BAADHI YA MADRASA KUFUNDISHA MZIKI - SHEIKH SAID BIN NYANGE
Жүктеу.....
Пікірлер: 13
@kherali477727 күн бұрын
Allah akulaze mahala pema pepon
@zanlec73574 ай бұрын
Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Sheikh Said wallahi ninakupenda kwaajili ya Allah. Manhaji ni yakisalafy lakin krk kuumgamkono ktik hili niko nawe bega kwa bega. Allah akutie nguvu usirudi nyuma insha'Allah
@HarithiAli-wp4pn11 ай бұрын
Ukumbusho humfaa mwenyewe kuamini Masha Allah shekh wetu Allah akuzidishie kher
@user-fz9ir4nj1y15 күн бұрын
Elim kwa kuisahau ila inaondoka kwa kutangulia mashekh mbele ya haki
@user-di1rs1dg6p28 күн бұрын
Innalilah wainna ilayhi rajiuun
@abbasmosi448111 ай бұрын
Allah akubariki shekhe wangu,hata mm nilishangaa nilipoona mananda kidoti
@HassanAlly-fm6ev11 ай бұрын
Shekhe mungu akufanyie wepesi
@HassanAlly-fm6ev11 ай бұрын
Asente shekhe kwajitihadiyako
@abbasmosi448111 ай бұрын
Tunasubiri na kilimani,tazari,kigunda,muambale,kilindi na kendwa
@alimakame417911 ай бұрын
Vijana tuachen upuuz w kuimbaimba wanaume wazima ttften walim tuksome wazee wnaondk mitaan ttkjafny nn ikiw mtu atkfa ttkujapta tabu mn wakumuosha mait atjashindkna
@madamaisha164111 ай бұрын
Asalam alaykum shekhe unatakiwa uzungumze na suala la kutoa salamu hususani hapo kidoti jambo hilo la kupeana salami halipo, binaadamu mwenzanko anakupita kama hakujui na hata ukimsalimia haitikii vizuri
Пікірлер: 13
Allah akulaze mahala pema pepon
Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Sheikh Said wallahi ninakupenda kwaajili ya Allah. Manhaji ni yakisalafy lakin krk kuumgamkono ktik hili niko nawe bega kwa bega. Allah akutie nguvu usirudi nyuma insha'Allah
Ukumbusho humfaa mwenyewe kuamini Masha Allah shekh wetu Allah akuzidishie kher
Elim kwa kuisahau ila inaondoka kwa kutangulia mashekh mbele ya haki
Innalilah wainna ilayhi rajiuun
Allah akubariki shekhe wangu,hata mm nilishangaa nilipoona mananda kidoti
Shekhe mungu akufanyie wepesi
Asente shekhe kwajitihadiyako
Tunasubiri na kilimani,tazari,kigunda,muambale,kilindi na kendwa
Vijana tuachen upuuz w kuimbaimba wanaume wazima ttften walim tuksome wazee wnaondk mitaan ttkjafny nn ikiw mtu atkfa ttkujapta tabu mn wakumuosha mait atjashindkna
Asalam alaykum shekhe unatakiwa uzungumze na suala la kutoa salamu hususani hapo kidoti jambo hilo la kupeana salami halipo, binaadamu mwenzanko anakupita kama hakujui na hata ukimsalimia haitikii vizuri
@user-oc8uo9rl3u
6 ай бұрын
Sababu nini au Mawahabi washaingia kati??