Sheikh nyage alikuwa vizuri sana nafasi ya kufa huko na kuzikwa huko haki yake alikuwa sheikh wa tabia njema.
@umsoud330614 күн бұрын
Allaah Awarehem wote Wa Islam, Awapuzishe Katika JANNATUL FIRDAUS Amiin
@shamusathebeautifully594514 күн бұрын
Allah amsammeh makosa yake na amjaalie Ljannat Firdaws na sisi Allah atupe Khusnil Khatima ameen
@medimisi693015 күн бұрын
mawaidha tosha ni kuzika hivyo, sio kule kufinika shuka, allah amlipe kheir nasi atupe mwisho mwema. 🤲
@IssaAli-wz5jh
14 күн бұрын
Ni kweli ila haina maana ya kuwa haifai kufunika sababu hizo ni Ikhtilaafu za kimadhehebu huko Wanafuata madhehebu ya Hanbal huku kwetu ni Shafi kwaiyo nawao ni lazima wafate sheria za huko.
@IssaAli-wz5jh
14 күн бұрын
Ila masalafi wa leo tunasema haifai kufuata madhehebu tumejifanya kuw sisi ndio wasomi zaid kuliko salaf swaleh wa karne zilizopita. Allah atuongoze Inshaallah.
@HalimaSalym-jl2ui15 күн бұрын
Yaa Allah na sisi tujaalie mwisho mwema. Anmyna
@MohammedBakari-pn9yg
14 күн бұрын
Aamin
@rayaalhabsi172515 күн бұрын
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie kauli thabit yaarab amjaalie katika as'habul yamiin ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia amsamehe makosa yake. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin
@Naw8914 күн бұрын
Innalillahi wainna ilayhi raajiuun MAA SHA ALLAH kwa kweli Naamin kila anaeitetea jamii kwaajili ya Allah hufanikiwa sana kuipata Pepo huyu sheikh alikua akikemea sana wapiga vinanda watoto wanaharibika kwa qaswida za haramu wanacheza michezo ya haramu eti ndio uislam wengi walikua wakimkejeli kupitia hii mada lakin angalia Allah alivyomsalimisha Subhaanallah
@user-iy7xy1np7c15 күн бұрын
Inna lillahi wainna ilaihi raajioun.Allah amsamehe makosa yake amtilie nuru na barka katika maisha yake mapya ya kaburini na awape Subra wafiwa
@diyembarak5506
15 күн бұрын
Allahuma Amiin
@khadijomary6033
14 күн бұрын
Amiin
@ruqaiamohammed345
14 күн бұрын
Amiin 🤲🤲
@user-yi4xo1jh3v8 күн бұрын
Hafii ila alie msafi bila shaka alikua msafi,nasi tupe mwisho mwema Mola wetu Amiin
@MwashambaAmeir10 күн бұрын
Allah amlipe malipo mema na makaaz jannatun-naim
@mwanaishamasoud15 күн бұрын
Innalilah wainailaihi rajiuun Allah ampe kaulthabit amsameh makosa yke na ss atupe mwisho mwema
@southunguja13 күн бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah ALLAAH ampe noor alanoor inshaallah na ss ALLAAH atupe safari njema inshaallah
@mariamnjiku504514 күн бұрын
Inna lillahi wainna illahi raajioun. Allah amsamehe madhambi yake na amjaalie kauli thabit, amjaalie pepo yake tukufu aamiin. Nimeshtushwa sana na kifo chake kwani ni sheikh niliyeanza kumfualia hivi karibuni tuu na nikapenda darsa zake yaani haizidi miezi miwili ama mitatu toka nijue darsa zake. Kwa hakika hapa duniani tunapita Allah atujaalie mwisho mema aamiin
@umsoud330614 күн бұрын
Ya Rab, na sisi Atupe Husniy Alkhatimah Amiin
@MaryamHaji-h7k6 сағат бұрын
Alla atupe mwisho mwema aamiin
@RayaRashid-qc8cn14 күн бұрын
Inna lilahi wainna ilaihi rajiuun,Allah amjaalie nuru kwenye kaburi lake na amsamehe madhambi yake na amjaalie Pepo 🤲
@diyembarak550615 күн бұрын
Allah amjaalie kaul thabit
@Sherrymwinyi14 күн бұрын
mungu ailaze roho ya marehemu pemapeponi ameen
@binmasoud415015 күн бұрын
Allahumma thabbit-hu bilqauli tthabit, Alikuwa mweye kujitahid kwenye dini na kuwaidh watu.
@user-bs2ei5wh7r15 күн бұрын
Hakika sisi sote ni wa Allah sw na kwake tutarejea
@ayshahajj888814 күн бұрын
Innalilah wainna illaih 😢ya Allah mlipe Yale yaliomstahiki,, sheikh wng
@rehemamahendeka-rm2ek15 күн бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiun,Rabbi amswamehe pale alipotekeza/ampe wasaa ndani ya mwana ndani/ampe kauli thabiti,Aamin !
@farijalakhalid555815 күн бұрын
Kuna watu wanazali kwelikweli. Unaende kuzikwa alipo zikiwa maswahaba. Mungu ampe qauli thabiti
Allah amfanyie wepesi mja wake kwa kumfutia makosa yake na kulitia Nuru kaburi lake na amlipe pepo yake Amiin
@fifo26215 күн бұрын
Allah tujaalie mwisho mwema in sha allah
@user-fh7wu8vx1y14 күн бұрын
ALLAH wajalie kauli thabiti
@ismailmakame397212 күн бұрын
Jitihada zake zimeonekana mungu yeye mwenye kaliona Hilo. Nasi tumeliona Hilo. Nnamuomba mungu amlipe pepo na ampe neema nyingi humor kabrini amin. Nasi mungu atujalie mwisho mwema pia kama yeye. Ishallah.
@mohammedomar286515 күн бұрын
Allah atupe mwisho mwema
@user-gp1sk9hg1y15 күн бұрын
Kudumu nakubakia nikwake yy tu Allah ss niwakwake nakwake tutarejea Allah amlaze mahali pema
@mosihamisi66313 күн бұрын
Ya Rab na sisi Atupe husniy Alkhatimah Amin amin
@mwanakhamisiddi222813 күн бұрын
mashala Allah azidi kumjaza kheri zake amina
@ayshazambia650912 күн бұрын
Innalillah wainalillah tajuun allah awasamahe ndugu zetu wote waliyotangulia mbele ya haki😢😢😢
@IddiBenta14 күн бұрын
Inalilah waina ilayhi rajighun Alla amjalie makazi mema nasis pia
@medimisi693015 күн бұрын
na maswali mawili. ivi mait mikono yake hukunywa au hunyooshw akisikwa sina elimu ya hilo nisaidieni. la pili nilisikia anaekufa hija hua hatinikwi uso akizikwa je na hili liko vp
@IbrahimJuma-m3b
14 күн бұрын
Mikono inanyooshwa Martin anapozikwa na Hilo lapili sio sahihi I've ulivyoskia
@nuhuamini152813 күн бұрын
Innalillah wainnna ilaih rajiun Allah awarehemu marehemu wote waliotangulia njia ya haq
@aljalilatiba987315 күн бұрын
MASHEKHE TUPENI MUONGOZO KUZIKA BILA YA KUTIA UDONGO KABIRINI AU MCHANGA YAANI KAMA MAKABURI HAYO YAPO WEZI JE INAFAA?
@user-qe9ot4kl9u
15 күн бұрын
Hapo amazikwa kwa muda tu hauzidi mienzi 9 kisha kuna dawa na chemical huekewa ili wahamishwe sehemu nyengine Hayo makaburi yapo enzi na enzi na nafasi ipo kwasababu maiti huwa zinahamishwa aidha miili yao au mabaki ya mifupa na hayo makaburi yako kwa line na nambo kabisa
@muhammadmuhammad504315 күн бұрын
Innalilahi wainnaaileyhirajiuoni Allah Awasamehe Wote Maitizetu Walio Tangulia Yarabiy Nasisi Atujaaliye Khusnilkhatima Njema Yarabiy
@fatmakhanii167615 күн бұрын
Innalilahi waina ilaihi rajiuun Allah amuhifadhi pema nasi atupe mwisho mwema
@user-hm5jl1kh2t15 күн бұрын
Innalillah wainailaiyhi rajiunn allah amswamehe alipo.kiseaa😢😢😢
@fahmikhalfan6818
15 күн бұрын
Innalillah wainailaiyh rajiunn
@MashaMbwana
15 күн бұрын
Aamin😢😢
@user-rb8ir9co9k
15 күн бұрын
Aamiin
@mozamasoud4711
15 күн бұрын
InnLilah wainnailay rajiun
@aminandurya14 күн бұрын
Innalilahi wainalilah rajuon Allah ampokee Na kumhifadhi InshaAllah.ss pia atuajalie mwisho mwema InshaAllah.Familia ajalie subr Na awatie nguvu InshaAllah 😢😢😢
@AsaaSuleiman14 күн бұрын
Allah awalipe wote waliotqngulia
@Allyrumhy-ji2vo15 күн бұрын
إنا لله وانا اليه راجعون اللهم ثبته بالقول الثابت ،اللهم لا تحرمنا أجره ولا تفتنا بعده وغفرلنا وله.آمين😢😢😢
@HasinaKungulilo14 күн бұрын
Inna lillahi wa inna illahi rajiun Mwenyezi Mungu ampe kauli thabit. Amin
@TibaMatokeo-kk3mj14 күн бұрын
Allah ampe kauli njema Innalilah wainallilah lajjun
@user-mA17o15 күн бұрын
إنالله وإنااليه راجعون😢😢😢😢
@user-ne7xi3bk3p14 күн бұрын
Innalillahi wa inna ilaihi raajiuun Allah atupe mwisho mwema
Пікірлер: 126
Sheikh nyage alikuwa vizuri sana nafasi ya kufa huko na kuzikwa huko haki yake alikuwa sheikh wa tabia njema.
Allaah Awarehem wote Wa Islam, Awapuzishe Katika JANNATUL FIRDAUS Amiin
Allah amsammeh makosa yake na amjaalie Ljannat Firdaws na sisi Allah atupe Khusnil Khatima ameen
mawaidha tosha ni kuzika hivyo, sio kule kufinika shuka, allah amlipe kheir nasi atupe mwisho mwema. 🤲
@IssaAli-wz5jh
14 күн бұрын
Ni kweli ila haina maana ya kuwa haifai kufunika sababu hizo ni Ikhtilaafu za kimadhehebu huko Wanafuata madhehebu ya Hanbal huku kwetu ni Shafi kwaiyo nawao ni lazima wafate sheria za huko.
@IssaAli-wz5jh
14 күн бұрын
Ila masalafi wa leo tunasema haifai kufuata madhehebu tumejifanya kuw sisi ndio wasomi zaid kuliko salaf swaleh wa karne zilizopita. Allah atuongoze Inshaallah.
Yaa Allah na sisi tujaalie mwisho mwema. Anmyna
@MohammedBakari-pn9yg
14 күн бұрын
Aamin
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie kauli thabit yaarab amjaalie katika as'habul yamiin ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia amsamehe makosa yake. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin
Innalillahi wainna ilayhi raajiuun MAA SHA ALLAH kwa kweli Naamin kila anaeitetea jamii kwaajili ya Allah hufanikiwa sana kuipata Pepo huyu sheikh alikua akikemea sana wapiga vinanda watoto wanaharibika kwa qaswida za haramu wanacheza michezo ya haramu eti ndio uislam wengi walikua wakimkejeli kupitia hii mada lakin angalia Allah alivyomsalimisha Subhaanallah
Inna lillahi wainna ilaihi raajioun.Allah amsamehe makosa yake amtilie nuru na barka katika maisha yake mapya ya kaburini na awape Subra wafiwa
@diyembarak5506
15 күн бұрын
Allahuma Amiin
@khadijomary6033
14 күн бұрын
Amiin
@ruqaiamohammed345
14 күн бұрын
Amiin 🤲🤲
Hafii ila alie msafi bila shaka alikua msafi,nasi tupe mwisho mwema Mola wetu Amiin
Allah amlipe malipo mema na makaaz jannatun-naim
Innalilah wainailaihi rajiuun Allah ampe kaulthabit amsameh makosa yke na ss atupe mwisho mwema
Mashaallah mashaallah mashaallah ALLAAH ampe noor alanoor inshaallah na ss ALLAAH atupe safari njema inshaallah
Inna lillahi wainna illahi raajioun. Allah amsamehe madhambi yake na amjaalie kauli thabit, amjaalie pepo yake tukufu aamiin. Nimeshtushwa sana na kifo chake kwani ni sheikh niliyeanza kumfualia hivi karibuni tuu na nikapenda darsa zake yaani haizidi miezi miwili ama mitatu toka nijue darsa zake. Kwa hakika hapa duniani tunapita Allah atujaalie mwisho mema aamiin
Ya Rab, na sisi Atupe Husniy Alkhatimah Amiin
Alla atupe mwisho mwema aamiin
Inna lilahi wainna ilaihi rajiuun,Allah amjaalie nuru kwenye kaburi lake na amsamehe madhambi yake na amjaalie Pepo 🤲
Allah amjaalie kaul thabit
mungu ailaze roho ya marehemu pemapeponi ameen
Allahumma thabbit-hu bilqauli tthabit, Alikuwa mweye kujitahid kwenye dini na kuwaidh watu.
Hakika sisi sote ni wa Allah sw na kwake tutarejea
Innalilah wainna illaih 😢ya Allah mlipe Yale yaliomstahiki,, sheikh wng
Innalillahi wainna ilayhi rajiun,Rabbi amswamehe pale alipotekeza/ampe wasaa ndani ya mwana ndani/ampe kauli thabiti,Aamin !
Kuna watu wanazali kwelikweli. Unaende kuzikwa alipo zikiwa maswahaba. Mungu ampe qauli thabiti
Inna lillahi wainnaa alayh raajiuun kila nafsi huonja maut mugu amlaze Mahal pema peponi amiin
Mwenyez mungu atupe mwisho mwema in shaallah😂
subhaana llah innaalilah wainnaailayh raaajiuun allah amjaalie makaaz yake peponi kwarahma zake
Innalillahi Wainna Ilaihi Rajiuun. Allah Ampe Qawli Thabit Na Awape Subra Wafiwa
Hakika sisi ni wa allah na kwake ni wenye kurejea🤲🤲🤲🤲
Innallillah rajihun Mungu ampe nuru katika kabli yk amina
Innalilah wainalilah rajiuni allah ampe kauli thabiti🙏🙏😢😢
😢😢 innalillah wainnailaih rajiun. Allah Ampe salama shekh wetu ktk kabri lake n akhera pia
Inalillahi wainailahi rajuun. Allah amjaalie pepokwahurumawake. Amyn nasi Allah atupe kauli thabiti sikuya mwisho
Innalillah wainali illahi rajiun Allah amfanyie wepesi katika safari yake inshaalah
Bahati iliyoje kuzikwa na maswahaba
Innaalillaahi wainnaa ilayhirraajiun Allah amsamehe mwalimuwetu ampekilalakheri nasi atujaalie mwishomwema aamin
Allah amfanyie wepesi mja wake kwa kumfutia makosa yake na kulitia Nuru kaburi lake na amlipe pepo yake Amiin
Allah tujaalie mwisho mwema in sha allah
ALLAH wajalie kauli thabiti
Jitihada zake zimeonekana mungu yeye mwenye kaliona Hilo. Nasi tumeliona Hilo. Nnamuomba mungu amlipe pepo na ampe neema nyingi humor kabrini amin. Nasi mungu atujalie mwisho mwema pia kama yeye. Ishallah.
Allah atupe mwisho mwema
Kudumu nakubakia nikwake yy tu Allah ss niwakwake nakwake tutarejea Allah amlaze mahali pema
Ya Rab na sisi Atupe husniy Alkhatimah Amin amin
mashala Allah azidi kumjaza kheri zake amina
Innalillah wainalillah tajuun allah awasamahe ndugu zetu wote waliyotangulia mbele ya haki😢😢😢
Inalilah waina ilayhi rajighun Alla amjalie makazi mema nasis pia
na maswali mawili. ivi mait mikono yake hukunywa au hunyooshw akisikwa sina elimu ya hilo nisaidieni. la pili nilisikia anaekufa hija hua hatinikwi uso akizikwa je na hili liko vp
@IbrahimJuma-m3b
14 күн бұрын
Mikono inanyooshwa Martin anapozikwa na Hilo lapili sio sahihi I've ulivyoskia
Innalillah wainnna ilaih rajiun Allah awarehemu marehemu wote waliotangulia njia ya haq
MASHEKHE TUPENI MUONGOZO KUZIKA BILA YA KUTIA UDONGO KABIRINI AU MCHANGA YAANI KAMA MAKABURI HAYO YAPO WEZI JE INAFAA?
@user-qe9ot4kl9u
15 күн бұрын
Hapo amazikwa kwa muda tu hauzidi mienzi 9 kisha kuna dawa na chemical huekewa ili wahamishwe sehemu nyengine Hayo makaburi yapo enzi na enzi na nafasi ipo kwasababu maiti huwa zinahamishwa aidha miili yao au mabaki ya mifupa na hayo makaburi yako kwa line na nambo kabisa
Innalilahi wainnaaileyhirajiuoni Allah Awasamehe Wote Maitizetu Walio Tangulia Yarabiy Nasisi Atujaaliye Khusnilkhatima Njema Yarabiy
Innalilahi waina ilaihi rajiuun Allah amuhifadhi pema nasi atupe mwisho mwema
Innalillah wainailaiyhi rajiunn allah amswamehe alipo.kiseaa😢😢😢
@fahmikhalfan6818
15 күн бұрын
Innalillah wainailaiyh rajiunn
@MashaMbwana
15 күн бұрын
Aamin😢😢
@user-rb8ir9co9k
15 күн бұрын
Aamiin
@mozamasoud4711
15 күн бұрын
InnLilah wainnailay rajiun
Innalilahi wainalilah rajuon Allah ampokee Na kumhifadhi InshaAllah.ss pia atuajalie mwisho mwema InshaAllah.Familia ajalie subr Na awatie nguvu InshaAllah 😢😢😢
Allah awalipe wote waliotqngulia
إنا لله وانا اليه راجعون اللهم ثبته بالقول الثابت ،اللهم لا تحرمنا أجره ولا تفتنا بعده وغفرلنا وله.آمين😢😢😢
Inna lillahi wa inna illahi rajiun Mwenyezi Mungu ampe kauli thabit. Amin
Allah ampe kauli njema Innalilah wainallilah lajjun
إنالله وإنااليه راجعون😢😢😢😢
Innalillahi wa inna ilaihi raajiuun Allah atupe mwisho mwema
innalillah wainna ilay rajiuuni
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun, Allahumma ghfir lahuu warhamhu,waskanhu filjannah.... Aamiin yaa Rabbiy.
MNAOFATA MWEZI WA SAUDIA MSHAONA NAMNA MNAVYOTAKIWA MZIKANE?
@IbrahimJuma-m3b
14 күн бұрын
Inaonekana hujui Ata unalolifanya hapa ulimwengun, upon tu
@MuhidiniNassor
14 күн бұрын
@@IbrahimJuma-m3bوضدي
@issamwembe4245
13 күн бұрын
Kuna dosari hapo?
@MbaroukSilima
13 күн бұрын
Acha ujinga ww!! Kwnza ulizia hlo kwa wnye uenyeji sio kuleta kauli za kipumbavu kwnye jambo kama hlo!!
Alhamdulillah innalilaii wainnailayhim rajiun
Innalilah wainna ilayhi rajiuni
Innalilah wainailah rajuun
May his soul rest in peace
إنا لله وإنا إليه راجعون
Innalilah wainnailah rajuun
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
Innalillaahi wainna ilaih raajiun😢😢
Inalillahi wainaillahi rajiun kz ya mungu Haina makosa😭😭😭
Inalilah wainalilah rajiun
Innalillahi wainnailaihi rajiun
Inalilah wainalilah rajuuni
Inalilah wainailayh rajighuna
Inalilah wanaileh rajuuni
BACHU UKO WAPI? SUNNA MPYA HIYO
@khalifasaid0047
14 күн бұрын
Sunnah ipi kaka
@MuhidiniNassor
14 күн бұрын
@@khalifasaid0047kutiana sehemu bila ya mchanga karibuni watesema sunna
Inna lillah wa Inna illah raji'un
Inalillah wainailahi rajiun
Ina lilah waina ilah rajioon
Inalilahi wainailayhi rajiuni
🎉 inalilah wainalilah rajiun
Mbona maiti aifukiwi naudongo hii imekaaje
Innalillahi Wainnailaihi rajiun
Innalilah wainna ilahim rajuun
Innallilah wainaillah rajiun
Innalilah wa Inna ilaihi rajuini. Anazikwa walipo zikwa maswahaba.
Allah.Amrehem.lnnalilah.
Innaa lillahi wainnaa ilayh raajiuun
Innalillah
Allah amrehem
ويبقى وجه ربك ITABAKI DHATI YA MOLA WAKO
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun
Innalilah wa innalilah rajiun
Innalilah wainnailaah rajiun
Hakika ss ni wa mungu na kwke 2tarejea
Inalilahi wainailah rajiuon
Innaalillah wainnaailayhi raajiuun
Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiuun
Inna lillahi wa llayhi ŕrajuna
Innalilah wainna illah iraajiun