RC ATUA ZNZ KUTOKA MAKKA, APOKELEWA NA SHANGWE, AELEZEA KIFO CHA HUJAJI MTANZANIA AZIKWA, JOTO KALI

Пікірлер: 71

  • @shersaid7988
    @shersaid798821 күн бұрын

    Hajj maqbuul na shukran kwa maelezo mkuu wa mkoa wa kusini Ayub Mohamed

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman517721 күн бұрын

    Sheikh Saidi kafia Ardhi takatifu kwny Ibada takatifu na masiku matukufu...yaaa Allah mpokeee na umswamehe dhambi zake yeye na maiti zetu washaotangulia

  • @mohamedaley5632

    @mohamedaley5632

    21 күн бұрын

    Allahumma amin

  • @Aisha-lj8bu

    @Aisha-lj8bu

    21 күн бұрын

    Amina yaarabbi

  • @mzalendomzalendo2567

    @mzalendomzalendo2567

    21 күн бұрын

    @@robertphilip385kwa imani yako ya kigalatia,

  • @husna34562

    @husna34562

    21 күн бұрын

    Amiin

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    21 күн бұрын

    ​@@robertphilip385sawa wewe usie na dhambi

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek19 күн бұрын

    Alhamdulillahi,Rabbi azipokee ibada za hujaji nyote mliofanikiwa kwenda Makka,nac atufanyie wepec/upana wa riziki ili tukafanye ibada inshaAllah. Nimejipata faraja sana kuckiza mahojiano haya,Alhamdulillahi !

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed21 күн бұрын

    Makka sio Lele mama Makka ni Kubadilika Tabia hakuna Hijja mbili hii ni Fursa ya Mwisho 😢😢😢😢😢😢😢

  • @ShakrinAliy-kz2el
    @ShakrinAliy-kz2el20 күн бұрын

    Allah akupokelee hijja yko Allah akujalie mema dunian mpka akher wallah machozi yana nitoka kwa furaha ya mate ndogo yako Allah akuhifadhi

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman517721 күн бұрын

    Allah Akbar...Umeongea point Mkuu wa Mkoa

  • @aliymurid4433
    @aliymurid443320 күн бұрын

    Ma sha Allah. Allah akubarik na aikubali Hijja yako. Amiin

  • @SARAHKATAGIRA
    @SARAHKATAGIRA21 күн бұрын

    Allah akujalie uitumze hijja Ako nasi tuombee tuweze kwenda

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo21 күн бұрын

    Masha Allah

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum727921 күн бұрын

    Pole sana

  • @hassanhaj994
    @hassanhaj99421 күн бұрын

    Na mshauri akarudishe na ardhi aliyowapora wananchi wa Kijiji cha Kilimajuu - Matemwe Kusini. Akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini ‘A’ Unguja.

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed21 күн бұрын

    Zama za hijja Kua Ni Utalii ndio Hizii... Jamani Hija Hija Alihamdulilah

  • @user-me5jv4fq4c
    @user-me5jv4fq4c21 күн бұрын

    Mungu akuweke sana

  • @siriyangu4724
    @siriyangu472418 күн бұрын

    Innalilai wainna illah rajiun poleni...Inshaallah

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn19 күн бұрын

    Allah ajaalie khutuba yako hii fupi iwabadishe viongozi wote na wawe waadilifu

  • @harithmohd6318
    @harithmohd631821 күн бұрын

    Munajitahid kwenda makka ila ikifik siku za ushaguz mweny hak hapewi anapewa asie na haki na munajua kuwa mtu fulan hakushinda ila munatetea ili t ashind kuwen wakwli mtu akitok mji mtakatuf wa makka huwa mkwli siku zot hapend batli Allah akusimamie kwny ukwl Ayoub

  • @maryamabdullah9169

    @maryamabdullah9169

    21 күн бұрын

    Swadakta

  • @makamekhalfan5968
    @makamekhalfan596821 күн бұрын

    subir kira utum maaskar muuwe wat kish usem ushahijj

  • @husna34562
    @husna3456221 күн бұрын

    Mashallah tabarakallah

  • @alisharia6831
    @alisharia683121 күн бұрын

    Hatukatai lakini uwezo hatuna wanyonge sisi kiongozi

  • @abdulrahmanmohammed4449
    @abdulrahmanmohammed444921 күн бұрын

    Jamaa fasaha sana

  • @abdullhamid5868
    @abdullhamid586821 күн бұрын

    Huyu ndo raisi wa zanzibar

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni21 күн бұрын

    Ndio Mujitahidi kutenda haki sasa

  • @maase2023
    @maase202321 күн бұрын

    Sasa mtu akitoka hajj kwao ni ajabu sana dah

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v14 күн бұрын

    Mbona unawakumbatia wanawake. Hujuwi kama ni haram

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite21 күн бұрын

    Mashallh 🙏🏻

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m21 күн бұрын

    Mhh

  • @maase2023
    @maase202321 күн бұрын

    Wazanzibari bana washamba sana dah

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    20 күн бұрын

    Mshamba mwenyewo hujielew ww ...!!

  • @user-cq4lp5rv1l

    @user-cq4lp5rv1l

    20 күн бұрын

    Ukisema zanzibr washamba sasa nyiny wa tanganyika sjui tunakuonani vp nyiny huku

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    20 күн бұрын

    Acha kuharibu amali zako kwa maneno machafu,hiyo lugha uliyotumia hapo sio sahihi,ujinga huo waachie wanasiasa.Ushamba wa wazanzibar ni upi hapo?

  • @maase2023

    @maase2023

    20 күн бұрын

    @@walidmgonja3644 kutoka hajj mtu mnafanya matangazo????? Duh

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    20 күн бұрын

    @@maase2023 huo sio ushamba,pia usihusishe na uzanzibar maana hata wasio wazanzibar pia wapo wanaofanya hivyo

  • @cecilialivingstone9202
    @cecilialivingstone920220 күн бұрын

    unamacho lakini huoni

  • @maase2023
    @maase202320 күн бұрын

    Hawa wazanzibari mtihani kweli ! Sasa hajj ni jambo la fardhi kwa muislam kutimiza sasa hawa sijui kinachowashangaza na kusifia sijui kitu gani

  • @nouraynaasheikhunkabir3749

    @nouraynaasheikhunkabir3749

    20 күн бұрын

    Uwe na adabu kwenye Maongezi yako , culture ya wazanzibar watu wanaposafiri hujumuika airport kuwaaga na wanaporudi kuwapokea na sio kuwashangaa kama unavosema . Na Kuna faida nyingi zinapatikana katika mambo hayo hasa kwenye suala la maombi

  • @maase2023

    @maase2023

    20 күн бұрын

    @@nouraynaasheikhunkabir3749 old fashion habit

  • @robertphilip385
    @robertphilip38521 күн бұрын

    Ameenda kumpiga shetani wa saudia lkn amemwacha shetani wake nyumbani Kweli tunaangamia kwakukosa maarifa

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    21 күн бұрын

    We mkristu unajuwa Nini kausha we una maarifa ya kusema yesu Ni mungu so kukosa maarifa nako

  • @HeboniBabu

    @HeboniBabu

    21 күн бұрын

    Acha chuki uwondio mwanzo wa umasikini

  • @kutailass6671

    @kutailass6671

    21 күн бұрын

    Huyu anachuk za kikafiri

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    21 күн бұрын

    @@user-yj5on8cz3e ukweli unaumeee

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    21 күн бұрын

    @@kutailass6671 wemwenyewe na makafiri wenzio mmekosa maarifa mpk Leo watu mna madegegree yenu ya ilmu kichwani hayawasaidii kitu mnasema yesu Ni mungu mmeshindwa kujua Ni binadamu Kama ninyi alienda haja na aliona njaa Kama ww mungu gani anaona njaa

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles438521 күн бұрын

    Hivi Allah ni Mungu? Dini za wakoloni shida

  • @masoudrashidmohammed4124

    @masoudrashidmohammed4124

    21 күн бұрын

    Ni vyema kukaa kimya kwa mambo usio yajua

  • @user-dl1mg2qf4n

    @user-dl1mg2qf4n

    21 күн бұрын

    Inamana wewe umetokea tu by nature? Hivi hata mwili wako haukupi dalili ya alie uumba?

  • @ameirmanzi2684

    @ameirmanzi2684

    19 күн бұрын

    Chunga ndimi yako frauni kapiganiya ukafira usimame na kashindwa utaweza wewe kifuu tundu kwanza tafuta mungu yupi ataekufisha siku yako ikifika

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo21 күн бұрын

    Masha Allah

Келесі