HISTORIA YA BI: MARYAM MAMA YAKE YESU || YESU KAZALIWA BEACH MAENEO HAYA || ALHAJJ DR. SULLE

Пікірлер: 863

  • @PriscaManonAman-nq9ir
    @PriscaManonAman-nq9ir9 ай бұрын

    Hapa wakatoliki tu, ndio tutaelewa anachokisema huyu mzee mungu akubariki sana sheikh❤️❤️

  • @nobertkamugisha5177
    @nobertkamugisha51779 ай бұрын

    Duh! Mimi Mkatoliki mwenye msimamo mkali sana, Dr. Umetisha sana. Naanza kufatilia hotuba zako!

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza66649 ай бұрын

    Sheikh, hongera sana sana hii ndiyo hotuba iliyoenda shule. Natamani utunge kitabu cha maneno haya haya. Kiletwe hata makanisani kwetu tutanunua sana.

  • @jumamshana9868

    @jumamshana9868

    9 ай бұрын

    Mashsllahh

  • @nemeskiwali3248
    @nemeskiwali3248 Жыл бұрын

    Wallahi shehe umenigusa mno na Hotuba yako Mungu akubariki sana!

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi3119 ай бұрын

    Kuzaliwa kwa Yesu ni mpango wa Mungu, alizaliwa bila baba kimiujiza. Acha wote tumfuate Yesu

  • @fatmakombo6639
    @fatmakombo6639 Жыл бұрын

    Mashalah shekh Alhah akubariki

  • @jumamgandi-wi1cp
    @jumamgandi-wi1cp Жыл бұрын

    Axalam alyqum warahmatullah wabaraqatu shekh...mbna hufiki mombasa sehumu za mariakani ju wa2 wanatamani xna kukuona....inxhallah twakuombea ufike kwa neema ya Allah.

  • @emilykivunja1280
    @emilykivunja12809 ай бұрын

    Kiukweri Dr. Sulley Mwenyezi Mungu akupe kila lenye kheri hapa duniani mpaka ahera.

  • @martinsntonyo8537
    @martinsntonyo8537 Жыл бұрын

    Fundisho nzuri sana Sheikh ubarikiwe inshallah

  • @josephmasenga3517
    @josephmasenga3517 Жыл бұрын

    Mimi ni mkristo mkatoliki, kwa ufafanuzi wa Mheshimiwa Sheikh, nimekukubali baba. Mungu akubariki sana.

  • @leonceuwandameno760

    @leonceuwandameno760

    Жыл бұрын

    HII haijalishi. shekh atuambie.. uilsmau ulianziswa lini. kwa nini sinagoga iitwe msikitiki? kwa nini hekalu liitwe msikiti. tunataniana?.

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    Uislamu na Ukatoriki ni kitu kimoja.

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    ​@@leonceuwandameno760 Sinagogi siyo msikiti, hekalu siyo misikiti weka hiyo kichwani brother.

  • @leonceuwandameno6378

    @leonceuwandameno6378

    Жыл бұрын

    @@frankmpembu Please be serious! tangu line kikawa kitu kimoja?

  • @leonceuwandameno6378

    @leonceuwandameno6378

    Жыл бұрын

    @@frankmpembu Ni kweli sinagogi siyo msikiti, wala hekalu siyo msikiti ... shekk anapobainisha kuwa Mariamu aliingia msikitini... anamaanisha nini?

  • @ahmedkamalmuhammad475
    @ahmedkamalmuhammad475 Жыл бұрын

    بسم الله الرحمن الرحيم السلام عليكم ورحمة الله وبركاته Baada ya assalaam Naomba sheikh Atuletee mawaidha ya janga jipya linatusumbuwa na mashetani wa sasa. Masaala ya mume kuowa mume. Masaala ya me kuowa mke. Adhubilahi minaal sheitani alrajeem. Inshaallaaah. Barakallahu kheiran.

  • @fatumakambi960

    @fatumakambi960

    Жыл бұрын

    Masshallah

  • @user-gs1to5lj9x

    @user-gs1to5lj9x

    10 ай бұрын

    Hongera sana doctor

  • @marymule1678
    @marymule16789 ай бұрын

    Nakubaliana na ww maana kitabu Cha historia ya Mama Bikira Maria katoliki inafanana na hii Yako Mungu ni mwema

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Mungu akibariki sheh nimependa mahubili yako mungu akujaze

  • @FordinaMpangala

    @FordinaMpangala

    Жыл бұрын

    Nimependa mahubiri sana, mm ni mkristo

  • @EduwardPatrick-ux8dq
    @EduwardPatrick-ux8dq9 ай бұрын

    Hakika tunastahili waislam kuyakemea mabaya sema shiekh wangu mwenyezi Mungu akupebaraka

  • @anodsimbeye9093
    @anodsimbeye9093 Жыл бұрын

    Kanisa la Mungu katoliki liki wafundisha juya mama bikira maria mnawajiajuu na kuwa tukana ndipo mumeanza kuku mbuka Amini.

  • @adijamuke8590
    @adijamuke8590 Жыл бұрын

    Allah akulipe kilalakheri fidunia wali

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын

    Mashallah Mashallah kwa uhakika Uislam ni muongozo. Shukrani kwa elimu Dr Sule Allah akuweke.

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    9 ай бұрын

    Hayo hata kwenye Biblia yapo, hivyo muongozo upo kwenye Biblia

  • @piustombili9921
    @piustombili9921 Жыл бұрын

    Mawaidha ambayo hata mkristu akisikiliza anaelewa safi sana Sheikh

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    Anaongea uongo, Waislamu zindukeni

  • @saidbakari2408

    @saidbakari2408

    Жыл бұрын

    ​@@frankmpembukakojoe ulale mpinga kristo

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Жыл бұрын

    Bismillah MashaAllah ❤❤❤

  • @galusbenomillinga
    @galusbenomillinga Жыл бұрын

    Nimependa mahubiri yako Shekhe Sullen.

  • @SWEETGALKHAN_001
    @SWEETGALKHAN_001 Жыл бұрын

    😢MASHAALLAH WALAHI VERY TRUE MAY ALLAH BLESS YOU AND ME ,AND GRANT US JANNATUL FIRDOWS 🕋🙏###ISLAM IS THE BEST DEEN FOREVER

  • @aishanassor1757

    @aishanassor1757

    Жыл бұрын

    I am Muslim I love it please give me your number for know ing each other

  • @ipyanamwasampeta653

    @ipyanamwasampeta653

    9 ай бұрын

    Only zombies and mentally ill people can believe in this cult known as islam religion. Your god called al lah is an imaginary statue with two hands both are on the right side and a leg, hence is not Spirit and anything without Spirit is a dead thing therefore has no divine powers, is powerless, is dhaifu. The God of Abraham, Isaac and Jacob is Spirit and this God is worshiped by Christians and Jews. Your god a stone called blackstone is in city called mecca and this stone is found at the corner of a cube called kaaba, muslims believe that once you kiss this blackstone all your sins are forgiven. Even the shetani of cult is also found in the same city called mecca, this shetani is punished by muslims by throwing stones in the building of this shetani and building has been built by muslims not shetani himself. Only fools can believe in this cult. Immediately after taking shahada know that your brain is gone so you become zombie. Even scholars of this cult known as islam religion they say that muslims are supposed to believe without understanding and are forbidden to question anything concerning their cult. It's said that 99.8% of muslims do not understand what is written in their book called quran because their god called al lah uses only one language that is arabic language and it's a must to pray in arabic language. Internet is killing islam.

  • @jumannekambi232
    @jumannekambi232 Жыл бұрын

    Barakallah fiika

  • @augustinematwe2797
    @augustinematwe279710 ай бұрын

    Sheikh Allah akubariki.mimi ni mkristo.

  • @josephosborne3072
    @josephosborne30729 ай бұрын

    Safi sana Ustadhi Dr Sule, Ni hadthi tamu sana, tumeenda sawa, utofauti upo mazngra alipozaliwa Yesu, chini ya mtende/ Hori la kulishia ng'ombe, but kla mtu afuate alichofundshwa vyote tumeletewa but hongera sana wewe ni mwl.

  • @dianandabirorere6365
    @dianandabirorere6365 Жыл бұрын

    Jazzak Allahu Khair,shukran sheikh Wang kwa elimu

  • @drmwitagogwani3636
    @drmwitagogwani3636 Жыл бұрын

    Mashallah Allah jambo la khery

  • @eliufoombise7889

    @eliufoombise7889

    Жыл бұрын

    Takbiiir

  • @aishaomarry6996
    @aishaomarry6996 Жыл бұрын

    Ahsante sheikh Alhaj Doctor Sule kwa Elimu .

  • @asteriashios1852
    @asteriashios18529 ай бұрын

    Mimi ni mkristo shekhe umenifurahisha sana maana unaongea ukweli mtupu mungu akubariki sana

  • @silvanuschiwalanga46
    @silvanuschiwalanga4610 ай бұрын

    Unaitwa Dr haki unastahili kwamaana unajua kujua kufafanua watu wa mungu waweze kuelewa tena kiuwepesi

  • @mohamedkibwana7558
    @mohamedkibwana7558 Жыл бұрын

    MashaAllah jazakAllah khair Sheikh Dr Suley

  • @catherinenicander7468

    @catherinenicander7468

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa shekh hitoria ya Maryam unaijua,nashanga waislam wengi hawataki kujua hilo

  • @godfreyobadiah7892

    @godfreyobadiah7892

    Жыл бұрын

    Ulijenga mjengo southninyi viongozi wa dini zote mna maisha bora kwa zaka za waumini

  • @godfreyobadiah7892

    @godfreyobadiah7892

    Жыл бұрын

    Kumbe zaka robo tatu iende kwa wahitaji siku hiyohiyo ijumaa na j'mapili, mnabadili magari na hiyo pepo mtaionaje ?

  • @mahunduinnocent8027

    @mahunduinnocent8027

    Жыл бұрын

    Hotuba mzuri

  • @Ashsultana

    @Ashsultana

    Жыл бұрын

    @@godfreyobadiah7892 😂😂😂😂🤣

  • @ahmedabdi3262
    @ahmedabdi3262 Жыл бұрын

    Allhamdullh shukrani kwa mungu ametuzalia masheik wenye wakona elimu

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz Жыл бұрын

    MashaAllah mungu akulipe heri Kwa kutuelekeza yalio ya kweli

  • @bettyjimmy9007

    @bettyjimmy9007

    10 ай бұрын

    Natamani kama vile uebdelee nimefarijika sana japo mimi mkristo mkatoliki

  • @Mbumbuko
    @Mbumbuko Жыл бұрын

    Allah Kareem akufanyie wepesi Kwa kila Jambo maashaa Allah

  • @RehemaMassana-gm5ir
    @RehemaMassana-gm5ir Жыл бұрын

    Asante kwa somo zuri Mungu akubariki

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l9 ай бұрын

    Mashalllah ❤nimependa mafundisho ubarikiwe Allah akupe mema ya nchi

  • @abdulrahimowino1235
    @abdulrahimowino1235 Жыл бұрын

    Allahu Akbar. Mwenyezi Mungu aendelee kukuongoza Sheikh. Hongera kutoka Kenya.

  • @HazlaKhamis-xw6se
    @HazlaKhamis-xw6se Жыл бұрын

    Mashallah Allah akufanyie kila la kheri sheikh SULE inshaallah

  • @mariamjuma8580

    @mariamjuma8580

    Жыл бұрын

    Mashallah ostazi 🙏🙏🙏🙏

  • @tresorkinyeshe6965
    @tresorkinyeshe69653 ай бұрын

    Allahou Akbar cheikh sule acha allaha azidi kukupa umri marefu cheikh wangu nakukubali sana

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28089 ай бұрын

    Mungu mwema atujalie mwisho mwema ❤

  • @ahmedabdi3262
    @ahmedabdi3262 Жыл бұрын

    Ma Sha Allah sheik

  • @benedictkiteji3627
    @benedictkiteji3627 Жыл бұрын

    Barikiwa shekhe hunaga unafki

  • @AndreKanyama
    @AndreKanyama5 ай бұрын

    Mashaallah mungu akuwekeye wepesi katka mambo Yako yote duniani na akhera shkrani sn shekh😍😍😍

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Жыл бұрын

    Shekhe Mrisho Ibni jumaa Ibni Mrisho wa Ibni Kipindura Amerithi jina la Babu Shekhe wangu.

  • @mystrocell2
    @mystrocell2 Жыл бұрын

    Yesu aliwaambia wanafunzi wake yakuwa, mjihathari na mafundisho ya waandishi na mafarisayo

  • @samxx411

    @samxx411

    Жыл бұрын

    Mwandishi alosema yesu ni huyu:- matendo ya mitume 1:1 "Kitabu kile cha kwanza nalikiandika, Theofilo, katika habari ya mambo yote aliyoanza Yesu kufanya na kufundisha" 23:6 Matendo ya mitume "Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu"

  • @user-il7pd9et7d

    @user-il7pd9et7d

    9 ай бұрын

    Amene

  • @rajabomar3981
    @rajabomar39819 ай бұрын

    Mashallah, mwnyz mungu akubari shekh Suleiman

  • @user-fk5pc3md8h
    @user-fk5pc3md8h3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂Dr Sulle,,,,nmecheka xnaaaaa leo,,, ujumbe mzito na maneno ya kufurahisha,,,, Allah akulinde Inshallah

  • @lameckmadeni
    @lameckmadeni Жыл бұрын

    Inshallah mwenyezi Mungu akubariki sheikh

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Sheh unafaa kwa dini zote asante mungu akubariki

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    Hafai kwa dini zote, nenda kasome. Anaongea uongo tu apo

  • @saidbakari2408

    @saidbakari2408

    Жыл бұрын

    ​@@frankmpembuukikata mkojo kakojoe ulale AZAZIL

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    @@saidbakari2408 Kama inakuuma chomoa, ukweli umeshakuingia toka huko.

  • @saidbakari2408

    @saidbakari2408

    Жыл бұрын

    @@frankmpembu 😁😁😁 Pole saana kondoo uliyepote

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    @@saidbakari2408 Wewe ndiye umepotea kwa kuamini Qur'an ni ukweli kumbe ni uongo wa shetani aliyempa Muhammadi kwenye pango la Hira. Kitabu=Upanga mkali, Ukurasa wa 22, inasema "Tulikuwa na mtume usiku Mmoja, Mara tukamkosa, tukamtafuta katika jangwa na mabonde, tukasema;ameuawa, Basi tukalala usiku mbaya waliowahi kulala watu. Kulipopambazuka mara tuka mwona anakuja akitokea upande wa hira, tukamwambia, tumekukosa, na tumekutafuta wala hatukukupata, Basi tukalala usiku mbaya waliowahi kulala watu; Akasema Muhammadi nilijiwa na muhitaji wa majini Bosi wa majini nikaenda naye nikawasomea Qur'an

  • @nassirlugunda1544
    @nassirlugunda1544 Жыл бұрын

    YOU DID IT DR SULE YO ARE REAL DOCTOOR

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    Doctor wa uongo

  • @saidbakari2408

    @saidbakari2408

    Жыл бұрын

    ​@@frankmpembukaa kwa kutulia mpinga kristo wewe

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    @@saidbakari2408 Mimi siyo mpina Kristo Kwasababu naamini Yesu ni mwana wa Mungu kama alivyosema yeye mwenyewe. Yohana 9:35-37, 35 Yesu akasikia kwamba wamemtoa nje; naye alipomwona alisema, Wewe wamwamini Mwana wa Mungu? 36 Naye akajibu akasema, Ni nani, Bwana, nipate kumwamini? 37 Yesu akamwambia, Umemwona, naye anayesema nawe ndiye. Wewe ndiyo mpinga Kristo, kama hutaki kuwa mpinga Kristo, amini leo kuwa yeye ni Mwana wa Mungu kama alivyokuambia apo kwenye Yohana 9:35-37

  • @stevendavid8054
    @stevendavid8054 Жыл бұрын

    Amina shehe,,tuangalie majina ya kuwapa watoto,mimi ni mwinjilisti nimekupenda sana barikiwa

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    Wewe ni mwinjilisti wa uongo, yani hujui kuwa anaongea uongo

  • @saidbakari2408

    @saidbakari2408

    Жыл бұрын

    Mungu akubariki nawe pia ndugu

  • @stevendavid8054

    @stevendavid8054

    Жыл бұрын

    @@frankmpembu wewe ndo mungo na mnafiki,hapo sasa alizungumza uongo, kusema tuchague majina ya kuwapa watoto,acha ushenzi wako

  • @stevendavid8054

    @stevendavid8054

    Жыл бұрын

    @@saidbakari2408 Amina Asante

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    @@stevendavid8054 Utamsilizaje na kumuunga mkono mtu ambaye anaongea uongo, tena anatumia neno la Mungu kutetea uongo wake na wewe humkemei, wewe ni mwinjilisti wa mchongo na muongo, maana mtu muongo hawezi kumpinga muongo mwenzake Yohana 8:44-45 44 Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo. 45 Nami, kwa sababu nasema iliyo kweli, hamnisadiki.

  • @eunicengendo1446
    @eunicengendo1446 Жыл бұрын

    I would like the nxt content of dr to be how joseph become the father of jesus

  • @damianosikapili2917
    @damianosikapili2917 Жыл бұрын

    Tumsifu yesu kristo Mimi nimesikia mwanzo mpaka mwisho Sheikh

  • @stephenmnkande8192

    @stephenmnkande8192

    Жыл бұрын

    Maelezo ni mazuri sana japokuwa mengine kama ni tofauti na ninavyofahamu na pia hayaendani na Historia. Mfano kusema kwamba Mariam mama yake Yesu alisali Msikitini ilhali sote tunafahamu kwamba Mariam alikuwa ni Myahudi na Wayahudi wanasali kwenye Masinagogi hapo ndipo ninapotofautiana naye. Kumbuka Mariam aliishi miaka takriban 600 kabla ya Muhammad (S.A.W). Hata kwenye Quran 22:40 inathibitisha kwamba Wayahudi walikuwa wanasali kwenye Masinagogi (SWALATUN) na sio misikiti.

  • @strong8534
    @strong8534 Жыл бұрын

    Jazakallah

  • @JosephSila-tc2dw
    @JosephSila-tc2dw Жыл бұрын

    Nimefurahi sana unapohubiri habari za bikira Maria. Asante

  • @augustomariosama1542
    @augustomariosama1542 Жыл бұрын

    Maashallah

  • @user-ch9rq9fj1j
    @user-ch9rq9fj1j Жыл бұрын

    Man'sha Allah sheikh

  • @shaninjenje5004
    @shaninjenje5004 Жыл бұрын

    Ma sha Allah napenda sana kusikiliza mawaidha yake Allah amlipe ujira mwema

  • @manenondege543

    @manenondege543

    Жыл бұрын

    Shukrani sana

  • @joasgeorge9648
    @joasgeorge9648 Жыл бұрын

    Bwana YESU Asifiwe Suleiman Alijenga Hekalu na sio Msikiti wowote

  • @Malaikakisseto

    @Malaikakisseto

    10 ай бұрын

    Nenda kasome yesu alikuwa akifanya ibada ktk masinagogi sasa katafute maana ya masinagogi utagundua kuwa ni msikiti kwasababu maana ya masinagogi ni masikiti wa wayahudi. Usikalilishwe kama kuna kitu hupaswi kuridhi ni dini fanya uchunguzi wa dini utagundua wapi sahihi ufate.

  • @emertonmwakina8593
    @emertonmwakina85937 ай бұрын

    Anglicans pia tuko hapo mafundisho mazuri sana Barikiwa sheikh.

  • @addymsola4625
    @addymsola4625 Жыл бұрын

    Nimekukubali shehe ubarikiwe sana

  • @SimonHombo-kl8rr
    @SimonHombo-kl8rr Жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu shekhe

  • @msafirikushama2193
    @msafirikushama21939 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri.

  • @martinsntonyo8537
    @martinsntonyo85379 ай бұрын

    Mahubiri mazuri sana ubarikiwe mno

  • @sh4138
    @sh4138 Жыл бұрын

    Mansh Allah Alhamdulillah

  • @yakoubmasesa4462

    @yakoubmasesa4462

    Жыл бұрын

    Maashallah

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 Жыл бұрын

    Unaongea ukweli kabisa,mafundisho mazuri haya

  • @saidijafari2812

    @saidijafari2812

    Жыл бұрын

    Hiyo ndiyo injili yenyewe hasa inayopatikana ktk Quran maana wengi hawajui Quran nini Quran ni kitabu cha mtume Daudi A.S ambacho ni Zaburi ,Torati ya Mussa A.s Injili ya yesu A.s na Quran yenyewe ya Muhammad ni kitabu kilichoshiba kweli hakuna kitu utakachokosa kuhusu mitume kabla ya Muhammad ni kitabu cha haki na ndio maana hata Muhammad kafundisha mama yake yesu ndio mwanamke aliebalikiwa kuliko wanawake wote ingekua uislamu sio dini ya haki bc Muhammad angemsifia mama yake lakini ye ndio kaja na Quran lakin kamsifia mama yake yesu ambaye alikuwepo kabla yake na wakati huo mama yake yesu na yesu mwenyewe hawapo washaondoka duniani .

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu3561 Жыл бұрын

    Safi sana Dr, sule

  • @StellaSamsoni
    @StellaSamsoni3 ай бұрын

    Yean wewe ndio unajua dini naona katika waislam wewe pekeako ndio hauna unaguzi wa dini na umekubaliana na wa kristo wengine wanawaita MAKAFIRI HAWANA HOFU YA MUNGU ALLAH aendelee kukutunza🙏

  • @saumbliz8983

    @saumbliz8983

    3 ай бұрын

    Makafiri sio wakristo eleweni kafiri ni yule asiejua Kuna mungu ,kufa na kufufuliwa na siku ya mwisho

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Жыл бұрын

    Masha Allah very history

  • @sofiaomar9919
    @sofiaomar9919 Жыл бұрын

    Mashallah ❤

  • @mtakabiruyassin
    @mtakabiruyassin Жыл бұрын

    Jazzakallah

  • @user-wx2oz8dp7d
    @user-wx2oz8dp7d9 ай бұрын

    Inshallah shekh Allah akpe kher

  • @MrCay2co
    @MrCay2co Жыл бұрын

    Masha Allah Al Hajji - Hussein Kaituko, Bungoma, Kenya

  • @baysadam235
    @baysadam235 Жыл бұрын

    Assalamam aleikum Mungu akujaze kheri shekh 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @eliudjrkim-sm6ru
    @eliudjrkim-sm6ru Жыл бұрын

    Mungu akubaliki shehe

  • @nabiisuleymanbarut2001
    @nabiisuleymanbarut2001 Жыл бұрын

    Aamin

  • @zawadithomas1008
    @zawadithomas1008 Жыл бұрын

    mungu akutunze sheikh am Christian lakin napenda mafundisho yako🙏🙏

  • @kelvinkapinga4781

    @kelvinkapinga4781

    Жыл бұрын

    Hàihitajiki nguvu nyingi kuyaelewa mafundisho yako. Ubarikiwe

  • @minafadhil3837

    @minafadhil3837

    Жыл бұрын

    Naaam

  • @suweidkhamis722

    @suweidkhamis722

    Жыл бұрын

    Kuwa muislam

  • @guyogalora-gl2lu
    @guyogalora-gl2lu3 ай бұрын

    Barak Allahu feek Dr sule

  • @mrsab303
    @mrsab303 Жыл бұрын

    MashaAllah 💕💕💕💕💕💕💕💕

  • @bernardndemba2253

    @bernardndemba2253

    Жыл бұрын

    mpumbavu wewe wamusikiliza huyu mwongo .kweli wajinga hawawezi kuisha dunia hii

  • @jumamsangi6048

    @jumamsangi6048

    Жыл бұрын

    Masha'Allah

  • @imanimussalacky3078
    @imanimussalacky3078 Жыл бұрын

    Mashaalllah, M/mungu akupe umri mrefu sheikh vizaz vijavyo vifaidike zaid na darasa zako

  • @RubenMassawe

    @RubenMassawe

    10 ай бұрын

    😅 by

  • @issakawaya8315

    @issakawaya8315

    8 ай бұрын

    AllAh atuongoze

  • @rahmamusa4484
    @rahmamusa4484 Жыл бұрын

    Hadithi nzuri sana mashallar

  • @fastanzania
    @fastanzania Жыл бұрын

    Mashallah ♥️ 🙏

  • @abdoulmrisho4214

    @abdoulmrisho4214

    Жыл бұрын

    Masha Allah 🥰🥰

  • @charlessiwale3858
    @charlessiwale38584 ай бұрын

    Waisram wanamariam wao munyazi mungu wao kwaujumla tuendelee kuwaombea waje kwa Jesus

  • @FaustineAssenga-wu2lb
    @FaustineAssenga-wu2lb9 ай бұрын

    Nimepata kitu kutoka kwako Shekhe Mungu akupe nguvu ya kuinjilisha. Neno

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Жыл бұрын

    Mashalla

  • @barakakizua2256
    @barakakizua2256 Жыл бұрын

    Amin

  • @kariukiwanyiokepatrick
    @kariukiwanyiokepatrick5 ай бұрын

    nimeona wakristo na waisilamu hatuna tofauti kubwa

  • @HakizimanaSalima-sg7cv
    @HakizimanaSalima-sg7cv9 ай бұрын

    Masha Allah tabarakallah

  • @MaishaMahukualimas-vi8gm
    @MaishaMahukualimas-vi8gm Жыл бұрын

    Nakufata vizuri sheh

  • @Juma-hx9cf
    @Juma-hx9cf7 ай бұрын

    Mawaidha Matamu kweli walah hizo bangi unataja Ustadh me nimechoma kijiti apa ndo kwanza imenituliza apa nikiinjoy mawaidha yko usilolijua n ucku wa Giza karibu 254

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Жыл бұрын

    Amina

  • @kamikazigenerose7882
    @kamikazigenerose7882 Жыл бұрын

    Asalam aleikum warahmatudhahi wabarakatuh.Umesema kweli

  • @PatriciaAkena
    @PatriciaAkena6 ай бұрын

    Mungu akubariki jamani sheehee..amuna tumepingwa vita wakatoliki alibarikiwa kuliko wanawake wote

  • @evelynensabiyumva2999
    @evelynensabiyumva2999 Жыл бұрын

    Sheikh mungu akubarik sana

  • @ciciray5676
    @ciciray5676 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @rashidihabutwaha7636
    @rashidihabutwaha763610 ай бұрын

    Maashaanllaah anlaah akuzidishie

  • @salumsalumu741
    @salumsalumu741 Жыл бұрын

    Mungu akupe umli mlefu

  • @Oscar-qs7tn
    @Oscar-qs7tn Жыл бұрын

    Uzuri uislamu unakazana kuhubiri ukristo na wakristo wanakazana kupiga injili.

  • @mohamedshaban4854
    @mohamedshaban48549 ай бұрын

    Hongera mtaalam Doctor Suley

  • @magrethkauki2224
    @magrethkauki22249 ай бұрын

    Asante Shehe nimelewa sn leo

  • @jeniphermyingajeniphermyin8029
    @jeniphermyingajeniphermyin8029 Жыл бұрын

    Hapo Kwenye majina nikweli kabisaaaa💯

Келесі