Siri ya Ushindi / Alama Za Kuwepo Mungu / Muumini Atoa Ushuda ? Sheikh Walid Alhad

Ойын-сауық

Siri ya Ushindi / Alama Za Kuwepo Mungu / Muumini Atoa Ushuda ? Sheikh Walid Alhad
Sheikh Walid Ahad Akitoa Tafsiri Ya Surat Ikhlas Katika Darsa Lake La Tafsiri KIla Jumanne Masjid Kichangani Usikose kutufuatilia kwenye social media zetu na pia ku share na waislamu wengine
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / darsatv
► LIKE DARSA TV on Facebook: / darsatv
Subscribe
Comment
Like
And share
Thanks

Пікірлер: 90

  • @abigaelnasir1698
    @abigaelnasir16983 жыл бұрын

    Mashaallah Sheikh Allah Akupe afya njema uzidi kutuelimisha nakutufurahisha,Aswaliwi WALID. hapa,Tumswalie MTUMI SWALALLAHU ALAYHI WASALLAM

  • @tumajunior6080
    @tumajunior60803 жыл бұрын

    Jazzakallah khairan Allah akulipe kheri hapa duniani na akhera inshaallah mm pia wanifundisha mengi nikiwa mbali nawe shukran 🤲🤲🤲

  • @joharindaro3075
    @joharindaro30753 жыл бұрын

    Asante shekh mwenyezi mungu akupe neema zaidi ya ukiyokuwa nao unanipa nguvu na ramadhani hii kwamawaidha yako

  • @uthmanihimbawe5244
    @uthmanihimbawe52443 жыл бұрын

    Allahumma swalli a'laa muhammad

  • @maulidmlette1953
    @maulidmlette19533 жыл бұрын

    Mashaallah Allah akulipe kheri Duniani na Akhera kutokamana na Ukumbusho. Sh. Walid

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore44083 жыл бұрын

    waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah❤💕💕💕

  • @columbusdoo593
    @columbusdoo5933 жыл бұрын

    MashaaAllah TabarakaAllah. Mwenyezi Mungu akupe umri, afya njema uzidi kunufaika wewe ili utunufaishe nasisi. Ameen Ameen Ameen

  • @omaryswaga9163

    @omaryswaga9163

    2 жыл бұрын

    Alhamndulillah! Maashallah

  • @hyasintajoseph2589
    @hyasintajoseph25892 жыл бұрын

    Allah akutunze shekh naingalia hii clip kwa mara ya tatu sasa na siichoki darsa zako

  • @rahemaissa9867
    @rahemaissa98673 жыл бұрын

    Mashallah shukran kwa ukumbusho

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu56583 жыл бұрын

    Mashallah Ali Habibi shekhe wangu walid Alla akuripe kiralakheri akujaze ilim zaidi.

  • @nuruabdullah7814
    @nuruabdullah78142 жыл бұрын

    Shukraan sheikh Allah akupe kila la kheri kwa darsa zako nimepata faida nyingi nilokuwa siyajui alhamdulillah napenda sana kuzisikiliza

  • @ffed1876
    @ffed1876 Жыл бұрын

    MaashaAllah Mola awazidishie kheri na ilmu muzidi kutuzindua ya kheri tuyafate na mabaya kuyaepuka Aamin.

  • @abdullahsaleh9248
    @abdullahsaleh92482 жыл бұрын

    shukran kwa. ukumbusho Shee lugha Kama nipo ngamian Tanga mashallah

  • @mrboma4343
    @mrboma43433 жыл бұрын

    Mashallah

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl10 ай бұрын

    Shukran sana sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa

  • @mwashambamakame4435
    @mwashambamakame44353 жыл бұрын

    Maashallah, Allah turuzuku utamue war iiman

  • @aishaabdullah233
    @aishaabdullah2333 жыл бұрын

    Subhanallah wallah sheikh hapo umesema ukweli wengi wetu tumekua maelfishness na km ww umekua nzuri bas shaytan anatupoteza kwa kusema mbona yy hakupi unampa yy tu subhanallah , Allah tuongeze waja wako na utujaze Iman ndani ya nafsi zetu amiin

  • @zulekhamnene9462
    @zulekhamnene94622 жыл бұрын

    Mashaalah napenda mawaidha yko sheikh mungu akustiri

  • @sarahmbaruku3115
    @sarahmbaruku31152 жыл бұрын

    Asante kwa ukumbusho Allah akujaalie kheri Inshallah

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 Жыл бұрын

    Mashallah Shekh wetu

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid3853 жыл бұрын

    Mashallah Allah akuongoze na akuepushe na Shari za walimwengu

  • @bentybenty2343
    @bentybenty23432 жыл бұрын

    Masha ALLAH Tabarakallah

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu43576 ай бұрын

    Maa Shaa Allah Alhamdulillah Yaa Rabbi🙏🙏🙏🙏 Hii ni zawadi kubwa

  • @mohdzubeir6227
    @mohdzubeir62273 жыл бұрын

    Wewe ndo mrithi khasa wa sheikh Muhammad ayyub mashaallah

  • @habibakhalfan1065

    @habibakhalfan1065

    2 жыл бұрын

    Shekh_Muhamad_Ayub_anawarithi_wengi_baba_yangu_Shekh_Simba_Arusha_mashaallah_anampenda_shekh_wake

  • @sadunkabuma3221

    @sadunkabuma3221

    Жыл бұрын

    ITHINK

  • @user-pu5bf3nj4s
    @user-pu5bf3nj4s5 ай бұрын

    Mash Allah sheikh nakupenda kwa ajili ya allah

  • @user-dg1xb3qx2n
    @user-dg1xb3qx2n6 ай бұрын

    Shukran Allah akulipe kheiri

  • @ibrahimsleiman4455
    @ibrahimsleiman44553 жыл бұрын

    Shukran Kwa Ukumbusho

  • @asiasa4259
    @asiasa42593 жыл бұрын

    Sheikh walidi umenikosha sana kusikia wasandawe

  • @itsTubwa

    @itsTubwa

    11 ай бұрын

    Mashallah.Thanks Sheikh

  • @aviwimanguro4802
    @aviwimanguro48022 жыл бұрын

    Wallah naapa nampenda huyu sheikh allah amuhifadhi tukutane jannah sote

  • @husseinomarnasserrizgallah7589

    @husseinomarnasserrizgallah7589

    Жыл бұрын

    Ameen thuma ameen

  • @IbrahimKaranja-qu9yn

    @IbrahimKaranja-qu9yn

    11 ай бұрын

    Amiina

  • @ismailally4779

    @ismailally4779

    7 ай бұрын

    Amini

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    6 ай бұрын

    Maa Shaa Allah

  • @MaxamadMaxamad-ii8es

    @MaxamadMaxamad-ii8es

    Ай бұрын

    Insha Allah

  • @fatumahamis9206
    @fatumahamis92063 жыл бұрын

    Sheikh Walid lahu kheir

  • @calicabqaricalicabqari6598
    @calicabqaricalicabqari65983 жыл бұрын

    جزآك ألله خير شيخ وليد الهادي

  • @user-od3gg9ky3d
    @user-od3gg9ky3d8 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu amlipe fadhila za ke

  • @tzonespices9734
    @tzonespices97347 ай бұрын

    Mungu azidi kukupa afya njema kuuelimisha umma kumjua mwenyez mungu. Amina.

  • @salmamaliki-4845
    @salmamaliki-4845 Жыл бұрын

    Sheikh allaah akulipe tunafaidika

  • @vich2mussa997
    @vich2mussa9973 жыл бұрын

    Mungu amlinde shekh laki hawa wanao comet upuuzi unajuwa maana eebwanaAeee

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl Жыл бұрын

    Shukran sana Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera

  • @tumajunior6080
    @tumajunior60803 жыл бұрын

    Ustadh Walid naomba uniombee dua tumbo langu lanisumbua lajaa gesi ladunga mimba sipati haja kubwa plz nasaidie kwa dua

  • @hassanfarouq922

    @hassanfarouq922

    3 жыл бұрын

    Kuna mtu instgram anaitwa @hashlongalonga nenda mfate

  • @buizo40

    @buizo40

    2 жыл бұрын

    waidha sa alaka ibadi anni fa inni qarib ujibu da-wata ddai idha daani

  • @millenniumoiltanzanialimit1265
    @millenniumoiltanzanialimit1265 Жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud298311 ай бұрын

    Shukran sana Shekhe

  • @sifawandi
    @sifawandi2 жыл бұрын

    Al hamd llah

  • @anisacabdi6579
    @anisacabdi65793 жыл бұрын

    MASHAALAH

  • @athumansaid796
    @athumansaid796 Жыл бұрын

    Mashallhaaa sheghe wangu nakupenda saana nipo mkoani ila nakuja dar kwaajili ya kuja kusali msikitin kwako ishaallhaaa

  • @aciamwinyi3991
    @aciamwinyi3991 Жыл бұрын

    Mashaallah Mwenyezi Mungu akujalie mema Inshaallah.

  • @Malkiawanyuki1
    @Malkiawanyuki13 ай бұрын

    Alhamdulilah

  • @IbrahimKaranja-qu9yn
    @IbrahimKaranja-qu9yn11 ай бұрын

    Allah akubarik sheikh walid

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa32163 жыл бұрын

    جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ الحبيب وليد

  • @abdallahncabukoroka3202
    @abdallahncabukoroka3202 Жыл бұрын

    Daar nampenda huyu sheikh kwajiri ya Allah

  • @salmsalmo931
    @salmsalmo9318 ай бұрын

    Mashallah kwa mawaidha mazuri

  • @victorcheruiyotkirui-ny8lc
    @victorcheruiyotkirui-ny8lc Жыл бұрын

    Mashallah Sheikh jana nimekua hapa madina nimeswali hapo gaba

  • @user-mj3so5px3g
    @user-mj3so5px3g8 ай бұрын

    Allah akupe kheri wewe na kizazi chako shekhe

  • @salhalutalo
    @salhalutalo Жыл бұрын

    Ukimjua mungu hakwachi .kweli kabosa usemayo shkhe

  • @mrishoharuna1311
    @mrishoharuna13113 жыл бұрын

    Naomba yeyote anifahamishe mda gani jumanne sheikh huwa anaanza darsa

  • @DarsaTV.

    @DarsaTV.

    3 жыл бұрын

    Baada ya alasiri

  • @omyguy3066

    @omyguy3066

    3 жыл бұрын

    Jumanne pekee au kila siku?

  • @DarsaTV.

    @DarsaTV.

    3 жыл бұрын

    @@omyguy3066 jUMAANE SHEKHE

  • @mohdzubeir6227

    @mohdzubeir6227

    3 жыл бұрын

    Mimi naona sheikh

  • @maulidihasani3466
    @maulidihasani3466 Жыл бұрын

    Mungu akuhifadhi

  • @zubeda-le4xr
    @zubeda-le4xr3 жыл бұрын

    Mashall mashall mashall mashall

  • @mwanaashambogo351

    @mwanaashambogo351

    Жыл бұрын

    Jazzaqalaah llikhair,,shekh mwenyez mungu akuhifadhi

  • @omyguy3066
    @omyguy30663 жыл бұрын

    Shekhe mkubwa kama walid na darsa zake zilivyo moto, kisha ummati uliokaa kumskiza haufiki hata watu arobaini? Watanzania muna mchezo sana. Yaa rabbi mjaalie shekhe huyu sheikh walid ahamie mombasa kenya.

  • @abdallahismael3993

    @abdallahismael3993

    3 жыл бұрын

    Hujaaaa ila kwa kipindi hiki

  • @bundalahamza8902

    @bundalahamza8902

    3 жыл бұрын

    ALLAH ambariki

  • @abubakarmustwafa8662

    @abubakarmustwafa8662

    2 жыл бұрын

    Hata Mtume Muhammad Swallalahu Aleyh Wasalam,sio wote walimtambua na kumfuata,Mungu atuhifadhi na kutujaalia Tawfiq ya kheri hizi

  • @Rama_Mwaguya-254.

    @Rama_Mwaguya-254.

    2 жыл бұрын

    Amin, tumlete kwa ndege nitampokea airport hapa Changamwe nikimsubiri kwa gari.

  • @user-fw6wt4mf3b
    @user-fw6wt4mf3b8 ай бұрын

    Ajabu ajabu ya mola wetu hana baba hana mama hakuzaa ,hakuzaa wala hakuzaliwa ndio yeye peke ake Hana mfano wa kitu wala kufana na mtu ameumbaa mbigu saba mola na ardhi akaitanda ameotesha na mitii akaumba uhai na umauti ndio yeye peke ake . Subhanallah wallah

  • @hassanseleman1806
    @hassanseleman18063 жыл бұрын

    SAwa

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y11 ай бұрын

    Mm naipenda walfajir sana nayo faida yake nn???????

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.39759 ай бұрын

    Shehe jiangalie usije ukaitwa barzanji kwa unavyoikosoa iyo lugha ya hakuzaa wala hauzaliwa wateambia kitabu kikubwa kimeshindwa kusema hakuzawa jiangalie waliotafsri ni wabobezi wa lugha pia kama barzanji 😮😮😮munaqasha

  • @mohdzubeir6227
    @mohdzubeir62273 жыл бұрын

    Llll

  • @marashimujtaba1
    @marashimujtaba13 жыл бұрын

    Kwanini huyu Sheikh hamtaji nani Imamu aliyokuwa anasalisha hio msikiti wa Quba na kusoma hio sura ya Qoul huwa Allah . Alikuwa Imam Ali (a.s) Ibn Abi Talib . Na sababu aliyekuwa aksoma Sura hio Bwana Mtume alipopepewa malalamiko akasema kuwa ingekuwa kuna sura bora zaidi ya hio basi angeisoma. Hizo zote mbinu zinazofanyia inatokana na hawa Masheikh hawataki kuitukuza jia la Imam Ali (a.s) .lakini angekuwa sahaba mwengine angemtaja kama aliyomtaja baada ya hadithi ilifwata aliyekuwa akiinsimbuliwa. Peope inatokana kupenda Nyumba ya Bwana Mtume . Na Imam Ali (a.s) ni mmoja katika hao Ahulubayt . .

  • @ismailally3170

    @ismailally3170

    3 жыл бұрын

    Njoo umtaje ww

  • @user-wv2uy6iz5h

    @user-wv2uy6iz5h

    3 жыл бұрын

    Tuwapongeze mashekh wetu kwa kazi nzuri wanayofanya,sio kuwaponda nasababu zisizosingi

  • @ismailally3170

    @ismailally3170

    3 жыл бұрын

    Ww unaonekana unakibri njoo umtaje ww

  • @ala1608

    @ala1608

    Жыл бұрын

    Wew ni mushia

  • @allyshaban5444

    @allyshaban5444

    Жыл бұрын

    wakati mwingine nawaza sipati majibu kwani SAYYDNA ALLYY QARAMATLAHWAJHA ana tatizo gani na kwann hawataki kumtaja?

  • @achanifumos1093
    @achanifumos10933 жыл бұрын

    Darsa nzuri illa namuomba huyu shaikh wangu atengeneze lugha kwa anapomtaja Mtume..yaani awache kusema EE BWANA EE..bali aseme maswahaba wakiamiliana na Mtume wanamuita YAA RASULALLAH...sio ee bwana ee....##SIJUI ANANIELEWA?????

  • @habibakhalfan1065

    @habibakhalfan1065

    2 жыл бұрын

    Upo_sawa_kabisa_eee_bwana_wa_viumbe(Allah)ya_rassull_mtume

  • @badaral6167
    @badaral6167 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @hassanhusen5859
    @hassanhusen5859 Жыл бұрын

    Mashallah

Келесі