Please consider subscribing to our channel @StraightPathDawah
Жүктеу.....
Пікірлер: 45
@rizikiali328Ай бұрын
Sheikh Ramadhan na yusuf hapo kuna mtihani hapa niwakati wa masheikh kutoka miskitini kufanya daawa kwa wasio waislamu hongereni masheikh kwa kazi mnaofanya
@user-sq1ol2fb3iАй бұрын
Subuhana Allah Polen sana huko Kuna machaola
@isahbarasaАй бұрын
Asalam aleikum waramtulah wabarakatu leo nikawa wa kwnza
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Mashallah tabarak Allah
@isahbarasa
Ай бұрын
@@StraightPathDawah Amin
@andallaathman3856
Ай бұрын
@@StraightPathDawahkwani sheikh mpeks vipi mbona vedeo moja tuu ?
@Noorein-ws8wk
Ай бұрын
Wsalaam warahmatullahi ta'ala wabarakaatuh
@KitwitwiАй бұрын
Asante ndugu Ramadhan ! Jaza ya Mungu kwako. Kujibu yule kijana habari ya elimu : Elimu ni muhimu kwa kila bin Adamu - anatakiwa aifuate elimu ili apate maisha mema katika dunia - lakini vile vile asisahau elimu ya kuweza kumfikisha njia ya haqi yakumuinigiza kwenye pepo ya Mwenyezimngu na kumuepusha na moto wa jahanam! Kwa hivyo inamlazimu bina adamu kuwa na elimu zote mbili kwa Usawa ! Muhimu ni ku hakikisha kuwa elimu ya dunia isikupoteze ikakuelekeza kinyume na Dini inavyo kuelekeza !
@user-fh7wu8vx1yАй бұрын
Ma shaallah allah awahifadhi mashekh wetu
@user-rc7oi2hp8lАй бұрын
Ma sha Allah tabaraka Rahman
@fardoshnassor7847Ай бұрын
Masha Allah 💖💖💖
@ashrafissa778Ай бұрын
Walekm salam warahmtullah wabarakatuh
@fatumahassan8438Ай бұрын
Mashaallah Allah awape subra nyingi katika hii kazi ya daawa
@fatimaummar6723Ай бұрын
Mashaa Allah ❤
@aburaasmedia3682Ай бұрын
Ma sha Allah
@zainabhussain4114Ай бұрын
MashaaAllah
@user-du2fy5sd5uАй бұрын
MashaAllah Tabarakah Rahman
@user-rc7oi2hp8lАй бұрын
Kazi nzr walim wangu.Allah amtagulie Kila cku
@user-kf2mg8xo7wАй бұрын
Assallamu Alleikum, hongera kwa kazi nzuri ningependa mfike malindi kisumu ndogo
@MohammediSemndiliАй бұрын
Insha allah mungu awazidishie
@user-iz1er8vg7uАй бұрын
Mashallah KAZI zuri Allah atawalipa
@josemu870Ай бұрын
Barikiweni sana sana
@malikdodo5190Ай бұрын
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
@Lambor-qq4gvАй бұрын
ALLAHU AKBAR kazi mzuri shekh mungu awazidishie kheri
@JamalMwalimu-od9ciАй бұрын
Jameni karibuni na shakahola
@rizikiali328Ай бұрын
karibu ni kilifi huko ni karibu nakwetu Allah awahifadhi na awalipe kila kheri
@AngoSheriff-be5mqАй бұрын
Kazi safi
@kennodhiamboАй бұрын
Hakika Uislamu ni njia na ndiyo imeelezewa hapa katika aya hii, "Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti (Mithali 14:12)
@FumokaleАй бұрын
Katana amesema kweli ....kwenye debate huwa ni vigumu kuelewa dini ya haki kwa sababu kuna ushabiki mwingi...kwa Allah awawezeshe mashaikh wetu watoke na kuieneza na kuieleza dini ya uislamu na Allah awape uwezo na IKHLAS....aaaaminaaaa
@mohagurey2214Ай бұрын
Huyo mtanzania ako na point ustadh, matwari na nyimbo kelele za kila aina ziko ndani ya msikiti especially wakati wa maulidi na haifai hata kidogo
@OzihamzaАй бұрын
Shakahola us real
@FauziahNambaka-bn2lnАй бұрын
Huyo jamaa aliandikiwa na pasta wao ambaye anataka kuwapotosha
@harrisoncharo-qz3vzАй бұрын
😂😂😂😂😂huyo jama nimkali😅😅😅
@ShillingiАй бұрын
Huyuu kijana amepotea sana naona uko na ukosefu wakuelewa
@muhinabakali7377Ай бұрын
Xhehe kulia muje tanza nia bwana maana tanzania maxhehe wame lala kabixa
@Lambor-qq4gvАй бұрын
Ukipata muda njooni huku kakamega sehmu ya Luanda shop naona hio inafaa mana kuna mtihani
@hythamhashiem4458Ай бұрын
Huyo jamaa anae kataa elimu! sasa aisoma vipi bibilia kama hatokwenda shule kusoma elimu ya dunia?
@mohagurey2214Ай бұрын
Hawa ni wakiristo wa jina tu
@oopsm3574Ай бұрын
Huyu kijana bangi inamsumbuwa
@molee2339Ай бұрын
Ai, hapa ni kwa Wa SHAKA HOLA! WaGiriama wame potezwa na WaZungu na StoryBook chao cha BIBLIA ! TabarakAllah Team kwaku fika hapa. WaIslamu, changiyeni hii Dawah Channel ili ipate Nguvu yaku fika kila Mahali!
@user-ng1po1dh4z20 күн бұрын
Huyo kijana, asiyependa Shule huwenda ni Tahira. ACHANA NAE HUYO, ANAPOTEZA MUDA. Mjinga na mjinga tu.
@aburaasmedia3682Ай бұрын
huyu kijana wa shakahola maandiko anatafuta ni waraka wa pili ya John 15-17 na sio waraka ya kwanza alivyosema 15 Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake. 16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia. 17 Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.
Пікірлер: 45
Sheikh Ramadhan na yusuf hapo kuna mtihani hapa niwakati wa masheikh kutoka miskitini kufanya daawa kwa wasio waislamu hongereni masheikh kwa kazi mnaofanya
Subuhana Allah Polen sana huko Kuna machaola
Asalam aleikum waramtulah wabarakatu leo nikawa wa kwnza
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Mashallah tabarak Allah
@isahbarasa
Ай бұрын
@@StraightPathDawah Amin
@andallaathman3856
Ай бұрын
@@StraightPathDawahkwani sheikh mpeks vipi mbona vedeo moja tuu ?
@Noorein-ws8wk
Ай бұрын
Wsalaam warahmatullahi ta'ala wabarakaatuh
Asante ndugu Ramadhan ! Jaza ya Mungu kwako. Kujibu yule kijana habari ya elimu : Elimu ni muhimu kwa kila bin Adamu - anatakiwa aifuate elimu ili apate maisha mema katika dunia - lakini vile vile asisahau elimu ya kuweza kumfikisha njia ya haqi yakumuinigiza kwenye pepo ya Mwenyezimngu na kumuepusha na moto wa jahanam! Kwa hivyo inamlazimu bina adamu kuwa na elimu zote mbili kwa Usawa ! Muhimu ni ku hakikisha kuwa elimu ya dunia isikupoteze ikakuelekeza kinyume na Dini inavyo kuelekeza !
Ma shaallah allah awahifadhi mashekh wetu
Ma sha Allah tabaraka Rahman
Masha Allah 💖💖💖
Walekm salam warahmtullah wabarakatuh
Mashaallah Allah awape subra nyingi katika hii kazi ya daawa
Mashaa Allah ❤
Ma sha Allah
MashaaAllah
MashaAllah Tabarakah Rahman
Kazi nzr walim wangu.Allah amtagulie Kila cku
Assallamu Alleikum, hongera kwa kazi nzuri ningependa mfike malindi kisumu ndogo
Insha allah mungu awazidishie
Mashallah KAZI zuri Allah atawalipa
Barikiweni sana sana
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
ALLAHU AKBAR kazi mzuri shekh mungu awazidishie kheri
Jameni karibuni na shakahola
karibu ni kilifi huko ni karibu nakwetu Allah awahifadhi na awalipe kila kheri
Kazi safi
Hakika Uislamu ni njia na ndiyo imeelezewa hapa katika aya hii, "Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti (Mithali 14:12)
Katana amesema kweli ....kwenye debate huwa ni vigumu kuelewa dini ya haki kwa sababu kuna ushabiki mwingi...kwa Allah awawezeshe mashaikh wetu watoke na kuieneza na kuieleza dini ya uislamu na Allah awape uwezo na IKHLAS....aaaaminaaaa
Huyo mtanzania ako na point ustadh, matwari na nyimbo kelele za kila aina ziko ndani ya msikiti especially wakati wa maulidi na haifai hata kidogo
Shakahola us real
Huyo jamaa aliandikiwa na pasta wao ambaye anataka kuwapotosha
😂😂😂😂😂huyo jama nimkali😅😅😅
Huyuu kijana amepotea sana naona uko na ukosefu wakuelewa
Xhehe kulia muje tanza nia bwana maana tanzania maxhehe wame lala kabixa
Ukipata muda njooni huku kakamega sehmu ya Luanda shop naona hio inafaa mana kuna mtihani
Huyo jamaa anae kataa elimu! sasa aisoma vipi bibilia kama hatokwenda shule kusoma elimu ya dunia?
Hawa ni wakiristo wa jina tu
Huyu kijana bangi inamsumbuwa
Ai, hapa ni kwa Wa SHAKA HOLA! WaGiriama wame potezwa na WaZungu na StoryBook chao cha BIBLIA ! TabarakAllah Team kwaku fika hapa. WaIslamu, changiyeni hii Dawah Channel ili ipate Nguvu yaku fika kila Mahali!
Huyo kijana, asiyependa Shule huwenda ni Tahira. ACHANA NAE HUYO, ANAPOTEZA MUDA. Mjinga na mjinga tu.
huyu kijana wa shakahola maandiko anatafuta ni waraka wa pili ya John 15-17 na sio waraka ya kwanza alivyosema 15 Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake. 16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia. 17 Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.