UKWELI MCHUNGU HISTORIA YA ARIDHI YA PALESTINE ILIOFICHWA TOKA ENZI ZA MANABII WATEULE.

• UKWELI MCHUNGU HISTORI... #KHIDMATV #drsule #mawaidha #education #elimu

Пікірлер: 730

  • @graciousmedia8235
    @graciousmedia82356 ай бұрын

    Kwa upande wangu mimi ni mkristo na nitabaki kuwa Hivyo siku zangu zote maana nnaemuamini nimeona akinipigania hivyo watu waseme watakavyo lkn hakuna dini yoyote duniani itampeleka mtu Mbinguni ila tuu imani yako na matendo mema ndio yatakayotufanya tupate kibali mbele za Mungu . Bishaneni tuu lkn kama Imani yako haiko kwa Mungu na matendo yako hayampendezi Mungu ndug zangu tutakua ni bure

  • @tahirnephessalum3678

    @tahirnephessalum3678

    6 ай бұрын

    umepotea ndugu yangu ktk adamu utafute ukweli uiokoe nafsi yake

  • @mombasa0076
    @mombasa00768 ай бұрын

    Mungu akubaarik sheikh SULE.

  • @kombogambare3574
    @kombogambare35743 ай бұрын

    Mash Allah Mola akuajalie na akuzidishie Elm Dr.Sule

  • @KhadijaKhadijadawa
    @KhadijaKhadijadawa8 ай бұрын

    Mashallah dr sule Allah akulipe umefafanua vzr sanaaa

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400Ай бұрын

    Hongera kuhubiri Biblia inavyosema.

  • @user-hh4kb9ng4e
    @user-hh4kb9ng4e3 ай бұрын

    Yesu ni tofauti na manabii wengine wote,yesu ni zaidi ya nabii Musa,.

  • @MohamediOmari-nz4vv

    @MohamediOmari-nz4vv

    Ай бұрын

    Kama uwelewi utabaki kujiona wewe ni zaidi kumbe ujui chochote

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Ай бұрын

    ​@@MohamediOmari-nz4vvyuko sahihi manabii wote walifanya dhambi Yesu pekee ndiyo mtalatifu na hiyo ndiyo sifa ya Mungu

  • @ShahiraIssaSalim-zy5rc
    @ShahiraIssaSalim-zy5rc6 ай бұрын

    Maa shaa Allah, Doctor sule❤

  • @bgpin7497
    @bgpin74974 ай бұрын

    mimi ndimi njia huendi mbinguni ila kwa mafundisho ya yesu hivi mwaka huu ni mwaka wangapi wa kiislamu na ibrahimu alikuwa dini gani

  • @mwanamisidogo1985

    @mwanamisidogo1985

    3 ай бұрын

    mwaka 1445 ramadhan ikiisha tunaingia 1446 in shaa Allah

  • @ismailabuti
    @ismailabuti7 ай бұрын

    Asante Sana sheykh

  • @user-il7pd9et7d
    @user-il7pd9et7d8 ай бұрын

    Unachanganya ndo tatizo mtaulizwa mengi mbele ya Allah

  • @rashidyshemkande8099
    @rashidyshemkande80998 ай бұрын

    maashaAllah

  • @experiusmrefu1003
    @experiusmrefu10032 ай бұрын

    Ukimsikiliza Huyu jamaaa unaweza kufikir anayongea ni ya kweli....😮😮😮

  • @MohamediOmari-nz4vv

    @MohamediOmari-nz4vv

    Ай бұрын

    Tupe wewe ukweli na maana wagaratia kazi kupinga tu ndiyo mnaitwa makafiri

  • @allykwaya

    @allykwaya

    Ай бұрын

    Endelea kusikiliza tu

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Ай бұрын

    ​@MohameAnadanganya ndiyo maana anayoyazugumza anayayatoa kwenye kitabu asichokikubali maana kwenye koran yake hayamodiOmari-nz4vv

  • @SimonMulwa-sy9yu
    @SimonMulwa-sy9yu25 күн бұрын

    Kwangu Mimi ningesema wakristo na waislaamu wakae na kuishi pamoja,tutumie yetu pamoja na kila mmja aieshimu Imani ya mwezake.

  • @brownmwailunda1436
    @brownmwailunda14362 ай бұрын

    WEWE Sule uisilamu ni njia ya Imani tu,Wewe ni Mtumishi wa Mungu

  • @evansmtalo9406
    @evansmtalo94068 ай бұрын

    Kumbe unajua kusali nje ya uislam ni bahati.YESU ANAKUPENDA SANA.

  • @hujatswai5798

    @hujatswai5798

    8 ай бұрын

    Ni sehemu gani amesema kusali nje ya uislamu ni bahati?

  • @DoricasWawire-ff9os
    @DoricasWawire-ff9os7 ай бұрын

    Shekhe uko sawa kelele za chura haizuii tembo maji love Muslim❤❤❤

  • @onesmomasala-rg2wd

    @onesmomasala-rg2wd

    3 ай бұрын

    Kumbe warabu na wahidi na weusi duu😅

  • @shabanimataka8418
    @shabanimataka84188 ай бұрын

    Msiope vta wakristo vita n lazim kwetu kwaiyo jiandaeni nailo na mda wa kuwepo kwa hii dunia n mdogo sana kwatulipofikia ALLAH anataka aabudiwe yy pekeyake na wala kusiwepo mungu baba, mungu mwana, mungu roho mtakatifu, izo zote n shilki na mda wake umeisha kwaiyo mayaudi ndo wakutimulieni yuki

  • @WILLSONTELEPHONE

    @WILLSONTELEPHONE

    3 ай бұрын

    😁😁😁 I won't bow to that your Allah

  • @nassorsharifu9837

    @nassorsharifu9837

    2 ай бұрын

    ​@WILLSONTELEPHOwala hupunguzi chochot kwa AllahNE

  • @WILLSONTELEPHONE

    @WILLSONTELEPHONE

    2 ай бұрын

    @@nassorsharifu9837 Will attack only weak souls as you, Brighter minds won't, atiii mtume kabisa wa MUNGU naemjua Mimi mnamwombea Rahman, Hivi kumbe na yeye alikosea Siyo? 😁😁😁 Huoni kuwa nikikataa kumwombea Rahman mtume wenu nimepunguza kitu😁😁😁

  • @user-fs4fn5lz7h
    @user-fs4fn5lz7h4 ай бұрын

    Mashaallah allah akupe umri mrefu shekh sule

  • @user-yv7ij4zh4k

    @user-yv7ij4zh4k

    3 ай бұрын

    Huyo Sheikh mambo mengi anayoongea ni mwongo usiamini kila kitu anachoongea. Mfano anaposema kwamba Koran imeelezea zaidi Historia ya Wayahudi huo ni uongo maana Uislamu umekuja miaka 600 baada ya Kristo na wakati huo tayari Dini za Kiyahudi na Kikristo zilikuwepo. Pia Koran Waislamu wote wanakubaliana kwamba Koran sio kitabu cha Kihistoria na ukisoma Koran utagundua mambo mengi Muhammad aliiba kutoka kuhadithiwa na Mapadre wa Kikatoliki hasa Padre Waraqa ibn Naufal. Halafu huyo Sheikh Sulle anatoa hadithi bila andiko mfano anaposema Musa aliishi Hebron hilo andiko anatoa wapi? Katika Biblia au Quran hakuna sehemu hata moja inasema Musa aliishi Gaza. Kwahiyo huyu jamaa ni mwongo.

  • @user-fs4tp4gl6h
    @user-fs4tp4gl6h6 ай бұрын

    Ma Sha Allah

  • @hassanbasabose8726
    @hassanbasabose87266 ай бұрын

    MashaAllah Doctor Sule Allah akuzidishie umri🤲🤲

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v8 ай бұрын

    Shukran shehe wetu kutujuza tusoyajua,,,,,munguakujaalie heri inshaalah

  • @wesnsomba

    @wesnsomba

    7 ай бұрын

    Ukijaaliwa kusoma vitabu husika (na siku hizi vinapatikana kwa urahisi tu) utakuja kugundua kuwa huyo sheikh kaongea vitu vingi tu ambavyo sio vya kweli. Wayahudi wanamuabudu Mungu Jehovah na MOSSAD ni shirika ambalo halina hata umri wa miaka 80.

  • @carolihando6271

    @carolihando6271

    6 ай бұрын

    Punguzo kudanganya, Joshua hakuwa mwislamu maana uislamu ulianza miaka ya 560 AD, YOSHUA NI WA KABLA hata ya Yesu Kristo. Sijui alianzisha dini kabla hajazaliwa?

  • @user-hm5cv7bc4x
    @user-hm5cv7bc4x5 ай бұрын

    Alla akubarik kwa kulinga nia dini ya kiislam mungu mungu akulinde na maadui wa dini ya uislam

  • @samiukhamis2703
    @samiukhamis27037 ай бұрын

    Mashaallah

  • @user-yh6nz6ri2m
    @user-yh6nz6ri2m8 ай бұрын

    Manshallah

  • @user-ot2uc1os3g
    @user-ot2uc1os3g8 ай бұрын

    Huyu jamaa ni Muongo hatari kweli eti waliotoka kwenye jahazi au safina walikuwa themanini khaa😢😢😢😢

  • @KalibaniSeif

    @KalibaniSeif

    3 ай бұрын

    Unashangaa nini jahazi lina beba condena nne 😂😂

  • @Sabiyumva-mb3rh

    @Sabiyumva-mb3rh

    3 ай бұрын

    Huu ni muongo kabisa anacho kizunguza hakijui kwa sababu ni moto wa shetani hajui yesu ni Nani

  • @user-ui4hp3wv2z
    @user-ui4hp3wv2z7 ай бұрын

    Mitihan IPO unaposena ukweli lazima upate mitihan shekhe pamban mungu atakulip

  • @user-ke8iq9ue1h
    @user-ke8iq9ue1h3 ай бұрын

    Wewe unapambana na aliyewaruhisu kuishi nchi hiyo

  • @AliSalimRashid
    @AliSalimRashid3 ай бұрын

    Allah akulinde na Kila baya hususani ktk Ramadan Kareem Asante

  • @jitihadaharuna9448
    @jitihadaharuna94487 ай бұрын

    Shehe upo vizuri nimeipata elimu kubwa sana

  • @hujatswai5798
    @hujatswai57988 ай бұрын

    Kwa wanaoufahamu vyema uislamu wataelewa kuwa hii vita palestina watashinda pale tu watakapokuwa waislamu.... Amini kuwa kwa sasa bado hawajawa waislamu.

  • @tahirnephessalum3678

    @tahirnephessalum3678

    6 ай бұрын

    watashinda ila sio sasa hii vita itakuja kumalizwa na nabii issa mwenyewe

  • @user-yv7ij4zh4k

    @user-yv7ij4zh4k

    3 ай бұрын

    90% ya Wapalestina ni Waislamu sasa sijui hoja yako ni nini

  • @lihumbolihumbo1330
    @lihumbolihumbo13305 ай бұрын

    Huyu ni Muongo kwelikweli, Musa hakufika Kanaani wakati anatoka Misri, alifia kwenye mlima Sinai, Waisrael walifikishwa kwanaani na Yoshua, endelea kuwadanganya wasiojua😂😂

  • @akimuabdallah8039

    @akimuabdallah8039

    4 ай бұрын

    Kwa Imani yako na maandiko yako ya biblia kama mkristo upo sahihi ila anayeongea ni muislamu anatumia quruani. Nafkili umeelewa

  • @user-vp6ol1fb8p

    @user-vp6ol1fb8p

    4 ай бұрын

    Kwani ww ulikuepo karna hizo acha makasiriko

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd3 ай бұрын

    Waisalam takibri

  • @AlfaSejegwa
    @AlfaSejegwaАй бұрын

    Jamaa uliaza vizuri sehem umechemka umesema yoshua alisimamisha juwa kuwa ilikuwa ijumaa ili jumamosi isifike kwakuwa wayahudi sabato hawafanyi kazi tena unauliza watu gani walingia gafla unasema waisilam.

  • @user-pc8ou6md7d
    @user-pc8ou6md7d7 ай бұрын

    Mjue sana Mungu ili uwe na amani. Ukisikikiza mengineyo utachanganyikiwa hakuna sheikh ama mtume atakaye kupeleka mbinguni. Mungu peke yake kupitia kwa Yesu Kristo

  • @user-kb7bk3sq6v

    @user-kb7bk3sq6v

    Ай бұрын

    Allah akusamee

  • @user-mi4rl3pq4i
    @user-mi4rl3pq4i7 ай бұрын

    Busara siyo kulaumiana Bali kila mmoja athibitike katika Imani yake. Siku itafika kila mmoja wetu atapokea kulingana na anavyoamini. Maana hakimu wa haki na wa mwisho ni Mungu mwenyewe. Shika sana kile ulichonacho na unachokiamini.

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara19508 ай бұрын

    Hakuna jipya Yesu anakuja.

  • @tahirnephessalum3678

    @tahirnephessalum3678

    6 ай бұрын

    jidanganye😂

  • @user-vd7wy1sj1f
    @user-vd7wy1sj1f7 ай бұрын

    Hakika ilineno limeingia katika kinywa changu maridadi hashwa dini ya islamu wapo wa kweli mpaka binguni insha'Allah

  • @phchouse
    @phchouse8 ай бұрын

    Vita itapiganwa na wajinga. Africa tugange yetu. Tulifanywa watumwa tusiendelee kuwa watumwa wa mambo ya wengine

  • @AminaAmina-gs9zz

    @AminaAmina-gs9zz

    8 ай бұрын

    Unahakili ❤

  • @user-ct6fy9tp3k
    @user-ct6fy9tp3k7 ай бұрын

    Manshalla

  • @mohamedimzee8523
    @mohamedimzee85233 ай бұрын

    Mashaalah

  • @masoudymichael
    @masoudymichael8 ай бұрын

    Mungu mwema🎉

  • @user-il7pd9et7d
    @user-il7pd9et7d8 ай бұрын

    Huyu Mzee nimwongo jamani muwe makini wapendwa

  • @jamaliali1428

    @jamaliali1428

    7 ай бұрын

    Wewe ebu simama jukwani uzungumze ukweli wako tukusikie.

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan82544 ай бұрын

    اللهم صل وسليم عليه

  • @gjlisa
    @gjlisa8 ай бұрын

    Nilitamani sana kusikia habari ya uzao wa Ishmael na uzao wa Isaac hapo ndipo msingi wa nani ni nani na nani anapashwa kukaa wapi ma kizazi chake ulipo. Na sio kusikia habari za kizazi cha Essau na Yakobo ambao wao ni damu Isaac.

  • @gjlisa

    @gjlisa

    8 ай бұрын

    Damu moja. Wana wa Isaac

  • @KennedyOwiti-im3lj
    @KennedyOwiti-im3lj7 ай бұрын

    Nakuelewa saana Mzee wangu ila wanichanganya katika mengine

  • @user-kb7bk3sq6v
    @user-kb7bk3sq6vАй бұрын

    Makafiri njo hawamukubali dr sule

  • @tumainijumanne2126
    @tumainijumanne21266 ай бұрын

    Mwl ww ni mzuri ila ni mwalimu wa vipofu na kwasbabu hiyo unao taka wakuwelewe hatakuwele milele,ogopa uongu, Nipe haya ni Muyaudi gani amini kiyana ya wafu. Pili nipe haya inayosema Musa alituma vijana ishilini na mbili 22?: Pole Yako.

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn97795 ай бұрын

    Ww endelea kuwapotosha hao huko msikitini. Ipo siku mungu atakudai damu yao.

  • @AbdallaMzee-gz9gs

    @AbdallaMzee-gz9gs

    3 ай бұрын

    Ww pokea mshahara mnono tuu uko kanisani ujione una dini siku ikizuiliwa pumzi ndio utajua

  • @Tito-dc6vy
    @Tito-dc6vy8 ай бұрын

    Mwenzio.ckuelewi.shekh.maana.unachanganya.mambo

  • @user-tg1pc1yb3q
    @user-tg1pc1yb3q6 ай бұрын

    Kwa mtu asiyejua maandiko lazima adanganywe na watu kama hawa

  • @zainabuzainabu7403
    @zainabuzainabu74033 ай бұрын

    Mola akulinde na hasadi.inshaalah

  • @ayengobenjamin8014
    @ayengobenjamin80148 ай бұрын

    Utawadanganya wasiojua historia

  • @mombasa0076

    @mombasa0076

    8 ай бұрын

    KAMA WEWE UNAJUA HISYORIA TUELEZE TUIJUWE. KUPINGA HAISAIDII

  • @HasaniPazia

    @HasaniPazia

    2 ай бұрын

    Wewe toa ujuacho tujue kuwa unajua.vvinginevyo wacha ujulishwe.nikisema ufundishwe,wewe hufun dishiki.kaa usikilize.

  • @MTUWAMUNGU333
    @MTUWAMUNGU3337 ай бұрын

    Safiiii sana shekhe

  • @nehemiaayo9527
    @nehemiaayo95278 ай бұрын

    Unacho fundisha ni Bible tu sii uwambie kuwa kasome Bible

  • @yusrahb4461

    @yusrahb4461

    5 ай бұрын

    Yesu alipewa injili sio bible

  • @nehemiaayo9527

    @nehemiaayo9527

    5 ай бұрын

    @@yusrahb4461 mfarisayo mkubwa acha ushabiki wa kijinga nani kakwambia YESU alipewa Bible kitabu chochote chenye neno la Mungu ni miliki ya Mungu chakwako ni Cha mtume wako pambana na hali yako mfarisayo

  • @pendosamwel1682
    @pendosamwel16824 ай бұрын

    Usitafute urafiki kwa Wakristo. mungu wa Korani ndie asiyejulikana ila mnamtetea kwa jasho la ktosha

  • @user-ki6mk5xx5g
    @user-ki6mk5xx5g3 ай бұрын

    Mwanaume anatafuta jina (keep up)

  • @jjtm164
    @jjtm1648 ай бұрын

    1.Baba mwongo hadith za mtungo,--- elimi ya kibure- 2.Ibrahim hakuoyeshwa ndoto,- 3. Hajira ni mjakazi wa Sara aliyempa Ibrahim. Lakini inje ya ndoa likaitwa agano la kimwili, isack agano la kiriho

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    8 ай бұрын

    Baba wa uongo ni huyu mwiisrael wa mchongo mnaemwani na atadanganya wengi,funguka macho kwenye alama ya bendera utajitambua,ila mkumbuke YESU alitahadharisha mapemaaa watakuja wengi wa uongo kwa jina lake ila mtawatambua kutokana na mienendo yao, waisraeli hawa wa mchongo wanatumia mwavuli wa ukristo kufanikisha malengo yao, wamejaa makanisani wakijificha na misaada, na xx wanaidhinisha na mapemzi ya jinzia Moja, je? MUNGU atuambia tuzae tuongezeke tuijaze dunia hapo tutakua tunaijaza dunia au kuipunguza Dunia? wanadamu musiwe na mihemko tafakarini mambo kwa ueledi mkubwa mkiwa mnamuomba MUNGU awaomgoze na kuwafunulia yaliyofichika.

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah78928 ай бұрын

    Crip zako za kwanza umeongea vzr kuhusu Yesu saiv umeanza kukoroga wala husomi nyakati kuwa uisilamu unakwisha unajimaliza wenyewe kabla kiama wala hakuna vita ya 3 ya dunia.

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y8 ай бұрын

    Ni hatari kweli sheikh Dunia hii

  • @diversetv74
    @diversetv748 ай бұрын

    Kama unajua ivo kwamba wayahudi walio wachache wanaiongiza dunia kwann unawachokoza kama sio kupigwa ad upagawe?

  • @stevenjoakimu28
    @stevenjoakimu288 ай бұрын

    We jamaa ni Muongo sana .... Waisilamu nunueni bible au mpakue mtandaoni msome wenyewe kitabu cha mwanzo chote kina sura 50 tu.. alafu uje ulinganishe na anayoyasema huyu Mbaba ndo utajua jamaa ni muongo balaa ukwel anaujua ila hataki kuukubali😄... Bola kua kafil kuliko kudanganywa kiasi hiki😄

  • @yusrahb4461

    @yusrahb4461

    5 ай бұрын

    Yesu hakuja na Bible kwanza hata hajui Bible ni nini😂.

  • @MalangaMartin
    @MalangaMartin18 күн бұрын

    Amen

  • @peteramollo5329
    @peteramollo53294 ай бұрын

    Nadhani waliyotengeza ndama ndiyo kizazi kilichoenda India. Si hoja bali ni maoni yangu. Muyahudi halisi na Mpalestina halisi ni mweusi na imethibitishwa na Urusi. Picha za wayahudi miaka ya 1500 ni weusi, hawa weupe ni Wajerumani na Wapalestina weupe ni Wajemi. Wanagombea ndizi na mgomba si wao. EGYPT ndiyo chanzo na EGYPT ni AFRICA 😊

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi33598 ай бұрын

    Ww ulikuwepo kipindi Ile ACHA kufundisha uwoga unaombea vita kuendelea badala ya kuisha una lolote

  • @muhindoabubaker7989
    @muhindoabubaker79893 ай бұрын

    Ndio hivo bro

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior2427 ай бұрын

    Waambie kweli kweli iwaweke huru...nakukubali unasema kweli tupu...

  • @MohamedKasalama
    @MohamedKasalama3 ай бұрын

    Shekh Dr Sule ndio maana ukaitwa Dr endelea kutoa dozi wataelewa tuu Papa anahasisha .....!!mbona mko kimya

  • @saidjoseph9280
    @saidjoseph92807 ай бұрын

    Nenda nawewe ukawasaidie usiseme tu hapa tanzania hatukuelewi acha porojo .

  • @user-tc3pe4jp3o
    @user-tc3pe4jp3o3 ай бұрын

    Hiyo ni historia2 unasema ya mungu huyajui mwombe mungu sana ili ukifa akupeleke mbinguni ukashangilie ukuu wake na watakatifu waliko huko

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi12558 ай бұрын

    Mpaka warudi Poland ndio kwao.palestine for Arabs.

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Ай бұрын

    Kw

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Ай бұрын

    Unamaanisha daudi, suleman na Musa kwao no Poland

  • @alfavahaye4102
    @alfavahaye41028 ай бұрын

    Waislam ban duh

  • @KalibaniSeif
    @KalibaniSeif3 ай бұрын

    Bro huna unachokijua tuwache tuskilizee sawa baba

  • @aloycembaruku
    @aloycembaruku2 ай бұрын

    Du bonge la somo.Tena hapo Ibrahim alipoomba kununua eneo nimepaelewa mno hapo

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78478 ай бұрын

    AMEEN 🤲🏽🤲🏽😢

  • @MalangaMartin

    @MalangaMartin

    18 күн бұрын

    🎉

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv16328 ай бұрын

    Uislam na andazi Bora andazi 😂

  • @user-pc8ou6md7d

    @user-pc8ou6md7d

    7 ай бұрын

    Kaka usikashifu dini ya watu. Mungu hapendi.

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan82544 ай бұрын

    Shukraan sheke sule umeongeya kitu cha maana

  • @thomassalyeem1331
    @thomassalyeem13318 ай бұрын

    Tafadhali usiwadanganye wenzio. Uisilamu umeanzishwa na anayeitwa Mtume Mohamedi AD. Kabla ya hapo Uisilamu haukuwepo.

  • @bakari52

    @bakari52

    4 ай бұрын

    Hujui na hutaki kujua. Toeni sadaka mtajirishe mapasta

  • @martinnkuba6683
    @martinnkuba66837 ай бұрын

    Hovyo kabisa hamjatoa tamko lolote la vijana wetu wa kitanzania walio uawa na hamas, au kwa sababu ni wakristo

  • @joramsengi9123
    @joramsengi91238 ай бұрын

    Mbona anafundisha biblia na hasemi . 😂😂 ila Sure

  • @geofreymaghali183

    @geofreymaghali183

    4 ай бұрын

    Hapo sasa😂😂. Tena sehemu zingine anapotosha

  • @DuliBrillant-mr8er

    @DuliBrillant-mr8er

    Ай бұрын

    Hivi kwan hii biblia kateremshiwa nabii gan? Achen kupngana na msiokua na elim nayo kwa kudanganywa na wakubwa wa kanisa

  • @joramsengi9123

    @joramsengi9123

    Ай бұрын

    ​​@@DuliBrillant-mr8er Sisi hatuamini kwamba Biblia iliteremshwa . Tunaamini Biblia imeandikwa na watu kwa mafunuo ya Mungu na kuongozwa na Roho Mtakatifu. Ni nyie tu ndo mnaamini vitabu vimeshuswa 😅😅 usitulazimishe

  • @albat-lv6ts
    @albat-lv6ts8 ай бұрын

    Jitahidi kudanganya ili hukumu Ike kwako

  • @sebastianmanufred5855
    @sebastianmanufred58557 ай бұрын

    Mambo mnakurupukia wakati historia yenyewe hujui kabisa

  • @antonykongondo592
    @antonykongondo5927 ай бұрын

    Matho juu

  • @CatherineKimoso
    @CatherineKimoso8 ай бұрын

    Nini maana ya dini .Kwa uwezo wangu dini naona kama mchanganyiko ya mawazo yà wanadam wakamchanga na mungu ndio maana watu wanab8shana.yesu alikua akakuta dini akawambia ninyi mwafuata mapokeo ya wanadam.ina maana hamumjui mungu Bado.kilà mwanadam anataka kujiinua aonekane anamjua mungu zaidi ya mwingine hivyo inakuwa watu wanapotoka .ila yesu akawajibu Ili muweze kumjua mungu ñi kuishi ktk kweli tu kama ndiyo na owe ndio zaidi ya hayo yànatoka Kwa yule muovi.amri kuu yesu akajibu mpende bwana mungu wako Kwa akili zako zote na moyo wako wote mpende Jirani yako Kama nafsi yako .ukishi hivyo duniani utàpata amani.dini zinachanganya

  • @user-jh5dy9zn3m

    @user-jh5dy9zn3m

    8 ай бұрын

    Dini ni mfumo wa maisha ya mwanadamu ambao anatakiws aufuate katika maisha yake yote atakayoishi duniani,shida inajitokeza ni mfumo upi wa kuufuata ambao ni sahihi

  • @joramsengi9123

    @joramsengi9123

    8 ай бұрын

    ​@@user-jh5dy9zn3mukishafuata dini umeisha. Mfuate Yesu ukiwa na kusanyiko la waamini wenzio ambalo kundi hilo ni kanisa. Dini inamawazo ya watu sana

  • @allymussa7869

    @allymussa7869

    8 ай бұрын

    Nyinyi wakristo yesu hajasema muwe wakristo mumekoza ushahidi kwenye biblia kuwa hiyo ni dini sahihi muna wambia watu wamfuate yesu basi yesu haja wahi kujita mungu ww unamwita mungu je ww cyo kafiri ww ninani?

  • @sarahmaro215

    @sarahmaro215

    7 ай бұрын

    YESU anajitosheleza Wala hahitaji nguvu ya MTU ndo aitwe MUNGU, hivyo umtukane YESU au umsifie bado anabaki kuwa MUNGU. Ninyi tukananeni tu na bishaneni ili mjichafue mioyo yenu ila YESU Ni MUNGU siku akikutembelea utajua, ukitaka kamuulize Sauli MTU wa Tasso ( Paulo )

  • @user-jl5un4wf3u

    @user-jl5un4wf3u

    5 ай бұрын

    Vitabu vitakatifu naSayansi wotewakosawatu ukitafakari wote hawa wanagota kwenye imani moja isipokuwa kundilingine linaamini 2x2=4 lingine. 2x2=8 bilakuhakiki.

  • @owuocheoduor5189
    @owuocheoduor51897 ай бұрын

    Wayahudi au Mayahudi?

  • @muhindoabubaker7989
    @muhindoabubaker79893 ай бұрын

    Wa kristo hamna historia ya dini muna pelekeshwa na uwongo tupo mulisoma lakini munakuwa Kama wenye hamukosoma

  • @judychepkirui5313
    @judychepkirui53133 ай бұрын

    Nimechanganyikiwa

  • @EuniceBukokhe
    @EuniceBukokhe3 ай бұрын

    Nimekushika baba sheikh mm ni mkristo naelewa hayo but yale umenena ni kweli na nimekushika cos tukifata maandiko tunapata kwamba wayahudi ambao wako sahi israel sio,waisrael wenyewe wako,nilisoma msitari fulani ingawa nimesahau kidogounasema kwamba wayahudi Mungu aliwatawanya corner nne za dunia.

  • @Neema-qm9kk
    @Neema-qm9kk4 ай бұрын

    Kila mmoja atabeba mzigo wake mwenyewe. Kama wewe ni mkristo shika ulichonacho na Kama ni muislamu shika imani yako. Wala hakuna haja ya kuhangaika na imani ya mtu mwingine. Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nilikuwa nikipita sehemu moja ambapo ilikuwa njia ya kwenda kanisani kuna muislamu mmoja alikuwa akinipa maneno ya kukashfu dini yangu mimi sikuwa ninamjibu nilikuwa ninacheka tu kisha ninaendelea na safari yangu. Baada ya miaka kadhaa akabainika kuwa utajiri wake umetokana na kuua ndugu kwa ushirikina.tangu kipindi hicho nikajifunza kuwa binadamu huwa tunajishughulisha na kupambana na mambo ya watu wengine hali ya kuwa mambo yako binafsi yamekushinda. Imani inatakiwa iambatane na matendo mema.lakini pia kila mmoja anaona dini yake ni bora kuliko ya mwenzie hiyo ni kawaida kwa binadamu kuona chake ni bora kuliko cha mwenzie.

  • @SHABANIABEDI-qt1vw

    @SHABANIABEDI-qt1vw

    3 ай бұрын

    Kikubwa ujue ukiristo sio dini mnadanganywa mnazeeka hata biblia hamjui kuisoma

  • @nambaga
    @nambaga3 ай бұрын

    Wewe bana acha uongo,, Wayahudi wenyewe wanasema Yesu hakua Messiah na aliwawa akafa mwarabu akaja na dini yke miaka 600 baadae wanasema na uongo ati Yesu hakufa

  • @yasinta2342
    @yasinta23427 ай бұрын

    Hujui kuwa hujui lolote na hujui kuwa una roho gani ndani yako! Unabii unatimia kwa mpinga kristo na nabii wa uongo !

  • @danieldm92
    @danieldm926 ай бұрын

    Hizi dini mimi sizitaki zote bora kubaki na upagani wangu. Kama kunakosemekana ndio chimbuko la dini zote hizi kwa nini kuna vita huko? Huwa ninawaza hadi nachanganyikiwa nabeba jembe ninaelekea shambani kwangu kulima.

  • @bakari52
    @bakari524 ай бұрын

    Sheikh endelea, "mti wenye matunda hupigwa mawe"

  • @user-fm5lq8dg1i
    @user-fm5lq8dg1i8 ай бұрын

    Hukulazimishwa kukubali but kudikia za TU Killa mtu ana haki kufuata kitabu chake kitukufu

  • @NgengeMkeni-uo5hq

    @NgengeMkeni-uo5hq

    8 ай бұрын

    Shida yao hawa wanataka kila mtu awe Muislamu. Kitu ambacho kamwe hakiwezi kutokea, kama vile ambavyo hata sura zetu hazifanani hali kadhalika imani na mitazamo yetu itaendelea kutofautiana

  • @princegerard4704
    @princegerard47045 ай бұрын

    Shekhee Muongo sana daaah😂😂

  • @babuuosama8752
    @babuuosama87528 ай бұрын

    Ukweli Mchungu nyie msiyo kuwa na kitabu bali muna vitabu vinawababaishia kufahamu lipi la ukweli sababu ni mkusanyiko wa vitabu Porojo Uwongo mwingi wa wandishe na mafarisayo.

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum36786 ай бұрын

    kama wew sio muislam ndugu unajidanganya hakuna utakacho ambulia..wew umemkana Mungu kwa Asilimia mia na umemfata mzungu

  • @abdulaziz-zs6xt
    @abdulaziz-zs6xt4 ай бұрын

    Shida ya watu wengi hasa wakristo wanadhani kua hakuna vitabu vingine vilikua kabla ya kuja kwa bibilia someni vitabu vya history viko vingi

  • @belfastmoshi9005
    @belfastmoshi90054 ай бұрын

    Huwezi soma hiyo habari kwenye guran

  • @twaliposalim8026
    @twaliposalim80266 ай бұрын

    Saa😊

  • @user-so8uh8bt5t
    @user-so8uh8bt5t3 ай бұрын

    Kusikia mtasikia lakini hamtaelewa macho mnayo laki humuoni

Келесі