Siri ya Ushindi / Alama Za Kuwepo Mungu / Muumini Atoa Ushuda ? Sheikh Walid Alhad
Ойын-сауық
Siri ya Ushindi / Alama Za Kuwepo Mungu / Muumini Atoa Ushuda ? Sheikh Walid Alhad
Sheikh Walid Ahad Akitoa Tafsiri Ya Surat Ikhlas Katika Darsa Lake La Tafsiri KIla Jumanne Masjid Kichangani Usikose kutufuatilia kwenye social media zetu na pia ku share na waislamu wengine
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / darsatv
► LIKE DARSA TV on Facebook: / darsatv
Subscribe
Comment
Like
And share
Thanks
Пікірлер: 90
Mashaallah Sheikh Allah Akupe afya njema uzidi kutuelimisha nakutufurahisha,Aswaliwi WALID. hapa,Tumswalie MTUMI SWALALLAHU ALAYHI WASALLAM
Jazzakallah khairan Allah akulipe kheri hapa duniani na akhera inshaallah mm pia wanifundisha mengi nikiwa mbali nawe shukran 🤲🤲🤲
Asante shekh mwenyezi mungu akupe neema zaidi ya ukiyokuwa nao unanipa nguvu na ramadhani hii kwamawaidha yako
Allahumma swalli a'laa muhammad
Mashaallah Allah akulipe kheri Duniani na Akhera kutokamana na Ukumbusho. Sh. Walid
waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah❤💕💕💕
MashaaAllah TabarakaAllah. Mwenyezi Mungu akupe umri, afya njema uzidi kunufaika wewe ili utunufaishe nasisi. Ameen Ameen Ameen
@omaryswaga9163
2 жыл бұрын
Alhamndulillah! Maashallah
Allah akutunze shekh naingalia hii clip kwa mara ya tatu sasa na siichoki darsa zako
Mashallah shukran kwa ukumbusho
Mashallah Ali Habibi shekhe wangu walid Alla akuripe kiralakheri akujaze ilim zaidi.
Shukraan sheikh Allah akupe kila la kheri kwa darsa zako nimepata faida nyingi nilokuwa siyajui alhamdulillah napenda sana kuzisikiliza
MaashaAllah Mola awazidishie kheri na ilmu muzidi kutuzindua ya kheri tuyafate na mabaya kuyaepuka Aamin.
shukran kwa. ukumbusho Shee lugha Kama nipo ngamian Tanga mashallah
Mashallah
Shukran sana sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa
Maashallah, Allah turuzuku utamue war iiman
Subhanallah wallah sheikh hapo umesema ukweli wengi wetu tumekua maelfishness na km ww umekua nzuri bas shaytan anatupoteza kwa kusema mbona yy hakupi unampa yy tu subhanallah , Allah tuongeze waja wako na utujaze Iman ndani ya nafsi zetu amiin
Mashaalah napenda mawaidha yko sheikh mungu akustiri
Asante kwa ukumbusho Allah akujaalie kheri Inshallah
Mashallah Shekh wetu
Mashallah Allah akuongoze na akuepushe na Shari za walimwengu
Masha ALLAH Tabarakallah
Maa Shaa Allah Alhamdulillah Yaa Rabbi🙏🙏🙏🙏 Hii ni zawadi kubwa
Wewe ndo mrithi khasa wa sheikh Muhammad ayyub mashaallah
@habibakhalfan1065
2 жыл бұрын
Shekh_Muhamad_Ayub_anawarithi_wengi_baba_yangu_Shekh_Simba_Arusha_mashaallah_anampenda_shekh_wake
@sadunkabuma3221
Жыл бұрын
ITHINK
Mash Allah sheikh nakupenda kwa ajili ya allah
Shukran Allah akulipe kheiri
Shukran Kwa Ukumbusho
Sheikh walidi umenikosha sana kusikia wasandawe
@itsTubwa
11 ай бұрын
Mashallah.Thanks Sheikh
Wallah naapa nampenda huyu sheikh allah amuhifadhi tukutane jannah sote
@husseinomarnasserrizgallah7589
Жыл бұрын
Ameen thuma ameen
@IbrahimKaranja-qu9yn
11 ай бұрын
Amiina
@ismailally4779
7 ай бұрын
Amini
@muddymuzungu4357
6 ай бұрын
Maa Shaa Allah
@MaxamadMaxamad-ii8es
Ай бұрын
Insha Allah
Sheikh Walid lahu kheir
جزآك ألله خير شيخ وليد الهادي
Mwenyezi Mungu amlipe fadhila za ke
Mungu azidi kukupa afya njema kuuelimisha umma kumjua mwenyez mungu. Amina.
Sheikh allaah akulipe tunafaidika
Mungu amlinde shekh laki hawa wanao comet upuuzi unajuwa maana eebwanaAeee
Shukran sana Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera
Ustadh Walid naomba uniombee dua tumbo langu lanisumbua lajaa gesi ladunga mimba sipati haja kubwa plz nasaidie kwa dua
@hassanfarouq922
3 жыл бұрын
Kuna mtu instgram anaitwa @hashlongalonga nenda mfate
@buizo40
2 жыл бұрын
waidha sa alaka ibadi anni fa inni qarib ujibu da-wata ddai idha daani
Alhamdulillah
Shukran sana Shekhe
Al hamd llah
MASHAALAH
Mashallhaaa sheghe wangu nakupenda saana nipo mkoani ila nakuja dar kwaajili ya kuja kusali msikitin kwako ishaallhaaa
Mashaallah Mwenyezi Mungu akujalie mema Inshaallah.
Alhamdulilah
Allah akubarik sheikh walid
جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ الحبيب وليد
Daar nampenda huyu sheikh kwajiri ya Allah
Mashallah kwa mawaidha mazuri
Mashallah Sheikh jana nimekua hapa madina nimeswali hapo gaba
Allah akupe kheri wewe na kizazi chako shekhe
Ukimjua mungu hakwachi .kweli kabosa usemayo shkhe
Naomba yeyote anifahamishe mda gani jumanne sheikh huwa anaanza darsa
@DarsaTV.
3 жыл бұрын
Baada ya alasiri
@omyguy3066
3 жыл бұрын
Jumanne pekee au kila siku?
@DarsaTV.
3 жыл бұрын
@@omyguy3066 jUMAANE SHEKHE
@mohdzubeir6227
3 жыл бұрын
Mimi naona sheikh
Mungu akuhifadhi
Mashall mashall mashall mashall
@mwanaashambogo351
Жыл бұрын
Jazzaqalaah llikhair,,shekh mwenyez mungu akuhifadhi
Shekhe mkubwa kama walid na darsa zake zilivyo moto, kisha ummati uliokaa kumskiza haufiki hata watu arobaini? Watanzania muna mchezo sana. Yaa rabbi mjaalie shekhe huyu sheikh walid ahamie mombasa kenya.
@abdallahismael3993
3 жыл бұрын
Hujaaaa ila kwa kipindi hiki
@bundalahamza8902
3 жыл бұрын
ALLAH ambariki
@abubakarmustwafa8662
2 жыл бұрын
Hata Mtume Muhammad Swallalahu Aleyh Wasalam,sio wote walimtambua na kumfuata,Mungu atuhifadhi na kutujaalia Tawfiq ya kheri hizi
@Rama_Mwaguya-254.
2 жыл бұрын
Amin, tumlete kwa ndege nitampokea airport hapa Changamwe nikimsubiri kwa gari.
Ajabu ajabu ya mola wetu hana baba hana mama hakuzaa ,hakuzaa wala hakuzaliwa ndio yeye peke ake Hana mfano wa kitu wala kufana na mtu ameumbaa mbigu saba mola na ardhi akaitanda ameotesha na mitii akaumba uhai na umauti ndio yeye peke ake . Subhanallah wallah
SAwa
Mm naipenda walfajir sana nayo faida yake nn???????
Shehe jiangalie usije ukaitwa barzanji kwa unavyoikosoa iyo lugha ya hakuzaa wala hauzaliwa wateambia kitabu kikubwa kimeshindwa kusema hakuzawa jiangalie waliotafsri ni wabobezi wa lugha pia kama barzanji 😮😮😮munaqasha
Llll
Kwanini huyu Sheikh hamtaji nani Imamu aliyokuwa anasalisha hio msikiti wa Quba na kusoma hio sura ya Qoul huwa Allah . Alikuwa Imam Ali (a.s) Ibn Abi Talib . Na sababu aliyekuwa aksoma Sura hio Bwana Mtume alipopepewa malalamiko akasema kuwa ingekuwa kuna sura bora zaidi ya hio basi angeisoma. Hizo zote mbinu zinazofanyia inatokana na hawa Masheikh hawataki kuitukuza jia la Imam Ali (a.s) .lakini angekuwa sahaba mwengine angemtaja kama aliyomtaja baada ya hadithi ilifwata aliyekuwa akiinsimbuliwa. Peope inatokana kupenda Nyumba ya Bwana Mtume . Na Imam Ali (a.s) ni mmoja katika hao Ahulubayt . .
@ismailally3170
3 жыл бұрын
Njoo umtaje ww
@user-wv2uy6iz5h
3 жыл бұрын
Tuwapongeze mashekh wetu kwa kazi nzuri wanayofanya,sio kuwaponda nasababu zisizosingi
@ismailally3170
3 жыл бұрын
Ww unaonekana unakibri njoo umtaje ww
@ala1608
Жыл бұрын
Wew ni mushia
@allyshaban5444
Жыл бұрын
wakati mwingine nawaza sipati majibu kwani SAYYDNA ALLYY QARAMATLAHWAJHA ana tatizo gani na kwann hawataki kumtaja?
Darsa nzuri illa namuomba huyu shaikh wangu atengeneze lugha kwa anapomtaja Mtume..yaani awache kusema EE BWANA EE..bali aseme maswahaba wakiamiliana na Mtume wanamuita YAA RASULALLAH...sio ee bwana ee....##SIJUI ANANIELEWA?????
@habibakhalfan1065
2 жыл бұрын
Upo_sawa_kabisa_eee_bwana_wa_viumbe(Allah)ya_rassull_mtume
Mashallah
Mashallah