BAADHI YA MADRASA KUFUNDISHA MZIKI - SHEIKH SAID BIN NYANGE

Пікірлер: 13

  • @kherali4777
    @kherali477727 күн бұрын

    Allah akulaze mahala pema pepon

  • @zanlec7357
    @zanlec73574 ай бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Sheikh Said wallahi ninakupenda kwaajili ya Allah. Manhaji ni yakisalafy lakin krk kuumgamkono ktik hili niko nawe bega kwa bega. Allah akutie nguvu usirudi nyuma insha'Allah

  • @HarithiAli-wp4pn
    @HarithiAli-wp4pn11 ай бұрын

    Ukumbusho humfaa mwenyewe kuamini Masha Allah shekh wetu Allah akuzidishie kher

  • @user-fz9ir4nj1y
    @user-fz9ir4nj1y15 күн бұрын

    Elim kwa kuisahau ila inaondoka kwa kutangulia mashekh mbele ya haki

  • @user-di1rs1dg6p
    @user-di1rs1dg6p28 күн бұрын

    Innalilah wainna ilayhi rajiuun

  • @abbasmosi4481
    @abbasmosi448111 ай бұрын

    Allah akubariki shekhe wangu,hata mm nilishangaa nilipoona mananda kidoti

  • @HassanAlly-fm6ev
    @HassanAlly-fm6ev11 ай бұрын

    Shekhe mungu akufanyie wepesi

  • @HassanAlly-fm6ev
    @HassanAlly-fm6ev11 ай бұрын

    Asente shekhe kwajitihadiyako

  • @abbasmosi4481
    @abbasmosi448111 ай бұрын

    Tunasubiri na kilimani,tazari,kigunda,muambale,kilindi na kendwa

  • @alimakame4179
    @alimakame417911 ай бұрын

    Vijana tuachen upuuz w kuimbaimba wanaume wazima ttften walim tuksome wazee wnaondk mitaan ttkjafny nn ikiw mtu atkfa ttkujapta tabu mn wakumuosha mait atjashindkna

  • @madamaisha1641
    @madamaisha164111 ай бұрын

    Asalam alaykum shekhe unatakiwa uzungumze na suala la kutoa salamu hususani hapo kidoti jambo hilo la kupeana salami halipo, binaadamu mwenzanko anakupita kama hakujui na hata ukimsalimia haitikii vizuri

  • @user-oc8uo9rl3u

    @user-oc8uo9rl3u

    6 ай бұрын

    Sababu nini au Mawahabi washaingia kati??

Келесі