MAZISHI YA SHE.SAID BIN NYANGE MAKKA😭😭😭😭😭😭😭😭😭

Пікірлер: 126

  • @mustafapandu5189
    @mustafapandu518915 күн бұрын

    Sheikh nyage alikuwa vizuri sana nafasi ya kufa huko na kuzikwa huko haki yake alikuwa sheikh wa tabia njema.

  • @umsoud3306
    @umsoud330614 күн бұрын

    Allaah Awarehem wote Wa Islam, Awapuzishe Katika JANNATUL FIRDAUS Amiin

  • @shamusathebeautifully5945
    @shamusathebeautifully594514 күн бұрын

    Allah amsammeh makosa yake na amjaalie Ljannat Firdaws na sisi Allah atupe Khusnil Khatima ameen

  • @medimisi6930
    @medimisi693015 күн бұрын

    mawaidha tosha ni kuzika hivyo, sio kule kufinika shuka, allah amlipe kheir nasi atupe mwisho mwema. 🤲

  • @IssaAli-wz5jh

    @IssaAli-wz5jh

    14 күн бұрын

    Ni kweli ila haina maana ya kuwa haifai kufunika sababu hizo ni Ikhtilaafu za kimadhehebu huko Wanafuata madhehebu ya Hanbal huku kwetu ni Shafi kwaiyo nawao ni lazima wafate sheria za huko.

  • @IssaAli-wz5jh

    @IssaAli-wz5jh

    14 күн бұрын

    Ila masalafi wa leo tunasema haifai kufuata madhehebu tumejifanya kuw sisi ndio wasomi zaid kuliko salaf swaleh wa karne zilizopita. Allah atuongoze Inshaallah.

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui15 күн бұрын

    Yaa Allah na sisi tujaalie mwisho mwema. Anmyna

  • @MohammedBakari-pn9yg

    @MohammedBakari-pn9yg

    14 күн бұрын

    Aamin

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi172515 күн бұрын

    Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie kauli thabit yaarab amjaalie katika as'habul yamiin ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia amsamehe makosa yake. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin

  • @Naw89
    @Naw8914 күн бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi raajiuun MAA SHA ALLAH kwa kweli Naamin kila anaeitetea jamii kwaajili ya Allah hufanikiwa sana kuipata Pepo huyu sheikh alikua akikemea sana wapiga vinanda watoto wanaharibika kwa qaswida za haramu wanacheza michezo ya haramu eti ndio uislam wengi walikua wakimkejeli kupitia hii mada lakin angalia Allah alivyomsalimisha Subhaanallah

  • @user-iy7xy1np7c
    @user-iy7xy1np7c15 күн бұрын

    Inna lillahi wainna ilaihi raajioun.Allah amsamehe makosa yake amtilie nuru na barka katika maisha yake mapya ya kaburini na awape Subra wafiwa

  • @diyembarak5506

    @diyembarak5506

    15 күн бұрын

    Allahuma Amiin

  • @khadijomary6033

    @khadijomary6033

    14 күн бұрын

    Amiin

  • @ruqaiamohammed345

    @ruqaiamohammed345

    14 күн бұрын

    Amiin 🤲🤲

  • @user-yi4xo1jh3v
    @user-yi4xo1jh3v8 күн бұрын

    Hafii ila alie msafi bila shaka alikua msafi,nasi tupe mwisho mwema Mola wetu Amiin

  • @MwashambaAmeir
    @MwashambaAmeir10 күн бұрын

    Allah amlipe malipo mema na makaaz jannatun-naim

  • @mwanaishamasoud
    @mwanaishamasoud15 күн бұрын

    Innalilah wainailaihi rajiuun Allah ampe kaulthabit amsameh makosa yke na ss atupe mwisho mwema

  • @southunguja
    @southunguja13 күн бұрын

    Mashaallah mashaallah mashaallah ALLAAH ampe noor alanoor inshaallah na ss ALLAAH atupe safari njema inshaallah

  • @mariamnjiku5045
    @mariamnjiku504514 күн бұрын

    Inna lillahi wainna illahi raajioun. Allah amsamehe madhambi yake na amjaalie kauli thabit, amjaalie pepo yake tukufu aamiin. Nimeshtushwa sana na kifo chake kwani ni sheikh niliyeanza kumfualia hivi karibuni tuu na nikapenda darsa zake yaani haizidi miezi miwili ama mitatu toka nijue darsa zake. Kwa hakika hapa duniani tunapita Allah atujaalie mwisho mema aamiin

  • @umsoud3306
    @umsoud330614 күн бұрын

    Ya Rab, na sisi Atupe Husniy Alkhatimah Amiin

  • @MaryamHaji-h7k
    @MaryamHaji-h7k6 сағат бұрын

    Alla atupe mwisho mwema aamiin

  • @RayaRashid-qc8cn
    @RayaRashid-qc8cn14 күн бұрын

    Inna lilahi wainna ilaihi rajiuun,Allah amjaalie nuru kwenye kaburi lake na amsamehe madhambi yake na amjaalie Pepo 🤲

  • @diyembarak5506
    @diyembarak550615 күн бұрын

    Allah amjaalie kaul thabit

  • @Sherrymwinyi
    @Sherrymwinyi14 күн бұрын

    mungu ailaze roho ya marehemu pemapeponi ameen

  • @binmasoud4150
    @binmasoud415015 күн бұрын

    Allahumma thabbit-hu bilqauli tthabit, Alikuwa mweye kujitahid kwenye dini na kuwaidh watu.

  • @user-bs2ei5wh7r
    @user-bs2ei5wh7r15 күн бұрын

    Hakika sisi sote ni wa Allah sw na kwake tutarejea

  • @ayshahajj8888
    @ayshahajj888814 күн бұрын

    Innalilah wainna illaih 😢ya Allah mlipe Yale yaliomstahiki,, sheikh wng

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek15 күн бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun,Rabbi amswamehe pale alipotekeza/ampe wasaa ndani ya mwana ndani/ampe kauli thabiti,Aamin !

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid555815 күн бұрын

    Kuna watu wanazali kwelikweli. Unaende kuzikwa alipo zikiwa maswahaba. Mungu ampe qauli thabiti

  • @user-tg4px6ld2b
    @user-tg4px6ld2b15 күн бұрын

    Inna lillahi wainnaa alayh raajiuun kila nafsi huonja maut mugu amlaze Mahal pema peponi amiin

  • @ashasaid1235
    @ashasaid123514 күн бұрын

    Mwenyez mungu atupe mwisho mwema in shaallah😂

  • @user-ws6jq4in7q
    @user-ws6jq4in7q15 күн бұрын

    subhaana llah innaalilah wainnaailayh raaajiuun allah amjaalie makaaz yake peponi kwarahma zake

  • @KhamisSaleh-gg7ov
    @KhamisSaleh-gg7ov15 күн бұрын

    Innalillahi Wainna Ilaihi Rajiuun. Allah Ampe Qawli Thabit Na Awape Subra Wafiwa

  • @user-lo4bv3lt6n
    @user-lo4bv3lt6n11 күн бұрын

    Hakika sisi ni wa allah na kwake ni wenye kurejea🤲🤲🤲🤲

  • @user-up2ef7dc6k
    @user-up2ef7dc6k14 күн бұрын

    Innallillah rajihun Mungu ampe nuru katika kabli yk amina

  • @user-wi6hv4tq8g
    @user-wi6hv4tq8g15 күн бұрын

    Innalilah wainalilah rajiuni allah ampe kauli thabiti🙏🙏😢😢

  • @AminaIbrahim-qh2gn
    @AminaIbrahim-qh2gn13 күн бұрын

    😢😢 innalillah wainnailaih rajiun. Allah Ampe salama shekh wetu ktk kabri lake n akhera pia

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl15 күн бұрын

    Inalillahi wainailahi rajuun. Allah amjaalie pepokwahurumawake. Amyn nasi Allah atupe kauli thabiti sikuya mwisho

  • @suleimanmalik8878
    @suleimanmalik887815 күн бұрын

    Innalillah wainali illahi rajiun Allah amfanyie wepesi katika safari yake inshaalah

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim13 күн бұрын

    Bahati iliyoje kuzikwa na maswahaba

  • @ramamavumba6187
    @ramamavumba618715 күн бұрын

    Innaalillaahi wainnaa ilayhirraajiun Allah amsamehe mwalimuwetu ampekilalakheri nasi atujaalie mwishomwema aamin

  • @user-of9gq3xj6h
    @user-of9gq3xj6h12 күн бұрын

    Allah amfanyie wepesi mja wake kwa kumfutia makosa yake na kulitia Nuru kaburi lake na amlipe pepo yake Amiin

  • @fifo262
    @fifo26215 күн бұрын

    Allah tujaalie mwisho mwema in sha allah

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y14 күн бұрын

    ALLAH wajalie kauli thabiti

  • @ismailmakame3972
    @ismailmakame397212 күн бұрын

    Jitihada zake zimeonekana mungu yeye mwenye kaliona Hilo. Nasi tumeliona Hilo. Nnamuomba mungu amlipe pepo na ampe neema nyingi humor kabrini amin. Nasi mungu atujalie mwisho mwema pia kama yeye. Ishallah.

  • @mohammedomar2865
    @mohammedomar286515 күн бұрын

    Allah atupe mwisho mwema

  • @user-gp1sk9hg1y
    @user-gp1sk9hg1y15 күн бұрын

    Kudumu nakubakia nikwake yy tu Allah ss niwakwake nakwake tutarejea Allah amlaze mahali pema

  • @mosihamisi663
    @mosihamisi66313 күн бұрын

    Ya Rab na sisi Atupe husniy Alkhatimah Amin amin

  • @mwanakhamisiddi2228
    @mwanakhamisiddi222813 күн бұрын

    mashala Allah azidi kumjaza kheri zake amina

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia650912 күн бұрын

    Innalillah wainalillah tajuun allah awasamahe ndugu zetu wote waliyotangulia mbele ya haki😢😢😢

  • @IddiBenta
    @IddiBenta14 күн бұрын

    Inalilah waina ilayhi rajighun Alla amjalie makazi mema nasis pia

  • @medimisi6930
    @medimisi693015 күн бұрын

    na maswali mawili. ivi mait mikono yake hukunywa au hunyooshw akisikwa sina elimu ya hilo nisaidieni. la pili nilisikia anaekufa hija hua hatinikwi uso akizikwa je na hili liko vp

  • @IbrahimJuma-m3b

    @IbrahimJuma-m3b

    14 күн бұрын

    Mikono inanyooshwa Martin anapozikwa na Hilo lapili sio sahihi I've ulivyoskia

  • @nuhuamini1528
    @nuhuamini152813 күн бұрын

    Innalillah wainnna ilaih rajiun Allah awarehemu marehemu wote waliotangulia njia ya haq

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba987315 күн бұрын

    MASHEKHE TUPENI MUONGOZO KUZIKA BILA YA KUTIA UDONGO KABIRINI AU MCHANGA YAANI KAMA MAKABURI HAYO YAPO WEZI JE INAFAA?

  • @user-qe9ot4kl9u

    @user-qe9ot4kl9u

    15 күн бұрын

    Hapo amazikwa kwa muda tu hauzidi mienzi 9 kisha kuna dawa na chemical huekewa ili wahamishwe sehemu nyengine Hayo makaburi yapo enzi na enzi na nafasi ipo kwasababu maiti huwa zinahamishwa aidha miili yao au mabaki ya mifupa na hayo makaburi yako kwa line na nambo kabisa

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad504315 күн бұрын

    Innalilahi wainnaaileyhirajiuoni Allah Awasamehe Wote Maitizetu Walio Tangulia Yarabiy Nasisi Atujaaliye Khusnilkhatima Njema Yarabiy

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii167615 күн бұрын

    Innalilahi waina ilaihi rajiuun Allah amuhifadhi pema nasi atupe mwisho mwema

  • @user-hm5jl1kh2t
    @user-hm5jl1kh2t15 күн бұрын

    Innalillah wainailaiyhi rajiunn allah amswamehe alipo.kiseaa😢😢😢

  • @fahmikhalfan6818

    @fahmikhalfan6818

    15 күн бұрын

    Innalillah wainailaiyh rajiunn

  • @MashaMbwana

    @MashaMbwana

    15 күн бұрын

    Aamin😢😢

  • @user-rb8ir9co9k

    @user-rb8ir9co9k

    15 күн бұрын

    Aamiin

  • @mozamasoud4711

    @mozamasoud4711

    15 күн бұрын

    InnLilah wainnailay rajiun

  • @aminandurya
    @aminandurya14 күн бұрын

    Innalilahi wainalilah rajuon Allah ampokee Na kumhifadhi InshaAllah.ss pia atuajalie mwisho mwema InshaAllah.Familia ajalie subr Na awatie nguvu InshaAllah 😢😢😢

  • @AsaaSuleiman
    @AsaaSuleiman14 күн бұрын

    Allah awalipe wote waliotqngulia

  • @Allyrumhy-ji2vo
    @Allyrumhy-ji2vo15 күн бұрын

    إنا لله وانا اليه راجعون اللهم ثبته بالقول الثابت ،اللهم لا تحرمنا أجره ولا تفتنا بعده وغفرلنا وله.آمين😢😢😢

  • @HasinaKungulilo
    @HasinaKungulilo14 күн бұрын

    Inna lillahi wa inna illahi rajiun Mwenyezi Mungu ampe kauli thabit. Amin

  • @TibaMatokeo-kk3mj
    @TibaMatokeo-kk3mj14 күн бұрын

    Allah ampe kauli njema Innalilah wainallilah lajjun

  • @user-mA17o
    @user-mA17o15 күн бұрын

    إنالله وإنااليه راجعون😢😢😢😢

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p14 күн бұрын

    Innalillahi wa inna ilaihi raajiuun Allah atupe mwisho mwema

  • @omaryissa2562
    @omaryissa256214 күн бұрын

    innalillah wainna ilay rajiuuni

  • @mussahamad8967
    @mussahamad896715 күн бұрын

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun, Allahumma ghfir lahuu warhamhu,waskanhu filjannah.... Aamiin yaa Rabbiy.

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor14 күн бұрын

    MNAOFATA MWEZI WA SAUDIA MSHAONA NAMNA MNAVYOTAKIWA MZIKANE?

  • @IbrahimJuma-m3b

    @IbrahimJuma-m3b

    14 күн бұрын

    Inaonekana hujui Ata unalolifanya hapa ulimwengun, upon tu

  • @MuhidiniNassor

    @MuhidiniNassor

    14 күн бұрын

    ​@@IbrahimJuma-m3bوضدي

  • @issamwembe4245

    @issamwembe4245

    13 күн бұрын

    Kuna dosari hapo?

  • @MbaroukSilima

    @MbaroukSilima

    13 күн бұрын

    Acha ujinga ww!! Kwnza ulizia hlo kwa wnye uenyeji sio kuleta kauli za kipumbavu kwnye jambo kama hlo!!

  • @balkissMuhammad-sk1ic
    @balkissMuhammad-sk1ic15 күн бұрын

    Alhamdulillah innalilaii wainnailayhim rajiun

  • @salmanassor8732
    @salmanassor873214 күн бұрын

    Innalilah wainna ilayhi rajiuni

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn15 күн бұрын

    Innalilah wainailah rajuun

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima729515 күн бұрын

    May his soul rest in peace

  • @umsoud3306
    @umsoud330614 күн бұрын

    إنا لله وإنا إليه راجعون

  • @mornasaidtindwa3622
    @mornasaidtindwa362215 күн бұрын

    Innalilah wainnailah rajuun

  • @lusakaone7782
    @lusakaone778215 күн бұрын

    Innalillah wainna ilayhi raajiuun

  • @ShamimHassan-qm1et
    @ShamimHassan-qm1et15 күн бұрын

    Innalillaahi wainna ilaih raajiun😢😢

  • @MeraiOmar-ok8bo
    @MeraiOmar-ok8bo14 күн бұрын

    Inalillahi wainaillahi rajiun kz ya mungu Haina makosa😭😭😭

  • @shamtesultan
    @shamtesultan15 күн бұрын

    Inalilah wainalilah rajiun

  • @mealiipafu-wg7dx
    @mealiipafu-wg7dx14 күн бұрын

    Innalillahi wainnailaihi rajiun

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw15 күн бұрын

    Inalilah wainalilah rajuuni

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u15 күн бұрын

    Inalilah wainailayh rajighuna

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi856814 күн бұрын

    Inalilah wanaileh rajuuni

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor14 күн бұрын

    BACHU UKO WAPI? SUNNA MPYA HIYO

  • @khalifasaid0047

    @khalifasaid0047

    14 күн бұрын

    Sunnah ipi kaka

  • @MuhidiniNassor

    @MuhidiniNassor

    14 күн бұрын

    ​@@khalifasaid0047kutiana sehemu bila ya mchanga karibuni watesema sunna

  • @mamaibra3817
    @mamaibra381711 күн бұрын

    Inna lillah wa Inna illah raji'un

  • @asmaafamau9293
    @asmaafamau929315 күн бұрын

    Inalillah wainailahi rajiun

  • @omytifa6403
    @omytifa640315 күн бұрын

    Ina lilah waina ilah rajioon

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7ww15 күн бұрын

    Inalilahi wainailayhi rajiuni

  • @JumaHeri-hn2bw
    @JumaHeri-hn2bw15 күн бұрын

    🎉 inalilah wainalilah rajiun

  • @MoyoNyenje
    @MoyoNyenje13 күн бұрын

    Mbona maiti aifukiwi naudongo hii imekaaje

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo15 күн бұрын

    Innalillahi Wainnailaihi rajiun

  • @pataniabdallah9578
    @pataniabdallah957812 күн бұрын

    Innalilah wainna ilahim rajuun

  • @hoju56
    @hoju56Күн бұрын

    Innallilah wainaillah rajiun

  • @ZainabuYasini-ih7ro
    @ZainabuYasini-ih7ro14 күн бұрын

    Innalilah wa Inna ilaihi rajuini. Anazikwa walipo zikwa maswahaba.

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt14 күн бұрын

    Allah.Amrehem.lnnalilah.

  • @user-mA17o
    @user-mA17o15 күн бұрын

    Innaa lillahi wainnaa ilayh raajiuun

  • @aminahassani-jh5rp
    @aminahassani-jh5rp12 күн бұрын

    Innalillah

  • @AishaAisha-vt3ng
    @AishaAisha-vt3ng15 күн бұрын

    Allah amrehem

  • @alkhalilmussa5633
    @alkhalilmussa563314 күн бұрын

    ويبقى وجه ربك ITABAKI DHATI YA MOLA WAKO

  • @mwajohari4385
    @mwajohari438515 күн бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi rajiuun

  • @NuruBomba
    @NuruBomba15 күн бұрын

    Innalilah wa innalilah rajiun

  • @user-pd4qb7uz8b
    @user-pd4qb7uz8b14 күн бұрын

    Innalilah wainnailaah rajiun

  • @user-xj2iv4gu3t
    @user-xj2iv4gu3t15 күн бұрын

    Hakika ss ni wa mungu na kwke 2tarejea

  • @FatmaHaji-sf6xq
    @FatmaHaji-sf6xq12 күн бұрын

    Inalilahi wainailah rajiuon

  • @user-pq1ln1gt7h
    @user-pq1ln1gt7h15 күн бұрын

    Innaalillah wainnaailayhi raajiuun

  • @user-rb8ir9co9k
    @user-rb8ir9co9k15 күн бұрын

    Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @mohamedmichonjo5077
    @mohamedmichonjo507715 күн бұрын

    Inna lillahi wa llayhi ŕrajuna

  • @salhaomar5382
    @salhaomar538214 күн бұрын

    Innalilah wainna illah iraajiun

Келесі