RC ATUA ZNZ KUTOKA MAKKA, APOKELEWA NA SHANGWE, AELEZEA KIFO CHA HUJAJI MTANZANIA AZIKWA, JOTO KALI
Жүктеу.....
Пікірлер: 71
@shersaid798821 күн бұрын
Hajj maqbuul na shukran kwa maelezo mkuu wa mkoa wa kusini Ayub Mohamed
@hamadsuleiman517721 күн бұрын
Sheikh Saidi kafia Ardhi takatifu kwny Ibada takatifu na masiku matukufu...yaaa Allah mpokeee na umswamehe dhambi zake yeye na maiti zetu washaotangulia
@mohamedaley5632
21 күн бұрын
Allahumma amin
@Aisha-lj8bu
21 күн бұрын
Amina yaarabbi
@mzalendomzalendo2567
21 күн бұрын
@@robertphilip385kwa imani yako ya kigalatia,
@husna34562
21 күн бұрын
Amiin
@aliabdalla9297
21 күн бұрын
@@robertphilip385sawa wewe usie na dhambi
@rehemamahendeka-rm2ek19 күн бұрын
Alhamdulillahi,Rabbi azipokee ibada za hujaji nyote mliofanikiwa kwenda Makka,nac atufanyie wepec/upana wa riziki ili tukafanye ibada inshaAllah. Nimejipata faraja sana kuckiza mahojiano haya,Alhamdulillahi !
@AleiHadji-js3ed21 күн бұрын
Makka sio Lele mama Makka ni Kubadilika Tabia hakuna Hijja mbili hii ni Fursa ya Mwisho 😢😢😢😢😢😢😢
@ShakrinAliy-kz2el20 күн бұрын
Allah akupokelee hijja yko Allah akujalie mema dunian mpka akher wallah machozi yana nitoka kwa furaha ya mate ndogo yako Allah akuhifadhi
@hamadsuleiman517721 күн бұрын
Allah Akbar...Umeongea point Mkuu wa Mkoa
@aliymurid443320 күн бұрын
Ma sha Allah. Allah akubarik na aikubali Hijja yako. Amiin
@SARAHKATAGIRA21 күн бұрын
Allah akujalie uitumze hijja Ako nasi tuombee tuweze kwenda
@KhamisHaji-pw4jo21 күн бұрын
Masha Allah
@faudhiasalum727921 күн бұрын
Pole sana
@hassanhaj99421 күн бұрын
Na mshauri akarudishe na ardhi aliyowapora wananchi wa Kijiji cha Kilimajuu - Matemwe Kusini. Akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini ‘A’ Unguja.
@AleiHadji-js3ed21 күн бұрын
Zama za hijja Kua Ni Utalii ndio Hizii... Jamani Hija Hija Alihamdulilah
@user-me5jv4fq4c21 күн бұрын
Mungu akuweke sana
@siriyangu472418 күн бұрын
Innalilai wainna illah rajiun poleni...Inshaallah
@HashimSalim-qj7zn19 күн бұрын
Allah ajaalie khutuba yako hii fupi iwabadishe viongozi wote na wawe waadilifu
@harithmohd631821 күн бұрын
Munajitahid kwenda makka ila ikifik siku za ushaguz mweny hak hapewi anapewa asie na haki na munajua kuwa mtu fulan hakushinda ila munatetea ili t ashind kuwen wakwli mtu akitok mji mtakatuf wa makka huwa mkwli siku zot hapend batli Allah akusimamie kwny ukwl Ayoub
@maryamabdullah9169
21 күн бұрын
Swadakta
@makamekhalfan596821 күн бұрын
subir kira utum maaskar muuwe wat kish usem ushahijj
@husna3456221 күн бұрын
Mashallah tabarakallah
@alisharia683121 күн бұрын
Hatukatai lakini uwezo hatuna wanyonge sisi kiongozi
@abdulrahmanmohammed444921 күн бұрын
Jamaa fasaha sana
@abdullhamid586821 күн бұрын
Huyu ndo raisi wa zanzibar
@IsmailJuma-zb5ni21 күн бұрын
Ndio Mujitahidi kutenda haki sasa
@maase202321 күн бұрын
Sasa mtu akitoka hajj kwao ni ajabu sana dah
@user-ql2om7qj3v14 күн бұрын
Mbona unawakumbatia wanawake. Hujuwi kama ni haram
@Dulla_kite21 күн бұрын
Mashallh 🙏🏻
@user-xc7qj7ze7m21 күн бұрын
Mhh
@maase202321 күн бұрын
Wazanzibari bana washamba sana dah
@aishakhamis2996
20 күн бұрын
Mshamba mwenyewo hujielew ww ...!!
@user-cq4lp5rv1l
20 күн бұрын
Ukisema zanzibr washamba sasa nyiny wa tanganyika sjui tunakuonani vp nyiny huku
@walidmgonja3644
20 күн бұрын
Acha kuharibu amali zako kwa maneno machafu,hiyo lugha uliyotumia hapo sio sahihi,ujinga huo waachie wanasiasa.Ushamba wa wazanzibar ni upi hapo?
@maase2023
20 күн бұрын
@@walidmgonja3644 kutoka hajj mtu mnafanya matangazo????? Duh
@walidmgonja3644
20 күн бұрын
@@maase2023 huo sio ushamba,pia usihusishe na uzanzibar maana hata wasio wazanzibar pia wapo wanaofanya hivyo
@cecilialivingstone920220 күн бұрын
unamacho lakini huoni
@maase202320 күн бұрын
Hawa wazanzibari mtihani kweli ! Sasa hajj ni jambo la fardhi kwa muislam kutimiza sasa hawa sijui kinachowashangaza na kusifia sijui kitu gani
@nouraynaasheikhunkabir3749
20 күн бұрын
Uwe na adabu kwenye Maongezi yako , culture ya wazanzibar watu wanaposafiri hujumuika airport kuwaaga na wanaporudi kuwapokea na sio kuwashangaa kama unavosema . Na Kuna faida nyingi zinapatikana katika mambo hayo hasa kwenye suala la maombi
@maase2023
20 күн бұрын
@@nouraynaasheikhunkabir3749 old fashion habit
@robertphilip38521 күн бұрын
Ameenda kumpiga shetani wa saudia lkn amemwacha shetani wake nyumbani Kweli tunaangamia kwakukosa maarifa
@user-yj5on8cz3e
21 күн бұрын
We mkristu unajuwa Nini kausha we una maarifa ya kusema yesu Ni mungu so kukosa maarifa nako
@HeboniBabu
21 күн бұрын
Acha chuki uwondio mwanzo wa umasikini
@kutailass6671
21 күн бұрын
Huyu anachuk za kikafiri
@robertphilip385
21 күн бұрын
@@user-yj5on8cz3e ukweli unaumeee
@user-yj5on8cz3e
21 күн бұрын
@@kutailass6671 wemwenyewe na makafiri wenzio mmekosa maarifa mpk Leo watu mna madegegree yenu ya ilmu kichwani hayawasaidii kitu mnasema yesu Ni mungu mmeshindwa kujua Ni binadamu Kama ninyi alienda haja na aliona njaa Kama ww mungu gani anaona njaa
@vincentcharles438521 күн бұрын
Hivi Allah ni Mungu? Dini za wakoloni shida
@masoudrashidmohammed4124
21 күн бұрын
Ni vyema kukaa kimya kwa mambo usio yajua
@user-dl1mg2qf4n
21 күн бұрын
Inamana wewe umetokea tu by nature? Hivi hata mwili wako haukupi dalili ya alie uumba?
@ameirmanzi2684
19 күн бұрын
Chunga ndimi yako frauni kapiganiya ukafira usimame na kashindwa utaweza wewe kifuu tundu kwanza tafuta mungu yupi ataekufisha siku yako ikifika
Пікірлер: 71
Hajj maqbuul na shukran kwa maelezo mkuu wa mkoa wa kusini Ayub Mohamed
Sheikh Saidi kafia Ardhi takatifu kwny Ibada takatifu na masiku matukufu...yaaa Allah mpokeee na umswamehe dhambi zake yeye na maiti zetu washaotangulia
@mohamedaley5632
21 күн бұрын
Allahumma amin
@Aisha-lj8bu
21 күн бұрын
Amina yaarabbi
@mzalendomzalendo2567
21 күн бұрын
@@robertphilip385kwa imani yako ya kigalatia,
@husna34562
21 күн бұрын
Amiin
@aliabdalla9297
21 күн бұрын
@@robertphilip385sawa wewe usie na dhambi
Alhamdulillahi,Rabbi azipokee ibada za hujaji nyote mliofanikiwa kwenda Makka,nac atufanyie wepec/upana wa riziki ili tukafanye ibada inshaAllah. Nimejipata faraja sana kuckiza mahojiano haya,Alhamdulillahi !
Makka sio Lele mama Makka ni Kubadilika Tabia hakuna Hijja mbili hii ni Fursa ya Mwisho 😢😢😢😢😢😢😢
Allah akupokelee hijja yko Allah akujalie mema dunian mpka akher wallah machozi yana nitoka kwa furaha ya mate ndogo yako Allah akuhifadhi
Allah Akbar...Umeongea point Mkuu wa Mkoa
Ma sha Allah. Allah akubarik na aikubali Hijja yako. Amiin
Allah akujalie uitumze hijja Ako nasi tuombee tuweze kwenda
Masha Allah
Pole sana
Na mshauri akarudishe na ardhi aliyowapora wananchi wa Kijiji cha Kilimajuu - Matemwe Kusini. Akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini ‘A’ Unguja.
Zama za hijja Kua Ni Utalii ndio Hizii... Jamani Hija Hija Alihamdulilah
Mungu akuweke sana
Innalilai wainna illah rajiun poleni...Inshaallah
Allah ajaalie khutuba yako hii fupi iwabadishe viongozi wote na wawe waadilifu
Munajitahid kwenda makka ila ikifik siku za ushaguz mweny hak hapewi anapewa asie na haki na munajua kuwa mtu fulan hakushinda ila munatetea ili t ashind kuwen wakwli mtu akitok mji mtakatuf wa makka huwa mkwli siku zot hapend batli Allah akusimamie kwny ukwl Ayoub
@maryamabdullah9169
21 күн бұрын
Swadakta
subir kira utum maaskar muuwe wat kish usem ushahijj
Mashallah tabarakallah
Hatukatai lakini uwezo hatuna wanyonge sisi kiongozi
Jamaa fasaha sana
Huyu ndo raisi wa zanzibar
Ndio Mujitahidi kutenda haki sasa
Sasa mtu akitoka hajj kwao ni ajabu sana dah
Mbona unawakumbatia wanawake. Hujuwi kama ni haram
Mashallh 🙏🏻
Mhh
Wazanzibari bana washamba sana dah
@aishakhamis2996
20 күн бұрын
Mshamba mwenyewo hujielew ww ...!!
@user-cq4lp5rv1l
20 күн бұрын
Ukisema zanzibr washamba sasa nyiny wa tanganyika sjui tunakuonani vp nyiny huku
@walidmgonja3644
20 күн бұрын
Acha kuharibu amali zako kwa maneno machafu,hiyo lugha uliyotumia hapo sio sahihi,ujinga huo waachie wanasiasa.Ushamba wa wazanzibar ni upi hapo?
@maase2023
20 күн бұрын
@@walidmgonja3644 kutoka hajj mtu mnafanya matangazo????? Duh
@walidmgonja3644
20 күн бұрын
@@maase2023 huo sio ushamba,pia usihusishe na uzanzibar maana hata wasio wazanzibar pia wapo wanaofanya hivyo
unamacho lakini huoni
Hawa wazanzibari mtihani kweli ! Sasa hajj ni jambo la fardhi kwa muislam kutimiza sasa hawa sijui kinachowashangaza na kusifia sijui kitu gani
@nouraynaasheikhunkabir3749
20 күн бұрын
Uwe na adabu kwenye Maongezi yako , culture ya wazanzibar watu wanaposafiri hujumuika airport kuwaaga na wanaporudi kuwapokea na sio kuwashangaa kama unavosema . Na Kuna faida nyingi zinapatikana katika mambo hayo hasa kwenye suala la maombi
@maase2023
20 күн бұрын
@@nouraynaasheikhunkabir3749 old fashion habit
Ameenda kumpiga shetani wa saudia lkn amemwacha shetani wake nyumbani Kweli tunaangamia kwakukosa maarifa
@user-yj5on8cz3e
21 күн бұрын
We mkristu unajuwa Nini kausha we una maarifa ya kusema yesu Ni mungu so kukosa maarifa nako
@HeboniBabu
21 күн бұрын
Acha chuki uwondio mwanzo wa umasikini
@kutailass6671
21 күн бұрын
Huyu anachuk za kikafiri
@robertphilip385
21 күн бұрын
@@user-yj5on8cz3e ukweli unaumeee
@user-yj5on8cz3e
21 күн бұрын
@@kutailass6671 wemwenyewe na makafiri wenzio mmekosa maarifa mpk Leo watu mna madegegree yenu ya ilmu kichwani hayawasaidii kitu mnasema yesu Ni mungu mmeshindwa kujua Ni binadamu Kama ninyi alienda haja na aliona njaa Kama ww mungu gani anaona njaa
Hivi Allah ni Mungu? Dini za wakoloni shida
@masoudrashidmohammed4124
21 күн бұрын
Ni vyema kukaa kimya kwa mambo usio yajua
@user-dl1mg2qf4n
21 күн бұрын
Inamana wewe umetokea tu by nature? Hivi hata mwili wako haukupi dalili ya alie uumba?
@ameirmanzi2684
19 күн бұрын
Chunga ndimi yako frauni kapiganiya ukafira usimame na kashindwa utaweza wewe kifuu tundu kwanza tafuta mungu yupi ataekufisha siku yako ikifika
Masha Allah