijua na umepewa kilauni umeivaa
Jazaka llahu khaira Ustadh Ila sauti iko chini
@tibazakissunatv
2 жыл бұрын
Shukran
❤
Mimi naota sana napanda farasi mweupe, naotaga pia maji yananidondokea kutoka mbinguni natupo wengi ila yananimwagikia peke yangu
Mimi niliota ndege anaongea na mimi na ni mda mrefu sana na ndoto hiyo iliniogopepesha sana
@thethreestrawberries3032
Жыл бұрын
Ndio usiseme jamani 😂ushaambiwa subir mavuno yko inshallah utayapata
SAWA shehe naomba kuuliza na ukiota unagombana na mnyama inamaanisha nn
Nimeota nimewekewa sumu na mtu ninaemjua
Nimejifunza kwasababu nina tabia ya kuwaambia ndugu zangu nikiwaota hata rafiki zangu .
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Allah akulinde na akuhifadhi
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Mimi pia
Asallam alyekum! Mke wangu ameota ammepanda dragon anapaa nae juu! hii ina mana gani shekh?
Assalam Allaikum Warahmatullahi Wabarakatuhu, na ukiota samaki wageni wanakula lakini hapungui, unapakukuwa lakini haziishi kwa sufuria, alafu ukiota unapaa angani kwa mda mrefu bila kutwa???
Hakika nimejifunza kuanzia leo sitasimulia Tena..Nina tabia ya kuwaotea hata marafiki zangu na kuwaambia..hata Leo nimeota rafiki yangu mojawapo amekuwa kipofu..
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Mimi pia
@lifeinmiddleeast8179
Жыл бұрын
Hata Mimi nimekoma
ukiota unasoma halafu ukaona yai lipo mbele
Je kama umeisha ota iyo ndoto na ulishaiadidhia utafikia maana yaiyo ndoto
.
Nina ndoto nyengine. Nataka tafsiri ykenifabyeje?
Nimeota nikifanya mapenzi na mwanamke mwenzangu maana yake nn
Asante sana naomba namba zako shekhe
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
+255784638989
@AhmedAli-qo8qw
Жыл бұрын
mashallah
Naomba namba za simu zako shekh
@tibazakissunatv
2 ай бұрын
+255784638989
Sheikh Samahani nina Swali,Jee nikiota nimeona Mbuyu au Mibuyu Miwili,imepandwa nyumbani Kwetu, Maana yake ni nini Sheikh!??
Yahaya mpe maiki uyo mbona anakimbia swali msomeetena andiko labda ajaskia
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
🤣 hahahaha 🎤
@fundibombazanzbar5717
Жыл бұрын
Naitwa iman sheikh yahya natk nambazako nipo unguja
Mimi nimeota nimepewa ndege wawili Weus na mweupe mmoja na watu tofaut tofaut, nini maana yake shehk🙏
Mm uwa zinaa nijia tu kichwan nyimbo za misiba au naota akifa ndugu yang bas anakufa jilani au nikiota jilani bas anakufa ndugu yangu na uwa zinanijia nyimbo za misiba na azipiti siku nyingi mtu anakufa kwel uwa zinamaana gani
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Karibu ofisini kwangu ni Goba Mpakani
@fatmakhanii1676
Жыл бұрын
Minawewe tuko sawa sjui kwa nn
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Uje ofisini
@neymakubi173
Жыл бұрын
Mimi niko musoma na mimi nikama mwenzangu apo kuhusu misiba
Sema we bro mbaguzi wa dini unajua wanaokuskiliza ni waislam tu?
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Kwani ulisikia Mimi ni Muhubiri wa Injili mpaka niongelee Ukiristo?
Sheikh je ukiota unapewa pesa maana yake Nini?
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
Ukihitaji fasiri za ndoto, uje ofisini. Tafsiri ya ndoto inalipiwa Ndugu yangu, hiyo ni kazi ya Kiofisi.
Asate sana Baba number whtspp please Peter gutoka Kenya
@tibazakissunatv
Жыл бұрын
+255784638989
Mashalaah