AINA 10 YA NDOTO ZA UTAJIRI WAKO NA USIHADITHIE MTU. Tiba Zakissuna tv

Tiba Zakissuna tv Sheikh Abdallah Nusura

Пікірлер: 81

  • @ahlamsaid7518
    @ahlamsaid7518 Жыл бұрын

    Shukran nimejifunza mengi alhamdullah je ukiota ndoto inamuda maalum wa matokeo yake

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 Жыл бұрын

    Shukran Sheikh tunafaidika sana Allah akubariki

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa20202 жыл бұрын

    shukran jazila

  • @angle3600
    @angle3600 Жыл бұрын

    Shukran sheik mungu akujalie maisha marefu

  • @sinahilamwinyishauri6882
    @sinahilamwinyishauri6882 Жыл бұрын

    ahsante shehe nimejifunza ila mm naona naota ndoto zisizoeleweka tu

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h Жыл бұрын

    Masha Allah Shukraan sana

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 Жыл бұрын

    Shukran sana

  • @nasrashaban7928
    @nasrashaban7928 Жыл бұрын

    Asante sn shekhe m/mungu akujaalie ,, nimejifunza sn juu ya ndoto ,, shukrani

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    Жыл бұрын

    Afuan

  • @iddymohamedy3476

    @iddymohamedy3476

    Жыл бұрын

    Shukuran shekh mi naota niko na mume mwingine ina maana gan

  • @izackizack9616
    @izackizack9616 Жыл бұрын

    Mungu akujarie maisha MAREFU shekhe

  • @husenibikosila3307
    @husenibikosila3307 Жыл бұрын

    Nimekubali

  • @naimamoddy
    @naimamoddy Жыл бұрын

    Chief Nusura Asante

  • @alishakt7877
    @alishakt7877 Жыл бұрын

    Asalam warahmatullah wabarakatuh Allah akulipe sheikh nimejifunza mengi aslimia zote ulitaja uwa Mara kwa Mara nikiziota alfu nikimwambia Kaka yng uchek alfu ujibu Ayo ni mawanzo tu

  • @user-zd5mq8vf4r
    @user-zd5mq8vf4r8 ай бұрын

    Mashallaah

  • @shanimzee4283
    @shanimzee4283 Жыл бұрын

    Mashallah shekhe

  • @ZuhuraMselem-ww9hu
    @ZuhuraMselem-ww9hu Жыл бұрын

    Safiii asantee

  • @teddykomba1600
    @teddykomba1600 Жыл бұрын

    Nimejifunza kwakwel nilikuwa nikiota nasimulia kilichonikuta nikaw nikiota usiku asubuh sikumbuki duh

  • @solomonone7653
    @solomonone7653 Жыл бұрын

    Hongera shekh M.mungu akuongezee elim afya na barka

  • @kingramah8213
    @kingramah8213 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @magdalenew.mwanyota5901
    @magdalenew.mwanyota59014 ай бұрын

    Aki sheikh umefanya ni cheke leo ingawaje ndoto ninazo kadhaa apo mashalah 😂😂😂😂😂😂unakaa wapenda matani juu ukiongea kitu watania 😂😂😂mola akupe thawabu in shaa allah

  • @magdalenew.mwanyota5901

    @magdalenew.mwanyota5901

    4 ай бұрын

    Oooh ustadh nimeota umepanda farasi😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-oy8gk5fj2e
    @user-oy8gk5fj2eАй бұрын

    Nikweli mm nilikuwa nasimlia ndoto zangu nikaaza kupata mitihani Asante sana

  • @fedhandunga5935
    @fedhandunga5935 Жыл бұрын

    Asante sheikh wang nimekuelewa Naulizia ndoto hii ukiota nyumbani kwenu kwanzamani kilamara naumeshakuwa mtu mzima manayake nni

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    Жыл бұрын

    Fatilia vizuri mada zinazo husu ndoto kwenye hii chanel Imesha fafanuliwa Kama ni, Ziada tafsiri ya private hulipiwa

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon184011 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤ kweli

  • @ashuratyally9953
    @ashuratyally9953 Жыл бұрын

    Habari shekhe samahani nimeota paka wanajamiana tena paka mdogo anafanya tendo na paka mkubwa

  • @JosephMisalaba-tg3sh
    @JosephMisalaba-tg3sh8 ай бұрын

    Na je usipokuwa umeota hzo ndoto hauwi tajili

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Жыл бұрын

    Mashaallah shukran jazzakallah khairan kwa mafunzo mema Allah atusaidie

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    Жыл бұрын

    Waalaykum salaam warah matullaahi wabarakaatuh Allahumma aamiin, atulipe sote

  • @habibaamiri9786
    @habibaamiri9786 Жыл бұрын

    Maneno yako sahihi shekhe wangu

  • @asias8724
    @asias8724 Жыл бұрын

    Shekhe mfano ukiota unataka kuingia msikitini ghafla unaona miwa imesitawi vizuri inaamana gani shekhe

  • @esitandmiraesitandmira2891
    @esitandmiraesitandmira2891 Жыл бұрын

    Ni sawa ila nashauri kupunguza maelezo Ili tupate ujumbe.

  • @abdallahmapila7939
    @abdallahmapila7939 Жыл бұрын

    Mm niliota namuendesha Rais magufuri ila tulikua na pikipiki tukafika sehemu tukasimama kwa ajili ya kusikiliza kero za watu na kuzitatua ina maana gani sheikh

  • @mamakekhubeiby4206

    @mamakekhubeiby4206

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo ndoto utambeba mama Samia na pikipiki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Vipi utarudi kuota Tena ama basi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @trainermaganga3795
    @trainermaganga37952 жыл бұрын

    Mash Allah nimejua mengi sana kupitia mawaidha yako.

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    2 жыл бұрын

    Alhamdu lillaahi Shukran

  • @MeryMpangule
    @MeryMpangule10 күн бұрын

    Naomba uniambie ndoto ya kuota umeximamia haruxi uxiyo ijua na umepewa kilauni umeivaa

  • @prettyh7509
    @prettyh75092 жыл бұрын

    Jazaka llahu khaira Ustadh Ila sauti iko chini

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    2 жыл бұрын

    Shukran

  • @Farhani-gd5zi
    @Farhani-gd5ziАй бұрын

  • @JacklineChambale
    @JacklineChambale6 ай бұрын

    Mimi naota sana napanda farasi mweupe, naotaga pia maji yananidondokea kutoka mbinguni natupo wengi ila yananimwagikia peke yangu

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Жыл бұрын

    Mimi niliota ndege anaongea na mimi na ni mda mrefu sana na ndoto hiyo iliniogopepesha sana

  • @thethreestrawberries3032

    @thethreestrawberries3032

    Жыл бұрын

    Ndio usiseme jamani 😂ushaambiwa subir mavuno yko inshallah utayapata

  • @yustinamsigwa6477
    @yustinamsigwa6477 Жыл бұрын

    SAWA shehe naomba kuuliza na ukiota unagombana na mnyama inamaanisha nn

  • @lovenessmushendwa1230
    @lovenessmushendwa1230 Жыл бұрын

    Nimeota nimewekewa sumu na mtu ninaemjua

  • @nasrakal
    @nasrakal Жыл бұрын

    Nimejifunza kwasababu nina tabia ya kuwaambia ndugu zangu nikiwaota hata rafiki zangu .

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    Жыл бұрын

    Allah akulinde na akuhifadhi

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Mimi pia

  • @jumanneshabani4638
    @jumanneshabani46382 ай бұрын

    Asallam alyekum! Mke wangu ameota ammepanda dragon anapaa nae juu! hii ina mana gani shekh?

  • @jamillahmussa3775
    @jamillahmussa3775 Жыл бұрын

    Assalam Allaikum Warahmatullahi Wabarakatuhu, na ukiota samaki wageni wanakula lakini hapungui, unapakukuwa lakini haziishi kwa sufuria, alafu ukiota unapaa angani kwa mda mrefu bila kutwa???

  • @zainurukaya1939
    @zainurukaya1939 Жыл бұрын

    Hakika nimejifunza kuanzia leo sitasimulia Tena..Nina tabia ya kuwaotea hata marafiki zangu na kuwaambia..hata Leo nimeota rafiki yangu mojawapo amekuwa kipofu..

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Mimi pia

  • @lifeinmiddleeast8179

    @lifeinmiddleeast8179

    Жыл бұрын

    Hata Mimi nimekoma

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 Жыл бұрын

    ukiota unasoma halafu ukaona yai lipo mbele

  • @JoakimChitera-ir6mx
    @JoakimChitera-ir6mx Жыл бұрын

    Je kama umeisha ota iyo ndoto na ulishaiadidhia utafikia maana yaiyo ndoto

  • @jacklineakinyi5385
    @jacklineakinyi5385 Жыл бұрын

    .

  • @ZuhuraMselem-ww9hu
    @ZuhuraMselem-ww9hu Жыл бұрын

    Nina ndoto nyengine. Nataka tafsiri ykenifabyeje?

  • @CatherineMunyau
    @CatherineMunyau3 ай бұрын

    Nimeota nikifanya mapenzi na mwanamke mwenzangu maana yake nn

  • @mariamoden1131
    @mariamoden1131 Жыл бұрын

    Asante sana naomba namba zako shekhe

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    Жыл бұрын

    +255784638989

  • @AhmedAli-qo8qw

    @AhmedAli-qo8qw

    Жыл бұрын

    mashallah

  • @user-er9zm7ig1p
    @user-er9zm7ig1p2 ай бұрын

    Naomba namba za simu zako shekh

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    2 ай бұрын

    +255784638989

  • @fatmatraashidu8522
    @fatmatraashidu852210 ай бұрын

    Sheikh Samahani nina Swali,Jee nikiota nimeona Mbuyu au Mibuyu Miwili,imepandwa nyumbani Kwetu, Maana yake ni nini Sheikh!??

  • @fundibombazanzbar5717
    @fundibombazanzbar5717 Жыл бұрын

    Yahaya mpe maiki uyo mbona anakimbia swali msomeetena andiko labda ajaskia

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    Жыл бұрын

    🤣 hahahaha 🎤

  • @fundibombazanzbar5717

    @fundibombazanzbar5717

    Жыл бұрын

    Naitwa iman sheikh yahya natk nambazako nipo unguja

  • @FatmaNicholaus-xh3xy
    @FatmaNicholaus-xh3xy9 ай бұрын

    Mimi nimeota nimepewa ndege wawili Weus na mweupe mmoja na watu tofaut tofaut, nini maana yake shehk🙏

  • @adesdeliacyprian7748
    @adesdeliacyprian7748 Жыл бұрын

    Mm uwa zinaa nijia tu kichwan nyimbo za misiba au naota akifa ndugu yang bas anakufa jilani au nikiota jilani bas anakufa ndugu yangu na uwa zinanijia nyimbo za misiba na azipiti siku nyingi mtu anakufa kwel uwa zinamaana gani

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    Жыл бұрын

    Karibu ofisini kwangu ni Goba Mpakani

  • @fatmakhanii1676

    @fatmakhanii1676

    Жыл бұрын

    Minawewe tuko sawa sjui kwa nn

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    Жыл бұрын

    Uje ofisini

  • @neymakubi173

    @neymakubi173

    Жыл бұрын

    Mimi niko musoma na mimi nikama mwenzangu apo kuhusu misiba

  • @Daudmayenga
    @Daudmayenga Жыл бұрын

    Sema we bro mbaguzi wa dini unajua wanaokuskiliza ni waislam tu?

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    Жыл бұрын

    Kwani ulisikia Mimi ni Muhubiri wa Injili mpaka niongelee Ukiristo?

  • @mbisukamana6818
    @mbisukamana6818 Жыл бұрын

    Sheikh je ukiota unapewa pesa maana yake Nini?

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    Жыл бұрын

    Ukihitaji fasiri za ndoto, uje ofisini. Tafsiri ya ndoto inalipiwa Ndugu yangu, hiyo ni kazi ya Kiofisi.

  • @peterochi1112
    @peterochi1112 Жыл бұрын

    Asate sana Baba number whtspp please Peter gutoka Kenya

  • @tibazakissunatv

    @tibazakissunatv

    Жыл бұрын

    +255784638989

  • @FatumaSeja-jd8sc
    @FatumaSeja-jd8sc Жыл бұрын

    Mashalaah

Келесі